Magufuli kumbe ametutoka kimwili tu lakini kiroho bado yuko hai pamoja nasi. Mamwona akiwa hai ndani ya makonda. Asante ee Mungu wetu. Asante mama Samia kwa kumteua makonda.
@user-pi5ec6nj6j5 ай бұрын
Kabisaa yan
@ChiefNgosyemo12 күн бұрын
Amin hivyo Hawawezi😢 wakauwauwa wakawamaliza
@marieconnect638912 күн бұрын
@@ChiefNgosyemo kweli kabisa
@marieconnect638912 күн бұрын
Mungu wetu anatupenda sana na bado atatupigania watu wake. Asante mungu wetu
@marieconnect638912 күн бұрын
Kweli
@banguha5 ай бұрын
I'm crying for joy Asante Mokonda jmni uyu ni mtoto mdogo sana kizur anapenda shule na anakumbuka familia yake
@justinomtili92265 ай бұрын
Daaah! Mtoto amenitoa machozi, Mungu akulinde mh makonda
@Bridge20245 ай бұрын
Hakika tukiwa na wigo wema wa kusaidiana kwenye maisha huo ndiyo uongozi mungu akubariki mh: makonda. Amin
@bbanyikwa5 ай бұрын
Haki ya Mungu makonda ni kiongozi Namuona magufuri ndani yake ❤❤❤❤❤❤
@laylayl51665 ай бұрын
Kabisaa yaani
@marieconnect63895 ай бұрын
Kumbe Magufuli bado anaishi nasi japo amenondoka kimwili
@NasraOthmani-by4rn5 ай бұрын
Kwakweli mungu amtunze
@selemanhamidu13985 ай бұрын
Kabsa
@salometabu1005 ай бұрын
Kweli kabisa amefanya vizuri sana kumsaidia Huyo mtoto maana ndo professor wa kesho
@Maryc2G5 ай бұрын
Asante Muheshimiwa Makonda kwa kumsaidia mtoto huyo na familia hiyo. Mungu asikupungukie kwa chochote.🌹🌹🌹🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@user-he1rn4og2i2 ай бұрын
Mungu akuhifadhi akubariki Mtumishi wa Mungu Mheshimiwa Makonda
@marieconnect63895 ай бұрын
Usikatishwe tamaa na wengine waovu wa kichinichini wenye wivu ambao hawana ubavu wa kusimamia haki kama wewe. Hawapendeki kama wewe hivyo wanatafiuta kila namna ya kukuchafua mh. Makonda kwa faida zao binafsi. Wewe piga kazi bila woga wala unafiki na mungu akutunukie uongozi wa ngazi kubwa zaidi kwa taifa hili ili aendelee kutimiza mapenzi yake kupitia wewe kwa faida ya faida lake hili. Tunakukubali mh Makonda Mungu akulinde na akuinue zaidi sana
@mjukuuhotelitv77365 ай бұрын
Makonda wewe ni Magufuli mtupu Mungu akuweke zaidi
@laylayl51665 ай бұрын
Amiin amiin yaarab
@jackiesheo60635 ай бұрын
Haswa
@jumakapesa29405 ай бұрын
Sitaacha kukuombea Mh:Makonda. Hakika unachokifanya kinaujira wake. Asante kwa Rais wetu Dr Samia kwa kukuteua katika nafasi hiyo.
@user-ng6yt2od7l2 ай бұрын
Yaani cjui alijuaje?maana Arusha moto
@priscadaniel64595 ай бұрын
Makonda mungu akuweke sana .sio lazima kila mutu.aone.wema wako mungu akulkpe
@MuddyShaakif-wk8ni5 ай бұрын
Dah sio uyu dogo amenifanya nilie kwa uchungu sana makonda mungu akulie endelea kuwa na moyo uwo uwo
@janethngowi10585 ай бұрын
Kwa hili Mungu akubariki sana Makonda!
@faudhiasalum72795 ай бұрын
😢Umasikini unadhalilisha sana 😢😢MUNGU ampony mama ako 😢😢na wewe ni mwamba 🥰hongera sana dogo
@ramadhanimuya21625 ай бұрын
Nimempenda sana huyu dogo.safi sana.Mwenyezi mungu amsaidie.
@OlivaSilayo-mj5yf2 ай бұрын
😂
@sheryphamwenevalley61245 ай бұрын
Namkubali sana makonda, viongozi wakifata mfano huu ubarikiwe sana makonda❤🎉🎉
@RukiaMwenge5 ай бұрын
Mungu akubariki mhe makonda hicho unachokifanya mungu atakulipa.Hongera sana mtoto wetu ni shujaa sana atafika mbali mradi asome tu
@KelvinBanda-pk5py4 күн бұрын
MH Paul makonda mungu wakujua kubariki akubariki katika kazi zako zote,unapolala,unapotembea,unapowaza katika kutetea wanyonge na mwenyezi mungu akulinde kwa hari ya juu.Mi ni malawi ila nimeshawahi kukaa huko Tanzania kwa miaka 10 ila nachonderea kuona unachoendera kukiona ila moyo wangu nafurahi sana hakika wewe kabisa ni magufuri wapiri .
@tatutumbi46405 ай бұрын
Makonda, Mungu Akubariki Sana Mwanangu. Huyo mtoto , ndoto zake zifike mbali.
@user-br7sf6ey9t5 ай бұрын
Asante sana mweshimiwa makonda ❤❤❤❤ mwenyezimungu akutunze mpaka vitukuuu visipungukiwe amina
@immabahatiimmabahati23735 ай бұрын
Mhuu mwenyezi mungu akuponye kabisa katika Jina LA yesu lililo Hai 🙏 huyo mama
@samuelemmanuel34005 ай бұрын
Alienda kanisani akaombea akapona, such a miracle. Glory be to Jesus
@RobertsonNandime-eo9fp5 ай бұрын
Amina❤❤
@JoyceMichael-bm9yw5 ай бұрын
Amen
@prizmtotnan23535 ай бұрын
Na bado akainuliwa from no one to someone power of prayers
@isaliisu34085 ай бұрын
Watoto wanaruhusiwa kujihusisha na siyasa
@greysonkisinda73905 ай бұрын
@@isaliisu3408😂 nawekumbe umemuona yule mtoto kavalia shati ya ccm
@mugetakasenyi8215 ай бұрын
sikuwa nakuelewa kabisa kazi yako makonda lakini kwa hili dah! nimelia sana huyu mtoto asomeshwe na hikishindikana tushirikiane
@mamamdogo4095 ай бұрын
Niko Kenya nakufatilia sana ila kwa hili la huyu mtt nimetoa machozi mungu akubariki nakupenda bure
@SirasKeyoo4 ай бұрын
Kenya sehemu gani
@umsulaiman74685 ай бұрын
Makonda Mungu akuhifadh kwakweli unaiman na huruma Jaman Al haj Yahya Allah akuhifadh yarab usome ufaulu ManshaAllah unaakili baby wangu na
@mohamedsalat106618 күн бұрын
Huyu mtoto msaidiyeni kabla haja poteza imani yake walahi siku ya kiyama tutaulizwa siku ya qiyama wale wako karibu nayo mimi walahi niko mbali sana lakini wale walio karibu ole wenu
@HanifaOman-oo4pl5 ай бұрын
Mtoto maashaallah anaakili sana yakujisaidia nakujiakini Allah akufanyiewepesi makonda Allah atakulipa heri ulipotoa pataongezeka lnshaallah
@laylayl51665 ай бұрын
Amiin
@YasminaMkali5 ай бұрын
This is more than painful 😢😢😢....mie sio wa kulia lia, ila leo nimelia sana 😢😢😢 Mzimu wa Magufuli wamvaa Makonda ❤❤❤
@benjaminjoseph17475 ай бұрын
Yaani acha. Nimeguswa. Hakika nimemkumbuka mzee wetu JPM. Alale mahali pema.
@judithkirenga99775 ай бұрын
Viongozi wetu huu ni ujumbe mzito sana kwenu, Wenzetu wanatengeneza future za vizazi vyao huku sisi tunatapanya pesa na kujivinjari kwenye mataifa ya watu wengine yaliyo endelea huku mkidharau na kuto kuidhamini Nchi yetu
@jeanmiruho47705 ай бұрын
❤❤Ubarikiwe sana Makonda kuokoa maisha ya uyo mtoto Nakupata 5/5 från Stockholm Sweden
@BoavidaAlbenito4 ай бұрын
🎉
@user-nu3gd9pt3y9 күн бұрын
Mungu akakufanye kichwa wala si mkia wa juu tu wala si wachini ukafanikiwe sana mdogo wangu Mungu akutunze
@Bensonfrank255 ай бұрын
Dah! Wekeni hata namba jamani tumsaidie uyu mtoto! 😭😭
@lucaskagoma76055 ай бұрын
Asante Sana Makonda kwa kumusaidia kijana huyu kwakweli kizuri huwa hakidumu naomba Makonda kuonana na wewe
@nkundajames39995 ай бұрын
Dar huyu dogo nam fahamu japokua nilikua mgen kigoma lakin kunasiku nilimuona DOGO nikahisi kama kunakitu ndan yake nilimsaidia kwakile nilicho jaliwa mungu nimwema kumbe dogo anavitu vingi sana japo hatujaongea mambo mengi
@sabinuskomba25355 ай бұрын
Nitafutie mawasiliano yake
@peterhelpeterluena91915 ай бұрын
Hongera sana. Ulifanya vizuri sana. Mungu atakulipa siku yako ikifika.
@cjrtzАй бұрын
Mungu asikupungukie nkunda james
@habibabarker16445 ай бұрын
Mwanangu Makonda Mungu akulipe na atakulipa tuu unasaidia wasiojiweza
@modestamashoke90385 ай бұрын
Mungu akubariki Mh Paul Makonda kwa kumsaidia huyu mtoto
@hamzafishten95605 ай бұрын
Makonde Allah akulipe kaka yangu akupe urmi mrefu
@filbertmahay325 ай бұрын
Hongera sana mheshimiwa makonda kwa kazi kubwa unayofanya ya kuwasikiliza na kuwasaidia wanyonge.
@khadijakimana88095 ай бұрын
Makonda, Im following you from 🇨🇦 You're a nice man with good heart 💖 May God bless you and protects you💫🤲
@user-eu5fb7kd1y5 ай бұрын
Amen
@jackiesheo60635 ай бұрын
Ameni
@Maryc2G5 ай бұрын
Mtoto anaakiri sana, Mungu ampiganie huyo mtoto
@user-el6mm4lh4m5 ай бұрын
Makonda ni mwanadamu ktk wanadamu mungu ndo atakulipa🎉❤❤❤❤❤ C.C.M.Juu
@hamisimkulu65715 ай бұрын
makonda we we nikiongozi
@halidimgonza59455 ай бұрын
Allah atakufanyia wepes mtt mzr na akurudishe kwnye iman yko ya awali na akuongoze ktk njia iliyonyooka
@jacquelinenanze65305 ай бұрын
God Bless you Brother Makonda.
@martinamahenge44765 ай бұрын
Another day to cry with stranger…😭😭😭😭😭
@budhbd52085 ай бұрын
Me to😢😢😢
@zurfapahenge88025 ай бұрын
wow 😭
@saumusalimuhassan24995 ай бұрын
Me too 😢😭😭
@azizahamisi73495 ай бұрын
Me to 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@JOYCEKIVUGO5 ай бұрын
@@budhbd5208😊😊😊😊
@GubraCity-dm5sx5 ай бұрын
😢😢😢😢unanikumbusha mbali mdogoangu umenigusa
@amosmakoba50425 ай бұрын
Ninamshukuru Mungu kwa kukupa ufahamu wa Neno lake mh Makonda.. Mungu kakupa nafasi ya kuwa kiongozi katika Taifa hili kwa kusudi maalumu. Moyo wako uigwe na wengine katika kuongoza wananchi...🙏🙏
@user-ibrahim355 ай бұрын
Pitapita za magu zinaonekana mungu akubless sana more than a. Leader
@user-ut5iv2bv7s5 ай бұрын
Mpaka Nimetokwa Namachozi Mungu Amsimamie Huyu Mtoto
@hamzafishten95605 ай бұрын
Namimi kabisa
@JehovaJonas5 ай бұрын
Inaumiza kwa kweli
@immaculathaemmanuel82405 ай бұрын
Mimi nimejikuta nalia tu
@user-kr4kn4vc9z5 ай бұрын
Pole sana mdgo wangu mwenyez mungu akusimamie na akubaliki kwenye utafutaji wako
@user-vm3vt7sx6h5 ай бұрын
This kid will never forget you Sir!!! He will live to testify your greatness
@jackiesheo60635 ай бұрын
Exactly
@user-iq3qn7bc2r5 ай бұрын
Its so emotional wallahi,young boy like him takin care of the family as a Dad. Makonda live longer
@mokitaa87505 ай бұрын
muache kuchezea hela kwa kununua goli moja milioni 5 . mnateketeza hela kwenye mpira hali ya kua wananchi wenu wana hali mbaya sana
@husnathabiti41145 ай бұрын
Kweli kabisa
@ahmadisaidi3952Күн бұрын
Kila kitu na umuhimu wake ndio maana budget ya nchi huwekwa katika makundi yaani wizara kutokana na uhitaj, kwa mfano wizara ya TAMISEMI inatengewa budget kubwa kutokana na majukum mazito iliyo nayo
@fadhilfundi62655 ай бұрын
Daa Makonda Mungu akubariki urifanya kitu sahihi kabisa maana na sisi turipitia mitiani kama iyo msomeshe Allah atakuripa
@user-io5gh8gd7b5 ай бұрын
Makonda mungu akubariki kaka akuongoze ktk kazi kwa kumsaidia huyo mtoto Asante kaka makonda
@tilifozakikoti50465 ай бұрын
Makonda Mungu azidi kukutunza uishii maisha marefu kazi yako njema sana ubarikiwe sanaa
@user-ok4fe4be9m5 ай бұрын
Makonda mungu akubariki sana kwa kazi nzuri
@marieconnect63895 ай бұрын
Asante sana kaka Makonda kwa kuvaa roho ya ubinadamu. Mungu akubariki sana.
@user-nu3gd9pt3y9 күн бұрын
Mungu akubariki sana Mheshimiwa Makonda
@user-vl9ic1rb3w5 ай бұрын
Be blessed Big Bro. Makonda. Another Magufuli coming for TZ. May Allah protect for the Evils.
@jackiesheo60635 ай бұрын
Exactly
@hilarymark75835 ай бұрын
Huyu dogo apelekwe shule nzuri kisha jeshini moja kwa moja
@PrinceBonnyTz85 ай бұрын
😅😅
@wilsonjaphet55475 ай бұрын
True
@SululuZungu-kx8ws5 ай бұрын
Jeshini ya nyoko 😂😂
@bensonmasanja98625 ай бұрын
@@SululuZungu-kx8wsAnafaa kwenda jeshini,ana Uwezo mkubwa wa kiintelijensia.
@johnkigina16965 ай бұрын
Jeshini ndo umeona pazur ndg mh
@BrendaGeorge-yz2px5 ай бұрын
Nimelia kwa uchungu xn, kuna watoto wanafanya kazi ngumu sana, umri wake wa kwenda shule huyu jomon. Duuuuuuuh Baba Makonda mshike mkono huyu mtoto, He'll make it oneday
@chomasongidion60475 ай бұрын
Allah akuhifadhi inshallah urudi mtoto mzuri katika imani yako ,,makonda ubarikiwe sana
@Pys5905 ай бұрын
From tiktok . Aki qko na mungu wake..
@habibabarker16445 ай бұрын
Alhamdulilah watu wakwetu jamani mmemchangia mtoto wetu Allah atawalipa
@marieconnect63895 ай бұрын
The president in the making. We have a future preside here. God thanks and bless our country with this kind of leaders. Amen
@jackiesheo60635 ай бұрын
Ameni
@zainab82515 ай бұрын
Inaumiza sana،pole sana mwanangu mwenyexi MUNGU MWEMA
@gorethlutego25875 ай бұрын
Waooooh jamani nimefurahi bure be blessed Mhe.MAKONDA
@LeodigaryPatrick-zo5kl5 ай бұрын
One love makonda your the best ❤❤❤❤
@user-ds8kq8ov6l5 ай бұрын
Daaah nimeliaa sana jamn daah
@elieniyonzima107411 күн бұрын
Mtoto kaomba vizuli hajaomba hela,ameomba kusoma uyo mtoto namtakia kila laheli, love from 🇧🇮🇧🇮
@marieconnect63895 ай бұрын
Tanzania yetu Mungu atatujali tu. Tufanye maombi kwa sana Mungu atatuelewa tu. Atupe vipngozi wazalendo wenye mapenzi ya kweli na nchi toka moyoni na wanaopenda kutumikia watu na siyo kutumikiwa. Watu hao wapo Mungu wetu awasimamishe sababu yeye amawajua. Tuombe bila kukata tamaa 🙏🙏🙏 Mungu wetu siyo kiziwi
@MsalabaniRekoАй бұрын
Amina
@MaikoSiriaАй бұрын
kweli kabisa 😢😢😢😢
@marieconnect6389Ай бұрын
Amina na iwe hivyo
@aminahhuawei11335 ай бұрын
Allah akulinde kiongozi wetu makonda🙏🙏🙏😭❤️❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰
@user-dx1hz3ow7k5 ай бұрын
Mungu akufanyie wepesi ktk kazi zako muheshikiwa Makonda
@user-hh5pb9cb1k6 күн бұрын
Genius mtto anaakili mpka raha eeh mwenyezi mungu nisamehe pale ninapokua nalalamika nashida kwasababu wako wanashida zaidi yangu
@AliHassan-fy6zk5 ай бұрын
Kazi safi Makonda Mungu akupe nguvu
@hellenmagembe87685 ай бұрын
Mungu akubark makonda,pia mungu akusaidie mtt mzuriii ufke mbali 😭😭😭
@fedricksulley59196 күн бұрын
Mungu akubariki Sana makonda Hakuna MTU anayekuwa mbaya kwa kutaka mwenyewe kila ubaya unasababishwa na watu.. kwahiyo MTU akimuona makonda mbaya basi ubaya wake umesababishwa na watu wenyewe
@MonicaMikola-z5n15 күн бұрын
Mungu akubaliki muheshimiwa makonda mungu azidi kukuongoza katika kazi unayoifanya
@mukeragabilodiana93915 ай бұрын
Huyu baba makond mungu ambaliki sana mimi ni murundi nirikuwa kambini tanzani arinisaidia sana na sasa niko ulaya yani watanzania wenye loho nzuli nyote mungu awazidishie balaka kwa jina ra yesu amen
@aminarajab10455 ай бұрын
Mtt anakichwa cha utajili mbeleake
@mursilmursal5 ай бұрын
Unaharibu hella kwa wanawake starehe zakijinga una kashifu kazi yako kuwa haina mapato mazuri unasahau kuwa kuna waatu wanapitia magumu wangetaka tu kukuwa na hicho kidogo unae pata siku zote shukuru Molla Allahamdullilah
@rosemassawe94562 ай бұрын
Mh. Makonda mungu akubariki pamoja na familia yako. Nimefurahi sana umeteuliwa kuja kwetu Arusha. Karibu sana ututetee sisi wakina mama ambao hatukupewa mkopo wa kurudisha bila riba. Kwani ni mungu amekuleta Arusha. Amina.
@magrethjullias57705 ай бұрын
Mungu alibariki Tumbo lililo mbeba huyu mtoto miez tisa mama ake anabahat sana kameniliza
@Carolina-sm5zt5 ай бұрын
Mungu akujalie Kaka mpendwa wetu barikiwa sana
@bm4tv6025 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akujalie brother makonda
@stephenkilalacharles19815 ай бұрын
GOD BLESS YOU BROTHER MAKONDA
@estermussa4865 ай бұрын
Kweli brother umezifuata nyayo mungu akuzidixhie
@mamamdogo4095 ай бұрын
Makonda nakuja kutoka Kenya ,tuijenge inchi maombi yangu yalijibiwa kukurudisha uwanjani piga kazi
@AlfredAloyce-wh5nq5 ай бұрын
Mungu akubariki kiongozi makonda
@johnlucas85092 ай бұрын
Kwa kazi unayoifanya Makonda Mungu aendelee kukukumbuka zaidi katika kazi zako kwa kusaidia jamii na kuwapambania wanyonge
@user-lt4vk6qy8i5 ай бұрын
Kazi nzuri Mungu akutunze🙏🙏🙏
@lelomellowtz5 ай бұрын
IKIWA UNAJIONA WEWE NI MDHAIFU NA MNYONGE KUMBUKA MUNGU ANAPENDA KUTUMIA VITU NA WATU WADHAIFU NA WANYONGE WALIODHARAULIKA ILI KUONYESHA UKUU WAKE NA NGUVU ZAKE KWA KUWAINUA KATIKA VIWANGO VYA JUU KABISA. AMEN😭🙏🏽❤️
@marieconnect63895 ай бұрын
Nimepmenda sana huyo mtoto ana akili ya ziada. Anapenda mamake na anajiprnda yeye pia. Anajua elimu ni ugunguo wa maisha. Tena yuko serious sana na kusoma. Good kid
@mohamedimiraji5495Ай бұрын
I appreciate this mission for the poor and vulnerable. BIG-UP BROTHER MAKONDA
@shaabanayoub63435 ай бұрын
Big up bruh🙌🙌🙌
@user-rn6ft5yz2l5 ай бұрын
Natamani sana machoni mwangu nikuone ukitawala hii nchi maombi yangu mungu kayafanyia kazi
@SarahWilliam-ik2nc3 ай бұрын
Kweli KBS inshallah 🙏
@user-so5sd1fv1vАй бұрын
dah MAKONDA namkubali xn
@MwanaOmar-vx6opАй бұрын
Yani uyu baba mungu amuweke zaidi jamn pacha wa magufuli
@tanzanitegemsCTАй бұрын
Hongera sana kamanda umefanya jambo jema sana naona vita kubwa unayopambana nayo ya kutetea wanyonge mungu akulinde nakutabiria kuwa kiongozi mkubwa siku sijazo Allah akutimizie haja za moyo wako
@mariamkibindo17415 ай бұрын
Nyieee MUNGU ni mwema sana alhamdulillah nakumbuka nami nilikuwa nasaidia mama angu kutembeza ndiz na bagia nkirudi shule alhamdulillah Sasa si haba
@vivianboaz86535 ай бұрын
Mungu akupe maishani mrefu kiongozi
@ProsperTillya-rr9pk2 ай бұрын
Hiyo nafasi ya uenezi walikuzumu tu ila Mungu atakutendea zaidi Makonda usikate tamaa Arusha chapa kazi Mkuu, am admire your work much
@juliusbaynit10605 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mh. Makonda
@Mery-st4nu5 ай бұрын
Jaman nimeumia sanaa jaman makonda siungegombea uraisi