Yaani Napenda Sanaaa Khutuba za Huyu Mzee wa Ruksa Maana Nahadisuwa Sana na Baba yangu Huyu Alikua Rais Bora Sana Tanzania Aliipa Ruksa Kwa Vile Vilivyo Fungiwa Au Kukatazwa Watu Wasiwe Navyo
@FilomenaJovita-fz1nq4 ай бұрын
Tutamkumbuka daima mzee wetu
@margarethmziray6354 ай бұрын
Mzee Ruksa will miss ucheshi wako
@user-kp6lz7zs1w5 ай бұрын
Mashahallah baba mwinyi
@skjjsj18895 ай бұрын
Jamani mzee mwinyi Ana maneno ya hekma
@user-ol8xz7cp2j4 ай бұрын
Rip mzee wetu
@user-zi4et6uz2u4 ай бұрын
Inna lilah waiinna ilayh rajuuun
@aymankhadija6193 жыл бұрын
Huyu babu nae ana story za kuchekeshaaa😆😆
@sarahmuhammed68725 ай бұрын
MUNGU akupe umri ya RABB
@allyiddy45424 ай бұрын
Leo tarehe 10/03/2024 ndio nimeelewa kama Hayati Mwinyi alikua hachekeshi lakini alikua anamaanisha. Na hii ni baada ya kufuatilia vikao vingi vya kwake Mzee Rukhsa