Napenda utt japo nimechelewa kuingia huko lkn walipo utte nipo. Asanteni Utt.
@filorammbaga5710 Жыл бұрын
Somo ni zuri sanaaaa! Thank you Daudi. Nahavache mno nimeelewa!
@catherinemzurikwao32652 жыл бұрын
The background music is so high!
@veronicalemalali6361 Жыл бұрын
Asante sana nimejifunza vitu vingi. Taenda kufungua yangu and my kids also. Be bless my brother
@jedidahbintidaudi8241 Жыл бұрын
background music ipunguze volume jmni
@mikaayo10 Жыл бұрын
Asante sana Mr Mbaga ingawa mimi ni mwekezaji UTT Kuna kitu kipya nimejifunza
@nicksonjk847911 ай бұрын
Kudos Daud, very robust preparation 👏 🎉
@filorammbaga5710 Жыл бұрын
Daudi una madini ya uwekezaji, Mungu akubariki sana.
@barakayusuph51907 ай бұрын
Hongera sana mr daudi mbaga natamana sana hii elimu ifike kwa watu wengi hasa Sisi tuliopo huku pembezoni mwa nchi kama katavi,kigoma ,sumbawanga ,songea,mtwara.
@khalfantambwe59802 жыл бұрын
Good job big brother
@user-to5zd1cj3g3 ай бұрын
Upo vizuri kaka
@jedidahbintidaudi8241 Жыл бұрын
Tumuombeeni sana Mama Samia wetu na serikali yake ya uongozi then our country will grow which will impact our investments for the Glory of our God! thanks much Mbaga for your time and presentation..superb!
@daudimkuki8018 Жыл бұрын
Dah i learn a lot...
@mkwejonathan361 Жыл бұрын
Safi sana bro, be blessed
@filorammbaga5710 Жыл бұрын
Aaah Dr nimekuelewa nitajilipa myself first kuanzia mwezi huu mwishoni. Sasa,sasa,sasa nitajilipa.kwanza nimechezea fedha kumbe.
@mlalidaycare814 Жыл бұрын
Nice presentation Mr mbaga..by the way I got a wonderful lesson about shares investment . very satisfied to me
@dn.n49838 ай бұрын
Kweli kabisa jitambuwe
@dn.n498310 ай бұрын
Wsnalamba kweli yaani kazi hipo
@depaalissuofficial29 күн бұрын
Dear Mr. @edmundmunyagi, naweza kupata kitabu kinachoelezea juu ya uwekezaji wa UTT AMIS hasa mifuko ya Ukwasi na Hatifungani? Kindly, reply me back when you find this quest message!
@kazoyamongateko776417 күн бұрын
nipe namba yako ya whatsup nikutumie
@jedidahbintidaudi8241 Жыл бұрын
hiyo ubanani sijui kasema uber 8 ST namba D ndo nini akisema it gives 150 per week 15:31 naomba jamni kuwlezewa jmni tafadhali
Tembelea Tawi lolote la crdb karibu yako utajua kuhusu UTT AMIS
@Devothakimei2 жыл бұрын
Back ground ya mziki jaman
@lucyjosephat63162 жыл бұрын
Nauliza mwanza huduma ya UTT inaweza kupatikana
@EdmundMunyagi2 жыл бұрын
Fika kwenye tawi la benki ya CRDB lililopo karibu yako.
@daudimbaga32042 жыл бұрын
nssf bldg mezanine
@georgenazi93252 жыл бұрын
@edmund munyagi kwa nini watu hawaamini kuhusu utt wanaona ni kuibiwa
@EdmundMunyagi2 жыл бұрын
@@georgenazi9325 wakina nani hawaamini?
@georgenazi93252 жыл бұрын
@@EdmundMunyagi ni watz wenzangu wananikatisha tamaa natapeliwa
@catherinekawa807810 ай бұрын
Mimi nahitaji kujiunga UTT lakini nawapata wapi?
@catherinekawa807810 ай бұрын
Ama nawezapata no za simu niongee nanyi ana kwa ana?
@EdmundMunyagi10 ай бұрын
Wapo Sukari House, Dar es Salaam. Wana branches, Dodoma, Arusha nadhani na Mwanza lakini unaweza kufika kwenye Branch yoyote ya CRDB kupata huduma za UTT. Pia unaweza kutembelea tovuti yao www.uttamis.co.tz
@rehemaothuman37642 жыл бұрын
Tunapataje broker anausikana na utt
@EdmundMunyagi2 жыл бұрын
Hauhitaji Broker kuwekeza UTT. Bofya *150*82# halafu fuata maelekezo. Utaweza kufungua account na hata kuanza kuweka pesa. Lakini utahitaji kujaza na fomu ya mfujo husika ambazo unaweza kuzipata kutoka kwenye website yao www.uttamis.co.tz halfu ukazirudisha ofisini kwao au ukazituma kwa email.
@daudimbaga32042 жыл бұрын
Tembelea tawi lolote la CRDB
@filorammbaga5710 Жыл бұрын
Daudi sasa kumbe nisingewekeza kwenye nyumba kwanza.Lkn nitafika Dar nipate hii hii eliminate,lkn Daudi usinywe pombe.
@filorammbaga5710 Жыл бұрын
Daudi wewe ni mpare Bwana ndugu yangu,proud for your tribe .Mpare ni best user wa scarce resource I proud to be mpare. We go with budget na hii ndio kauli mbiu yetu. Laminitis naipenda utt.