Mashallah hatujui mwenyew amekutwa na mtihan gan ila c sehem ya kuuza
@stevenmwenda30058 ай бұрын
Kwakweli eneo zuri sana majengo mazuri sana wenye hela wanaraha nikununua familia ikikaa hapo yaani ni kufanya kazi ya kuboresha kilimo ndani ya ukuta mwanamke mwenye akili hapo ni ajira tosha kipato kinapatikana hapo hapo
@gracekagoma32317 ай бұрын
Hii ni paradiso ndogo🎉
@smina82264 ай бұрын
Inauzwa bei gabi
@rizikimohamed24498 ай бұрын
Mashaallah nyumbani mzuri sana
@fauziakarama85817 ай бұрын
Maa Shaa Allah eneo zuri Sanaa kwa kilimo na utumaji
@fatmaabdallah77098 ай бұрын
Choo hicho mi nikiingia ntalala hapo hapo ntafikiri ni chumba mashaallah😂
@muhamadmasoud49369 ай бұрын
Sehemu ni nzry
@KhalidKhan-ud9cz7 ай бұрын
Mzuri Sana
@zainabzain34349 ай бұрын
Sijui nn ttzo maskini Pana maisha hata bila kutoka na kutumwa mtihani
@husnamohamed92459 ай бұрын
Sehemu nzuri kuuza hasara
@hamudzakuwani41498 ай бұрын
beii
@HhhTt-vl9ct9 ай бұрын
المال والبنونا زينة احيات الدنيا.
@hamudzakuwani41498 ай бұрын
wapi eneoo
@yasminjuma91468 ай бұрын
Bei
@fatimaburhani10157 ай бұрын
Brother how much is the cost? Please reply.
@csato94157 ай бұрын
Bei yake imewekwa hapo ni 330,000,000 Mil.
@kyaro59458 ай бұрын
ila hakuwa na mjenzi mzuri. kote hapo panageuzwa vila. hiyzo za mlinzi mabanda ya kitu gsni yote villa na bungaloows 20 na swimming pool yaongezwa
@ceomom22136 ай бұрын
Tunguu ni wapi huko? Madalali wa Tanzanis mnatakiwa mjiongeze zaid kama mnataka kuuza kweli nyumba zenu. Kila nyumba maelezo ni nusu nusu. Usimuache mteja na maswali unamfanya aende kuangalia nyumba nyingine. Unapoteza mteja
@kyaro59458 ай бұрын
simu zako ziko wapi shekhe
@salomekilavi64218 ай бұрын
Ni how much cost
@hamadmussa84029 ай бұрын
Bei inasemaje?
@fatmakhatib29358 ай бұрын
Bei ipo hapo kwenye kichwa cha habari tungui ni Zanzibar jamani
@zaituniallyjuma88458 ай бұрын
anauza iyo nyumba inanini
@Zahraalhabsi-yz4fe9 ай бұрын
No za sim
@BonnyMwajombe-iu7hb8 ай бұрын
Tuwasiliane nataka kununua ni eneo zuri sana kwa ufugaji wa nguruwe
@aminakasim11987 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 Astaghafirullah nguruwe tenaa
@SalamaAkilimali-ly3bu7 ай бұрын
Bangi jamani mbaya sanaaa
@aishaalbalushaishabalush82917 ай бұрын
@@SalamaAkilimali-ly3bu😂😂😂😂
@csato94157 ай бұрын
Ukinunua ni haki yako...lakini sasa eneo lenyewe liko Tunguu - Znz.😮
@mudymudy31329 ай бұрын
Offer yake inasemaje
@gracekagoma32317 ай бұрын
Bei ni kiasi gani. Kwa kifupi ni wapi hasa
@fatmakhatib29358 ай бұрын
Watu bhana mbona kila kitu kimejieleza hapo juu bei pamoja na namba za simu pia zipo gusa hapo kwenye maandishi makubwa maelezo yatakuja kamili maana hapo yako nusu ndio mana kila mtu anauliza bei mara mawasiliano vyote vipo hapo
Kazi choyo tu kwani nawewe siunde alafu ufanye kama ivo kama ni rahisi
@shamsahaji620221 күн бұрын
Hii yako akili mgando mmh
@chayogasperi97838 ай бұрын
Toa maelezo vizuri , TUNGUU ni wapi , wadhani kila mtu hapa mtandaoni anafahamu TUNGUU ni wapi .
@sultansallah87728 ай бұрын
Hajielewi huyu dalali. TUNGUU ni zanzibar.... Nje kidg ya mji ndo kilipo chuo kikuu cha zanzbar SUZA na vyuo vengne vungi kama Z.U na IPA kwa daladala kutoka mjini ni kama 600 kama sikosei
@BonnyMwajombe-iu7hb8 ай бұрын
How much tsh
@gracekagoma32317 ай бұрын
Kwanini inauzwa
@josephatjordan21507 ай бұрын
😂hapo sasa
@csato94157 ай бұрын
Ni lazima ufanye uchunguzi kabla ya kununua ili kujiridhisha.
@kamalabuberwa20018 ай бұрын
Tunguu ipo wapi?
@hassanshamte16108 ай бұрын
Zanzibar
@BonnyMwajombe-iu7hb8 ай бұрын
Tuwasiliane nataka kununua eneo Zuri sana kwa ufugaji wa nguruwe
@Hapi-Awa6 ай бұрын
Hii nyumba bado ipo? Number yako yenye WhatsApp ni ipi hiyo?