PART2:KIJANA ALIEPITIA MAMBO MAGUMU YA AJABU NA KUKUBALI KUWA NAYO ILI KUEPUKA KIFO

  Рет қаралды 4,541

Davistar Mata Media

Davistar Mata Media

2 жыл бұрын

Пікірлер: 78
@hellendiana625
@hellendiana625 2 жыл бұрын
Kweli ndugu!,hakuna siku jini litakuwa la manufaa wala msaada kwa mwanadamu, giza na nuru havichangamani.
@salumabdi3127
@salumabdi3127 2 жыл бұрын
Quran kwl imesema kuna majini wabaya na wazuri ,,lkn pia hio hio Quran imesema kuna majin na mashetani Quran ikaendelea kutofautisha kt ya jini na shetan imesema wazi kua jini yoyote anaemuingia binadamu huyo ameasi na sio jini nishetani napia ww pinadamu uunaengiwa na shetan halaf akakupa masharti nini ufanye nini uache na ukafata hakika ww umepotea hata km huyo shetani atakwambia usali na ukasali bc Quran inasema ww husali kwa amri ya mungu unasali kwa kumtii shetani..kwaio acha kuingopa ww toa tu story yko ila usichanganye habar km shetan na jini ww ukafanya nikt kimoja wakt hivyo ni vtu viwili tofaut endapo vitaacha kumtii allah bc ujue jini anakua shetani ndugu yng ww umeshapotea ya ww huyo shetan ambae alikuingia amekupata na bado upo nae na lengo lake limefanikiwa mn lengo lke nikukutoa ktk iman yko na amefanikiwa kukuritadisha yan ww ulizidiwa akili na shetan kukuanzia mbl sijui vibarakashia sijui nn kumbe kusudio lke nikukuritadisha ple mjomba
@husnaseph9476
@husnaseph9476 2 жыл бұрын
Asante ndugu nimepata kitu kwako
@kahindiwanje90
@kahindiwanje90 2 жыл бұрын
Safi Sana broo
@mercykariithi7919
@mercykariithi7919 2 жыл бұрын
Baba Yesu alikupenda akakuokoa na mateso ya majini walijua utaokoka walijua utaokoka walitaka kukuwai lakini Yesu akakutetea hakuna kama Yesu Amen
@gracewelschemeyer665
@gracewelschemeyer665 Жыл бұрын
Amen 🙏🏽
@makame3524
@makame3524 2 жыл бұрын
Davister zunguka na story zako kuna siku utakuja kukutana na mtumishi ambae atakuambia kwamba alikua muislam baadae akapata maombi kwa baba god halaf ndio utajua hujui......hii dunia inamabo mengi na mambo yenyewe yamechangamana. Yule pastor dan wakat ameanza kuokoka amesema alienda kwa profit malisa lakin akaona sio pazur akaondoka akaenda kwa maziwa ndiko alikoponea matatizo yake, lakin mwisho wasiku alirud hapa akatuambia kwamba ntumishi maziwa anamambo ya ovyo,,,,,,,mimi naendelea kujifunza tu lakin hii dunia inamambo mengi mambo yake ni ngumu kuyaelewa kwaiyo lazma uwe mtulivu
@saidessry9942
@saidessry9942 2 жыл бұрын
Davistar anajua anachokifanya na sikama kwa bahati mbaya bali anakusudia na wala usitie khofu yoyote kwamba hajui haya wanayoyasema watu wa ushuhuda ni wasanii lakini mimi naamini kwa uwezo wa Allah muda simrefu atakuja kujuta uislamu hauchezewi
@nuswemwaipopo9558
@nuswemwaipopo9558 2 жыл бұрын
@@saidessry9942 kabisaa. Tena anafurahi wakija watu wa aina hii
@nuswemwaipopo9558
@nuswemwaipopo9558 2 жыл бұрын
@@saidessry9942 davistar anawaamini kabisaaaa
@saidessry9942
@saidessry9942 2 жыл бұрын
Anafata mkumbo ataanza kuchangishwa sadaka
@athumanmakale8221
@athumanmakale8221 2 жыл бұрын
Awe jini mzuri au jini mbaya hawa viumbe hawana mamlaka ya kuishi kwenye mwili wa Binadamu Wala nyumbani. Hayo mafundisho ni kupotosha. Ata Qurani haijaruhusu Jini kuishi na Binadamu. Ni Upotoshaji wa baadhi masheikh wanaoendekeza na kufundisha kuwa Kuna MAJINI wazuri na wabaya. maswala haya ya MAJINI MAJINI yanatesa Sana Binadamu Mole MLEZI tunajilinda na kuguswa na viumbe hawa. Amin
@faridamohamed4677
@faridamohamed4677 2 жыл бұрын
Amiin
@salumabdi3127
@salumabdi3127 2 жыл бұрын
umeongea vzr lkn jini hamtesi mtu ukiona jini kaingia kwnye mwil wa binadamu au nyumban kwke ujue huyo sio jini tena huyo nishetani na tayar amemuasi mungu na kukataa amri zke kwaio huyo tyr amelaniwa sio jini bali nishetan
@nuswemwaipopo9558
@nuswemwaipopo9558 2 жыл бұрын
@@salumabdi3127 wewe ndiyo umeelezea vizuri.
@sadiqmwafrica6759
@sadiqmwafrica6759 2 жыл бұрын
Assalam Alaykum jamiia, simple and clear Davistar, Jini yeyote anayeingia ndani ya mtu huyo huitwa sheytani, na hana wema wowote, na wala si wa kusikilizwa ni wakuamrishwa atoke au ikiwa hataki aangamizwe, yaani auwawe, hayo majini/mashetani, siyo mwenye majini/mashetani.
@faridamohamed4677
@faridamohamed4677 2 жыл бұрын
Akimalize amlete mzaz wake mojawapo kama yupo
@nuswemwaipopo9558
@nuswemwaipopo9558 2 жыл бұрын
Kabisaa. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mmarekanitz4049
@mmarekanitz4049 2 жыл бұрын
Watu wengi wanaamini kwenye miujiza na ndio sababu kila kukicha wanaongezeka msiba mkubwa
@zahirrajab7713
@zahirrajab7713 2 жыл бұрын
Davista punguza maswali unaulizaaa sanaaaaaa bwanaaaa unaboa
@sadiqmwafrica6759
@sadiqmwafrica6759 2 жыл бұрын
Hawa majini waasi ndio wanawaingia watu wakajifanya wanaamrisha mema lakni lengo lao kuu ni kukupoteza au kuangamiza familia yako, mfano huyu kijana lengo la huyo Shetani Sultan ni kumtoa ktk dini ya Haki(Uislam), na kwa hilo amefanikiwa, na mwisho wako uko clear, madhali uko hai sisi kama binadam na Waislam ni kukumbushana tuu, ukitaka bakia uliko, ukitaka jutia toba nasuha, na urejee kwa mola wako na dini iliyo ya haki
@nuswemwaipopo9558
@nuswemwaipopo9558 2 жыл бұрын
Hakuwa mwislamu huyo
@juliejulie8704
@juliejulie8704 2 жыл бұрын
Acha mtu afate kule anapoona Mungu ndo yupo mana hakuna dini itakao mpeleka mtu mbinguni sasa kama kwenye hiyo dini yenye haki mbona hao masheikh aliowakimbilia mskitini hawakumsaidia?
@nuruahmed6216
@nuruahmed6216 2 жыл бұрын
Davista Qur"an imesema KHALAKAL JINN WAL INS ILA LIYAABUDUN..nimeumba majinni na binadamu kuniabudu..kwa hivo majinni ni waislamu hata wakristo na hawamfuati kristo wako na waislamu hawafuati uiislam majinni pia wako hawafuati basi anakuwa shetani..
@juliejulie8704
@juliejulie8704 2 жыл бұрын
Waislam mbona mna makasiliko mbona sisi wakristo wakijahapa na kuanz kulalamika waliokutana nayo huko makanisani hatukasiliki tatizo ni masheikh mana wakianza kusomea mweny majini akiwatisha tu kidogo wanaogopa simameni kwenye imana na mtumike kwa haki na kweli bila kuhofia nguvu za giza muone kama kuna muislam ataenda kuombewa
@festokiraryo.6107
@festokiraryo.6107 2 жыл бұрын
Davista Mr facts hongeraa
@mwanaahusseiyn4830
@mwanaahusseiyn4830 2 жыл бұрын
Hujui uislam kwnn unauelezea?kwanz jini mzuri hakai ktk mwili wa binadam....kinachomponya mtu n Iman yake na c kuingia msikitin.
@evangelistdanielsenyagwa4018
@evangelistdanielsenyagwa4018 2 жыл бұрын
Sema davista una uliza sana maswali punguza kidogo
@warideadnanadnan9447
@warideadnanadnan9447 2 жыл бұрын
Davista wacha kumzonga kwa asichokijua kuhusu majini wewe chukua hicho anachokwambia
@abdulghafur8612
@abdulghafur8612 Жыл бұрын
Mimi ni Muislam naomba ifahamike kuwa katika Uislam tunaamini hakuna Jinni mzuri ateishi ndani ya mwii wa Binaadam au kiumbe kingine chochote. Huyo hakuwa jinni mzuri, ni kituko tu.
@warideadnanadnan9447
@warideadnanadnan9447 2 жыл бұрын
Waliomuasi mungu si majini ni mashetani kunatofauti ya jini na shetani
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 2 жыл бұрын
Majini ni mashetani ndugu yangu,hakuna jini zuri.
@nuswemwaipopo9558
@nuswemwaipopo9558 2 жыл бұрын
Kabisaa ila wengi wao hawajuwi pamoja na davistar mwenyewe
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 2 жыл бұрын
@@minicooper9642 unajadili mada usiyoijua,utadanganya wengi
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 2 жыл бұрын
@@minicooper9642 hukemea shetani au pepo,ni jinsi anavyojisikia kutamka
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 2 жыл бұрын
@@minicooper9642 wewe umekaririshwa tu,unaonekana una kasumba ya kukariri. Chimba zaidi acha kuambiwa tu
@macamezunguzungu5584
@macamezunguzungu5584 2 жыл бұрын
Mr everything 💪
@khudatally5509
@khudatally5509 2 жыл бұрын
ichi kipindi si chamikasa me naona ni kipindi kilichoandaliwa kukandamiza uislam ila wanatumia stori ili kuukandamiza sasa fanyen mnavojua uislam itabaki kuwa dini ya haki na ww ulieritadi nakuonea huruma sana
@nuswemwaipopo9558
@nuswemwaipopo9558 2 жыл бұрын
Umeona eee.
@nuswemwaipopo9558
@nuswemwaipopo9558 2 жыл бұрын
Kabisaa
@aziza9093
@aziza9093 Жыл бұрын
Marajigi nikisikiliza nikuukadamiza uslamu nakukejali tunajuwa kuelimisha watu
@khalidyasinkhalid5944
@khalidyasinkhalid5944 2 жыл бұрын
Mkweli hufundisha fanya maombi haya au soma mstari fulani sio njoo tikuombee. Na kimantiki hilo ni tatizo lipo ktk ubongo na wala si majini kama asemavyo
@bintalmasi2393
@bintalmasi2393 2 жыл бұрын
Mwendelezo pls
@nasserkhoduri4087
@nasserkhoduri4087 2 жыл бұрын
kumekucha uislamu na ukirto
@nuswemwaipopo9558
@nuswemwaipopo9558 2 жыл бұрын
Kabisaaaa
@shepherd1x84
@shepherd1x84 2 жыл бұрын
Wahubirie ndugu uliowaacha wa imani yako ya Awali..wakimbilie Yesu
@kapalatu7322
@kapalatu7322 Жыл бұрын
Nina hakika wewe na huyo mgeni wako hamjui chochote kuhusu uislam. Na pia Kuna wakristo wengi wapo kanisani na wana majini. Mmewao bea na hawajapona, na pia km mnadhani kuombea mtu majibu yanatoka hapo hapo,nendeni hospital za KCMC au Muhimbili mkawaombee wagonjwa tuone angalau robo tu ya wagonjwa waruhusiwe ndio tujue mnamjua Mungu kweli..
@makame3524
@makame3524 2 жыл бұрын
Sikiliza ww, chochote kinachomuingia binadam ni shetan jini mwema hamuingii binadam. Halaf pia kuna msemo unasema chochote kinachotokea karibu yako bc ujue umekikaribisha.
@igurusitv6553
@igurusitv6553 2 жыл бұрын
Tufundishe unakaribishaje
@makame3524
@makame3524 2 жыл бұрын
@@igurusitv6553 kwanza matendo yako pili kila dini imeweka mafundisho yake ya namna ya kuishi, letsay unapotaka kulala kuna dua zake, unapoenda safar yaan kila jambo limewekewa taratib zake ,,,,,,,,, halaf pia kumbuka mashetan ni viumbe ambao tupo nao karib sana zaid ya sana ila cc hatuwaoni kwaiyo unapoenda kinyume na mafundisho ni rahis kukupata,,,,, kwamfano unakuta mtu mzinifu yaan ametoka kusex tu anatoka hajaoga anatembea bro kumbuka kuna majini wabaya wanapenda lile jasho la kujamiana, lakin pia kua vile nirahis wao kukuingia
@florencerose859
@florencerose859 2 жыл бұрын
Hapa sasa ni amani na simlizi sio mara eeeh eeeh kila kitu sawa
@nancygitau5268
@nancygitau5268 2 жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪👍🤞
@salisali3738
@salisali3738 2 жыл бұрын
Acha zako ww
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 2 жыл бұрын
nimewahi
@faridamohamed4677
@faridamohamed4677 2 жыл бұрын
Anakauongo fulan
@nuswemwaipopo9558
@nuswemwaipopo9558 2 жыл бұрын
Umeona eeee. Pia hakuwa mwislam
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
Nmewahi 💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿💃🏿🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
@Fm-MornStar2014
@Fm-MornStar2014 2 жыл бұрын
Aysha vipi kpnz 💓 🍬
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
@@Fm-MornStar2014 Alhamdulillah wngu🤗🤗❤❤
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
@@Fm-MornStar2014 waendeleaje ❤❤❤❤
@Fm-MornStar2014
@Fm-MornStar2014 2 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 poa. Umenisusa mnooo! 🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 2 жыл бұрын
@@Fm-MornStar2014 xijakususa wngu❤❤❤
@tafabwijo1186
@tafabwijo1186 2 жыл бұрын
Mnaleta udine sasa
@nuswemwaipopo9558
@nuswemwaipopo9558 2 жыл бұрын
Kabisaa
@kevinrichard6605
@kevinrichard6605 2 жыл бұрын
Mh
@ruqiajuma5451
@ruqiajuma5451 2 жыл бұрын
Hakuna Dalili hiyo
@ruqiajuma5451
@ruqiajuma5451 2 жыл бұрын
Jini hatakiwi kuka Kwa mtu
@nuswemwaipopo9558
@nuswemwaipopo9558 2 жыл бұрын
@@ruqiajuma5451 kabisaa
@kenedypaulo4557
@kenedypaulo4557 2 жыл бұрын
Tuko pamoja davista mata
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 36 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Did you believe it was real? #tiktok
00:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 51 МЛН
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 102 МЛН
MOMENT PRESIDENT RUTO RESQUED BY KDF HELICOPTER FROM @NGRY GEN-Z
9:04
SAFARA GATHIMITI
Рет қаралды 5 М.
UTII NYAKATI ZA KUTISHA
31:39
Sauti ya Uzima
Рет қаралды 20
رورو ضد رقيه🔫😲🚀 #shorts
0:13
رورو فاميلي | Roro Family
Рет қаралды 31 МЛН
Sigma Kid Hair  #funny #viral #comedy
0:17
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 6 МЛН
Ужасное свидание🤯 #стальноймужик #жиза #еда
0:50
SteelMan XXL | Стальной мужик
Рет қаралды 2,3 МЛН
Попалась за конфету 🍭🙃
0:20
НЕБО - СПОРТ И РАЗВЛЕЧЕНИЯ
Рет қаралды 1 МЛН
🚓КОПЫ явно такого НЕ ЖДАЛИ🫣#shorts
0:19