Ila zabron upo vizuri sana kwa kusimulia DM hongera kwa kutafutia story nzuri km hii
@flubtv3 жыл бұрын
Nataka likes 10k za davistar kama wamukubali
@annasilayo14053 жыл бұрын
Sehem ya 12 vp
@user-gy9tt8of4l9 ай бұрын
Hapo uriwaza vema sana boy nasio kuigia tamaa isionamaana hongeraa sana
@ibrahimmohamedi44983 жыл бұрын
Mwezi mmoja unapiga supu safi unakua kibonge hapana kwa kweli hapana I say nooooooooooooooo ujambazi mhm
@matthewjohn51083 жыл бұрын
😂😂😂😂
@mariamfritsi49433 жыл бұрын
Tunaisubiria hiyo simulizi ya gambosh, bila shaka wewe utatuelezea kwa ufasaha, kwa kuwa hatujui ukweli zaidi, wengine wanasema ni kijiji tu cha kawaida, wengine wanasema ni kijiji cha kichawi,sasa wewe utatuambia ukweli.
@fredichaki48683 жыл бұрын
Nikweli nimji wenye magorofa pia ni mji wenye Mambo mengi sana ya kichawi ila uwezi kuona kwenye macho yakawaida mbaka uwe na jicho la tatu
@mariamfritsi49433 жыл бұрын
@@fredichaki4868 duh humu duniani kuna mambo mengi ya ajabu, sasa hayo magorofa yasioonekana, ila yapo, si ni mauzauza, yaani ukitafakari hata huwezi kupata jibu. ila ngoja tumsubirie Zabron aje atuhakikishie, huko mbele ya simulizi yake.
@oduoratieno26133 жыл бұрын
His journey was very tough and rough God protect u and give u more yrs in this world... THANK u so much Mr davistar for good job
@innocentrichard29453 жыл бұрын
He's a survival
@nurudaud39932 жыл бұрын
sema zabron ulikuwa na.hekima na akili ya kutosha sana hufanyi maamuzi ya haraka 😊brother be blessed 🤝
@upendoluv71973 жыл бұрын
Kumbe Zabron Ni Handsome bhana😘😘😘😘
@fighterm77083 жыл бұрын
Moshi Technical School , My Lovely School aaaah , Mpande the teacher daaah kitambo sanaaa
@jamesswai65833 жыл бұрын
Yep mpande wa kitambo...Now amestaafu. Nilimwacha akiwa mwalimu wa vijana na michezo.
@tonywambua95053 жыл бұрын
The best story ever
@africandarling69253 жыл бұрын
Duuu Zabroni umepitia shida sana dooo AISSEH pole ZABRONI
@rosecruiz43483 жыл бұрын
Naona taba sam la davistar kuskia gambosh
@mariamripiti21373 жыл бұрын
SHUKURAN MR FACT
@manbanshaban92533 жыл бұрын
Story nzuri sana,,,👍big up davistar💪
@cliffordmaboi22983 жыл бұрын
Davistar keep up good story.
@thegreat.98693 жыл бұрын
Daaaah. Nakumbuka kipindi hicho vocha inaitwa dola
@khadijamohanani64763 жыл бұрын
Dah yani natamani hata isiishe ilivyo nzuri hongera bro
@hildaernest10903 жыл бұрын
Dav co kwa kunitesa ivi na huu usiku afu Nina mtoto mchanga,story inanoga balaaa
@marysteven6053 жыл бұрын
Ivi huo mda zabron ukiwa kwenye gari lao hao majambaz si ulijua Tyr umekwisha watakuua?yaan huyo bibi Yako,alikuweza kwl kwamateso hayo, la
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
dav mata fanya bidii ufike gamboshi utuletee habari
@sallo27.703 жыл бұрын
Kaka Davistar Pole Sana kwa kazi Zuri na Ngumu Unayoifanya Ili Sisi Tuhabarike MUNGU Akutie Nguvu Zaidi. Msimuliaji Ww Ni Shujaa.
@twaibumikidadi73773 жыл бұрын
Asalam alaykum wapenz watazamajiii mdogo mdogo tunaingia gambosh simuliz ndıo kwanzaaa imeanzaaaa
@nyendochamwela30313 жыл бұрын
Umejiandaaa kuingia lakini?
@marysteven6053 жыл бұрын
Kujiandaa kwenda,???!usiombe kwenda huko Bana,gambushi Noma,
@azizamohd57283 жыл бұрын
Kidogo kidogo naanza kuogopa
@twaibumikidadi73773 жыл бұрын
elionara unajua nn watu wengi tunapenda siöulz zile za mayza uza ndıo nmesema tunaingia gambosh kila mtu anapapenda
@Mpakauseme3 жыл бұрын
Hongera sana Davista umetuletea mtu wa story ya ukweli kabisa bila ya kupepesa macho aisee
@zettyhassani22443 жыл бұрын
Nampenda anavyojielezea mpk jinsi kituo Cha stor anavyomeza fundo lamate
@ramadhanjumanne88823 жыл бұрын
Wampe maji
@saidabdalla89963 жыл бұрын
Jamaa ulikuwa unajielewa kweli ndugu yangu
@djbless62013 жыл бұрын
Wow jamaan😋😋😋😋😋 Like bas
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Hongera
@oneclick20233 жыл бұрын
Me nimekaa tuliii nafuatilia Story ya Mr.Zabu ...nikaomba dawa ya kuona wachawii.....ehee baadaya ya hapo...Mr David Tuliaa mzee baba Mwendelezo unakuja part 11 ,,nimetulia Mr D.🛀🛀
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Dil ya bank mm pia siwezi kabisaaa heri nipatoke hapo 🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️mana huko nikuuxa moyo wako lkn kuna wengine hiyo nikaxi rahisi sanaaa tuu kwao
@abbyadams86913 жыл бұрын
Waoooo nimekubamba mama la mama kutoka Kenya😜😜😜😜
@nurafedrick3783 жыл бұрын
@@abbyadams8691 yani imeshika sana tuuu ss kumeza msimuliaji anavoitafuna 🤗🤗🤗
@navokisembo3 жыл бұрын
Zablon ana kumbukumbu nzuri saana ila ametesela kweeli jamani
@allykibabe81823 жыл бұрын
Daaah htr xna
@angeljasson43763 жыл бұрын
Asante bro
@veeinn79653 жыл бұрын
Wow umepitia mengi kaka poleni
@rajaburashid42193 жыл бұрын
Wonderful story
@khadijarashidi87723 жыл бұрын
Thanks
@hebronsdaughter16613 жыл бұрын
Story nzuri sana wallah
@maryamumapenzi12573 жыл бұрын
Yani huyu jaama amepitia mengi Hadi Basi tu
@kautharmickidad16983 жыл бұрын
Na hapo Badoo yan
@pilimusa77703 жыл бұрын
Sana
@marysteven6053 жыл бұрын
Yote hayo ni bibiake mzaa baba
@kevinlembela24553 жыл бұрын
Nimekukamata mapema Leo Mr dav
@matheothomas18913 жыл бұрын
Davistar story ya huyu jamaa nii ndefu na ni mzuri sana sasa jitahidi ata kutupia vipande ata vnne kwa siku maana hapo ilipo fika bado Ndiooo mwanzoo maaana aliepelekwa gambush akafanikiwa kutoka akaja kamatwa tena ajarudishwa akatoka tena akawa ahonekani yaniii
@rosemassawe19793 жыл бұрын
Unapenda kununua nguo🙄
@mariamshabani68533 жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰🤝🤝🤝Nai kubali Sana iyi simulizi 🥰Asente Sana kaka zabroni
@hamisimtemi38033 жыл бұрын
asa mariam siuje bobo mama
@latifahissa11143 жыл бұрын
Hii bandika bandua co mchezo 😘😘😘
@richardjoseph33473 жыл бұрын
Dah stor nzur sana
@kevinlembela24553 жыл бұрын
Waooo
@jeaninemugisha63953 жыл бұрын
Jamani mungu amegutowa mbari sana
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
Jamoon simulizi NI Tamu Sana!!
@ylosvijevana68153 жыл бұрын
Na vile Davister anapenda dawa ya kuona wachawi na story za Gambosh hapo kafika
@somoeawadh77743 жыл бұрын
Nishaanza kumiss zile story zetu za kichawi,, mm na Goodluck na pili Musa, 🤗🤗🤗
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaaaa😂😂😂😂😂
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Teeenaaaaaaaaaa🤔😍
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@pilimusa7770 Atuekeeeeee🤗
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 aaaaa bhana hii tamu kweli
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 kabisaaa. 😂😂😂😂
@bintimrope3 жыл бұрын
Chakulalia hiki hapa😋😋😋👋👋
@ochuboysosman83763 жыл бұрын
Jamani nimezamiria kua wa kwanza mara ya tatu sasa
@stellanestory70223 жыл бұрын
Wa kwanza leo daaaaah
@pilimusa77703 жыл бұрын
Hongera
@deusdeodavid53603 жыл бұрын
Stor imeeenda school
@shakiraabbas75383 жыл бұрын
🙌🙌
@mariamripiti21373 жыл бұрын
Duh nyie viumbe sio watu wazuri 😂😂😂😂🙄haya 14
@mimisir57172 жыл бұрын
Uyu jamaa alikwama sana.me ningepiga dili na wale majambazi sass iv ningkua dubai
@kimandoro74323 жыл бұрын
💯
@aishahemedi78693 жыл бұрын
🤗🤗
@oscarlemamaringo80813 жыл бұрын
Nimejitaidi kuwahi lakini wapi majukumu nayo wacha niendelee
@bebebebe56773 жыл бұрын
Duuh pole kaka
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Kwangu u ndio ushuhuda namba Moja kwanza huyu jamaa ni geneous. 1. Zabron mwita 2. Magere 3. Kanyerere
@aishahemedi78693 жыл бұрын
Nitampataje kitabu
@nakiwalahjulliet92083 жыл бұрын
I always wonder if this stories are for real.are they true stories Mr.Davistar?
@marysteven6053 жыл бұрын
Wangepita île njia yule Jamaa aliyowaonyesha wangefika ila wasingerud,
@sundimashala36103 жыл бұрын
Numb1
@marthamaligo4583 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@pazimazongera49343 жыл бұрын
Dogo kapitia mitihani mikubwa sana kuliko umli wake