Urusi itashinda vita. Maana marekani wamemwacha Mungu. Mungu yupo mbali na taifa la marekani. Na lazima mjue vita vyote vinaendeshwa na Mungu. Mungu yeye ndio amiri jeshi. Mkitaka kushinda vita kwanza ni kumtii Mungu. Hata kama marekani wanatechnolojia ya juu. Dunia itashangaa marekani itakavyopigwa.
@happymrema748721 күн бұрын
Yan Putin nampenda sana
@user-ii6gs2jg4g21 күн бұрын
Hili lijamaa libishi kinoma. Viva putin
@nawafbawazir806518 күн бұрын
Uwepo wa urusi ni Amani dunia nzima
@africanmandetraveler284721 күн бұрын
Dj Smaa yuko vizuri sana hasa kwenye tasnia ya uchambuzi ,ni division zero tu hawawezi mwelewa.
@@juliusejulius6704 chumbua wewe tukusikilize, sio kuja na kuanza kukosoa kazi za watu, get it.
@luckkaserekadancer683221 күн бұрын
Mnipe like hapa kwaza mimi napenda sana Hawa ma raisi one day kupigania haki yetu Sisi ma Africa Pia kwa inji yangu Drc 😢😢🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@godfreyfrugence417618 күн бұрын
Kivip sasa rais wenu anatakiwa awalete wagner waingie congo kuwatoa hao maharamia
@DafiMohamed-dz8xk21 күн бұрын
Ahsante sana kwa habari
@maniamba.tz_21 күн бұрын
Muda wa Marekani kutawala dunia unaenda mwisho
@Mtaki_Zakayo20 күн бұрын
tumtegemee nani anaefuata boss
@bonifasiemanueli2120 күн бұрын
SWaLi nzuri
@BenJohnson-es4go19 күн бұрын
Hakuna siku Marekani itashuka inanguvu kubwa nyuma yake ukisoma maandiko katika biblia utaelewa vizuri
@MathewMaliva15 күн бұрын
Never ever forever
@msukumamnywamaziwa278520 күн бұрын
😂😂❤❤❤❤Safi sanaaaa,RUSSIA/PUTIN na koreakaskanzin
@user-sj3wf5vz7l20 күн бұрын
Urusi ni hatari sana
@babuumaeda767121 күн бұрын
Watu weng Dunian kumbe wanadanganywa na MOVE za Hollywood,hebu fuatilia nchi yenye teknolojia kali ni URUS na aliegundua AK 47 miaka hyooo ni URUSI
@user-tq4lx9si1n21 күн бұрын
Wekweli kicha ak47 yakuulia mbwa tuiyo auinafanya kazgan tena
@babuumaeda767121 күн бұрын
Mbumbumbu kwel hujaelewa comment mwanzikishina mboreshaj wa silaha marekani anaiga tu. HOLLYWOOD mpo wengi kimbe
@nizarrama22521 күн бұрын
Hujui kitu kaa kimya 😂@@user-tq4lx9si1n
@user-tt4yc6jq4t21 күн бұрын
Ajaribu aone kilichomtoa kanga manyoa
@HarunaShabani-hy8mx21 күн бұрын
dj sma upo vzr sanaaaaaaaaaaa
@viootanzania908020 күн бұрын
Pamoja from Dodoma
@user-dg7wf6fg2j21 күн бұрын
Nchi anazo tembelea wote wabishi na watata hawaludi nyuma kama simu za tachi
@user-jq7dd6jo3y21 күн бұрын
😂😂😂
@SAYMOEKARIM21 күн бұрын
Viva Dj smaa 🎮
@kephasmaganga976621 күн бұрын
Upo vizuri
@Mtaki_Zakayo20 күн бұрын
Sky is a real journalist
@Brunotarimo1021 күн бұрын
Chama kubwa SNS ❤
@maulidrehani21 күн бұрын
Dj smaaa ni noma
@ezekiambise259521 күн бұрын
God bless russia
@FrankDavid-en6on21 күн бұрын
Nina swali kwa brother sky inachokifanya urusi ni uvamizi au ni operation ya kijeshi?
@RajabuHussein-to7jz21 күн бұрын
Acha uruss Awatandike hao masoga
@user-tq4lx9si1n21 күн бұрын
Mamahako hanatombwa wima halafu hahoshi
@muzamildouble99double9921 күн бұрын
@@user-tq4lx9si1n unatetea shoga wenzio😂😂
@omarymwaluko976520 күн бұрын
@@user-tq4lx9si1nurusi kiboko ya mashoga kama ww
@user-up6zl1ck3j20 күн бұрын
1 vs 30 country,sasa kuungana na korea vilio
@WazirBoy-fe5ew21 күн бұрын
Putin kichwa ameshawa calculate wa west akili zao
@asrymohd669021 күн бұрын
Sma Dj pekee duniani anaechambua mambo ya kisiasa na kivita kwa Tanzania wewe ni lukuyet iliyojificha ukifariki ndio utasikia kukusifia
@absalommwambaya962421 күн бұрын
Uzur hayo ni maoni yenu bahat mbaya watu wanaamin ndo ukwel, mnaongelea vitu ambavyo ni top secrets as if mnaongelea maisha ya mwijaku 😂😂....vitu ambavyo ni siri kubwa za nchi na majeshi nyie mnachukulia kma mnaongelea migahawa ya shishi food dah...
@Mtaki_Zakayo20 күн бұрын
wanachukulia vitu very simple et kuna makala nimeiandaa inakila kitu duuuh😀😀
@omarymwaluko976520 күн бұрын
Mashoga hawawezi kuelewa hii channel
@emiliankomba521715 күн бұрын
Upo sahihi sana
@STEVEN-f6g21 күн бұрын
Kumekucha!!!
@NdovuDentalClinic_21 күн бұрын
Kenya vipi maana Ruto yupo speed sana 😂😂😂
@eddiemohamed900321 күн бұрын
🔥🔥🔥👏👏👏🇷🇺🇷🇺🇷🇺
@hbdina21 күн бұрын
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Putin atawakung'uta hawa manyang'au mpaka wataogopa kuvaivamia nchi nyingine hasa Africa
@joshuaswai820321 күн бұрын
Acha upumbavu Kama mppuuzi putin
@hbdina21 күн бұрын
@@joshuaswai8203 Ndani ya Africa tunawahujumu kama wewe ni mojawapo ya sababu tuko nyuma tunaitaji kuwatokomeza watu kama wewe
@MathewNathan-yb2bz21 күн бұрын
@@hbdinaputin hana uwezo huo
@user-ii6gs2jg4g21 күн бұрын
@@joshuaswai8203we unao
@hbdina21 күн бұрын
@@MathewNathan-yb2bz kama hauwezi kuona mpaka sasa hivi sioni ajabu kwanini Waafrica wengi hawana akili ya kuona mambo ya mbeleni sababu mojawapo ya umasikini wetu
@ivoalfred527821 күн бұрын
Dj Smaa anampenda sana Putin
@geomangi612321 күн бұрын
kabisa umeiona hiyo kumbe lakini kiukweli vita putin imemlemea ameanza kutapa tapa majinkafika shingoni
Putin ni mtu Mmoja ambae ana akili nyingi sana na maarifa na ushawishi mkubwa sana na anazifahamu vita vizuri mno ziwe na kiuchumi au vita vya silaha jamaa ana akili na mbinu za kupumbana na vikwazo vyote kuipiga urusi ya Putin ni ngumu sana Wala kushuka kiuchumi ni ngumu sana labda Putin afe🙌🙌🧍
@ibrahimaziz715819 күн бұрын
Ss sky unamuuliza chawa swali km hili unategemea uchambuzi au uchawa
@visionstudios680419 күн бұрын
Bado amjasema unatetea mapapai 😅
@davidsika529219 күн бұрын
Kuna kitu watu hawaelewi kuhusu USA na Roma kwa akina papa ...ukisoma ufunuo 13 na 18 utaelewa kuwa akina putin na kiduku Wanatwanga maji kwenye kinu haya mambo wanaelewa watu wachache duniani
@Plus255studios19 күн бұрын
ICC wapo kimyaaa kama vile Putin hatembei.😅
@HajiKlein-so1rk21 күн бұрын
🇷🇺🇷🇺🇰🇵🇰🇵🇰🇵👏
@KilimbikeHaji-iy2fm21 күн бұрын
Mpige huyo kibaraka ya kishetani wa marekani
@AbubakarAlly-th6op21 күн бұрын
Smaa wendio rais wa wachambuzi
@eugenejr.884421 күн бұрын
KAKA SKY ume slow sanaaa kwenye Makala 360 huku tuko wengi sanaa usitusahau. Kama na wewe Upo huku (Makala 360) gonga like or react hapa.
@Elizabeth-gq9kl21 күн бұрын
Urusi Wakaye mbali, Atasiwataki, Niwanyangany ya Aridhi
@abuukamanda.s.mkenga668720 күн бұрын
Na hao wa Korea kusin utakt silaha wataytegemea kumpa ukreyn n hizo za kupewa na markan
@suratibrahim641720 күн бұрын
Tulioona meza ka jeneza tujuane hapa😂😂😂🙌🙌🙌🎖️✨🪖✍️
@IrPop-lm8wq21 күн бұрын
Russian hawaogopi kupewa silaha Ukraine, bali wanasikitika kuwapiga Ndugu zao wa Ukraine, Mashoga hawana mbele Wala nyuma kote wamejawa na wadudu, wadudu hao hawana huruma Wala ubinadamu, ndio maana Wana peleka Silaha Ukraine, Ndugu wawili wamewagawa,sasa wanawapiganisha.Lakini wamesahau kama Kuna Mungu (Allah) ANAWAONA..
@munezeroolivier41121 күн бұрын
Slava Dj sma
@user-up6zl1ck3j20 күн бұрын
Hivi marekani anaweza pigana yeye mwenyewe bila msaada wa NATO na urusi ?
@omarymwaluko976520 күн бұрын
Yeye peke ake hawezi na hata nato haiwez kupigana na urusi
@user-jy4pm3hh9s21 күн бұрын
Smaa uchambuz wako ni wakuegemea upande mmoja ndo tatzo lako mzee
@Mtaki_Zakayo20 күн бұрын
uwezo wa kuchambua anao mzuri ila kashachagua upande
@djsma25520 күн бұрын
ukitaka upande wa pili nenda cnn n bbc
@hassangaddafi234721 күн бұрын
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺 Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪
@JacksonLukumayi21 күн бұрын
Putin kiboko Yao sasa
@MathewNathan-yb2bz21 күн бұрын
Kiboko yao na wakati vita nchini ukraine vinamchachia
@aishaarusha89421 күн бұрын
@@MathewNathan-yb2bzvina mchachia wapi ngoja uone atakupiga bomb la matako ili akili ziwakae sawa
@JacksonLukumayi21 күн бұрын
@@MathewNathan-yb2bz wew mpumbafu tu, vita ni akili wew, kwani wafikiri Putin alishindwa ukrain, tumia akili wewe
@MathewNathan-yb2bz21 күн бұрын
@@aishaarusha894 kwa sababu kazoea kukupiga kwako hilo bomba na ndio maana kila ukikaa unawaza bomba tu.
@MathewNathan-yb2bz21 күн бұрын
@@JacksonLukumayi sasa kama vita ni akili mbona hadi sasa huyo putin wako kashindwa kushinda vita huko ukraine hadi sasa unaingia mwaka wa tatu huu.
@JoelFortunatus-du8ww21 күн бұрын
Kwa mungano huo walio saiana nikiashilia tosha kuwa tuko kalibuni kuviona vita vya amagedoni au vita vya maangamizi vya umati vya atomic 💣au nuclear ☢️☢️☢️☢️
@user-jy4pm3hh9s21 күн бұрын
South kijesh yuko vizur sana we smaa chambua uharisia siyo kishabiki
@abdalahngozi545520 күн бұрын
Uhalisia ni kwamba south Korea kijeshi hawako vzur kama north Korea ndo mana anatumiwa na US. Mbinu ya western ni zile zile kuungana na walio dhaifu kumpiga alie imara ili kuwatawala wote. Hapo smaa hana haja kukujib
@djsma25520 күн бұрын
@@abdalahngozi5455 north hana kambi yakijeshi ya nchi yoyote nyengine kutoka nje, south ana kambi yakijeshi ya marekani, analindwa na us 6th fleet na kiasi kikubwa anategemea silaha kutoka marekani... north anatengeneza silaha zake mwenyewe na lizo bakiza kutoka kwa soviet sasa kama south yuko vizuri kama unavyo ema basi aondoe majeshi yakigeni yote abaki mwenyewe tuone
@omarymwaluko976520 күн бұрын
@@djsma255ww mtu makin ila hao mashoga hawawezi kukuelewa
@vintz33818 күн бұрын
North Korea ni hatar Sana kama isingekua USA wangeshapigwa kitambo Sana na north Korea
Maelezo yake sijaelewa kati ya North Korea and South Korea
@GabrielSky6421 күн бұрын
Mkwara wa chura kwenye Maji. Mbona alisema hivyo kwa Inchi za Ulaya na Marekani kiko wapi
@omarymwaluko976520 күн бұрын
Mashoga washapelekewa nyambiz
@joshuac.mashida137821 күн бұрын
Unafanya biashara tu hao watu Wana fanya biashara co vita hakuna vita vita ipi uwezo upi ulaya Kila kitu ninyi wandishi vigeu geu wakipigwa kidogo tu mnageuza maneno ,biashara tu
@uwimana653321 күн бұрын
Tatizo hutumii akili kwenye kufata maelezo wanacho adisia , umetoka nchii jiran uwelewa nimdogo sana 😂😂
@josepheriah597721 күн бұрын
Uyo mweu anapgwa kilasik
@omarymwaluko976520 күн бұрын
mashoga Ukraine wanapigwa kila siku
@ErickMwashambo21 күн бұрын
Tz +255 Russia forever
@yosefamlumbe704421 күн бұрын
Unaamini ujinga huo yani putini amuonye us Sungura kukaba tembo
@user-ul7jc8ll4n20 күн бұрын
Subiri MUDA UTAONGEA,LAITI ZINGEKUWA NCHI ZA AFRICA AU ASIA WAZO LAKO NO SAWA LKN UNAE MCHUKIA ANAITWA MJOMBA PUTIN UJUE!!,
@omarymwaluko976520 күн бұрын
@@user-ul7jc8ll4nus mashoga tu hawana kitu
@omarymwaluko976520 күн бұрын
Marekani dhaifu mnyonge
@josepheriah597721 күн бұрын
Putin afe
@AyubuIssa-np3vc21 күн бұрын
Tatizo vyombo Vingi vyahabali avichambui Habari kihaki vipo kutafuta komenti na lek kilahabari nilazima ziegemee upende waputini nakusifia tu upuuzi
@Mtaki_Zakayo20 күн бұрын
😀😀
@omarymwaluko976520 күн бұрын
Sasa si uende bbc uko choko ww 🖕
@aboubakarkam641921 күн бұрын
Aaaah sma kwa hii umezingua umarekan itabak kua juu katık mambo meng
@IddyAmir-gq1jr21 күн бұрын
Kwakuwa mwanaume wako yupo marekani sio
@user-dg7wf6fg2j21 күн бұрын
Tujiulize toka dunia imezaliwa usa alikuwa anatawala yeye walio kuwepo na kuanguka na yeye kwisha
@salehkhalfan734521 күн бұрын
Ottoman Empire, Mongolian Empire, USSR, Roman Empire ni baadh ya Madola yaliokua makuubw lkn yamepotea Amerika mda eke utafika km c sas bs sio mbali
@hansiselemani802521 күн бұрын
Utawala wa kumwaga damu huwa haukai Muda mrefu ,,umekaa sana miaka 75 ...ko marekan ndo mwisho wake.
@KS-iw7qv21 күн бұрын
Haitakuwa milele... na kwa matokeo yanayoenda nadhani wapo kwenye muongo wa mwisho kuiongoza Dunia....
@maroahkissiry486321 күн бұрын
The so called DJ Smaa always talk rubbish 😂
@djsma25520 күн бұрын
yet u always come to listen.....🤣🤣🤣
@ShawnBeatz21 күн бұрын
Sma na putin utadhan marekani ni njombr😂😂😂 sawa ss tunaangalia
@omarymwaluko976520 күн бұрын
Marekani mashoga
@Elizabeth-gq9kl21 күн бұрын
Hakunasiku west tutarudinyuma, musahauhilo, Na hakunasiku Urusi watashinda .
Na kama marekani yupo vizuri anaogopa Nini Pakistan kuuza ujuzi wa nyuklia kwa vikund vya kigaidi😂
@PAULNYANDILE21 күн бұрын
jinga lingine hili hapa😂😂😂 mijitu ambayo ubongo umeganda kabisa
@johannesssamsonambogo412521 күн бұрын
@@PAULNYANDILE Mimi siwezi kuzidiwa ufahamu na wewe, Rais wa Ukraine anazunguka uku na uku, akiomba silaa aendelee kupiga na Urusi, Aya putin wenu yeye anazunguaka kuzuia silaa, Sasa nani kashidwa apo kama kweli wewe akili yako imeyeyuka?
@MWAJUMAKIZA-gb8us21 күн бұрын
Hilo ndo swala la msingi!
@MWAJUMAKIZA-gb8us21 күн бұрын
wana SNS tangazeni habari za kila pande , mqpungufu na mazuri ya kila MMOJA. Ila matangazo yenu yanaegemea tu UPANDE MMOJA! Huu ni upungufu wa stadi za utangazaji au watu wanao analyse siasa za vita au vita! Poleni ila naamini waswahili na waafrika hivyo ndivyo walipo!