Mwanamke katoka damu nyingi hata kumpeleka hospitalini hamna? Unakaa nae ndani tu? Hio kali!
@carlosmoshi3922 жыл бұрын
Unajitahidi sana mkuu hiyo haina ubishi Hongera sana kaka.
@honestema2 жыл бұрын
Mtu kapata kazi akamkaataaaa ogopa sana wanawake ishi nao kwa akili tu🙌🙄
@Patience.672 жыл бұрын
Nashukuru mungu Kwa kukuokoa hiyo maisha ya pombe ilikuwa mbaya
@acimamalingano85562 жыл бұрын
Pamoja saana Mr everything 💪 I
@heritier51192 жыл бұрын
Mzee wa fact kapatikana anapewa story za kuchapa bakora ametulia tuli
@opionlinetv50522 жыл бұрын
Wakwanza😂
@michaelbengesi98382 жыл бұрын
Wanawake Eliya watakuja Kumuuwa tu. Unatakiwa kujifunza kutokana na Makosa.
@michaelbengesi98382 жыл бұрын
Ama kweli binadamu tunashingo Ngumu, Kwa uzinzi Elia umetisha.
@heritier51192 жыл бұрын
Amekula ujana anayo haki ya kuokoka sasa
@ombeninnko93322 жыл бұрын
Amefanya uzinzi wa kimataifa
@heritier51192 жыл бұрын
@@ombeninnko9332 Huwezi kuwa mzinzi kama huna roho ya uzinzi
@rerisamba Жыл бұрын
Ana bahati ukimwi haukumpata
@nurudaud39932 жыл бұрын
Asanteee 😆😍
@salma-fc4xc2 жыл бұрын
😆davista ana pepelea eti ndugu yang elia
@charlesmapunda59052 жыл бұрын
Mr fact piga mazoezi mwili huo unakuja
@bakari-si1pw2 жыл бұрын
Poa kaka tuko pamoja
@thegreat.9869 Жыл бұрын
Kischana hahahaaaa.
@mkuluwaukae22212 жыл бұрын
Akaja kupata kazi, AKABADILIKA ALOOOOO
@thegreat.9869 Жыл бұрын
Coment yako inaonesha we mngoni😃😃
@peterrulagora74032 жыл бұрын
Maisha yake yalikuwa ya hatar sn
@heritier51192 жыл бұрын
Huna pesa wanawake wa kileo uwapati
@hildaernest1090 Жыл бұрын
Story tamu sama,,,,jamaaa anaongea Kama mtafya tapeli mwizi wa kimataifa
@jesusislord91902 жыл бұрын
sema nini watu wengine tamaa dada anaelewa Mama anaelewa Kaka wanaelewa unapata shida gani??
@yugakiyumbi99092 жыл бұрын
Title ya story inavutia lkn story yenye msimuliaji anairefusha Kwa kusimulia matukio ambaye si ya muhimu. Had saiv hizo pesa za kuoza mwili hajazipata,nakosa hamasa ya kusikiliza Kila part
@charlesmapunda59052 жыл бұрын
Kiukweli hii stori kila tukio analosimulia lina sababu ukimsikiliza kwa makini