TAFSIRI YA NDOTO KUOTA UNATUMBUKIA KISIMANI | TARAJIA KUFIKWA NA HAYA"SHEIKH ABUU JADAWI.

  Рет қаралды 4,846

ZVP ONLINE TV

ZVP ONLINE TV

Жыл бұрын

#ShkAbuuJadawi #Tafsirizandoto #Zvponlinetv #Mwanza

Пікірлер: 46
@shuuhassans2702
@shuuhassans2702 Ай бұрын
shekh mm nmeota nmeingia kisiman lkn nilitolewa na mtu shida mwanangu yy alifika hadi chini y kisima lkn ndoto ilionyesh nalia sna sjui kiliendlea nn nlishtuka ssa sjui mwanangu n vp yarraby😢😢
@beera.g5302
@beera.g5302 9 ай бұрын
Asante sn sheikh 🙏, mie nliota naingia kwa shimo kwa shida sn, lkn baadae nikangangana nikatoka nje, kisha nilivontoka nikaanza kuomba, baadae nkataka kuenda kuoga ss nlivokuwa ktk harakati ya kwenda kuoga nikashutuka usingizini nkaamka
@GariseSalim
@GariseSalim 12 күн бұрын
Sheik mimi nimeota navuta maji lakini bahati mbaya nika tumbukia kwenye kisima hicho cha maji. Baada hapo nikaona kitu kama daraja na nikatumia mti mti kutoka kutumia daraja hio.
@Nasrasuleyum-bu3zi
@Nasrasuleyum-bu3zi 2 ай бұрын
Nitafasirie shekhe
@user-in0478
@user-in0478 10 ай бұрын
Shehe Mimi nimeota nakibizwa na wanajeshi baadae nikakimbilia kwenye kisima nikatumbukia baadae akajamtu akaniokoa maana yake nin
@user-bt2it1vw3t
@user-bt2it1vw3t 2 ай бұрын
Mimi nimeota mwanangu katumbukia kisimani na watu wanamuangalia na kulikua na wezake mle kwenye maji mimi nikakimbia kumtoa ila maji kayanywa nikawa namkamua
@Nasrasuleyum-bu3zi
@Nasrasuleyum-bu3zi Ай бұрын
Asalaam aleykum shekhe mm nimeota nimedumbukia kwenye shimo lina maji nikataka kutoka nikashindwa maporomoko ya udongo yakaanza kuniangukia shekhe nimeogopa sana maanake nini shekhe
@JoelMwalongo-cr1bi
@JoelMwalongo-cr1bi 2 ай бұрын
Asante, Mimi nimeota namwona mtu nisiemfahamu anaporomokea kwenye kisima kirefuu ,ila palikuwa na umati wa watu wamezunguka kisima hicho maana yake Nini?
@halimakihame1744
@halimakihame1744 Жыл бұрын
Assalam alaykm walhmatu llahi wabarakatu shekhee mm naomba kuuliza mm mwanzo nilikuwa naota ndoto nakumbuka la kini kwa sasa nikiota sikumbuki hii ina maana gani
@user-zq4mf4yj4w
@user-zq4mf4yj4w 3 ай бұрын
Samahani mm nimeota wanangu wameangukia kisiman ote wawili ila nilienda kumuita mka simjui wakati anaingia nangaz nikaamka nilikuwa Malia Sana
@ramlaabdulla4908
@ramlaabdulla4908 Жыл бұрын
Assalam aleikum warahmatullah wabarakathu mm niliota na tubukia dani yaki sima cha maji mengi lkn nikapata usaidizi nika tolewa
@alimzee
@alimzee Жыл бұрын
Swadaktah
@TumainiMwankenja-kb7zs
@TumainiMwankenja-kb7zs 6 ай бұрын
Amen
@ChristinaLumbwe
@ChristinaLumbwe Ай бұрын
Nimeota mtoto wa mdogo wangu ameangukia kwenye kisima na kisima hicho nicha humhum ndani tunachotaga maji nimeangaika kuita wtu wa kumuokoa wamekuja wakamtoa kumtoa kumbe ni mwanangu na akawa yupo kama kwenye usingizi TU hajafa
@user-zq4mf4yj4w
@user-zq4mf4yj4w 3 ай бұрын
Namaji yalikuwa machafu saana Yan kwausi
@user-ci5tk1kh6h
@user-ci5tk1kh6h 3 ай бұрын
MoSheee asalamu aleiku mim nimeota nimedubukia kwenye shimo nikwamwabia mvulana moja nivute akashidwa nikatoka mwenyewe nikakutana na dungu yangu anakula hafu keki akanipa inamanisha nin
@AbdulAzizSulley
@AbdulAzizSulley 2 ай бұрын
Mimi nimeona natumbukia kwenye shimo lakin ckufika chini nkawai kujizuia na mtu akaja kuniokoa hii ipoke mkuu?
@user-tc5co3bd6w
@user-tc5co3bd6w 6 ай бұрын
Mimi nimeota tumetumbukia kwenye kisima na mwanang na kisima chenyewe sielew ni sehem gan kile kisima kilikua na maji masafi sana pia tulitoka wote
@faridasalm4248
@faridasalm4248 11 ай бұрын
Aslm alkm, mm leo nimeota natumbukia ndani ya choo, lkn kukatokea mtu akanitoa
@Nasrasuleyum-bu3zi
@Nasrasuleyum-bu3zi 2 ай бұрын
Shekhe nimeota nimedumbukia kwenye shimo la maji nikiwa na mwanangu wakiume akiwa na mwaka mmoja na nusu tulidumbukia wote
@Meriembahati
@Meriembahati 18 күн бұрын
Nimeota mwanangu kaingia kisimani na kisima kulikuwa ndani ya nyumba nzuri sana.kisha nikamutoa mm mwenyewe maana yake nini
@user-cx4rw6gx6s
@user-cx4rw6gx6s 4 ай бұрын
Nimeota mume wangu ametumbukia kisiman tena kisima kirefu maji kina maji yasiyoyaa lakin nikamuokoa kwa kumvuta na kamba nini maama yake
@user-zj6qi6xz8d
@user-zj6qi6xz8d Ай бұрын
Nimeota nadondokea kisimani lakin kabla sijafika chini kugusa maji nkashika Jani kumwa bich linafanana na Mti wa mchikich nikawa nimeshikilia badae ikatokea kitu kama ngaz nikashika nikatoka kwenye kile kisima maana yake nn
@jumambote345
@jumambote345 Жыл бұрын
Nimeota mtoto kadumbukia kisimani nikaingia nikamtoa inamaana gani shehy
@sofiamohammed5925
@sofiamohammed5925 11 ай бұрын
Sheikh Ass aleikum warahmatullah wabarakatuh mimi nimeota niko kwenye kisima kikubwa kimejaa maji na kimefinikwa juu nikapanda hapo juu naninginia kama nataka niingie nikangangana mpaka nikashuka mara mbili ya tatu nikaninginia hapo nataka kushuka nikashtuka nini maana yake sheikh
@rahmellio
@rahmellio 9 ай бұрын
Mimi nimeota nimeingia kisimani nikayaona maji madogo na nikatoka
@user-fe1ny4qc7r
@user-fe1ny4qc7r 7 ай бұрын
Mm naota nimeona shimo la nyoka
@user-fo7mf3pw1c
@user-fo7mf3pw1c 8 ай бұрын
Kuota unamulisha mwanao
@user-bt6hk1ch9g
@user-bt6hk1ch9g Жыл бұрын
Assalam aalaikum warahmatullah wabarakatuh naomba unisaidie namba yako ya WhatsApp
@MakiaRamadhani
@MakiaRamadhani 2 ай бұрын
Nimeota nimedumbukia kwenye kisima kabla sijazama nikaomba mdaada nikaokolewa kisima kilikua hakitumiki nikapewa ngo nikabadilisha mana Ake nn
@norahmatunda8223
@norahmatunda8223 Жыл бұрын
Nimeotoa naoga kwenye kisima na maji yanaonja chumvi
@NuruJames-cf7zz
@NuruJames-cf7zz 2 ай бұрын
She Mimi nime ota mwanangu kadumbukia kisimani majiyarikuwa pakajuu baba yake akamuopowa AANA yake nini
@user-kx1pk3sj9k
@user-kx1pk3sj9k 9 ай бұрын
Ukiota umelala kwenye kisima
@HappyNickson
@HappyNickson 3 ай бұрын
Nimeota mtoto katumbukia kwenye kisima Cha maji
@dorahkasembe1839
@dorahkasembe1839 8 ай бұрын
Niunge
@evelyne4686
@evelyne4686 11 ай бұрын
mimi nimeota nimetumbukia kisimani, nikawa nawatekea maji waliokuwa ardhini, Nini maana yake?
@aminamasudi6838
@aminamasudi6838 Жыл бұрын
Shehe Mimi nimeoya mtoto wangu wa kiume amedumbukia kisimani tena kisima kirefu lakini sikufanikiwa kumuokoa, nini maana yake?
@abuuhusseni7340
@abuuhusseni7340 Жыл бұрын
she Mimi nimeota mwanangu wa kike kadumbukia kisimani na hicho kisima kimejaa maji lakini nikawahi kumtoa nini maana yake
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
Nami hivyo hivyo
@Maryamsaid-mh5hw
@Maryamsaid-mh5hw 9 ай бұрын
Mm nimeota mwanangu katumbukia kwenye kisima kirefu lkn kaokolewa
@emmamakanga3649
@emmamakanga3649 7 ай бұрын
Shekh Mimi nmepta tumetumbukia mimi na mke wangu kwenye korongo refu Pana sio Sana na ndani Lina maji ili tutoke labda tuvutwe kwa kamba
@user-kx5sg2eh8f
@user-kx5sg2eh8f 4 ай бұрын
Ata Mimi nliota mtoto wanga anadumbukia lakn Nika muokoa
@shuuhassans2702
@shuuhassans2702 Ай бұрын
mm ckuwah kumtoa ndoto ilikata😢😢 cjui n vp ila mm mwenyew nliokilewa haraka
@issahersi9566
@issahersi9566 Ай бұрын
Unashota kisima maana yake😮
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 51 МЛН
Викторина от МАМЫ 🆘 | WICSUR #shorts
00:58
Бискас
Рет қаралды 4,3 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 24 МЛН
Ruqyah ya kutibu hasad, uchawi na kutoa mashetani (Isikilize kila siku mpaka mpone, In Sha Allah)
30:03
Tafsiri ya Quran Tukufu Kwa Kiswahili
Рет қаралды 727 М.
MAOMBI YA KUKOMESHA MATESO BY REV. FJ KATUNZI
50:36
MARANATHA ONLINE TV.
Рет қаралды 13 М.
KUOTA NDOTO ZA KIFO AU MAITI // MAANA NA TAFSIR ZAKE  // SHEIKH ABUU JADAWI
10:02
Aliyeona nguo /mavazi Ndotoni Skh :Jafari Mtavassy
30:17
MTAVASSY TV TANZANIA
Рет қаралды 41 М.
NDOTO | UKIOTA KISIMA HIZI NDIO TAFSIRI ZAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
34:00
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 33 М.
BEAUTIFUL MORNING DUA | For Protection| Blessings| Rizq | Tasbih | full | Omar Hisham|
27:31
EthioQuran اثيو القرآن
Рет қаралды 2,6 МЛН
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 51 МЛН