PART29:BINADAMU MWENYE ASILI YA JINI ALIEISHI GAMBOSHI YA UCHAWI/NAKULA WATU/NAISHI NA JINI/NILIKUF

  Рет қаралды 16,316

Davistar Mata Media

Davistar Mata Media

3 жыл бұрын

Пікірлер: 350
@winnyenockwinnyenock6986
@winnyenockwinnyenock6986 3 жыл бұрын
😭😭jamani binadam hawana utu mpk machozi yamenitoka japo sjaona nijinsi ngani majeleha ulitapata na maumivu pole Sana zabloni❣️
@asiasalim4634
@asiasalim4634 3 жыл бұрын
Hehe number 1 likezngu wapendwa
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Hongera Asia
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
Hongera
@aishahassan9812
@aishahassan9812 3 жыл бұрын
Pole sana kaka ang mpnz Kwa yote uliyapitia🙏 Mungu ni mwema had hapo ulipofikia🙏😭😭😭 binadam sio watu wema jaman😭😭😭
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
Kabsa😥
@aishahassan9812
@aishahassan9812 3 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 hujambo mamy
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisaa😭😭😭😭😭😭
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
@@aishahassan9812 Alhamdulillah xijui ww😍😍
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
@@pilimusa7770 😥😥
@IANA2030
@IANA2030 3 жыл бұрын
Likes za OC .CID zicome😂😂☝🏿👏🏿👏🏿👏🏿
@tonywambua9505
@tonywambua9505 3 жыл бұрын
Still following up till part 100 kweli hii dunia inamambo hop ni true story
@maryamevarista9473
@maryamevarista9473 3 жыл бұрын
Ndomaana imeandikwa jinsi gani ngamia hawezi kupenya kwenye tundu la shindano matajili😭mungu anawaona
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisaa
@beatricekweka6683
@beatricekweka6683 3 жыл бұрын
Nimekutime..😜🌞 Mkujeeee Duuhh pole sana aisee sipendi mambo ya hivyo unaeza Loga mtu!!
@peninahkariuki4679
@peninahkariuki4679 3 жыл бұрын
Kila ninapo fwatilia story hii,nazidi kujitia nguvu katika maisha haya,😢😢🇰🇪🇰🇪
@flubtv
@flubtv 3 жыл бұрын
Nipeee likes za davistar I was waiting this episode
@maryamumapenzi1257
@maryamumapenzi1257 3 жыл бұрын
Aisee pole Sana umepitia magumu Sana ingekua mm khaaa singe tamani kuishi
@lasma9830
@lasma9830 3 жыл бұрын
Wakwanza mimi gonga like kama na wewe upo humu
@ellyswema2113
@ellyswema2113 3 жыл бұрын
Sasa wewe jamaa kila kipigo unachoelezea unasema ndo kikali zaidi, umesahau kipigo cha omela tena 😂😂
@abbyadams8691
@abbyadams8691 3 жыл бұрын
🙉🙉🙉😆😆😆😆😆😂😂 Omela alikuwa gaidi hashwaaa. Ila huyu jamaaaa nae mpole sana, ndio maana wanamuonea.
@deelissa2746
@deelissa2746 3 жыл бұрын
@@abbyadams8691 ahahahahahah na kule gamboshi alivyomwaga damu😂
@ellyswema2113
@ellyswema2113 3 жыл бұрын
@@abbyadams8691 😂😂😂😂 huyu jamaa amejua kuteseka aisee
@abbyadams8691
@abbyadams8691 3 жыл бұрын
@@deelissa2746 😂😆🙉🙉🙉🙉Jamaa hamna sehemu aliyoishi akatoka bila kichapo,labda kwa yule dada tu aliyemuokoa akibakwa.
@ellyswema2113
@ellyswema2113 3 жыл бұрын
@@deelissa2746 we utakuwa hukusikia wale majambazi waliomfirisi duka lake 😂
@somoeawadh7774
@somoeawadh7774 3 жыл бұрын
Team kuchelewa 💃
@rasjamal9854
@rasjamal9854 3 жыл бұрын
Davistar Mata hao police km wapo ilibidi wachukuliwe Atua maana walikuwa wana fanya kz zao kinyume cha sheria kisa Mwarab ana pesa amewaonga pesa hili wamtese Chifu Zabron Pole sana Duu hila mitihani imekukuta
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisa yani. Watafutwe na wafunguliwe mashtaka ili iwe fundisho kwa wengine.
@geraldtarimo9960
@geraldtarimo9960 3 жыл бұрын
Hao asikari tupatie majinayao tukusaidie kulipakisasi,tafadhal hatakama wamestaafu inatakiwa ulipekisasi kwaonafamiliawao nahuyomwarabu yupowapi? Naetumjue
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisaa
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
Somoe pili Aisha aiyam cute emmya sapna mimi mimi wetuuuuuu njooon 🇪🇭🇪🇭🙄
@aishahassan9812
@aishahassan9812 3 жыл бұрын
Tupo uwanjan mama🤩
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
@@aishahassan9812 Nmefurai kukuona♥️♥️
@aiyamhassan1321
@aiyamhassan1321 3 жыл бұрын
@@ayshamahariq6665 ahsante niko hapa habibty..
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Nimefika sasa. 😂😂😂😂😂😂
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Asante
@kefasoneliakimumkeyembo1804
@kefasoneliakimumkeyembo1804 3 жыл бұрын
Davistar kwa hii story nishatumia hadi hela ya akiba kwa kuweka mb. Kwakweli ni Moto🔥🔥🔥🔥
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
😂😂😂😂pole
@user-me3ee4fu8w
@user-me3ee4fu8w 3 жыл бұрын
Tamaa jamani mbaya laana maalam iwaandame kabisa shame on them
@mariammgombayeka1824
@mariammgombayeka1824 3 жыл бұрын
Dav tatizo unachelewa kupakua nyingine jamani 😫
@mkombelwamodeste8886
@mkombelwamodeste8886 3 жыл бұрын
pole sana
@aishasaid6749
@aishasaid6749 3 жыл бұрын
Pole sana broo
@joycejoseph8863
@joycejoseph8863 3 жыл бұрын
Leo nimewahi💃
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
Pole kwa yote kaka yngu mpenzi ♥️♥️🇪🇭🇪🇭
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisa. Shemeji yako kateseka mno
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
@@pilimusa7770 Had huruma😥
@marthamaligo458
@marthamaligo458 3 жыл бұрын
Hakika ulitesaka aise 😢😢😢pole sana
@popoali6641
@popoali6641 3 жыл бұрын
Thanks my dear brother your story so nice
@babymkuya359
@babymkuya359 3 жыл бұрын
Zabron nishida😂😂😂 jamani ila pole umepatwa na makubwa mh🙄
@abdulhalimhumud1917
@abdulhalimhumud1917 3 жыл бұрын
Dah story tamu hii hakuna kama hii ila huyu jamaa Mungu amsimamie saiv aishi vzr mana c kwa mateso aya duniani kweli hujui lipi litakukuta tumuweke Mungu Mbele kwa kila kitu Hakika tutaishi vzr Amen 🙏
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Amiin
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 жыл бұрын
waa safi dav
@venahsithole6463
@venahsithole6463 3 жыл бұрын
Pole sana kaka
@macamezunguzungu5697
@macamezunguzungu5697 3 жыл бұрын
Pole saana mungu yupo nawe😥😪😥😥😥😥
@asiasalim4634
@asiasalim4634 3 жыл бұрын
Watu wengi wanabambikiwa kesi mungu awalaani hao police wote pamoja na baba yake huyo demu washitaki kama wapo mashetan hao😭😭😭😭
@aishaha3538
@aishaha3538 3 жыл бұрын
Kweli mungu awalani
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 3 жыл бұрын
Kbs angewachukulia hatuwaaa
@shantellemwanakombo3703
@shantellemwanakombo3703 3 жыл бұрын
Yaan wengi wao wanabandikiwa kesi zisizo zao na kufungwa maisha duh😥😥
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisaaa
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
@@shantellemwanakombo3703 kabisa
@mahadiamajawa9264
@mahadiamajawa9264 3 жыл бұрын
Duu jamni hatari sana mungu anakupenda kaka yangu na una mwili wa ushujaa kwakweli
@theunseen.believe5672
@theunseen.believe5672 3 жыл бұрын
Mapenzi ya zablon na Angel ni kama Romeo and Juliet 😀😀😀
@wantangosaimon5295
@wantangosaimon5295 3 жыл бұрын
Uongo mbaya kama mgambo ndo anapiga hivyo kwa hali hii sasa hivi hawahitajiki Mimi nae ningemtafuta ale lungu
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisaaa
@asiasalim4634
@asiasalim4634 3 жыл бұрын
Kitabu chako lazima nikitafute ila umepitia mengi sana wabaya wko bado wapo? Hai
@badymsuya6093
@badymsuya6093 3 жыл бұрын
Yeah
@elizabethauma2260
@elizabethauma2260 3 жыл бұрын
Waaa aki pole kaka
@Fm-MornStar2014
@Fm-MornStar2014 3 жыл бұрын
Ok
@user-me3ee4fu8w
@user-me3ee4fu8w 3 жыл бұрын
Kazi ya ufundi ni nzuri sana imagine wangekua
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 жыл бұрын
Huyo mpelelezi mtu mzuri haki hataki mtu kuxulumiwaa wallah huyo mxee mwarabu anakuwa naro mbaya kama warabu wezie wauwarabuni pole sana maumivu hayo tena makubwaa
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 3 жыл бұрын
Masikini wa Mungu kwahayo mateso😭😭..Ila hao waliotenda hayo wajue siku ya hukumu Mungu hapokei pesa yao.
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisaa
@luciamutongore799
@luciamutongore799 3 жыл бұрын
Rudia tenaaaaaa!!!Yaani natamani uwe na kipaza sauti ambacho ukiongea dunia nzima isikie
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 3 жыл бұрын
@@luciamutongore799 wamesikia sana my.
@salhakhamis4629
@salhakhamis4629 3 жыл бұрын
Mh pole sn zambiron kwa safar ulio pitia
@chrisiasbrown2208
@chrisiasbrown2208 3 жыл бұрын
Watu hawachezagi mbali...Davister big up.. you are really entertaining up.
@sharonmwanza1810
@sharonmwanza1810 3 жыл бұрын
Aki pole humepikwa sana
@bebebebe5677
@bebebebe5677 3 жыл бұрын
Mmhh kaka pole
@asiaside9558
@asiaside9558 3 жыл бұрын
Huyo mgambo me ningemtafuta😪😪😪😪lazima ningelipiza kisas
@adambakari3797
@adambakari3797 3 жыл бұрын
Nakubali davistar mata round hii umetuletea series kali hatari uchawi na love story ndani umetisha kinoma
@elizabethlyimo7407
@elizabethlyimo7407 3 жыл бұрын
Pole Sana kaka
@adambakari3797
@adambakari3797 3 жыл бұрын
@@elizabethlyimo7407 pole na nn sister
@roseuwambe8089
@roseuwambe8089 3 жыл бұрын
Pole sana😔
@juliusphabian6336
@juliusphabian6336 3 жыл бұрын
Hello dear...ndo nafika😍😍
@shantellemwanakombo3703
@shantellemwanakombo3703 3 жыл бұрын
Mungu hatupi mja wake duh
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisa
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
@@pilimusa7770 kabsaaaaaa
@wazomyakinifu2301
@wazomyakinifu2301 3 жыл бұрын
Duhh. Mateso yote hayo hali mtu huna hatia. Hao polisi km bado wapo hadi hii leo yafaa wachukuliwe hatua. Bwana Zabron asaidie kuwatambua hao maaskari na wachukuliwe hatua kabisa. Yaani kutoka masuala ya mapenzi hadi kubambikizwa kesi ya ujambazi? Hii mbaya sana.
@martinmaryogo6081
@martinmaryogo6081 3 жыл бұрын
Ndgu yangu sio kila aliefungwa ana hatia, wengine ndo kama hvo, ila pesa shikamoo duuuh
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Sanaaa. Wamemuonea kweli. Na police wanaonea mnoooo
@adamnasango1743
@adamnasango1743 3 жыл бұрын
Weka mbili mbili kaka
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisaa
@ericklukumay1777
@ericklukumay1777 3 жыл бұрын
Hyo ocd nimempenda bure hawa warabu koko wanajionaga sana kwamba wao ndio wao tu
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 3 жыл бұрын
Mimi uwaga napenda kutoa makosa....story ya huyu jamaa ni nzuri...anajua kuadithia sana.....Ila davista karibu uwe una edit makosa Kuna mahala uwa unatoka au kuongea..✌️
@aboually2472
@aboually2472 2 ай бұрын
Imenibd nkamwone angel fb aiseee sio poa unahaki upigike 🤣🤣🤣🤣
@mwanzandaki786
@mwanzandaki786 3 жыл бұрын
#Davistar usisahau kumuuliza vipi kuhusu ile Hirizi ya kupumua je alikua bado anayo mda huo au aliitelekeza?
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisaa
@faustinaalukungu8511
@faustinaalukungu8511 3 жыл бұрын
🙏
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 3 жыл бұрын
duuh pole sanaaa z
@azizamohd5728
@azizamohd5728 3 жыл бұрын
Zabron appetite yako iko vizuri
@asiaside9558
@asiaside9558 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@azizamohd5728
@azizamohd5728 3 жыл бұрын
@@asiaside9558 Fikiria kipigo alichopata ila alipostuka bado appetite ilikuwepo na alikula vizuri tu😀
@reubenlameck6225
@reubenlameck6225 3 жыл бұрын
Wamwixho leo
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kama mie 😂😂😂😂 ndiyo nimefika
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 жыл бұрын
🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️duu kweli huna hata mtoto wakusingixiwaa usaidiwee tuu mana sio kwakipigo hichoo hadi mbavu xaumaa hadi sahii fanya bidi ufanye x ray kuangalia VIP hixo mbavu...
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisa
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
@@pilimusa7770 kabsaaaa
@hancymachibbula4355
@hancymachibbula4355 3 жыл бұрын
Askar njaa kali sana ndyo maana wakistaafu maisha ya mtaa yanawashinda wanajikuta wamefirisika vibaya
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Bora
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 жыл бұрын
pole sana zabron sio wote wanafungwa wamefanya makosa wengine nikuekelewa
@zennahenry5953
@zennahenry5953 3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@acruxe5810
@acruxe5810 3 жыл бұрын
Ivi facebook ana tumia jina gani uyo mwamba
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Zabrani c Mwita
@laurakilala3501
@laurakilala3501 3 жыл бұрын
Jmn nimefurahi kukuona Davistamata live at kamanga garden
@hamadwaziri121
@hamadwaziri121 3 жыл бұрын
Sawaa
@jeaninemugisha6395
@jeaninemugisha6395 3 жыл бұрын
Zabroni wewe nishuja aki mungu akurinde sana
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Sanaaa
@suleymanally4729
@suleymanally4729 3 жыл бұрын
Police wanalana sana yan nikaz yakijing mno njaa hahahaahha
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Wabaya sana. Si watu hata kidogo. Kumtesa mtu bila makosa duh. 😭😭😭😭
@shantellemwanakombo3703
@shantellemwanakombo3703 3 жыл бұрын
Davistar hebu jaribu kuturefushia story kidogo angalau ifike lisaa limoja1 jaman
@meckylucy215
@meckylucy215 3 жыл бұрын
Leo Nimewah Namimi
@IANA2030
@IANA2030 3 жыл бұрын
💃🏾
@mbarikiwambarikiwa3988
@mbarikiwambarikiwa3988 3 жыл бұрын
Davista hautununulii bando ww, weka vipande vinne kwa ck, hzo nyingine hatufagilii.
@aminsalimali793
@aminsalimali793 3 жыл бұрын
Safi mtu makini davistar ubarikiwe
@askaounga6456
@askaounga6456 3 жыл бұрын
My friend finish this story please
@zettyhassani2244
@zettyhassani2244 3 жыл бұрын
Yaan huy zablon daah
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kateseka sana. Pia anabahati
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
@@pilimusa7770 sana🤔
@benedicthaule8633
@benedicthaule8633 3 жыл бұрын
Tuma inayofuata kk
@dareenali6086
@dareenali6086 3 жыл бұрын
Hakuna haki za binaadam Very sad story
@jumapengo2701
@jumapengo2701 3 жыл бұрын
Leo nimewai
@shakiraabbas7538
@shakiraabbas7538 3 жыл бұрын
Kila siku mimi wa mwisho daaaa🙆
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 pole .
@avierastevens5141
@avierastevens5141 3 жыл бұрын
Chief gikarooo without kivuli dah. Ulipitia magumu sana.
@aminabhitalio8143
@aminabhitalio8143 3 жыл бұрын
Pole umepitia magumu kaka
@zaytunhijja6771
@zaytunhijja6771 3 жыл бұрын
Njoon tayar huku
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Tumefika asante
@evelynlehnard3928
@evelynlehnard3928 3 жыл бұрын
Somo kwamba ukitenda wema leo utakusaidia kesho. Zablon wema wake umemsaidia kwenye matatizo.
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisaa
@hancymachibbula4355
@hancymachibbula4355 3 жыл бұрын
Askar ni mbwa
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Sana.
@ezekiaandrew8420
@ezekiaandrew8420 3 жыл бұрын
🖐🖐🖐🖐
@bintimrope
@bintimrope 3 жыл бұрын
Pole kwa misuko suko kaka
@kisakamsumari5690
@kisakamsumari5690 3 жыл бұрын
😇😇😇😇
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 жыл бұрын
Aisee hii History ya kweli
@abbyadams8691
@abbyadams8691 3 жыл бұрын
Mwanaume unapigwa mpaka demu mzuri akichojoa nguo, unalala nae mpaka asubuhi bila kumgusa.Kudadadeki! 🤸🤸🤸🤸🤸🤸😜😜
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 жыл бұрын
Yani hadi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭hayo Mateso yote wewe pia achana nawatoto wakiarabu kaka huku wauliwaaa kabisaa kwaza unakatwaaa shingo kabisaa Bora utafutee masikin mwexako
@erickvalerian8264
@erickvalerian8264 3 жыл бұрын
Yaaan katika story ulizo wahi kutuletea hii no one yaan daah unataman hata isiishe brooo maisha yako yote ni hadithi na vitendawili yaaan ukiaadaa movie utapiga hela sana brooo tena unaweka kwa mfumo wa series
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisaaa
@tayanabenard4392
@tayanabenard4392 3 жыл бұрын
Davister ww endelea tu mpaka sehemu 100 Zabron hatuchoshi kabisa
@rayaally4597
@rayaally4597 3 жыл бұрын
Kabisaaa
@alitoufik5477
@alitoufik5477 3 жыл бұрын
Umeonaeeeeeeeeeee
@rukundoibrahim807
@rukundoibrahim807 3 жыл бұрын
😊😊🤥🤥zabroni akiitaji udhamini apewe amepambana sana mtangazaji davista wewe nimtangazaji wakimataifa.
@gharibislam1586
@gharibislam1586 3 жыл бұрын
Zablon hii part 29 nimeipenda sana
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Hao mapolice wabaya sana . hata sijuwi wanalala vipi wakirudi nyumbani. Wanawafanyia watu ubaya mnooo.
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
Kabsaa😥
@vivianluca8486
@vivianluca8486 3 жыл бұрын
Huruma saana police wetu walivyo malimbukeni kisa hela wapo radhi kumdhulumu haki yake kaka wa watu. Pole zabron mungu ana makusudi na ww
@aishaha3538
@aishaha3538 3 жыл бұрын
Watuweka sana
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 жыл бұрын
☹☹☹☹☹☹☹☹☹☹yani bdo dada anakaza kamba eti bado anaitaji kuishi nayy hata kama kijijini 😢😢😢😢😢😢😢😢yani mm huyo ningemwitikia tuu nikitoka tuu usiku wamanane nahama mana utaishii kama kuwadi
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@nurudaud3993
@nurudaud3993 2 жыл бұрын
aiseee 😢😢😢
@zedianagasper9475
@zedianagasper9475 3 жыл бұрын
Hatareeee
Always be more smart #shorts
00:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 49 МЛН
THE POLICE TAKES ME! feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
PANDA BOI
Рет қаралды 24 МЛН
🔴LIVE : RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA EDGAR  07  -  JUNE 18
51:33
EFM TANZANIA
Рет қаралды 8 М.
BIBLIA INAMAKOSA KIBAO
29:11
UNIVERSITY FILMS
Рет қаралды 13 М.
100❤️
0:19
MY💝No War🤝
Рет қаралды 13 МЛН
Не плавайте тут! 🏊🚫
0:24
Взрывная История
Рет қаралды 1,7 МЛН
ЧТО НАМ ПОПАЛОСЬ?😜😜😜
0:12
Chapitosiki
Рет қаралды 824 М.
СРОЧНО ДОМОЙ! Эта НЕ КОНФЕТА!
0:21
Клаунхаус Kids
Рет қаралды 1,8 МЛН