MILLARD AYO AFIKA KWENYE JUMBA LA BILIONEA MULOKOZI "SIO YA NDOTO ZANGU, ANAKUJA KUKAA MFANYAKAZI"

  Рет қаралды 465,339

Millard Ayo

Millard Ayo

5 ай бұрын

EPISODE ONE: Wengi waliniandikia wakitaka kuliona Jumba hili bila kupitishwa harakaharaka tofauti na video nyingi mitandaoni zilivyolionesha, nikwambie tu nimefika hapa na nimehakikisha napita kila kona...
Ni nyumba yenye hadhi ya Presidental ambayo wengi wanaweza kufikiri ndio nyumba ya ndoto zake lakini hapana, mwenyewe anasema hii nyumba ameijenga kwa ajili ya Mfanyakazi wake.
Hii ni episode ya kwanza tu ya kukuonesha jumba lenyewe, episode ya pili ni mahojiano maalum na Mulokozi kujua alikoanzia hadi alipofikia, fanya kubonyeza subscribe kwenye KZfaq ya millardayo kujionea yajayo yanayofurahisha.

Пікірлер: 1 700
@Marjeby
@Marjeby 5 ай бұрын
Millard we jamaa unajua sana kufanya presentation aiseee hii habari nimeiona kwenye channel kadhaa but the way unavyoipresent now nahisi sijaiona aiseee
@millardayoTZA
@millardayoTZA 5 ай бұрын
ASANTE SANA MARJEBY
@coleinvee3181
@coleinvee3181 5 ай бұрын
very clear kabisa👌
@hassanhancha1413
@hassanhancha1413 5 ай бұрын
Ngoja nikusaidie kuitaja ilikuwa global tv nikaavhana kuangalia nikasema mzee Millard akienda ntaichek l.Jamaa yuko serious sio wale wenzake
@mdachiog5211
@mdachiog5211 5 ай бұрын
Kabisa jamaa anajua balaaa
@shukurudenis8922
@shukurudenis8922 5 ай бұрын
Mwijaku yuko wapi hahha😂😂
@user-jk8vs4eh8i
@user-jk8vs4eh8i 5 ай бұрын
Aliyegundua hii nyumba imejengwa kwa ajili ya biashara agonge like .coz hii nyumba inaweza pangishwa kwa ajili ya matumizi ya presidential na ikamuingizia pesa nyingi tu kwakuwa huyu ni tajiri mwenye kufikiria Sana ,matajiri huwa hawafanyi vitu kwa makusudi .all in all big up kaka umewainspire matajiri na wachacharikaji wengi
@erickmachua8829
@erickmachua8829 5 ай бұрын
Una Akili sana Mkuu 😅
@marianajohn5415
@marianajohn5415 5 ай бұрын
Kwakweli kwa hili nimejiona mjinga kabisa! Huyu kaka ana aakili jmn 🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@aziziatumanially424
@aziziatumanially424 5 ай бұрын
Unajidai ndio umefikiliiiiiiiaaaaa acha izo fikilia viwanda na wewe ujenge
@westcijosh
@westcijosh 5 ай бұрын
This is how the rich stay rich
@badmanno.1650
@badmanno.1650 4 ай бұрын
Hata mwenyewe kasema hivyo hivyo.. itakuwa hukusikia
@samiamazoea9348
@samiamazoea9348 5 ай бұрын
Mungu amjalie mme wangu na liziki tufike mbali🙏
@user-lc7lj5lh3d
@user-lc7lj5lh3d 5 ай бұрын
❤❤
@evaristmandilindi6147
@evaristmandilindi6147 5 ай бұрын
😂😂😂😂unachekesha
@ahz6907
@ahz6907 5 ай бұрын
Amen
@pilichuli4449
@pilichuli4449 5 ай бұрын
Sema akujalie wewe mwenyewe sio mme wako
@meshacksway866
@meshacksway866 4 ай бұрын
Lakini sio hapo
@mariamhamad7624
@mariamhamad7624 5 ай бұрын
Milady watu tunakuamini saana unajitofautisha saana na media online zingine salute BROO🙌
@millardayoTZA
@millardayoTZA 5 ай бұрын
ASANTE SANA MARIAM
@castoriarogatus3675
@castoriarogatus3675 5 ай бұрын
Kila mpambanaji Mungu uumpa kadili ya juhudi zake hongera Bilioner umeweza umeweza umeweza tena
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 5 ай бұрын
MashaAllah 🎉🎉🎉tufanye kazi jamani...hatuezi kuwa mabilionea wote,ila tunaweza kuwa na maisha bora
@hassanussein1817
@hassanussein1817 5 ай бұрын
Ma sha Allah, KWENYE vinywaji vya kulevya ....nyie vipi......
@ndiiyolazaro1125
@ndiiyolazaro1125 5 ай бұрын
Hakika
@sophyodago5062
@sophyodago5062 5 ай бұрын
True
@mariamhamad7624
@mariamhamad7624 5 ай бұрын
Milady watu tunakuamini saana unajitofautisha saana na media online zingine salute BROO🙌 na Uko humble ndo maana hata wanaokupa mahojiano wanakuamini
@millardayoTZA
@millardayoTZA 5 ай бұрын
SHUKRANI MARIAM !! MUCHLOVE
@user-zr8dj5xj1q
@user-zr8dj5xj1q 5 ай бұрын
Kipindi nipo chuoni Augustine tulikuwa tunamwiya CR was taifa,tunakupenda na tunakukubali San bro❤
@emmaemmanuel2844
@emmaemmanuel2844 5 ай бұрын
Shukran Millard ayo na tajiri Kwa kutupa mda wote huo na hajikwez ni mnyenyekevo ishii sana tajiri 🙌
@francismkini5963
@francismkini5963 5 ай бұрын
Much inspired by the way the housegirl is being treated in this family. This will give you more payback!
@AlineWamishi
@AlineWamishi 5 ай бұрын
Very true ,In most luxurious home they forget this aspect it was really beautiful to see that .
@OteshaTime_Services
@OteshaTime_Services 5 ай бұрын
Vijana tufanye kazi sana kuliko tulivyowahi kufanya maishani. Hatuna muda wa kupoteza kwenye jambo lolote ,wanawake wapo na wanaume wapo ( Starehe zipo ). Pia tumpe Mungu nafasi ya kwanza kabla ya jambo lolote. Hatujui huyu alipataje mali, tumemjua baada ya mafanikio yake. Tufanye kazi. Asante @Millard Ayo , kwa kuwa jicho letu kuona yanayojili duniani.
@ackshuba8679
@ackshuba8679 5 ай бұрын
Unataka kusema tuache kuomba namba za madem
@francisthomas1717
@francisthomas1717 5 ай бұрын
shida siyo kufanya shida ni kuimiliki pesa na namna ya kuisimamia
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 5 ай бұрын
​@@ackshuba8679😂😂😂😂😂
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 5 ай бұрын
​@@francisthomas1717tuna paswa kuwa na adabu na pesa ase maana bila hivyo haya tutayasikia Kama movie
@user-uc1fj9wg6n
@user-uc1fj9wg6n 5 ай бұрын
Hongera kaka ww unaishi🤝mvumilivu hula mbivu 👏👏👏
@evaakyoo3009
@evaakyoo3009 4 ай бұрын
Milad na wewe mungu akupe sikumoja tutaona nyumba yako nzuri sana ..hongera kwa kazi nzuri❤❤❤
@kennyraphael9839
@kennyraphael9839 5 ай бұрын
Big up sana kwa kaka yetu Mulokozi!! You really inspired many young people to become successful just like you💯big up sana kwa Mtu mzima the Rude boi’ kaka Millard Ayo!! Ebwana unaweza sana✊🏾
@deogratiuslwamboya4032
@deogratiuslwamboya4032 5 ай бұрын
Atukuzwe Mungu milele kwa ajili ya billionaire David Mulokozi. Amina🙏🙏🙏
@nururaymond5
@nururaymond5 3 ай бұрын
Wahaya Shikamoo
@forgottengaze
@forgottengaze 5 ай бұрын
Millard ulivyosema "hapa ni wapi" , nkamkumbuka mwl wa matheeee. Hongera sana to this guy... good-hearted and very inspirational
@augustinofifi
@augustinofifi 5 ай бұрын
Na mimi nitjenga nyumba nzuri zaidi ya hii siku moja
@mauwashadrack8624
@mauwashadrack8624 5 ай бұрын
Amen and Amen 🙏🙏
@ReshimaAbdalla
@ReshimaAbdalla 5 ай бұрын
Inshallah
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 5 ай бұрын
In Shaa Allah
@user-un5bo6ks1q
@user-un5bo6ks1q 5 ай бұрын
Inshallaha ndugu yangu inawezekana kabisa ,usife moyo pambana na hakika Mwenyezi Mungu yu pamoja na wewe daima
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 5 ай бұрын
InshaaAllah
@giftwandi3918
@giftwandi3918 5 ай бұрын
This is Amazing 👏 🙌 😍 Millard Ayo you're the best Presenter,I salute You.
@user-yx6yb4dj9b
@user-yx6yb4dj9b 5 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu kaka mulokozi ni mtu mwenye moyo safi na unatupa hamasa vijana
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 5 ай бұрын
Mulokozi anaonekan si tajir wa Mali tuu hata Moyo mzuri anao the way alivyo humble Mungu ampe zaid na zaid
@millardayoTZA
@millardayoTZA 5 ай бұрын
NI KWELI
@edinaleonidace5523
@edinaleonidace5523 5 ай бұрын
Kumbe umeliona?
@ndiiyolazaro1125
@ndiiyolazaro1125 5 ай бұрын
Hakika
@zuanshimchina2278
@zuanshimchina2278 5 ай бұрын
​@@millardayoTZAkaka vipi
@user-vu9ee7yg1j
@user-vu9ee7yg1j 5 ай бұрын
Mwenyezi mungu akujalie zaidi ya iyo bro✌️ appreciate 🤲🙏 frm 🇿🇦
@daisynyerere5730
@daisynyerere5730 4 ай бұрын
Millard Ayo unaweza unaweza unaweza tena, yo the best presenter in Tanzania and Abroad, I do like your work🎉
@MoringiElsa
@MoringiElsa 5 ай бұрын
Hongera sana usisahau kutoa sadaka kanisani
@RoncyMroki
@RoncyMroki Күн бұрын
😂😂😂😂
@jacklineminja2022
@jacklineminja2022 5 ай бұрын
Tajiri Yesu akutunze Mr Mlokozi si rahis tajiri kujishusha jaman uzidi kufanikiwa very inspiring
@user-lw7sy2gy9d
@user-lw7sy2gy9d 5 ай бұрын
Alie ona Millard anageuza maji ya afya,. ili yaonekane vizuri weka like apa
@saidseleman3269
@saidseleman3269 5 ай бұрын
Maji yenyewe hayanywi kudadeki
@giressentumwa6906
@giressentumwa6906 4 ай бұрын
Roho mbaya hiyo. Yaani hilo tu ndo umeona kati ya yote yaliyo onyeshwa???
@muhii63
@muhii63 5 ай бұрын
Much respect kwako milard pamoja na cameraman wako mungu akuzidishie kipaji na akupe uvumilivu katika kazi zako
@user-kp5xd7wx5r
@user-kp5xd7wx5r 5 ай бұрын
Aiseeeeeeeh aiseeeeeh congratulation my brother milad unajua sanaaa uyo brother aiseee Kama nyumb za wasaniii Kama kris brown Yan mbelee tu kumb ata bongo wapo aiseeee izo furniture Ni balaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤😮😮😮😮
@user-cn7fh8if3o
@user-cn7fh8if3o 5 ай бұрын
Mungu awabariki watu wote wanaojituma kwa bidii na kumtegemea yeye,,hongera sana kaka mulokozi kwa kazi nzuri
@kanezajoella6663
@kanezajoella6663 5 ай бұрын
Wallah hakia MUNGU MUNGU amuweke huyu baba kwakuona tu chumba cha mfanya kazi wa ndani inaonyesha anaupendo na watu wote bila kuchaguwa ❤️❤️❤️❤️❤️
@muslimahbossnetworktz
@muslimahbossnetworktz 5 ай бұрын
Nawaza hivi na housegirl wa nyumba hio atakuwa msumbufu pia?😢
@joycekaguo8476
@joycekaguo8476 5 ай бұрын
Mungu amueke atakuwa na maadui Sasa
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 5 ай бұрын
​@@muslimahbossnetworktz😂😂😂😂😂
@user-ok9yn2ze9g
@user-ok9yn2ze9g 5 ай бұрын
​@@muslimahbossnetworktzsio rahisi hao huwa wanalipwa pesa ndefu mpaka kuacha kazi unaona hasara
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 5 ай бұрын
...​@@muslimahbossnetworktz...Huwezi kujua , anaweza kufikiria kumpindua mama mwenye nyumba..!..🤣🤣🤣
@agnessinga8222
@agnessinga8222 5 ай бұрын
It's the David I know... Bravo bravo Bro! Glory to GOD.
@bharyasarbjit1187
@bharyasarbjit1187 5 ай бұрын
Mulokozi Hongera sana sana. Ujenge kila Region Hiyo ni Hardwork and Taste of your choice. W nerd Many Brothers like you.God bless you more and more so you Also Give charity in Billions.
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 5 ай бұрын
Hongera sana Millard kwa interview yenye tija kwetu sote. Sasa nisaidie nipate namba ya kaka mulokozi anisaidie jambo fulani ktk ushauri. Kaka Millard kwa kweli hakuna anaeweza kuifikia kazi yako you are the number One. More congratulations to you and my brother mulokozi
@user-kw6zo8tt5g
@user-kw6zo8tt5g 5 ай бұрын
Kazi nzuri broo ayooo tusake pesa na pongez kwako broo mlokozi Mungu akuzidishie mara mia zaidi
@fredohhkrop
@fredohhkrop 5 ай бұрын
From kenya. This is so amazing. Great Content Millard🙏
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 5 ай бұрын
bless u karibu Tanzania
@millardayoTZA
@millardayoTZA 5 ай бұрын
PAMOJA SANA FRED
@mamt7489
@mamt7489 5 ай бұрын
Hili ni kasri sio nyumba Mungu amzidishie hii ni motisha itasafanya vijana wafanye kazi kwa bidii angalau kuwa sehemu nzuri ya kulala baada ya kazi
@phantyrhymes9536
@phantyrhymes9536 5 ай бұрын
Hongera kaka Milard Ayo, wewe ni mfano mzuri kwa vijana wote wanaopambana.Kazi nzuri.
@suzan4200
@suzan4200 5 ай бұрын
Jamaa yuko very humble aiseee Mungu ambariki...Nice job Millard❤
@songweairport7602
@songweairport7602 5 ай бұрын
KAZI NZURI MILARD.. TUNAOMBA SIKU MOJA UFANYE MAHOJIANO NA CAMERA MAN WAKO... JAMAA ANACHUA VIDEO KWA VIWANGO VYA JUU SANAAAAAA
@millardayoTZA
@millardayoTZA 5 ай бұрын
ASANTE SANA SONGWE !!
@rajabupetermoses7338
@rajabupetermoses7338 5 ай бұрын
Hii nimeipenda sana
@tafutampenzi1653
@tafutampenzi1653 5 ай бұрын
🔥🔥🔥
@chepkirui-vn1bu
@chepkirui-vn1bu 5 ай бұрын
​@@millardayoTZAHi Millard ayo
@chepkirui-vn1bu
@chepkirui-vn1bu 5 ай бұрын
​@@millardayoTZAKAZI nzuri🇰🇪
@kabaranamaganga6646
@kabaranamaganga6646 5 ай бұрын
Eeeh! Mwenyezi Mungu nikumbuke nami unapowapa wengine ufari mkuu namna hii
@SamweliMwita-ul2kh
@SamweliMwita-ul2kh 5 ай бұрын
Achana na ya duniani
@abraham92268
@abraham92268 5 ай бұрын
Uyu bro looks humble and I liked the way alivyokuwa anajibu..more grace bro . Siyo kama mwijaku, gorofa moja kelele nyingi,,wapo watu wenye pesa kama mulokozi, very simple , and inspiring.
@jovinathasavoie8018
@jovinathasavoie8018 5 ай бұрын
Hongera sana kaka mulokozi hujatuangusha kabisa,you have inspired many of us.
@razackndeze-pv5bm
@razackndeze-pv5bm 5 ай бұрын
To me, it looks like luxury resorts & future luxury air BnB, the owner he's a real visionary man. Congratulations & salut for this incredible investment. Thanks, Millard, for this amazing interview. God bless.
@user-tt3lx7ly2m
@user-tt3lx7ly2m 5 ай бұрын
Ma Shaa Allah
@Juke995
@Juke995 5 ай бұрын
He already mention that
@MALDINIMALYYA-nd6lt
@MALDINIMALYYA-nd6lt 5 ай бұрын
@ahz6907
@ahz6907 5 ай бұрын
Airbnb babati huko porini😂
@razackndeze-pv5bm
@razackndeze-pv5bm 5 ай бұрын
@@ahz6907 huko ndo sehemu za kupumzika haswa.
@jobleynewtonanyimike9161
@jobleynewtonanyimike9161 5 ай бұрын
Mr Mlokozi ! Hongera naendelea kutafakari ukuu wa Mungu kupitia kwako kwa uweza wa Mungu naamini najivika imani hio Mungu attendance kwa wkt songe mbele br
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 4 ай бұрын
Hongera Sana billionaire Mwenangu Mabilinea Wenzangu tukutane hapa 😂😂😂
@Happy-tx7p
@Happy-tx7p 5 ай бұрын
Jmn nimependa sanaaaa kuna watu wanaish mwijaku atulie sasa hii ndio nyumb sasa alf amn makelele meng amn sifa nying neno la mwish tufanye kaz kwa bidii 🎉
@mamachris6811
@mamachris6811 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅
@sadikijani4307
@sadikijani4307 5 ай бұрын
Congratulations to Mr David aka Mulokozi.Ninamfahamu 2015 hivi alikuwa na hustle za kawaida sana Arusha.Ni mkristo pia na mpole kama alivyo! Akiona comment hii lazima atavuta hisia akiwa Arusha hicho kipindi cha kujitafuta.
@fababindawood8363
@fababindawood8363 4 ай бұрын
Mpeni salam Yule chawa Mwinjaku anaetupigia kelele kajenga nyumba ya 1.3bilion mwambiye Kuna mwamba huku hatar Masha Allah
@achouraachoura5763
@achouraachoura5763 5 ай бұрын
Bismillah...Masha'allah ...mngu nijaalie. Na. Mimi siku Moja nipate kile ulichokikusudia Kwangu..❤❤.... tupambane. Vijana..uyu Kaka MNGU ampe afya njema na ulinzi wake. ☑️📌
@aishamsandawe3029
@aishamsandawe3029 5 ай бұрын
Vitu vya haramu ndiyo zenye pesa
@ZalhathamohdSaid-qn4jj
@ZalhathamohdSaid-qn4jj 5 ай бұрын
​@@aishamsandawe3029 we ndo umesema
@aishamsandawe3029
@aishamsandawe3029 5 ай бұрын
Ndiyo huoni ni biashara ya pombe halafu unasema bismilah
@giressentumwa6906
@giressentumwa6906 4 ай бұрын
​@@aishamsandawe3029umesema hivo sababu unajuwa hauwe yamiliki😂😂😂😂😂
@dn.n4983
@dn.n4983 5 ай бұрын
So nice hongera sana sana ujenzi si rahisi ubarikiwe wote
@bintabou828
@bintabou828 5 ай бұрын
Kuna watu wanaishi Jaman Mashaallah Mashaallah hongera kaka umetisha
@annievibes8794
@annievibes8794 5 ай бұрын
Wallah tena na kuna sisi tunasindikiza tuu😢
@uchebetz7284
@uchebetz7284 5 ай бұрын
😢😢😢😢
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 5 ай бұрын
Kuna sisi tumekuja kutembea😂😂😂😂
@salmabamba2751
@salmabamba2751 4 ай бұрын
Yaan hatare tz kama mbele
@nevaloya9460
@nevaloya9460 3 ай бұрын
kuna sis tunaojificha😅
@ramadhanimtozeni8030
@ramadhanimtozeni8030 5 ай бұрын
Brother Mulokozi, safi sana, nyumba nzuri yenye thamani kubwa, furniture zenye thamani ya hatari, vito vyenye thamani ya hatari, security ya hali ya juu, kikubwa zaidi ni kwamba you are very cool huna kelele na mtu. May God bless you, brother.
@olivernyange2349
@olivernyange2349 5 ай бұрын
Milard your humbleness will take you higher and higher may God humble you more
@sharifasaidy6399
@sharifasaidy6399 5 ай бұрын
Jmn kuna watu wanaishi nyie hongera mulokozi mungu akubarikii😢😢
@jacksonpriva7664
@jacksonpriva7664 5 ай бұрын
MUNGU ambariki mulokozi, nimejifunza kitu ngoja tupambane inawezekana Amen
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 5 ай бұрын
Umejifunza nn
@ZuwenaSinde-hj9qg
@ZuwenaSinde-hj9qg 5 ай бұрын
Sure,Wow is very amazing congratulations God bless you more
@dottomarikatv780
@dottomarikatv780 4 ай бұрын
Hii nyumba nzuri mwambie anipatie kazi kwenye kiwanda chake
@upendosalimu2050
@upendosalimu2050 5 ай бұрын
Power of money pazia linafunguka kwa umeme aloo tusake ela
@maribaisack2097
@maribaisack2097 5 ай бұрын
Bro millard nafuatilia sana makala zako...NICE sana kaka....hongera snaa ....hii documentary ni ya ubora na viwango vya juu sana ....safi
@user-ci8zd6ij7c
@user-ci8zd6ij7c 5 ай бұрын
Daah, yaani kungekua hamna kufa watu wangekula maisha sana, hiyo tv tu mimi ningekua kwangu
@evansokemwa6587
@evansokemwa6587 5 ай бұрын
hahaha 😅 lasima watu wakufe na wache via ndunia
@furahamtweve4222
@furahamtweve4222 5 ай бұрын
Imenispire sana thanks kaka Millard unatupa sana moyo vijana wenzako be blessed
@hamisaally968
@hamisaally968 5 ай бұрын
Kaka mulokozii kama utabahatika kupitia hizi comment naomba unisaidie milioni mbili tu nimalizie kukarabatii nyumba ya mama anguuu😢😢
@user-vd2lm9ng1g
@user-vd2lm9ng1g 5 ай бұрын
Mi ata milango ndio nmekwama
@user-xz9zg2yk6m
@user-xz9zg2yk6m 5 ай бұрын
We acha TU ndugu yangu wengine tualala nje Bora wewe una hi ho kianzio
@letthedeadburythedead2148
@letthedeadburythedead2148 5 ай бұрын
Acha uombaomba
@user-ux6hg1xb1e
@user-ux6hg1xb1e 5 ай бұрын
Hongera xana mulokozi
@hamisaally968
@hamisaally968 5 ай бұрын
@@letthedeadburythedead2148 Asantee ndugu
@Captain_film
@Captain_film 5 ай бұрын
Kazi nzurii kaka millard una andaa kipindi vizurii..muonekano msafii
@domitilalekundayo6934
@domitilalekundayo6934 5 ай бұрын
Hongera sana kaka, I like the way simple you are. You are not even proud. Be blessed kaka.
@peninashungu6633
@peninashungu6633 5 ай бұрын
So nice nimependa Sana mungu azidi kukulinda akupe Afya njema na family yako, nimependa tu unapenda watt wako so nice, mngekuwa wa baba wote kama huyu jamaa mkatunza tu watt wenu mngetupunguzia mzigo ma single mother na sie tu kafanya maendeleo kama tujenga ata nyumba ya viumba 3😢
@anneedward3673
@anneedward3673 5 ай бұрын
Ni kweli my dear ila nikwambie kitu hao watoto sio mzigo kwako ni baraka hizo mungu amekupa
@CNM-hw1ns
@CNM-hw1ns 5 ай бұрын
❤ huyu jamaa anaishi kama maraika.vijana tutafute pesa
@ZAMB334
@ZAMB334 5 ай бұрын
Huu mwaka hee🤝🤝🤝🤝💐💐💐🥀🥀🥀🥀chukua maua yako tajiri
@user-dk4pt6lo7q
@user-dk4pt6lo7q 5 ай бұрын
Duuh kuna kuishi na kuishia👏👏👏👏👏 hongera sana kwake
@mamachris6811
@mamachris6811 5 ай бұрын
Kuishi na kukaa Kuna wanao ishi duniani na tupo tunao kaa duniani 😂😂😂😂
@saadashoje313
@saadashoje313 5 ай бұрын
😂😂
@joycekaguo8476
@joycekaguo8476 5 ай бұрын
Mungu akuwekee ufurahie maisha ya dunia ..mana amekubalik
@magrethmwanga15
@magrethmwanga15 5 ай бұрын
He is so blessed, baraka zimepata mtumiaji.. Mungu unikumbuke na Mimi🙏
@talents7934
@talents7934 5 ай бұрын
Ukiacha "TBC UKWELI NA UHAKIKA" sasa Tuna "MILLARD AYO UKWELI MTUPU"mimi Binafsi nikisikia kuna habari inayotrend mitandaoni kama nisipoiona Kwa MILLARD AYO Wala ata sihangaiki tena kupoteza Bando Langu MUCH RESPECT BRO MILLARD MIMI NI MMOJA WA VIJANA NINAEKUPENDA SANA 🙏🙏
@explorewithbertin
@explorewithbertin 5 ай бұрын
Jumba zuri kweli. Exposure pia inasaidia
@mfalmekaitaba2425
@mfalmekaitaba2425 5 ай бұрын
Duh!!!🎉🎉🎉🎉 Nimependa sana alivyo humble hasa pale alipowaambia wale wadada sijui ni wadada wa kazi au veep kwamba "samahani tunataka tuje na huku" yaani katumia lugha nzuri sana.
@haleemaoman8389
@haleemaoman8389 5 ай бұрын
Much respect Millard Ayo 🙏God bless you from UAE 🇰🇼
@Truly_Afrikan
@Truly_Afrikan 5 ай бұрын
Your the best when comes to interviews, Millard one day you will come to interview me too in my multimillion mansion in Mwanza, one day and i,ll remind you of this comment
@patrickKitambo
@patrickKitambo 5 ай бұрын
It will happen in the might name of Jesus
@Truly_Afrikan
@Truly_Afrikan 5 ай бұрын
@@patrickKitambo amen 🙏 i appreciate
@ephrahimkamenge321
@ephrahimkamenge321 5 ай бұрын
Safi sana hii interview inakutofautisha na wengine....hongera sana
@millardayoTZA
@millardayoTZA 5 ай бұрын
ASANTE SANA EPHRAHIM
@Daniella249
@Daniella249 5 ай бұрын
Mungu nipe uvumilivu 🙏🙏🙏niepushe na tamaa najua nitafika tu
@marceljohnkimaty4986
@marceljohnkimaty4986 3 ай бұрын
Utafika wapi, labda mbinguni!
@Daniella249
@Daniella249 3 ай бұрын
@@marceljohnkimaty4986 sawa Mungu
@user-rj1ft5qi3e
@user-rj1ft5qi3e 5 ай бұрын
Nmempendaa bure Kaka mkbw 👌👌👌 ila mungu akupe maisha malefu ufaidi matunda yakooo
@peninashungu6633
@peninashungu6633 5 ай бұрын
Wanaosemaga wahaya wanajidai naisi mmeona hasa maana alisi ya muhaya ❤ni lazima uwe na pesa kama mlokozi ❤ nimekufuraia kaka yangu big up ❤
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 5 ай бұрын
Namisifa kwani lazima aonyeshe mali zake wangapi wana utajiri kuliko yeye mbona hawaonyeshi mali zao wahaya sifa nyingi hata kama nanye ndi muhaya
@esthergesogwe4240
@esthergesogwe4240 5 ай бұрын
​@@fatmafatu1128ACHA wivu
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 5 ай бұрын
​@@fatmafatu1128Wivu katika ubora wake😂😂😂😂
@mcback4384
@mcback4384 5 ай бұрын
​@@fatmafatu1128katoa inspiration kuna watanzania sasa watajua haya maisha yapo bongo hii na hata wewe ukitaka utaishi
@rebbywealth9869
@rebbywealth9869 5 ай бұрын
​@@fatmafatu1128ulivyokua na akili kisoda video umeangalia ukamaliza na comment ukasoma😂😂😂😂😂 Useless
@abiudwamalwa8180
@abiudwamalwa8180 5 ай бұрын
Watching live from kenya Nrb kweli pesa sabuni ya roho
@user-uw4pu9nm1u
@user-uw4pu9nm1u 5 ай бұрын
Millard ayo umetisha sanaa mtu wangu wa nguvu☑️☑️
@mabrainTZA
@mabrainTZA 5 ай бұрын
Hakika milard unahitajika tunzo zaidi na zaidi dah mungu akulinde sana I love that ...💪💪
@hadijasaid4219
@hadijasaid4219 5 ай бұрын
Daaah haya maisha broo anaishi vizuri sana sio kama wale papaa misifa hongera kwake
@victamacha5526
@victamacha5526 5 ай бұрын
Tajiri mungu akuzidhishiye tunataman kuwa kama wew
@annakbunga8377
@annakbunga8377 5 ай бұрын
Mungu akikupa nafasi inatakiwa uitumie kweli kweli umeweza kaka yng uongo dhambi safi sn Tajili
@jamesmsugwa7578
@jamesmsugwa7578 5 ай бұрын
Maisha haya bhana Congratulations Mulokozi kwa inspiration sis Wasakatonge Millard ayo mau ni mengi acha ss tuombe uzima
@frankvianey2438
@frankvianey2438 5 ай бұрын
Aisee kaka Mulokozi,Mwenyezi Mungu amekubariki sana,jitahid sana kutoa sadaka kwa watu wenye mahitaj maalumu na yeye atakuzidishia zaid ya hapo
@user-eg2wk4xx3h
@user-eg2wk4xx3h 5 ай бұрын
Ibada ya Sadaka Kwa Wanyonge .hofu ya Mungu atupaye yote
@advocatekarama4917
@advocatekarama4917 5 ай бұрын
Kabisa Mungu kambariki mno
@vivianmahoo8611
@vivianmahoo8611 5 ай бұрын
Kwajinsi anavyoonekana ninauhakika ni mtoaji mzuri sana wa sadaka,
@star_wizard2792
@star_wizard2792 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂 blazaa toa sadaka wewe Acha kupangia watu na maisha Yao toa Kwanza wewe😅😅😅
@izobinyoizobinyo
@izobinyoizobinyo 5 ай бұрын
Ukitoa wewe sadaka inatosha,acha kupangia watu matumizi pesa zao. Mungu anaweza kumbariki hivo kama hatoi sadaka?😂
@missdija4959
@missdija4959 5 ай бұрын
Nimeangalia investors wengi sana. I came to conclusion huyu Mulokozi ana rank top 10 Tanzania for the best mansion lakini at least top 30 in Africa 🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@RiddoRiddo-jj1bx
@RiddoRiddo-jj1bx 5 ай бұрын
Kuna watu wan na mansion ww sem uyu majaa anajua style na decorations that all ukiwa unajua hv vitu vzr ata km unapesa kdg nyumb yakmitakua ya tofaut
@missdija4959
@missdija4959 Ай бұрын
@@RiddoRiddo-jj1bxkama nani nikamuangalie?
@vero57
@vero57 5 ай бұрын
Amazing, mulokozi kazi nzuri sana hiii kiboko!!!!!
@mathewben9983
@mathewben9983 5 ай бұрын
Daah kwel yote yatapita lakin tuwe realistic coz hata hilo neno lenyewe la MUNGU liko halisi,kuna watu wanaishi kile watu wa MUNGU tulistahili tuishi hapa dunian na huko tunakoamin tutaishi tena tuishi yaliyo juu sana ya viwango tunavyovifikiria,kimsing tupambane umasikini sio tafsiri ya IMANI ya kwel japo najua hatuwez kua wote matajiri kwa ajil ya kufanya maisha kua balanced.Waliofanikiwa yapasa tuwaappreciate tu kuanza kujudge njia walizopitia kupata utajiri ni kudumaza uwezo wetu wa asili tulowekewa na MUNGU katika kupambania viwango bora vya mafanikio yetu.
@badifundi6089
@badifundi6089 5 ай бұрын
Mwenyewe karudi kulichkua sai anakodisha 😂
@neemakessy7527
@neemakessy7527 5 ай бұрын
Kabisa
@user-hz7gb5sm9w
@user-hz7gb5sm9w 5 ай бұрын
Well said
@user-vu6pd7pg9e
@user-vu6pd7pg9e 5 ай бұрын
Mirlad natmn niw kam ww nachukua education but ndt angu niw kam ww Masscom naipnda sn unajua sn brw❤❤❤❤❤
@lvanyDaniel_pw7kk
@lvanyDaniel_pw7kk 5 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu kaka Millard Uendelee kutupa habari za kweli na uhakika 🙏
@presidentofafrica.5038
@presidentofafrica.5038 5 ай бұрын
AYO-is the best brand, so smart.. kazi zako zimetulia na unahoji watu wanaojitambua ndiyo maana kila kukicha unazidi kuwa juu.
@user-ht7qh7zk8q
@user-ht7qh7zk8q 5 ай бұрын
Inspiration.💯
@brendazayumba235
@brendazayumba235 5 ай бұрын
Haki ya mama nitafute pesa...unyama unyama unyama mara trillion..glass house my dream house kbla sijafa must kutimiza ndoto zangu ntakua naangalia kipande kila asbh kunitia moyo lazima nipambane...mulokozi asante uninistua nianze mapambano
@msafirimaulidi5054
@msafirimaulidi5054 5 ай бұрын
Mafanikio ni Siri lkn kufanikiwa sio Siri✍️
@mafikiritwinzi8856
@mafikiritwinzi8856 3 ай бұрын
Nimemwelewwa sana jamaa yuko vizuri sana. Mnyenyekevu, mcha Mungu, ana fikra huru, ana kila sifa ya uzarendo kwa nchi yake, nimeshindwa kumtofautisha na Luge. Big up sana bro. Naomba mawasiliano kuna mambo uweze kunisaidia
@jareengeorge5478
@jareengeorge5478 5 ай бұрын
Onyoooo kwawotee kuanzia leo.hakuna kutumia neno nfanyabiashara,tena marufuku!! Utakuta mtu hamjaonana sikumbilitatu.unamuuliza mwenzangu unafanya kaziwapi???? Yeye tena,mimi nfanya biashara😅😅😅😅. Unamuuliza biashara gani oooh nipo kariakoo nauza mitumba,pochi,mashuka.weee nyamaza.au mwingine ninaduka lavyakula ndio nipohapo kaeni kimya wote.tunaposema neno nfanyabiashara.tunamaanisha nfanyabiashara nimulokozi peke yake hapa Tanzania.wengine wote tunaganga njaa.maana tusipo tembeza njegele au mbaazi.nyumbani hapakaliki hapaliki😅😅😅😅.lkn tunaposema nfanyabiashara mulokozi yupo nyumbani kwake anaangalia movie za action huku mipesa inaingiatu.ndani kwenyewe kunahamasisha usitoke.jamanii hii yakusema sisi sio milima tutaonana sizani kama nikweli.kama huyu mulokozi mimi nitamuona wapi??hapo si milima tayari haiwezi kuonana!!!! Millad ayo mwenyewe anatembea mule ndani anatamani asitoke .amezungushwa ndani mpaka macho yamekua makengeza chezeawewee.kunawatu wanaishi hii dunia mpaka unajishangaa unajiuliza sasa mimi hapa duniani nilikujaje?? Au nilikuja kufanya nini??? Kumbe uliletwa kwa makusudi tumchekeshe mulokozi atakiwi kukasilika wala kununa😀😀😀😀😀😀😀.haya kaka Mungu aendelee kukupigania.Ameeee
@joysempiluka9846
@joysempiluka9846 5 ай бұрын
Ahsante Mulokozi una jina zuri wazazi walikupa una hela nahekima na ufahamu pia unajua unalofanya Mungu aendelee kukutetea tunataman kuchta hekima yako
@bennamush4616
@bennamush4616 5 ай бұрын
Verry naice jamani angenisaidia hata milion moja jaman nifanyaje biashara na Mungu azidizi kumubariki zaidi na zaidi
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 5 ай бұрын
Mtafute anaweza kukutoa.
@vivianmahoo8611
@vivianmahoo8611 5 ай бұрын
Milioni moja moja kwa Watanzania 100 kuwasaidia nauhakika hashindwi, ila sio kila mtanzania akamlilie shida.
@primsmganda5056
@primsmganda5056 5 ай бұрын
31:19
@hollanddutch-day
@hollanddutch-day 5 ай бұрын
U the best Mallard huna mpinzani kwa kazi hizi🎉
@videralfred8889
@videralfred8889 3 ай бұрын
Safi sana kila mtu kapewa na mwenyezi mungu kwa kiasi Apendacho hongera kwa kuwekeza nyumbani TZ
@rehemayona2223
@rehemayona2223 5 ай бұрын
Aisee kuna watu wanaishii Bwana 🎉🎉
@gibbs1320
@gibbs1320 5 ай бұрын
Kwani wewe hauishi ?!
@vansclassic2131
@vansclassic2131 5 ай бұрын
Unyama ni mwingi sana brow we ni ptrao kaka! From 🇹🇿
@user-yj5sz9tl2b
@user-yj5sz9tl2b 5 ай бұрын
much respect mulokozi halafu anaonekana hana majigambo na ni bilionea tunashukuru sana kutuwakilisha kwenye nchi za watu wajue tz pia wanaweza vipi diamond yuko wapi na vicheni vyake ni machinga
@einotilarashi6178
@einotilarashi6178 2 ай бұрын
😂😂😂et machinga jmn
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 31 МЛН
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 122 МЛН
UWEKEZAJI KISIWA CHA BAWE
7:10
ZIPA TV
Рет қаралды 11 М.
KIMEUMANA: DOTTO MAGARI NA MZAZI MWENZA NUSU WAZICHAPE STUDIO
27:31
Wasafi Media
Рет қаралды 206 М.
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 31 МЛН