Kweli kabisa unayosema,,,uchawi upo na DUA zipo ila wazee na viongozi wa Simba wafanye umuhimu wa kuwakinga,,mana yanga ni wachawi sana,
@khalidmwakabuta50455 күн бұрын
Umefikiria mbali sana nduguangu , haiwezekani wazee wa utopolo wanajitokeza hadharani na kuongea mpaka vitisho kwa wachezaji wanaohujumu timu,mf; Mzee Mpili , sisi wa kwetu Simba Sc wamekaa kusema tuu wazee tupo , haina maana ya uwepo wao sasa kama hawatimizi na kuonesha uzee dawa
@MamboMbuli5 күн бұрын
Kinachotakiwa kuwakumbusha viongozi kwa busara na mifano
Umeongea point sana ila najua kunamabwege wata kuponda ili kukufifiza viongozi fatilieni hilo swala GB anaonekana kama anachekesha kumbe ndio ukweli kabisa
@josepahatmargwe65046 күн бұрын
Uko sawa GB 64 ,Yanga mafanikio Yao ni Ulozi.
@user-qy9fj3yo2t5 күн бұрын
GB.64 leo umesema kweli bro uchawi unatumaliza wanyama 👍❤️❤️❤️🦁💪🤲🌹🌹🌹
@yohanalungwa79606 күн бұрын
Yanga kweeli wachawi Kuna shabiki wa yanga alionekana anapeleka majina ya wachezaji wa Simba morogoro kwa waganga washenzi wachawi wakubwa hawa
@MohamedChillo5 күн бұрын
Tusisingizie uchawi , soka la kisasa halina hayo mambo ndugu yangu,wachezaji wetu ni wa kawaida ,angalia hata gharama zao ni za kawaida siyo kama wa Mamelod au Al Ahly
@GodfreyJames-zt6ig6 күн бұрын
JB wewe unaakili sana lingne sisi tupo sumbawanga tumesha chungulia viongoz wa yang Tim ikuwa plszn wanaenda kuchimbia dawa bunju wachezaj wakija tu Wana ingia kwenye mtego
@user-yh3dv2bl7u6 күн бұрын
Gb 64 nakuelewa sana mwamba najua unaumia sana walindwe hao wachezaji tunawapenda Mo dewij umevuja jasho kuvunja kibubu tunaomba uwalinde mwenyewe
@khalidmwakabuta50455 күн бұрын
@@user-yh3dv2bl7u Na pesa ilivyongumu hivi mtu anajitolea pesa yake halafu wazee washindwe kuweka japo ulinzi wa timu yetu kweli watakuwa hawatendi haki
@daudinyello40335 күн бұрын
SIMBA WANAHUSUDU UCHAWI SANA
@samadady77956 күн бұрын
Mwanangu unaongea ukwely sana
@user-hu4el2rx2u6 күн бұрын
Fukuza wafanyakazi wote wa simba wachawi wanapewa pesa ahsante GB64 humeona hilo na viongozi wajue
@salimmalaka2565 күн бұрын
KIBOKO YAO ALBADIRI TU
@LupatuDaiya5 күн бұрын
Nakukubali sana kaka wew ni Big thinker
@SalhaSuleiman-y8m12 сағат бұрын
Naomba kazi ya upishi hatutaki uchawi
@kefamahenge51875 күн бұрын
Mungu aendelee Kuwabariki sana ,tunazidi kufunuliwa na kipindi hiki cha kusifu na kuabudu. by Mshana.
@AbbasyMdabwa6 күн бұрын
Gb wemsema kweli ila wachezaji wetu walindea
@beatussoka95176 күн бұрын
GBwambie ukweli msimuhuu kaziwanayo
@user-hu4el2rx2u6 күн бұрын
Wachezaji wote tuwasimee Albadir wakiwagusa wafe hao utoporo pumbavu
@salimmalaka2565 күн бұрын
NDIO INAVYOTAKIWA WAFE TU
@user-mw5xs2wx8n6 күн бұрын
Kweli wanawapiga misumari sana
@salimmalaka2565 күн бұрын
HIYO 100%
@HamadSuleiman-e1x6 күн бұрын
Mm najitolea kuipeleke pemba maziwa ngombe 😂vp mutakuwa tayar kupigwa dua na kuoga chumvi
@hamidudigogo58634 күн бұрын
HAPA BG NAMINI UMESOMA MEAEJI ZANGU KUHUSU UTOPOLO KWALOGA WACHEZAJI WA SIMBA
@user-id5oc7hm4n6 күн бұрын
Kula chochote nitalipa,,,umeongea true maana wanawafunga wachezaji wetu,wanaonekana ,wabaya,, tukiwaacha wanawachukua ,,utopolo kwa vibuyu nomaaaa😂
@Bboy-ek8vn6 күн бұрын
Yanga wamemchukua tena pa jobe
@salimmalaka2565 күн бұрын
NDIO ZAO HIZO
@aminaomary55674 күн бұрын
Kweli kaka uchawi upo na ndio maana tunafungwa ovyo na viongozi wetu wa simba hawaamini uchawi. Lakini uchawi upo sana.❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@SalhaSuleiman-y8m12 сағат бұрын
Nasisitiza kazi ya upishi
@fidelismwakanyamale67875 күн бұрын
Huyu ata Mungu amjuwi kila kukicha anawaza njaa
@KuchbyMskude4 күн бұрын
Shabiki mwenye akili hold up broah
@user-os7yv7gg1s6 күн бұрын
😂😂😂GB bana
@sedekiantibahoha22456 күн бұрын
We ndo huna akili sio gb
@DonatelaSanga5 күн бұрын
Gb 64 unaakiri sana kaka viongoz waliangalie hlo yon da
@komboarts71106 күн бұрын
Tanzania ukisema ukweli watu hawapendi kabisa jamaa anasema ukweli mara comments za watu wanasema kalewa hiyo sio. Kweli jamaa Yuko real sana😂
ALBADIRI LAZIMA ZISOMWE KWA UWINGI ANAE GUSA AFE TU
@abuuhassani4975 күн бұрын
Mashine ya kivita Valentin nouma full back ya mpira anapanda na kushuka, anakaba mpka dhambi, hii ni version ya Roberto Carlos krosi dongo ukigusa waya. Wanasimba msimu unaokuja mjiandaa kushangilia magoli, maana nouma hajisikii furaha kumaliza mechi bila kutoa assist mbili.
@abuusadick98916 күн бұрын
Nikwli mm nisema toka manara alipo hama kuhamia yanga ndipo palipo fanyika urogi apo ya wachezaji apo
@salimmalaka2565 күн бұрын
MANARA MSENGE MSHIRIKINA NA FITINA SANA
@josepahatmargwe65046 күн бұрын
Yanga ni Majini Fc, hawana lolote zaidi ya Vibuyu.
@salimmalaka2565 күн бұрын
NDIO TENA HODARI WA KUKATAA NA WATOWA RUSHWA PIYA
@user-pz9nd8ys8o3 күн бұрын
Gb yupo sahih
@Mwnashabani5 күн бұрын
Nakuelew xan kk yanga ni wachaw xan hata mm pia nalifahamu maana kuna kiongozi mmoja ni jirani yangu ni mchawi tenah mkubwa xan
@JohnMpemba-in1jm6 күн бұрын
Gb upo saw bro
@THEOBALDNGOBYA5 күн бұрын
Unaongeaa aisee we noma kumbe na elimu ya kilimo unajua nimeipenda hiyo ya kusafisha ghala.
@user-hu4el2rx2u6 күн бұрын
Mo oyeeee nguvu moja
@danielpeter80855 күн бұрын
Ila GB ww ni shabiki lia lia nakukubali sana ..unajua mengi kaka 🖐️ uchawi upooo ata mm sipingi
@SilivesterHasunu6 күн бұрын
mwaka huu jaaa Mani hatari tupu myamani
@dalalfundikila5076 күн бұрын
G waambie utopolo walozi sana
@salimmalaka2565 күн бұрын
TENA WANAUWABUDU
@mtulivu-ir1nq5 күн бұрын
Yanga noma kwa uchawi Hadi mayele katupiwa vijini misri 😅😂😂 Tena alikua mchezaji wao chuki Yani yanga wanaroho mbaya sana🙌🙌🙌
@eliadaimon8045 күн бұрын
Simba kombe tuna chukuwa kwer siouongo
@lemamolelilemamoleli77406 күн бұрын
Nakweli
@KABIBIPETER3 күн бұрын
lkn ulisema chama akienda yanga hushabikii simba
@jumanneshego33085 күн бұрын
acha uwongo nyama we umemuona wapi usiwakatae2
@MohdRehan-v9l5 күн бұрын
Upo sawa Hawa jamaa kweli wanawaroga wachezaji wa simba
@upendofreddy643110 сағат бұрын
Hahaha, kwelli uchawi upooo
@marshangeka7122 күн бұрын
Kweli kabisa mwamba
@chiefnumborecords48196 күн бұрын
Huyu kashalewa mbona
@salimmalaka2565 күн бұрын
KAMA KALEWA TEREMKA GARI HILO
@user-wp9wf3et1n4 күн бұрын
Bro bro bro nimekwita mara 3 uko sahihi ogopa so wafua jezi na wapishi wabaya sn
@amirihabibu8892Күн бұрын
Babaaaa.kunywamaji.kwanza.umeongea
@justinazakayo61525 күн бұрын
Kweli waombewe hata mimi waje niwaombee bure
@aminaomary55674 күн бұрын
❤❤
@godwillrichard70175 күн бұрын
TFF Kuna haja ya kuangalia hawa watu wanaochafua Ligi yetu kwa fikra potofu, hili timu lenu ndio linafukizaga mimoshi kwenye away grounds mawazo ya kichawichawi tu...
@emmanuelthomas10784 күн бұрын
Kwendraaaa huko! Ulisema chama akihamia Yanga nawee unahamia AZAM! Kikowapi?
@mosesmachumu74236 күн бұрын
right
@Daniel-u5q5 күн бұрын
Uko sahh mwamba
@Licky_boy_tz6 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@Amonationtv45516 күн бұрын
Daah
@maikomatayo27945 күн бұрын
GB64 wee ni kiboko nakukubali sana brother wanatuharibia wachesaji wetu kabisa iyo haipingwi wachawi kabisa ila kila kitu kina mwisho watakoma wapuusi kabisa 😂😂😂😂😂
Kaka Gb 64 leo umeongea point kuliku siku zote nikweli lazima wachezaji wapate duwa na kama huko dar hakuna wataalam pemba wako huku tunaomba mashirikiano wenzetu ili tufanikiwe hawa ngedere weusi wasije wakatuvuruga
@feisalmohamed28485 күн бұрын
Tatizo lako unaanza na ukweli halafu unamalizia na uongo ,uongozi huu sio uongozi ule kwan tofauti iko wapi ya uongozi ?
@AwadhiHashimu6 күн бұрын
Vp unawasifu tena kak
@4gfashion6 күн бұрын
Kiukweli kuhusu chama haijauma ila uongo dhambi baleke ni bonge la mchezaji simba tutajuta kumuacha
@salimmalaka2565 күн бұрын
ANA RECODI YA KUSALITI KUTOKA KWAO CONGO WANAMJUWA