MTO WA AJABU HAKUNA MTU ANAEWEZA KUVUKA, "WALIOLAZIMISHA WAMEFARIKI"

  Рет қаралды 255,024

Millard Ayo

Millard Ayo

5 жыл бұрын

Пікірлер: 220
@yasinkihupi9583
@yasinkihupi9583 3 жыл бұрын
kukosa kwa elimu ndio matokeo yake hayo. hapo huwez kuvuka accordingly to bernoulli's principle kutokana na irrotational flow ya fluid and pressure inayo result into great force due to high velocity of water and area and pressure ukiruka pia unavutwa chini sababu above the river kuna low pressure and around the river kuna high pressure due to change in crossection area of the river kutoka mita 8 mpaka mita 3 inamaana speed ya maji imeongezeka mara 2 na nusu zaidi its just a physics i love it.
@janemugoya1316
@janemugoya1316 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jsmfarms71263
@jsmfarms71263 2 жыл бұрын
Kabisa
@davidkabuka3792
@davidkabuka3792 2 жыл бұрын
👍👍👍
@abdillahhussein3020
@abdillahhussein3020 2 жыл бұрын
@@davidkabuka3792 usiseme pressure inayo result tunataka uende kujaribu kuvuka sawa kijana
@sikuchachekazikubwa5603
@sikuchachekazikubwa5603 2 жыл бұрын
Ina maana Mkuu wa Wikaya naye haelewi hapo???
@hindisaid2413
@hindisaid2413 3 жыл бұрын
Mi siañgalii mto macho yangu namuangalia MKUU WA WILAYA...naona Samia kaamua kutuadhibu wanaume tukome 😎😎
@subirajohn728
@subirajohn728 2 жыл бұрын
Jamani😁😁😁😁😁😁
@barnabasstanslaus6895
@barnabasstanslaus6895 2 жыл бұрын
Ni maajabu kweliii maana una maziwaaa makubwa sana utaliii wa ndani huo pia🤝🤝🤣🙄🙄
@deniserick6115
@deniserick6115 3 жыл бұрын
Namalizia kula, nikimaliza nakuja kuvuka, boya sana we Mzee💪💪
@latifamohammed61
@latifamohammed61 3 жыл бұрын
Kajaribu uwone kama utavuka
@superbillionairea5987
@superbillionairea5987 2 жыл бұрын
Ukivuka na kupa million. Mimi nipo maeneo hayo. Hapavukikii
@hamiduhamisi2371
@hamiduhamisi2371 2 жыл бұрын
@@superbillionairea5987😁😁😁😁😁 tuma namba yako nikija nikupigie
@malcolmmusa1618
@malcolmmusa1618 3 жыл бұрын
Nakuja kuvunja hiyo rekodi ili mnitangaze, sio mkae kimya nikivuka.
@hamiduhamisi2371
@hamiduhamisi2371 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@hamiduhamisi2371
@hamiduhamisi2371 2 жыл бұрын
nenda ukunyooshe
@clintonjoas9020
@clintonjoas9020 3 жыл бұрын
Wekeni daraja la miti na ruhusuni mbuzi wavuke,,,wakishindwa waiteni wachina watandike fly over.........vusheni mbuzi tena.ikifeli tambueni hilo eneo kama machinjio ya watu,serikari wapafunge na sio kivutio.
@yasinkihupi9583
@yasinkihupi9583 3 жыл бұрын
kukosa kwa elimu ndio matokeo yake hayo. hapo huwez kuvuka accordingly to bernoulli's principle kutokana na irrotational flow ya fluid and pressure inayo result into great force due to high velocity of water and area and pressure ukiruka pia unavutwa chini sababu above the river kuna low pressure and around the river kuna high pressure due to change in crossection area of the river kutoka mita 8 mpaka mita 3 inamaana speed ya maji imeongezeka mara 2 na nusu zaidi its just a physics i love it.
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 2 жыл бұрын
Khaa
@sophy112
@sophy112 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@agesag.m2476
@agesag.m2476 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 very true
@wasilaahmad7913
@wasilaahmad7913 Жыл бұрын
@@yasinkihupi9583 elimu hatuna halafu wewe unakuja kueka comment za English,sasa tutajifunza vipi?
@munaahmed8499
@munaahmed8499 3 жыл бұрын
Msikatae mm nimewahi ona uliopo Soni huko huko Lushoto na kulikuw na jua kali balaa hamna mvua lkn kuna maji huvuki fanya ufanyavyo hivyo huo mto wa hapo Korogwe nao sijaona ila pia sibishi kabisa ila insha allah nitaporejea nitakuja kuuona nijiridhishe pia
@issazakaria863
@issazakaria863 3 жыл бұрын
Hongeai waume
@valenakomba9218
@valenakomba9218 2 жыл бұрын
Mito iko hivo, kwingine inapanuka, na sehemu nyingine inakuwa Midogo. Hata ukienda Dar Mto Msimbazi uko hivo.
@sampachino5184
@sampachino5184 2 жыл бұрын
Milard mpo juuu 🔥🔥🔥
@djdisboy255tz
@djdisboy255tz 3 жыл бұрын
Kwaiyo kirikuu kinavuta scania watu wanene bana🤣🤣
@bockernyarusahi3655
@bockernyarusahi3655 3 жыл бұрын
Umetisha mkuu
@eliajason3287
@eliajason3287 3 жыл бұрын
Mambo mengine sy izo traditional believes zenu vingine vipo zaidi kisayans
@joycekalembo2225
@joycekalembo2225 3 жыл бұрын
Jana nilikua hapo nafua nguo nikaogaa sana, nimefulia upande wa pili nikawa navuka nakuja upande wa pili..maji yake bariidii..
@husnaabdallah1079
@husnaabdallah1079 3 жыл бұрын
kwa hiyo unataka kusema anatudanganya?
@missmoona4497
@missmoona4497 2 жыл бұрын
Mnatafuta kuuwa watu sasa, paboreshen ndio mtangaze huo utalii wenu
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 2 жыл бұрын
Kwanini maji tunayo mengi alafu nchi ina shida ya maji
@kingcopper_tz
@kingcopper_tz 2 жыл бұрын
Jibu ni rahisi tu, Hatuna hela za kujenga miundombinu kutoka kwenye vyanzo vya maji hadi kwa watumiaji, ila vyanzo tunavyo vyakutosha shida ni mtonyo
@valentinetesha8536
@valentinetesha8536 2 жыл бұрын
@@kingcopper_tz akili hatuna sie waswahili tunawaza kupiga ela tuu
@suleimankhamis8298
@suleimankhamis8298 2 жыл бұрын
Ya kwa kweli sisi ni watu wa ajabu sana
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 2 жыл бұрын
Likijengwa daraja panavukika yaani maji yanateremka na spidi hiyo unatengemea utavukaje
@gamma9590
@gamma9590 2 жыл бұрын
Sijui watanzania tumerogwa na Nan? Huhijaji akili nyingi kuona speed ya maji
@mustaphareua2370
@mustaphareua2370 3 жыл бұрын
Noma
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 3 жыл бұрын
Mi Nashangaa Sana Vitu Vinaonekana Kwa Macho Kwanini Msiende Kuvuka Kuliko Ubishi Nenda Kaluke Nenda Kapige Mbizi Nenda Kaogelee Jipige Picha Au Video Ili Kama Wewe Mkweli Tujue Kuliko Kubisha Kitu Usichokifanya Nikosa Kwako
@valenakomba9218
@valenakomba9218 2 жыл бұрын
Mbona watu wanavuka kila siku. Hakuna cha ajabu hapo.
@edlumala9428
@edlumala9428 3 жыл бұрын
Inasemekana... tuliambiwa.. habari za kusadikika!
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 2 жыл бұрын
Uongo uongo ..tuliambiwa madaraja yanajengwa usiku nk..wafanye madaraja yote vivutio pia...mbona ubungo flyover na mengine yalijengwa usiku na mchana hatukushangaa ..maarifa
@jameskuria1664
@jameskuria1664 3 жыл бұрын
It's so disgusting to see how people believe in wickedness rather than God.
@emmykundy4273
@emmykundy4273 Жыл бұрын
I thought you were in Shakahola on way to see Jesus!?
@zedekiannyagawa3521
@zedekiannyagawa3521 Жыл бұрын
the god of shakahola.
@mussakasimu2811
@mussakasimu2811 3 жыл бұрын
maajabu kila kitu jaman
@juliusmaiko9557
@juliusmaiko9557 3 жыл бұрын
Mmaasai na kuogelea wapi na wapi... Mmaasae mpe simba amuue sio kuvuka mto.
@avisone2334
@avisone2334 3 жыл бұрын
Mnitafte mm nije chap kuvuka fasta naruka chap msije mkasema natumia mazindiko maana wabongo kuamn ujinga 😂😂😂😂🤣🤣🤣
@freduallughano2301
@freduallughano2301 3 жыл бұрын
Ila waafrika kwa habari za imani potofu hatujambo!
@emmanuelmtonyole9958
@emmanuelmtonyole9958 2 жыл бұрын
🤣🤣
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 3 жыл бұрын
Mapato unawazimu kweli,mapato ayo kwio
@samyspesho1698
@samyspesho1698 3 жыл бұрын
SO WATALII WAJE KUFANYA NINI HAPO WAVUKE AU
@qimramaa668
@qimramaa668 2 жыл бұрын
Kwani nn maana ya utalii?? Acheni tabia za kupenda kupinga kila mnachikiskia bila sababu za msingi
@biggestnasritv2601
@biggestnasritv2601 3 жыл бұрын
THE BIGGEST BOSS NASRI
@dstaroficial
@dstaroficial 2 жыл бұрын
Ukisoma bila ya elimu ya kuzaliwa nisaw mtoto mdogo Baba anaita papa yan no saw kama huna akili japo umesoma lands nikupe pakuanzia huenda ukawa naakili ukitupa kitu kinavuka haina shida Ila mtu ndio havuki serekal yenyewe imeweka alama au huioni na Wana wasomi wakutosha sio ww chizi .ndo nyie mkiingiaga 4m one mnaongea broken halafu mnawaina wenzenu hawajui kumbe mnaonekana hamjielew
@benjaminkimaro5074
@benjaminkimaro5074 3 жыл бұрын
Mm Naruka Nifate Nikawe DEMO😂😂😂😂
@ibrahimgwasma235
@ibrahimgwasma235 4 жыл бұрын
Hamna historia hapo hapo Maji yamejikusanya ,,maeneo mengine Maji yametawanyika
@a.s.afishfarming6225
@a.s.afishfarming6225 3 жыл бұрын
Nenda karuke pale kama ni uongo
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 жыл бұрын
@@a.s.afishfarming6225 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mashakakayeba9616
@mashakakayeba9616 3 жыл бұрын
Nenda ukapite uwone sisi watu wa tanga ndio tunajua hap
@heyumi2340
@heyumi2340 3 жыл бұрын
hapo unapita vizuri sana
@dastanlufunda8846
@dastanlufunda8846 6 ай бұрын
Tuachen utan kamto tu ako mwanaume najinyosha naruka tu , vip muraa tuwe serious bana
@donaldelias6689
@donaldelias6689 2 жыл бұрын
Yaan mnatamaaa.eti Serikali ijipatie kipato kupitia hapo😂😂😂😂😂🤣
@geoffreythuku9298
@geoffreythuku9298 2 жыл бұрын
Hapa mimi navuka kwa urahisi sana aisee. Ntawaita mchukue video nikivuka.
@assundy6923
@assundy6923 Жыл бұрын
Huu sio mto pangani bali ni mchepuko wa mto pangani tuu
@kamaumwenjerwa7032
@kamaumwenjerwa7032 2 жыл бұрын
UPUZI MTUPU MTANZANIA AKO NYUMA AKILI DUNI
@kalwinzigiti5710
@kalwinzigiti5710 3 жыл бұрын
Mzee hajatwahi kutoka zaidi ya maeneo mengine kazaliwa hapo naanazeekea hapohapo utalii gani hapo sasa
@dianaaloycemakoi1985
@dianaaloycemakoi1985 2 жыл бұрын
Good
@kilimoajira2457
@kilimoajira2457 2 жыл бұрын
Watz bwana kwahiyo tuko busy kutangaza ushirikina ndio kivutio? Daaaaaa twendeni shule jamani
@ancomagu3155
@ancomagu3155 5 жыл бұрын
HATANYELITE BHUKOMU😀😀😀😀😁😁😁😂😂😂😂
@mbarakaubuguyu7448
@mbarakaubuguyu7448 2 жыл бұрын
Alafu huyo msimulizi si muandishi wa staa TV
@seifchembela4346
@seifchembela4346 3 жыл бұрын
Tuna maliziana mb tuwe siliasi Sasa apo nakuja kutalii nini nawakat hii nchi inamaeneo yenye vivutio kibao alaf munapost ujinga
@ahmedhassan2619
@ahmedhassan2619 2 жыл бұрын
Sisi tunavuka mto wa mita 35 Leo hapo watu wanafeli
@mainakelvin.3439
@mainakelvin.3439 2 жыл бұрын
waaaah😨😨😨😨😨😨😨
@naimaheka6549
@naimaheka6549 3 жыл бұрын
Mmmh navuka vzr uku tena uku nikiwa naimba
@centlaz1678
@centlaz1678 3 жыл бұрын
njooni kwetu kunae mto unavuka ila maji hayalowanishi ata ufanyeje
@born_drip
@born_drip 23 күн бұрын
Kaka wapi huko
@kenmwangzy1001
@kenmwangzy1001 2 жыл бұрын
Hiyo naweza vuka nikiwa nimeketi
@ummuhkhalfan5542
@ummuhkhalfan5542 3 жыл бұрын
Bhana we hapo unavuka ukimtegemea mungu co kumezeshana habar za sungura
@zedhabari8140
@zedhabari8140 3 жыл бұрын
Hapo unavuka vizuri sana
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 жыл бұрын
nenda kavuke
@ummuhkhalfan5542
@ummuhkhalfan5542 3 жыл бұрын
Twende wote utajuaje kama nmeenda kweli
@YusuphMarcOgaga
@YusuphMarcOgaga 3 жыл бұрын
Hapo navuka vizur kabisa ....izo imani za kihuni
@latifamohammed61
@latifamohammed61 3 жыл бұрын
Kavuke 😂😂😂
@ummuhkhalfan5542
@ummuhkhalfan5542 3 жыл бұрын
Labda PAWE palefu ila kama chini nakanyaga Insha'Allah navuka kbsa
@hamiduhamisi2371
@hamiduhamisi2371 2 жыл бұрын
@@ummuhkhalfan5542 siwezi jaribu ila watu kwa imani potofu wanayaweza huko tabora kuna kijimto frani kilivuma kwajiri ya mvuwa walitutisha kwamba ukiingia kuvuka kinajaa gafra ila sijawahi sikia aliekutwa na hilo hatamie niliwahi kupita kiwoga kumbe hakuna chochote rorote ushizi tu🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶
@user-rd3hk5qt5p
@user-rd3hk5qt5p Ай бұрын
Ni mlango wa kuzimu sio maajabu
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 3 жыл бұрын
Yaani watu wamebezi kwenye mapato basi du,
@dulladulla4134
@dulladulla4134 3 жыл бұрын
Huwez vuka coz kuna pull force inayotengenezwa na hayo maji
@ghelimafilemon9653
@ghelimafilemon9653 2 жыл бұрын
Pia mwamba unaozunguka hilo eneo Una iron au chuma, hivyo force ya maji inazalisha magnet na umeme
@sophy112
@sophy112 2 жыл бұрын
Hawaja pafence wanaongelea nini ...na anaawa mikono hapa mbona hio maji haijamvuta ... Kwanza waafrika na mambo ya uwanga waweke Kando .... Mnavuta watalii aje na mambo ya kichawi ... Andika mambo ya sayansi hapo ondoa uchawi
@sheengazi4245
@sheengazi4245 2 жыл бұрын
Imani potofu hiyo,Amin Allah tu
@sefoo8084
@sefoo8084 3 жыл бұрын
Hahahha eti havuki mtu kisa wamasai hawakuweza. Sasa wamasai ndo manguli wa kuogelea au?
@loxlox3414
@loxlox3414 3 жыл бұрын
😂😂😂🤣
@andemarley2705
@andemarley2705 3 жыл бұрын
😅😅😅
@mahadshekh398
@mahadshekh398 2 жыл бұрын
Ndio yale yale ya chunusi. Eti jini anayevuta watu kwenye maji. Kukosa elimu ni janga kubwa.
@suleimankhamis8298
@suleimankhamis8298 2 жыл бұрын
I AGREE 1000%
@evamakoi668
@evamakoi668 2 жыл бұрын
Heeeeeee
@fetychina3273
@fetychina3273 2 жыл бұрын
Sasa kwanini wamasai si mjaribishe ili tuhakikishe🤣🤣
@ot8396
@ot8396 3 жыл бұрын
watu mabonge bana😃😃😃😃
@jumakessy7560
@jumakessy7560 2 жыл бұрын
Mimi nimemsikia huyo mzee anasema hapo juu kuna upana wa mita3 tu lakini hajatuambia upana wa chini upoje, kwa upana wa mita3 mtu akijivuta kwa umbali na akakimbia anaweza kuruka ila ukiteleza ukatumbukia kwnye maji kutokana na kina kasi ya maji huwezi kutoka hapo
@deniserick6115
@deniserick6115 3 жыл бұрын
Alafu we kibonge mafuta kuturusha sisi😀😀😀😀, nyang'au
@ramamtoo939
@ramamtoo939 3 жыл бұрын
sio nyege nenda kavuke sio uwongo unacho ambiwa
@isamony58
@isamony58 3 жыл бұрын
acheni uongooo kunakivutiyo gani hapo mjee kwetu mtwara mujionee mito na milima na mashimo yanayotoka moshiii
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 3 жыл бұрын
Mimi natamani Kuja kuona tafadhari.
@josephmhando6299
@josephmhando6299 3 жыл бұрын
Nawewe chukua waandishi uvutie kwenu apo tumeonyeshwa ww hayo mashimo yako yanayo to a moshi uako wapi mnapenda kupondaponda vitu msivyo vijua
@abuuashyam8417
@abuuashyam8417 3 жыл бұрын
mm nimuislam na nachukia ushirikina ila kwahapo wallah navuka bila kudhuriwa na chchote kwa uwezo wa allah labda iwe maji yake yanakasi au pana shimo hapo itakua najidhuru ila kwasababu ilotajwa hapo eti pamezindikwa wallah napita kwa idhni ya allah hapana chchte kile
@yasinkihupi9583
@yasinkihupi9583 3 жыл бұрын
upungufu wa elimu pole
@IbrahimMohamed-yy2il
@IbrahimMohamed-yy2il 2 жыл бұрын
Maji yana nguvu na Kasi hiyo yanapita hapo hakuna jambo zaidi ni akili tu ya kawaida huwezi vuka hapo. Mazindiko na mengine yanaweza yamefanyika Ila sio sababu kubwa ni maji tu yanakasi na nguvu hilo eneo isingekuwa hivyo maji yametulia tu na mtu huwezi vuka hiyo ingekuwa stori nyengine kabisa
@babenealoyce889
@babenealoyce889 5 жыл бұрын
Historia ya ushirikina korogwe
@festovenas502
@festovenas502 3 жыл бұрын
Hahaha
@qimramaa668
@qimramaa668 2 жыл бұрын
Sio ushirkina ila ni tamaduni za waafrika hicho ndicho mlichoaminishwa na waarabu na wazungu ili kutukana na kukejeri tamaduni zenu
@ridhywizzytz547
@ridhywizzytz547 3 жыл бұрын
sio uongo ni kweli napajua hapo nilipita nikiwa natoka kijijin mgobe wenyeji wa korogwe wanapafahamu sana
@KANTANA97
@KANTANA97 3 жыл бұрын
Mbona we ulipita lkn wengine walishindwa
@khdigahk4246
@khdigahk4246 3 жыл бұрын
@@KANTANA97 😅😅😅
@hilalidismas9490
@hilalidismas9490 3 жыл бұрын
Hamna kitu hapo hata hapaendan
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 2 жыл бұрын
Haya ni kweli kiwe kivutio sawa kabisa lkn kwenda kuangalia nini? Ikiwa msumulizi anasema Kuna vitu wazee waliweka je Hivi tunaweza hakikisha au andika mahali na kuelezea mauza uza au uchawi na nguvu za Giza. Kweli hapo hapana hata level ya kua kivutio au eneo la utalii wa Kijiji. Tunaona promotion ya nguvu za Giza . Maana baada ya kujifunza hapo unatoka na nini kichwani..
@mwanaamasanja7629
@mwanaamasanja7629 3 жыл бұрын
Maajabu yako mengi sana jamn huku kwetu kuna maji yana chemka kutoka chini ukiyagusa ata kama umeshiba kias gan lazma njaa ianze moja na inaaminika maji hayo yanatoa mkos asilimia mia
@jamecmhro7021
@jamecmhro7021 2 жыл бұрын
Ni wap huko
@rehemamgaya5289
@rehemamgaya5289 2 жыл бұрын
Wapi huko
@naimaheka6549
@naimaheka6549 3 жыл бұрын
Navuka vzr sema sjaamuwa tu
@fasamifaudy6058
@fasamifaudy6058 Жыл бұрын
physics hiyooo
@theonlyonebeautiful3726
@theonlyonebeautiful3726 5 жыл бұрын
Mh hiyo sio imani tu jamani
@victorjames3730
@victorjames3730 3 жыл бұрын
Nenda Jaribu kuvuka utajua ni imani au LA!
@khamisihaji2905
@khamisihaji2905 3 жыл бұрын
Dawa yake ni mzungu 2 mumuone km atapita au hapiti mzungu 2.
@hamiduhamisi2371
@hamiduhamisi2371 2 жыл бұрын
good 👍👍
@mdathirhassan2187
@mdathirhassan2187 3 жыл бұрын
Yasemekana hakuna ushahidi wajanja mwataka hela tu acheni urongo
@faridikatumbili4611
@faridikatumbili4611 3 жыл бұрын
nenda karuke ndio utajua kama niuongo
@heyumi2340
@heyumi2340 3 жыл бұрын
uongo kila kitu utalii mnataka pesa tu njaaaa
@adamalfred9348
@adamalfred9348 3 жыл бұрын
Mnacheza nyinyi wazungu hapa wanaselelela mpaka
@titomfilinge9048
@titomfilinge9048 2 жыл бұрын
Ama kweli tunaachia maji yotekwendabaharini badala ya kuyatumia kwa kilimo.na kunywa. Whandisi na wachumi hii fursa nzuro kichapusha kilimo kwanza
@emmykundy4273
@emmykundy4273 Жыл бұрын
Wewe huoendi hiyo Fursa au ndio ulishakufa?
@aimew.5515
@aimew.5515 3 жыл бұрын
Ningekuepo nngevuka mbele yao 😀
@issufomussa5227
@issufomussa5227 2 жыл бұрын
Kirakitu pesa wekeni bure
@gloriamwanjali9371
@gloriamwanjali9371 2 жыл бұрын
Ukiangalia tu maji yanazunguka inamaanisha maji marefu
@shedrackmwaipopo9427
@shedrackmwaipopo9427 3 жыл бұрын
Ayo nenda na ziwa ngosi mbeya ujionee maajabu
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 3 жыл бұрын
Kabisaa ndugu Mbeyaa ndo kunavivutio hataree aisee
@kikiderreck9930
@kikiderreck9930 3 жыл бұрын
Kama ni mnguu ama mkilindi unapita" ila kabila zingine hazivuki
@mwanaamasanja7629
@mwanaamasanja7629 3 жыл бұрын
#milad ayo karibu na kwetu sikumoja uone maajabu ya majan ukiyagusa yanajikunja
@emmanueltheonas7130
@emmanueltheonas7130 3 жыл бұрын
Yanaitwa kifa uongo hayo😅😅
@abdurahmanhasan3273
@abdurahmanhasan3273 3 жыл бұрын
😂😂😂hayo mbona yapo mengi tu
@maimunakilindo9621
@maimunakilindo9621 3 жыл бұрын
Sasa c wamasai ila kabila liningine ndugu zake wanavuka fresh tu
@faustinmsigwa8764
@faustinmsigwa8764 3 жыл бұрын
Kutoka barabaran pana mita ngapi🤔 tatu au nne!!???
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 3 жыл бұрын
😄😄😄Imwenibid nicheke tuu kwa kweeliii
@lawrencegwerino1656
@lawrencegwerino1656 2 жыл бұрын
Toka lini wamasai wakajuwa kuogelea ?😁😁
@zolongOne
@zolongOne 3 жыл бұрын
Tatizo ni kwamba asilimia 95% ya watanzania hawajui kuogelea
@gamma9590
@gamma9590 2 жыл бұрын
Huwez kuogolea hapo
@drevapatrick5199
@drevapatrick5199 2 жыл бұрын
Navuka hapo mda huu
@salehesalehe2967
@salehesalehe2967 2 жыл бұрын
Ninyi mnaompinga ni malofa simwende mkavuke korogwe so mnaijua
@suleimankhamis8298
@suleimankhamis8298 2 жыл бұрын
Na hapo kuna vijiji utaambiwa vina shida kubwa ya maji
@steventibenda5
@steventibenda5 2 жыл бұрын
ina maana hapo ukiweka kitu mfano machuma au mbao huvuki yote yanasombwa na maji ya kichawi? kisha wazungu wakituita nyani tunachukia sasa kwa mawazo haya wataacha kutuita nyani wazungu?
@laymangoodmusictz3339
@laymangoodmusictz3339 3 жыл бұрын
Sasa nije kuangalia nn apo
@sirajsh5633
@sirajsh5633 3 жыл бұрын
Napajua hapo uyojamaa alikuaga muwindaji sasakatika halakati zake akatokea katika kijiji kimoja wanachoishi wamasai basijamaa akawa akinda kuwinda anakuja na nyamawanakula wote na wenyeji wake ilaikatokea sikumoja wakatiyuko kwenyemawindo alirusha mshalebahati mbaya ukamkosa mnyama ukampata mtu wamasai hawajata kuelewa wakaaza kumfukuza iliwamuue ndipoalipofika kwenye eneohili akafanyavyakufanya ilikunusuru nafsi yake#
@farajamwakagile9647
@farajamwakagile9647 3 жыл бұрын
Ooh kumbe!? Na wewe ulikuwepo kipindi hicho? Au umesimuliwa kama tunavyosimuliwa sisi tu boss?
@mchezakamaliog265
@mchezakamaliog265 3 жыл бұрын
Kwahiyo unamaana mto huo hakuna penye daraja?
@ramadhanmahongole5663
@ramadhanmahongole5663 2 жыл бұрын
Wamasai hawawezi kuogelea
@benybenedict8170
@benybenedict8170 3 жыл бұрын
Kuna maagano hpo ya kimiungu
@embeothman3631
@embeothman3631 3 жыл бұрын
navuka vizuri tena huku nimefumba macho
@ramadhankakai7303
@ramadhankakai7303 3 жыл бұрын
😂😂😂😂nenda kavuke utuletee habari
@embeothman3631
@embeothman3631 3 жыл бұрын
@@ramadhankakai7303 😂😂😂😂
@simonnembomadola7512
@simonnembomadola7512 3 жыл бұрын
Unavuka tu acheni mbwembwe
@shekiffu
@shekiffu 3 жыл бұрын
Bonhe afanye mazoez aache porojo
@saidmohamed4619
@saidmohamed4619 3 жыл бұрын
Acha us***nge bro,mambo ya unene na ubonge wake yanakuhusu nini wewe...
@dennischeyo1302
@dennischeyo1302 3 жыл бұрын
Atanyerite ubhukomu
@happykajeli5453
@happykajeli5453 3 жыл бұрын
Mambo gani uchawi tu
@tezuramziray8700
@tezuramziray8700 2 жыл бұрын
Si ajaribu mtu kuvuka tuone?
@ellywillisgotora1473
@ellywillisgotora1473 3 жыл бұрын
Huo ni ukichaa sio kwl
Rose Muhando -  Ombi Langu (Official Music Video) SKIZA CODE - 5964896
6:05
Rose Muhando Official
Рет қаралды 17 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,2 МЛН
Maajabu, Huu ndio Mchanga Unaotembea Tanzania
21:39
Gangana Info Channel
Рет қаралды 26 М.
MAOMBI YA ASUBUHI by Innocent Morris
16:53
Holy Spirit Connect
Рет қаралды 695 М.
JIWE LA MAAJABU UKARA LINACHEZA NA KUTOA SAUTI - HADUBINI YA TBC
16:30
Gangana Info Channel
Рет қаралды 902 М.