Skuwahi kujua Kama Kuna mfuko Kama huu ila ktk pita pita yangu nmejifunza kitu leo,ila nmeshangaa Sana watanzania ni watu wa hovyo Sana wao ni kuangalia vitu vya hovyo na kuchapisha ujinga kuliko maswala ya elemu uliyo na msingi kwa maisha yetu ya vizazi vyetu.
@yasinikateula66054 жыл бұрын
Yan umeeleza vizur sana
@snftvchannel44923 жыл бұрын
Somo zuri
@marinyasaxistv81214 жыл бұрын
Thank youuh
@yasinikateula66054 жыл бұрын
Nimejifunza kitu hapa
@ahmuhally44303 жыл бұрын
Inasikitisha sana kuona watu hawaangalii wala kucomment Elimu kama hizi ila ingekuwa habari za kipuuzi wangecoment comment hata laki