No video

MWANAFUNZI MTANZANIA ANAYELIPWA LAKI 2 KWA SIKU SOUTH AFRIKA,KAJENGA NYUMBA YA MILLION 40

  Рет қаралды 408,410

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Erick Laizer ni mwanafunzi mtanzania anayesoma chuo cha African Leadership Academy kilichopo South Africa na alipata nafasi hiyo baada yakugundua mtambo wakumsaidia mtu kujilinda na majanga mbalimbali ikiwemo moto,wizi na hitilafu za umeme ambapo aliibuka nakushika nafasi ya kwanza kwenye mashindano ya kisayansi Tanzania
Erick anasema kwenye chuo anachosoma cha African Leadership Academy analipwa zaidi ya laki mbili kwa siku kwa kutengeneza simu laptop ukiachia mbali fedha nyingine anazolipwa na wanafunzi kwa kuwatengenezea vifaa mbalimbali na amewajengea wazazi wake nyumba ya shilingi millioni 40

Пікірлер: 552
@rachelmlingwa8880
@rachelmlingwa8880 3 жыл бұрын
Hongera sana mtoto wa mwanamke mwenzangu namuomba Mungu namimi mtoto wangu awe mfano kama wewe
@marcondokeji8982
@marcondokeji8982 3 жыл бұрын
Mtangazaji uko vizuri unampatia kijana muda wa kutosha na kazi yako iko makini, hongera kijana Tanzania tunajivunia kuwa na wewe.
@godfreymillardayoripota3002
@godfreymillardayoripota3002 3 жыл бұрын
Shukrani sana ndugu yangu
@munaahmed8499
@munaahmed8499 3 жыл бұрын
Jmn mbona sie tusojua English tunakosa mazur uwiiii natamn kupata nafas huko na mie nijitafutoe maisha walah jmn naombe njia passport ninayo ila sasa English ndio mgongano otakuwaje na mm natak kujuja?
@onesmojustice2348
@onesmojustice2348 3 жыл бұрын
@@munaahmed8499 unavyomuona huyo ameenda kwa vigezo vya English?
@munaahmed8499
@munaahmed8499 3 жыл бұрын
@@onesmojustice2348 hilo si jibu kwa hiyo kam huwez nijibu vzr ni kher ujae mimya maan ukioita sitokufata nikakuuliza ok pls
@onesmojustice2348
@onesmojustice2348 3 жыл бұрын
@@munaahmed8499 sio ugomvi😀
@ndinagweandendekisye3722
@ndinagweandendekisye3722 3 жыл бұрын
Hongera mwanangu kwa kuwakumbuka wazazi, stay blessed son
@sadickmtoi2990
@sadickmtoi2990 3 жыл бұрын
Hi
@irenemagetamarwa4677
@irenemagetamarwa4677 3 жыл бұрын
Hongera brother
@danieldaniel5848
@danieldaniel5848 3 жыл бұрын
Habari ndugu zangu, ninawapenda sana naomba msapoti channel yangu ya neno Elimu TV kwa kubonueza alama nyekundu kama Utaipenda, ninankupenda sana❤
@editatairo9667
@editatairo9667 3 жыл бұрын
Utazidi kufanikiwa kwa sababu hukuwasahau wazazi. Mungu akubariki Genius
@ericksimon8323
@ericksimon8323 3 жыл бұрын
Amen nawapenda sana
@mwana4599
@mwana4599 3 жыл бұрын
Kabisa kabisa. Yaani kawafikiria wao kwanza.
@verifierempire
@verifierempire 3 жыл бұрын
@@ericksimon8323 niaje faza
@jrochuboy5802
@jrochuboy5802 3 жыл бұрын
Safi sana bro umenifurahisha sana kwa kuwakumbuka wazazi kwanza mungu akuongoze 🇹🇿🙏🏼🇹🇿❤️🙏🏼🙏🏼
@Jameskaguo
@Jameskaguo 3 жыл бұрын
in Life, a Mentor is very important variable
@gracemima5234
@gracemima5234 3 жыл бұрын
Angalia sana hayo makampuni makubwa yasikupe mikataba mibovu ukapoteza haki kwenye vitu unavyovitengeneza ama unavyovigunduwa.
@manjaugodwin7834
@manjaugodwin7834 3 жыл бұрын
Umefanya mazur kwa wazazi Mungu atakulipa safi sana kijana angekuwa mwingine yeye na maden viwanja starehe lkn kwako Mungu akupe haja ya moyo wako.
@annachales9623
@annachales9623 3 жыл бұрын
Mungu alikupa ubongo mdogo wangu hongera sana
@hassanhamudy6639
@hassanhamudy6639 3 жыл бұрын
So excited hearing all dat mamen from Smith compas USA river...... Fighting poverty through education!!!!!!
@ismailyusuph740
@ismailyusuph740 3 жыл бұрын
Yaani umenifurahisha uliposema umejenga Kwa Mil 40...wangekua jamaa zetu wangesema Mil 700...keep it up..!
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 3 жыл бұрын
kweli
@sophiekivuyo6028
@sophiekivuyo6028 3 жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄😄 wale bongo mavi
@hildaheart8830
@hildaheart8830 3 жыл бұрын
Yani true
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 жыл бұрын
@@sophiekivuyo6028 Ndio Hawo Hawo Na Wakiongea Lazima Waingize Kizungu Matope.
@geturdablatch9706
@geturdablatch9706 3 жыл бұрын
Mie nilijengewa kajumba kadogo ka vyumba viwili kwa zaidi ya 70m. Hakika a mungu amujalie zaidi
@geturdablatch9706
@geturdablatch9706 3 жыл бұрын
Yaani mie ndio maana napenda hii Ayo jamani. Mtangazaji anampa muda mtu anaeleza kila jambo hamkatishi. Na wanatuletea vitu vya maana. Hongera sana Laizer nitatafuta hiyo kidude
@fatumagodfey8838
@fatumagodfey8838 3 жыл бұрын
Huyu mtangazaj noma sana anaibua habar Kali sana Milady nyie Ni namba moja dunian
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Ahaa kwa siku ni nyingi nilijuwa kwa mwezi
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Kaizer Jina La bilionea
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Ndio wana habar mzur
@najma3268
@najma3268 3 жыл бұрын
Hongera sana ,20 years umefanya makubwa hivyo ,Allah aendelee kukupa maarifa inshaallah
@utaani1
@utaani1 3 жыл бұрын
Naomba namba yako tafadhali
@justinkalika589
@justinkalika589 3 жыл бұрын
Bro Umeongea maneno machache Yenye Tija na Yenye kufundisha . Kuna watu wanataman kufanya unachoFanya hivyo usikate tamaa utawaangusha keep on fighting in case ya William its Good he is A friend with benefit keep on Man
@ericksimon8323
@ericksimon8323 3 жыл бұрын
Thanks kaka
@arnoldrwekaza2265
@arnoldrwekaza2265 3 жыл бұрын
Serikali fanya chap, chukua kijana uyo jenga kiwanda cha kutengeneza iyo mitambo.... Uchumi wa kati
@f.a6043
@f.a6043 3 жыл бұрын
Dogo you are among of the BRIGHT SHINNING START SCIENTISTS of TZ if not Africa or in the world
@animusstudio3302
@animusstudio3302 3 жыл бұрын
Venyee unamuita dogo as if umejenga nyumba ya milion 40😆😆
@f.a6043
@f.a6043 3 жыл бұрын
@@animusstudio3302 wewe venyee ndio mdudu gani maana hata kiswahili hujui ubamebaki tu venyee 😆 huna hata ndururu 😅 Dogo yuko vizuri Tena ww ni mkenya njoo huku TZ usifikiri tunashida kama nyinyi njoo uone watu wanamiliki mashamba siwe umebaki kusema venyee Njooo TZ tukufundishe
@spsaguti8461
@spsaguti8461 3 жыл бұрын
Hongera sana kijana hiyo nineema uliyonayo,Allah akuepushe na macho ya husda ,umefanya ihsani nzur kwa wazazi wako hongera sana kijana.
@VictoriaCharlesMwanziva
@VictoriaCharlesMwanziva 3 жыл бұрын
Brilliant, M/Mungu aendelee kumsimamia katika hatua zake; Tunajivunia yeye 🇹🇿
@michaelmauki6690
@michaelmauki6690 3 жыл бұрын
Hongera sana kijana. Mungu akujalie umri mrefu uweze kuwagusa vijana wengi na kuipaisha bendera ya Tanzania
@catherinekasoyaga9523
@catherinekasoyaga9523 3 жыл бұрын
Powerful & Inspiring! Kila kitu kinawezekan, ni kujiamini, kuthubutu na kupambana. Hongera sana na Mungu azidi kukuongoza. The fact that umekumbuka wazazi, utaendelea kubarikiwa sana!
@frankgikaro5159
@frankgikaro5159 3 жыл бұрын
Ukiwaheshimu wazazi unakuwa na siku nyingi za kuishi nami ni imani yangu ya kwamba hakika utajenga hiyo nyumba ya ndoto yako kwani tayari umejipatia siku za kukufanya utimize ndoto pale ulipoamua kuwapa wazazi wako ile faida ya awali. Sasa hv wanajivunia zile gharama walizotumia miaka yote jinsi zimerudi kwa pamoja kama vile mvua za ukame mrefu zikinyesha kwa mafuriko. Ahsante Mungu kwa ajili ya huyu kijana, nakuomba uendelee kumtunza na kumpa kibali na maarifa zaidi.
@HamiduChamboko
@HamiduChamboko 3 жыл бұрын
Masai ni bright hatariii. @respect mdogo wangu. Mtaani Kuna PHD azijagundua hata kirahinishi
@KA-yz2ld
@KA-yz2ld 3 жыл бұрын
Well done to the young man, M/Mungu azidi kukuongoza.
@sakinakaikai3511
@sakinakaikai3511 3 жыл бұрын
Hongera sana dogo, Mwenyezi Mungu akujaalie umri mrefu ili uweze kusaidia jamii ya kwetu n ulimwenguni, Mungu akulinde na hasada za sina yoyote, endeleakuwa mzalendo wa nyumbani Tanzania
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 3 жыл бұрын
Aisee huyu dogo ame onesha ile wanasema "FROM ZERO TO HERO"
@sulemohd4812
@sulemohd4812 3 жыл бұрын
Jicho lahasad lisimpate huyu kijana yarabbi
@gaby06099
@gaby06099 3 жыл бұрын
Vijana wa Tz, haya ndio Mambo ya kuiga., Lkn sio lazima ni maamuzi binafsi. Wasanii wanadanganya sana mkiendelea kuwaiga hamna mtakacho pata. Mungu ambariki kila kijana mwene mlengo na matumaini ya kujituma Kwa kadri ya uwezo wake.
@vero57
@vero57 3 жыл бұрын
Wangekua watu wengine wangekua wanastarehe na wanawake kwa wingi tuu, HONGERA SANA kijana
@trophainamagogwa9991
@trophainamagogwa9991 3 жыл бұрын
Ndo mawazo ya wanaume wakipata pesa
@abdujr_tiktrends
@abdujr_tiktrends 3 жыл бұрын
Masha allah, Mungu akusimamie brother.
@charlesmugisha6529
@charlesmugisha6529 Жыл бұрын
Hongera Sana kijana kweli wazazi umewapa heshima🙏🙏 na baraka utazidi kuzivuna ktk maisha yako yote.
@Donrugi
@Donrugi 3 жыл бұрын
Be blessed bro, Tanzania is so proud of you boy 🙌🏽🙏🏽💪🏽
@dapinitiative2451
@dapinitiative2451 3 жыл бұрын
Millard Ayo uko Vizuri aiseee! Alafu huyu mtangazaji ni namba 1 because he is creative!! Kuna na yule jamaa anayetumiaga gharama kibao kwenda China... Yuko vizuri Sana aiseee, ni mpole na anauliza maswali ya mantiki kinomanoma!
@IVAVOX
@IVAVOX 3 жыл бұрын
umetisha safi sana Mungu awe nawe daima
@tabumpate9762
@tabumpate9762 3 жыл бұрын
Mashallah.M/MUNGU akuzidishie kila jema kwa wakati katika maisha yako
@mjunimwombeki6664
@mjunimwombeki6664 3 жыл бұрын
We can do better all Big up bro!
@allymanyika3502
@allymanyika3502 3 жыл бұрын
Mwenyeenzi mungu akujaalie nawe uwe bilionea kama wenzako akina Laizer
@LoferOnline
@LoferOnline 3 жыл бұрын
Babumtakeover the real king of interviews 254 wadau wapi likes za 254 1k the first person to comment
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 3 жыл бұрын
Nimesikia kajina #Laizer... Billionaire Laizer, mtengenezaji wa beats nguli kabisa wa wasafi Laizer, huyu naye mwanasayansi mahiri kabisa Laizer, hata Magufuli huenda ukifuatilia majina yote utakuta kuna Laizer
@tatumugeta7946
@tatumugeta7946 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@aboually3156
@aboually3156 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@esterjimmy7573
@esterjimmy7573 3 жыл бұрын
😁😁😁
@hildayusto2086
@hildayusto2086 3 жыл бұрын
Hahaaa
@pili3750
@pili3750 3 жыл бұрын
Mwanangu nitamuita laizer😂😂😂
@saidalhinai1131
@saidalhinai1131 3 жыл бұрын
Hongera sana kijana kuwa makini usioneshe kipaji chako nje ya nchi hususan Afrika ya kusini wazungu wanawivu sana hawataki kuona waafrika wanakipaji kama Iran wszungu wanawauwa wa Iran wataalam wa nyuklia
@justinebaada9079
@justinebaada9079 3 жыл бұрын
Big up sana asee nimependa kuona kwamba hata sisi watanzania tunaweza kufanya vitu vikubwa san
@owdenisaga4361
@owdenisaga4361 3 жыл бұрын
Hongera ziende kwake.... Tuendelee kuona that tatizo sio raia wa Tanzania but ni system....Police watapata taarifa within 5seconds ila mda ambao wao watatumia kufika eneo la tukio ndo hatari....
@kanyewest1850
@kanyewest1850 3 жыл бұрын
Hongera sanaa kijanaa 🔥🔥
@nestorylawrencemsoffe6539
@nestorylawrencemsoffe6539 3 жыл бұрын
Hongera sana mwanafunzi wangu! Moyo wangu umelipuka kwa shangwe.
@moshimgaza5642
@moshimgaza5642 3 жыл бұрын
Ongera sana,m.mungu akujaalie na kazi yko.m.mungu akuzidishie zaidi ya hapo.mungu awajalie wazazi wako.kukulea vizuri
@marympango9247
@marympango9247 3 жыл бұрын
Hongera sana mdogoangu.....daaah.....mungu akulinde sana...jmn.....!
@beatricesaru1624
@beatricesaru1624 3 жыл бұрын
Wow, go boy go, the sky is the limit. Hongera kwa kuwakumbuka wazazi.
@franklyimony7497
@franklyimony7497 3 жыл бұрын
Pamoja.African boy.Africa will reach where we want to be."Pongezi sana Young African Scientist "
@josephinekicheleri860
@josephinekicheleri860 3 жыл бұрын
Kijana MUNGU akubariki sanaa...HAYA SASA KILA MTANZANIA AKIENDELEA HUWA WANAMWAMBIA FREEMOSORY ..kwa kweli tuache ujinga huu WATANZANIA WANAUWEZO MKUBWA SAN NA KAMA WANAPATA FURSA WANAKUWA MABILIONEAA..nchi yetu watu wetu tunaakili sana sana na nchi yetu ni tajili sana ila TUMEJIKANDAMIZA WENYEWE.MUNGU IBALIKI TANZANIA NA WATU WOTE
@pendopeter1790
@pendopeter1790 3 жыл бұрын
Mungu wewe ni Mkuu na sifa zako ni za juu....Hongera sana mdogo angu kwa hekima Mungu akuongezee zaidi na hakika utabarikiwa.
@prosperlupenza6359
@prosperlupenza6359 3 жыл бұрын
This boy is so organized than my life
@saidmatikti2783
@saidmatikti2783 3 жыл бұрын
Nmependa Sana huyu kijana alivyowafanyia wazazi wake, m. Mungu atujaalie kizazi Chenye manufaaa kwetu na Jamii kwa ujumla
@ezramabala5810
@ezramabala5810 3 жыл бұрын
Daaah tunaosubiri ajira tuspite bila kulike
@julihanjosephyjs6361
@julihanjosephyjs6361 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@julihanjosephyjs6361
@julihanjosephyjs6361 3 жыл бұрын
Yaani we acha tu mtu awezikujiongeza wanasubiri ajira vijana wengine wavivu.
@hidayaisimairy1553
@hidayaisimairy1553 3 жыл бұрын
Big up broo,Tanzania kuna vipaji vingi xana, sijui nini kinatukumbaga TZ but one day yes
@mcdanford5389
@mcdanford5389 3 жыл бұрын
Nimependa jamaa kwanza kakaa kijanja sana , smart kajenga mwili na kichwa sana sasa kuna watu mtu akinyoa tu hivyo utasikia akili hana style za kihuni 🤣🤣 kumbe akili ni kujitambua tu nani tofauti kabisa na Muonekano .....pia kampiga jeki Rafiki yake ...na ndo ushikaji wa maana huo sio unatoka unaanza kujikuta mwamba sana unasahau wana.
@abdujr_tiktrends
@abdujr_tiktrends 3 жыл бұрын
Big Up Brother🥰🥰❤❤💯💯
@Waytozanzibar
@Waytozanzibar 3 жыл бұрын
Kuwa makini huko South Africa, siipendi Sana hio nchi. Wana maugomvi sn.
@muniraahmed624
@muniraahmed624 3 жыл бұрын
Kichwa sana huyu mtu😙😙😙😍
@aliyomar2222
@aliyomar2222 3 жыл бұрын
Habari za siku munira
@julianajohn1392
@julianajohn1392 3 жыл бұрын
Congratulations my billionaire keep going I know u can do it and one day u will b in billboards
@ericksimon8323
@ericksimon8323 3 жыл бұрын
Thanks mama love
@imanilaizer9994
@imanilaizer9994 3 жыл бұрын
Wow nice sana laizer fanya kazi nchini kwako mwya usiibiwe na wajanja ika nice sana big up ginious wetu wa kimasae
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 жыл бұрын
Hongera wengn wangekula bata tuu
@ellinjaryamande5325
@ellinjaryamande5325 3 жыл бұрын
Hongera sana kijana,Mungu aendelee kukutunza!
@nrwawanndeny7394
@nrwawanndeny7394 3 жыл бұрын
Looh! Kumbe Afrika tuna vichwa ila tu wazungu wanakuja kutumaliza kwa chanjo ya korona
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 жыл бұрын
😂😂😂
@junioryasin5306
@junioryasin5306 3 жыл бұрын
Ndo hvo
@amanibwire4423
@amanibwire4423 3 жыл бұрын
Huyu angekuwa ulaya angekuwa zaid ya hapo mifumo yetu ya elimu ndo shida wala wazungu hawausiki
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 жыл бұрын
Mbavu zangu mm 😆😆😆
@osamashakeeb7194
@osamashakeeb7194 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@greenbirdschools1222
@greenbirdschools1222 3 жыл бұрын
Brilliant
@raytorrosy4402
@raytorrosy4402 3 жыл бұрын
Hongera Sana dogo na uckate tamaa kamwe
@osamashakeeb7194
@osamashakeeb7194 3 жыл бұрын
Masha Allah ❤❤❤ kazi nzuri sana 💪
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 3 жыл бұрын
Hiyo nyumba umesema umejenga kwa mil 40 ila wangekuwa jamaa wanaojiita Mastaa wa Bongo wangesema mil 300
@janetndeanasiambene3975
@janetndeanasiambene3975 3 жыл бұрын
Usimsahau Mungu aliyekuwezesha hayo maono! Uzidi kubarikiwa. Wasaidie vijana wenzio wanaoshinda vijiweni kulalamika na kumlaumu kila mtu!
@nyambirotrueinformation7500
@nyambirotrueinformation7500 3 жыл бұрын
Nakuona mtangazaji umemsalut Dogo Hongera Young boy
@julysusa5998
@julysusa5998 3 жыл бұрын
Hongera sana Simon, Mungu ni Mwema. I'm happy for all that.
@RobbyDejan1234
@RobbyDejan1234 3 жыл бұрын
Congrats brother....🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 one.
@naimamuturi3475
@naimamuturi3475 3 жыл бұрын
MashaAllah, big up bro!!! Hongera sana we need young people like u to change our society.,am so excited to see that keeo it up. May Allah bless u
@dannysondannyson3372
@dannysondannyson3372 3 жыл бұрын
Hongera man
@jklymollel5992
@jklymollel5992 3 жыл бұрын
Hongera sana ....Mungu akupe haja ya moyo wako
@graphixtanzania
@graphixtanzania 3 жыл бұрын
Kwanini hamjataja shule ya ST JUDE iliyomsomesha Bure kuanzia darasa la kwanza mpaka form four? Bila ST JUDE asingefika hapa alipo Leo.
@likimaro6
@likimaro6 3 жыл бұрын
Mbona kataja?
@user-is5pr5wf6c
@user-is5pr5wf6c 3 ай бұрын
Ko ww unatenda wemaili usifiwe
@aiyaavibes7610
@aiyaavibes7610 3 жыл бұрын
Am inspired...Keep it up
@farajhassan1775
@farajhassan1775 3 жыл бұрын
Hongera sana kwa ujuzi ulionao bro 💕👏👏👏🙏
@dafrosamsonge2007
@dafrosamsonge2007 3 жыл бұрын
hivi Hawa kina laizer kila kitu wako blessed maama ukoo hahaha😀
@catherinejohn2067
@catherinejohn2067 3 жыл бұрын
Hahaha tubadili majina
@mohamedaden5881
@mohamedaden5881 3 жыл бұрын
Mi mwenyewe mke wangu akijifungua mtoto tamwita laizer
@benykidole2441
@benykidole2441 3 жыл бұрын
me nimeamua kuoa kwa kina laizer kabisa..sitaki upumbavu
@sabrinasabrina3974
@sabrinasabrina3974 3 жыл бұрын
@@mohamedaden5881 😂😂😂😂😂😂
@sabrinasabrina3974
@sabrinasabrina3974 3 жыл бұрын
@@mohamedaden5881 😂😂😂😂😂😂
@chrisshonga
@chrisshonga 3 жыл бұрын
MUNGU azidi kukuangazia mwanga katika Njia zako zote! Siri ya ushindi kimaisha ni kujishusha kadiri MUNGU alikokutoa na jinsi alivyokuinua bila kujali umefika umbali wa kiasi gani jambo ambalo ndilo ninaloliona katika maisha yako! Ubarikiwe Sana na uzidi kujitoa Kwa Taifa lako ambalo linaweza kung'ara duniani kupitia maisha yako! Heri ya tumbo lililokuzaa
@jewajua589
@jewajua589 3 жыл бұрын
Shule ya St Jude Arusha ndio imemtoa huyu dogo, hizi zingine zote mbwembwe tu.
@mussashamis2793
@mussashamis2793 3 жыл бұрын
inaweza kuwa chanzo lakini Young Scientist.. ndio imemfungulia Milango
@salhamrisho8138
@salhamrisho8138 3 жыл бұрын
Mashallah nimependa saana
@hildaamsi8737
@hildaamsi8737 3 жыл бұрын
Waheshimu baba na mama upate miaka mingi na.heri duniani mengine utaongezewa
@aminaabdallah7702
@aminaabdallah7702 3 жыл бұрын
Chukuwa hadhara sana kwasababu mabeberu hawapendi kuona mtu mweusi kufanyikiwa hongera mtoto ubarikiwe
@liliangabriel3953
@liliangabriel3953 3 жыл бұрын
May God be with yuh on all step dat yuh a stepping.
@irenemaacha1016
@irenemaacha1016 3 жыл бұрын
Our very own ! Big up Erick !
@chantalmulasi5663
@chantalmulasi5663 3 жыл бұрын
Mbona nyumba nzuri sana ila pesa ndogo? 40M tu?? Una Bonge la nyumba?? Hongera sana kijana
@frankakuno.9511
@frankakuno.9511 3 жыл бұрын
Wangekuwa wasanii wangesema million 200
@chantalmulasi5663
@chantalmulasi5663 3 жыл бұрын
@@frankakuno.9511 sasa wasanii wana kwama wapi mpaka wakaee kwenye nyumba zaku panga? Kwani iyo 40m hawana kabisa wakina Hamissa mobeto wakina Giggy??🤣🤣🤣🤣🤣
@samwelbeatz
@samwelbeatz 3 жыл бұрын
Hongera sana producer, keep it up!!!
@peacekatembo6944
@peacekatembo6944 3 жыл бұрын
Hili jina la laizer bhana!....mbona kama wana ndumba flan iv
@fatmaomar812
@fatmaomar812 3 жыл бұрын
namie naona🤣🤣
@carolinemahatane4431
@carolinemahatane4431 3 жыл бұрын
Jina la mafanikio
@jamilasaid1764
@jamilasaid1764 3 жыл бұрын
Very nice
@marymfugwa847
@marymfugwa847 3 жыл бұрын
Viongozi wengi huwa wanatoa ahadi kuwafurahisha wageni waalikwa utekekezaji F
@deboramudogo9934
@deboramudogo9934 3 жыл бұрын
Hongera sana mwenyezi mungu azidi kukuneemesha na kukuongezea ufahamu wa kujua mambo makubwa zaidi
@Richbtz
@Richbtz 3 жыл бұрын
Mafanikio siku zote ni kujitoa na kujua wewe unataka kuwa nani Naamini Dogo katambua anataka kuwa nani ndio maana leo kapiga hatua sna tena sna..Hakuangalia familia aliyotoka bali aliangalia Ndoto yake ni kuwa nani Big Up sna Congratulations sna 🤝🤝🤝🤝🙏
@josephathmeijo8490
@josephathmeijo8490 3 жыл бұрын
Najivunia kuitwa Laizer hahaha baada ya yule wa Tanzanite mwingine ndo huyu big sana brother.
@unambwenaiman5355
@unambwenaiman5355 3 жыл бұрын
Wewe si unaitwa Meijo?😂😂😂😂
@khadijagundumu6210
@khadijagundumu6210 3 жыл бұрын
@@unambwenaiman5355 🤣😂😂😂😂😂😂🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤣🤣🤣
@shadowmedia7644
@shadowmedia7644 3 жыл бұрын
Sana nakubaliiii appreciate for what you do congratulation Sana
@saraenock7600
@saraenock7600 3 жыл бұрын
Daaah hongera kwakutumia ujuzi wako kwa manufaa ya wengine!! Sio kungojea kuajiriwa ila kujiongeza.
@josephinelaurent7972
@josephinelaurent7972 3 жыл бұрын
safi sana kwa ufupi waafrica tupo vizuri sema tuu wazungu wanatubania itabidi tupambane tuu na level zetu
@diegomontenego5158
@diegomontenego5158 2 жыл бұрын
Kwamazuri umefanya sikatai mdogowangu. Ila kale kadenikakangu nilipe bwana siunajua nilikufanyia kazi Erki. Japo uliamua kulipakidogo kidogo fanya mpango tumalizeee dogo langu au unataka zilekelele za mlinzi wa Nnkya ulipokuwa kwa zile Apatiment.
@jamesgodfrey4683
@jamesgodfrey4683 3 жыл бұрын
Safi Sana Kijana Mwenzetu kwa Akili yako ya kuwaza Mbali
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 3 жыл бұрын
Salaam za pongezi kwako.
@rubensaitoti6839
@rubensaitoti6839 3 жыл бұрын
Hongera San mungu akulinde
@geroldmwinuka6411
@geroldmwinuka6411 3 жыл бұрын
Mungu ni mwema atakutimizia ndoto zake.....
@happyyesaya7163
@happyyesaya7163 3 жыл бұрын
Hongera kijana ongeza bidii
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 жыл бұрын
Kwa kweli Mungu azd kutuinua watz na Afrika kwa ujumla
@elieshijacob7033
@elieshijacob7033 3 жыл бұрын
Laiza laiza laiza ,,, Mara tanzanite,,Mara mitambo,,,,,dahhh kweli,,,laiza kwadeny taa duo engaji ,,endautu na sardaka
@jenifamtima9325
@jenifamtima9325 3 жыл бұрын
Ila umefanàna na wachina, .....hongera cn ufike mbali zaidi
@mufidabdallajuma8247
@mufidabdallajuma8247 3 жыл бұрын
Mashallah mungu akuwezeshe zaidi
@frankgikaro5159
@frankgikaro5159 3 жыл бұрын
Mmmh, huko ni wap tena uelekeako,,,??
@agathaseraphine1895
@agathaseraphine1895 3 жыл бұрын
Jmn tupende watoto wetu sanaaa watatufaa sana
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 43 МЛН
🩷🩵VS👿
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 21 МЛН
Meet the one boy from the Ronaldo edit in India
00:30
Younes Zarou
Рет қаралды 16 МЛН
Logo Matching Challenge with Alfredo Larin Family! 👍
00:36
BigSchool
Рет қаралды 21 МЛН
Dakika 30 za Mtanzania Hallen aliyetajwa FORBES kuwa Bilionea ajae
32:50
WANAUME NI VIUMBE VYA AJABU SANA AKISHAOA ANAKUWA MLEMAVU  "MCH MGOGO
17:20
Pastor Daniel Mgogo
Рет қаралды 1,1 МЛН
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 43 МЛН