🇹🇿SHAMBA HILI PAMOJA NA NYUMBA ZAKE ZINAUZWA NA LIPO TUNGUU.🇹🇿BEI MIL 330,000,000 ☎️☎️+255777-709695

  Рет қаралды 33,927

Dalali Jumbe Real Estates

Dalali Jumbe Real Estates

11 ай бұрын

Пікірлер: 61
@abdulbandidu119
@abdulbandidu119 9 ай бұрын
Mashallah hatujui mwenyew amekutwa na mtihan gan ila c sehem ya kuuza
@stevenmwenda3005
@stevenmwenda3005 8 ай бұрын
Kwakweli eneo zuri sana majengo mazuri sana wenye hela wanaraha nikununua familia ikikaa hapo yaani ni kufanya kazi ya kuboresha kilimo ndani ya ukuta mwanamke mwenye akili hapo ni ajira tosha kipato kinapatikana hapo hapo
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 7 ай бұрын
Hii ni paradiso ndogo🎉
@smina8226
@smina8226 4 ай бұрын
Inauzwa bei gabi
@rizikimohamed2449
@rizikimohamed2449 8 ай бұрын
Mashaallah nyumbani mzuri sana
@fauziakarama8581
@fauziakarama8581 7 ай бұрын
Maa Shaa Allah eneo zuri Sanaa kwa kilimo na utumaji
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 8 ай бұрын
Choo hicho mi nikiingia ntalala hapo hapo ntafikiri ni chumba mashaallah😂
@muhamadmasoud4936
@muhamadmasoud4936 9 ай бұрын
Sehemu ni nzry
@KhalidKhan-ud9cz
@KhalidKhan-ud9cz 7 ай бұрын
Mzuri Sana
@zainabzain3434
@zainabzain3434 9 ай бұрын
Sijui nn ttzo maskini Pana maisha hata bila kutoka na kutumwa mtihani
@husnamohamed9245
@husnamohamed9245 9 ай бұрын
Sehemu nzuri kuuza hasara
@hamudzakuwani4149
@hamudzakuwani4149 8 ай бұрын
beii
@HhhTt-vl9ct
@HhhTt-vl9ct 9 ай бұрын
المال والبنونا زينة احيات الدنيا.
@hamudzakuwani4149
@hamudzakuwani4149 8 ай бұрын
wapi eneoo
@yasminjuma9146
@yasminjuma9146 8 ай бұрын
Bei
@fatimaburhani1015
@fatimaburhani1015 7 ай бұрын
Brother how much is the cost? Please reply.
@csato9415
@csato9415 7 ай бұрын
Bei yake imewekwa hapo ni 330,000,000 Mil.
@kyaro5945
@kyaro5945 8 ай бұрын
ila hakuwa na mjenzi mzuri. kote hapo panageuzwa vila. hiyzo za mlinzi mabanda ya kitu gsni yote villa na bungaloows 20 na swimming pool yaongezwa
@ceomom2213
@ceomom2213 6 ай бұрын
Tunguu ni wapi huko? Madalali wa Tanzanis mnatakiwa mjiongeze zaid kama mnataka kuuza kweli nyumba zenu. Kila nyumba maelezo ni nusu nusu. Usimuache mteja na maswali unamfanya aende kuangalia nyumba nyingine. Unapoteza mteja
@kyaro5945
@kyaro5945 8 ай бұрын
simu zako ziko wapi shekhe
@salomekilavi6421
@salomekilavi6421 8 ай бұрын
Ni how much cost
@hamadmussa8402
@hamadmussa8402 9 ай бұрын
Bei inasemaje?
@fatmakhatib2935
@fatmakhatib2935 8 ай бұрын
Bei ipo hapo kwenye kichwa cha habari tungui ni Zanzibar jamani
@zaituniallyjuma8845
@zaituniallyjuma8845 8 ай бұрын
anauza iyo nyumba inanini
@Zahraalhabsi-yz4fe
@Zahraalhabsi-yz4fe 9 ай бұрын
No za sim
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 8 ай бұрын
Tuwasiliane nataka kununua ni eneo zuri sana kwa ufugaji wa nguruwe
@aminakasim1198
@aminakasim1198 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 Astaghafirullah nguruwe tenaa
@SalamaAkilimali-ly3bu
@SalamaAkilimali-ly3bu 7 ай бұрын
Bangi jamani mbaya sanaaa
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 7 ай бұрын
​@@SalamaAkilimali-ly3bu😂😂😂😂
@csato9415
@csato9415 7 ай бұрын
Ukinunua ni haki yako...lakini sasa eneo lenyewe liko Tunguu - Znz.😮
@mudymudy3132
@mudymudy3132 9 ай бұрын
Offer yake inasemaje
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 7 ай бұрын
Bei ni kiasi gani. Kwa kifupi ni wapi hasa
@fatmakhatib2935
@fatmakhatib2935 8 ай бұрын
Watu bhana mbona kila kitu kimejieleza hapo juu bei pamoja na namba za simu pia zipo gusa hapo kwenye maandishi makubwa maelezo yatakuja kamili maana hapo yako nusu ndio mana kila mtu anauliza bei mara mawasiliano vyote vipo hapo
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 8 ай бұрын
Mkopo upo?!
@fatumazakalia-yx4kg
@fatumazakalia-yx4kg 7 ай бұрын
Kwann inauzwa ?
@zakiamohamed7611
@zakiamohamed7611 7 ай бұрын
Zanzibar hiyo ila tuma namba zako za cm
@csato9415
@csato9415 7 ай бұрын
Namba za simu ziko hapo ambapo pia kuna bei.
@hemedmadaya6371
@hemedmadaya6371 7 ай бұрын
Habari iko wapi?
@mwanakhamisimwinyimatano1185
@mwanakhamisimwinyimatano1185 5 ай бұрын
Bado ipo hii
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 8 ай бұрын
Kwa nini ?tatizo nini tuelewane isije ikawa kesi
@aminakasim1198
@aminakasim1198 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂kwakweli kujihami nivizur
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 9 ай бұрын
Hv tunguska ni ujerumani au saudia
@kyaro5945
@kyaro5945 8 ай бұрын
Zenji
@hemedmadaya6371
@hemedmadaya6371 7 ай бұрын
Kwa nini inauzwa
@hemedmadaya6371
@hemedmadaya6371 7 ай бұрын
Nas
@bakarbakarali-cw3gc
@bakarbakarali-cw3gc 9 ай бұрын
Sema bei matajiri tupo bilioni ngap?
@sameraakhf5605
@sameraakhf5605 9 ай бұрын
😂😂😂😂 Unguja iyo
@yasminjuma9146
@yasminjuma9146 8 ай бұрын
😢
@mamyomar1241
@mamyomar1241 7 ай бұрын
Mnajenga majumba hamuhamii, washahamia majini hazikaliki ndio mnauza. Nawasiwasi wenyewe wapo uingereza,
@khatibsaid5010
@khatibsaid5010 6 ай бұрын
Kazi choyo tu kwani nawewe siunde alafu ufanye kama ivo kama ni rahisi
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 21 күн бұрын
Hii yako akili mgando mmh
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 8 ай бұрын
Toa maelezo vizuri , TUNGUU ni wapi , wadhani kila mtu hapa mtandaoni anafahamu TUNGUU ni wapi .
@sultansallah8772
@sultansallah8772 8 ай бұрын
Hajielewi huyu dalali. TUNGUU ni zanzibar.... Nje kidg ya mji ndo kilipo chuo kikuu cha zanzbar SUZA na vyuo vengne vungi kama Z.U na IPA kwa daladala kutoka mjini ni kama 600 kama sikosei
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 8 ай бұрын
How much tsh
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 7 ай бұрын
Kwanini inauzwa
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 7 ай бұрын
😂hapo sasa
@csato9415
@csato9415 7 ай бұрын
Ni lazima ufanye uchunguzi kabla ya kununua ili kujiridhisha.
@kamalabuberwa2001
@kamalabuberwa2001 8 ай бұрын
Tunguu ipo wapi?
@hassanshamte1610
@hassanshamte1610 8 ай бұрын
Zanzibar
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 8 ай бұрын
Tuwasiliane nataka kununua eneo Zuri sana kwa ufugaji wa nguruwe
@Hapi-Awa
@Hapi-Awa 6 ай бұрын
Hii nyumba bado ipo? Number yako yenye WhatsApp ni ipi hiyo?
#NYUMBA BORA INAYOUZWA BEI NAFUU DAR ES SALAAM-CHAMAZI/ Residential House for Sale in Dar es salaam.
7:40
Aisam Bestland [Property Channel] Viwanja Town
Рет қаралды 12 М.
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 17 МЛН
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 117 МЛН
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 37 МЛН
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 38 МЛН
NYUMBA HII INAUZWA
5:41
Dalali Jumbe Real Estates
Рет қаралды 437
Natengeneza Millioni Ishirini kwa Wiki - Kyando
5:35
TAHA ONLINE TV
Рет қаралды 37 М.
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 17 МЛН