Ubarikiwa sana ndugu David boyi kutoka kenya turudi katika neno sio mihemko na sarakasi hizi zote lo!
@jesusdeliveranceclinicinte3473 ай бұрын
Tanzania tuna bahati sana kuona hata wazee wetu wa kidini wanasimama kwenye nafasi zao kukikanya kizazi hiki kilicholiacha neno na kukimbilia maji na mafuta. Tamaa za pesa kwa watumishi zimepoteza kizazi hiki. Na Mungu anawaangalia tu, sio kwamba aoni. Rudini kundini tulisome neno jamani . Asante baba Mchungaji kwa kutuchapa kibokoo cha pilipili. Yesu tusaidie sana uzao huu
@mosespeter56183 ай бұрын
Kweli hata kama watu watakupinga na kukukata mimi nimekuelewa kweli hupo vzr zaidi ya sana keep up my pastor
@pilisamtyani94452 ай бұрын
Ameen, mtumishi, unasimama na neno hasa, Blessed my pastor
@jabalimikechi77503 ай бұрын
Wisdom Is Greater Than Knowledge thank you so much Pastor for this great teaching 🙏🙏🙏🙏
@lilianowti54773 ай бұрын
Asante baba kunifungua akili,damu ya Yesu na toba tosha.
@pilisamtyani94452 ай бұрын
Mungu akuweke kwa utumishi wake, Ur the multipurpose servant of God❤
@user-ly2px8lb5o3 ай бұрын
Ubalikiwe mtumishi wa MUNGU
@OnesmoKway-mk7zt3 ай бұрын
Wachungaji wote wangekuwa kama wewe dunia igekuwa sehem sahihi ya kuishi unaubiri vzr sana baba yangu unamaliza mwendo wako vzr sana
@papembithe5033 ай бұрын
Yesu ndio mwazilishi wa miujiza
@gabriellyadam94153 ай бұрын
Ubarikiwe sana BABA unatulea wengi kimaadili na kibiblia
@user-hl9ee2ve4s2 ай бұрын
God bless you so much mchungaji Hananja. You are rightly dividing the word
@risperrehema58422 ай бұрын
Mtumishi WA Mungu, babangu ubarikiwe Mino. Kutsoka Kenya MSA,
@bettybetty3873 ай бұрын
Kumtumikia Mungu ni ngumu sana,watu hawaelewi ya kwamba Mungu anatumia watumishi kwa njia tofauti,bado nashindwa mbona wakristu wanapingana kwa huduma yao,mimi napenda maubiri yako mtumishi wa Mungu na pia napenda saaana maubiri ya Pr.Ezekiel na mafundizo yake,shida ni hakuna mwenye anajua jinzi Mungu anatumia watumishi wake,napenda Mungu wangu zaidi na zaidi ni Yeye tu ndiyo mwanzo tena mwisho.Amen.
@abdulhakeem9593 ай бұрын
HANANJA YUKO KIINJILI ZAIDI.YEYE HUPINGA MAMBO YA KIBINAFSI KULETWA KWA DINI.HAPO NDIPO NINAPOKUELEWA.
@ChristinaKayela3 ай бұрын
Mchungaji yupo sawa kabisa wala hapingi Bali anatoa fundisho zuri Sana kupaka majibu ni ishara ya Toba na kumrudia MUNGU maana sisi Kama wanadam kunamuda tunajisau Sana na kwarezima inatukumbusha kutubu na kumrudia MUNGU na pia amefafanua vzr kabisa hata ukipaka majibu uso mzima bila Toba nisawa na Bure Mimi nimkatoliki lakini namwelewa vzr sana
@BenjaminKabebo3 ай бұрын
Sio ngumu ila watu walikuzunguka ndo watakufanya uone kumtumikia Mungu ni ngumu. Angalia kutenda ya aliyekutuma sio hao walioko njiani kukuvunja moyo. Hata yeye alikutana na upepo njiani alichukua hatua ya kuukemea ila wengine waliona safari imefika mwisho
@josephakondowe36453 ай бұрын
Ubarikiwe Rich ,wewe unaijua dini vizuri
@Byondorujulika173 ай бұрын
Asante sana muzee wetu pastor Hananja, karibu tena hapa kwetu USA 🇺🇸, from Cedar Rapids Iowa state USA.
@michaelmushy44632 ай бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukufunulia ubarikiwe.
@furahalazaro69013 ай бұрын
Nimekuelewa sana Mungu akubariki
@user-rt6fh1wf3t2 ай бұрын
Mungu akubariki kwa kazi nzuri mchungaji ❤❤❤
@tfjtv892910 күн бұрын
Ubarikiwe
@abilityemmanuel57043 ай бұрын
Big up sir. Do the work of God.
@neemasonje16202 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@uziasinkamba73803 ай бұрын
Mungu ni Roho nao wanaomwabudu wata mwabukatika roho nakweli.yeyeniyuleyule jana leo hata milele hakuna zamani hataleo anafanya.wanaokufutilia mzee kuku hoji uwemacho sana nao
@Mwasame_Official13 ай бұрын
Lakini watu huchukuliwa mchungaji,,wakaonyeshwa mambo na mungu hapo sikubaliani na wewe ,, mambo ya mungu hayachunguziki .
@stephenodhiambo7742 ай бұрын
❤paster napenda ukweli yako mimi ni Stephen kutoka Kenya
@user-jc8vt7ct9t8 күн бұрын
Biblia kweli ni ngumu Aisee
@richardrugemalira69342 ай бұрын
Watu wa dini /mafarisayo Yesu Kristo aisema hao ndio kikwazo kikuu - wao ni mashahidi wa adui! Kazi yao kuhukumu na kulewa ufahamu potofu kuwa wao ndio wawakilishi wa Mungu!
@EverlyneKadenyi3 ай бұрын
Wah baba mungu na akutumie zaidi.mimi n mama Everlyne kutoka kenya. Una roho wa mungu 😮
@ApynesNzisa2 ай бұрын
Eti Roho ang'oa 🙄🤔🙄🤔
@Byerakahungya3 ай бұрын
Amina imani kwa Munguwetu tu
@KibangaSai21 күн бұрын
Kila MTU na karama yake, amen
@isaacktweve37733 ай бұрын
Asante sana🙏🙏🙏🙏
@rahabnkya82763 ай бұрын
ASANTE MTUMISHI wa Mungu umenena sawasawa na maandiko matakatifu. Turudi kwenye maandiko, tuishi kwenye toba ya kweli na ufuasi ucha Mungu mbingu tutazifika na kupaishi. Eee Mungu NISAIDIE nitoke kwenye mavumbi ya mauongo ya watumishi HEWA
@happykisarika13373 ай бұрын
Amina
@kaninimuindi64703 ай бұрын
Surely pastor wanapigana wenyewe kila mtu si haede pande zake alishe watu neno mnapigania nini na sehemu za kulusha kondoo ni kubwa sana kila pastor na kipawa chake na vipawa ni tofauti na mwenye kupeana ni rohoo mtakatifu tu
@dorcaswekesa33002 ай бұрын
God bless you
@BenjaminKabebo3 ай бұрын
Tatizo la hawa wachungaji ni wivu na kutoamini Huduma zinatofautiana Msingi mkubwa kabisa ni NENO LA MUNGU lakini neno hilo haliwezi kubaki pasipo matokeo. Neno hubadilisha hali na kuwa kitu. Na imani za watu hutofautiana watumishi wa Mungu wote hamuwezi kuwa mikono. Kuna mwingine atakuwa mikono mwingine masikio mwingine jicho ila Roho ni yule yule.
@MaggieG2762 ай бұрын
Amina,neno mbele ya yote.
@ASALABOY3 ай бұрын
Ukweli unauma sana baba tema Nondo nazipenda sana
@isayatippe64093 ай бұрын
Ni kweli Mchungaji Hananja, 27:17 kinacholeta tofauti na ugomvi kati yetu Madhehebu ya Kikristo ni theolojia yetu tuliyojitengenezea wenyewe, lakini NENO ni MSINGI wetu usio yumba!
@user-el6qq9jx7t9 күн бұрын
Ngoja nikusikize
@aminamsafari24073 ай бұрын
Shukran mchungaji Roho wa Mungu azidi kukupa mafunuo ya neno lake uzidi kutufundisha hasa sisi wakenya ili tuwache sarakasi nyingi makanisani.
@pastorfredimbali3 ай бұрын
Amen..mafunzo mazuri
@emmanuelthomas49673 ай бұрын
MUNGU akuongoze zaidi na zaidi.
@millanolotu28392 ай бұрын
Ukweli huo iendelee.Christina ana TAMAA
@christophermlelwa62953 ай бұрын
Imani yoyote in miongozo yake
@maryamsuleiman15093 ай бұрын
Sana to Baba uzidi kuinuliwa
@stevenandrea78473 ай бұрын
Umesema kwel baba
@husha63722 ай бұрын
Kwenye kufunga Jeremiah36:8Mchungaji
@user-if7be8kn8i3 ай бұрын
Jameni tuwe na nidhamu kwa kuongea dhidi ya mchungaji huyu ,sababu mwajiletea laana tu juu yenu .yeye huongelea point za hali yajuu kulingana na neno
@Reginajohnson198843 ай бұрын
Wali kole Aruna koresma koresma ni kwa wakatoliki
@gradwellmwanja3 ай бұрын
Ameen
@tumainipeter4583 ай бұрын
Pastor uko viziri unatoa ukweli simple
@AaAa-zo3yj3 ай бұрын
Rita Ukweli kabisa umesema pastor
@isayatippe64093 ай бұрын
Mchungaji umekiri kabisa kuwa Mungu alikuambia utumie maji ili yule binti apone, na akapona. Lakini mbona humkubali yule aliyesema alizungumza na Mungu
@nuruupinga27433 ай бұрын
🙏
@ElihrJones3 ай бұрын
Subiri kidogo. Umesema Mungu anaongea kupitia neno tu. Sasa huyo Mungu aliekupa ufunuo kutumia maji aliongea nawewe kwenye biblia pia au alivunja miiko yake akatumia njia nyingine?. Kama alitumia andiko tunaomba utuoneshe hiyo andiko lililoandikwa hananja tumia maji sasa
@dorcaswekesa33002 ай бұрын
Amen
@everlynkwamboka81012 ай бұрын
Tunakitaji Kenya pia
@dorcaswekesa33002 ай бұрын
🙏🙏🙏
@elibarikikweka57123 ай бұрын
ASANTE MCHUNGAJI KWA maelezo makamilifu
@anns.s87603 ай бұрын
KILA MTUMISHI NA HUDUMA YAKE ...PIA WAGANGA NI WATUMISHI
@risperrehema58422 ай бұрын
Kutoka msa🎉
@user-zc2ms4wl6r2 ай бұрын
ukweli kabisa
@adenmwakalobo7603 ай бұрын
Nchi yetu inahitaji watu walio wazi na wanaozindua umma kama huyu mch. Hananja! Naamini mijadala yake inasaidia kuwaanika wale wanaotumia mahuburi ya dini kupumbaza watu na kuwatia woga ili wawape pesa. Wasiopenda ayasemayo Hananja (na hapa nimewasoma) ni wale wanaotafuta kunufaika kupitia sadaka, ni wachungia tumbo! Huwezi ukasema "waache wachungaji waeneze neno" wakati tunajua wayafanyayo hao ni ulaghai, utapeli mtupu; na tafsiri yao ya biblia imejaa upotoshaji na/au uongo kabisa!! Huwezi kudai waachwe kwani taifa linaharibika pale watu wanapopumbazika.
@fortunataangelo55753 ай бұрын
Hivi vitu vimewekwa kimsaidia tu mtu kuishi,, vizuri na hata walio weka hawaja sema ni biblia imesema,, ndoa hazija ruhisiwa si kwamba ni dhambi au haiwezekani kabisa kufanya hicho , nikwasababu ndoa nyingi zina ambatana na sherehe,, na ni kwaresma kipindi cha toba,, ndio maana ukawepo utaratibu wa kuto funga ndoa,, ila haimaanishi watu wakifunga ndoa kwaresma ni dhambi,, lakini kitu najua Mungu huheshimu makubaliano kama yanatusaidia kumkaribia yeye zaidi, na trust me, kipindi cha kwa resma ni kipindi cha baraka mnomno mno kina Neema nyingi nyingi nyingi
Natangaza rasmi tangu sasa na hata milele nitakuwa upande wako.
@alfredngala43083 ай бұрын
Mafuta Bila kununuliwa yatatoka wapi
@jennytugara94703 ай бұрын
Eti anapiga madafu na chakula mpk analala chali eti kafunga na Chakula wapelekee wahitaji . Kweli uwokovu ni safari 🙏🏾🙏🏾
@LovelyOutdoors-wd5nh3 ай бұрын
Hahaaaa
@eatlawe2 ай бұрын
Vyama vya upinzani vina furaha na vicheko?
@SleepyHikingWaterfall-js5mo3 ай бұрын
Najua wewe pastory unafata maandiko ndo maana wengi hawakutaki kumbuka nyakati za sodoma alipona lutu na familia yake wengi waliangamia sema ukweli watao pokea kweli wataokoka usikubali kushawishiwa na maajenti wa,,,neno lipo wazi mngu akupe ujasili upigane vita vilivo safi amina
@ngowibeatrice17013 ай бұрын
Watumishi ambao awana vipawa vya kuwafungua watu wanapenda sana kukataa miujiza
@olaislukumay22083 ай бұрын
Me nlikula nyama Sana siku hiyo
@abdulhakeem9593 ай бұрын
Ukiisoma INJILI KWA UHAKIKA WAKE HUWEZI KUBURUZWA KIJINGA JINGA.KULA NYAMA.GONGA SUPU AISEE
@bernardngomano62153 ай бұрын
😂
@stevenandrea78473 ай бұрын
Kwel mtuish
@pekeetv3 ай бұрын
Mchungaji mm unanichanganya TOBA na KUTUBIA mnamanisha nini ?? Na vip kifo cha YESU kimesaidia nini ?? Naomba wasomi wa bibilia waniweke sawa ..!!
@neemakanani43463 ай бұрын
Pekee haya inakubidi kuyatafuta uyajue sana kila siku tujifuze kristo kila itwapo leo sisi wakristo tuna tubu nakurudia dhambi tena mungu atusaidie sana
@alexsaidi39403 ай бұрын
Toba ni kitendo,kuhutubia ni kielelezo
@JacksonMutinda-jw5qw3 ай бұрын
Swali uwa moja,ukifika kwa kanisa la ezekiel utashagaa tuu,ile mijego iko pale ya mabillioni ya pesa,yale magari na ma bus yako pale ya mamillion,aaya anatoa misaada ya pesa nyigi sana kwa watu sasa swali uwa moja,,ao washirika kwan utoa sadaka nyigi aje io imefanya mambo mengi ivo,,,apo kuna kisugumkuti
@EvaMguss3 ай бұрын
Rafiki asifiwe Yesu sadaka kwa pasta ezekiel ni nyingi sana kwa maana kanisa tu lake ni ekari sita na watu huja mataifa mbalimbali kupokea uponyaji na nyota kwaiyo utajiri lazima awe nao tu Mimi nachoona watumishi wa Mungu Kila mtu na maono yake hivo wasichukiane huyu hawezi kuwa kama huyu yani wakisemana wanawachanganya waumini lakini kwanini mtumishi umrekebishe mwenzio? Kwanini usiwahubirie watu wewe bila mifano ya mwenzio? Na huu ni udini mtu akiponya anatumia pepo wanapingana wenyewe kwa wenyewe lakin Kila mtu hawez kuwa kama wewe lakin pia achukue mda wa kumfatilia ezekiel na ibada zake mafundisho haswa
@NdolozKathele3 ай бұрын
Wewe hukosagi la kusema....
@JacksonMutinda-jw5qw3 ай бұрын
Lakuuma e? Usijali na usimchukie ju apedwa na wengi ju anaogeaga ule ukweli,,,usiumwe saana
Hivi wewe unapinga mungu hawezi mchukua mtu akamuonyesha anacho taka kumuambia hapo umefeli
@neemakanani43463 ай бұрын
Lkn bado tunarudi kwenye neno yesu alipo imaliza Kazi ya kumukoa mwanadam akasema kwa jina langu mtapooza wagonjwa na nasio kwa malighifi mtaponya wagonjwa
@nantaembanusurupia56743 ай бұрын
😢 eti unaanzaje kutukana wakati umeokoka😢😢
@Mwasame_Official13 ай бұрын
Hakika mchungaji umesema ukweli mtupu,, maana wengi wamepotea sana tena sema utaokoa wengi
Shida ni kwamba mtu hapo amezungumza facts wewe uleta maneno Maneno kumuelewa huyu mzee inahitaji akili ya kiMungu sio kibinadamu
@harrietlutale9222 ай бұрын
Ukalale wee nguruwe
@janetkemmy15793 ай бұрын
Huyu mchungaji hakuna mtumishi hakosi kupinga kila pastor anakasoro kwake
@user-gj2gc4en3t3 ай бұрын
Hakuna Kila mtu na huduma yake, hizo nyota watu wanazipokea sio ukweli wachawi wanapeana nyota na wahubiri pia wanapeana nyota pls nakubaliana na mtumishi huyo wa tazania yuko sawa
@hilaliusjohn83863 ай бұрын
Huyu mzee ameanza kuishiwa maneno. Yupo dry siku hizi