shekh mm nmeota nmeingia kisiman lkn nilitolewa na mtu shida mwanangu yy alifika hadi chini y kisima lkn ndoto ilionyesh nalia sna sjui kiliendlea nn nlishtuka ssa sjui mwanangu n vp yarraby😢😢
@beera.g53029 ай бұрын
Asante sn sheikh 🙏, mie nliota naingia kwa shimo kwa shida sn, lkn baadae nikangangana nikatoka nje, kisha nilivontoka nikaanza kuomba, baadae nkataka kuenda kuoga ss nlivokuwa ktk harakati ya kwenda kuoga nikashutuka usingizini nkaamka
@GariseSalim12 күн бұрын
Sheik mimi nimeota navuta maji lakini bahati mbaya nika tumbukia kwenye kisima hicho cha maji. Baada hapo nikaona kitu kama daraja na nikatumia mti mti kutoka kutumia daraja hio.
@Nasrasuleyum-bu3zi2 ай бұрын
Nitafasirie shekhe
@user-in047810 ай бұрын
Shehe Mimi nimeota nakibizwa na wanajeshi baadae nikakimbilia kwenye kisima nikatumbukia baadae akajamtu akaniokoa maana yake nin
@user-bt2it1vw3t2 ай бұрын
Mimi nimeota mwanangu katumbukia kisimani na watu wanamuangalia na kulikua na wezake mle kwenye maji mimi nikakimbia kumtoa ila maji kayanywa nikawa namkamua
@Nasrasuleyum-bu3ziАй бұрын
Asalaam aleykum shekhe mm nimeota nimedumbukia kwenye shimo lina maji nikataka kutoka nikashindwa maporomoko ya udongo yakaanza kuniangukia shekhe nimeogopa sana maanake nini shekhe
@JoelMwalongo-cr1bi2 ай бұрын
Asante, Mimi nimeota namwona mtu nisiemfahamu anaporomokea kwenye kisima kirefuu ,ila palikuwa na umati wa watu wamezunguka kisima hicho maana yake Nini?
@halimakihame1744 Жыл бұрын
Assalam alaykm walhmatu llahi wabarakatu shekhee mm naomba kuuliza mm mwanzo nilikuwa naota ndoto nakumbuka la kini kwa sasa nikiota sikumbuki hii ina maana gani
@user-zq4mf4yj4w3 ай бұрын
Samahani mm nimeota wanangu wameangukia kisiman ote wawili ila nilienda kumuita mka simjui wakati anaingia nangaz nikaamka nilikuwa Malia Sana
@ramlaabdulla4908 Жыл бұрын
Assalam aleikum warahmatullah wabarakathu mm niliota na tubukia dani yaki sima cha maji mengi lkn nikapata usaidizi nika tolewa
@alimzee Жыл бұрын
Swadaktah
@TumainiMwankenja-kb7zs6 ай бұрын
Amen
@ChristinaLumbweАй бұрын
Nimeota mtoto wa mdogo wangu ameangukia kwenye kisima na kisima hicho nicha humhum ndani tunachotaga maji nimeangaika kuita wtu wa kumuokoa wamekuja wakamtoa kumtoa kumbe ni mwanangu na akawa yupo kama kwenye usingizi TU hajafa
@user-zq4mf4yj4w3 ай бұрын
Namaji yalikuwa machafu saana Yan kwausi
@user-ci5tk1kh6h3 ай бұрын
MoSheee asalamu aleiku mim nimeota nimedubukia kwenye shimo nikwamwabia mvulana moja nivute akashidwa nikatoka mwenyewe nikakutana na dungu yangu anakula hafu keki akanipa inamanisha nin
@AbdulAzizSulley2 ай бұрын
Mimi nimeona natumbukia kwenye shimo lakin ckufika chini nkawai kujizuia na mtu akaja kuniokoa hii ipoke mkuu?
@user-tc5co3bd6w6 ай бұрын
Mimi nimeota tumetumbukia kwenye kisima na mwanang na kisima chenyewe sielew ni sehem gan kile kisima kilikua na maji masafi sana pia tulitoka wote
@faridasalm424811 ай бұрын
Aslm alkm, mm leo nimeota natumbukia ndani ya choo, lkn kukatokea mtu akanitoa
@Nasrasuleyum-bu3zi2 ай бұрын
Shekhe nimeota nimedumbukia kwenye shimo la maji nikiwa na mwanangu wakiume akiwa na mwaka mmoja na nusu tulidumbukia wote
@Meriembahati18 күн бұрын
Nimeota mwanangu kaingia kisimani na kisima kulikuwa ndani ya nyumba nzuri sana.kisha nikamutoa mm mwenyewe maana yake nini
@user-cx4rw6gx6s4 ай бұрын
Nimeota mume wangu ametumbukia kisiman tena kisima kirefu maji kina maji yasiyoyaa lakin nikamuokoa kwa kumvuta na kamba nini maama yake
@user-zj6qi6xz8dАй бұрын
Nimeota nadondokea kisimani lakin kabla sijafika chini kugusa maji nkashika Jani kumwa bich linafanana na Mti wa mchikich nikawa nimeshikilia badae ikatokea kitu kama ngaz nikashika nikatoka kwenye kile kisima maana yake nn
@jumambote345 Жыл бұрын
Nimeota mtoto kadumbukia kisimani nikaingia nikamtoa inamaana gani shehy
@sofiamohammed592511 ай бұрын
Sheikh Ass aleikum warahmatullah wabarakatuh mimi nimeota niko kwenye kisima kikubwa kimejaa maji na kimefinikwa juu nikapanda hapo juu naninginia kama nataka niingie nikangangana mpaka nikashuka mara mbili ya tatu nikaninginia hapo nataka kushuka nikashtuka nini maana yake sheikh
@rahmellio9 ай бұрын
Mimi nimeota nimeingia kisimani nikayaona maji madogo na nikatoka
@user-fe1ny4qc7r7 ай бұрын
Mm naota nimeona shimo la nyoka
@user-fo7mf3pw1c8 ай бұрын
Kuota unamulisha mwanao
@user-bt6hk1ch9g Жыл бұрын
Assalam aalaikum warahmatullah wabarakatuh naomba unisaidie namba yako ya WhatsApp
@MakiaRamadhani2 ай бұрын
Nimeota nimedumbukia kwenye kisima kabla sijazama nikaomba mdaada nikaokolewa kisima kilikua hakitumiki nikapewa ngo nikabadilisha mana Ake nn
@norahmatunda8223 Жыл бұрын
Nimeotoa naoga kwenye kisima na maji yanaonja chumvi
@NuruJames-cf7zz2 ай бұрын
She Mimi nime ota mwanangu kadumbukia kisimani majiyarikuwa pakajuu baba yake akamuopowa AANA yake nini
@user-kx1pk3sj9k9 ай бұрын
Ukiota umelala kwenye kisima
@HappyNickson3 ай бұрын
Nimeota mtoto katumbukia kwenye kisima Cha maji
@dorahkasembe18398 ай бұрын
Niunge
@evelyne468611 ай бұрын
mimi nimeota nimetumbukia kisimani, nikawa nawatekea maji waliokuwa ardhini, Nini maana yake?
@aminamasudi6838 Жыл бұрын
Shehe Mimi nimeoya mtoto wangu wa kiume amedumbukia kisimani tena kisima kirefu lakini sikufanikiwa kumuokoa, nini maana yake?
@abuuhusseni7340 Жыл бұрын
she Mimi nimeota mwanangu wa kike kadumbukia kisimani na hicho kisima kimejaa maji lakini nikawahi kumtoa nini maana yake
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
Nami hivyo hivyo
@Maryamsaid-mh5hw9 ай бұрын
Mm nimeota mwanangu katumbukia kwenye kisima kirefu lkn kaokolewa
@emmamakanga36497 ай бұрын
Shekh Mimi nmepta tumetumbukia mimi na mke wangu kwenye korongo refu Pana sio Sana na ndani Lina maji ili tutoke labda tuvutwe kwa kamba
@user-kx5sg2eh8f4 ай бұрын
Ata Mimi nliota mtoto wanga anadumbukia lakn Nika muokoa
@shuuhassans2702Ай бұрын
mm ckuwah kumtoa ndoto ilikata😢😢 cjui n vp ila mm mwenyew nliokilewa haraka