😀😀itabidi zablon acheze filamu ya hicho kitabu,watu wataipenda sana 🙆
@kusahbrown4363 жыл бұрын
Zablon naomba siku moja nikae chini na wewe shabika toka Kenya like itapendeza nikipata
@nurafedrick3783 жыл бұрын
😂🤝🤝🤝🤝🤝
@carolinewanjeri99163 жыл бұрын
Unite pia
@yvettekyalika9073 жыл бұрын
... This manooooo gives me a great lesson of life " don't complain".. "rejoice in Lord".... Love story inanitsekeza sana😂😂😂 uyu binti commando kweli... What a fresh and sincere heart like a child 🤔.. Davista na team yote aksanti na kazi.. Merci beaucoup.. MUNGU ami barikiwe.. 🤔Avoir autant souffert et éclater de rire ? Pas de rancune ? Grande leçon de la vie.. May GOD gives us the grace to be always thankful..
@deelissa27463 жыл бұрын
We dada sijui mkaka uliecomment ep ya 26 kuwa kinarushwa saa 6 ule nyama choma na soda nakuja kulipa❣️
@pilikhamis29243 жыл бұрын
Duuh kaka zabroni duuh pole ila nime cheka sana sio utan
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@sallo27.703 жыл бұрын
Ndugu Sasa Unatufurahisha Sana. Nimecheka Sana.
@username-ey8qu3 жыл бұрын
Mr zabloni hatukuwezi story inazidi kua nzuri , mr davistar hapo sawa unatuwekea simulizi za mafunzo 2ko pamoja .
@abbyadams86913 жыл бұрын
Acha leo tuinjoy love story tamu ya Kihindi tupumzike kidogo story za wachawi kula nyama za watu, huenda leo nikaota niko na mtoto mzuuuuuri sio kila siku naota nakimbizwa na majitu.😜😜😜😜🤸🤸🤸🤸
@shantellemwanakombo37033 жыл бұрын
@@abbyadams8691 🤣🤣🤣🤣🤣
@kefasoneliakimumkeyembo18043 жыл бұрын
Ni zaidi ya Movie!😂😂😂😁 Davistar kwa hii story big up sana.
@oneclick20233 жыл бұрын
Bwana zabu ,Umenipa plan kuna angel huku anaruka viunzi 😂😂😂.. #Teamzabu#TeamZabuMadiko 🍜🍝 Story hili lifike hadi ep ya 1000
@voodothurday3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@euniceeunice76803 жыл бұрын
Aya aya
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
Hongeraa number one nakuona
@somoeawadh77743 жыл бұрын
Shukran sana kwa muendelezo
@zulekhamohd93632 жыл бұрын
Pole sana
@tracyirene89173 жыл бұрын
Duhh!!😊mbona huyu Angel kaitwa Kama Dada yangu🤔 hii stori nzuri kweli pale kwa mapenzi Zabron kasimulia vizuri..😄😄 Mr.facts twangoja muendelezo...
@mussamgonda89533 жыл бұрын
Asante kk kwamwendelezo
@kelvinemiles69953 жыл бұрын
Tupo pamoja Kaka tunawapenda sana 🔥
@fredysasine57813 жыл бұрын
Nimeipenda
@abuu_khaki41203 жыл бұрын
First liker😂😂😂
@kheryartist53223 жыл бұрын
Here! We gooo... thanks brother D-Mata💥✌🏽
@abbyadams86913 жыл бұрын
Acha leo tuinjoy love story tamu ya Kihindi tupumzike kidogo story za wachawi kula nyama za watu, huenda leo nikaota niko na mtoto mzuuuuuri sio kila siku naota nakimbizwa na majitu.😜😜😜😜🤸🤸🤸🤸
@angelmilele47303 жыл бұрын
Skuiyo misosi hakugonga jamani 😁😁😁
@latifajanja23753 жыл бұрын
Duuh hii ya leo ni love story 😂😂😂na stering ni chif zabron
@oneclick20233 жыл бұрын
Haaa kama movie
@shantellemwanakombo37033 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@suleymanally47293 жыл бұрын
Ushaur nibur:davister mwambie jamaa kitabu akifanyie tarjama namanish tafsiri ya kizungu atanikumbuk inshallah km hajafany hvy
@judiehance17363 жыл бұрын
Yeah,atauza mno ,,
@williumgeofrey95873 жыл бұрын
Davistaaaaaaar,,, nakukubali mzee baba
@avierastevens51413 жыл бұрын
Chief gikarooo yaani nimecheka hatari.
@fredichaki48683 жыл бұрын
Nikweli wa Hindi na wa arabu ni wabaguzi Sana warangi na hua wanapenda kuona wao kwa wao
@blueeyes59523 жыл бұрын
Zabuloni unapenda msosi na wanawake , il faut que tu fasses un film romantique et l'autre diabolique.
@victoriamwalonde86263 жыл бұрын
Pole sana,sijawahi miss mpaka mwisho
@sapnaabdallah10843 жыл бұрын
Jamani hiki kisa nikizuri saana japo kuna sehemu nyengine zinahuzunisha bora iigizwe film nitafrahi zaidi
@jacobmwacha72853 жыл бұрын
Yani nataman hii story ingewekwa yote tuimaliza davista unasababisha ugomvi kwenye familia
@AbdulAbdul-pr9qe3 жыл бұрын
zabron kashamaliza story sasa ni mapenzi kwenda mbele😂😃😃😃
@jeaninemugisha63953 жыл бұрын
Nimecherewa aki iyi story niyakwanza ninzuri sana
@wantangosaimon52953 жыл бұрын
Duh pole sana mchumba altaka kukutia matatan
@mudulorukuyana37223 жыл бұрын
Oya oya nda waendeya kwa muganga mme chukuwa kiti changu adi mme sababisha nime comment number 14 On KZfaq
@roseuwambe80893 жыл бұрын
Bwana misosi kweli alikataa maziwa🤔🤔🤪🤪🤣🤣🤣🤣🤣
@lulubintrashid19033 жыл бұрын
🤣🤣🤣Davy eti jimovie la kihindi🤣🤣
@mamskiumbe40573 жыл бұрын
Mamb
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
asante dav
@eshalibaba11953 жыл бұрын
Amkeni 😘😘😘😘kumekuchaaaa
@susannyamwitha13543 жыл бұрын
Davista story ya zaburon nimeipenda Sana, kama Ile story ya yule mama wa kuzaa na jini,
@allyiddakizimana71033 жыл бұрын
Wa kwanza leo🙏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏💌
@livingwaterchurchmbulukahama3 жыл бұрын
Nimecheka sana
@reubenlameck62253 жыл бұрын
Story TAMU sana🙏🔥
@abbyadams86913 жыл бұрын
Acha leo tuinjoy love story tamu ya Kihindi tupumzike kidogo story za wachawi kula nyama za watu, huenda leo nikaota niko na mtoto mzuuuuuri sio kila siku naota nakimbizwa na majitu.😜😜😜😜🤸🤸🤸🤸
@jangombeboys45363 жыл бұрын
💪💪
@marthamaligo4583 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@salhakhamis46293 жыл бұрын
Zambiro ww mkal sn wa stor yan dah 👏👏👏👏👏🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
mambo yako dav wapenda hiyo sehemu
@moreenmbatha11473 жыл бұрын
number2
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Kuchelewa nayo♥️♥️♥️🙄
@mwangazakanganga81103 жыл бұрын
kumbukumbu yako sio ya dunia hii aisee!
@kevinlembela24553 жыл бұрын
Zabron is very fun haaahaaaa et kitumbo ndiii
@nurudaud39932 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂daaaa aiseeee bro zabu aaaaaah asante mi najitolea kuigiza hii kitabu jamen😂😂😂😂😂can u imagine sema angle bhna alokuwa na roho ngumu😅😅😅
@Teacher_013 жыл бұрын
Hahahah kitumbo ndiiiii.....zabron bhanaaa
@haidahachim45263 жыл бұрын
Yan leo mood yang ilikuwa mbay ila kwa story iyi ya zablon inanifurahishaaaa
@rasjamal98543 жыл бұрын
Davistar Mata naona una enjoy kumsikiliza Chefu, Baba yake Engel ngoma Nagwa (hii ngozi ya mtume)
@carolinetalam58323 жыл бұрын
Tuned 🇰🇪
@jacobmwacha72853 жыл бұрын
Yani inapoishia najiskia vibaya naweza ata leta ugomvi nyumbani bas tu nipate relief maliza i kitu bana
@joycejoseph88633 жыл бұрын
Tunawapenda sana😘😘😘😘😘 watching frm🇰🇪
@abbyadams86913 жыл бұрын
Acha leo tuinjoy love story tamu ya Kihindi tupumzike kidogo story za wachawi kula nyama za watu, huenda leo nikaota niko na mtoto mzuuuuuri sio kila siku naota nakimbizwa na majitu.😜😜😜😜🤸🤸🤸🤸
@joycejoseph88633 жыл бұрын
@@abbyadams8691 😆😆
@adamnasango17433 жыл бұрын
28 please
@bbycandy67573 жыл бұрын
Waah kali
@angeljasson43763 жыл бұрын
Nimecheka sana dah
@muznahmuznah86013 жыл бұрын
Mm pia yalinipata hayo mwaka 98 nikiwa binti kuna mkaka wa kirangi alinipenda sana akiniona km kaona almasi anakua na furaha akawaambia kaka zke na shemegi zake alokua anaishi nao kua ananipenda keshanitongoza ctaki na wao wamsaidie waliponambia niliwachamba kua cmpendi hta kumuona duniani alipopewa jibu hilo kumbe cku hio hakulala kwa mawazo asubuh mapema akjitia kitanzi wakat anakoroma shemegi yke akackia akakimbizwa hospital hajitambui na barua aliacha sasa kaka zke wakawatuma wake zao waje kunipa taarifa na natakiwa kituoni, kaka zke na wake zao walishahojiwa na barua waliwapa police wakataka wanione mm ni wa aina gani mpaka yanatoea hayo waliponiona waliangua kicheko kuona ni binti wa miaka 16 tu natetemesha mtu mzima nikawambia police mm cmtaki nasoma darasa la 7 alipotoka hospital alishikiliwa na police kaka zake wakahonga akaachiwa kwa kukubaliana aondolewe karibu na mm anaweza nidhuru akapelekwa ktk meli kwa uangalizi wa police na mm nipo nilimcndikiza.
@pilimusa77703 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Oyoooo ulivyo msindikiza ikawaje
@clintontv7024 Жыл бұрын
😅😅😅😅 Uyu jamaa kwa totoz
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
dav nawewe utupee historia yako tuone challenges na zabu
@angelokihaka83633 жыл бұрын
😂😂😂
@zettyhassani22443 жыл бұрын
Daah roba la maaana haaaahaaaahaaaa
@asiaramadhani92122 жыл бұрын
Dah kuanzia part ya 25 walau tunacheka mana uko nyuma kote tulikua tunadodosha machozi
@ochuboysosman83763 жыл бұрын
Hapo Zabron pazito yani roho inanafasi yake ila pole sana na matatizo uliopitia
@kanyangezafaraniddi65183 жыл бұрын
😅😅😅demu unamuita tena dada yng tena? Nimechek saan🇨🇦Davi maswal gani??
@aminabhitalio81433 жыл бұрын
🤣🤣yni uyu kaka nimejua kucheka leo
@abbyadams86913 жыл бұрын
Acha leo tuinjoy love story tamu ya Kihindi tupumzike kidogo story za wachawi kula nyama za watu, huenda leo nikaota niko na mtoto mzuuuuuri sio kila siku naota nakimbizwa na majitu.😜😜😜😜🤸🤸🤸🤸
@aminabhitalio81433 жыл бұрын
🤣🤣kabisa yn
@aliaalooya38963 жыл бұрын
😂😂 Uwiii story tamu Leo
@salhakhamis46293 жыл бұрын
Dah kwel kupenda maradh dah
@ezekiaandrew84203 жыл бұрын
Wa 45 leo....nakuwa ktk 50 bora
@rasjamal98543 жыл бұрын
Davistar Mata uli nanii? 😁😁😁 Hila chefu ume mpiga kamba Angel ya kunywa sumu
@rashidhemed57383 жыл бұрын
Nasubiria mie
@mwanzandaki7863 жыл бұрын
Jamani muwe mnaangalia na Ads zinazopita kwny hii channel ili #Davistar apate hata vihela kidogo🙏
@Teacher_013 жыл бұрын
Hahahaha atoe namba tumchangie jaman hata vibuku buku
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
@@Teacher_01 mmmmh
@nurafedrick3783 жыл бұрын
🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂 msichanaa anashangaa nyumba classic iko nakila kituu sasa mwaogopana😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄usije ukaopoa jini😄😄😄😄😄😄😄😄😄wazuri hawajazaliwaa bn
@musiclyrics11313 жыл бұрын
Masela muko fasta online ninjaz
@fatmamucha44193 жыл бұрын
Duh
@upendoluv71973 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kujifanya hautaki maziwa
@popoali66413 жыл бұрын
Duh mumewahi
@nusaebahkeis67743 жыл бұрын
Judy boucher
@ZainabZainab-tv9ir3 жыл бұрын
Hahaha kaka dave eti mlinani
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Picha yakihindi iendelee mwisho mxigo uliwe tuu😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ulilainikaa kiurahisii kweli Mpka sahii sim private xiko ila sanasana huwa nimtu mybe hutaki umjue ndoanatumia hiyo mm kama mm private nb sishikii waezashika ile hallow ukajikuta gambushi😄😄🤣🤣🤣
@nurafedrick3783 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂ngozi ya mtume Haha lkn huyo baba alikuambia ukweli naalikuambia kiupole mana mtoto wakiarabu siutauliwaa wewe ☹☹☹☹☹mana warabuni wafrica wanauliwaa kweli kwakunyemelea watoto wao
@kusahbrown4363 жыл бұрын
Alafu mbona number ya MC denda haifanyi
@aminanamoyo833 жыл бұрын
Eti upendo wa wahindi 🤣🤣🤣🤣🤣,haya mtoto wa kihiindi amekuponza 😁
@haikaelazakiel97313 жыл бұрын
😆 😆 Davistar mwambie zabron na mm naitwa Angel anitafuteee
@abbyadams86913 жыл бұрын
We unasikia alitembea na mtoto bikira nusura aue aafu we unamtaka?🙉😆😆😆Kweli wanawake sugu sana aiseeeee😜😜
@abbyadams86913 жыл бұрын
Acha leo tuinjoy love story tamu ya Kihindi tupumzike kidogo story za wachawi kula nyama za watu, huenda leo nikaota niko na mtoto mzuuuuuri sio kila siku naota nakimbizwa na majitu.😜😜😜😜🤸🤸🤸🤸
@an68083 жыл бұрын
Penzi limemsahaulisha kimvuli chake au kashakipata?
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
Kwaiyo mwafrica nipunda dooh jaman
@christophersaimon43983 жыл бұрын
wa 4
@theceefamily77643 жыл бұрын
Chif wee msanii wa vichekesho@Kenya.
@mudulorukuyana37223 жыл бұрын
Amna apo sasa ndo mimi naenda kwa muganga uyo baba awe kipofu asiweze kuona adi aniachiye muzigo kiulaini duuuuh!
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
🙄🙄😜😜😜😜😜😍🤣🤣😱
@susannyamwitha13543 жыл бұрын
Zaburon nataka kusikia umenda kijijini kuona mama
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaaa
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Bata kwanzaa
@zennahenry59533 жыл бұрын
Picha la kihindi limeanza 🤣
@abbyadams86913 жыл бұрын
Acha leo tuinjoy love story tamu ya Kihindi tupumzike kidogo story za wachawi kula nyama za watu, huenda leo nikaota niko na mtoto mzuuuuuri sio kila siku naota nakimbizwa na majitu.😜😜😜😜🤸🤸🤸🤸
@aishahassan98123 жыл бұрын
Mapenz acha kabisa Yalinitesa sana nusu na robo kufa😭😭😭🤣🤣🤣🤣 yaan mapnz hayana akil sana Ila jins hamna ndo moyo tena bado nina ugonjwa Wang 🤣🤣🤣🤣🤣🏃
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Ilikuwaje leta story
@aishahassan9812 Жыл бұрын
@@highzacknnko9685 😃😃unataka stor
@angeljasson43763 жыл бұрын
Et jambazi mkuu anamuua mapema dah uyo mtt wakike nayy alikua mafya😄
@bebebebe56773 жыл бұрын
Duuuuh hii kali hahhah
@hajiabdalla57723 жыл бұрын
Unamtia machungu Da vista to hapo
@abbyadams86913 жыл бұрын
Acha leo tuinjoy love story tamu ya Kihindi tupumzike kidogo story za wachawi kula nyama za watu, huenda leo nikaota niko na mtoto mzuuuuuri sio kila siku naota nakimbizwa na majitu.😜😜😜😜🤸🤸🤸🤸
@mayoota78893 жыл бұрын
Yani bro kuangaika kote kule unamuacha kiulaini laini tu
@abangaabanga46772 жыл бұрын
Zabron kweli muhuni jamani 🤣🤣🤣
@violinenyakara50283 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wewe ni comedian
@abbyadams86913 жыл бұрын
Acha leo tuinjoy love story tamu ya Kihindi tupumzike kidogo story za wachawi kula nyama za watu, huenda leo nikaota niko na mtoto mzuuuuuri sio kila siku naota nakimbizwa na majitu.😜😜😜😜🤸🤸🤸🤸
@violinenyakara50283 жыл бұрын
@@abbyadams8691 🤣🤣🤣Wacha tungoje mwendelezo saa nne