Kiongozi wake anajielewa na anajua anachokifanya, usafi ndo usiseme 😍 big up Mr Kagame.
@muzneali474710 ай бұрын
@stonetown578 UKISEMA NENO HEBU FIKIRIA SIO UNASEMA TU UNASIFIA KIONGOZI WAKATI SIE TUKIAMBIWA NA VIONGOZI JAMANI TUSITUPE TAKATAKA BARABARANI,TUSIFANYE BIASHARA BARABARANI MNAIBUKA KUMSEMA HUYO KIONGOZI OOH UNATUKATAZA TUSIFANYE BIASHARA MNAJUA TUNASOMESHA WATOTO TUNALIPA MIKOPO MNAMTAKA TUONDOKE TWENDE WAPI NA HII NDIO NCHI YETU HEBU TEMBELEA KARIAKOO NANI HASA WANAOCHAFUA MJI ?? SASA HAPO KIONGOZI HAJITAMBUI?? BODABODA WANAVUNJA SHERIA WAKIKAMATWA HAKI ZA BINAADAMU HAO MNAWAONEA WAACHENI HAYO YOTE HUYAONI NA MENGI MENGINEYO WEWE KAMA UNAMCHUKIA KIONGOZI WEWE SEMA TU LAKINI SIO KUMSINGIZIA
@gracekagoma323110 ай бұрын
Rwanda is a developed country in Africa Congrats to Kagame 🎉
@section8ight1749 ай бұрын
*developing
@youngstone609 ай бұрын
Hakuna wezi waKingufu❤
@lastkingrwanda80669 ай бұрын
@@youngstone60 so peaceful country
@nemestesha778410 ай бұрын
RWANDA KUNA VIONGOZI WA KWELI....MAMBO YANAJIELEZA YENYEWE, BIG UP FROM tz
@ndukulusudikucho_10 ай бұрын
Sisi tuko busy na katiba mpya na uchaguzi , kule Ni mkono wa chuma
@TamuzaKale10 ай бұрын
@@ndukulusudikucho_ Kila mtu ni msemaji wa serikali. Kule msemaji ni mmoja tu. Rais. Waliobakia wote hawana sauti. Ishini maisha yenu.
@musasabuu28089 ай бұрын
@@TamuzaKalenakubali
@appolonation9 ай бұрын
Hapa ndio kwetu Rwanda 🇷🇼♥️ karibuni Watanzania .
@mohdloushmoney99949 ай бұрын
Naomba namba zako nije nitembee Rwanda
@musasabuu28089 ай бұрын
Ntakja ku visit Rwanda nasikia pako vzr
@reginaldmushi97848 ай бұрын
Namimi nataman sana kuja kuposa Rwanda ,❤ Wadada wa huko warembo kama nini ❤❤❤I appreciate those lady
@ButoyiThierryve5 ай бұрын
Pazuli
@gilbertzachariah497010 ай бұрын
Usafi ni tabia, inaanzia kwa viongozi inaambukizwa kama ugonjwa na kushuka hadi kwa wananchi wake. Hongera Kagame, una vichache Lakini unajua kuvitumia ipasavyo. Kigali is Super clean.
@Ali-nl2du10 ай бұрын
The jewel of East Africa. Kwa usafi, nidhamu na mipangilio bora ya matumizi ya ardhi. Rwanda iwe kigezo kwetu na wengine. Africa tunaweza, iwe mwisho kulinganisha miji yetu na miji ya ulaya/USA. Wao waje kujifunza kwetu. Nashauri makao makuu ya EA yahamie Kigali.
@@niniarutek7257 Asante, amani idumu kwa uwezo wa Mungu.
@fumbukashangwe317310 ай бұрын
Congratulations to Rwandese people for your patriotism!
@MaaneML10 ай бұрын
Hata makazi yameboreshwa Sana Kigali. Kujenga kwa mpangilio wa nyumba mpaka rangi. Huyo ndiyo kidume Paul Kagame. Ninampenda Sana Kagame.
@islamrashid545110 ай бұрын
Maa Shaa Allaah kusafi sana hongera zao....hakuna hata vibanda banda njiani wala miamvuli ya kuchoka
@machumujuma63999 ай бұрын
Kumbe uzuri wa mji sio kuwa na majengo marefu tu, mpangilio wa mji wa kigari na mandhari ya miti inaifanya kuwa sehemu nzuri sana huchoki kuitazama. Safi sana nchi ndogo ila imepangwa vizuri natamani Mwanza iwe hivyo one day maana nature yake kama kigali
@ntarejohn18439 ай бұрын
Thank you Ayo tv for visiting my lovely country
@ntarejohn18439 ай бұрын
HE Paul Kagame is behind all this proud to be 🇷🇼❤️
@sambiaj9 ай бұрын
nimependa sana njia za watembea kwa miguu,hakuna bodaboda au bajaj inatembea njia za waenda kwa miguu
@gracekagoma323110 ай бұрын
Amakuru from Tanzania 🇹🇿
@BinSaad129 ай бұрын
Nimeza ❤
@niniarutek72579 ай бұрын
Nimeza❤
@sadikigatera48089 ай бұрын
Nimeza cyane from Kigali🇷🇼
@dieudonnemushimiyimana92069 ай бұрын
Ni meza! Mambo vipi?
@dancerboy268610 ай бұрын
viongozi wazur watajenga nchi yao vzr na kua na uchungu hongela kagame nchi ndogo lakn inapendeza
@kesterkanyala771810 ай бұрын
HAPA KWETU,WENGI NI MATUMBO YAO KWANZA,NCHI HAPANA
@shubebunyesi54210 ай бұрын
Sasa ndugu embu usilinganishe tz na vitu vya kijinga nchi mikoa miwili we unashindwaje kupiga lami mapaka choooni hv uchukuwe mikoa mitatu mikubwa tz tufanye ndio sawa na rwanda alafu uchukuwe maendeleo ya mikoa yote uhamishe kwenye kwenye mikoa mitatu c lami mpaka bafuni mzee au we unaonaje tz kubwa
@melanialeonard403110 ай бұрын
Kwan sisi ukubwa wa mikoa yetu si karibia kila mkoa unageweza kujitegemea kilimanjaro kuna mlima mwanza ina ziwa dar kuna frusa kibao kila mkoa wetu una neema yake; au bachii😏😏😏
@razackndeze-pv5bm10 ай бұрын
@@shubebunyesi542Kwani unapingana na maendeleo ya nchi ya Singapole?!? Kwa sababu ukubwa wa Singapole ni nudu ya mkoa wa Morogoro, lakini nchi imepiga hatua sana.
@sylvestercameo626310 ай бұрын
@@shubebunyesi542 Ndiyo maana tunahitaji serikali za majimbo, kila Jimbo lipiganie maendeleo yake kulingana na mapato na matumizi ya raslimali zao. Kila Jimbo litapambana kushindana na Jimbo jingine.
@louisrudasingwa33679 ай бұрын
Thank you so much for sharing this video, onwards and upwards rwanda 🇷🇼 and Africa.
@abedysteven493010 ай бұрын
Kula maisha kwa macho na kuzunguka na kamera Kigali ndo Raha ye2 mliotuacha hapa! Kumbe Kigali nzur!
@KS-iw7qv10 ай бұрын
Nchi ilokuwa na mapigano nuda wote asaivi ipo nzuri sisi tuna miaka laki 😢 hakuna nidhamu
@fredinandcharles759810 ай бұрын
Kila mkoa ukijitegemea Kama ilivyo marekan tutapiga hatua mm nimwana uchumi ambae sijulikan
@kabwelasutiviraka476510 ай бұрын
@@fredinandcharles7598 sio kweli Tanzania hamna nidhamu na mnachekeana sana uzembe mtupu
@fredmbossa-kc3qn10 ай бұрын
hongera zake kwa waziri wa miundombinu na waziri wa mazingira,,yani barabara hazina hata punje ya mchanga
@vincentcharles438510 ай бұрын
Bongo kila sehemu picha za samia,na dampo za takataka,
@user-uo6bo3ph6g10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@emmanueljoseph381210 ай бұрын
Kule nikuchafua mazingira tu wala sioni Faida zake AMKENI WATZ ., IPO SIKU TUJIKUTA TUKO UARABUNI!
@nikkimbishiunju24028 ай бұрын
Hata Dar zipo sehemu safi,peleka uswahilini tuone kama kusafi pia...
@josephstephen107910 ай бұрын
Wanaosema Rwanda safi kisa ni ndogo niwaulize tu Burundi ni kubwa? je, unaweza kufananisha Burundi na Rwanda?
@athumanfuko1999 ай бұрын
pisi kali sizioni huyu AYO vip
@lazzrchanal19359 ай бұрын
@@athumanfuko199ni Burundi 🎉
@lazzrchanal19359 ай бұрын
Usiwe na mapepe huyo ni mkopo wachina hata sisi warundi tukikopa tutajenga ila sisi tungali tunajipenga ili tujitengenezee bila madeni
Hongera sana kagame kwa maendeleo makubwa Rwanda ni mfano wa kuigwa lakini kwa ukubwa wa Tz bado nchi imepiga hatua kulinganisha na Rwanda ciwezi beza maendeleo tuliyo fikia from Tz
@alexaudax-rm8sz10 ай бұрын
Dah mji mzuri msafi ❤Tanzania 🇹🇿 tushaachwa mbali sana hongera sana kagame wew ndo president of Rwanda 🇷🇼 wa kweli na kiongozi wa kweli
@revocatuspaulo671610 ай бұрын
Umeachwa ww unalinganisha Tanzania na uafala
@ramermohamedy43449 ай бұрын
Nchi inazid ukubwa na mkoa wa kigoma ndio ufananishe na tz
@nkubitodennis84310 ай бұрын
Beaufull and cleanest cities in africa
@King_18610 ай бұрын
This is beautiful
@ernestsinje-ng8hm10 ай бұрын
Nimeipenda Bustani nzurii
@deogratiuskweka848810 ай бұрын
N’chi bila kufwata sheria pamoja na ubinafsi ,haya tutabaki kusimulia ya wengine!!!
@KarambiziMartin-xv8op9 ай бұрын
Tumejipanga kimaendeleo bro tunawakalibisha tena kalibuni Kigali Rwanda 🇷🇼
@Esterkomba-ef7eb10 ай бұрын
Hatakama ni mkoa mmoja Tanzania ingekuwa chafu tu sababu usimamizi mbovu wizi wa pesa zamiladi mpaka aibu
@magrethmbangama119910 ай бұрын
Kagame ndo angekuwa Rais wa bongo na maliasili zote tulizonazo tungekuwa levo za s Africa cc nakwambia.
@dieudonnemushimiyimana92069 ай бұрын
Kwa ukweli ukubwa wa nchi ndio utajiri. Kwa hiyo kwa kuwa Rwanda ni nchi ndogo sio inaifanya kua safi lakini ni kutokana na mstari wa serikari inayoongoza
@MultiKasuku10 ай бұрын
Ukikuta shimo barabarani (pot hole) uje uchukue hela kwangu
@ramamrutu491410 ай бұрын
Rwanda ni moja ya sehem nzuri sana kimaisha especially kigali
@abdulaabdula263110 ай бұрын
Inge kuwa bongo njiani viband vya mpesa vitupu
@GadNkurunziza-kg1uc9 ай бұрын
My lovely city KGL ❤️ fire burn 🔥
@user-xt4kh3nt1c9 ай бұрын
RWANDA nchi yetu, Paul KAGAME our true president❤
@thomastemu333210 ай бұрын
Safi sana hongera raisi kagame
@aubreychuma544910 ай бұрын
Nice Rwanda
@user-uo6bo3ph6g10 ай бұрын
Njoo kwetu sasa nchi nzima mabango ya ccm😂😂😂😂
@Onesmoboyz10 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅umesema kwel kabisaaa
@herrwin.6 ай бұрын
i love the fact that they are driving on the right side,, i don't know who established this left(wrong) side in Tanzania
@DadysBoy.10 ай бұрын
bodaboda rwanda 🙌🙌 yan wote wamevaa helmet
@shamismith80838 ай бұрын
Police wakikushika usipo vaa helmet unalipa fine
@kazunguclaver253910 ай бұрын
Baada ya ajali nyingi zilizo ua watu wengi. Rwanda hata mikoani kuna Camera nyinyi za kutosha Spidi mwisho ni 80. Sio rahisi kuona gari zinasimamishwa na Askari wa barabarani.
@nzizajovinpaul495510 ай бұрын
Mambo vipi Kazungu Claver Kigali mnaendeleaje ?
@ernestbanda27029 ай бұрын
Asante kbs
@biasharaonline6939 ай бұрын
Napafananisha na mji wa Moshi Tanzania nao pia ni msafi sana na madereva wanatii sheria kinoma yan sijawahi ona kwingine Tanzania hii hasahasa wanapofika kwenye zebra lines
@laurentwilson-db4ir10 ай бұрын
🎉🎉🎉 yapi Ayo boss 🎉🎉🎉
@abdulfazb980810 ай бұрын
Hapa wale Wenye Povu litawatoka Motif Rwanda Niinchi ndogo lakini wanasahawu Hata Qatar Niinchi Kuliko Rwanda lakini Qatar Sometimes Wanatowaga Misada kwa Inchii ya Tanzania Tunakumbushana Maendeleo ya Inchii Siyo Ukubwa wainchi
@malopemaliyamungu524310 ай бұрын
Acha kelele ndugu.. sema Nchi ✔️sio Inchi ✖️ Pia Sisi tuna miji mingi, Manispaa nyingi pia Majiji mengi. Zanzibar hiyo hapo njoo baada ya miaka 10 utadhani upo Oman. Misaada tunatoa kijeshi, Ki-siasa, Kijamii kwa Huduma za kijamii.. n.k. Nchi zilizonufaika na msaada wa kijeshi toka Tanzania ni Namibia, Angola, Msumbiji, Zimbabwe, Uganda, R.S.A Rwanda, visiwa vya Comoro n.k. Misaada ya Kijamii Mozambique (Chakula na Madawa), Malawi (Chakula, Madawa, tent, Magodoro, Ujenzi wa miundombinu, Uokozi), Comoro-(Chakula), Sudan Kusini (Chakula), Haiti (Mafunzo ya Madaktari), Sudan (Mafunzo ya Madaktari), Turkey (Fedha USD). Misaada yetu ni utu sio Misaada ya vifungo vya mitego.
@elyse9919 ай бұрын
Green city Rwanda 🇷🇼 vist Rwanda we love president pk
@TheMacdonald23010 ай бұрын
Nchi ndogo, watu wachache, rasilimali kidogo ila think tankers wanafanya mambo makubwa. Viongozi wanajitambua, wananchi wamejengewa nidhamu kwa mfumo rasmi. Viongozi, Viongozi, Viongozi, wa mataifa mengine ndo kikwazo. Huko hamna uchawa
@Burner_Acc10 ай бұрын
Tanzania mnamtaka democracy hamtaki maendeleo endeleeni kutafuta democracy muone kama mtafika popote pale.
@emmanueljoseph381210 ай бұрын
Dah! Viongozi wa Serikali ya Tz wakimbiwa ukweli wanasema wanatukanwa Jifunzene hata kwa Nchi ndogo hizi za ZA KIAFRICA BASI ACHENI UBINAFSI WA MALI ZA UMMA!
@selemanisalum768510 ай бұрын
Kagame ni mzalendo km marehemu magu anachukia sana rushwa na akikukamata umekura rushwa utaoza jera
@NambajimanaAnastase-mf7sm8 ай бұрын
Inchi ya Rwanda ndo number moja Kwa usafi in Africa yote kbx .
@saidibanda834710 ай бұрын
Is the beautfull city
@allymwilu808910 ай бұрын
Nchi safi kabisa sio kama dar mavi matupu
@lastkingrwanda80669 ай бұрын
I love RWANDA system
@youngstone609 ай бұрын
Thanks kigali kwani usafi ❤
@khamismohd734410 ай бұрын
Utafikili gari inaludi umo Kwa umo kutokana na mazingira yake yalivyo mazuli
@misheckmrk88489 ай бұрын
Warwanda wako vizuli sana❤
@kazunguclaver253910 ай бұрын
NYUMBA ZA NYASI MARA YA MWISHO KULIONA RWANDA ILIKUWA 2010. SERIKALI YA RWANDA ILITENGA MABILIONI YA PESA KUJENGEA NYUMBA ZA BATI WASIO NA UWEZO KUPITIA KWA WAKUU WA WILAYA.
@mcback438410 ай бұрын
Zipo nyingi tu vijijini huko
@j.c.maxima81610 ай бұрын
@@mcback4384Hamna!
@williamtawete460010 ай бұрын
Magufuli pekee angeweza kuijenga Tanzania katika kiwango kikubwa kabisa japokuwa da alikuwa kauzu sana😀
@fatimaussene10106 ай бұрын
Naipenda rwanda yaani boda boda zimefungwa nini sijui yaani ziki fanya movement mwenye boda anajua usafi na mazingira uko juu sheria zao ziko vizuri na watu wana tii sheria naipenda rwanda
@kazunguclaver253910 ай бұрын
Ramadhan Juma Usikose kufika mitaa ya Remera. Uone upanuzi wa Uwanja wa Amahoro kwa gharama ya Dola Miliyoni 165. Pembeni yake ndio kuna Kigali Arena kwasasa BK Arena.
@nyiramugiranezaariela49079 ай бұрын
My country ❤❤
@MACHOYATAI-jk6fu8 ай бұрын
Tanzania nchi ya matahira hii labda MAGUFULI MUNGU amludishe ndo ana akili peke yake sasa nchi inaongozwa na vibaka itaenderea lini
@ganzaalex54629 ай бұрын
Karibuni kwetu rugha ya taifa ni Kinyarwanda ❤
@yasiniyamamoto81749 ай бұрын
Best in east africa
@Niyiturinda9 ай бұрын
Karibu kwetu Rwanda ndugu zeru
@hurumakaaya115010 ай бұрын
Umesahau... Bodaboda zote zinafuata sheria zote za barabarani
@user-ok3ws8jl2s10 ай бұрын
Siku zote kidogo kukimiliki ni rahisi Sana kuliko kikubwa kwa kweli kama wakiamua hivyo hata Zanzibar wakiamua wanaweza ila Tz ni ngumu sana
@1nesoch9 ай бұрын
Yaani, ina maana kwamba Canada ni ndogo, Japan ni ndogo, Marekani ni ndogo, China ni ndogo.... ao sio?
@williamtawete460010 ай бұрын
Nchi hii tunahitaji kina Magufuli tu ndio wenye uwezo wa kunyoosha mji na nchi ikawa inchi kweli
@salmanmagwe22210 ай бұрын
Rais magufuli alitujazia Wamachinga kila kona ya mji,na taka kila kona
@adamally590810 ай бұрын
uyo magafuli ndo alikuwa anaharibu miji
@jimmyromani13399 ай бұрын
Labda Tanzania viongozi wabadilike na kujifunza na kuzidisha uzalendo ili nchi ipate maendeleo na miundo mbinu mpya
@niyonshutiplacide26939 ай бұрын
Hukundiokwetu bro city safikabisa
@RichardJailo-pp7kj10 ай бұрын
Mnakaz ya kusifia Kwa wenzenu mala Dubai mala uturki mala South na Sasa Rwanda
@kazunguclaver253910 ай бұрын
Karibu Kigali Rwanda Juma. Kumbe wewe sio mwana habari michezo tu unaweza umesaidia watu ambao hawajafika Rwanda. Pia nchi nzima ya Rwanda hakuna nyuma iliyoezekwa nyasi, mafuti, udongo!
@Chettymlambalipsi-lb9km10 ай бұрын
Mmmh china yenyewe Kuna nyumba za nyasi sembuse apo Rwanda
@J4UPro10 ай бұрын
Kwani kuezekwa makuti au nyasi ni umasikini?
@Chettymlambalipsi-lb9km10 ай бұрын
@@J4UPro ndo hapo sasa
@TamuzaKale10 ай бұрын
@@Chettymlambalipsi-lb9km China ni dude kubwa duniani.
@herrschmidt48149 ай бұрын
Mukuje muone watoto mache awo wa hamissa mobeto wakudanganya daganya nawa kajala 😂😂😂 lakini tunawapenda wa Tanzania, respect diamond Platnumz 💎❤️❤️❤️❤️😍🙏🙏🙏please respect him 🌹💯💯🙌
@michaelboniphace368510 ай бұрын
Tanzania Nchi yangu ,Kuna kiongozi Mkuu wa chama Flani alisema Kwan Bodaboda akibeba hata abiria watatu shida iko wap
@NiyomugaboAdrien9 ай бұрын
Karibu tena rwanda hio ndio RWANDA sisi tunasema ni RWANDA yenye maziwa na hasali tofauti sana na buguluni 🤣🤣🤣
@FredMwamgogwa-td6ni10 ай бұрын
Uyo ndio paul kagame mtu wa maendeleo
@SeneniSara-kg6xl9 ай бұрын
Usifananishe Tanzania na Ruwanda apo ni mjini nenda vijijini ukapige picha alafuututumie Tanzania tuko juu sana kuliko uko Ruwanda
@philipkomba552510 ай бұрын
Kidumu chama cha revolution
@ndukulusudikucho_10 ай бұрын
Sisi tuko busy kusikiliza kila mtu , Nchi nyingi zenye mkono wa chuma zinafanya vizuri mno, huwezi kuongoza Nchi huku unasikiliza miluzi, wapiga kelele wa Rwanda wote wako Nje ya Nchi, je Hawa wanatumia katiba ipi? ya Mwaka gani?
@peterkanamugire72169 ай бұрын
Younger fc fnz❤
@peterkanamugire72169 ай бұрын
Nice video
@user-fq3gf5il3m9 ай бұрын
congrats Rwandese, i don't see dustbin from start to end of the video, where did u put then trash?
Nchi ya watu na serikali ya watu wanaojiejielewa.. Kizuri chajiuza, kubaya chajtembeza!
@lifeinmiddleeast817910 ай бұрын
Haswaa tz hovyo kweli maovu Tu ndo yanakithiri
@oklahommy983810 ай бұрын
Wanaoicahafua tz ni watanzania wenyewe hizo sheria za usafi za rwanda zikiletwa tz watu watapiga nduru waseme wanaonewa maana washazoea uchafu kutupa takataka ovyo inshort not responsible citizens
@fatumasukwaju22610 ай бұрын
Ss tumeshashindikana juu ya uvunjaji sheria.hatuendi sharti kwa viboko
@abdoabakar32619 ай бұрын
👍
@kelvinkangomba959010 ай бұрын
Kuna umuhimu wa barabara zetu wakandarasi waache sehemu hizo za bustani. Iwe ni sehem ya mkataba.
@raykyando757110 ай бұрын
Umeongea point kubwa miji yetu mingi ni majangwa, kuanzia nyumbani mpaka barabarani
@omolomaxfitnessbodylifetim825210 ай бұрын
😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉 ❤❤❤❤❤❤ M13 ulizotaja ni wanyarwanda wote kwa ujumla ila Jiji lenyewe la Kigali si zaidi ya miliyoni 1.5 za wakazi maana Mimi nipo hapa tangu 2006
@jacksonutulivu968610 ай бұрын
Duh ni kweli eh
@MichaelMathew-ke6bi9 ай бұрын
Hii mji, nafananisha na mji wa hapa Mbulu tu! Hahahahaha!! Msitutishie na haka kamji tu!!
@aminamjema-kf7qr10 ай бұрын
Hongera zao
@pastorbucyensengejeanclaud29379 ай бұрын
❤❤❤
@shyakadenis530910 ай бұрын
Mkubwa tunakukubari mia @ Kigali Rwanda
@donaldmartin-ps2ig9 ай бұрын
Dah
@mukayilagahima411610 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@japhetkakwezi94979 ай бұрын
Ila Saivi jamaa anauza Chai sana...Maelezo yanajirudia sana
@richardbegga667910 ай бұрын
Hivi Vitu vinawezekana Njee ya Serikali ya CCM.tofauti na hapo ni kuendelea kuota tu
@emmanueljoseph381210 ай бұрын
CCM NAWASHAURI WAMPE KAGAME AGOMBEE MIAKA 5 TU ILI ATHIBISHE KAURI YAKE KWA MZEE WETU MSTAAFU, .
@abdulkadirramadhan9 ай бұрын
nmezipenda hzo road lkn huku kwetu mpk leo wanang'ang'ania mfumo wa road mbili wkt kila sku watu wana nunua magar alafu wew bado unamfumo wa road mbili na parckng humo humo na unategemea folen mjin icwepo
@jumanassoro155210 ай бұрын
Mji ukiwa msafi ata maradhi kama kipindu pindu marelia vigonjwa vya ovyo ovyo ivi mbu vigumu kuingia