Sisi vijana tuna degree zetu tunakaa kwenye vibaraza na magengeni kupiga soga na umbea ,Kisha neno linalo fuata maisha magumu ,mwenye PHD anauza pilipili.
@jessydaktari52094 жыл бұрын
Impressive 😊😊🤝🏽🤝🏽
@khadijakhadija62124 жыл бұрын
Daah hongera dda
@cosmatemba53312 жыл бұрын
Dah
@taliyebaraka6526 Жыл бұрын
Sasa shida ya Tanzania ni uhakika wa soko.mkiwa na uhakika watu wako tayali kulima.
@kassimali19434 жыл бұрын
Dada naomba namba yako nataka nianze biashara kama ikiwezekana unitumie ninacho kitaka ikiwemo kama nguo mikoba
@lilianluhasi50532 жыл бұрын
Tunaomba namba yako dada
@zainabshirima71874 жыл бұрын
Wa kwanza mie😅😅😅
@maryammaram26124 жыл бұрын
Mashallah unataka soda gan nikutumie 😀😀
@khadijakhadija62124 жыл бұрын
@@maryammaram2612 🤣🤣🤣🤣🤣🤣unanni lakin
@maryammaram26124 жыл бұрын
@@khadijakhadija6212 😂😂
@mgawerevocatus85823 жыл бұрын
Habari, Je ninaweza agiza chochote China kupitia nyie?
@sakinaomar23124 жыл бұрын
Naomba no yako dada please
@ayoubabdull12654 жыл бұрын
Alaf we dada mbona ujawazungumzia wale wadudu wanao uwa watu kulikon hapo ..kabla hatujakuj tujuze..