mkuu wa mkoa nakukubali sana upo vizuri baba, piga kazi
@aminaomary55672 жыл бұрын
Ongera sana Rc mungu akujalie sana.
@Hustlerfrr5 жыл бұрын
Beautiful mama don't cry ❤️❤️❤️
@epifaniamponda44915 жыл бұрын
Wanawake mungu atusaidie mbona tunapitia magum et
@ashazaharan17505 жыл бұрын
Jaman mwenye bahat habatishi jaman kapata mke masha Allah hodari. Tulia kaka yangu kubar kubarilika hao wanao kuzuzua wanakuharibia kwa mkeo
@amour55355 жыл бұрын
Hakika
@mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 Abiola Jamani, Sura Katili Kweli,Pole Mama Vumila Ki Mpango.Asije Kutoa roho kisa Wavumilia.
@mwajumakweli79314 жыл бұрын
Mkewe nnzuri sana masha Allah
@ibnahmad6075 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 Abiola ana sura ya kazi.
@gillbertmapesa15594 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@herimallya33854 жыл бұрын
😀😀
@hashemsaef15164 жыл бұрын
😂😂😂😂
@samwelrobeth77633 жыл бұрын
😀😀😀😀
@aminahhuawei11332 жыл бұрын
Huyu mama nimpole sanaa mungu atakusimamiaa hongera sana mkuu wa mkowa happy mungu akubariki
@musatbobius54725 жыл бұрын
Mcheki abiola ,yupo vizuri sana
@asteriambwei955 жыл бұрын
Yaani nafurahishwaga na maneno ya ali happy sana ana busara na hekima sana kazi nzuri kwa kweli hawa ndo watu tunaowahitaji tanzania
@suleimankombo87604 жыл бұрын
Mkuu wa mkowa muungu akujaalie kazinjem maan upo makin na kazi zako
@Mamatonny20655 жыл бұрын
Akapimwe Akili huyo Baba.. Huyo mama ajihadhari naye!. Hongera Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Iringa Kwa kumsikiliza huyo Mama..
@asteriambwei955 жыл бұрын
Sepa achana na abiola chapa kazi upate hela sura ya abiola inatisha tuu yaani ningekuwa mimi ningemkimbia mtu ana watt 7 kila mtm ana mama yake sasa wa nini?
@@jasmineshechambo3401 😂😂😂😂😂😂😂😂. Huko c mnasifika kwa limbwata? Au cku hizi hakuna limbwata.
@furahamwikombo46704 жыл бұрын
Mkuu uko vzuri saaana. Penye mazuri lazima tukusifie....
@marmon10765 жыл бұрын
Kwel we mama ni shujaa,, hongera nyingi zije kwako kwa ushujaa huo!! kwel kinamama tunapitia mambo magumu na ya kikatil but tusichoke tujipe moyo tutashinda!!! big up kwa akinamama wooooooote kwan nimashujaa!!!!!
@robertjunior99165 жыл бұрын
Wasamawaat wamaafil ardh ( mbona hawa watu wapo tofauti sana kama mbingu na aridhi ) pole mama ila huku ulipotea njia
@isayakilangi58885 жыл бұрын
Nampenda Sana mkuu wangu wa mkoa unafanya kazi ya bwana
@judithaporinal4525 жыл бұрын
Kwanza achukuliwe atua kumtishia mtu asa mke wake
@Boaz224 жыл бұрын
Gonga like kwaajili ya Abiolaaaa😂😂😂😂😂
@wilsonmoses27614 жыл бұрын
Hapi nimekupenda bure kaka yangu unahekima sana kweli wewe nikiongozi wa watu
@salehmdemu57225 жыл бұрын
Nakupenda sana Mh Hapi
@subiramohd8855 жыл бұрын
huyu mama kweli anampenda huyu Mume ingekuwa mimi zaman ningesepa.janaume lenyewe sura bovuuu
@mariamsaid10935 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@samonlinetv61065 жыл бұрын
Subira nitakuchapa wewe
@naamohamed99645 жыл бұрын
😃😃😃😃
@sigorijoseph49775 жыл бұрын
Subira Mohd haaa haaa umenichekesha
@gloriousn64255 жыл бұрын
Abiola ana sura ya kazi kazi yenyewe KUZALISHA we mtu watoto 7 kila mtu na mamake😢😢😢😢 Ila dah wanawake tunapitia mengi 🙏🙏🙏
@samueljr91055 жыл бұрын
Waaah
@silviakihaka97955 жыл бұрын
kwakweli hiki kilio cha wengi maisha yako kama yangu lkn hivi kunawakat inabidi serikali itutazame wanawake tunasababishiwa maisha magumu lkn namshaur huyu mama mungu antulipa hapahap dunian
@mcrootsav77124 жыл бұрын
Ila watu wairinga nyie ni noumaaa...duu.mshukuruni mungu kwa kumlata Mh.Ally Hapi
@mosesnyamhanga4492 жыл бұрын
Ila samia hujafanya poa kumtoa huyu mwamba kazini yupo vizuri mno! Mpe kazi huyu ally hapi !
@robertjunior99165 жыл бұрын
Watoto saba wanawake tofauti ,hongera kwa kuijaza Dunia
@elizabwakila25482 жыл бұрын
Abiola mwenyewe Sasa sura kichwa Kama konzi. Atakuwa anawapata kwa madawa ya kienyeji.
@suzanmgaya43235 жыл бұрын
Mungu akubariki mku
@msusachalamanda72185 жыл бұрын
Apo ndio ninapo mmiss mzee wangu agrey mwanry
@andrewmongi73955 жыл бұрын
abiola nampata huyo jamaa wa ilula Iringa mtata Leo mbele ya mkuu wa mkoa kanywea balaa.
@musatbobius54725 жыл бұрын
Vituko vyote Abiola breki kwa mkuu wa mkoa yy c kidume?sukuma ndani huyo 😄😃😃😃 Abiola umeskia?
@anniemtambo55495 жыл бұрын
Haswa mkuu wa mkoa mwambie huyo👍
@tinagorges37415 жыл бұрын
Bidada uwe macho nahuyo bwana maana mmhhh polesana
@alexlingwendu67805 жыл бұрын
Hakika nikirudi Iringa.Nitakuletea zawadi mkuu wa mkoa wetu wa Iringa.
@mwaamwetahussain99475 жыл бұрын
Afungwe uyu maana anazaa.kama kiwanda
@jemawiston35215 жыл бұрын
hongera mkuu wa mkoa piah kaka angu wa Nzega tabora
@abdalahkumbota10122 жыл бұрын
Huyu anafaa kuwa kiongozi mungu ambaliki
@priscamwamlima5055 жыл бұрын
Abiola njoo kwangu 😀😀😀😀😀😀😀
@juliennenzeyimana32742 жыл бұрын
Nakupendaka sana Happy.mimi ni Murundi
@neemamoshi19084 жыл бұрын
Yan mkuu wa mkoa kaz yako unaitendea hak nataman miaka ijayo uwe Rais 😙
@musatbobius54725 жыл бұрын
Napenda tu vituko vya Abiola ,yaan mkuu jembe yaan
@majudadykid52814 жыл бұрын
Alie Muona Abiola Anavyoangalia Watu jicho la Kigaidi
@dr.sarahbusongo5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 Abiolaaa oyeee
@winfridagama20424 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa poawa
@paulrundi85815 жыл бұрын
Bona la Ngombe nakumbuka sana Iringa...kamwene ...😄
@mcrootsav77124 жыл бұрын
Ukweli Nimekuvulia kofia....na sina chakukoments kwako...nimefikia mwisho...hongera mmno Mh..kumbe hadi ndoa za wananchi wazishuluhisha kwa wekedi hivyooo...ila naomba wakati mwingine..ukiwa kwenye utatuzi kma huo huyo mpendwa kiongozi (m mama) hapo pembeni yako usiandamane nae...maana wewe unaongea point yeye anacheka tuu...dah.sijafurahishwa naye jamni.
@tulinavemgeni35232 жыл бұрын
Ukipendwa ringa Ila usimringie anaekupenda. Sasa huyu abiola anamringia anaempenda
@sabihaibrahim1432 жыл бұрын
Hahahaaaa mama Mpe talaka kumbe mke anatoa talaka ningeandika hata kumi Kwa abiola
@radhiyaoman25435 жыл бұрын
Abiola mbona anajibu kama ana lake moyoni mh.kuweni makini na abiola
@cpasalma15324 жыл бұрын
Nimecheka
@fatumakeche60273 жыл бұрын
😂😂😂😂
@jacklinejosephat59885 жыл бұрын
Haya bana Abiola, sawa
@wisperfect38605 жыл бұрын
Uko wp
@yusufukazamba23915 жыл бұрын
Mhe Mkuu wa mkoa Hapi nakukubali sana tena nakupenda mno; nadhani ana chembechembe za wokovu;
@rosemarymashauri86285 жыл бұрын
Yaani nipo dar lkn clip za RC hapi hazinichoshi kuangalia
Kama umemwona mwenyekiti wa ccm kilolo ndugu kiliani myenze gonga like
@how98332 жыл бұрын
Mama beauty Abiola Mwenyewe sasa sijui ni fundi wa matanuru ya kuchoka mkaa Sijui hahahaha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@philipomofuga35115 жыл бұрын
Duh jamaa sio poa. Huwez kushinda na mwanamke mwanamke anafanya kosa akiwa na jibu tofaut na mwanaume ndio maana kes nyingi za mwanaume na mwanamke hawawez kushindana.Mungu tu asaidie ndoa zidumu.
@carinamatt10312 жыл бұрын
DC wangu kipenzi nakupenda sana
@michaelmwandosya22325 жыл бұрын
Nikikukamata abiola utanitambua sura baya unamsumbua mama na mkuu wa mkoa usifanye watu wajinga nyambafu
@MohamedSaid-jx3df4 жыл бұрын
Abiola alianza kutengwa baada ya mke kuhamia chumba cha watoto
@mariamelias19154 жыл бұрын
Jmn Abiola alikua handsome Ujana wake
@oyay28215 жыл бұрын
Abiola ana mke mzuri lakini hajui tuu
@eusebiamasoi60695 жыл бұрын
Hapy hongera sana mkuu. Please you are the President to come
@patiencekelvin44535 жыл бұрын
Here,RC smart.
@rahimaaaaa86995 жыл бұрын
KATIKA KESI 100 ZA WANANDOA WANAWAKE 99 WANASHINDA MAHAKAMANI.AU.MABALAZA YA KATA.
@teddymwageni17634 жыл бұрын
Magonjwa yooote haya now anatembeza tu 1200 zake kila mahali c kujifharirisha mwili huko.mama kinachomkalisha hapa watoto na asikubali kumpa penzi hadi wapime Ngoma kwanza maana abiola mwenyewe akashashupaaa mashavu.mke mzure be mnyarukoro
@hajihassan54335 жыл бұрын
Kwa namna ninavyopata tabu kwa mke wangu nashangaa kuwa wapo wanawake wavumilivu kama Hawa. Maisha ya ndoa ni rahisi mkisikilizana.
@tuphujekumuhkunonyiile37395 жыл бұрын
Poole sana
@wahidawahida66755 жыл бұрын
Ipo siku utapata wa kukufurahisha
@alexmanase9815 жыл бұрын
Dah! Umeongea kauli zito sana inagusa mioyo mingi tu ya kiume
@mathewlive13725 жыл бұрын
Pole, Mungu akupe njia
@ilovejesus93035 жыл бұрын
@@wahidawahida6675 mmnhhhh
@hadijamwanana24712 жыл бұрын
Uyo abiola mwenyewe Sasa uwiiii lakini bac
@shadrackkayuni53825 жыл бұрын
mwanamke anayekushitaki ndo huwa ana upendo zaidi
@mbarikiwalazarowatisa20865 жыл бұрын
Jina la Abiola linachukua sura Mpya..mzee kijana..
@imamuhemedi43874 жыл бұрын
mkuu Wa mkoa una hekima na busara sio kama wengine mzee baba
@peacemollel23473 жыл бұрын
Thanks happy
@salimharrasy70472 жыл бұрын
Abiola akijirekibisha anaonyesha ni mpambanaji. Ila upwards unamsumbua.
@patrickmarwa5024 Жыл бұрын
Mimi sijaelewa nifamisheni ana lala chumba cha watoto ana maana gani
@dismasminja97024 жыл бұрын
🤣🤣🤣 abiolaaaa🙌🙌🙌
@eliswedy32365 жыл бұрын
wa kwanza ku comment likes zenu jamaniii
@sonymusa53335 жыл бұрын
Likes zinakupa hela au
@faridaaloyce76722 жыл бұрын
Abiola...anatoa macho tu
@princesslupela94885 жыл бұрын
😂😂😂jmn abiola aisee anamatatzo mpk m2 unacheka pole mama #kipendackorohohulanyamambichi
@halimasaleh57055 жыл бұрын
Dada mzuri jmn eh janaume lenyewe sasa linaemsumbua hovyooo😏
@naamohamed99645 жыл бұрын
😃😃😃😃
@kabaitijunior26425 жыл бұрын
😂😂😂
@radhiasalum71565 жыл бұрын
Hahaha.inabidi ajiangalie kwenye kioo
@halimasaleh57055 жыл бұрын
Radhia Salum kwakweli
@emmanuelsimon85075 жыл бұрын
Duh dunia bhana
@princesssalmahtz45315 жыл бұрын
Me ningeshatimua kitambo 😂😂😂😂😂😂kajitu kenyew kasumbufu kwani mama hapo unang'ang'ana nini
@musatbobius54725 жыл бұрын
Aondok km hapend saw ataondok
@sonymusa53335 жыл бұрын
Umri umeenda sasa atamchukua nan
@pauloalfayo18682 жыл бұрын
Hapana huyu abiola c mbaya,Ila watu wakimuangalia sura yake watu waiyogopa hiyo sura ni ngumu Ila jamani kapewa na muumba
@mgongolwajoseph69015 жыл бұрын
Siri ya ndoa wanao jua ni wawili tu ila njee anae sikilizwa ni mwanmke nini chanzo mwanume akaanza kuzingua wasovu kotekotee
@crershawmafia10092 жыл бұрын
Abiola muhongaji mzuri😅
@mudymaliki38354 жыл бұрын
Safi sana kiongozi
@amourhasaan72425 жыл бұрын
Hapaa pazurii kiongozii
@githinji445 жыл бұрын
Enyewe Tanzania is archaic. This is what a whole RC does for a living? Waste of resources.
@e.j.starelia56724 жыл бұрын
Na kweli mama Wa watu mwenyew mzuri jmn
@devothaignatus59112 жыл бұрын
Lijitu lenyewe sula mbaya tabia mbaya,,uhni mwingi linazaa nje ya ndoa jmn ww abiola unapepo au ??