Leo wallah sheikh mselem umeufungua ulimwengu na allah akulipe kheri, umefikisha na mungu anakuona ila kazi ya kuongoa ni ya allah, huu ni ukumbusho kw mwenye akil timamu ila kw machizi subirin ashuke malaika ndio mukumbushwe kw adhabu ya mungu
@salumtakao982823 күн бұрын
Shekh mselemu Leo nmezidi kukuelewa. Hili swala lkuw na tarekh moj linwezekn sema watu ndo watetea umakund na hii arafa ni moja tu mashallah.
@mafiatv547920 күн бұрын
arafa siku kitendo ausehemu?
@twahambowe44019 күн бұрын
Arafa ni siku, arafa ni kitendo, na arafa ni eneo au sehemu
@makerebul365023 күн бұрын
Asante sana shekh msellem, unaeleweka sana Allah akuzidishie Ufasaha wako, na akulinde na wabaya Amiin
@SHOMARYHIMIRY22 күн бұрын
Aamin aamin aamin
@RashidmohdRashid-zi2tr22 күн бұрын
Hongera shekhe nimekuelewa sna tu mie mashaallah kwa mawaidha mungu akuzidishiye Inshaaallah..
@user-xb1pf2vj5l23 күн бұрын
Akili kubwa sana hii..shekhe umeeleweka vilivyo
@zedcomobilephones20 күн бұрын
Kiukweli Mimi sijamuelewa turudi pale pale katika hio dollar walipeana vipi taarifa wa muandamo wa mwezi? Na kama ikiwa zaman walikua wakitofautiana katika miandamo inamaaana technology ndio imebadilisha Sheria za dini?
@mohamedally642821 күн бұрын
Allah akufanyie wepesi ktk Dunia yako na akhera yako sheikh mselem nimekufahamu vizur sana alhamdulilah Allah akulipe kheri aamin
@faisaloaljabry640023 күн бұрын
Asiye taka kuelewa hataki tu Sheikh Kuwaelekeza watu wasiyo taka kuelewa haisaidii bora tuwaombee Allah awaongoze In Shaa Allah
@user-ec7wu9bk8w23 күн бұрын
Umesema kweli @faisal
@FeisalDoctor-wr8ws23 күн бұрын
Watak bakora tu wengin at izo dua haziwapati
@mafiatv547920 күн бұрын
ndg msiwalazimishe watu, acheni usenge wajina nyie, kila mtu anamaono yake
@MussaaliMohamed19 күн бұрын
Shekh Mselm bin Ally Allah kuzidishie ilmu y ahera akupe kitabu chako kw mkono wakuli
Unakuta mnaopinnga hata kuswali huuswali kazi. Kusubili eid tuu
@AbuwJuhaymah23 күн бұрын
Unabichwa gumu wewe kaah
@AliSalim-yu4mo23 күн бұрын
Ni mtazamo wake lkn ni WA kielimu sio ubishi wa maskani!
@KS-iw7qv23 күн бұрын
Allah ni Mjuzi Zaidi....
@user-yj5on8cz3e23 күн бұрын
@@AliSalim-yu4mo kwani lazima umuelewe ww bhana walomuelewa inatosha so hata mtume alipingwa japo Jambo alilokuja nalo walikuwa Ni hakki lakini walimpinga ndo kawaida ya wanadamu unazani tutaongoka wote itakuwa ibilis haina maana ya kuwepo basi ili maandiko yatimie lazima wengine wapinge hakki uliona wapi wote mtaamini
@NefeslZoOl19 күн бұрын
Khekma hupatikana kwawenye ukubwa wa Elimu kama Shekhe Ally Allah awapee nuru na wengine Inshaallah
@wizlamability21 күн бұрын
Maasha Allah akujaalie mwisho mwema shk MSELEM BIN ALLY
@user-gj7uh5fl7s20 күн бұрын
Ww ndo faraja yang ktk ufahamu wako unavyofafanua jambo mashallah
@hassanyusuph944623 күн бұрын
Tunao fanya kama shekhe alivyo eleza ni sawa na tunao fanya kwa namna nyengine pia n sawa kwa mtazamo wangu sababu kubwa ya wote kua sawa n kwamba wote tunatafuta fadhila za mwenyezimungu na radhwi zake
@sadammjili910122 күн бұрын
Hukuna ibada pasipo stahiki kwan kufunga siku ya eid ni dhambi
@abdallahyusuf764122 күн бұрын
Mashaallah swadakta mimi nimekuelewa zaidi . Nashukuru kwa kunielewesha ALLAHakuzidishie maisha malefu yenye afya inshallah
@badimruma669521 күн бұрын
Asalamu Alaykum Shekhe, naomba kuuliza kwa lengo la kujifunza, hivi ikitokea nimeuona mwezi leo, lakini Saudia wasiuone leo, wauone kesho, inatakiwa mimi nisiukubali mwezi niliouona Tanzania? La pili, katika umri wangu sijapata kusikia Saudia wametangaza kuwa mwezi umeandama Tanzania hivyo tarehe ya Ki Islamu imeanza, hivi mwezi hauwezi kuandamia Tanzania? Mwisho, ni nani mwenye mamlaka ga kutangaza mwezi pale Saudia? Maana kuna mtu nilisikia akisema ni Serikali, lina ukweli? Shukrani Shekhe kwa mafundisho.
@mdauwetu19 күн бұрын
Shekh anasema suala la mwezi mmoja. Kiufupi huo mwezi uonekane Saudia basi. Maana wao mwez ukitangulia kwengine wanaukataa
@HassanSalum-qs2qp23 күн бұрын
Mashaallah umeeleweka alhamdulillah sheykh mselem ali ..swadakta
@KauthariKhamisi-yn2vc19 күн бұрын
ماشاءاللہ جزاك اللهُ
@KauthariKhamisi-yn2vc19 күн бұрын
allah akupe umri wenye mnufaa na mwisho mwema
@EdiDula20 күн бұрын
Wenzake baada ya kutoka segerea, wameamua kuwaridhisha wakubwa kwa kutoa fatwa zakuwaridhirisha viongozi wakiwa machoni mwao, Allah akuhifadhi sheikh Msellem, nakuelewa sana kwa ufafanuzi wa hoja za wazi
@mubarakmohammed731119 күн бұрын
Je Mtume SAW, aliacha muongozo gani?
@omarissamashaallahpresiden292014 күн бұрын
Edi ww mtoto Bado hakuna elimu ya mtu mmoja masheikh kila mmoja na anavyofahamu yy ameona kufuata saudia ndio elimu yake ilivomwambia na hao unaosema wametoka gerezani ndio elimu Yao ilivomwambia nyie mliobaki bendera hufata upepo kasome kwanza ndio utukane (
@Bombwejr1823 күн бұрын
Allah amuhifadhi sheikh mselem 🤲🙏
@nassortrans1223 күн бұрын
ماشاء الله بارك الله فيك وجزاك الله خيرا كثيرا
@ConfusedDahliaFlower-mb7mu20 күн бұрын
Allah akupe mwisho mwema nasie tunae kufatilia
@asamandhiry864820 күн бұрын
Sheikh Msellem umeongea na kufahamika ulichokiongea. Ila umeelezea juu ya tarehe moja ni sawa hapo hapo ulitakiwa kuongea tofauti za nyakati. Huku jua lina piga umesema ni saa sita mchana huku upande wa pili giza totoro usiku wa saa ngapi ikiwa watu wamesimama Arafa mchana upande wa pili usiku, inayumkinikaje waliopo katika jiza la usiku wakafunga sunna ya Arafa?! hawawezi kufunga abadan! Tunatakiwa tufuate nyakati na nyakati zinatazamwa kwa mwezi, kiislamu. Nahisi ulikuwa ueleze tofauti za nyakati pia. Wabillahi taufiq
@abouMuslin9723 күн бұрын
Alhmdulillah jazakaAllah kheir mashaAllah TabarakaAllah hoja imeeleweka na maelezo yamefahamika
@SAIDMOTE23 күн бұрын
Allah akuhifadhi sheikh mselem nimekuelewa vizuri sana, shukran
@user-uo4kp4wg9m21 күн бұрын
Mashaallah allah akuhifadhi sheikh yaan umeogea point ya msingi kabisa na muhimu sana kuzingatia hili
Kiongoz mmoja yupo ni qur an na sunna na hilo ndo tulioachiwa sio saudi arabia
@mustafahakim-iq7dj20 күн бұрын
Ufahamu wako mdogo
@esir666720 күн бұрын
@@mustafahakim-iq7dj nifahamishe
@HajiKipingu17 күн бұрын
Baaraka llahu fiika,umenyooka sana wao waendelee kupotosha watu malipo yapp
@mubajoti74320 күн бұрын
Dah hakiamung nikimskilz sheh mselem namuele nikimskilz sheh farid namuelew yn naumia kichw man wot wana point dah sjui nifate wapi 😢😢😢
@user-yj5on8cz3e23 күн бұрын
Sghekhe umeeleweka. Vzr sana sema watu leo hawataki hakki wanasukumwa na mihemko ya makundi ila ukitaka haki ulichongea ni sahihi kabisa 😢
@abdulabdulathumani599223 күн бұрын
Sio miemko sheikh kaongea vizur saa kalend ya kizungu hii ikifika mda huna aja yakumuangalia mtu time imechange lakin swala la mundamo wengine wanaweza fika saa8 usiku awakuswali taraweh awakuwa nania awakujiandaa na ibada sa 11 alfajir ndo wanapata taarifa au 12 hawa funga yao ramadhan itakuwaje
@user-ui4oh8gf8n23 күн бұрын
MashaaAllah Allah akuhifadhi shehe wetu.
@ismailsoud363423 күн бұрын
Swadakta Sheikh umejitahidi .safi na vizuri.
@user-tm2zk5gn4e16 күн бұрын
Asante sana sheikh mselem
@SelemaneArabeArabe-wd8fb23 күн бұрын
Chehk Allah akulipe Kwa ufafanuzi nzuri sana
@kisanganyakiswanta137922 күн бұрын
Sasa nimekuelewa vizur sana shekhe hata mtu asie na elim akikosa kukuelewa basi huyo ana siasa zake shukran sana shekhe
@w405823 күн бұрын
Hassan Yusuf uko sawa kwani Mtume SAW kwa mujibu wa khadithi za hao hao Masheikh wanasema aula ni kufuata muandamo wa unapoishi kwa hivyo tutafanya kwa mujibu wa maneno ya Mtume SAW nyie fuateni mnavyoona sawa na sie tutafuata tunavyoona sawa Allah atutaqabalie saumu zetu
@mkude23 күн бұрын
Maashaallah ALLA H akuhifadhi sheikh umeeleweka vizuri
@mikealeck644718 күн бұрын
Genius, Maasha Allah
@tobosha323623 күн бұрын
Allah akuhifadhi Sheikh Mselem
@HusseinAmaniOmarAlhamdy22 күн бұрын
Takbeer!! Allahu Akbar
@NasmaThabith22 күн бұрын
Maashallah shaykh❤❤
@RashidmohdRashid-zi2tr22 күн бұрын
Mambo
@hadijamushi867423 күн бұрын
Barakallahu fikhy sheikh wetu
@MohamedKilindumbo19 күн бұрын
Masha llah Allah akubaari
@MasudiNia-td7ie22 күн бұрын
Mi nauliza kushikwa kwa mwezi je ukishikwa saudia na sisi huku pia tutekeleze ibada ya kupatwa kwa mwezi?
@OmarAlly-iz8ot23 күн бұрын
Watu wenye upana wa maarifa na akili kubwa kama hii Wallaahi walistahiki zaidi watunzwe na waheshimiwe sana kwenye nchi zao. Lakini ajabu ya maajabu viongozi wa dunia yaleo, yule anaestahiki matunzo ndie anae dhalilishwa, na wasiostahiki matunzo ndio wanao tunzwa na kupewa shavu!!! Mnajua sbb ninini? Anaejua aniambie
@salimrajabu468823 күн бұрын
Allah akuhifadhi sheikh mselem Aly
@MgazaMhina23 күн бұрын
Nimekuelewa sana Shekhe wangu
@KomboFaki-xq4pw21 күн бұрын
Eee sheikhe wangu wee amakweli hii imeenda nasikitika sina chakukupa ila Allah atakulipa kheir ishaalah
@user-di1lg1pm2l21 күн бұрын
shukran kwa elmu mashallah
@abdulabdulathumani599223 күн бұрын
Sheikh umeongea vzuri tunakupenda sana lakin swala la mwezi ni tofaut na tareh .tareh ikifika saangp tunajua sikuimechange mwezi umechange swala kuandam wanaweza pita watu saa 12 awajauona wamefika saa 8 usiku wengi wamelal hawakuw nania ya kufunga awaja swali taraweh saa 12 asubuh au saa 11 alfajir ndo wanapata taarifa watafunga vip awa
@abdab846621 күн бұрын
Hamo mselem umeuguza,ikiwa east afrika unasema siku ni sawa,je australia,na japan,na morrocc,
@HamadaZubeirTahir21 күн бұрын
Kalenda wanayo Sheikh Mselem. Maana kama tutaiangalia Hijja ya mwaka 2025 tutaiona na tayari mpaka tarehe ya siku ya Arafa ishaandikwa.
@husnamohamed944820 күн бұрын
Kijaaliwa inshaAllah itakuwa alhamis tarehe tano mwezi wa sita
@HassanOmar-qr1ni23 күн бұрын
Maa shaa allah sheikh
@salumhassanallymkurdistan700618 күн бұрын
HAPO NIMEKUFAHAMU JAPO WEWE HUJAFAHAMU SHEKH MSELEM TUNATAKIWA TUFUNGE KWA KUONA MWEZI NA TUFUNGUWE KWA KUONA MWEZI RAMBDACATOKE HALIFA LAKINI KI UHALISIA KILA NCHI NA KUONA KWAKE MWEZI
@user-ix3pl1ey6n21 күн бұрын
Nashukuru nimekuelewa
@hamisikanengene828522 күн бұрын
Asante shehe
@husseinshamte712923 күн бұрын
Tarekhe ya kiislamu (kufwta mwezi mwandamo) huwa zinafungamana na Ibada Ama hilo calendar la kidunia Wala halina mafungamano na Ibada Kama Tarekhe ni Moja ,,, kwanini ابن عباس aligoma kufungua alipoambiwa mwezi umeandama kwenye hadithi ya كريب na mwisho akasema هكذا علمنا رسول الله صلى الله عليه وسلم Hivi Ibn Abbas yeye alikua hajui kama Tarekhe ni Moja?
@abdukherykhamis7322 күн бұрын
Mie naongezea Ile tafsiri aliyo itoaa,ni swali kwa mwezi muandamo au miez miandamo kwa mujibu wa aya?
@musarashid-xw1qm22 күн бұрын
Allh akuhifadh mselim
@saidmohamed680210 күн бұрын
mashaalaah
@user-tm2zk5gn4e16 күн бұрын
Umejibu vizuri
@ramadhanirajabu877421 күн бұрын
Ahsante mwalimu
@majondejohali525923 күн бұрын
Kaongea kiswahili vzr
@HileHile-ns9xv22 күн бұрын
Swadakta nkwel kabsa Allah atuongoze
@mwalimumzimba20 күн бұрын
mashaalla jazakk llahu kheir
@RashidSeif-vd7up23 күн бұрын
Allah akulipe🎉
@hamiskilima542823 күн бұрын
Sheikh shukran kwa ufafanuzi lakini ume niacha na swali kichwani kwangu. Umetoa mfano wa jua na mwezi kwamba jua linachomoza likiwa zima na huzama likiwa zima lakini mwezi hubadilika ili kiwe kipimo cha wakati(siku). Sasa kama mwezi ni kipimo cha siku kwanini tusitumie kuhesabu siku za mwezi mzima? na badala yake kwanini tutangaziwe na watu kutoka sehemu zingine? Je tukifuata mwandamo ambao ndo kipimo je siku zinazidi au zina pungua? Assalaam alaykum
@warshysaid856423 күн бұрын
Ńduģu yangu mwezi hubadilika shepu yake kutoko kuonekana nusu hadi kuwa mzima hatafu unarudi kuwa nusu sio kubadilika kwa kuzidi siku au kupunguwa mwezi una siku 29 na 30 tu
@warshysaid856423 күн бұрын
Na swalii lakoo kwann tusittummiie mwezi 7bu tunaaonnggozwwaa naa maakaafiriii 9:23
@waziribakari642622 күн бұрын
Tuwaache hawa matumaini yao ni kiama kitakuwa tofauti kitaanza Saudia na wao watakuwa na tarehe yao kama wavyo aminishana kwa kila watu na mwezi wao inshaallah watapata taarifa ili wajiandae siku yao ikifika nao watakuwa na siku yao ya kiyama Si ndio wanavyotaka na wafuate watakavyo
@yussufomar379622 күн бұрын
Shukran sana Akhy umenisaidia kufikiri na kutafakari maelezo yake yupo sawa Sheikh Mselem kwa msimamo wake. Lkn je saudia ndiyo sehemu pekee mwezi unako andama sawa sawa??!!! Sheikh ananipa maswali mengi kichwani. Ninampenda kwa ajili ya Allah mzungumzaji mzuri sana ila hapa ananipa shida sana.
@RamadhaniShabani-nc5ve21 күн бұрын
Masha Allah
@HijaSaid-xd7fg23 күн бұрын
Allah aendelee, kukupa umri, maana hao mamluki wanapotez kundi kubwa sana, na Allah ajua mafikio yao
@abdallahhalifa586021 күн бұрын
Ssa sheikh msellem hapo ndipo ulipotuchanganya kutuambia watu wazamani ilivyokua mitandao haijaingia watu walikua wakifunga kwa muandamo sasa wataka sema Dini imekamilika ssa siku za nyuma ilikua badoo Sheikh hapo hujasema bado
@abdallabundala40423 күн бұрын
Mashallah
@user-et1ow9ic4u23 күн бұрын
Shekhe nimekuelewa sana
@mattarrashid762523 күн бұрын
Kwani hii funga ya arafa nilazima watu wasimame kule au ni tarehe yaani inategemea watu kusimama kiwanja cha arafa au
TUWENI NA AKILI KIDOGO ZAMANI KWELI ILIKUWA WATU WANAFATA KUFUNGA MWEZI 9 ILA NI.KIPINDI CHA NABII IBRAHIM ILA KIPINDI CHA MTUME MUHAMMAD SWALALLAH ALAIHI WASALAM ILIPOFARADHISHWA HAJJI KUWA LAZIMA KWA MWENYE UWEZO MTUME MUHAMMAD AKAIFUNGAMANISHA HIJJA NA ARAFA KWA USHADI WA HADITHI HII atayo: عن عبد الرحمن بن يعمر قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: ((الْحَجُّ عَرَفَة، مَنْ جَاءَ قَبْلَ طُلُوعِ الْفَجْرِ مِنْ لَيْلَةِ جَمْعٍ فَقَدْ أَدْرَكَ الْحَجّ)) صحيح الجامع ‘Abdur-Rahmaan bin Ya’mur (Radhwiya Allaahu 'anhu) amehadithia kwamba: Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Al-Hajj ni ‘Arafah, atakayekuja kabla kutoka Alfajiri usiku wa kujumuika atakuwa ameipata Hajj)) [Swahiyh Al-Jaami’]. KISHA AKASEMA FUNGA YA SWAUMU YA ARAFA SIO MWEZI 9 TUWE NA AKILI KIDOGO SOMA HADITHI HII INASEMA FUNGA YA SWAUMU YA ARAFA SIO FUNGA YA SWAUMU YA MWEZI 9 عَنْ أَبِي قَتَادَةَ رضي الله عنه أن النَّبِيَّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ قَالَ : ((صِيَامُ يَوْمِ عَرَفَةَ أَحْتَسِبُ عَلَى اللَّهِ أَنْ يُكَفِّرَ السَّنَةَ الَّتِي قَبْلَهُ وَالسَّنَةَ الَّتِي بَعْدَهُ )) أخرجه مسلم Abuu Qataadah (Radhwiya Allaahu 'anhu) amehadithia kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Swawm ya 'Arafah nataraji (kwa Allaah) kufuta madhambi ya mwaka uliopita na wa baada yake)) [Muslim] PIA KATIKA DINI HAKUNA KULAZIMISHANA HALALI IPO WAZI HARAMU IPO WAZI. KILA ASHIKE LILE ANALOONA NI SAHIHI
@user-ox4fv4cf5l23 күн бұрын
Funga ya Arafa inaendana na kisimamo cha Arafa kwa sisi ambao hatukufanikiwa kwenda hijja
@mussammanga779123 күн бұрын
Na sio Fardhi ni sunna. Maana ukifunga utapata thawabu na kama hukufunga hutopata thawabu wala dhambi. Kwa ufupi hutopata malipo yoyote ukiwa hukufunga.
@mwadinbakar955321 күн бұрын
Mbona Enzi hizoo za wale MAGWIJI wa Elimu ya kiislamu (akina SUMEIT) hayakuwepo haya 'mazonge'? Kama sio Kanisa basi Marekani yupo katikati ya hili VURUGU
@HamadaZubeirTahir21 күн бұрын
Kwaiyo Sheikh Mselem ile Hadithi ya Abdallah Bin Abbaas na Quraib wewe huitaki ama unaikataa si ndivyo?
@fedrickchristopher895621 күн бұрын
Mashaallah
@nassorsuleiman45122 күн бұрын
Halaf kafikiria mtume kwamba akisema leo tarehe flan makka lkn hakujua pia km atasema mji mwengine leo ni tarehe flan
@challengepcn798220 күн бұрын
What about the people living in Australia and America
@nassorsuleiman45122 күн бұрын
Mm naon sheikh kazungumza zaid kwa UFAHAM WAKE no hadith na aya iliyotumika ni kwa utambuzi wa nyakat zaid
@abuuahmed569721 күн бұрын
Kama hujaelewa na unataka hadithi nitafute Mimi nitakusaidia inshallah
@ShaibuMohammed-tj8il20 күн бұрын
Mtume aliweza kuwaambia LAKUM DIINUKUM WALIYA DIIN , Lakin binadamu wa leo kwenye pesa yupo tayar kupotesa dini kw ajili ya dunia
@JUMAKANYEBWE-hy7ge22 күн бұрын
Hii ndo kweli hakuna tarehe moja mbili kwa mwezi wakiona wenzenu fateni mwezi hautoshi kuenea dunia nzima kwa wakati mmoja
@NassorHamad-dj6sv20 күн бұрын
Mi nimependa apo kwenye lailatul kadir kila Mmoja apelekewe yake kwenye kisahani Kwa siku yake
@IbrahJumbe23 күн бұрын
Shekh hapo nataka kukuuliza kitu kiislam siku inaisha saa kumi na mbili za jioni je kama sehemu moja tayari muda huo ushafika na hawa wengine bado je yupi atakuwa mbele na siku na tarehe au wote wapo sawa na kama wapo sawa inawezekanaje na hawa washamaliza siku na hawa wengine ndo wanaenda kuimaliza siku
@msafirithabiti272422 күн бұрын
Siku inaanzia mashariki. Hivyo sisi tuko mashariki ndio wa mwanzo then wanafuata wengine
@msafirithabiti272422 күн бұрын
Fuatilia hata mpira, wakicheza saa kumi hapa Tanzania basi nchi nyingi zinakuwa ni saa nyuma ya saa kumi kama saa saba na kadhalika.
@lailafakhihaji23 күн бұрын
Sheikh upo sawa kabisa kwa kweli tanzania na Kenya ndio wapingaji wakubwa lakini wenzetu wa west wanaungana na dunia sikukuu ni siku moja yaani ni Tanzania na kenya ndio kuna hii sintofaham Allaaa ndo ajuae zaidi
@mohagurey221423 күн бұрын
Sababu ya masufi
@AbdillahAlly-fl4vh22 күн бұрын
@@mohagurey2214unawazimu wewe,masufi wamefanyaje
@mohagurey221422 күн бұрын
@@AbdillahAlly-fl4vh wametutengenezea arafa yetu
@ahmedaltiwany19 күн бұрын
Suali lipo hapa, je ikiwa kuna nchi ipo mbele kwa masaa imetizama mwezi siku ya 29 haikuoona watahesabu 30, na kuna nchi nyengine ipo nyuma kimasaa ilipofika magharibi wakatizama mwezi wakauona sasa kwao ni tarehe 1, je wale wa mwanzo wabadilishe records zote walizoeka ili tu kufanana na hawa??
@IssaChikoka23 күн бұрын
Shekhe ninakuelewa cn ishaalla zidi kutuelimishs
@user-kc4fv6cf8l22 күн бұрын
Hebu jamani niambieni . Mtume SAW alikuwa akifunga kabla ya kufaradhiwa hija . Na hata bada ya kufaradhiwa hija haikuthibitika kuwa slikuwa akifunga kwa kuzingatia muandamo wa maka JAMINI ACHENI BIDAA ZA KISALAFI
@sheikh_abdulkarim22 күн бұрын
Toa hoja za upande wako lakin sio kuona upande mwingine hawajui maana mwenyewe hapo..... sijaelewa kabisa
@mrafm728523 күн бұрын
Huo mfano nilishawaambia watu lkn Kuna watu mibishi duniani lkn Iko siku wataelewa Inshaallah
@KambiRamadhan-pm1sy21 күн бұрын
Naomba namba yako
@nassorsuleiman45122 күн бұрын
Allah aalam
@mudhakirkheir23 күн бұрын
Kama hujafaham subir arafa yetu zanzbr itakua kisongee
@HemedSerious23 күн бұрын
Mzee acha kejeli kama ni muislam lkn , kma sio muislam samahani
@Sheba465123 күн бұрын
😂😂😂 Ati kisonge
@warshysaid856423 күн бұрын
@@HemedSerioussio kejeli ni ukwel
@yussufomar379622 күн бұрын
Sheikh unakejeli@@warshysaid8564
@SalumJuma-iz2gj23 күн бұрын
Daa shukraan kuanzia leo nafunga popote utakapo onekana mwez
@abdulabdulathumani599223 күн бұрын
Me naleta challange mwezi wakizungu tareh uangalii kwa mwenzio ikifika ngap siku au mwezumechange sasa lakin sis adi uandame tufanye hao walokuwa saa8 usiku awakuuona ukiandam kwamaan taraweh awataswali nia ya kufunga swaum awatakuwa nao watapat taarifa pengine sa8 ucku 9 au 10 au 11 au 12 awa ibada awakujiandaa nayo na at least iwe alotangulia zaid awepo saa 8 itakuaj taarif ikitok wengin kwao ishakuw asubuh
@tariqsaad-hj9zn20 күн бұрын
Tareh ya kiisilamu saangapi inaanza nakufunga kunakupasa mchana au ucku?
@mwalimumzimba20 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@w405823 күн бұрын
Kila Sheikh anafahamisha kwa ufahamu wake na elimu yake hivyo kila kuna khadithi na technology haijaja kubadilisha fiqhi shariya na kuna kila aina ya vigezo hapo mbona Oman hawafuati saudia wazo zuri ni kukaa na wenzenu mkapeana kila kitu kwa mujibu wa aya na khadithi maana nyote mnatumia aya hizo hizo lakini tafauti kwa ufahamu wa kila mmoja wenu ndio mnatuzonga hatujizongi
@msafirithabiti272422 күн бұрын
Bado Oman wanamakundi yao na siasa zao. Sheikh ameeleweka Maa shaa Allah
@abdab846621 күн бұрын
Hapo mseleme unalizimisha
@suleimanhemed954317 күн бұрын
Duuh kwa hakika ibilisi ana nguvu
@tumainizaidu709523 күн бұрын
ikiw sheikh anatuaminsha kuw kutokuw na tareikh moja ni watu kushika misimamo ya makundi na mamb ya kisiasa .je wema waliotangulia ambao ndo walioeleza kuw kila mji na mwanamo wao km vile al imam tirmidh .je nayeye kaendekez makundi na siasa ?
@user-gv4xn6ro9y22 күн бұрын
Yawezekana kua tare moja na yawezekana kua tafauti na ndio inavyo kua sababu mwezi wabadilika kama ulivyo sema waanza mwembamba ukawa mzima