PART10:BINADAMU MWENYE ASILI YA JINI ALIEISHI GAMBOSHI YA UCHAWI/NAKULA WATU/NAISHI NA JINI/NILIKUF

  Рет қаралды 20,620

Davistar Mata Media

Davistar Mata Media

3 жыл бұрын

Пікірлер: 199
@Iragibarune1.
@Iragibarune1. 3 жыл бұрын
Wasaba leo nipeni like zang😥😥
@ochuboysosman8376
@ochuboysosman8376 3 жыл бұрын
Ila zabron upo vizuri sana kwa kusimulia DM hongera kwa kutafutia story nzuri km hii
@flubtv
@flubtv 3 жыл бұрын
Nataka likes 10k za davistar kama wamukubali
@annasilayo1405
@annasilayo1405 3 жыл бұрын
Sehem ya 12 vp
@user-gy9tt8of4l
@user-gy9tt8of4l 9 ай бұрын
Hapo uriwaza vema sana boy nasio kuigia tamaa isionamaana hongeraa sana
@ibrahimmohamedi4498
@ibrahimmohamedi4498 3 жыл бұрын
Mwezi mmoja unapiga supu safi unakua kibonge hapana kwa kweli hapana I say nooooooooooooooo ujambazi mhm
@matthewjohn5108
@matthewjohn5108 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 3 жыл бұрын
Tunaisubiria hiyo simulizi ya gambosh, bila shaka wewe utatuelezea kwa ufasaha, kwa kuwa hatujui ukweli zaidi, wengine wanasema ni kijiji tu cha kawaida, wengine wanasema ni kijiji cha kichawi,sasa wewe utatuambia ukweli.
@fredichaki4868
@fredichaki4868 3 жыл бұрын
Nikweli nimji wenye magorofa pia ni mji wenye Mambo mengi sana ya kichawi ila uwezi kuona kwenye macho yakawaida mbaka uwe na jicho la tatu
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 3 жыл бұрын
@@fredichaki4868 duh humu duniani kuna mambo mengi ya ajabu, sasa hayo magorofa yasioonekana, ila yapo, si ni mauzauza, yaani ukitafakari hata huwezi kupata jibu. ila ngoja tumsubirie Zabron aje atuhakikishie, huko mbele ya simulizi yake.
@oduoratieno2613
@oduoratieno2613 3 жыл бұрын
His journey was very tough and rough God protect u and give u more yrs in this world... THANK u so much Mr davistar for good job
@innocentrichard2945
@innocentrichard2945 3 жыл бұрын
He's a survival
@nurudaud3993
@nurudaud3993 2 жыл бұрын
sema zabron ulikuwa na.hekima na akili ya kutosha sana hufanyi maamuzi ya haraka 😊brother be blessed 🤝
@upendoluv7197
@upendoluv7197 3 жыл бұрын
Kumbe Zabron Ni Handsome bhana😘😘😘😘
@fighterm7708
@fighterm7708 3 жыл бұрын
Moshi Technical School , My Lovely School aaaah , Mpande the teacher daaah kitambo sanaaa
@jamesswai6583
@jamesswai6583 3 жыл бұрын
Yep mpande wa kitambo...Now amestaafu. Nilimwacha akiwa mwalimu wa vijana na michezo.
@tonywambua9505
@tonywambua9505 3 жыл бұрын
The best story ever
@africandarling6925
@africandarling6925 3 жыл бұрын
Duuu Zabroni umepitia shida sana dooo AISSEH pole ZABRONI
@rosecruiz4348
@rosecruiz4348 3 жыл бұрын
Naona taba sam la davistar kuskia gambosh
@mariamripiti2137
@mariamripiti2137 3 жыл бұрын
SHUKURAN MR FACT
@manbanshaban9253
@manbanshaban9253 3 жыл бұрын
Story nzuri sana,,,👍big up davistar💪
@cliffordmaboi2298
@cliffordmaboi2298 3 жыл бұрын
Davistar keep up good story.
@thegreat.9869
@thegreat.9869 3 жыл бұрын
Daaaah. Nakumbuka kipindi hicho vocha inaitwa dola
@khadijamohanani6476
@khadijamohanani6476 3 жыл бұрын
Dah yani natamani hata isiishe ilivyo nzuri hongera bro
@hildaernest1090
@hildaernest1090 3 жыл бұрын
Dav co kwa kunitesa ivi na huu usiku afu Nina mtoto mchanga,story inanoga balaaa
@marysteven605
@marysteven605 3 жыл бұрын
Ivi huo mda zabron ukiwa kwenye gari lao hao majambaz si ulijua Tyr umekwisha watakuua?yaan huyo bibi Yako,alikuweza kwl kwamateso hayo, la
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 жыл бұрын
dav mata fanya bidii ufike gamboshi utuletee habari
@sallo27.70
@sallo27.70 3 жыл бұрын
Kaka Davistar Pole Sana kwa kazi Zuri na Ngumu Unayoifanya Ili Sisi Tuhabarike MUNGU Akutie Nguvu Zaidi. Msimuliaji Ww Ni Shujaa.
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 3 жыл бұрын
Asalam alaykum wapenz watazamajiii mdogo mdogo tunaingia gambosh simuliz ndıo kwanzaaa imeanzaaaa
@nyendochamwela3031
@nyendochamwela3031 3 жыл бұрын
Umejiandaaa kuingia lakini?
@marysteven605
@marysteven605 3 жыл бұрын
Kujiandaa kwenda,???!usiombe kwenda huko Bana,gambushi Noma,
@azizamohd5728
@azizamohd5728 3 жыл бұрын
Kidogo kidogo naanza kuogopa
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 3 жыл бұрын
elionara unajua nn watu wengi tunapenda siöulz zile za mayza uza ndıo nmesema tunaingia gambosh kila mtu anapapenda
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 жыл бұрын
Hongera sana Davista umetuletea mtu wa story ya ukweli kabisa bila ya kupepesa macho aisee
@zettyhassani2244
@zettyhassani2244 3 жыл бұрын
Nampenda anavyojielezea mpk jinsi kituo Cha stor anavyomeza fundo lamate
@ramadhanjumanne8882
@ramadhanjumanne8882 3 жыл бұрын
Wampe maji
@saidabdalla8996
@saidabdalla8996 3 жыл бұрын
Jamaa ulikuwa unajielewa kweli ndugu yangu
@djbless6201
@djbless6201 3 жыл бұрын
Wow jamaan😋😋😋😋😋 Like bas
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
Hongera
@oneclick2023
@oneclick2023 3 жыл бұрын
Me nimekaa tuliii nafuatilia Story ya Mr.Zabu ...nikaomba dawa ya kuona wachawii.....ehee baadaya ya hapo...Mr David Tuliaa mzee baba Mwendelezo unakuja part 11 ,,nimetulia Mr D.🛀🛀
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 жыл бұрын
Dil ya bank mm pia siwezi kabisaaa heri nipatoke hapo 🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️mana huko nikuuxa moyo wako lkn kuna wengine hiyo nikaxi rahisi sanaaa tuu kwao
@abbyadams8691
@abbyadams8691 3 жыл бұрын
Waoooo nimekubamba mama la mama kutoka Kenya😜😜😜😜
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 жыл бұрын
@@abbyadams8691 yani imeshika sana tuuu ss kumeza msimuliaji anavoitafuna 🤗🤗🤗
@navokisembo
@navokisembo 3 жыл бұрын
Zablon ana kumbukumbu nzuri saana ila ametesela kweeli jamani
@allykibabe8182
@allykibabe8182 3 жыл бұрын
Daaah htr xna
@angeljasson4376
@angeljasson4376 3 жыл бұрын
Asante bro
@veeinn7965
@veeinn7965 3 жыл бұрын
Wow umepitia mengi kaka poleni
@rajaburashid4219
@rajaburashid4219 3 жыл бұрын
Wonderful story
@khadijarashidi8772
@khadijarashidi8772 3 жыл бұрын
Thanks
@hebronsdaughter1661
@hebronsdaughter1661 3 жыл бұрын
Story nzuri sana wallah
@maryamumapenzi1257
@maryamumapenzi1257 3 жыл бұрын
Yani huyu jaama amepitia mengi Hadi Basi tu
@kautharmickidad1698
@kautharmickidad1698 3 жыл бұрын
Na hapo Badoo yan
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Sana
@marysteven605
@marysteven605 3 жыл бұрын
Yote hayo ni bibiake mzaa baba
@kevinlembela2455
@kevinlembela2455 3 жыл бұрын
Nimekukamata mapema Leo Mr dav
@matheothomas1891
@matheothomas1891 3 жыл бұрын
Davistar story ya huyu jamaa nii ndefu na ni mzuri sana sasa jitahidi ata kutupia vipande ata vnne kwa siku maana hapo ilipo fika bado Ndiooo mwanzoo maaana aliepelekwa gambush akafanikiwa kutoka akaja kamatwa tena ajarudishwa akatoka tena akawa ahonekani yaniii
@rosemassawe1979
@rosemassawe1979 3 жыл бұрын
Unapenda kununua nguo🙄
@mariamshabani6853
@mariamshabani6853 3 жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰🤝🤝🤝Nai kubali Sana iyi simulizi 🥰Asente Sana kaka zabroni
@hamisimtemi3803
@hamisimtemi3803 3 жыл бұрын
asa mariam siuje bobo mama
@latifahissa1114
@latifahissa1114 3 жыл бұрын
Hii bandika bandua co mchezo 😘😘😘
@richardjoseph3347
@richardjoseph3347 3 жыл бұрын
Dah stor nzur sana
@kevinlembela2455
@kevinlembela2455 3 жыл бұрын
Waooo
@jeaninemugisha6395
@jeaninemugisha6395 3 жыл бұрын
Jamani mungu amegutowa mbari sana
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
Jamoon simulizi NI Tamu Sana!!
@ylosvijevana6815
@ylosvijevana6815 3 жыл бұрын
Na vile Davister anapenda dawa ya kuona wachawi na story za Gambosh hapo kafika
@somoeawadh7774
@somoeawadh7774 3 жыл бұрын
Nishaanza kumiss zile story zetu za kichawi,, mm na Goodluck na pili Musa, 🤗🤗🤗
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisaaaa😂😂😂😂😂
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
Teeenaaaaaaaaaa🤔😍
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
@@pilimusa7770 Atuekeeeeee🤗
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 3 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 aaaaa bhana hii tamu kweli
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 kabisaaa. 😂😂😂😂
@bintimrope
@bintimrope 3 жыл бұрын
Chakulalia hiki hapa😋😋😋👋👋
@ochuboysosman8376
@ochuboysosman8376 3 жыл бұрын
Jamani nimezamiria kua wa kwanza mara ya tatu sasa
@stellanestory7022
@stellanestory7022 3 жыл бұрын
Wa kwanza leo daaaaah
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Hongera
@deusdeodavid5360
@deusdeodavid5360 3 жыл бұрын
Stor imeeenda school
@shakiraabbas7538
@shakiraabbas7538 3 жыл бұрын
🙌🙌
@mariamripiti2137
@mariamripiti2137 3 жыл бұрын
Duh nyie viumbe sio watu wazuri 😂😂😂😂🙄haya 14
@mimisir5717
@mimisir5717 2 жыл бұрын
Uyu jamaa alikwama sana.me ningepiga dili na wale majambazi sass iv ningkua dubai
@kimandoro7432
@kimandoro7432 3 жыл бұрын
💯
@aishahemedi7869
@aishahemedi7869 3 жыл бұрын
🤗🤗
@oscarlemamaringo8081
@oscarlemamaringo8081 3 жыл бұрын
Nimejitaidi kuwahi lakini wapi majukumu nayo wacha niendelee
@bebebebe5677
@bebebebe5677 3 жыл бұрын
Duuh pole kaka
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Kwangu u ndio ushuhuda namba Moja kwanza huyu jamaa ni geneous. 1. Zabron mwita 2. Magere 3. Kanyerere
@aishahemedi7869
@aishahemedi7869 3 жыл бұрын
Nitampataje kitabu
@nakiwalahjulliet9208
@nakiwalahjulliet9208 3 жыл бұрын
I always wonder if this stories are for real.are they true stories Mr.Davistar?
@marysteven605
@marysteven605 3 жыл бұрын
Wangepita île njia yule Jamaa aliyowaonyesha wangefika ila wasingerud,
@sundimashala3610
@sundimashala3610 3 жыл бұрын
Numb1
@marthamaligo458
@marthamaligo458 3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@pazimazongera4934
@pazimazongera4934 3 жыл бұрын
Dogo kapitia mitihani mikubwa sana kuliko umli wake
@sitiabubakar2892
@sitiabubakar2892 3 жыл бұрын
Hizo no. Ni tigo au voda?
@suleymanally4729
@suleymanally4729 3 жыл бұрын
Huyo muuza vileja ajipitisha kilasaa hahahahahahaha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
Hakuna kulala paka cheee🇯🇴🇯🇴🤔😍😍🙄🙄
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Pache kabisaaa😂😂😂😂😂
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
@@pilimusa7770 🤝🤝 nmeona leo chidada changu 😍😍😍🤣🤣🤣🤣
@nelsonpatricioestanislaus7144
@nelsonpatricioestanislaus7144 2 жыл бұрын
Let's together 2022
@saidabdalla8996
@saidabdalla8996 3 жыл бұрын
Kweli soon tutafika gambushi
@sapnaabdallah1084
@sapnaabdallah1084 3 жыл бұрын
Muendelezo please
@macamezunguzungu5697
@macamezunguzungu5697 3 жыл бұрын
Gamboshi nomaaaaaaaa🤓🤓🤓🤓🤓🤧
@rehemabakari4150
@rehemabakari4150 10 ай бұрын
Ndio maaana nasema kila siku kwenda kwa mganga halafu aka kuchanjie makaburini kwisha habari yako
@aishahemedi7869
@aishahemedi7869 3 жыл бұрын
Kaka naomba jina rakitabu
@kawtharsaleh9229
@kawtharsaleh9229 3 жыл бұрын
Mlalage khaa
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Hatulaliii😂😂😂😂😂
@violinenyakara5028
@violinenyakara5028 3 жыл бұрын
Huyu jamaa anasimulia vizuri Sana
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
Sanaa😍😍
@violinenyakara5028
@violinenyakara5028 3 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 kapitia shida maskini 😔
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
@@violinenyakara5028 sana😥😥😥😥
@violinenyakara5028
@violinenyakara5028 3 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 😔😔😔
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
@@violinenyakara5028 😥😥🤗🤗
@rosecruiz4348
@rosecruiz4348 3 жыл бұрын
Davistar tafuta hio picha plz
@lasma9830
@lasma9830 3 жыл бұрын
Jamani nyingine wekeni
@linazuke5838
@linazuke5838 3 жыл бұрын
Wamwisho Leo
@TheSalma1999
@TheSalma1999 3 жыл бұрын
Haya mapolisi mchezo wa kunywa kahawa mtaleweshwa
@jangombeboys4536
@jangombeboys4536 3 жыл бұрын
story
@jotafungo4622
@jotafungo4622 3 жыл бұрын
Kumbe majambazi nao wanatrick namna hii!
@djbless6201
@djbless6201 3 жыл бұрын
Davistar kacheka kidoog😂😂😂 Kusikia gambush
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@irambonaelkhamissi3443
@irambonaelkhamissi3443 3 жыл бұрын
Dkka 3 wa 25
@idanysedrc1200
@idanysedrc1200 3 жыл бұрын
No 14 stry ya jamaa haichoshi
@husseinmhajam7106
@husseinmhajam7106 3 жыл бұрын
Nilikuwa nahisubiria
@innocentrichard2945
@innocentrichard2945 3 жыл бұрын
Alafu jamaa shabiki wa arsenal
@asingakani9138
@asingakani9138 3 жыл бұрын
Tunazidi Ku enjoy
@angelokihaka8363
@angelokihaka8363 3 жыл бұрын
Ambao wana #Dislike wanamatatizo gn😣😣😣😣
@rasjamal9854
@rasjamal9854 3 жыл бұрын
Zablon ume pambana ktk maisha akuna kukata tamaa ongera sana na yote hii kuteseka kote ni Yule Bibi yako mchawi? Gamboshi ni mji km London au New York
@rosecruiz4348
@rosecruiz4348 3 жыл бұрын
Na raisi wao ni nani
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kweli kabisa. Yule bibi ni noma kweli
@christophersaimon4398
@christophersaimon4398 3 жыл бұрын
44
@stivenmgonja5908
@stivenmgonja5908 3 жыл бұрын
Mjengoni kama kawaidaa jàpo nimechelewa
@innocentmahende2113
@innocentmahende2113 3 жыл бұрын
P1 Dm.
@shantellemwanakombo3703
@shantellemwanakombo3703 3 жыл бұрын
Tumalizie story bwana wacha kutupimia
@beatricekweka6683
@beatricekweka6683 3 жыл бұрын
💥💥🔥🔥
@Fm-MornStar2014
@Fm-MornStar2014 3 жыл бұрын
Bitteee!
@beatricekweka6683
@beatricekweka6683 3 жыл бұрын
@@Fm-MornStar2014 Bee mzimaa...umewahieehh aisee nnaviporoo Kila nikiangalia nasinzia 😂😂 nikiamka mzigo mpya aloo mpaka sielewi naishia wapii niombee kwa Davistar apunguze spidii mnaniachaa🤣🤣🤣
@Fm-MornStar2014
@Fm-MornStar2014 3 жыл бұрын
@@beatricekweka6683 ndio naendelea kutazama bado sikamaliza hii. Acha iende mdogomdogo tuuu! Inanoga! 🤣😅🤣😂 La kucha!
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
@@beatricekweka6683 duh we VP c wenzio tunatamani story hiishe at Leo !! We et unahachwa😭🤣🤣🤣🤛
@beatricekweka6683
@beatricekweka6683 3 жыл бұрын
@@Fm-MornStar2014 😁😁😁....haika nga mkure necha..nyuda oifoo
@neemaomar76
@neemaomar76 3 жыл бұрын
Mmh story ya gamboshi inaanza kunitisha sasa na usiku huu nipo pekee yangu 😩
@g.d.d1481
@g.d.d1481 3 жыл бұрын
Ulipambana kwel
@aminaismail4221
@aminaismail4221 3 жыл бұрын
Davistar mata panga safari ss uende huko gambosh ukatulete ukweli wahuko
@karrolleschon3986
@karrolleschon3986 3 жыл бұрын
🇰🇪🎤🎤🎤
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 61 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,6 МЛН
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
JIWE LA MAAJABU UKARA LINACHEZA NA KUTOA SAUTI - HADUBINI YA TBC
16:30
Gangana Info Channel
Рет қаралды 903 М.
Baada Ya Kutoka  Gamboshi Nilichanganywa
24:21
Comedy24
Рет қаралды 601
SADAKA NA FUNGU LA KUMI
48:56
RGC-TOANGOMA
Рет қаралды 19 М.
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
0:19
PAVLOV
Рет қаралды 19 МЛН
ToRung short film: i sell watermelon🍉
0:38
ToRung
Рет қаралды 22 МЛН
A young mother couldn't calm down her baby at the lesson #shorts
0:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 15 МЛН
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
0:19
PAVLOV
Рет қаралды 19 МЛН