PART 1: ABIOLA ALIYEDAIWA KUIBA MKE NA KUTELEKEZA MKE WAKE AFIKSHWA MBELE YA RC HAPI

  Рет қаралды 395,451

Millard Ayo

Millard Ayo

5 жыл бұрын

Пікірлер: 404
@helenakaaya8306
@helenakaaya8306 4 жыл бұрын
Hongera Mkuu Wa mkoa uanafanya Kazi vizuri,unatenda haki,Mungu akulinde.
@abdallahhamad4499
@abdallahhamad4499 4 жыл бұрын
Kama umesikia vumbi la 🇨🇩 congo gonga like 🤓
@saloujohn3639
@saloujohn3639 5 жыл бұрын
Abiola unazingua huyo mama kwa muonekano tu ni mtaratibu,Pole sana mama kwa hayo yote mungu atakubariki,,Hapi umeongea kitu hayo mambo ya kishamba
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Maashallah Ally Hapyy Allah akulinde ni mwema maashallah kiongozi mzuri Sana Allah akuifadhi udumukwenyekaxiyako maadui wakae kushoto lnshallah
@ashuramhando5285
@ashuramhando5285 2 жыл бұрын
Huyu mkuu angeletwa Dar namuelewa Sana🙏🙏🙏🙏
@mary.matullu8279
@mary.matullu8279 5 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa Mungu amekujalia hekima. Mungu akubariki
@mcrootsav7712
@mcrootsav7712 4 жыл бұрын
Yaani hadi raha
@hopeedgar558
@hopeedgar558 5 жыл бұрын
Abiola kajua kunichekesha, Hongera sana R.C kwa kuwa mpatanishi maana utaitwa mwana wa Mungu.
@johnmasanja1762
@johnmasanja1762 2 жыл бұрын
Watoto Saba, Kila mtoto na mama yake, abiola 😂😂😂
@zuziaziza6531
@zuziaziza6531 5 жыл бұрын
Wewe kaka mungu Akulinde unabusara sana kwakweli unasuluhisha watu vizuri sana
@hadijahmwajombe9588
@hadijahmwajombe9588 5 жыл бұрын
mkuuuu wamkoa ali wanifulahicha sana hongera kwa kazi yako mkuuu upo vizuli
@musatbobius5472
@musatbobius5472 5 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa uko vzr Sana ,Safi sana
@mamyrahima6913
@mamyrahima6913 5 жыл бұрын
Maskinii mwanamke mzurii mungu akuongoze kwenye kherii
@francisnyaji5000
@francisnyaji5000 5 жыл бұрын
Wanawake wa kihehe ni wa vumilivu sana wako vzr sana aisee wanajua maisha ukishindwana na mwanamke wa kihehe aaah bac ww una matatizo...
@josephgomalo41
@josephgomalo41 5 жыл бұрын
Aisee sikudanganyi.. huyu mama nimemmaindi kinoma.. lazima nimzidi Abiola kete.. Ni lazima nimkamate mke wa Abiola ..! teheee..!
@josephgomalo41
@josephgomalo41 5 жыл бұрын
@@felicianmapunda2328 LMAO..! Nitambembeleza..! teheeee!
@MrLogalaa
@MrLogalaa 5 жыл бұрын
Kweli kaka
@haimahaima9135
@haimahaima9135 5 жыл бұрын
@@josephgomalo41 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂waniua
@tz5454
@tz5454 5 жыл бұрын
Umeonaeeeee
@herimallya3385
@herimallya3385 4 жыл бұрын
Hapi ni kiongozi...hongera!
@aidanndanzi5854
@aidanndanzi5854 4 жыл бұрын
mkuu wa mkoa nakukubali sana upo vizuri baba, piga kazi
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 жыл бұрын
Ongera sana Rc mungu akujalie sana.
@Hustlerfrr
@Hustlerfrr 5 жыл бұрын
Beautiful mama don't cry ❤️❤️❤️
@epifaniamponda4491
@epifaniamponda4491 5 жыл бұрын
Wanawake mungu atusaidie mbona tunapitia magum et
@ashazaharan1750
@ashazaharan1750 5 жыл бұрын
Jaman mwenye bahat habatishi jaman kapata mke masha Allah hodari. Tulia kaka yangu kubar kubarilika hao wanao kuzuzua wanakuharibia kwa mkeo
@amour5535
@amour5535 5 жыл бұрын
Hakika
@mwanahalimamwachili9679
@mwanahalimamwachili9679 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 Abiola Jamani, Sura Katili Kweli,Pole Mama Vumila Ki Mpango.Asije Kutoa roho kisa Wavumilia.
@mwajumakweli7931
@mwajumakweli7931 4 жыл бұрын
Mkewe nnzuri sana masha Allah
@ibnahmad607
@ibnahmad607 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 Abiola ana sura ya kazi.
@gillbertmapesa1559
@gillbertmapesa1559 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@herimallya3385
@herimallya3385 4 жыл бұрын
😀😀
@hashemsaef1516
@hashemsaef1516 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@samwelrobeth7763
@samwelrobeth7763 3 жыл бұрын
😀😀😀😀
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 2 жыл бұрын
Huyu mama nimpole sanaa mungu atakusimamiaa hongera sana mkuu wa mkowa happy mungu akubariki
@musatbobius5472
@musatbobius5472 5 жыл бұрын
Mcheki abiola ,yupo vizuri sana
@asteriambwei95
@asteriambwei95 5 жыл бұрын
Yaani nafurahishwaga na maneno ya ali happy sana ana busara na hekima sana kazi nzuri kwa kweli hawa ndo watu tunaowahitaji tanzania
@suleimankombo8760
@suleimankombo8760 4 жыл бұрын
Mkuu wa mkowa muungu akujaalie kazinjem maan upo makin na kazi zako
@Mamatonny2065
@Mamatonny2065 5 жыл бұрын
Akapimwe Akili huyo Baba.. Huyo mama ajihadhari naye!. Hongera Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Iringa Kwa kumsikiliza huyo Mama..
@asteriambwei95
@asteriambwei95 5 жыл бұрын
Sepa achana na abiola chapa kazi upate hela sura ya abiola inatisha tuu yaani ningekuwa mimi ningemkimbia mtu ana watt 7 kila mtm ana mama yake sasa wa nini?
@ibnahmad607
@ibnahmad607 5 жыл бұрын
Abiola unapendwa alafu unaichezea bahati, wenzako tunatafuta wanawake wavumilivu kama huyo.
@wbairi79
@wbairi79 5 жыл бұрын
Kweli kabisa....penye miti hapana wajenzi
@jasmineshechambo3401
@jasmineshechambo3401 5 жыл бұрын
Jaman mbona tupo🤜🤛
@ibnahmad607
@ibnahmad607 5 жыл бұрын
@@jasmineshechambo3401 Tanga au?
@jasmineshechambo3401
@jasmineshechambo3401 5 жыл бұрын
@@ibnahmad607 ndio tanga
@ibnahmad607
@ibnahmad607 5 жыл бұрын
@@jasmineshechambo3401 😂😂😂😂😂😂😂😂. Huko c mnasifika kwa limbwata? Au cku hizi hakuna limbwata.
@furahamwikombo4670
@furahamwikombo4670 4 жыл бұрын
Mkuu uko vzuri saaana. Penye mazuri lazima tukusifie....
@marmon1076
@marmon1076 5 жыл бұрын
Kwel we mama ni shujaa,, hongera nyingi zije kwako kwa ushujaa huo!! kwel kinamama tunapitia mambo magumu na ya kikatil but tusichoke tujipe moyo tutashinda!!! big up kwa akinamama wooooooote kwan nimashujaa!!!!!
@robertjunior9916
@robertjunior9916 5 жыл бұрын
Wasamawaat wamaafil ardh ( mbona hawa watu wapo tofauti sana kama mbingu na aridhi ) pole mama ila huku ulipotea njia
@isayakilangi5888
@isayakilangi5888 5 жыл бұрын
Nampenda Sana mkuu wangu wa mkoa unafanya kazi ya bwana
@judithaporinal452
@judithaporinal452 5 жыл бұрын
Kwanza achukuliwe atua kumtishia mtu asa mke wake
@Boaz22
@Boaz22 4 жыл бұрын
Gonga like kwaajili ya Abiolaaaa😂😂😂😂😂
@wilsonmoses2761
@wilsonmoses2761 4 жыл бұрын
Hapi nimekupenda bure kaka yangu unahekima sana kweli wewe nikiongozi wa watu
@salehmdemu5722
@salehmdemu5722 5 жыл бұрын
Nakupenda sana Mh Hapi
@subiramohd885
@subiramohd885 5 жыл бұрын
huyu mama kweli anampenda huyu Mume ingekuwa mimi zaman ningesepa.janaume lenyewe sura bovuuu
@mariamsaid1093
@mariamsaid1093 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@samonlinetv6106
@samonlinetv6106 5 жыл бұрын
Subira nitakuchapa wewe
@naamohamed9964
@naamohamed9964 5 жыл бұрын
😃😃😃😃
@sigorijoseph4977
@sigorijoseph4977 5 жыл бұрын
Subira Mohd haaa haaa umenichekesha
@gloriousn6425
@gloriousn6425 5 жыл бұрын
Abiola ana sura ya kazi kazi yenyewe KUZALISHA we mtu watoto 7 kila mtu na mamake😢😢😢😢 Ila dah wanawake tunapitia mengi 🙏🙏🙏
@samueljr9105
@samueljr9105 5 жыл бұрын
Waaah
@silviakihaka9795
@silviakihaka9795 5 жыл бұрын
kwakweli hiki kilio cha wengi maisha yako kama yangu lkn hivi kunawakat inabidi serikali itutazame wanawake tunasababishiwa maisha magumu lkn namshaur huyu mama mungu antulipa hapahap dunian
@mcrootsav7712
@mcrootsav7712 4 жыл бұрын
Ila watu wairinga nyie ni noumaaa...duu.mshukuruni mungu kwa kumlata Mh.Ally Hapi
@mosesnyamhanga449
@mosesnyamhanga449 2 жыл бұрын
Ila samia hujafanya poa kumtoa huyu mwamba kazini yupo vizuri mno! Mpe kazi huyu ally hapi !
@robertjunior9916
@robertjunior9916 5 жыл бұрын
Watoto saba wanawake tofauti ,hongera kwa kuijaza Dunia
@elizabwakila2548
@elizabwakila2548 2 жыл бұрын
Abiola mwenyewe Sasa sura kichwa Kama konzi. Atakuwa anawapata kwa madawa ya kienyeji.
@suzanmgaya4323
@suzanmgaya4323 5 жыл бұрын
Mungu akubariki mku
@msusachalamanda7218
@msusachalamanda7218 5 жыл бұрын
Apo ndio ninapo mmiss mzee wangu agrey mwanry
@andrewmongi7395
@andrewmongi7395 5 жыл бұрын
abiola nampata huyo jamaa wa ilula Iringa mtata Leo mbele ya mkuu wa mkoa kanywea balaa.
@musatbobius5472
@musatbobius5472 5 жыл бұрын
Vituko vyote Abiola breki kwa mkuu wa mkoa yy c kidume?sukuma ndani huyo 😄😃😃😃 Abiola umeskia?
@anniemtambo5549
@anniemtambo5549 5 жыл бұрын
Haswa mkuu wa mkoa mwambie huyo👍
@tinagorges3741
@tinagorges3741 5 жыл бұрын
Bidada uwe macho nahuyo bwana maana mmhhh polesana
@alexlingwendu6780
@alexlingwendu6780 5 жыл бұрын
Hakika nikirudi Iringa.Nitakuletea zawadi mkuu wa mkoa wetu wa Iringa.
@mwaamwetahussain9947
@mwaamwetahussain9947 5 жыл бұрын
Afungwe uyu maana anazaa.kama kiwanda
@jemawiston3521
@jemawiston3521 5 жыл бұрын
hongera mkuu wa mkoa piah kaka angu wa Nzega tabora
@abdalahkumbota1012
@abdalahkumbota1012 2 жыл бұрын
Huyu anafaa kuwa kiongozi mungu ambaliki
@priscamwamlima505
@priscamwamlima505 5 жыл бұрын
Abiola njoo kwangu 😀😀😀😀😀😀😀
@juliennenzeyimana3274
@juliennenzeyimana3274 2 жыл бұрын
Nakupendaka sana Happy.mimi ni Murundi
@neemamoshi1908
@neemamoshi1908 4 жыл бұрын
Yan mkuu wa mkoa kaz yako unaitendea hak nataman miaka ijayo uwe Rais 😙
@musatbobius5472
@musatbobius5472 5 жыл бұрын
Napenda tu vituko vya Abiola ,yaan mkuu jembe yaan
@majudadykid5281
@majudadykid5281 4 жыл бұрын
Alie Muona Abiola Anavyoangalia Watu jicho la Kigaidi
@dr.sarahbusongo
@dr.sarahbusongo 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 Abiolaaa oyeee
@winfridagama2042
@winfridagama2042 4 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa poawa
@paulrundi8581
@paulrundi8581 5 жыл бұрын
Bona la Ngombe nakumbuka sana Iringa...kamwene ...😄
@mcrootsav7712
@mcrootsav7712 4 жыл бұрын
Ukweli Nimekuvulia kofia....na sina chakukoments kwako...nimefikia mwisho...hongera mmno Mh..kumbe hadi ndoa za wananchi wazishuluhisha kwa wekedi hivyooo...ila naomba wakati mwingine..ukiwa kwenye utatuzi kma huo huyo mpendwa kiongozi (m mama) hapo pembeni yako usiandamane nae...maana wewe unaongea point yeye anacheka tuu...dah.sijafurahishwa naye jamni.
@tulinavemgeni3523
@tulinavemgeni3523 2 жыл бұрын
Ukipendwa ringa Ila usimringie anaekupenda. Sasa huyu abiola anamringia anaempenda
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 2 жыл бұрын
Hahahaaaa mama Mpe talaka kumbe mke anatoa talaka ningeandika hata kumi Kwa abiola
@radhiyaoman2543
@radhiyaoman2543 5 жыл бұрын
Abiola mbona anajibu kama ana lake moyoni mh.kuweni makini na abiola
@cpasalma1532
@cpasalma1532 4 жыл бұрын
Nimecheka
@fatumakeche6027
@fatumakeche6027 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@jacklinejosephat5988
@jacklinejosephat5988 5 жыл бұрын
Haya bana Abiola, sawa
@wisperfect3860
@wisperfect3860 5 жыл бұрын
Uko wp
@yusufukazamba2391
@yusufukazamba2391 5 жыл бұрын
Mhe Mkuu wa mkoa Hapi nakukubali sana tena nakupenda mno; nadhani ana chembechembe za wokovu;
@rosemarymashauri8628
@rosemarymashauri8628 5 жыл бұрын
Yaani nipo dar lkn clip za RC hapi hazinichoshi kuangalia
@carinamatt1031
@carinamatt1031 2 жыл бұрын
Mungu akutunze muheshimiwa ally happy
@veronicamchilo8552
@veronicamchilo8552 5 жыл бұрын
Mheshimiwa Happy nimeamua nicheke kwakweli abiola kajifanya wabaridii kumbu jeuri
@kenethmsigwa7464
@kenethmsigwa7464 4 жыл бұрын
Kama umemwona mwenyekiti wa ccm kilolo ndugu kiliani myenze gonga like
@how9833
@how9833 2 жыл бұрын
Mama beauty Abiola Mwenyewe sasa sijui ni fundi wa matanuru ya kuchoka mkaa Sijui hahahaha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@philipomofuga3511
@philipomofuga3511 5 жыл бұрын
Duh jamaa sio poa. Huwez kushinda na mwanamke mwanamke anafanya kosa akiwa na jibu tofaut na mwanaume ndio maana kes nyingi za mwanaume na mwanamke hawawez kushindana.Mungu tu asaidie ndoa zidumu.
@carinamatt1031
@carinamatt1031 2 жыл бұрын
DC wangu kipenzi nakupenda sana
@michaelmwandosya2232
@michaelmwandosya2232 5 жыл бұрын
Nikikukamata abiola utanitambua sura baya unamsumbua mama na mkuu wa mkoa usifanye watu wajinga nyambafu
@MohamedSaid-jx3df
@MohamedSaid-jx3df 4 жыл бұрын
Abiola alianza kutengwa baada ya mke kuhamia chumba cha watoto
@mariamelias1915
@mariamelias1915 4 жыл бұрын
Jmn Abiola alikua handsome Ujana wake
@oyay2821
@oyay2821 5 жыл бұрын
Abiola ana mke mzuri lakini hajui tuu
@eusebiamasoi6069
@eusebiamasoi6069 5 жыл бұрын
Hapy hongera sana mkuu. Please you are the President to come
@patiencekelvin4453
@patiencekelvin4453 5 жыл бұрын
Here,RC smart.
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 5 жыл бұрын
KATIKA KESI 100 ZA WANANDOA WANAWAKE 99 WANASHINDA MAHAKAMANI.AU.MABALAZA YA KATA.
@teddymwageni1763
@teddymwageni1763 4 жыл бұрын
Magonjwa yooote haya now anatembeza tu 1200 zake kila mahali c kujifharirisha mwili huko.mama kinachomkalisha hapa watoto na asikubali kumpa penzi hadi wapime Ngoma kwanza maana abiola mwenyewe akashashupaaa mashavu.mke mzure be mnyarukoro
@hajihassan5433
@hajihassan5433 5 жыл бұрын
Kwa namna ninavyopata tabu kwa mke wangu nashangaa kuwa wapo wanawake wavumilivu kama Hawa. Maisha ya ndoa ni rahisi mkisikilizana.
@tuphujekumuhkunonyiile3739
@tuphujekumuhkunonyiile3739 5 жыл бұрын
Poole sana
@wahidawahida6675
@wahidawahida6675 5 жыл бұрын
Ipo siku utapata wa kukufurahisha
@alexmanase981
@alexmanase981 5 жыл бұрын
Dah! Umeongea kauli zito sana inagusa mioyo mingi tu ya kiume
@mathewlive1372
@mathewlive1372 5 жыл бұрын
Pole, Mungu akupe njia
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 жыл бұрын
@@wahidawahida6675 mmnhhhh
@hadijamwanana2471
@hadijamwanana2471 2 жыл бұрын
Uyo abiola mwenyewe Sasa uwiiii lakini bac
@shadrackkayuni5382
@shadrackkayuni5382 5 жыл бұрын
mwanamke anayekushitaki ndo huwa ana upendo zaidi
@mbarikiwalazarowatisa2086
@mbarikiwalazarowatisa2086 5 жыл бұрын
Jina la Abiola linachukua sura Mpya..mzee kijana..
@imamuhemedi4387
@imamuhemedi4387 4 жыл бұрын
mkuu Wa mkoa una hekima na busara sio kama wengine mzee baba
@peacemollel2347
@peacemollel2347 3 жыл бұрын
Thanks happy
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 2 жыл бұрын
Abiola akijirekibisha anaonyesha ni mpambanaji. Ila upwards unamsumbua.
@patrickmarwa5024
@patrickmarwa5024 Жыл бұрын
Mimi sijaelewa nifamisheni ana lala chumba cha watoto ana maana gani
@dismasminja9702
@dismasminja9702 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣 abiolaaaa🙌🙌🙌
@eliswedy3236
@eliswedy3236 5 жыл бұрын
wa kwanza ku comment likes zenu jamaniii
@sonymusa5333
@sonymusa5333 5 жыл бұрын
Likes zinakupa hela au
@faridaaloyce7672
@faridaaloyce7672 2 жыл бұрын
Abiola...anatoa macho tu
@princesslupela9488
@princesslupela9488 5 жыл бұрын
😂😂😂jmn abiola aisee anamatatzo mpk m2 unacheka pole mama #kipendackorohohulanyamambichi
@halimasaleh5705
@halimasaleh5705 5 жыл бұрын
Dada mzuri jmn eh janaume lenyewe sasa linaemsumbua hovyooo😏
@naamohamed9964
@naamohamed9964 5 жыл бұрын
😃😃😃😃
@kabaitijunior2642
@kabaitijunior2642 5 жыл бұрын
😂😂😂
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 5 жыл бұрын
Hahaha.inabidi ajiangalie kwenye kioo
@halimasaleh5705
@halimasaleh5705 5 жыл бұрын
Radhia Salum kwakweli
@emmanuelsimon8507
@emmanuelsimon8507 5 жыл бұрын
Duh dunia bhana
@princesssalmahtz4531
@princesssalmahtz4531 5 жыл бұрын
Me ningeshatimua kitambo 😂😂😂😂😂😂kajitu kenyew kasumbufu kwani mama hapo unang'ang'ana nini
@musatbobius5472
@musatbobius5472 5 жыл бұрын
Aondok km hapend saw ataondok
@sonymusa5333
@sonymusa5333 5 жыл бұрын
Umri umeenda sasa atamchukua nan
@pauloalfayo1868
@pauloalfayo1868 2 жыл бұрын
Hapana huyu abiola c mbaya,Ila watu wakimuangalia sura yake watu waiyogopa hiyo sura ni ngumu Ila jamani kapewa na muumba
@mgongolwajoseph6901
@mgongolwajoseph6901 5 жыл бұрын
Siri ya ndoa wanao jua ni wawili tu ila njee anae sikilizwa ni mwanmke nini chanzo mwanume akaanza kuzingua wasovu kotekotee
@crershawmafia1009
@crershawmafia1009 2 жыл бұрын
Abiola muhongaji mzuri😅
@mudymaliki3835
@mudymaliki3835 4 жыл бұрын
Safi sana kiongozi
@amourhasaan7242
@amourhasaan7242 5 жыл бұрын
Hapaa pazurii kiongozii
@githinji44
@githinji44 5 жыл бұрын
Enyewe Tanzania is archaic. This is what a whole RC does for a living? Waste of resources.
@e.j.starelia5672
@e.j.starelia5672 4 жыл бұрын
Na kweli mama Wa watu mwenyew mzuri jmn
@devothaignatus5911
@devothaignatus5911 2 жыл бұрын
Lijitu lenyewe sula mbaya tabia mbaya,,uhni mwingi linazaa nje ya ndoa jmn ww abiola unapepo au ??
PART 2: RC HAPI ALIVYOPATANISHA NDOA YA ABIOLA
10:04
Millard Ayo
Рет қаралды 222 М.
MAMA BILA UWOGA ATOA KARATASI MBELE RC HAPI ''WATU HOI''
11:10
Millard Ayo
Рет қаралды 139 М.
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 84 МЛН
Little girl's dream of a giant teddy bear is about to come true #shorts
00:32
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 45 МЛН
LIVE: RC HAPI AAGIZA MENEJA WA BENKI AKAMATWE NA KUHOJIWA
9:47
Millard Ayo
Рет қаралды 785 М.
NDUGU WALIONUNIANA WARUDI KWAO NA MSHIKO WA RC ALLY HAPI
12:55
Millard Ayo
Рет қаралды 147 М.
BREAKING NEWS: RC HAPI AGEUKA MBOGO, AMSWEKA RUMANDE MZUNGU
2:52
TIMESOBSERVER DIGITAL
Рет қаралды 207 М.
RC HAPI 'amtumbua' Daktari Hadharani "una matatizo nilishakwambia"
22:48
Global TV Online
Рет қаралды 727 М.
Mbunge aishauri serikali kuanzisha chuo cha wizi
5:41
Azam TV
Рет қаралды 154 М.
KASHESHE IRINGA: KIENDACHO KWA MGANGA HAKIRUDI ILA IRINGA KINARUDI
6:45
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 84 МЛН