Daah stori tamu hii. Mwenyekit wa Vijana sasa mwisho wa utawala wako ukawa umefika🤣🤣
@acimamalingano85562 жыл бұрын
Pamoja saana Mr everything 💪
@nurudaud39932 жыл бұрын
Thanks Mr fact 😆😆😆 si akaaza kupiga 💪 😆😆😆 davistar bhna Elia wewe kwel wakukusahau kwel aaah aaa huyo mwanamke aiseee🤣🤣🤣🤣 umevunja jiko aaah daaa haka ka episode fire sana 🤣🤣🤣🔥
@Limbakale260 Жыл бұрын
Ndugu yangu eliya!
@om-gg6jn2 жыл бұрын
Yupo smart lakini Hana direction, sometime ukiwa na akili nyingi unapoteza mwelekeo
@rerisamba Жыл бұрын
Kweli ulimpenda mpaka kuongea kwako kumegeuka unapo muongelea huyo Ann
@isaackmboma722 жыл бұрын
Wakwanza leo gonna like
@michaelbengesi98382 жыл бұрын
nimependa hivo vitasa vya pua ulivyompa Anna 😃😂😂😂
@heritier51192 жыл бұрын
Jamaa kweli mapenzi yalimdrive
@kevinkundy13382 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣poleeee sanaa ndugu yetuu Elia
@jesusislord91902 жыл бұрын
shikamoo mapenzi nakumbuka nilimfuma demu wangu gest na jamaa.. wanafanya... yule dem..tukapanda gari...kurudi home akachukuwe vitu vyake.... ninaaibu sana ila siku hiyo nilimgombeza kwenye..gari watu woote waligeuka kuniangali...mpaka kesho mpaka kufa sitaki kusikia kupenda wala kumpenda mtu....sitaki kabisa mapenzi..kitu kinaitwa mapenzi
@mkuluwaukae22212 жыл бұрын
Mapenzi ni usenge sana😂😂😂😂 mpaka ukauza tv ya home? Nimekumbuka watoto wa jirani yangu mmoja hivi!
@fhfbfcvcgfggf68442 жыл бұрын
Mapenzi shikamoo 🤣🤣🤣
@rachelcharles51902 жыл бұрын
Number 01 davistar fans
@husseingabo54972 жыл бұрын
We ndio pimbi kweli mwanamke akikuzimgua SI unaachana nae tu unalazimisha nini acha ulimbuken wa uchi mwanamke jinga wewe
@charlesmapunda59052 жыл бұрын
@@husseingabo5497 Ndugu yangu hayajakukuta sasa subiria yakukute muda ambao sio muhafaka utajua mapenzi yakoje, huwezi kuoga kama hujachafuka hata kama unachukulia poa ila kama unajua maumivu ya mapenzi subiri yakukute, Mapenzi hayana mwenyewe wala Baunsa ila tu mmoja kati ya hayo aamue kukujitoa akili ingawa ukweli anaujua. Usiombe yakukute ndugu yangu.
@charlesmapunda59052 жыл бұрын
Eliya mtani wangu namuelewa vizuri kwa maisha yanayo endelea hasa ukiwa huna pesa
@husseingabo54972 жыл бұрын
@@charlesmapunda5905 wewe nini mi nimeshawaacha wanawake kibao ambao ni wazinguaji na wasumbufu Kwa hiyo Mimi sio mgeni wa mambo hayo Mimi mwanamke asienipenda wa nini kwanini nijilazimishe Kwa mtu asienipenda kama sio uzoba ni nini wanaume kuweni na akili
@jesusislord91902 жыл бұрын
mapenzi mapenzi..mapenzi sitaki kusikia hata kidogo
@heritier51192 жыл бұрын
Mwanamke achungiki
@aphilinamsafiri97802 жыл бұрын
Hahaaaaa davsta umenifrahsha:
@lizzybeth63442 жыл бұрын
I story ni love story ya kihindi
@fatumakhamisi10022 жыл бұрын
Yeah hivyo ndivyo ilivyo Don't trust Women ever
@bakari-si1pw2 жыл бұрын
Kijana anambana Sana ili demu amwelewe
@michaelbengesi98382 жыл бұрын
mapenz ni uchizi 😣😃
@tututz1002 жыл бұрын
KIJANA AUWAWA
@jacobmwacha72852 жыл бұрын
Apo maza na mtoto waliamua kukaa wakapanga wakuzingue hamna kaka apo