Sishabiki mziki nabsisemi km baba yake lakin dogo talent ya kuzungumza dogo mashaa Allahh Allah amuhifazi
@salumthomas7-rs8ip3 ай бұрын
Hoger mtto wa mzee yussuf umiris baba
@mahadiMkwandaАй бұрын
Km get
@mahadiMkwandaАй бұрын
DSS
@mahadiMkwandaАй бұрын
💚💖💖👍💋
@martinaseleli23852 жыл бұрын
Una hekima sana kijana,Mungu akupe haja ya moyo wako!
@hijahsaidy15622 жыл бұрын
Amiin yarabi
@ibramsola26822 жыл бұрын
duh! kimtindo wanafanana but labda atafutwe mzee yusuph afafanue kuhusu hili swala
@mwajabukeah7636 Жыл бұрын
Mtegemee mungu
@mbukumagiubukumagu4062 жыл бұрын
Huyu kafanana mzee Yusuf
@SaotmAlohtm2 ай бұрын
Imeniuma sana dogo huyo Mungu amufunguliye jua zuli na mimi pia nimekutana namukasahuo
@fatmaamisi70112 жыл бұрын
Safi dogo
@joycemuhoja4729 Жыл бұрын
Mmefanana sanaa inauma Mimi nimekataliwa na babs najua msumivu yake
@mwanajumanduni3375 Жыл бұрын
Pole sana
@darlenesalum36672 ай бұрын
Poule mwaya
@luqmanhassan4781Ай бұрын
Pole sana 😢
@cattydaniel50162 жыл бұрын
Hakuna haja ya DNA ni mwanae bwana
@mwanajumanduni3375 Жыл бұрын
Kabsaaa hadi sauti kufanana
@user-qu4nu9se4e Жыл бұрын
Mzee yusuph ayupo sawa amecyangantikiwa
@kelvinsauveur6264 Жыл бұрын
Mama njo anajuwa baba mutoto
@Official83640 Жыл бұрын
Huyu dogo kweli nimeamini maneno aliyoongea Mzee yaani alivyoongea nyuma na alivyoongea ya mwezi huu Wasafi dhahiri kabisa wamepanga kumchafua Mzee na Dida ndy aliyeyapanga kweli loh kweli kucheka na watu wanafki ni mbaya sana
@farhannahkulishwaburekunam5360 Жыл бұрын
Sura tupu s8ku zote mtoto wa nje hakwepeki sura mpaka kuzungumza wamefanana sana atunge Wimborne ( nimekataliwa) na mzazi
@paschalsafari9747 Жыл бұрын
🤣🤣
@rajabuhondo49732 жыл бұрын
Daa kaza kijana utaa tusuwa Tena uta wakanyaga kaza sanaaaaaaa
@nivancewali81922 жыл бұрын
Copy yake jamani tena mtoto ana talent huyo mashallah tusikatae watoto watatufaa uzeeni
@leahmgunda4154 Жыл бұрын
Watawafaeni uzeeni bila kuwatunza? ?aibu.
@atomicexposior6012 Жыл бұрын
Wanawake wabayaa sana mzee usufu kafanyiwa ubaya sana na mama yake uyo dogo ndiyo mana adi Leo ana machungu sana
@Official83640 Жыл бұрын
Mwenyewe Mzee anakataa hamjui huyo mwanamke sasa ubaya kamfanyia vp?
@user-qu4nu9se4e Жыл бұрын
Dogo kama amekukataa achana naeee
@HassaniMpangi3 ай бұрын
Jamaani hata kama hatujui kusoma napicha Kweli!!!
@hassaniibrahim300 Жыл бұрын
Duh
@JoachimMponji2 ай бұрын
Damu nzito kuliko maji mna fanan
@user-pr5mz5cq9t3 ай бұрын
Kuna kusingiziwa lakini si hivyo jamani.wayamalize tu kwanza kijana ameshajitambua
@nurusaid4698 Жыл бұрын
Kwani Mma Yake Kafufuka Au Maana Alisema Mmayake Kafaa Au
@user-qu4nu9se4e Жыл бұрын
Kilichomponza baba diamondi kitakutokeawewe
@nurusaid4698 Жыл бұрын
Aki Na Mtto WA Nje Ya Ndoa Uwa Ako Na Aibu Kweli Maana Uwa Anafanana Na Bbake Kweli
@zuberikamote20782 жыл бұрын
Mtt wke huyu roho inamuuma
@kizasaidl52482 жыл бұрын
Kopi
@mwajabukeah7636 Жыл бұрын
Ukitakakujua nimtoto wake angalia nyusi utajua
@uwizeyimanatakiya Жыл бұрын
D'ami zito
@asilasaidsalim61383 ай бұрын
Dogo dege dege ili muathir akili hana kumbu kumbu mana mama kafa akiwa hajaanza shule mara alikua shule leo mama anasema yupo au kukusudia mama mdogo
@aishaabdullah837 Жыл бұрын
Sasa sasaivi unafafanua kama ww baba yako yupo morogoro 😅😅😅
@ruqiyanasir7141 Жыл бұрын
Wemtoto muongo ulisema mama ako kashafariki leo unasema unaka namama ako sasa tukuwelewe vipi
@omarymkandinde3860 Жыл бұрын
Mmhh ilaaa hii post ni ya mwaka mmoja uliopitia dadaa angaliaa vzr
@aishaabdullah837 Жыл бұрын
Kwaiyo kwa Sasa mama yako kafufu Tena 😄😄😄😄⛹️
@user-qu4nu9se4e Жыл бұрын
Mtoto wako unamkataa uwoni ahi bu unawanawake wangapi acha zalau wewe yusuph
@user-gv1op1oh2c Жыл бұрын
Kiukweli ww ni mtt wa mzee yusufu lakini mbona ulisema wasafi kama mama yako amefariki
@paschalsafari9747 Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@ruwaidamabrouk1797 Жыл бұрын
Sasa hii interview Ina mwaka Ile ya wasafi ni ya week Tatu nyuma😢😢😢
@DeusiMwalyego Жыл бұрын
Huyo ni Baba yake ,copy haijifichi.
@zainabumartin9520 Жыл бұрын
Mbona unasema kafariki
@hijahsaidy15622 жыл бұрын
Wake. Zake wawili ashaoa tena kumbe
@mwajabukeah7636 Жыл бұрын
Ukitakakujua niwako nyusi lazimazifanane
@rajabjuma277 Жыл бұрын
Dogo kanigusa aliposema hafat urisi sawasawa
@zainabumartin9520 Жыл бұрын
Naww mtoto munafiki
@duncankinoti9933 Жыл бұрын
Kule wasafi kijana mama kaaga apa mama yupo .
@AngleAnglewakeshoАй бұрын
Imagine nimeshangaa
@user-qu4nu9se4e Жыл бұрын
Ndiyo mahana umelaniwa na mzaziwako
@aishaabdullah837 Жыл бұрын
Apa unasema mama yupo kule ulisema mama yako kafa
@sikudhanimohammad7692 Жыл бұрын
Hii ni ya mwaka jana
@Official83640 Жыл бұрын
@@sikudhanimohammad7692Muongo huyu mama yake atakuwa yupo maana kule alisema kakulia Mafia kaja huku alivyomaliza shule na mama yake kafa miaka mingi ht picha yake hana huoni hii ni ya mwaka jana na anaishi hapo na mama yake kweli inaingia akilini hapo aah wamepanga kweli wamchafue