UTASHANGAA HAYA MADINI YANAPATIKANA TANGA, BILIONEA AMWAGA AJIRA NYINGINE, YEYE ANAISHI KWENYE HEMA.

  Рет қаралды 20,338

Millard Ayo

Millard Ayo

11 ай бұрын

Пікірлер: 36
@MauFundiElectronics
@MauFundiElectronics 11 ай бұрын
Mtangazaji upo vizuri sana KAZI mzuri sana mungu akubariki sana .
@abdulshakulahmed7903
@abdulshakulahmed7903 11 ай бұрын
Mungu akutangulie yeye ndiye anagawa ridhiki amina
@mussaluhwago8829
@mussaluhwago8829 11 ай бұрын
Kaka hakika mungu atakubariki katika hili unalofanya kuwezesha watu kupata ajira ,kuwezesha familia zao kupata chochote kulingana na uhaba wa ajira
@user-pw8ml6ts8r
@user-pw8ml6ts8r 9 күн бұрын
Mtua nyagu nikupa hongela sana ❤❤❤❤❤❤❤❤
@hamishalidy5696
@hamishalidy5696 11 ай бұрын
Watu wa mwakijembe tujuane hapa
@twalebleboss9687
@twalebleboss9687 11 ай бұрын
Maashaallah.... Siku zote akili kubwa na imani kwa MUUMBA...Huleta mafanikio kwa WANAOJITUMA NA KUJIELEWA....GOD BLESS YOU BRO....
@peninanicodemus2703
@peninanicodemus2703 11 ай бұрын
He is the best ever
@wolframmwalo2432
@wolframmwalo2432 11 ай бұрын
Naku admire mkuu kwa uwekezaji unaofanya mungu akulinde maana hadi kufika hapo changamoto unazopitia sio kidogo
@andrewemmanuel1861
@andrewemmanuel1861 11 ай бұрын
Kaziiii yangu pendwaa Sana'a nitaiishiii although nimesomea kitu kingine
@MauFundiElectronics
@MauFundiElectronics 11 ай бұрын
Kazi mzuri mtangazi
@nandyadam72
@nandyadam72 11 ай бұрын
Mwakijembee...wao kwaktuu babu
@moyogems
@moyogems 11 ай бұрын
Hongera mzawa zamani wanaomiliki vifaa ni wazungu watai umethubutu maisha ni safari ndefu jamani karibu morogoro vjjn uweke keze kwa babu tale njoo kwangu naitwa mh mary mkuyuni
@warren-zs6vv
@warren-zs6vv 11 ай бұрын
Hiyo Echo tent ni kama around 50 million + hongera mbunge
@daudikatanga6064
@daudikatanga6064 10 ай бұрын
Mungu akutie nguvu boss
@asiamerey9081
@asiamerey9081 11 ай бұрын
Haya umeshaajiri watu 70 mgodini namimi niajiri nyumbani kwako lakini hyo ajira ninayoitaka mimi Mh!!😂😂😂😂 Nikicheko
@amanimanase8798
@amanimanase8798 11 ай бұрын
Ajira gan waitaka kwake
@jamesmwenewanda5578
@jamesmwenewanda5578 11 ай бұрын
​@@amanimanase8798😂😂😂😂ndiyo mgosi muulize haswa ajira gani hiyo😊😊
@josephlorri431
@josephlorri431 11 ай бұрын
Dating...she's asking for
@raphaeljickson9476
@raphaeljickson9476 11 ай бұрын
❤❤❤
@InnohubGroup
@InnohubGroup 6 ай бұрын
Kama tungekuwa wazalendo, huyu angekuwa ametuzwa na kupewa motisha kama vile Forbes 400 na Bloomberg index wanavyofanya. Tatizo la media zetu zinazingatia sana kwa ngono na wasanii. Ningependa kuwahimiza wazingatie kwa maswala ya kujenga nchi kama haya na umaskini utakuwa jambo la sahau.
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 11 ай бұрын
Vijana mpunguze kujaza namba zawadada kwenye sm zenu anzeni kufanya kazi naku fanya ujasiliamali
@emmanuelfari8924
@emmanuelfari8924 11 ай бұрын
+MUNGU+ akutunze na UBARIKIWE ZAIDI brother YOHANA 14:14🙏
@yusufuzuberi9884
@yusufuzuberi9884 Ай бұрын
Naomba namba ya mkurugenzi fafadhali
@benancejohn1198
@benancejohn1198 11 ай бұрын
Hizo ajira tunapataje kaka 🤔
@salumjrsaidjr7150
@salumjrsaidjr7150 10 ай бұрын
Bungeni haonekani yupo bize na Mgodi Tz nchi ya Ahadi
@abdullayahya8717
@abdullayahya8717 11 ай бұрын
Kuna swali naona mtangazaji hujauliza kuhusu Mazingira eneo husika baada ya kuharibu kwa uchimbaji nini kitaendelea kuweka mazingira rafiki eneo liloharibiwa kwa baruti?
@timcee2670
@timcee2670 11 ай бұрын
hili ndilo ilibidi liwe swali kuu la kufungia interview
@manchumaiddi766
@manchumaiddi766 11 ай бұрын
Big deal big boss
@OLDSCHOOL-if7mi
@OLDSCHOOL-if7mi 11 ай бұрын
Asalam aleykum kka huku kizenge ukipata muda njoo tomalini ipo hayo madini yamechongoka kama pensel?
@christopherkiswaga9270
@christopherkiswaga9270 11 ай бұрын
I appreciate your efforts!
@rahelmmari3751
@rahelmmari3751 11 ай бұрын
Kazenge ipo sehemu gani?
@zolongOne
@zolongOne 4 ай бұрын
Kizenge ni mkoa gani?
@sennybrown8588
@sennybrown8588 11 ай бұрын
Sorry boss , Point of correction, its not mobilizations, The technical mining term is the Development stage
@JosephBWAGIZO-fs5ig
@JosephBWAGIZO-fs5ig 11 ай бұрын
MUNGU akubariki kiongoz tabu yako sio bure utavuna zaid na zaid
@JosephBWAGIZO-fs5ig
@JosephBWAGIZO-fs5ig 11 ай бұрын
Pia hongera sana Miladiayo kwa kazi nzuri MUNGU awabariki wote mzidi na kuzidi katika kila lililo jema
"MAASAI LAND" - Rubies from Longido, Tanzania
5:26
Field Gemology by Vincent Pardieu
Рет қаралды 137 М.
The child was abused by the clown#Short #Officer Rabbit #angel
00:55
兔子警官
Рет қаралды 25 МЛН
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 55 МЛН
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 54 МЛН
USICHUKULIE POA,  KILA JIWE NI MADINI UTAPISHANA NA MKWANJA...
12:15
Global TV Online
Рет қаралды 28 М.
The child was abused by the clown#Short #Officer Rabbit #angel
00:55
兔子警官
Рет қаралды 25 МЛН