Hongera sana Mhe. Ally Hapi, umefanya jambo jema kuwa chanzo cha hao wawili kupatana. Mungu akulipe kwa hilo braza.
@valentinamussa42125 жыл бұрын
Heri wapatanishi maana hao watamwona Mungu ,hongera happy
@suzyclement38995 жыл бұрын
Amen
@f.a60435 жыл бұрын
Amen
@johnmatiko25964 жыл бұрын
Amen
@daudsuleman33814 жыл бұрын
Valentina Mussa ameen
@jonisiamdulingwamdulingwa33363 жыл бұрын
Anaitwa hapi
@rajabunyangasa26535 жыл бұрын
Mimi Abiola amenifurahisha kwa utulivu kwa Mkuu, kitu cha muhimu asirudie makosa. Mungu amsaidie sana Abiola.
@alphoncelagwen17125 жыл бұрын
Rajabu Nyangasa
@salehhamadi60705 жыл бұрын
Kweli kabisa
@habarugirajeanmarieviann-qe4uf Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@meshackmganga69485 жыл бұрын
Kama umemkubali Abiola nipe like na mimi leo
@williadiusbuberwa9405 жыл бұрын
Nimekukubali Mh:
@gabrielmusyani3275 жыл бұрын
Abiola anaonekana ana misimamo yake flan sema anaogopa nyavu tu
@theobarddimoso88355 жыл бұрын
Abiola ametishaaaa
@liberatusulaya22695 жыл бұрын
Hahhh
@asiaokeay16545 жыл бұрын
abiola 😂😂😂😂😂😂😂
@happyfiverickaldo46625 жыл бұрын
Alie muona mama akiomba kila mda anipe like zangu
@abeidmayanga8095 жыл бұрын
Jaman Ali happy you the gift from the God sir
@norafrowin17484 жыл бұрын
Team Ally Hapi wezangu piga kelele kwa Hapi akeee,yaani natamani miaka ijayo uwe raisi wetu,Hapi Hapi Hapi👏👏👏
@johnramadhan47145 жыл бұрын
Huyo mke yuko imara sana, awe mfano wakuigwa!
@saidyusuph41295 жыл бұрын
Hongera mbeya walitaka hiyo kazi afanye rais, tunakuomba chalamila iga huko, ni jambo jema sana,
@janemusumba23164 жыл бұрын
Huyu ni kama mama kabisa anapenda baba yangu sana ata apitiye shida ❤❤.
@alexmatt95042 жыл бұрын
Wonderful solution,big-up RC.
@kajuakitu5 жыл бұрын
Mh Hapi upo kwenye chuo cha uongozi na unafanya vizuri sana. Miaka ijayo tutakukabidhi majukumu makubwa zaidi maana namuona Mungu ndani yako.
@klystry12344 жыл бұрын
Shout to all mamas who fights kama huyu mama 👏👏👏👏👏👏👏❤️❤️❤️❤️
@allymwema88625 жыл бұрын
kina abiola gonga like twende sawa
@midoseneta47805 жыл бұрын
utulivu wa abiola umemponya mana mkuu alikua anakutamani sana baada ya kumsikiliza mkeo jana... sema umekuo mpole mpaka imemuingia huruma naamini hata hizo kesi za mwanzo zitafutwa mana abiola kabadilika... sema nini hata ukitaka kunoa panga kanolee mbali mana huyo mama hata ukinoa kwa nia ya kwenda nalo shamba atahisi ni yaleyaleeeeee..
@robertjunior99165 жыл бұрын
Kila MTU ana siri yake hujui huyu mama anachokipata kwa Abiola hahahahahahahahaha
@moreenmichael74825 жыл бұрын
Mke wa Abiola anampenda Abiola😂😂😂😂
@gabrielmusyani3275 жыл бұрын
Sawa kabisa
@kimwenjetheboy41995 жыл бұрын
Abiola anakichwa cha umalaya hapo anazuga tu ngoja awape kisogo
@moreenmichael74825 жыл бұрын
@@kimwenjetheboy4199 Umenichekesha jaman😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@zawadisalimu54785 жыл бұрын
km mke wa gwajiboy
@moreenmichael74825 жыл бұрын
@@zawadisalimu5478 😂😂😂
@jejetoyobo12545 жыл бұрын
Naona shemeji leo kakumbatiwa na abiola hadharani
@teddclive1506 Жыл бұрын
Thanks RC for uniting this family. Mama mrembo na anajitahidi
@innocentpaulchillu15125 жыл бұрын
Sifa ya wanawake was kihehe ni wavumilivu kwenye ndoa,na watulivu,abiola sema tu stress za kufilisika zimemchanganya,na kibaya wanawake wamechangia kumpoteza.
@omarymakota22765 жыл бұрын
Liabiola linaitika kama mtoto wa lakwanza litarudioa tena maana watu wenyewe visongo awasikiagia mara moja like kwa abiola
@zittotv99725 жыл бұрын
Omary Makota mmmmmmh
@ngundalinus61014 жыл бұрын
Kiukweli ninaye bonge la mkuu wa mkoa, natamani kurudi nyumbani nikampe kampani mkuu wangu. Ipo siku nitarudi Iringa kwetu, asante Sana big up Baba
@cyliviambanga1964 жыл бұрын
Omary Makota chekechea kama zoba
@nuranzubail12405 жыл бұрын
Wanawake Mungu awatunze mnapitia mengi. Tusameheni tu sisi wenyewe hatujui tuyafanyalo
@marymabubakar16464 жыл бұрын
Upo,juu,mungu akujaaliye,kwa,kukumbuka,hilo
@marymabubakar16464 жыл бұрын
Ahsantee
@marymabubakar16464 жыл бұрын
Ahsante,
@user-cl2jr3re4s5 жыл бұрын
Mh happy nikiongoz mzur sana japo wengine wanasema anajiskia ila mm nakuunga mkono kwasab palipo nashinda ambazo zinapelekeana hata watu kuwepo katika hatari ya uhai wao uyu Dc happy anakua kama mtume wa mungu Congrats Happy my bro wa faida
@assfzainab9122 жыл бұрын
Masha ALLAH MIMI NI MKENYA LKN MKUU ANAENDA MWENDO WA MAREHEMU MAGUFULI
@gasperkunambi95385 жыл бұрын
Mweshimiwa,kila,nikikuangalia,nakuona unakaUchungaji kana kunyemelea nimebarikiwa ,maana,Neno,linasema Heri, wapatanishi,maana hao wataitwa wana WA Mungu
@mariamngwada64495 жыл бұрын
hahaaaaa nimeipenda
@abdulmelele73224 жыл бұрын
Huyo ana master ya sheria ka graduate mwaka jana
@samsonrichardkilamile51555 жыл бұрын
Safi sana Mkuu,Abiola tii mamraka,pole shemela
@sharifahamisi90915 жыл бұрын
Abiola umejua kutufurahisha umekuwa star kupitia mkeo duh abiola kiboko
@raydnelly18724 жыл бұрын
Sharifa mie mmecheka wallah Abiola kiboko ya kazi..
@namirihamisi38992 жыл бұрын
Mwanamke mzuri tena japo yupo kijijini na ana maisha magumu.
@bigmachinempower46805 жыл бұрын
RC I like you, keep it up bro. your a good leader bro.
@abdallahpesa14565 жыл бұрын
Hongera sana mheshiwa kwa juhudi yako ulioonyesha , maana bwana Abiola kafanana na maniga 2pac
@mohammediburuhani46552 жыл бұрын
😂😂😂😂
@dickisoniryoba39892 жыл бұрын
Mim katka watumishi wa serekali hii ya jpm na mama samia alli hapi the best 🤝🤝👌
@mwinyimshomi15315 жыл бұрын
Mama akiambiwa una neno la mwisho anaibua jambo jipya.... Big up mama😀😀😀
@ramaseif77745 жыл бұрын
Abiola na mke wake atari sana, ila abiola mkauzu sana kapIga huG? @bojjomittonyo, Pia kama umemuona huyo mama pembeni ya mkuu wamkoa akiongea mbovu dhidi ya abiola mmemuona?
@beatricechavala90745 жыл бұрын
Penda San hapii
@Amneamne-qi2du5 жыл бұрын
Mungu akuweke M.h Happy
@comrademlewaisavile3365 жыл бұрын
Wakuu wa mikoa ninaowapenda kutokana na kazi zao nzur ni agrey nwanry Tabora ,Paul makonda DSM na ally salum RC wa iringa .pigen kazi
@ivankakooza17652 жыл бұрын
For sure Mungu awabariki
@diltondilunga99155 жыл бұрын
Hongera sana,Mkuu kwa kupatanisha ndoa,
@Ishengoma15 жыл бұрын
Hiyo kesi inge angukia kwa huyo mdada aliyekaa karibu na mkuu ws mkoa Abiola angepata tabu sana. Inaonekana hajaridhika na hizo sarakasi. 🤣😂😂🤣🤣
@dionisemyigezo91375 жыл бұрын
anamind balaa huyo maza,daa
@njolejr31705 жыл бұрын
kwa kweli 😂😂
@Timoclement4 ай бұрын
Hilo hata mm nakiri ila wanaume tunajuana Rc katumia busara sana
@anzurunishaha13725 жыл бұрын
Mungu azidi kukupa afya njema happy
@devothaignatus59112 жыл бұрын
Jmn Abiola umemfanya mkuu achanganyikiwe mpaka akuite abilia,duh atr sana umezidi unachota maidi yake,,nimeona tabasamu la askari poris nae amependa mkuu alichokifanya duh nimekupenda mkuu,,Mungu akubariki maisha yako yote.
@dr_godfrey5 жыл бұрын
Abiola yuko vizur katulia mwenyewe hahaahaha🤣🤣🤣🤣
@zittotv99725 жыл бұрын
Garden sanitarium clinic Duuuuuuuh
@khatibalamin4015 жыл бұрын
Abiria😉😉😉😉
@ashuramhando52852 жыл бұрын
Huyu Baba atakutesa Sana maana anaonekana goigoi toyoyo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@cecygeorge44434 жыл бұрын
Mkuu upo vizuri unatoa haki sawa sawa Mungu akubariki
Ally happy asee uyo abiola mziguaji asee naomba nipe luusa mm nimuowe uyo mama asee naotaka sana nipate mke mwnye kupigana kama uyu mama asee unamtishia mapanga mama mzuli ivo afu unamletea uzwazwa mama anaakili nyingii kiasi ichii aseee mm nikiwa nae walai nashindana na mo dewji apa bongo asee
Wanaume wazinguaji balaa, aiseeh Mungu atuzidishie uzima.
@princesssalmahtz45315 жыл бұрын
Polee Sana mama maana huyo mume wako. Pasua kichwa😥😥😥
@Petro_classic15 жыл бұрын
Raha Sana haya Mambo Bhana maisha marefu mkuu wa mkoa
@odilinadonald2615 жыл бұрын
Mama yuko vizuriii
@emmanuelellymwakyusa29005 жыл бұрын
HAPI kakamilka anaanza kuwa mtawala wa KWELI na busara tunahitaji upande huu ...
@irenejoseph66844 жыл бұрын
Mwenxi mungu akujalie maisha marefu kiongozi wetu hakik hap nikz tu wanawake tunapata tabu san kwenye ndoa zetu uvumiliv ndo kt bor
@davidchengula82445 жыл бұрын
Kiongozi wawatu ally happy nakukubalisana
@mariamali18875 жыл бұрын
Safi sana mkuuu uko juu👌👍
@johnsonjosephat17015 жыл бұрын
big up Sana'a muheshimiwa RC
@neemaloy8892 жыл бұрын
Hongera Sana Rc
@happysindani67085 жыл бұрын
Safi sana Mungu awabariki🙏💕
@betriceayo10595 жыл бұрын
Kutoka kwa zari mpaka kwa abiola
@happysindani67085 жыл бұрын
@@betriceayo1059 😅😅😅saana
@justinemhanga42735 жыл бұрын
Happy Sindani 0763014994 in box me via WhatsApp
@sadikidaudi12235 жыл бұрын
Hahahaha Papaa Abiola nakukubali saana kwakukubali Suluhu na Mke wako Maisha lazima yaendelee kutereza sio kuanguka.
@Segerethom5 жыл бұрын
Jamani wanawake kama hawa walikufa kwenye like tetemeko LA kule BUKOBA mama abiola hatamimi nakupenda heheeee.....!!!!
@aishaelias38675 жыл бұрын
Good one ☝️
@mariamjoseph60105 жыл бұрын
Vzur mama mungu akubaliki
@festomlowegypsum82145 жыл бұрын
Mama anakupenda sana baba utulie
@robertjunior99165 жыл бұрын
Huyu mama ana moyo ni sawa na mke wa Osama bin Laden
@mosesanosa99565 жыл бұрын
ayo TV mkovizuri nawapenda ningependa kujua hatma ya abiola baada ya sikuzijazo nimempenda abiora kwa utulivu wakwe
@innocentpaulchillu15125 жыл бұрын
Abiola una mke mwema,acha vituko na wanawake wanakupoteza blaza
@mellyhamis22012 жыл бұрын
Safi mkuu Mungu akubariki
@deshuaniton6984 жыл бұрын
Pole my uko nikuteseka ungekuwa ata baba angu ningekunyali kinyama. Mama tafuta baba wambandia
@aginiweyessayakyando98555 жыл бұрын
Mara ya kwanza niliona muheshimiwa mkuu wa mkoa Ally Happy ni mzee wa kiki ila kwa haya mambo hapana haya ni maisha halisi na sio kiki. Mungu akubariki mkuu wa mkoa Iringa
@moseskaponda4948 Жыл бұрын
Nakutakia maisha malefu mkuu wa mkoa was iringa mungu awe nawe
@kirobotonzuusi32465 жыл бұрын
Fantastic
@danielmatiku56025 жыл бұрын
Namshukuru kwa jitihada zake 😂😂😂
@musatv94564 жыл бұрын
Jicho la mamaangu kwenye kushkana mikono
@msafirlaizer23685 жыл бұрын
Mama ubarikiwe.
@christopherrafael93565 жыл бұрын
Umetisha mkuu
@mimaakenirram14055 жыл бұрын
lnshallha mkakae vizuri ss alhamdullha yameisha
@bestinabenard14385 жыл бұрын
Safiiii sana abiola kapoa huyuuuu
@ajuayekilendi1785 жыл бұрын
mm nakuelewa sana ww na makonda sio wengine wanashindwa kutatua matatizo Jan a haya wananchi wanasema kwa raisi
@mercypeter1622 жыл бұрын
Ahahahahaaa hiyo kesi tam na imeisha vizurii
@wazirehalima45665 жыл бұрын
Mbna unakaa kusinyika mama apo karibu na MC mungu anakuona
Dah ningepata mke kama huyo , nisingeumwa na magonjwa wwte
@Zubaiba5 ай бұрын
Mheshimiwa hapi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@mirifatrama26325 жыл бұрын
Kaaa abiola jisifie umepata mke bora ungenipata mimi nasepa abiola kapata bae mzur lkn akili hana
@mohamedomar40374 жыл бұрын
Mkuu WA mkoa nakupa kheri mungu akujalie umewapatanisha vizuri kwa kuokowa ndoa ya hawa 2 , huyu bwana ana wake Saba nje na watoto 7 kila mmoja na mama yake lakini wale wanawake WA nje sio WA ndoa ni umalaya unamsumbua lakini kwa bahati nzuri huyu bwana ana mke mzuri WA ndoa anayempenda mume wake na anastahili kubaki nyumbani na asitolewe kabisa nyumbani kwake nashukuru kwa uamuzi uliotoa