SHEIKH MSELEM SUALA LA ARAFA SISI LINATUZONGA SANA HEBU TUFAFANULIE KWA UFAHAMU WAKO

  Рет қаралды 44,755

J TV ZNZ

J TV ZNZ

25 күн бұрын

#jtvznz#

Пікірлер: 424
@khalifa_kuchi
@khalifa_kuchi 20 күн бұрын
Leo wallah sheikh mselem umeufungua ulimwengu na allah akulipe kheri, umefikisha na mungu anakuona ila kazi ya kuongoa ni ya allah, huu ni ukumbusho kw mwenye akil timamu ila kw machizi subirin ashuke malaika ndio mukumbushwe kw adhabu ya mungu
@salumtakao9828
@salumtakao9828 23 күн бұрын
Shekh mselemu Leo nmezidi kukuelewa. Hili swala lkuw na tarekh moj linwezekn sema watu ndo watetea umakund na hii arafa ni moja tu mashallah.
@mafiatv5479
@mafiatv5479 20 күн бұрын
arafa siku kitendo ausehemu?
@twahambowe440
@twahambowe440 19 күн бұрын
Arafa ni siku, arafa ni kitendo, na arafa ni eneo au sehemu
@makerebul3650
@makerebul3650 23 күн бұрын
Asante sana shekh msellem, unaeleweka sana Allah akuzidishie Ufasaha wako, na akulinde na wabaya Amiin
@SHOMARYHIMIRY
@SHOMARYHIMIRY 22 күн бұрын
Aamin aamin aamin
@RashidmohdRashid-zi2tr
@RashidmohdRashid-zi2tr 22 күн бұрын
Hongera shekhe nimekuelewa sna tu mie mashaallah kwa mawaidha mungu akuzidishiye Inshaaallah..
@user-xb1pf2vj5l
@user-xb1pf2vj5l 23 күн бұрын
Akili kubwa sana hii..shekhe umeeleweka vilivyo
@zedcomobilephones
@zedcomobilephones 20 күн бұрын
Kiukweli Mimi sijamuelewa turudi pale pale katika hio dollar walipeana vipi taarifa wa muandamo wa mwezi? Na kama ikiwa zaman walikua wakitofautiana katika miandamo inamaaana technology ndio imebadilisha Sheria za dini?
@mohamedally6428
@mohamedally6428 21 күн бұрын
Allah akufanyie wepesi ktk Dunia yako na akhera yako sheikh mselem nimekufahamu vizur sana alhamdulilah Allah akulipe kheri aamin
@faisaloaljabry6400
@faisaloaljabry6400 23 күн бұрын
Asiye taka kuelewa hataki tu Sheikh Kuwaelekeza watu wasiyo taka kuelewa haisaidii bora tuwaombee Allah awaongoze In Shaa Allah
@user-ec7wu9bk8w
@user-ec7wu9bk8w 23 күн бұрын
Umesema kweli @faisal
@FeisalDoctor-wr8ws
@FeisalDoctor-wr8ws 23 күн бұрын
Watak bakora tu wengin at izo dua haziwapati
@mafiatv5479
@mafiatv5479 20 күн бұрын
ndg msiwalazimishe watu, acheni usenge wajina nyie, kila mtu anamaono yake
@MussaaliMohamed
@MussaaliMohamed 19 күн бұрын
Shekh Mselm bin Ally Allah kuzidishie ilmu y ahera akupe kitabu chako kw mkono wakuli
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 23 күн бұрын
Nimependa hapa ulivosema "KWA MTAZAMO WANGU MIMI" Jazakkallahul-kheir
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 23 күн бұрын
Unakuta mnaopinnga hata kuswali huuswali kazi. Kusubili eid tuu
@AbuwJuhaymah
@AbuwJuhaymah 23 күн бұрын
Unabichwa gumu wewe kaah
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 23 күн бұрын
Ni mtazamo wake lkn ni WA kielimu sio ubishi wa maskani!
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 23 күн бұрын
Allah ni Mjuzi Zaidi....
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 23 күн бұрын
@@AliSalim-yu4mo kwani lazima umuelewe ww bhana walomuelewa inatosha so hata mtume alipingwa japo Jambo alilokuja nalo walikuwa Ni hakki lakini walimpinga ndo kawaida ya wanadamu unazani tutaongoka wote itakuwa ibilis haina maana ya kuwepo basi ili maandiko yatimie lazima wengine wapinge hakki uliona wapi wote mtaamini
@NefeslZoOl
@NefeslZoOl 19 күн бұрын
Khekma hupatikana kwawenye ukubwa wa Elimu kama Shekhe Ally Allah awapee nuru na wengine Inshaallah
@wizlamability
@wizlamability 21 күн бұрын
Maasha Allah akujaalie mwisho mwema shk MSELEM BIN ALLY
@user-gj7uh5fl7s
@user-gj7uh5fl7s 20 күн бұрын
Ww ndo faraja yang ktk ufahamu wako unavyofafanua jambo mashallah
@hassanyusuph9446
@hassanyusuph9446 23 күн бұрын
Tunao fanya kama shekhe alivyo eleza ni sawa na tunao fanya kwa namna nyengine pia n sawa kwa mtazamo wangu sababu kubwa ya wote kua sawa n kwamba wote tunatafuta fadhila za mwenyezimungu na radhwi zake
@sadammjili9101
@sadammjili9101 22 күн бұрын
Hukuna ibada pasipo stahiki kwan kufunga siku ya eid ni dhambi
@abdallahyusuf7641
@abdallahyusuf7641 22 күн бұрын
Mashaallah swadakta mimi nimekuelewa zaidi . Nashukuru kwa kunielewesha ALLAHakuzidishie maisha malefu yenye afya inshallah
@badimruma6695
@badimruma6695 21 күн бұрын
Asalamu Alaykum Shekhe, naomba kuuliza kwa lengo la kujifunza, hivi ikitokea nimeuona mwezi leo, lakini Saudia wasiuone leo, wauone kesho, inatakiwa mimi nisiukubali mwezi niliouona Tanzania? La pili, katika umri wangu sijapata kusikia Saudia wametangaza kuwa mwezi umeandama Tanzania hivyo tarehe ya Ki Islamu imeanza, hivi mwezi hauwezi kuandamia Tanzania? Mwisho, ni nani mwenye mamlaka ga kutangaza mwezi pale Saudia? Maana kuna mtu nilisikia akisema ni Serikali, lina ukweli? Shukrani Shekhe kwa mafundisho.
@mdauwetu
@mdauwetu 19 күн бұрын
Shekh anasema suala la mwezi mmoja. Kiufupi huo mwezi uonekane Saudia basi. Maana wao mwez ukitangulia kwengine wanaukataa
@HassanSalum-qs2qp
@HassanSalum-qs2qp 23 күн бұрын
Mashaallah umeeleweka alhamdulillah sheykh mselem ali ..swadakta
@KauthariKhamisi-yn2vc
@KauthariKhamisi-yn2vc 19 күн бұрын
ماشاءاللہ جزاك اللهُ‎
@KauthariKhamisi-yn2vc
@KauthariKhamisi-yn2vc 19 күн бұрын
allah akupe umri wenye mnufaa na mwisho mwema
@EdiDula
@EdiDula 20 күн бұрын
Wenzake baada ya kutoka segerea, wameamua kuwaridhisha wakubwa kwa kutoa fatwa zakuwaridhirisha viongozi wakiwa machoni mwao, Allah akuhifadhi sheikh Msellem, nakuelewa sana kwa ufafanuzi wa hoja za wazi
@mubarakmohammed7311
@mubarakmohammed7311 19 күн бұрын
Je Mtume SAW, aliacha muongozo gani?
@omarissamashaallahpresiden2920
@omarissamashaallahpresiden2920 14 күн бұрын
Edi ww mtoto Bado hakuna elimu ya mtu mmoja masheikh kila mmoja na anavyofahamu yy ameona kufuata saudia ndio elimu yake ilivomwambia na hao unaosema wametoka gerezani ndio elimu Yao ilivomwambia nyie mliobaki bendera hufata upepo kasome kwanza ndio utukane (
@Bombwejr18
@Bombwejr18 23 күн бұрын
Allah amuhifadhi sheikh mselem 🤲🙏
@nassortrans12
@nassortrans12 23 күн бұрын
ماشاء الله بارك الله فيك وجزاك الله خيرا كثيرا
@ConfusedDahliaFlower-mb7mu
@ConfusedDahliaFlower-mb7mu 20 күн бұрын
Allah akupe mwisho mwema nasie tunae kufatilia
@asamandhiry8648
@asamandhiry8648 20 күн бұрын
Sheikh Msellem umeongea na kufahamika ulichokiongea. Ila umeelezea juu ya tarehe moja ni sawa hapo hapo ulitakiwa kuongea tofauti za nyakati. Huku jua lina piga umesema ni saa sita mchana huku upande wa pili giza totoro usiku wa saa ngapi ikiwa watu wamesimama Arafa mchana upande wa pili usiku, inayumkinikaje waliopo katika jiza la usiku wakafunga sunna ya Arafa?! hawawezi kufunga abadan! Tunatakiwa tufuate nyakati na nyakati zinatazamwa kwa mwezi, kiislamu. Nahisi ulikuwa ueleze tofauti za nyakati pia. Wabillahi taufiq
@abouMuslin97
@abouMuslin97 23 күн бұрын
Alhmdulillah jazakaAllah kheir mashaAllah TabarakaAllah hoja imeeleweka na maelezo yamefahamika
@SAIDMOTE
@SAIDMOTE 23 күн бұрын
Allah akuhifadhi sheikh mselem nimekuelewa vizuri sana, shukran
@user-uo4kp4wg9m
@user-uo4kp4wg9m 21 күн бұрын
Mashaallah allah akuhifadhi sheikh yaan umeogea point ya msingi kabisa na muhimu sana kuzingatia hili
@khamishassan68
@khamishassan68 21 күн бұрын
Sheikh wangu doo hilijiwe mashallah. Hapa lazima dozi ingie kama akili inafanya kazi.
@msafirithabiti2724
@msafirithabiti2724 22 күн бұрын
Maa Shaa Allah! Jazak Allah Kheyr.
@esir6667
@esir6667 22 күн бұрын
Kiongoz mmoja yupo ni qur an na sunna na hilo ndo tulioachiwa sio saudi arabia
@mustafahakim-iq7dj
@mustafahakim-iq7dj 20 күн бұрын
Ufahamu wako mdogo
@esir6667
@esir6667 20 күн бұрын
@@mustafahakim-iq7dj nifahamishe
@HajiKipingu
@HajiKipingu 17 күн бұрын
Baaraka llahu fiika,umenyooka sana wao waendelee kupotosha watu malipo yapp
@mubajoti743
@mubajoti743 20 күн бұрын
Dah hakiamung nikimskilz sheh mselem namuele nikimskilz sheh farid namuelew yn naumia kichw man wot wana point dah sjui nifate wapi 😢😢😢
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 23 күн бұрын
Sghekhe umeeleweka. Vzr sana sema watu leo hawataki hakki wanasukumwa na mihemko ya makundi ila ukitaka haki ulichongea ni sahihi kabisa 😢
@abdulabdulathumani5992
@abdulabdulathumani5992 23 күн бұрын
Sio miemko sheikh kaongea vizur saa kalend ya kizungu hii ikifika mda huna aja yakumuangalia mtu time imechange lakin swala la mundamo wengine wanaweza fika saa8 usiku awakuswali taraweh awakuwa nania awakujiandaa na ibada sa 11 alfajir ndo wanapata taarifa au 12 hawa funga yao ramadhan itakuwaje
@user-ui4oh8gf8n
@user-ui4oh8gf8n 23 күн бұрын
MashaaAllah Allah akuhifadhi shehe wetu.
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 23 күн бұрын
Swadakta Sheikh umejitahidi .safi na vizuri.
@user-tm2zk5gn4e
@user-tm2zk5gn4e 16 күн бұрын
Asante sana sheikh mselem
@SelemaneArabeArabe-wd8fb
@SelemaneArabeArabe-wd8fb 23 күн бұрын
Chehk Allah akulipe Kwa ufafanuzi nzuri sana
@kisanganyakiswanta1379
@kisanganyakiswanta1379 22 күн бұрын
Sasa nimekuelewa vizur sana shekhe hata mtu asie na elim akikosa kukuelewa basi huyo ana siasa zake shukran sana shekhe
@w4058
@w4058 23 күн бұрын
Hassan Yusuf uko sawa kwani Mtume SAW kwa mujibu wa khadithi za hao hao Masheikh wanasema aula ni kufuata muandamo wa unapoishi kwa hivyo tutafanya kwa mujibu wa maneno ya Mtume SAW nyie fuateni mnavyoona sawa na sie tutafuata tunavyoona sawa Allah atutaqabalie saumu zetu
@mkude
@mkude 23 күн бұрын
Maashaallah ALLA H akuhifadhi sheikh umeeleweka vizuri
@mikealeck6447
@mikealeck6447 18 күн бұрын
Genius, Maasha Allah
@tobosha3236
@tobosha3236 23 күн бұрын
Allah akuhifadhi Sheikh Mselem
@HusseinAmaniOmarAlhamdy
@HusseinAmaniOmarAlhamdy 22 күн бұрын
Takbeer!! Allahu Akbar
@NasmaThabith
@NasmaThabith 22 күн бұрын
Maashallah shaykh❤❤
@RashidmohdRashid-zi2tr
@RashidmohdRashid-zi2tr 22 күн бұрын
Mambo
@hadijamushi8674
@hadijamushi8674 23 күн бұрын
Barakallahu fikhy sheikh wetu
@MohamedKilindumbo
@MohamedKilindumbo 19 күн бұрын
Masha llah Allah akubaari
@MasudiNia-td7ie
@MasudiNia-td7ie 22 күн бұрын
Mi nauliza kushikwa kwa mwezi je ukishikwa saudia na sisi huku pia tutekeleze ibada ya kupatwa kwa mwezi?
@OmarAlly-iz8ot
@OmarAlly-iz8ot 23 күн бұрын
Watu wenye upana wa maarifa na akili kubwa kama hii Wallaahi walistahiki zaidi watunzwe na waheshimiwe sana kwenye nchi zao. Lakini ajabu ya maajabu viongozi wa dunia yaleo, yule anaestahiki matunzo ndie anae dhalilishwa, na wasiostahiki matunzo ndio wanao tunzwa na kupewa shavu!!! Mnajua sbb ninini? Anaejua aniambie
@salimrajabu4688
@salimrajabu4688 23 күн бұрын
Allah akuhifadhi sheikh mselem Aly
@MgazaMhina
@MgazaMhina 23 күн бұрын
Nimekuelewa sana Shekhe wangu
@KomboFaki-xq4pw
@KomboFaki-xq4pw 21 күн бұрын
Eee sheikhe wangu wee amakweli hii imeenda nasikitika sina chakukupa ila Allah atakulipa kheir ishaalah
@user-di1lg1pm2l
@user-di1lg1pm2l 21 күн бұрын
shukran kwa elmu mashallah
@abdulabdulathumani5992
@abdulabdulathumani5992 23 күн бұрын
Sheikh umeongea vzuri tunakupenda sana lakin swala la mwezi ni tofaut na tareh .tareh ikifika saangp tunajua sikuimechange mwezi umechange swala kuandam wanaweza pita watu saa 12 awajauona wamefika saa 8 usiku wengi wamelal hawakuw nania ya kufunga awaja swali taraweh saa 12 asubuh au saa 11 alfajir ndo wanapata taarifa watafunga vip awa
@abdab8466
@abdab8466 21 күн бұрын
Hamo mselem umeuguza,ikiwa east afrika unasema siku ni sawa,je australia,na japan,na morrocc,
@HamadaZubeirTahir
@HamadaZubeirTahir 21 күн бұрын
Kalenda wanayo Sheikh Mselem. Maana kama tutaiangalia Hijja ya mwaka 2025 tutaiona na tayari mpaka tarehe ya siku ya Arafa ishaandikwa.
@husnamohamed9448
@husnamohamed9448 20 күн бұрын
Kijaaliwa inshaAllah itakuwa alhamis tarehe tano mwezi wa sita
@HassanOmar-qr1ni
@HassanOmar-qr1ni 23 күн бұрын
Maa shaa allah sheikh
@salumhassanallymkurdistan7006
@salumhassanallymkurdistan7006 18 күн бұрын
HAPO NIMEKUFAHAMU JAPO WEWE HUJAFAHAMU SHEKH MSELEM TUNATAKIWA TUFUNGE KWA KUONA MWEZI NA TUFUNGUWE KWA KUONA MWEZI RAMBDACATOKE HALIFA LAKINI KI UHALISIA KILA NCHI NA KUONA KWAKE MWEZI
@user-ix3pl1ey6n
@user-ix3pl1ey6n 21 күн бұрын
Nashukuru nimekuelewa
@hamisikanengene8285
@hamisikanengene8285 22 күн бұрын
Asante shehe
@husseinshamte7129
@husseinshamte7129 23 күн бұрын
Tarekhe ya kiislamu (kufwta mwezi mwandamo) huwa zinafungamana na Ibada Ama hilo calendar la kidunia Wala halina mafungamano na Ibada Kama Tarekhe ni Moja ,,, kwanini ابن عباس aligoma kufungua alipoambiwa mwezi umeandama kwenye hadithi ya كريب na mwisho akasema هكذا علمنا رسول الله صلى الله عليه وسلم Hivi Ibn Abbas yeye alikua hajui kama Tarekhe ni Moja?
@abdukherykhamis73
@abdukherykhamis73 22 күн бұрын
Mie naongezea Ile tafsiri aliyo itoaa,ni swali kwa mwezi muandamo au miez miandamo kwa mujibu wa aya?
@musarashid-xw1qm
@musarashid-xw1qm 22 күн бұрын
Allh akuhifadh mselim
@saidmohamed6802
@saidmohamed6802 10 күн бұрын
mashaalaah
@user-tm2zk5gn4e
@user-tm2zk5gn4e 16 күн бұрын
Umejibu vizuri
@ramadhanirajabu8774
@ramadhanirajabu8774 21 күн бұрын
Ahsante mwalimu
@majondejohali5259
@majondejohali5259 23 күн бұрын
Kaongea kiswahili vzr
@HileHile-ns9xv
@HileHile-ns9xv 22 күн бұрын
Swadakta nkwel kabsa Allah atuongoze
@mwalimumzimba
@mwalimumzimba 20 күн бұрын
mashaalla jazakk llahu kheir
@RashidSeif-vd7up
@RashidSeif-vd7up 23 күн бұрын
Allah akulipe🎉
@hamiskilima5428
@hamiskilima5428 23 күн бұрын
Sheikh shukran kwa ufafanuzi lakini ume niacha na swali kichwani kwangu. Umetoa mfano wa jua na mwezi kwamba jua linachomoza likiwa zima na huzama likiwa zima lakini mwezi hubadilika ili kiwe kipimo cha wakati(siku). Sasa kama mwezi ni kipimo cha siku kwanini tusitumie kuhesabu siku za mwezi mzima? na badala yake kwanini tutangaziwe na watu kutoka sehemu zingine? Je tukifuata mwandamo ambao ndo kipimo je siku zinazidi au zina pungua? Assalaam alaykum
@warshysaid8564
@warshysaid8564 23 күн бұрын
Ńduģu yangu mwezi hubadilika shepu yake kutoko kuonekana nusu hadi kuwa mzima hatafu unarudi kuwa nusu sio kubadilika kwa kuzidi siku au kupunguwa mwezi una siku 29 na 30 tu
@warshysaid8564
@warshysaid8564 23 күн бұрын
Na swalii lakoo kwann tusittummiie mwezi 7bu tunaaonnggozwwaa naa maakaafiriii 9:23
@waziribakari6426
@waziribakari6426 22 күн бұрын
Tuwaache hawa matumaini yao ni kiama kitakuwa tofauti kitaanza Saudia na wao watakuwa na tarehe yao kama wavyo aminishana kwa kila watu na mwezi wao inshaallah watapata taarifa ili wajiandae siku yao ikifika nao watakuwa na siku yao ya kiyama Si ndio wanavyotaka na wafuate watakavyo
@yussufomar3796
@yussufomar3796 22 күн бұрын
Shukran sana Akhy umenisaidia kufikiri na kutafakari maelezo yake yupo sawa Sheikh Mselem kwa msimamo wake. Lkn je saudia ndiyo sehemu pekee mwezi unako andama sawa sawa??!!! Sheikh ananipa maswali mengi kichwani. Ninampenda kwa ajili ya Allah mzungumzaji mzuri sana ila hapa ananipa shida sana.
@RamadhaniShabani-nc5ve
@RamadhaniShabani-nc5ve 21 күн бұрын
Masha Allah
@HijaSaid-xd7fg
@HijaSaid-xd7fg 23 күн бұрын
Allah aendelee, kukupa umri, maana hao mamluki wanapotez kundi kubwa sana, na Allah ajua mafikio yao
@abdallahhalifa5860
@abdallahhalifa5860 21 күн бұрын
Ssa sheikh msellem hapo ndipo ulipotuchanganya kutuambia watu wazamani ilivyokua mitandao haijaingia watu walikua wakifunga kwa muandamo sasa wataka sema Dini imekamilika ssa siku za nyuma ilikua badoo Sheikh hapo hujasema bado
@abdallabundala404
@abdallabundala404 23 күн бұрын
Mashallah
@user-et1ow9ic4u
@user-et1ow9ic4u 23 күн бұрын
Shekhe nimekuelewa sana
@mattarrashid7625
@mattarrashid7625 23 күн бұрын
Kwani hii funga ya arafa nilazima watu wasimame kule au ni tarehe yaani inategemea watu kusimama kiwanja cha arafa au
@mussammanga7791
@mussammanga7791 23 күн бұрын
Unauliza funga au unaliza Arafa?
@aliabdalla9297
@aliabdalla9297 23 күн бұрын
​@@mussammanga7791umefahamu alichouliza vizuri usimzonge
@aljalilatiba9873
@aljalilatiba9873 23 күн бұрын
TUWENI NA AKILI KIDOGO ZAMANI KWELI ILIKUWA WATU WANAFATA KUFUNGA MWEZI 9 ILA NI.KIPINDI CHA NABII IBRAHIM ILA KIPINDI CHA MTUME MUHAMMAD SWALALLAH ALAIHI WASALAM ILIPOFARADHISHWA HAJJI KUWA LAZIMA KWA MWENYE UWEZO MTUME MUHAMMAD AKAIFUNGAMANISHA HIJJA NA ARAFA KWA USHADI WA HADITHI HII atayo: عن عبد الرحمن بن يعمر قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: ((الْحَجُّ عَرَفَة، مَنْ جَاءَ قَبْلَ طُلُوعِ الْفَجْرِ مِنْ لَيْلَةِ جَمْعٍ فَقَدْ أَدْرَكَ الْحَجّ)) صحيح الجامع ‘Abdur-Rahmaan bin Ya’mur (Radhwiya Allaahu 'anhu) amehadithia kwamba: Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Al-Hajj ni ‘Arafah, atakayekuja kabla kutoka Alfajiri usiku wa kujumuika atakuwa ameipata Hajj)) [Swahiyh Al-Jaami’]. KISHA AKASEMA FUNGA YA SWAUMU YA ARAFA SIO MWEZI 9 TUWE NA AKILI KIDOGO SOMA HADITHI HII INASEMA FUNGA YA SWAUMU YA ARAFA SIO FUNGA YA SWAUMU YA MWEZI 9 عَنْ أَبِي قَتَادَةَ رضي الله عنه أن النَّبِيَّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ قَالَ : ((صِيَامُ يَوْمِ عَرَفَةَ أَحْتَسِبُ عَلَى اللَّهِ أَنْ يُكَفِّرَ السَّنَةَ الَّتِي قَبْلَهُ وَالسَّنَةَ الَّتِي بَعْدَهُ )) أخرجه مسلم Abuu Qataadah (Radhwiya Allaahu 'anhu) amehadithia kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ((Swawm ya 'Arafah nataraji (kwa Allaah) kufuta madhambi ya mwaka uliopita na wa baada yake)) [Muslim] PIA KATIKA DINI HAKUNA KULAZIMISHANA HALALI IPO WAZI HARAMU IPO WAZI. KILA ASHIKE LILE ANALOONA NI SAHIHI
@user-ox4fv4cf5l
@user-ox4fv4cf5l 23 күн бұрын
Funga ya Arafa inaendana na kisimamo cha Arafa kwa sisi ambao hatukufanikiwa kwenda hijja
@mussammanga7791
@mussammanga7791 23 күн бұрын
Na sio Fardhi ni sunna. Maana ukifunga utapata thawabu na kama hukufunga hutopata thawabu wala dhambi. Kwa ufupi hutopata malipo yoyote ukiwa hukufunga.
@mwadinbakar9553
@mwadinbakar9553 21 күн бұрын
Mbona Enzi hizoo za wale MAGWIJI wa Elimu ya kiislamu (akina SUMEIT) hayakuwepo haya 'mazonge'? Kama sio Kanisa basi Marekani yupo katikati ya hili VURUGU
@HamadaZubeirTahir
@HamadaZubeirTahir 21 күн бұрын
Kwaiyo Sheikh Mselem ile Hadithi ya Abdallah Bin Abbaas na Quraib wewe huitaki ama unaikataa si ndivyo?
@fedrickchristopher8956
@fedrickchristopher8956 21 күн бұрын
Mashaallah
@nassorsuleiman451
@nassorsuleiman451 22 күн бұрын
Halaf kafikiria mtume kwamba akisema leo tarehe flan makka lkn hakujua pia km atasema mji mwengine leo ni tarehe flan
@challengepcn7982
@challengepcn7982 20 күн бұрын
What about the people living in Australia and America
@nassorsuleiman451
@nassorsuleiman451 22 күн бұрын
Mm naon sheikh kazungumza zaid kwa UFAHAM WAKE no hadith na aya iliyotumika ni kwa utambuzi wa nyakat zaid
@abuuahmed5697
@abuuahmed5697 21 күн бұрын
Kama hujaelewa na unataka hadithi nitafute Mimi nitakusaidia inshallah
@ShaibuMohammed-tj8il
@ShaibuMohammed-tj8il 20 күн бұрын
Mtume aliweza kuwaambia LAKUM DIINUKUM WALIYA DIIN , Lakin binadamu wa leo kwenye pesa yupo tayar kupotesa dini kw ajili ya dunia
@JUMAKANYEBWE-hy7ge
@JUMAKANYEBWE-hy7ge 22 күн бұрын
Hii ndo kweli hakuna tarehe moja mbili kwa mwezi wakiona wenzenu fateni mwezi hautoshi kuenea dunia nzima kwa wakati mmoja
@NassorHamad-dj6sv
@NassorHamad-dj6sv 20 күн бұрын
Mi nimependa apo kwenye lailatul kadir kila Mmoja apelekewe yake kwenye kisahani Kwa siku yake
@IbrahJumbe
@IbrahJumbe 23 күн бұрын
Shekh hapo nataka kukuuliza kitu kiislam siku inaisha saa kumi na mbili za jioni je kama sehemu moja tayari muda huo ushafika na hawa wengine bado je yupi atakuwa mbele na siku na tarehe au wote wapo sawa na kama wapo sawa inawezekanaje na hawa washamaliza siku na hawa wengine ndo wanaenda kuimaliza siku
@msafirithabiti2724
@msafirithabiti2724 22 күн бұрын
Siku inaanzia mashariki. Hivyo sisi tuko mashariki ndio wa mwanzo then wanafuata wengine
@msafirithabiti2724
@msafirithabiti2724 22 күн бұрын
Fuatilia hata mpira, wakicheza saa kumi hapa Tanzania basi nchi nyingi zinakuwa ni saa nyuma ya saa kumi kama saa saba na kadhalika.
@lailafakhihaji
@lailafakhihaji 23 күн бұрын
Sheikh upo sawa kabisa kwa kweli tanzania na Kenya ndio wapingaji wakubwa lakini wenzetu wa west wanaungana na dunia sikukuu ni siku moja yaani ni Tanzania na kenya ndio kuna hii sintofaham Allaaa ndo ajuae zaidi
@mohagurey2214
@mohagurey2214 23 күн бұрын
Sababu ya masufi
@AbdillahAlly-fl4vh
@AbdillahAlly-fl4vh 22 күн бұрын
​@@mohagurey2214unawazimu wewe,masufi wamefanyaje
@mohagurey2214
@mohagurey2214 22 күн бұрын
@@AbdillahAlly-fl4vh wametutengenezea arafa yetu
@ahmedaltiwany
@ahmedaltiwany 19 күн бұрын
Suali lipo hapa, je ikiwa kuna nchi ipo mbele kwa masaa imetizama mwezi siku ya 29 haikuoona watahesabu 30, na kuna nchi nyengine ipo nyuma kimasaa ilipofika magharibi wakatizama mwezi wakauona sasa kwao ni tarehe 1, je wale wa mwanzo wabadilishe records zote walizoeka ili tu kufanana na hawa??
@IssaChikoka
@IssaChikoka 23 күн бұрын
Shekhe ninakuelewa cn ishaalla zidi kutuelimishs
@user-kc4fv6cf8l
@user-kc4fv6cf8l 22 күн бұрын
Hebu jamani niambieni . Mtume SAW alikuwa akifunga kabla ya kufaradhiwa hija . Na hata bada ya kufaradhiwa hija haikuthibitika kuwa slikuwa akifunga kwa kuzingatia muandamo wa maka JAMINI ACHENI BIDAA ZA KISALAFI
@sheikh_abdulkarim
@sheikh_abdulkarim 22 күн бұрын
Toa hoja za upande wako lakin sio kuona upande mwingine hawajui maana mwenyewe hapo..... sijaelewa kabisa
@mrafm7285
@mrafm7285 23 күн бұрын
Huo mfano nilishawaambia watu lkn Kuna watu mibishi duniani lkn Iko siku wataelewa Inshaallah
@KambiRamadhan-pm1sy
@KambiRamadhan-pm1sy 21 күн бұрын
Naomba namba yako
@nassorsuleiman451
@nassorsuleiman451 22 күн бұрын
Allah aalam
@mudhakirkheir
@mudhakirkheir 23 күн бұрын
Kama hujafaham subir arafa yetu zanzbr itakua kisongee
@HemedSerious
@HemedSerious 23 күн бұрын
Mzee acha kejeli kama ni muislam lkn , kma sio muislam samahani
@Sheba4651
@Sheba4651 23 күн бұрын
😂😂😂 Ati kisonge
@warshysaid8564
@warshysaid8564 23 күн бұрын
​@@HemedSerioussio kejeli ni ukwel
@yussufomar3796
@yussufomar3796 22 күн бұрын
Sheikh unakejeli​@@warshysaid8564
@SalumJuma-iz2gj
@SalumJuma-iz2gj 23 күн бұрын
Daa shukraan kuanzia leo nafunga popote utakapo onekana mwez
@abdulabdulathumani5992
@abdulabdulathumani5992 23 күн бұрын
Me naleta challange mwezi wakizungu tareh uangalii kwa mwenzio ikifika ngap siku au mwezumechange sasa lakin sis adi uandame tufanye hao walokuwa saa8 usiku awakuuona ukiandam kwamaan taraweh awataswali nia ya kufunga swaum awatakuwa nao watapat taarifa pengine sa8 ucku 9 au 10 au 11 au 12 awa ibada awakujiandaa nayo na at least iwe alotangulia zaid awepo saa 8 itakuaj taarif ikitok wengin kwao ishakuw asubuh
@tariqsaad-hj9zn
@tariqsaad-hj9zn 20 күн бұрын
Tareh ya kiisilamu saangapi inaanza nakufunga kunakupasa mchana au ucku?
@mwalimumzimba
@mwalimumzimba 20 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@w4058
@w4058 23 күн бұрын
Kila Sheikh anafahamisha kwa ufahamu wake na elimu yake hivyo kila kuna khadithi na technology haijaja kubadilisha fiqhi shariya na kuna kila aina ya vigezo hapo mbona Oman hawafuati saudia wazo zuri ni kukaa na wenzenu mkapeana kila kitu kwa mujibu wa aya na khadithi maana nyote mnatumia aya hizo hizo lakini tafauti kwa ufahamu wa kila mmoja wenu ndio mnatuzonga hatujizongi
@msafirithabiti2724
@msafirithabiti2724 22 күн бұрын
Bado Oman wanamakundi yao na siasa zao. Sheikh ameeleweka Maa shaa Allah
@abdab8466
@abdab8466 21 күн бұрын
Hapo mseleme unalizimisha
@suleimanhemed9543
@suleimanhemed9543 17 күн бұрын
Duuh kwa hakika ibilisi ana nguvu
@tumainizaidu7095
@tumainizaidu7095 23 күн бұрын
ikiw sheikh anatuaminsha kuw kutokuw na tareikh moja ni watu kushika misimamo ya makundi na mamb ya kisiasa .je wema waliotangulia ambao ndo walioeleza kuw kila mji na mwanamo wao km vile al imam tirmidh .je nayeye kaendekez makundi na siasa ?
@user-gv4xn6ro9y
@user-gv4xn6ro9y 22 күн бұрын
Yawezekana kua tare moja na yawezekana kua tafauti na ndio inavyo kua sababu mwezi wabadilika kama ulivyo sema waanza mwembamba ukawa mzima
@abdallasalim4104
@abdallasalim4104 20 күн бұрын
Hiyo mantiki sheikh imemempiga chenga sana
FURAHA YA SHEKH SHAHRAN KWA SHEKH MSELEM
12:59
J TV ZNZ
Рет қаралды 23 М.
FOOLED THE GUARD🤢
00:54
INO
Рет қаралды 64 МЛН
Мы никогда не были так напуганы!
00:15
Аришнев
Рет қаралды 5 МЛН
SHK ABDULQADIR ALIPOULIZWA KUHUSU ARAFA NI MOJA AU KILA NCHI NA ARAFA YAKE
8:24
DR.SULLE FANYA HAYA SIKU YA JUMATATU UTAFANIKIWA SANA KATIKA MAISHA YAKO
17:45
IPI NISIKU SAHIHI YA KUFUNGA JUMAMOS AU JUMAPILI SHEIKH IZUDIN ALWY
17:19
Pesa imejificha katika vitu vinne - Sheikh Walid Alhad
20:37
Kalamutz
Рет қаралды 84 М.
KISA CHA ABUDHARI KUSILIMU KWAKE //SHEIKH MSELEM
34:54
arkas online tv
Рет қаралды 13 М.
SWALA YA EID AL-HAJ_KINYASINI_SHEKH MSELEM BIN ALY
23:05
Bin Nyange Media
Рет қаралды 11 М.
NAMNA ALIVYO ROGWA NABII MUHAMMAD (S.A.W.) SHEIKH MSELEM BIN ALI
1:22:05
Funny cat woke up early 😂👻🥳
0:38
Ben Meryem
Рет қаралды 25 МЛН
Это что за ?
0:27
ЛогикЛаб
Рет қаралды 1,6 МЛН