Wacha mzee nikujuze jambo huyu mtu alipo ingia mamlakani kwanza aliondoa kazi kwa vijana pesa za wazee mlo shuleni kwa wasionjiweza huduma hospitalini acha zifurugha yani amehalimbu kila kitu na tusisahau amepeleka watoto wetu haiti kwahiyo hatumchukii bule huku maisha nikusononeka tu
@angellomarcel56774 күн бұрын
Ndiyo hicho alichosema Wananch wameona Tofauti na walichotegemea
@benedictmrisho18004 күн бұрын
Mchungaji uko vizuri kuliko hawa watafiti wa kusoma vitabu na kuandika tafiti "mwotesho". Hili ni somo zuri kwa Wah Wabunge. Huu ndio ukweli. Viongozi dini na serikali na wazazi wasikilize hii kwa makini.
@ombengoranga55892 күн бұрын
Kama huna busara huwezi mwelewa huyu mzee lakini kuna vitu vingi vya kujifunza hapa
@user-me5xj1cp2e7 күн бұрын
Magufuli alibadilisha kwa mda gani wachungaji semeni
@gracekagoma32317 күн бұрын
Wale watu wamesema wenyewe kuwa hawana cha kupoteza😢.Hawajali kabisa. NI KW E LI .Wamekata tamaa😢
@benedictmrisho18004 күн бұрын
"Maendeleo watu na maendeleo vitu viende pamoja. Mwenyenjaa hana sheria hana akili. Watu potelea mbali hawana habari, hawana la kupoteza."
@rahabnkya82763 күн бұрын
Wakosa wote. Hela ziko wapi! Mungu saidia tune na uwezo WA kufanya kazi asifanya kazi na asile.
@user-fr3yx7ot9vКүн бұрын
Mzee be blessed so much, you have been good advisor.
@bahatisilvesta10 күн бұрын
big point
@migerajacob581Күн бұрын
Mzee kaongea points,,serikari za Africa Zina fikir maendeleo ya vitu huku,watu wao Wana kufa na njaa,,,
@zulekhasaeed60467 күн бұрын
Wewe huijui kenya hatukuelewi
@benedictmrisho18004 күн бұрын
"Utamaduni wa mazungumzano kuanzia ngazi ya familia. Walioko juu wawasikilize walioko chini na wachininwawaheshimu walioko juu wasiwapuuze walioko chini na wachini wasipuuze walioko juu. Tusipuuzane Watz. Tuipende nchi yetu kwa amani."
@abdallahdullah86429 күн бұрын
Tatz waliojuu Hawana utamaduni wa kuwackiliza walio chini wkt ndio ndio waliowaweka apo juu kwa kura na ridhaa zao lkn wakipata huwasahau na mara nyingi walilalamika solution huwa kuwachapa viboko na kuwanyamazisha.
@salimamry94323 күн бұрын
Mchungaji maneno yako mengi huwa yana hikima.
@collinsowuor69818 күн бұрын
Kweli kabisa, wakenya ujumbe mzuri kwenu nyinyi
@nurusaid4698Күн бұрын
Mi Cwezi Poteza Mda Ni Kasikiza Pasta Ata Cku Moja 😂😂😂😂😂Wacha Tuuwane Ila Tunajuwa Tunacho Kifanya
@feswal226 күн бұрын
Kutojua haki yako kama mwananchi ni vbaya,, this round tutawafinya lazma Kila mtu awe na haki sawa 🇰🇪🇰🇪 uongozi wa kidicteta hatutaki
@user-tr2mf3hp5s2 күн бұрын
Kuna kipindi nilipitia iyo Hali ya sonona ila kwa Sasa namshukulu nimepata Neema ya Mungu ni mjasilia Mali na nimelidhika na maisha yng
@user-uy3uk2ul5b9 күн бұрын
Unapopandisha Kodi razima uwandae miundombinu ya maksin ya Ali ya chini, ili asije kuraramika km wakenya.
@user-em3qx3de7z10 күн бұрын
Kwel kabisa mchungaji yaan ni ukwel mtupu
@baloz89742 күн бұрын
Urefu waGenz kiurefu ni Generations Z
@raphaeloloo96417 күн бұрын
Kuja Kenya tukusalimie
@baloz89742 күн бұрын
😂😂😂😂😂 asalimiwe atie akili
@gracekagoma32317 күн бұрын
Ushabiki ni balaa ,tuongee ba siyo vurugu😮
@ngwenoh.e97257 күн бұрын
What is he talking about? There's no politics there,it's governance,accountability,curb wastage
@jenifferwanjira61242 күн бұрын
❤❤❤
@abdallahdullah86429 күн бұрын
Nimekuelewa mzee wengi hatujui km Kuna maendeleo vitu na Maendeleo watu kwaiyo kinachofanyika ni kuleta Maendeleo vitu tyu bila kujali Maendeleo watu ni muhm zaidi kwasabb ni rahc Maendeleo watu kuleta Maendeleo vitu lkn una una soko lkn huna uwezo wa kuweka bidhaa.
@benedictmrisho18004 күн бұрын
Matarajio ya waliokuweka ktk uongozi yasipotimia shida. Je wanani walimweka nani ktk uongozi na matarajio yao nini? Taabu.
@maniamba.tz_9 күн бұрын
True
@anosiata82428 күн бұрын
Nimecheka eti watanzania ni nautical😀😀😀
@PhestoKamsangia-nz2xx6 күн бұрын
Huyu mze anafaa kuwa bunge kabisa
@husseinbakromar586517 сағат бұрын
Mamachanja tumbo laniuma Leo umeongea zero ndio maana mzalendo wenu magufuli amewawa kisiasa na jyinyinviongozi wa dini kimya so ya wake ya huyajui wachie wenyewe wapiganie haki zao kakojoe ulale
@husseinbakromar586517 сағат бұрын
Katika kundi la wambea wee dada waongoza
@dukeongori90679 күн бұрын
Bro wa suti
@shukranisibale17397 күн бұрын
Hakika
@theheraldbroadcastingnetwo48362 күн бұрын
Hakuna kundi la kisiasa....
@gracekagoma32317 күн бұрын
Ba b a waambie wa n asiasa wa Tanzania pia waanze kujitambua vinginevyo mwakani ni hayo hayo ya Kenya.Sasa tatizo la Tanzania elimu ndogo sana,kwa vijana hata baadhi ya wanasiasa😢😢 Kitakuwa kisanga wajinga watupu kupambana😢😢
@gracekagoma32317 күн бұрын
Watu wanategemea kuajiriwa tu.colonilism after effects Vijana wajifunze kujiajiri na siyo kuwategemea wabunge😢😢
@ezekielmwakalindile19226 күн бұрын
Usichukulie powa kujiajiri lazima selikari itengeneze mazingira ili wananchi wake waweze kujiajiri.Nchi nyingi hazina iyo mifumo ndio maana watu wengi wanakuwa jobless
@douglaswawire98857 күн бұрын
Come and stay in Kenya for only only month,,,,you will go back to your country,,,you don't know how people feel