TIMU YA JESHI LUGALO GOFU YAIBUKA KIDEDEA SHINDANO LA ALLINCE ONE MOROGORO OPEN 2024

  Рет қаралды 13

JEMEDARI TV

JEMEDARI TV

9 күн бұрын

Timu Ya Jeshi La Ulinzi La Wananchi Wa Tanzania-JWTZ Lugalo Golf Imeibuka Kinara Wa Mashindano Ya Allince One Morogoro Open 2024 Yaliyofanyika Mjini Kasoro Bahari Mkoan Morogoro.
Akizungumza Mara Baada Ya Kumalizika Kwa Shindano Hilo Meneja Wa Klabu Ya Lugalo Kanali David Mziray Amesema Ni Walijipanga kushinda na sio Kushiriki ndio maana wameibuka na ushindi kwa kila kategoli mashindano na ameahidi kuendelea kufanya vizuri zaidi katika mashindano Yanayokuja.
Kwaupande wake Mshindi Wa Jumla Enoshi Wanyeche Kutoka Klabu ya Lugalo Amesema Licha Ya uwepo wa ushindani Mkubwa Amepambana kuipa ushindi klabu ya lugalo kwa kuonesha uwezo mkubwa siku zote za mashindano Hayo.
Naye Salum Dilunga Mchezaji Wa Kulipwa Kutoka Lugalo Gofu Amesema Haikuwa Raisi kwakuwa ameshindana na wachezaji wanaojua mchezo Huo na sheria zake.
Insert: Salum Dilunga(Mchezaji Wa Kulipwa)
Mchezaji Vicky Elias Wa Lugalo Gofu Ameonesha Uwezo Mkubwa Wa Mchezo wa Gofu Kwa Kufanya Vizuri Kwenye Shindano Hilo.
Wachezaji wengine Walioshinda Michael Masawe Wa Lugalo akishika nafasi Ya Pili,Julius Mwinzani Wa Dar Gymkhana Akishika nafasi Ya Tatu,kwa upande wa wachezaji Wa Kulipwa Salum Dillunga Wa Lugalo akishika nafasi Ya kwanza,Abdalla Yusuph akishika nafasi ya pili na kwa wanawake Vicky Elias wa Lugalo akishika nafasi Ya Kwanza Akifatiwa na Loveness Frank wa killi Golf nafasi Ya pili kwenye shindano Hilo.

Пікірлер
I’m just a kid 🥹🥰 LeoNata family #shorts
00:12
LeoNata Family
Рет қаралды 18 МЛН
He sees meat everywhere 😄🥩
00:11
AngLova
Рет қаралды 9 МЛН
Please be kind🙏
00:34
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 180 МЛН
France vs Belgium 4-2 - All Goals and Highlights - EURO 2024
12:07
BeamNG District
Рет қаралды 419 М.
Mens 200m Final Paris Olympic Trials 2024
5:37
Holey Moley Donut Shop
Рет қаралды 97 М.
I’m just a kid 🥹🥰 LeoNata family #shorts
00:12
LeoNata Family
Рет қаралды 18 МЛН