Ndugu zake Walisha mchukua ugaibuni, pole Sana. Wanakumaliza kisaikogia. Wewe endelea na maisha yako, watoto watakuja siku moja kukutafuta. Tamaa zimemzidi. Usimrudishe tena utaendelea saaana huko mbele na atakutafuta.hujue Mungu amekunusuru nini. Jamani Wanawake WA kizazi hiki?
@AMO_BUSINESS23 күн бұрын
Duuuh...huyu baba...hua na muona ona apa CHARAMBE KWA MBIKU duuh..kumbe hua anatembea na mengi kichwani MUNGU MSIMAMIE
@maryamtanzania974322 күн бұрын
Wanaume mna mambo mengi sana mimi nilimkimbia mme wangu kisa ananitakaga kinyume na maumbile kile kitu kilikuwa kinanitasa sana mda mrefu ukipitiwa na usingizi ukishtuka unakuta mtu kakupaka mafuta kinyume na maumbile anahangaika mnagombana anakiri sitorudia anakaa siku 2 anarudia nimejaribu kuivunja ile inashindika mwisho wasiku na mimi nikaea nahisi hivo ndo nikachukua maamuzi ghafla ya kumkimbia ila namchukia sana
@user-lt2qh5dj1b22 күн бұрын
Pole Sana kipenzi mungu mkubwa atakupigania
@RubenMtuwaMungu-bz8ee13 күн бұрын
Mungu akubariki kwa maamzi hayo
@user-gy5en6cy8o13 күн бұрын
Du pole kwa ulikua unatumia mafuta😢
@user-sv6zy3hc8o5 күн бұрын
Pore sana kwakweri yani Mimi mwanaume akijaribu kufanya hivyo cku hio hio naachana nae
@paulmushi242815 күн бұрын
Huyo mwanamke ni asiri yake ni mnyarwanda wanapenda maisha ya juu alishaenda Marekani
@sleeprelaxation843110 күн бұрын
nani anapenda maisha ya chini?
@user-sv6zy3hc8o5 күн бұрын
😂😂😂😂😂 nashangaa mpuuzi kweri huyu
@AngelRupia-od2gu23 күн бұрын
Hakutorokwa bure lazima kuna kitu cc wamama tunapitia mengi msione tupo kwenye mdoa zetu, mwenyewe hapa ningekua na pa kukimbia nami ningesepa tu....
baba anajua uthamani wa mke na watoto. sio limbering afanye hivyo
@ruqaiamohammed34513 күн бұрын
Pole kaka inavyoelekea hao wakwe zako wanajua kila kitu ndo mana hawana wacwac 😢😢mkeo alikuwa hakupendi ww ndio unampenda 😢😢hao watt ipo ck watakutafuta tuu ww ni baba yao ipo ck utawaona labda yuko ulaya huko kachukuliwa na ndg zake
@margarethpolepole743822 күн бұрын
Huenda ulikuwa unamtesa acha apambane na maisha alee watoto wake
@ClementinaHabineza15 күн бұрын
Razima ariteswa kupereka watoto kunakitu hakutaka nawatoto wapitie
@user-mq2ip3dh4v15 күн бұрын
HUYO jamaa aache ulimbukeni, tayari una hakika mwanamke hakutaki, unataka kulazimisha Aishi na wewe? pambana wanawake waziri zaidi ya HUYO wapo WENGI ,tafuta mmoja uoe. Watoto watakutafuta tu... Anza upya mapenzi hayalazimiShwi
@sospeterezekiel192712 күн бұрын
Jielewe komenti zako kwaio unapenda watoto wawe na malezi ya upandemmoja? Furaha ya watoto kuwakuta baba na mama wako pamoja yeye hatetei mapenzi kama ulimuelewa vizuli toka mwanzo alimpa uhulu maana ya uhulu mapenzi yalikwisha kikubwa watoto
@sophiasophie556 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-ty1tp8ly8q23 күн бұрын
Pole Sana dah htr
@jade7579823 күн бұрын
Wacha mkimbiwe wanaume mmezidi ubaghili mfyuu .mko radhi mtoe pesa nje kuliko kuwapa wake zenu mfyuu .kaa mwenyewe sasa ndio utajua hujui
@brantywilson134722 күн бұрын
Ww ni wale wale😅
@jade7579822 күн бұрын
Naona kimekuuma kwelkwel na wewe mmoja wapo mbaghili kwa mkeo .kwendraaa hilooo mtakoma round hii wanaume .Wanawake pia tunaweza .yena nikimuona ntamwambia asirudi kabisaa
@dativajoachimwai119414 күн бұрын
@@jade75798 miaka yote hiyo jamaa amejirushaaa ,sasa ameona ya dunia ni ubatili anaanza kumtafuta.
@user-dy8yc5ml1p19 күн бұрын
Kabila la waha wana gubu sana acha mwanamke ajiendeee
@MojamojaMojamoja-lw2ph19 күн бұрын
Muache vituko watoto wapo na mama yao watakua salama hata mimi la kwangu nililitoroka wewe baki na cheti utajua mwenyew
@mariumseif675115 күн бұрын
😂😂😂 hatari abaki na cheti? kumbe wanaume nao wanapataga viboko yao
😂😂😂😂😂 yani jamani ndomana bongo sihami mm eee et nimelitoroka ribaki na cheti
@user-pj3lh8vz5k22 күн бұрын
pole sana kaka tafuta wtt wako bas huyo mwanamke achana nae kapata mwegine we tafuta wanao bas
@shakilamasoud298314 күн бұрын
Mapito hayo ndugu yangu. Pole sana, chakufanya we chukua chuma ingine weka ndani maisha yasonge
@user-sv6zy3hc8o5 күн бұрын
Wew ndo umeongea point
@sifaoksbagirishyasie241017 күн бұрын
Kama ni mkimbizi ulaya hawezi kujionesha mpaka apate makaratasi 🤣
@trophywilson721115 күн бұрын
Alimtesa huyo anaogopa kufungwa
@sophiasophie556 күн бұрын
Kabisa
@sifaoksbagirishyasie241017 күн бұрын
Kama ni mkimbizi ulaya, Basi hawezi kujionesha mpaka apate makaratasi 🤣 wanaacha maisha mazuri kwenda kutafuta shida na kuharibu watoto wao wenyewe. Tamaa Jamani ni mbaya.
@TichaSabah16 күн бұрын
Kwakweli kama mchawi vile maana nimejionea live mwenyewe bila chenga wanatutambia wakirudi tu.lakini hamna kitu
@gracewilliam410212 сағат бұрын
Nawaha huwa mnapangiwa na wazazi wenu
@gracewilliam410212 сағат бұрын
Waha mnamanyanyaso sana
@zainab825122 күн бұрын
Pole sana kaka mtihani
@AminaLibisa23 күн бұрын
Duuh pole sana brother ndio maana watu wanakuaga matahira kuwatesa watoto wa watu
@bintmrisho35265 күн бұрын
Njoo nikuzalie mtoto mwingine wakigoma mwenzangu❤
@user-sv6zy3hc8o5 күн бұрын
Nyooooo ngoja ukabakwe nyuma
@viviansulle319415 күн бұрын
Nenda kwenye maombi kwa kuhani mussa
@TeddyTheresiamboya16 күн бұрын
Inaonekana ni mkorofi hiyo tu kusema unaweka hela ya mtego kwanini iwe mtego na pia mwanamme anapokuwa ndani huwa hana thamani ila akiondoka ndipo utakumbuka yote iliyokuwa ukimchukua powa
@ClementinaHabineza15 күн бұрын
Weee eeeee hapo ndo Amina umuhimu wake kbx
@latifakikoti98082 күн бұрын
jambo usilolijua sawa na usiku wa giza jamani mambo yamapenzi sio ya kuingilia acheni kuongea ovyo
@AbuuSumaiyah6 күн бұрын
Jamaa inaelekea boya kdg, sasa km ww pesa zako ulikuwa unaficha mwenyewe sasa unataka ujue mahesabu ya pesa za mkeo, itafaa wapi namna hiyo
@sund255316 күн бұрын
Ndugu wanajua mtoto wao alipo ndio maan hawakusumbui kukuuliza.
@stefanomasolwa897913 күн бұрын
Hiyo njo Hasara ya kuowa Mnyarwanda. Kwanza we kaka shukuru Mungu hujapewa Sumu .ila Watnao wanakutafuta tu usijali Mungu yupo upande wako
@generosennko83436 күн бұрын
Wakwe zako wanajua mtoto wao yuko wapi. Ukitumia police interpol ndani ya masaa 24 itajulikana walipo. Sema mambo ya rushwa na vyombo vya kutoa haki ni changamoto wewe waombee heri tuu kwa mungu. Huenda mkeo aka respond. Au piga moyo konde na uoe tena kama njia ya kupata amani. Ila wamesema usichague wenye asili ya unyarwanda😊
Tunakuaminije au umewaua hii mijitu nyie acheni kabisa
@Namaize-lc8sh7 күн бұрын
Kwahyo mambo yakifamilia humshirikishi uliona yeye sio mwana familia acheni kutunyanyasa jamani na sisi ni watu
@mariumseif675115 күн бұрын
Sasa unampa mwanamke hera kisha unasema umemuwekesha kwani yy ni benki😂😂😂 pesa ukimpa mwanamke ni ya matumizi sio ya kuweka
@user-hq5mo3dx7l22 күн бұрын
Mradi wapi salama hope that
@tunkuh66115 күн бұрын
Pole kijana kwasasa surrender then move on uachie muda utaamua wenyewe.
@mlomilucy829415 күн бұрын
Huyu mwanamke atakuwa mrundi au mnywanda hata mwonanekano wake. Kama Ana ndugu marekani basi yupo marekani
@emanuelmaraki975815 күн бұрын
Miaka tanooo unamke hapo tena uyoo alikuwa anatafuta GIA ya sepaaa
@asteriashios1852Күн бұрын
Imetoka hiyo mwache aende una shida wewe asingekukimbia
@ndimimaskati364122 күн бұрын
Africa mko nyuma kama mtu amepotea polisi wanatangaza kwenye Television, hata kila station ya train inakiwa matangazo hanonekana.
@tanzaniawomenyouthempowerm26716 күн бұрын
Nenda wizara ya elimu na uhamiaji utapata taarifa zao. Mana kama qameenda nje utapata taarifa kutoka uhamiaji..kama.wako hapa hapa tz utapata taarifa watoto wapo shule gani then utawafuatilia kwa ukaribu zaid
@user-qn3cf2bg4u22 күн бұрын
kaendamarekani kwanguduzake😂
@Mohaa430919 күн бұрын
😢😢😢
@cheiknamouna205822 күн бұрын
Shida ilianzia kwenye pesa sasa bora umeshajifunza huyo dada alishapata mngefungua hata kiwanda ungemshika mkono kuuza chupa 50 kwa siku siyo kazi ndogo sijui ulikwama wapi wengine huku tunauza mashuka na amduvert tunakaa mwezi hatujalipwa😢
@uwezawamungumkuu.amaniafrika23 күн бұрын
Ndugu yangu uyo mwanamke udimtafute siyo wako tena na ameshaanu maisha yake. Tafuta watoto wako hao ndiyo wakwako. Awafaagi kwa lolote wanawake wengi ni tatizo kubwa kwenye maisha yetu. Weka mbali na moyo wako uishi kwa amani Kamanda.
@malila458215 күн бұрын
Mh! Ndoa hizi jamani
@user-mj3hn6yw4s7 күн бұрын
Kaka mm yamenikuta mke wangu nimeishi nae miaka 11 na tar 15/09/2023 alinitoroka na tar 10/11/2023 aliolewa hapo Dar na wazazi walijua,kwahyo mambo haya yapo,tuliza kichwa bro ingawa inauma sana hasa watto
@mariumseif67514 күн бұрын
@@user-mj3hn6yw4s Labda ulikua hujalipa mahari yao na hujamuowa maana mke wa mtu hawezi olewa na mtu mwengine bila talaka ila pole ndio dunia
@anifamickidard455515 күн бұрын
Yupo Marekani huyo
@AziziMpili-zj9ne13 күн бұрын
Kaka nenda kwa mwamposa, ata awe wapi atarudi tu
@user-mp4yt7ps5q18 күн бұрын
Mrembo alishawishika na kipato chako moyoni mwake hukuwepo pole na janga hilo
@DM_1513 күн бұрын
Wanawake sikuzote wakiwa na fedha huwaza kuachana hilo tunapaswa kulijua wanaume, ukiona mkeo ana pesa jiandae kisaikolojia saayoyote analipuka pole broh nakama ni mnyarwanda, bro Wale watu huwa wanatakaga umwage maji kwanza ndio akwambie chumita! Kama alipata mzee wa majalo huraah siowako huyo. Nahawachagi watoto
@CathernNtebwa16 күн бұрын
Mjichunguze.mbona dada Yako na yeye kamkimbia shemeji Yako?
@samiatsungura16 күн бұрын
Hawezi sema ukweli huyo
@sauda450513 күн бұрын
Yaan wanopata wanaume WA kueleweka hawakai na wanosaka wanaume WA kueleweka hawapati bas taabu tu
@stefanomasolwa897913 күн бұрын
Hinzo picha Za watoto zitumwe kwenye umoja Wa Mataifa poa Tuma Amerika. Canada Australië. London Uholanzi. DANMARK. DUICHLAND. NORVEG. YANI HUKO KOTE WEWE TUMA picha zote kabisaa
@HusnaSimbila-ig7ks23 күн бұрын
Me nazani abanwe kwanza atasema tu ukweli
@user-re2su8qc4n20 күн бұрын
Atakuwa ameenda huko marekani kwa ndugu zake
@MonicaKaskaz22 күн бұрын
Kwa hiyo ulivyojua anajishuhulisha ukaacha kumtunza
@MojamojaMojamoja-lw2ph19 күн бұрын
Ndivyo walivo hata mimi nililitoka langu wanachosha
@elizabethmukeba252822 күн бұрын
Babangu pole nenda buza kwa Nabii kiboko ya wachawi Buza utampata
@nashnene632622 күн бұрын
Sometimes huwa inakuwa viseversa! Labda kuuwawa na kwanini hajenda chukua pesa za mashamba?
Miaka 10 mtu akimbie tu ngoja aibuke tumsikie nayeye
@LilianPhilemon21 күн бұрын
Nenda Claus utawapata
@mercye.427716 күн бұрын
Pole nenda wizara ya Elimu omba msaada wacheck watoto kama kama wapo registered na shule yeyoyote Nenda vizazi na vifo kama watoto wamechukuliwa birth certificate. Mliwahi kuchukuwa Birth certificate za watoto. Tafuta mbinu ya kwenda mambo ya ndani kama utasaidia ku access information... Kama wametengeneza passport au vipi
@Mohaa430919 күн бұрын
Wanaume wenzangu tutafte sana hela
@RoseDhahabu-qv3yt18 күн бұрын
Achunguzwe Kwa makini watu wasiamini moja Kwa moja wt tumegeuka wanyama.
@ClementinaHabineza15 күн бұрын
Ndio nimekumbuka ariejifanta amemukosa mke wake kumbi kamuwuwa kamuzuka mwenyewe ndaiu yanyumba yake
Kakutana na viuno mtaani.vumilia mtakutana uzeeeni.
@CathernNtebwa16 күн бұрын
😂😂
@emanuelmaraki975815 күн бұрын
Bosi endelea na maisha Yako Wala usiwaze wanawake ni shidaa sana tafuta utaratibu mwingine mm Niko Kilimanjaro mm ilishanitokea nikapambana na maisha yangu ss ninafamilia nyingine achana nayeeeee tembea wanawake wengi tunaooa ni wakuokota barabarani ni shidaaaa ana ofuu ya mungu sepaaa kunamaisha mengine uyoo ni mwiziiiii kabisaaaa
@dativajoachimwai119414 күн бұрын
hapo mzee amesha jaribujaribu ameona mke wake ndo alikua bora. alimkorofisha akafikiri angevumilia tu kwasababu ni mwanamke natayari amezaa akaona hawezi kuondoka. sasa ndo anaamini kua kaondoka
@florencemushi656115 күн бұрын
Mshaurini huyo jama a aende kwa pastor Dominic kiboko ya wachawi aliyeko Buza atamsaidia.
@TinaZimba16 күн бұрын
Mkuu achana naye huyo ashakuwa kahaba tena ukitaka mkomoe oa mwingine achana nae
@dativajoachimwai119414 күн бұрын
siyo wanawake wote wanakomolewa na kuoa. laba aliyeondoka ili umfuate muongee. la sivyo, mwanamke hupenda mara moja na akikuchukia anakuchukia akiondoka hageuki hata uoe 20
@naomipieter462720 күн бұрын
Mdada mrembosan
@henricamikambi614717 күн бұрын
Kamamnyarwanda
@rosenamilia414018 күн бұрын
Sasa kaka yetu,unamtafuta mkeo mrudiane na kulea watt au unataka watt wako uwalee ww mwenyewe. Mpaka akutoroke yapo makubwa uliyomtenda mpaka akutoroke.Mshukuru Mungu mkeo anakulelea watt wako,wakikua watakutafuta.Watt watakutafuta kama baba yao. Ushauri nenda ubalozi wa Marekani hapo Dsm ukaulizie hapo ,kwani umeeleza anao ndugu Marekani. Huenda kakaribishwa marekani na ndugu zake akatulize mawazo na watt wake.
@AziziMpili-zj9ne13 күн бұрын
Kaka nenda kwa mwamposa, ata awe wapi atarudi tu
@shamzone38817 күн бұрын
Muhimu akashikwe baba mkwe anajua mtt wake yupo wapi na anafanya nini
@dativajoachimwai119414 күн бұрын
Baba mkwe anahisikaje na usalama wa mke wa watu. Baba mkwe ndo anatakiwa amshtaki jamaa aseme mke yuko wapi
@CathernNtebwa16 күн бұрын
Mjichunguze.mbona dada Yako na yeye kamkimbia shemeji Yako?
@urbanmission307220 күн бұрын
Mbona anaongea kama anamtuhumu mke uyu? Oh nilikuwa nimempa uhuru ndo sababu, kama alikuwa ananmpenda kweli na unampango wa kumpata usiongee yote
@CathernNtebwa16 күн бұрын
Pole sana jemsi.mbona ww dada Yako kamkimbia shemeji Yako Tena dada Yako pia alifunga ndoa ya kanisani?mjichunguze
@DonatusNyamizi13 күн бұрын
Ni bipu kwa namba hiyo
@urbanmission307220 күн бұрын
Ni kwer baadhi ya mikoa sisi wanaume tupo ivo mtu anapata mali anaanza kusaidia sada zake,mama zake wadogo wajomba zake n.k kw mari izo izo na hawasaidii ndugu za mke je kwani mkoa wenu haupakani na mkoa wa kagera kweri?