@@deelissa2746 😂😆🙉🙉🙉🙉Jamaa hamna sehemu aliyoishi akatoka bila kichapo,labda kwa yule dada tu aliyemuokoa akibakwa.
@ellyswema21133 жыл бұрын
@@deelissa2746 we utakuwa hukusikia wale majambazi waliomfirisi duka lake 😂
@somoeawadh77743 жыл бұрын
Team kuchelewa 💃
@rasjamal98543 жыл бұрын
Davistar Mata hao police km wapo ilibidi wachukuliwe Atua maana walikuwa wana fanya kz zao kinyume cha sheria kisa Mwarab ana pesa amewaonga pesa hili wamtese Chifu Zabron Pole sana Duu hila mitihani imekukuta
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisa yani. Watafutwe na wafunguliwe mashtaka ili iwe fundisho kwa wengine.
Davistar kwa hii story nishatumia hadi hela ya akiba kwa kuweka mb. Kwakweli ni Moto🔥🔥🔥🔥
@pilimusa77703 жыл бұрын
😂😂😂😂pole
@user-me3ee4fu8w3 жыл бұрын
Tamaa jamani mbaya laana maalam iwaandame kabisa shame on them
@mariammgombayeka18243 жыл бұрын
Dav tatizo unachelewa kupakua nyingine jamani 😫
@mkombelwamodeste88863 жыл бұрын
pole sana
@aishasaid67493 жыл бұрын
Pole sana broo
@joycejoseph88633 жыл бұрын
Leo nimewahi💃
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Pole kwa yote kaka yngu mpenzi ♥️♥️🇪🇭🇪🇭
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisa. Shemeji yako kateseka mno
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@pilimusa7770 Had huruma😥
@marthamaligo4583 жыл бұрын
Hakika ulitesaka aise 😢😢😢pole sana
@popoali66413 жыл бұрын
Thanks my dear brother your story so nice
@babymkuya3593 жыл бұрын
Zabron nishida😂😂😂 jamani ila pole umepatwa na makubwa mh🙄
@abdulhalimhumud19173 жыл бұрын
Dah story tamu hii hakuna kama hii ila huyu jamaa Mungu amsimamie saiv aishi vzr mana c kwa mateso aya duniani kweli hujui lipi litakukuta tumuweke Mungu Mbele kwa kila kitu Hakika tutaishi vzr Amen 🙏
@pilimusa77703 жыл бұрын
Amiin
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
waa safi dav
@venahsithole64633 жыл бұрын
Pole sana kaka
@macamezunguzungu56973 жыл бұрын
Pole saana mungu yupo nawe😥😪😥😥😥😥
@asiasalim46343 жыл бұрын
Watu wengi wanabambikiwa kesi mungu awalaani hao police wote pamoja na baba yake huyo demu washitaki kama wapo mashetan hao😭😭😭😭
@aishaha35383 жыл бұрын
Kweli mungu awalani
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
Kbs angewachukulia hatuwaaa
@shantellemwanakombo37033 жыл бұрын
Yaan wengi wao wanabandikiwa kesi zisizo zao na kufungwa maisha duh😥😥
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaaa
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@shantellemwanakombo3703 kabisa
@mahadiamajawa92643 жыл бұрын
Duu jamni hatari sana mungu anakupenda kaka yangu na una mwili wa ushujaa kwakweli
@theunseen.believe56723 жыл бұрын
Mapenzi ya zablon na Angel ni kama Romeo and Juliet 😀😀😀
@wantangosaimon52953 жыл бұрын
Uongo mbaya kama mgambo ndo anapiga hivyo kwa hali hii sasa hivi hawahitajiki Mimi nae ningemtafuta ale lungu
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaaa
@asiasalim46343 жыл бұрын
Kitabu chako lazima nikitafute ila umepitia mengi sana wabaya wko bado wapo? Hai
@badymsuya60933 жыл бұрын
Yeah
@elizabethauma22603 жыл бұрын
Waaa aki pole kaka
@Fm-MornStar20143 жыл бұрын
Ok
@user-me3ee4fu8w3 жыл бұрын
Kazi ya ufundi ni nzuri sana imagine wangekua
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Huyo mpelelezi mtu mzuri haki hataki mtu kuxulumiwaa wallah huyo mxee mwarabu anakuwa naro mbaya kama warabu wezie wauwarabuni pole sana maumivu hayo tena makubwaa
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
Masikini wa Mungu kwahayo mateso😭😭..Ila hao waliotenda hayo wajue siku ya hukumu Mungu hapokei pesa yao.
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaa
@luciamutongore7993 жыл бұрын
Rudia tenaaaaaa!!!Yaani natamani uwe na kipaza sauti ambacho ukiongea dunia nzima isikie
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
@@luciamutongore799 wamesikia sana my.
@salhakhamis46293 жыл бұрын
Mh pole sn zambiron kwa safar ulio pitia
@chrisiasbrown22083 жыл бұрын
Watu hawachezagi mbali...Davister big up.. you are really entertaining up.
@sharonmwanza18103 жыл бұрын
Aki pole humepikwa sana
@bebebebe56773 жыл бұрын
Mmhh kaka pole
@asiaside95583 жыл бұрын
Huyo mgambo me ningemtafuta😪😪😪😪lazima ningelipiza kisas
@adambakari37973 жыл бұрын
Nakubali davistar mata round hii umetuletea series kali hatari uchawi na love story ndani umetisha kinoma
@elizabethlyimo74073 жыл бұрын
Pole Sana kaka
@adambakari37973 жыл бұрын
@@elizabethlyimo7407 pole na nn sister
@roseuwambe80893 жыл бұрын
Pole sana😔
@juliusphabian63363 жыл бұрын
Hello dear...ndo nafika😍😍
@shantellemwanakombo37033 жыл бұрын
Mungu hatupi mja wake duh
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisa
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@pilimusa7770 kabsaaaaaa
@wazomyakinifu23013 жыл бұрын
Duhh. Mateso yote hayo hali mtu huna hatia. Hao polisi km bado wapo hadi hii leo yafaa wachukuliwe hatua. Bwana Zabron asaidie kuwatambua hao maaskari na wachukuliwe hatua kabisa. Yaani kutoka masuala ya mapenzi hadi kubambikizwa kesi ya ujambazi? Hii mbaya sana.
@martinmaryogo60813 жыл бұрын
Ndgu yangu sio kila aliefungwa ana hatia, wengine ndo kama hvo, ila pesa shikamoo duuuh
@pilimusa77703 жыл бұрын
Sanaaa. Wamemuonea kweli. Na police wanaonea mnoooo
@adamnasango17433 жыл бұрын
Weka mbili mbili kaka
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaa
@ericklukumay17773 жыл бұрын
Hyo ocd nimempenda bure hawa warabu koko wanajionaga sana kwamba wao ndio wao tu
@mbwanakiting71803 жыл бұрын
Mimi uwaga napenda kutoa makosa....story ya huyu jamaa ni nzuri...anajua kuadithia sana.....Ila davista karibu uwe una edit makosa Kuna mahala uwa unatoka au kuongea..✌️
#Davistar usisahau kumuuliza vipi kuhusu ile Hirizi ya kupumua je alikua bado anayo mda huo au aliitelekeza?
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaa
@faustinaalukungu85113 жыл бұрын
🙏
@khadijaomari93443 жыл бұрын
duuh pole sanaaa z
@azizamohd57283 жыл бұрын
Zabron appetite yako iko vizuri
@asiaside95583 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@azizamohd57283 жыл бұрын
@@asiaside9558 Fikiria kipigo alichopata ila alipostuka bado appetite ilikuwepo na alikula vizuri tu😀
@reubenlameck62253 жыл бұрын
Wamwixho leo
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kama mie 😂😂😂😂 ndiyo nimefika
@nurafedrick3783 жыл бұрын
🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️duu kweli huna hata mtoto wakusingixiwaa usaidiwee tuu mana sio kwakipigo hichoo hadi mbavu xaumaa hadi sahii fanya bidi ufanye x ray kuangalia VIP hixo mbavu...
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisa
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@pilimusa7770 kabsaaaa
@hancymachibbula43553 жыл бұрын
Askar njaa kali sana ndyo maana wakistaafu maisha ya mtaa yanawashinda wanajikuta wamefirisika vibaya
@pilimusa77703 жыл бұрын
Bora
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
pole sana zabron sio wote wanafungwa wamefanya makosa wengine nikuekelewa
@zennahenry59533 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@acruxe58103 жыл бұрын
Ivi facebook ana tumia jina gani uyo mwamba
@pilimusa77703 жыл бұрын
Zabrani c Mwita
@laurakilala35013 жыл бұрын
Jmn nimefurahi kukuona Davistamata live at kamanga garden
@hamadwaziri1213 жыл бұрын
Sawaa
@jeaninemugisha63953 жыл бұрын
Zabroni wewe nishuja aki mungu akurinde sana
@pilimusa77703 жыл бұрын
Sanaaa
@suleymanally47293 жыл бұрын
Police wanalana sana yan nikaz yakijing mno njaa hahahaahha
@pilimusa77703 жыл бұрын
Wabaya sana. Si watu hata kidogo. Kumtesa mtu bila makosa duh. 😭😭😭😭
@shantellemwanakombo37033 жыл бұрын
Davistar hebu jaribu kuturefushia story kidogo angalau ifike lisaa limoja1 jaman
@meckylucy2153 жыл бұрын
Leo Nimewah Namimi
@IANA20303 жыл бұрын
💃🏾
@mbarikiwambarikiwa39883 жыл бұрын
Davista hautununulii bando ww, weka vipande vinne kwa ck, hzo nyingine hatufagilii.
@aminsalimali7933 жыл бұрын
Safi mtu makini davistar ubarikiwe
@askaounga64563 жыл бұрын
My friend finish this story please
@zettyhassani22443 жыл бұрын
Yaan huy zablon daah
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kateseka sana. Pia anabahati
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
@@pilimusa7770 sana🤔
@benedicthaule86333 жыл бұрын
Tuma inayofuata kk
@dareenali60863 жыл бұрын
Hakuna haki za binaadam Very sad story
@jumapengo27013 жыл бұрын
Leo nimewai
@shakiraabbas75383 жыл бұрын
Kila siku mimi wa mwisho daaaa🙆
@pilimusa77703 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 pole .
@avierastevens51413 жыл бұрын
Chief gikarooo without kivuli dah. Ulipitia magumu sana.
@aminabhitalio81433 жыл бұрын
Pole umepitia magumu kaka
@zaytunhijja67713 жыл бұрын
Njoon tayar huku
@pilimusa77703 жыл бұрын
Tumefika asante
@evelynlehnard39283 жыл бұрын
Somo kwamba ukitenda wema leo utakusaidia kesho. Zablon wema wake umemsaidia kwenye matatizo.
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaa
@hancymachibbula43553 жыл бұрын
Askar ni mbwa
@pilimusa77703 жыл бұрын
Sana.
@ezekiaandrew84203 жыл бұрын
🖐🖐🖐🖐
@bintimrope3 жыл бұрын
Pole kwa misuko suko kaka
@kisakamsumari56903 жыл бұрын
😇😇😇😇
@Mpakauseme3 жыл бұрын
Aisee hii History ya kweli
@abbyadams86913 жыл бұрын
Mwanaume unapigwa mpaka demu mzuri akichojoa nguo, unalala nae mpaka asubuhi bila kumgusa.Kudadadeki! 🤸🤸🤸🤸🤸🤸😜😜
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Yani hadi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭hayo Mateso yote wewe pia achana nawatoto wakiarabu kaka huku wauliwaaa kabisaa kwaza unakatwaaa shingo kabisaa Bora utafutee masikin mwexako
@erickvalerian82643 жыл бұрын
Yaaan katika story ulizo wahi kutuletea hii no one yaan daah unataman hata isiishe brooo maisha yako yote ni hadithi na vitendawili yaaan ukiaadaa movie utapiga hela sana brooo tena unaweka kwa mfumo wa series
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaaa
@tayanabenard43923 жыл бұрын
Davister ww endelea tu mpaka sehemu 100 Zabron hatuchoshi kabisa
Hao mapolice wabaya sana . hata sijuwi wanalala vipi wakirudi nyumbani. Wanawafanyia watu ubaya mnooo.
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Kabsaa😥
@vivianluca84863 жыл бұрын
Huruma saana police wetu walivyo malimbukeni kisa hela wapo radhi kumdhulumu haki yake kaka wa watu. Pole zabron mungu ana makusudi na ww
@aishaha35383 жыл бұрын
Watuweka sana
@nurafedrick3783 жыл бұрын
☹☹☹☹☹☹☹☹☹☹yani bdo dada anakaza kamba eti bado anaitaji kuishi nayy hata kama kijijini 😢😢😢😢😢😢😢😢yani mm huyo ningemwitikia tuu nikitoka tuu usiku wamanane nahama mana utaishii kama kuwadi