Magufuri alikuwa ni raisi mwenye maamuzi magumu na maono ya mbali ,,angekuwepo angeshaanzisha kitu kingine unique kabisa .R.I.P ancle
@yesesalambwe9420Ай бұрын
Hongereni sana kwa kufanikisha safari hii! ila mjipange, maana hiyo idadi ya watu itaongezeka mara dufu zaidi!
@chumamasunga8855Ай бұрын
Huku ndo pakusafiria sasa, hakuna wapiga debe huku💪💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@peterjohnson167Ай бұрын
Mshukuruni sana hata kama alikuwa dikteta ayati Magufuli, zaidi na zaidi mama Samia Suluhu Hassan kaweza kukamilisha....Ukipenda maendeleo jinyime raha kwanza....
@vt-kn6qfАй бұрын
What is the meaning of "dictator "
@ndukulusudikucho_Ай бұрын
😂😂😂 dah Uongozi ni kazi saana haya ndugu tunakushukuru kwa Maoni
@yustomwaisomania258728 күн бұрын
Unaujua udikteta vizur wewe
@kautharjay586816 күн бұрын
magufuk hakuwa dictetar hata kidogo
@peterjohnson16716 күн бұрын
@@kautharjay5868 Sijamanisha mimi bali wapo watu ambao hawakumuelewa JPM ndio walimzungumzia kuwa Diktekta....Afrika kwa miaka hii ya karibuni Magufuli ndio amekuwa rais bora Afrika mzima.
@alfinmbilinyi5985Ай бұрын
Jpm mwamba wa miundo mbinu Tanzania ulale salama chato.Hongera pia serikali ya TZ kwa kazi hii nzuri.
@omarybakunda2554Ай бұрын
Hongera sana kwa nchi yangu Tanzania ila ongezeni mabehewa mpige hela haraka tuludishe mikopo ya watu.
@joshuachimwejo5892Ай бұрын
Pongezi nyingi kwa serikali ya awamu ya 5 na 6 na Watanzania wote kwa ujumla. Kwakweli kazi imefanyika. Ombi langu kwa TRC ni kujitahidi kusimamia viwango vya huduma h ambayo tumeviona siku ya kwanza viendelee siku zote, tujitahidi tusije tukawa kama BRT, ilianza vizuri sana, lakini katikati ya safari mambo yakawa tofauti! Watanzania pia, tuipende, tuilinde, tuitunze, tuwe uchungu na tuwawajibishe wale wote watakakuwa na nia ovu ya kutaka kuharibu miundombinu yetu. Kitunze kidumu!
@zobakazizi7637Ай бұрын
Kutengenezwa parking za kulipia. Mtu anaacha gari anaenda Dar akirudi anachukua gari anaondoka.
@tanzcanmediatv447322 күн бұрын
Ninakiwanja kikubwa jirani wako kwenye michoro ya parking ndio biashara nayotarajia mpendwa
@kautharjay586816 күн бұрын
@@tanzcanmediatv4473hongera
@hassanlikwenangu8471Ай бұрын
... Mimi yoo mimi yooooo KIMBINYIKO bai bai... Bado nakuoenda ABOOD, NEW FORCE bai bai.. narudi kwa BABA na MAMA KATARAMA bau bai .....
@fidelfidel-jz4iwАй бұрын
Kiongozi SGR inafanya kazi kubwa kwani kutakuwa na utalii kila weekend Dar to Moro Kwa hiyo hongera sanaa
@saimzmuiruri23 күн бұрын
Congratulations, Tanzanians, on the maiden SGR trip. 🇰🇪
@tanzcanmediatv447322 күн бұрын
Asante jirani
@niolaussdavidАй бұрын
kuna vitu kama kuku na vitu vya kunuka nuka viachwe ule utamaduni wa zamani uishe
@athumanmsuya2688Ай бұрын
True,fact
@kautharjay586816 күн бұрын
duuu 😂Sasa watasafirisha wp?? 😂
@lakasid386029 күн бұрын
Tanzania yetu 👏🇹🇿
@zephaniaernestmagoma5521Ай бұрын
Nice
@MM-oe2eoАй бұрын
Kadogosa, one of the best CEO. Ila yote kwa yote tumshukuru sana yule mzee amelala pale Chato, na Rais wa sasa Samia Suluhu Hassan kwa kumalizia. Najua figisu figisu nchi hii ni nyingi mno, ila maza amekomaa. Hapa kwa kweli na ubishi wangu, nasema MITANO TENA😂😂😂😂
@bonosaugustine6545Ай бұрын
😂😅 mm mwenyew na sapoti mitano tena Maza kakomaa kwelikweli
@johanesbina1302Ай бұрын
🤣 🤣 🤣 Mm sitaki hata mitano
@kautharjay586816 күн бұрын
umeongea point Sana mtu akifanya kitu unasema lkin watu wanaponda sana Mimi hiyo relief inavyojengwa naiyona mpka kumaliza n
@henrynyanswi2132Ай бұрын
Jambo la maana ungekuwa safari zinaanzia Morogoro kwenda Dar, ili wafanya biashara wawahi kufika Dar kufunga mizigo na wengine kuuza bidhaa sasa ratiba ya sasa ni kama inawanufaisha watu fulani
@michaelrweyemamu1068Ай бұрын
Nchi yetu imebarikiwa
@DeodatusiLyaruuuАй бұрын
Pongezi Kwa uwongozi Kwa kukamilisha hadi hapa walipo fika mm kwangu najisijia raha Sana maana nipo dar ila nalima mrogoro kwaiyo imenirahisishia Sana weekend moro jumapil nalud
@paskalilameki9568Ай бұрын
Ongela.tanzania
@gwakisamwakilemaАй бұрын
Pongezi kwa hatua hii.
@cmantz8837Ай бұрын
Ila naye masanja kadogosa ni mtu nanusu anaiweza leli
@UnitedAfrica-uw9ctАй бұрын
mpambanaji jamaa......hana longolongo
@mimiraia2531Ай бұрын
Wasukuma watu wa kazi…siyo MIDEBWEDO ya Pwani
@GodlivenMaximillian-ot7mg27 күн бұрын
Mpendwa Mkurugenzi watanzania sio wanapenda usafiri wa treni , wanapenda usafiri wa haraka - watu hawataki kuchelewa sasa hivi
@zobakazizi7637Ай бұрын
Yaani ni raha
@HudahDidas18 күн бұрын
Ratiba ya safari
@noelswai266029 күн бұрын
Tanzania nchi yangu 💙🇹🇿🙏
@fatmaabdallah7709Ай бұрын
Daah watu wanaanza kukimbizana wasije kubanwa na milango😂😂😂watanzania bwana sijui tutaendelea lini!
@renatusblandes1131Ай бұрын
Ilikuwa na kichwa mchongoko
@liberatedpeople605418 күн бұрын
Huyu waziri mnafiki kweli anaiga kama Magufuli 😂 eti anajua idadi ya mifugo nchini
@tanzcanmediatv447322 күн бұрын
Jpm Mungu akuweke mahali panapostahili
@Hillary_Daudi_MremaАй бұрын
Pongezi kwa Awamu ya 6 inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dokta Samia na Pongezi kwa Wizara ya Uchukuzi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿
@DeodatusiLyaruuuАй бұрын
Pongezi Kwa uwongozi Kwa kukamilisha hadi hapa walipo fika mm kwangu najisijia raha Sana maana nipo dar ila nalima mrogoro kwaiyo imenirahisishia Sana weekend moro jumapil nalud Dar kazin
@paulgitau605525 күн бұрын
Treni ipo sasa, safari ya kulipa loan sasa imeanza.
@rashdiyange7758Ай бұрын
MINA SEMA UO MWENDO MZUR SANA WAKISEMA WETEMBEE ULE MWENDO MALA MBUU AKUNA NAE TOKA APO BOLA MWENDO UO UO KWAKWERRRR LADI WATU WAFIKE SALAMA
@henrynyanswi2132Ай бұрын
Ratiba yake inawakwepa wafanya biashara, wafanyakazi na Abiria nk kutoka Morogoro kwa asubuhi na jioni/ usiku
@zobakazizi7637Ай бұрын
Hizo ngazi vipi......
@magorymara5515Ай бұрын
Usafi na mapato ya hii biashara kutokwenda mfukon mwa wajanja ndo jambo la msingi pili serikali kuwa makin na wachezea mifumo na wahalibifu wa miundombinu watu hao kesi yao iwe miaka 40 jera
@zenamadulika343518 күн бұрын
Ticket unapataje
@SelemaniChanziАй бұрын
Tupeni ratiba za safali na muda
@loner_wolf18 күн бұрын
Ajira wanapeanaga wapi watz unemployed everyday
@nzigeprofilelives6259Ай бұрын
Tunataka kuona utekerezaji na sio maneno mengi , baada ya miaka 5 shirika life
@user-ej5ir5pu7rАй бұрын
Majungu tu!ndoishakua ss kafe sasa
@amirjuma9395Ай бұрын
Nashauri viongozi msiwe mnapanda chombo wote kama mlivyo fanya ikitokea limetokea la kutokea nani atasema 😅😅 mpeane majukumu mgurugezi kapanda naibu kapanda katibu kapanda sio kweli
@doniciancalist164Ай бұрын
Sema station ya DSM kwa nje inaonekana chafu mavumbi mengi kwenye vioo atafutwe service provider anayeweza kukidhi kutoa huduma kwa machine za kisasa kwenye usafi
@UnitedAfrica-uw9ctАй бұрын
kwa nje kweli.....Ndani ni nyingine kabisa
@user-ui1qs9yl1nАй бұрын
wakenya vipi kuhusu hili mwageni commmets zenu
@MARK-nh4hxАй бұрын
Tushakubali, hapo Kwa traini hatukaribiii hata kidogo😂 ..kongolee..majirani..au mahaters wetu
@kingjoshuamhuamk2559Ай бұрын
Traini zimo sawa sioni rire ribaya kama mkenya
@t1910jАй бұрын
Achana na Wakenya. Uchokozi huo
@IsayaSosolo-nx8zkАй бұрын
Umasikini unatuletea maajabu ya wasomi wetu ktk uchawa, Badala ya kusimamia kile ambacho unacho ktk Elimu yenu, Mnakuwa chawa wa watawala!
@sephaniangulo403529 күн бұрын
❤🇹🇿❤️🇹🇿❤️🇹🇿
@eunicegerminus19323 күн бұрын
Dodoma bado
@trueexplorer894Ай бұрын
Wee mtoto wa kihindi umefikaje fasta wakati bado upo safarini?
@stevenmlingi968726 күн бұрын
muda gani kutoka dar to moro
@yustomwaisomania258728 күн бұрын
Huku ndo kuzuri sasa hakuna wapiga debe😂😂
@jworld1480Ай бұрын
r.i.p jpm tutakuku,buka umeacha alama vizazi na vizazi umekuwa kama wakoloni walivyojenga reli ya 1909
@EliSimwela28 күн бұрын
Ni fahari kubwa kwa Watanzania wote
@bangarocky892528 күн бұрын
nashauli treni ingeanzia moro saa 12 kwenda daa kwakua abilia wengi wanatoka moro asubuhi wanafata biashala jioni wanarudi moro
Hata kukuza miji na bashara viwanda kilimo bustani za matunda na vegetables
@AllyIssya-cy9yg17 күн бұрын
magufuli apewe maua yake
@mosesmasanja8295Ай бұрын
INATUMIA MUDA GANI KUFIKA? PIA INASIMAMA VITUO GANI?
@ghottaman2570Ай бұрын
Kaka Kado, kwa akili zangu za kipuuzi nahona chuma iko sawa ila chini kuna sehemu kama reli aiko sawa kuna mitikisiko flani ivi bahazi ya sehemu au mshika kamera ana kimue ume cha safari nini?!!
@wilsondaudjackson7996Ай бұрын
Hiyo ni kosa la Camera man. Treni haiyumbi hata kidogo
@muyongahassan218829 күн бұрын
Sasa mbon tren haifiki tabora kilamara ni dar na dodom
@kautharjay586816 күн бұрын
haha Sasa uko Kuna reli ya umeme
@amanzuberi213829 күн бұрын
Kwnin wahudum watren wasiwe wakiume pia
@DeogratiusAndrew-zi7zvАй бұрын
Naibu waziri ,capital na mtaji nini unaongea ?
@MaghobaGeorge-lq4ygАй бұрын
Dar dodoma lini?
@chumamasunga8855Ай бұрын
Mwezi ujao
@davidwalalason763029 күн бұрын
The camera ain't clear, plz make some adjustment
@mcback4384Ай бұрын
Punguzeni upumbavu wa kuhoji muda wote officials tu, sasa wahoji wasafiri waseme wenyewe experience yao hao viongozi tumeshawasikia tumechoka
@kisutabora5914Ай бұрын
Online booking haifanyi kazi…
@EmmanuelSima-qz1gdАй бұрын
😂😂😂😂 yan siasa bhn et mayai 4 b, mbn sjawaona mje kuhesabu kwangu
@NM-yl2uwАй бұрын
wamehesabu bwana ww ujaona tu😂😂
@nasibugunda7927Ай бұрын
Hayo madirisha hayafunguki ,sa tuta nunuaje mahindi, nyanya ,miwa ??
@emmanuelmwambona3438Ай бұрын
😂😂
@UnitedAfrica-uw9ctАй бұрын
kama unataka Mahindi nenda kwenye MGR....inaruhusiwa huku tunahitaji usafi....kulakula NO
@nasibugunda7927Ай бұрын
@@UnitedAfrica-uw9ct wamesema hii ndo itachukua nafasi ya MGR
@UnitedAfrica-uw9ctАй бұрын
@@nasibugunda7927 Hapana MGR inaendelea kama kawaida....na hata hii SGR zitakuwepo za madaraja tofauti
@fatmaabdallah7709Ай бұрын
Hahahaaa😂😂😂
@jebaceАй бұрын
mark my word after 2 yrs the whole system is failed.
@kombidin..2583Ай бұрын
Only an idiot can mark your words
@Nick16697Ай бұрын
Yote hio? Hizo behewa kwanza zitachafuliwa humo ndani kila mahali
@aminasittusaid3830Ай бұрын
Dua la kuku hilo halimpati mwewe abadani
@giftmeela6250Ай бұрын
We ni mchawi nini?😅
@kautharjay586816 күн бұрын
utaki maendeleo unawivu
@fredducaunt29 күн бұрын
😂😂 shida Tanzania hakuna value ya aesthetics (muonekano) Kwahiyo soon hizi treni zitachakaa kama mabasi ya mwendokasi Watanzania tunadamu ya kiafrika ...If it goes its good...😂😂 Hatujali mwonekano wake Na pia hatuna uwezo wa kukimaintain kwa hiyo kitu tutakitumia mpaka kiishilie😂😂
@kautharjay586816 күн бұрын
haha ukinunua kitu kinakaa vile vile?? labda Kama unamazoea ya kubadikisha kila baada ya mienzi 6 lakini hakuna nchi kitu kikae mda mrefu kisibadili muonekani huo ni uongo
@alphaxad775513 күн бұрын
Umeongea vizuri Sana mwelimishe mshamba huyo mbwa@@kautharjay5868
@fidelfidel-jz4iw23 күн бұрын
Sanaa hapo ni samaki na vegetable Kwa ujumla sasa Dar wanapata salad za maana 😂😂😂