Рет қаралды 1,424
Kwaya ya Mt. John Bosco kutoka Kigango cha Mkwajuni, Parokia ya Mwambani, Jimbo kuu la Mbeya inapenda kuwatakia heri na baraka tele katika msimu huu wa Sikukuu za Krismass & Mwaka Mpya 2022. Mungu akamjaze kila mmoja wenu neema katika adhimisho la sikukuu hizi.
MERRY CHRISTMAS & HAPPY NEW YEAR