Mtangazaji upo vizuri sana KAZI mzuri sana mungu akubariki sana .
@abdulshakulahmed790311 ай бұрын
Mungu akutangulie yeye ndiye anagawa ridhiki amina
@mussaluhwago882911 ай бұрын
Kaka hakika mungu atakubariki katika hili unalofanya kuwezesha watu kupata ajira ,kuwezesha familia zao kupata chochote kulingana na uhaba wa ajira
@user-pw8ml6ts8r9 күн бұрын
Mtua nyagu nikupa hongela sana ❤❤❤❤❤❤❤❤
@hamishalidy569611 ай бұрын
Watu wa mwakijembe tujuane hapa
@twalebleboss968711 ай бұрын
Maashaallah.... Siku zote akili kubwa na imani kwa MUUMBA...Huleta mafanikio kwa WANAOJITUMA NA KUJIELEWA....GOD BLESS YOU BRO....
@peninanicodemus270311 ай бұрын
He is the best ever
@wolframmwalo243211 ай бұрын
Naku admire mkuu kwa uwekezaji unaofanya mungu akulinde maana hadi kufika hapo changamoto unazopitia sio kidogo
@andrewemmanuel186111 ай бұрын
Kaziiii yangu pendwaa Sana'a nitaiishiii although nimesomea kitu kingine
@MauFundiElectronics11 ай бұрын
Kazi mzuri mtangazi
@nandyadam7211 ай бұрын
Mwakijembee...wao kwaktuu babu
@moyogems11 ай бұрын
Hongera mzawa zamani wanaomiliki vifaa ni wazungu watai umethubutu maisha ni safari ndefu jamani karibu morogoro vjjn uweke keze kwa babu tale njoo kwangu naitwa mh mary mkuyuni
@warren-zs6vv11 ай бұрын
Hiyo Echo tent ni kama around 50 million + hongera mbunge
@daudikatanga606410 ай бұрын
Mungu akutie nguvu boss
@asiamerey908111 ай бұрын
Haya umeshaajiri watu 70 mgodini namimi niajiri nyumbani kwako lakini hyo ajira ninayoitaka mimi Mh!!😂😂😂😂 Nikicheko
Kama tungekuwa wazalendo, huyu angekuwa ametuzwa na kupewa motisha kama vile Forbes 400 na Bloomberg index wanavyofanya. Tatizo la media zetu zinazingatia sana kwa ngono na wasanii. Ningependa kuwahimiza wazingatie kwa maswala ya kujenga nchi kama haya na umaskini utakuwa jambo la sahau.
@michaelsamson966311 ай бұрын
Vijana mpunguze kujaza namba zawadada kwenye sm zenu anzeni kufanya kazi naku fanya ujasiliamali
@emmanuelfari892411 ай бұрын
+MUNGU+ akutunze na UBARIKIWE ZAIDI brother YOHANA 14:14🙏
@yusufuzuberi9884Ай бұрын
Naomba namba ya mkurugenzi fafadhali
@benancejohn119811 ай бұрын
Hizo ajira tunapataje kaka 🤔
@salumjrsaidjr715010 ай бұрын
Bungeni haonekani yupo bize na Mgodi Tz nchi ya Ahadi
@abdullayahya871711 ай бұрын
Kuna swali naona mtangazaji hujauliza kuhusu Mazingira eneo husika baada ya kuharibu kwa uchimbaji nini kitaendelea kuweka mazingira rafiki eneo liloharibiwa kwa baruti?
@timcee267011 ай бұрын
hili ndilo ilibidi liwe swali kuu la kufungia interview
@manchumaiddi76611 ай бұрын
Big deal big boss
@OLDSCHOOL-if7mi11 ай бұрын
Asalam aleykum kka huku kizenge ukipata muda njoo tomalini ipo hayo madini yamechongoka kama pensel?
@christopherkiswaga927011 ай бұрын
I appreciate your efforts!
@rahelmmari375111 ай бұрын
Kazenge ipo sehemu gani?
@zolongOne4 ай бұрын
Kizenge ni mkoa gani?
@sennybrown858811 ай бұрын
Sorry boss , Point of correction, its not mobilizations, The technical mining term is the Development stage
@JosephBWAGIZO-fs5ig11 ай бұрын
MUNGU akubariki kiongoz tabu yako sio bure utavuna zaid na zaid
@JosephBWAGIZO-fs5ig11 ай бұрын
Pia hongera sana Miladiayo kwa kazi nzuri MUNGU awabariki wote mzidi na kuzidi katika kila lililo jema