#Clouds360 Tangu tumeanzisha mfuko wa ukwasi ambao nao ni mojawapo ya mifuko yetu umekuwa sana kutoka kipande kuuzwa sh 100 hadi 200 Daudi Mbaga Mkuu wa masoko na uhusiano Utt-Amis
Пікірлер: 6
@editatairo96673 жыл бұрын
Great one. Watanzania Tupende kuangalia mada kama hizi Kwa faida yetu. Huwa tunapuuzia mada muhimu kama hizi na kushabikia yasiyo na faida kwetu
@ibrahimtwahirkilagwa6533 жыл бұрын
Enlighten
@shubackmashinga35354 жыл бұрын
Yan topic za maendeleo kama hiz eti zina watazamaji 200 watanzania tuwen silias
@murshidibrahm89813 жыл бұрын
imeandikwa zipatwe na wachache sio wote
@ahmuhally44303 жыл бұрын
Kweli mkuu hata mimi nashangaa Watanzania bado sana kukwamuka kwenye Umasikini