Mwenyezi mungu akulipe kila la heri, nausubiri mjadalah wa Dr suleimane na pasta ndacha
@abcmnbb26103 ай бұрын
Mashaallah tabarakaah Yani sheikh wetu napendaga mawaiza yako Mungu akupe pepo inshaallah ❤
@bahatijsaha729826 күн бұрын
Masha'Allah
@Nily-kz3db7 ай бұрын
Allahu Akbar, MashaAllah 🙏
@munamuna46217 ай бұрын
Saidi kinyogori tunaomba nae awepo kwenye mdahalo watu 3 kama hawapo kwenye mhadhara unakua hauna ladha ,mazinge..shafii kinyogori❤
@rashbash6456 ай бұрын
Hiyo ni ukweli kabisa
@QofSaidiKbsk017 ай бұрын
Sheikh sheikh ❤
@RamadanPaul7 ай бұрын
Mashaallah
@hamzalipuye71987 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 nakupenda sana Sheghe kwa ajiri M/MUNGU
@MuhamedyKamby7 ай бұрын
Nazak llha nampenda san sekhe safii na dr sule nafulah san na kuinjoy nipo waskiliza san
@zuhramwavyoni84003 ай бұрын
❤❤❤
@feisaldesign41567 ай бұрын
Sheikh shafii Allah azidi kukupa shufaa uzidi kutufunza
@user-td7ie2in6i7 ай бұрын
mash-ALLAH
@sabanirama92337 ай бұрын
Itakua raha siku hio wakuwepo hao waishimiwa ea wili,Insha-Allah.
@user-rt5vq5vc3k6 ай бұрын
Allhahu aqbar
@user-tw9hy9bn5c7 ай бұрын
Kila amtazamae mwanamke kwa kutumani, ashazn nae moyoni.. inakuwje kuamua kwenda kuzn kbssa a.. ahhhhh shavii hapo weka saw
@hassanboru40383 ай бұрын
The best sheiks of Tz mashaaaallah..salimia pdd prof mazinge na dr sulle
@MusaRamadhani-wj2dw7 ай бұрын
Shafii ongea na sule uwe na yeye kwenye mjadala kwani shafii uko vizuli upande wa bibilia
@ahmadzaid29407 ай бұрын
TUNAOMBA NA OSTAZI SHAFFI NAE AWEPO KWENYE MDAHALO WA DK SULEY NA KINYOGORI NAE TUNAOMBA AWEPO INSHAALLAH NAAMIN KWA UWEZO WA MWENYEZ MUNGU HIO SIKU YA TAREHE 16 NA 17 MAMBO YATAKUWA MAZURI
@rajuxcharity7 ай бұрын
Umeongea kitu chamana sana tunaomba wawepo kabisa
@athumanali29697 ай бұрын
Si alisema hataki mtu yoyote awepo katki hao wahadhiri yeye peke yke anatisha ,
@JeanMuzaliwa-bs6qh7 ай бұрын
shaffi awezi kuja,anamuogopa ndacha!
@mwanaikaomar86287 ай бұрын
@@JeanMuzaliwa-bs6qhamuogope kwakipi hasa huyo ndacha?
@JeanMuzaliwa-bs6qh7 ай бұрын
@@mwanaikaomar8628 maana Islam amuna ukweli na Islam bila biblia amuna kbs!
@uthmanmaluja70056 ай бұрын
Mmh..Kwani tutaingia peponi kwa matendo au Kwa rehma za Allah she wangu mbona unajitabiria pepo bila hata kusema ishaallah
@bentybenty23437 ай бұрын
MASHA ALLAH 😂😂😂
@emanuelmichael76795 ай бұрын
Hahaha aisee babuu fumba machooo
@saddiqmageta79045 ай бұрын
😂😂😂😂
@adamopitanvitanvita79587 ай бұрын
mimi namtaka said kinyogori na mazinge
@sosdododo56533 ай бұрын
Wallahi huyu bwana ah hata sijui nivipi manake ,,namkubali mimi yuko sawa lakini nadhani alipitia mambo ya mtaani wakati waujana wake ,,,Allahu yaalam ,,,ni mchangamfu
@awadhrajabu14037 ай бұрын
Hu Msemo Wa Unatenda Zambi Unafuta Zambi Unatenda Zambi Unafuta Zambi Kwa Sitahili Hi Ni Kweli Wauni Watakuja Kuzika Wenyewe
@aminahkimwana1097 ай бұрын
😂😂😂😂dah!
@desderiushaule42645 ай бұрын
Mahubiri ya waislamu yamejaa porojo tupuuuuu, hii inamaanisha kwamba sheikh shafi kama angekuwapo kwenye mdahalo wa kielimu wa dr sulle vs Ndacha naye angegalagazwa kama wenzake wote waliokuwa wameketi kwenye meza ya wahadhiri wa kiislamu kwa sababu sheikh shafi hana quran nyingine tofauti na ile iliyotumika kwenye meza ya mjadala. Ukweli unabaki kuwa ukweli na uongo hausitiriki.
@user-zb2mj5nd5g7 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huyu sheikh mbona msela sana
@chemstry4097 ай бұрын
Al habib Shaffi.....kaza wapo wawili....😂😂😂
@maulidipazi67707 ай бұрын
Hiyo hata mm niliona buza
@ajuaeonlinetv97627 ай бұрын
Eti hallo jina la mtu
@user-ct7zd6he2j6 ай бұрын
Yani mdahalo ukikosa mazinge,kinyogoli,mbogo na shaffi huo utakuwa sio mdahalo nimkutano wa siasa😂
@Naw897 ай бұрын
Sheikh umenivunja mbavu
@sadathboutique62537 ай бұрын
We ni kajinga
@RamadanPaul7 ай бұрын
@@sadathboutique6253 mjinga mwenyewe
@jamalmanishi72827 ай бұрын
Hakuna Muislam hata mmoja aneijuwa biblia wanachojuwa ni mandiko tu
@JeanMuzaliwa-bs6qh7 ай бұрын
mafundisho yako uongo,piano mafundisho mapotovu ya sio na maandiko!
@RamadanPaul7 ай бұрын
Hivi wewe unashida Gani.... Kwa hiyo wewe hujui "Asalaam" Mbona Yesu alisalimia ASALAAM WALEYHKHUM
@JeanMuzaliwa-bs6qh7 ай бұрын
@@RamadanPaul mm sina shida na mtu ila mm sitaki mtu kutumia akili zake kwa mambo ya Mungu
@RamadanPaul7 ай бұрын
@@JeanMuzaliwa-bs6qh ... Hebu nambie kitu ambacho wewe umekiona hakipo sawa....
@khatibal-zinjibari69567 ай бұрын
ASOTUMIA AKILI NI MJINGA AU ZUMBUKUKU KAMA WANYAMA @JeanMuzaliwa-bs6qh Kila mtu kapewa aqili (Liko kwenye Qur'an) na Allah (Mwenyenzi Mungu) ili aitumie kwa maisha. Baadhi ya aya humalizikia kwa suala: Afala Taaqiloun (Kwa nini hamtumii Akili)? ni mara 13 kwenye Qur'an. Waislam hawatakiwi kuwa Wajinga au Mazezeta. Lazima watumie akili watakachosoma iwe Qur'an, Biblia, Katiba au Proper (Kweli) Ganda (Uongo).
@RamadanPaul7 ай бұрын
@@khatibal-zinjibari6956 ... Achana nae huyo bwana hana analolijua....
@JeanMuzaliwa-bs6qh7 ай бұрын
uyu muongo sana yani awa ndio ma agents wakubwa wa shetani!
@mwanaikaomar86287 ай бұрын
Ushindwe katika Jina la Allah.
@JeanMuzaliwa-bs6qh7 ай бұрын
@@mwanaikaomar8628 nyie mumepotezwa kitambo
@mwawekomiuda97797 ай бұрын
Sasa uongo wake ni nini kama sio muumini wa kiislam nyamaza hayakuhusu fyuuuuu
@JeanMuzaliwa-bs6qh7 ай бұрын
@@mwawekomiuda9779 muongo sana uyo nyie mumeshapotezwa!