Shafi mwanangu nakupenda sana kwa ajli ya ALLAH na hio duaa ulioiomba ni haswaa....nawaombea IKHLASW na wepesi kwa kila munalolidhamiria...mwenye enzi mungu awafanyie wepesi hp duniani na kesho akhira...amiin
@SsAa-by2ty3 жыл бұрын
Masha allah nawapenda sana kwa kazi ya mmiliki wa viumbe Allah awape muongozo mwema imsha allah
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n523 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/mbZhbKxj0avPn30.html
@AziziRajabu-mv8jzАй бұрын
Mashaallah mashekhe zetu Allah awape umri mrefu
@omanbarka20533 жыл бұрын
Waallah leo patakua hapatoshi Allah awasimamie katika kazi zenu mnazo fanya tena hata mimi imefurahi sana kwenda kufanya dibeti shafi,mazinge,nawakubali wahadhili wetu kapungua doctor sulle
@nakundwamkubwe78233 жыл бұрын
Allah awape afya na maisha marefu wahadhiri wetu. Muwe live basi sisi wa mbali tuone.
@sabraabdilnasir88263 жыл бұрын
Amiin allahumma amiin
@user-os9ul5iu5y3 жыл бұрын
Amin yarabi
@ablamaryamsalehvg5eazhst3n523 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/mbZhbKxj0avPn30.html
@ramadhanihudhaifani43763 жыл бұрын
Allahu Akbar! Allahu Akbar! Allahu Akbar! Maneno yenye tamu nyingi na msisimko sanjari na burudani ya kutosha toka kwa Ostadh Shaffi. Wallah huwa napata raha na ilmu ya aina yake kila nikimsikiliza Shaffi na Mazinge. Allah Awalipe pepo,In Shaa Allah!
@MakataWaMakatani3 ай бұрын
Yaani mashAllah tabarakallah nafurahi sana kuona hawa magwiji wako pamoja ❤ alhamdulilah ALLAHU AKBAR
Shekhe Shafi uko vizuri sana. porojo zako zina amsha amsha ya kutosha.
@bugybuster57882 жыл бұрын
Mashaalllah ALLAH awalinde mashekh wetuu kwa kazi nzuri ya kuitangaza dini ya ALLAH
@sikandarsuleimanTV2 жыл бұрын
Amiin
@zayanaduduna14053 жыл бұрын
ALLAHUMMA AMIN YA RABBI 🤲🤲🤲🇧🇮🇧🇮🇧🇮🕋🕋🕋🇸🇦🇸🇦
@abdulbogoyo12433 жыл бұрын
Kwa kweli Shekh Shafi unatuvunja mbavu kwa kicheko : lakini ndiyo hali halisi ilivyo.
@nijimbereasia63813 жыл бұрын
Naam sheikh shafi wambie ukwelikabsa na Allah akupe kiralakher shafiwetu upewe umlimulefu na Allah subhanahu wataallah
@MisangaNassoro3 ай бұрын
Nimeipenda hiyo inshallah kura ilimladi kushiba
@alisaidi74773 жыл бұрын
Allaah Allah... wallah inabidi tubadilikeeee sisi waislam... kutoa ndy dini....
@saidrakwe87277 ай бұрын
Mashegh hawa hawana majungu kwa waislamu wenzao..kazi yao dawa kusonga mbele…ila wengine kazi yao kubwa kuwaradi wenzao tu!! Kama wao ndio dini wameishusha 😢
@kingilazaro3443 жыл бұрын
Hahahaa mash Allah ma sheikh zetu,Allah awalinde na awajaalie umri in shaa Allah
Jamani mlete cd ya iyo siku uku kenya penda nyinyi sanah
@abdoulamisi6104 Жыл бұрын
Barakallahu fiykum
@alhabshyhautah40816 күн бұрын
Aamin
@lkshmykomar54722 жыл бұрын
Allahu maswali alaalih MUHMAD walaalih Muhamed kamaswa atayta alaalih ibrahmu
@abdulazizmohamed28052 жыл бұрын
Tuwashuru Sana wahaziri na tuwaombea duwa kwa mwenzi mungu hawaongoze katika dini ya haki
@mohdshebe56403 жыл бұрын
Ustadhi bwana pesa shetanii wee Allah atufanyie wepesi
@hafsaali79763 жыл бұрын
Amiin Amiin🙏
@ramamambosupesupa37243 жыл бұрын
Amin
@swariotibi6134 Жыл бұрын
Mshaallah tabarika allah
@aligmoha90152 жыл бұрын
Subuanah allah
@SaidiLubuvadu2 жыл бұрын
mashaalah
@abcmnbb26102 жыл бұрын
Alhamdulillah kwakuwa mimi muislam
@abcmnbb26102 жыл бұрын
Alhamdulillah
@gharibislam15863 жыл бұрын
Toa japo ni kidogo, wallahi weww ukitoa waona ni kidogo lakini mbele ya ALLAH ni kikubwa
@sabraabdilnasir88263 жыл бұрын
Swadakta maneno yako
@gharibislam15863 жыл бұрын
@@sabraabdilnasir8826 sasa mbona wajibu hivyo?kuna kitu kimekuudhi kwa comment?
@yasalaam5903 жыл бұрын
Swallallahu alayhi wasallam
@kailaniddi2984 Жыл бұрын
,🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲dini yakweri uyisiramu1√
@HassanAli-lt4xm2 жыл бұрын
Shafi mashallah
@adijaamur9623 жыл бұрын
Ukampa pepo 😍😍😍😍😍
@hamishemed66633 жыл бұрын
Allah awape nguvu
@babumsiha15732 жыл бұрын
Mashallah
@mahmudumsuya3831 Жыл бұрын
MWENYEZIMUNGU awajaalie wahathiri awakinge na Kila baya
@mangeraalbert79823 жыл бұрын
Twasbri hio kazi sana masheikh wetu
@daudetjaymaoneo9892 жыл бұрын
Allah Akbar
@jumamussa94132 жыл бұрын
Kweli
@rehemakei81553 жыл бұрын
Mashaallah sauti inanikimbusha kipindi cha ngaliba na kawemba jamani mpe huyoooo
@heyumi23402 жыл бұрын
Allah awarehem
@onikagabriel54513 жыл бұрын
Allahu Akbar
@dullahdimba84232 жыл бұрын
Shafe unajua sana
@chambalemuddy6406 Жыл бұрын
Amen
@nurudinehamimu56583 жыл бұрын
Kwa team hiii makafili hawachomoki nakwambia uislam dio dini.
@ramadhanimasudi6904 Жыл бұрын
Al'hamdul'LLAH...
@saidisudi86682 жыл бұрын
حياك الله
@muhammadkipangatv26742 жыл бұрын
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojli
@bugybuster57882 жыл бұрын
Tatizo matajiri wengi utajiri wao si wa halali ndy maana wanakua wazito kuchangi maana pesa ya haramu kidini haina faida mbele ya ALLAH imani zao za uongo
@issajuma33463 жыл бұрын
subhnllh
@alisaidi74773 жыл бұрын
Itakuwa live ???
@maryamawadhawadh1823 жыл бұрын
Shekh unakubalika
@hafidhothman45882 жыл бұрын
Walllah nimecheka kuanzia usiku mpaka asubuhi
@rbagha52802 жыл бұрын
Dear viewers. You are my brothers and sisters in the universality of mankind. We have been created by the same God, who in Islam is called Allah and by Jesus as Elaha in the Aramaic language. Look it up if I am lying. There is only ONE GOD. Muslims love Jesus more than lip-service Christians. We keep a beard like Jesus did. He never ate pork, neither do Muslims. He prostrated to God, like Muslims do. Our ladies wear Hijab, a head-cover, like Mother Mary. If by believing that only through Jesus, you will be SAVED, then what about those prophets and good people mentioned in the Bible who came BEFORE Jesus? They will go to hell? Ask yourself: if the Bible was not tampered with, what is the last name those revelations coming through Paul? Of Mathew? John? Luke? Will you be allowed to travel with a passport without your last name to give your name validity? Think without BIAS. We are monotheists. Let not SATAN lead you to hell my dear. I love you for the sake of the ONE GOD. Please seek the correct way to Heaven.
@mymussept36623 жыл бұрын
Baada ya kufuatilia watoa mada wa pande zote mbili naona kila upande unaposoma aya za mwingine husoma nusu na kuifanya maana ionekane tofauti na mbaya zaidi wengi wanakoment hawafuatili jambo hili katika yote kila mtu aamini anachokiamini Na hapa mm nasema Yesu kristo ndie njia kweli na uzima inatosha
@sephania80852 жыл бұрын
Subir Moto ukakuchome
@kamalmukaddam12973 жыл бұрын
MashaaAllah
@jumasalum26773 жыл бұрын
Shafffiiiiii acha tu
@aliyunusu66293 жыл бұрын
Tusije tukachomwa kanisani kama museveni alivio choma wafasi wakanisani Mmoja kule Uganda
@aliyunusu66293 жыл бұрын
Jamini isije ikawa mpango yakutumalizia ma sheikh's wetu
@khaliphamajid2703 жыл бұрын
Ukimuamini MwenyeEzMungu kwa dhati humuogopi binadam ,Majini,mashetani na yeyeto isipokuwa Allah tu
@abdillaahirichardkasisi86913 жыл бұрын
Waislam atujielewi kabisa nawambiwa live waislam wengi awajui thaman ya uislam uwa nawashangaa Sanaa kama mtu anaslimu kama hana Imam basi anaeza Rudi alipo toka waislam ni kichwa cha mwenda wazimu
@peteryukunda92393 жыл бұрын
Jamani Sulle hayupo! Kaogopa atasanifika,
@officialsaddmfalme53813 жыл бұрын
Leo inapeperushwa wapi jamani nataka kuitazama lakini
Mikwara hatutaki kaka majibu ya sabato mwanzo 2:1-3 hapo kuna EGW
@husseinkiruta17123 жыл бұрын
5:15 kumbukumbu la torat Musa anapewa asali sabato atakumbuka alikuwa mtumwa nnchini misir .Sasa wew ulikuwa mtumwa wapi ?
@mwigakatumpula68522 жыл бұрын
Siku wislam tukiacha majungu mbona tuta fika mbali sana, maana kinacho tuponza wislam ni uchunguzi yaani tunakuwaga na uchunguzi sana panapo tokea swala la kuchangisha mchango 😃😃😃😃🙌🏃
@edriansmith58092 жыл бұрын
😂😂😂😂😢😢 shafi
@razosramadhani47885 ай бұрын
We pepuni 😂😂😂😂
@ibraimoissiaca60583 жыл бұрын
Itakua live channel gan
@ibraimoissiaca60583 жыл бұрын
Au online TV gan
@alimbarouk93533 жыл бұрын
kishki tv
@daudibomani1940 Жыл бұрын
Kwenye pesa Hapo hahaha
@allylwanda7872 Жыл бұрын
Masheik wapiga dili hawa
@godsonndamgoba80532 жыл бұрын
Sisi hatutembei na mapepo
@mwanahamis54873 жыл бұрын
Mmeboa Kama nn mshidwa kua live
@alimbarouk93533 жыл бұрын
live ipo shekh
@mwanahamis54873 жыл бұрын
@@alimbarouk9353 chaneli gani Jamanii wako live Mie ni Ukhty mwanaisha pls nitajie chaneki
@alimbarouk93533 жыл бұрын
@@mwanahamis5487 kishki tv
@mwanahamis54873 жыл бұрын
@@alimbarouk9353 hakuna mhadhara live kwenye Chanel ya kishik
@alimbarouk93533 жыл бұрын
@@mwanahamis5487 wametangaza wenyewe na mm nilikuwepo mskitini jana wamesema kishki katoa msaada wa gari nzima la kishki tv na litaonesha live kongamano lote sasa kama wewe ulikuwepo mskitini na hikuskia ivo basi mi sina maneno