MCH HANANJA ATOA SOMO KWA GEN Z WA KENYA, MUNGU HAPENDI

  Рет қаралды 14,645

Mbengo Tv

Mbengo Tv

11 күн бұрын

Пікірлер: 41
@stephenmwaniki2803
@stephenmwaniki2803 9 күн бұрын
Wacha mzee nikujuze jambo huyu mtu alipo ingia mamlakani kwanza aliondoa kazi kwa vijana pesa za wazee mlo shuleni kwa wasionjiweza huduma hospitalini acha zifurugha yani amehalimbu kila kitu na tusisahau amepeleka watoto wetu haiti kwahiyo hatumchukii bule huku maisha nikusononeka tu
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 4 күн бұрын
Ndiyo hicho alichosema Wananch wameona Tofauti na walichotegemea
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 4 күн бұрын
Mchungaji uko vizuri kuliko hawa watafiti wa kusoma vitabu na kuandika tafiti "mwotesho". Hili ni somo zuri kwa Wah Wabunge. Huu ndio ukweli. Viongozi dini na serikali na wazazi wasikilize hii kwa makini.
@ombengoranga5589
@ombengoranga5589 2 күн бұрын
Kama huna busara huwezi mwelewa huyu mzee lakini kuna vitu vingi vya kujifunza hapa
@user-me5xj1cp2e
@user-me5xj1cp2e 7 күн бұрын
Magufuli alibadilisha kwa mda gani wachungaji semeni
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 7 күн бұрын
Wale watu wamesema wenyewe kuwa hawana cha kupoteza😢.Hawajali kabisa. NI KW E LI .Wamekata tamaa😢
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 4 күн бұрын
"Maendeleo watu na maendeleo vitu viende pamoja. Mwenyenjaa hana sheria hana akili. Watu potelea mbali hawana habari, hawana la kupoteza."
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 3 күн бұрын
Wakosa wote. Hela ziko wapi! Mungu saidia tune na uwezo WA kufanya kazi asifanya kazi na asile.
@user-fr3yx7ot9v
@user-fr3yx7ot9v Күн бұрын
Mzee be blessed so much, you have been good advisor.
@bahatisilvesta
@bahatisilvesta 10 күн бұрын
big point
@migerajacob581
@migerajacob581 Күн бұрын
Mzee kaongea points,,serikari za Africa Zina fikir maendeleo ya vitu huku,watu wao Wana kufa na njaa,,,
@zulekhasaeed6046
@zulekhasaeed6046 7 күн бұрын
Wewe huijui kenya hatukuelewi
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 4 күн бұрын
"Utamaduni wa mazungumzano kuanzia ngazi ya familia. Walioko juu wawasikilize walioko chini na wachininwawaheshimu walioko juu wasiwapuuze walioko chini na wachini wasipuuze walioko juu. Tusipuuzane Watz. Tuipende nchi yetu kwa amani."
@abdallahdullah8642
@abdallahdullah8642 9 күн бұрын
Tatz waliojuu Hawana utamaduni wa kuwackiliza walio chini wkt ndio ndio waliowaweka apo juu kwa kura na ridhaa zao lkn wakipata huwasahau na mara nyingi walilalamika solution huwa kuwachapa viboko na kuwanyamazisha.
@salimamry9432
@salimamry9432 3 күн бұрын
Mchungaji maneno yako mengi huwa yana hikima.
@collinsowuor6981
@collinsowuor6981 8 күн бұрын
Kweli kabisa, wakenya ujumbe mzuri kwenu nyinyi
@nurusaid4698
@nurusaid4698 Күн бұрын
Mi Cwezi Poteza Mda Ni Kasikiza Pasta Ata Cku Moja 😂😂😂😂😂Wacha Tuuwane Ila Tunajuwa Tunacho Kifanya
@feswal22
@feswal22 6 күн бұрын
Kutojua haki yako kama mwananchi ni vbaya,, this round tutawafinya lazma Kila mtu awe na haki sawa 🇰🇪🇰🇪 uongozi wa kidicteta hatutaki
@user-tr2mf3hp5s
@user-tr2mf3hp5s 2 күн бұрын
Kuna kipindi nilipitia iyo Hali ya sonona ila kwa Sasa namshukulu nimepata Neema ya Mungu ni mjasilia Mali na nimelidhika na maisha yng
@user-uy3uk2ul5b
@user-uy3uk2ul5b 9 күн бұрын
Unapopandisha Kodi razima uwandae miundombinu ya maksin ya Ali ya chini, ili asije kuraramika km wakenya.
@user-em3qx3de7z
@user-em3qx3de7z 10 күн бұрын
Kwel kabisa mchungaji yaan ni ukwel mtupu
@baloz8974
@baloz8974 2 күн бұрын
Urefu waGenz kiurefu ni Generations Z
@raphaeloloo9641
@raphaeloloo9641 7 күн бұрын
Kuja Kenya tukusalimie
@baloz8974
@baloz8974 2 күн бұрын
😂😂😂😂😂 asalimiwe atie akili
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 7 күн бұрын
Ushabiki ni balaa ,tuongee ba siyo vurugu😮
@ngwenoh.e9725
@ngwenoh.e9725 7 күн бұрын
What is he talking about? There's no politics there,it's governance,accountability,curb wastage
@jenifferwanjira6124
@jenifferwanjira6124 2 күн бұрын
❤❤❤
@abdallahdullah8642
@abdallahdullah8642 9 күн бұрын
Nimekuelewa mzee wengi hatujui km Kuna maendeleo vitu na Maendeleo watu kwaiyo kinachofanyika ni kuleta Maendeleo vitu tyu bila kujali Maendeleo watu ni muhm zaidi kwasabb ni rahc Maendeleo watu kuleta Maendeleo vitu lkn una una soko lkn huna uwezo wa kuweka bidhaa.
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 4 күн бұрын
Matarajio ya waliokuweka ktk uongozi yasipotimia shida. Je wanani walimweka nani ktk uongozi na matarajio yao nini? Taabu.
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ 9 күн бұрын
True
@anosiata8242
@anosiata8242 8 күн бұрын
Nimecheka eti watanzania ni nautical😀😀😀
@PhestoKamsangia-nz2xx
@PhestoKamsangia-nz2xx 6 күн бұрын
Huyu mze anafaa kuwa bunge kabisa
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 17 сағат бұрын
Mamachanja tumbo laniuma Leo umeongea zero ndio maana mzalendo wenu magufuli amewawa kisiasa na jyinyinviongozi wa dini kimya so ya wake ya huyajui wachie wenyewe wapiganie haki zao kakojoe ulale
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 17 сағат бұрын
Katika kundi la wambea wee dada waongoza
@dukeongori9067
@dukeongori9067 9 күн бұрын
Bro wa suti
@shukranisibale1739
@shukranisibale1739 7 күн бұрын
Hakika
@theheraldbroadcastingnetwo4836
@theheraldbroadcastingnetwo4836 2 күн бұрын
Hakuna kundi la kisiasa....
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 7 күн бұрын
Ba b a waambie wa n asiasa wa Tanzania pia waanze kujitambua vinginevyo mwakani ni hayo hayo ya Kenya.Sasa tatizo la Tanzania elimu ndogo sana,kwa vijana hata baadhi ya wanasiasa😢😢 Kitakuwa kisanga wajinga watupu kupambana😢😢
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 7 күн бұрын
Watu wanategemea kuajiriwa tu.colonilism after effects Vijana wajifunze kujiajiri na siyo kuwategemea wabunge😢😢
@ezekielmwakalindile1922
@ezekielmwakalindile1922 6 күн бұрын
Usichukulie powa kujiajiri lazima selikari itengeneze mazingira ili wananchi wake waweze kujiajiri.Nchi nyingi hazina iyo mifumo ndio maana watu wengi wanakuwa jobless
@douglaswawire9885
@douglaswawire9885 7 күн бұрын
Come and stay in Kenya for only only month,,,,you will go back to your country,,,you don't know how people feel
UTAPENDA MAPOKEZI YA MCH HANANJA MAREKANI
23:03
Mbengo Tv
Рет қаралды 923
WHO LAUGHS LAST LAUGHS BEST 😎 #comedy
00:18
HaHaWhat
Рет қаралды 20 МЛН
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,8 МЛН
TANZANIA WAUNGA MKONO MAANDAMANO YANAYOENDELEA KENYA
7:00
Lasalo Comedian
Рет қаралды 391 М.
Ruto's Biggest Mistake Firing Attorney General Muturi?
14:27
KimathiTV
Рет қаралды 185 М.
WHO LAUGHS LAST LAUGHS BEST 😎 #comedy
00:18
HaHaWhat
Рет қаралды 20 МЛН