@Bongoyoungstar ambaye ametokea Tanzania anaishi Marekani, na ni Truck Driver. Vigezo ni vipi kuwa dereva wa trucks Marekani? Na Maisha ya truck drivers USA yapoje?
Пікірлер: 199
@EBMSWAHILI
Subscribe kwenye channel ya Andrew
@lawrencegwerino1656
Njoo Australia 🇦🇺 kaka .mimi mwenyewe niko huku naendesha dump truck 🛻 kwenye coal mining..
Hiyo kazi lazima nifanye because napenda san hiyo kaz ya track 🎉🎉🎉🎉 kabisa ni lazima🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@JoelFikirini
Mimi nina uzoefu wa miaka 14 sasa ktk kuendesha truck pamoja na mabasi,hivyo nahitaji kuja marekani nifanyeje ila nauli ninayo yakunifikisha huko.
@SalminMkwachu
Wabongo kuongelea kipato Ni wagumu Mzee hata estimate za karibu tu hataki kutaja. 😅😅😅😅😅
@stellaprotazibashaijaban-gq4mb
Nimependa huu ushauli wenu Mungu awabariki. nipo Delaware natamani sana kazi hii sijui nifanyeje?.
@Bless510
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾 MUNGU SIKIA MAOMBI YANGU NIWE INTERVIEWED 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@YusoufYuzhoo
vp kwa Sisi Tunaohitaji kufika huko kufanya kazii...mnatusaidije..
@franciskassanga7999
nimempenda jamaa, hajapoteza tone yake ya Kiswahili🫡
@kisagentabirage6693
Brother EBM naomba msaada wa kuweza kufika huko kufanya kazi kama ya Mr Urassa napenda kuw truck driver pls
@johnstonemuhindi6574
That was good interaction with Andrew... when I see my African brothers doing great in the USA I always clap 👏👏👏 for them and that motivates guys back home to wanna come and join you guys .. Africa Unite 💪(Bob Marley).
@BarakaWicklifu
Congratulations young man, respect for you🇹🇿
@claudeniyondiko5460
Interview kama izi zinatuelemesha kwakupambana kiza more respect Sir
@haronogaden4324
Following up with u from East coast Africa mombasa Kenya
@hamadiiddi5700
Appreciate broo
@LeeMchanaji
Mahojiano mazuri sana. Big up for the good content. New fan from Kenya🎉
@user-we4rt4ud1b
Ushauri mzuri mbarikiwe
@VincentMarley-og2fx
Thanks a lot
@nemesrich5887
Big up bro so inspired one day nami tutakua wote hapo