HIZI HAPA SETI 2 ZA MCHONGOKO, IPO “SAMIA EXPRESS”

  Рет қаралды 26,142

TRC RELI TV

TRC RELI TV

8 күн бұрын

Пікірлер: 174
@giftchristianmeela1409
@giftchristianmeela1409 6 күн бұрын
seti moja ingepewa jina la "Mwananchi Express" kuwatambua wananchi walipa kodi.
@worldtechlab
@worldtechlab 6 күн бұрын
😂😂😂
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 6 күн бұрын
KWA SABABU HIYO MOJA IMEPEWA JINA LA MAMA AU VIPI?! DUH KAKA SIYO KWA CHUKI HIZO...
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 6 күн бұрын
Au "Walipakodi Express"
@giftmeela6250
@giftmeela6250 5 күн бұрын
​@@rayisadesigns2646 nisawa wewe utafute pesa ukajenge nyumba alafu fundi aandike jina lake kwasababu yeye ndio amejenga. Hizo si ni dharau. They have to acknowledge walipakodi wote.
@emmanuelstephens1891
@emmanuelstephens1891 5 күн бұрын
Naunga mkono hoja! Mwananchi mlipa kodi hadhaminiwi!!
@user-ys3gt8lp5h
@user-ys3gt8lp5h 6 күн бұрын
Hapo saw kumbe Magufuli ipo ntakuwa napanda hiyo sasa❤❤
@johnlubagula9723
@johnlubagula9723 6 күн бұрын
Hata mimi nimefurah kuona magufuri ipo
@michaelrweyemamu1068
@michaelrweyemamu1068 6 күн бұрын
Hata mm
@Niika870
@Niika870 6 күн бұрын
Kama Magufuli isingekuwepo nisingepanda hizo tren❤
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 5 күн бұрын
Hahahaa safi sana kuona na kuthamini na kumuenzi jembe nilidhani tupo wachache wenye mtazamo kama wako.​@@Niika870
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 5 күн бұрын
Haha sawa
@salumnamjupa-sy6cm
@salumnamjupa-sy6cm 6 күн бұрын
wow magufuli express..am happy now
@damianmadex3677
@damianmadex3677 4 күн бұрын
And me too 🎉🎉
@GodlivenMaximillian-ot7mg
@GodlivenMaximillian-ot7mg 6 күн бұрын
Kazi nzuri sana tunapenda maendeleo kama haya. Mmekuwa wazalendo nawapongeza mmeita majina ya viongozi wetu safi sana.
@piusmapunda5900
@piusmapunda5900 6 күн бұрын
Nasisitiza kila mmoja ahakikishe tunavitunza vizuri sana sana sana vifaa vyote na tuache hujumaaaa na mambo ya kipumbavu kuharibu treni hii. Hongera sana Serikali na wananchi wooooooteeeee.
@sebaoscar9205
@sebaoscar9205 6 күн бұрын
Rip Magufuli...The great visionary.
@bnyangoma
@bnyangoma 6 күн бұрын
Acha tu!
@amaniromeoswadiq9155
@amaniromeoswadiq9155 4 күн бұрын
Magufuli forever
@joshuachimwejo5892
@joshuachimwejo5892 5 күн бұрын
Misahau Kadogosa Express!! That man has done a wonderful job ever! Ni vizuri kuzithamini. kukumbuka na kuzienzi jitihada za wataalam wetu wa ndani.
@RamaTraceur
@RamaTraceur 6 күн бұрын
Hapo kwenye pua la EMU train..funiko lake wekeni ipendeze zaidi...Ongera Tanzania yetu, Shirika letu (TRC) na Sisi Watanzania.👍
@allysimu6856
@allysimu6856 6 күн бұрын
Tuzidikumunga mkono raisi samia kazi iendelee I love tanzania
@richwase6550
@richwase6550 6 күн бұрын
Saiz nchi inapiga hatua najivunia kuwa mtanzania 🇹🇿❤
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 6 күн бұрын
Kwakweli. Napata hata ladha ya kuangalia taarifa za habari za maendeleo ya nchi yangu
@abdulseifmtuluma4484
@abdulseifmtuluma4484 6 күн бұрын
Nyerere express, Magufuli Express and Samia Express,... very impressive
@GodlivenMaximillian-ot7mg
@GodlivenMaximillian-ot7mg 6 күн бұрын
Sana. Halafu pale station kuna picha ya Baba wa Taifa yaani Una feel Ile sense ya utanzania
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 6 күн бұрын
​@@GodlivenMaximillian-ot7mgkabisa mkuu.
@sebmalunde5945
@sebmalunde5945 6 күн бұрын
Hongereni sana. Viongozi wetu
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 6 күн бұрын
Yeah big up Tanzania & Govt. Kazi nzuri.kasi iongezwe ya ujenzi dodoma mwanza Ili tz yetu izidi kupendeza
@allymusira2153
@allymusira2153 6 күн бұрын
Hongera Rais Samia kuendeleza mradi hakika wewe ni jasiri
@lazarombuze9776
@lazarombuze9776 6 күн бұрын
Hayo ndio mambo tunataka kuona,.sio tunalipa Kodi,pesa zinaishia kununua V8 kila mwaka,
@ndulasimon
@ndulasimon 6 күн бұрын
My Tanzania my pride Chapa Kazi mama
@salehsimba5306
@salehsimba5306 6 күн бұрын
Ila Magufuli...... Mungu amrehemu, maono yake yake ni ya mbali sana. Amefanya nchi iende kisasa
@bnyangoma
@bnyangoma 6 күн бұрын
Na pia aliona Tanzania itaongozwa na mwanamke. Kw mara kwanza mgombea mwenza alikuwa mwanamke
@Sean1877
@Sean1877 5 күн бұрын
Imagine angekua bado yupo hai..
@user13375
@user13375 6 күн бұрын
Nataka kujuwa ratiba ya magufuli express😅😅
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 6 күн бұрын
Safi sana. Kwakweli mmekuwa wazalendo na mmefanya ubunifu wa hali ya juu. Nashauri zijazo ziitwe: Kikwete Express, Mwinyi Express, Mwananchi Express, Mlipakodi Express, Mpango Express, Majaliwa Express, Sokoine Express. NB: Mwinyi Express ni kwa ajili ya kumuenzi Mzee wetu Ruksa pamojanna kuthamini mchango wa mwanaye ambaye ni Raisi wa Zanzibar kwa sasa. Naipenda sana Tanzania yangu. Mama Samia tunakuombea sana. Piga kazi, tuko nyuma yako.
@DeogratiasMadaraka-b9v
@DeogratiasMadaraka-b9v 3 күн бұрын
Mmemsahau Cdf mabeyo luxury tz
@ewaldambrose6136
@ewaldambrose6136 6 күн бұрын
Viva Samia,viva Tanzania bongoland..Wenzetu huko wanaharibu vyao😅
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 6 күн бұрын
Mama apewe maua yake anaendeleza vizuri mambo aliyotaacha Hayati Magufuli kazi iendelee Uongozi ni kazi nzito lawama ni kitu cha kawaida
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 5 күн бұрын
Uko sahihi wapo Watu walitaka kutuaminisha kuwa miradi yote ya kimkakati haitamalizika baada kifo Cha Rais JPM
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 3 күн бұрын
Kweli anastaili mauwa yake tunampenda anatusuprise😅
@bernardkamau9844
@bernardkamau9844 3 күн бұрын
Congratulations 255 🇹🇿🇹🇿.nilitumia hii treni kwenda morogoro na kwa ukweli safari ni nyororo sana 🔥✅✅ I hope in the future hii reli itafika Arusha. Mimi kama jirani nawapongeza sana 🙌🏾🇰🇪
@user-sp6sv3cg9d
@user-sp6sv3cg9d Күн бұрын
Hongera wa Tanzania wore tunaolipa Kodi na bingwa wetu Magufuli Mungu akulaze mahali panapokustahili
@veronicalaiser7869
@veronicalaiser7869 6 күн бұрын
Ni matumaini na maombi yangu kuwa treni hii itatunzwa na kulindwa kwa nguvu zote ili Watanzania wafaidi jasho lao. God bless Tanzania!
@jumashedafa
@jumashedafa 6 күн бұрын
Mashaallah nimepend Nyerere, Maguful na Samia Express...Next ni Mwinyi express au Mzee wa ruksa express
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 3 күн бұрын
Hongera Rais wetu❤
@SATZ-news
@SATZ-news 5 күн бұрын
Na Magufuli iwepo tu kama hamtaki ugomvi😂😂😂😂
@khalidballeth5957
@khalidballeth5957 6 күн бұрын
RIP JPM
@emmanuelkamoli8215
@emmanuelkamoli8215 3 күн бұрын
Hapo sawa Kumbe Magufuli ipo I admire her
@user-qj2fz8uq3j
@user-qj2fz8uq3j 6 күн бұрын
Magufulification
@MbondeMbonde-zr4nj
@MbondeMbonde-zr4nj 6 күн бұрын
Njia za Kigoma Arusha na Tazara nazo zinahitaji hii mki update na hizo sana sana ya Kigoma Tz itakuwa vizuri sana
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 6 күн бұрын
WAKATI WATZ WANAPIGA HATUA MOJA MBELE, NDUGU ZAO WAKENYA WANAICHOMA NAIROBI YAO ILI WAANZE TENA HATUA MOJA NYUMA... HUZUNI SANA, AFRIKA INASIKITISHA SANA!!
@emmanuelmasanja6040
@emmanuelmasanja6040 4 күн бұрын
Waache wachome wao wanajidai Wana akili nyingi
@christopherjoseph8330
@christopherjoseph8330 6 күн бұрын
Kile kichwa kibaya kiitwe Ruto express
@aminasittusaid3830
@aminasittusaid3830 6 күн бұрын
🙉🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃‍♀️🙈
@user-bz5ti6op6z
@user-bz5ti6op6z 2 күн бұрын
Asante sana Samia
@ericmoramagige3407
@ericmoramagige3407 6 күн бұрын
Kikwete alitaka kutupa ya Diesel kama ya Kenya, asipewe jina
@nth3512
@nth3512 6 күн бұрын
Hahaha
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 6 күн бұрын
Una uhakika na unachokisema?
@user-eg1mz6vo1d
@user-eg1mz6vo1d 6 күн бұрын
Kilaaa baada ya miaka 7 watu kama magufil wamatokea mara mmoja
@user-lx2yc8tj5h
@user-lx2yc8tj5h 6 күн бұрын
Magufuri aliona mbali
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 4 күн бұрын
Kasome ilani kwanza ndio utajua kua hivo vitu vipo
@user-ec5qb8dw6d
@user-ec5qb8dw6d 4 күн бұрын
Kazi nzuli❤❤❤
@godwinkasaizi882
@godwinkasaizi882 6 күн бұрын
Safi sana hapa ndugu zangu wa CCM tunajeuri ya kusema tumetenda. Mungu ampe maisha marefu Mh. Samia aendelee kutekeleza Ilani. CCM OYEE
@aminata3702
@aminata3702 6 күн бұрын
Unazi
@user-ts9lp4rm9j
@user-ts9lp4rm9j 6 күн бұрын
Ccm wapi wananchi hela zao
@Beauthoms
@Beauthoms 5 күн бұрын
​@@user-ts9lp4rm9j Shida sio hela shexhe shida ni utendaji
@victoriambonde8061
@victoriambonde8061 6 күн бұрын
Apo sawa Mimi ntapanda iyo magu exppres iyo ndo yenyewe
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 6 күн бұрын
Ok tumekuelewa Mrs Ukabila.
@allyhasani3750
@allyhasani3750 3 күн бұрын
Du! Magufuri aliona mbali
@danielkullwa1613
@danielkullwa1613 6 күн бұрын
Congrats...tunaomba mtupe siku moja a full interior tour ya moja ya EMU's ..nadhani kuna ambazo zina premium classses, comfort flani, comfortable seats, Rest Rooms zikoje, nadhani kuna vending machines pia, Madaraja pia yakoje... nakadhalika. Ni prid ya watanzania wote hii.
@bonosaugustine6545
@bonosaugustine6545 6 күн бұрын
Mwenyew naisubir kwa hamu sana
@frankiekusekwa9469
@frankiekusekwa9469 5 күн бұрын
Kama kuna magufuli express sawa, Hata mimi nitapata
@eddechriss2664
@eddechriss2664 6 күн бұрын
Baada ya majadiliano ya muda mrefu na Mganga wangu tumekubaliana safari zangu zote nitakuwa natumia MAGUFULI EXPRESS pekee
@abdulseifmtuluma4484
@abdulseifmtuluma4484 5 күн бұрын
Tafadhali huyo mganga asikuelekeze kwenye Kudhulumu haki za kuishi za ndugu zetu wenye Ualbino...😂
@neemakerefu4876
@neemakerefu4876 4 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@stewartkilewo4433
@stewartkilewo4433 6 күн бұрын
Respect🎉
@ananiangonyoka4309
@ananiangonyoka4309 5 күн бұрын
Kwani lazima iitwe samia hii nchi ya ajabu sana mtukuzeni Mungu siyo kila kitu samia kwanini lkn
@erastomaro7145
@erastomaro7145 6 күн бұрын
Ingependeza zaidi kuwaenzi Mahayati Rais wetu waliotangulia mbele za haki kwa kufuata mtiriko wa namba, kama namba moja ni Nyerere Express, basi namba mbili ingekua Mwinyi Express, namba tatu Mkapa Express Afu hao wengine wanafuata kutokana mtiririko waliokaa madarakani. Ni maoni yangu tu.
@hamimuidrisa6390
@hamimuidrisa6390 6 күн бұрын
Good idea
@josephatn5040
@josephatn5040 6 күн бұрын
Nami nimeshangaa kwanini namba 2 ni Samia halafu namba 3 ni Magufuli!!!
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 4 күн бұрын
Achana na mambo ya namba hayana faida muhimu ipo basi
@ombenikweka7222
@ombenikweka7222 3 күн бұрын
Fanyeni mpango abiria waweze kufika chalinze yaani wekeni miundombinu nzuri abiria wa chalinze tufaidi
@haroungwiyamabuzohera-jk3vl
@haroungwiyamabuzohera-jk3vl 16 сағат бұрын
Kwa kweli mmevipatia majina vichwa hivyo. MAGUFULI NA SAMIA EXPRESSES. ASANTE SANA.
@Manywele.Maluja
@Manywele.Maluja 3 күн бұрын
Hii mibichwa mchongoko ndo tulioitaka toka mda sanaa na hii ndo yenyewe sasaa
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 6 күн бұрын
Hapo sawa....ni raha tupu
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 5 күн бұрын
Kwanini Hamkuanza na Mangufuli/express?
@abdulseifmtuluma4484
@abdulseifmtuluma4484 5 күн бұрын
Angalia sana, kuna siku utasema kwanini Jua lisichomoze Magharibi
@piterasifa3757
@piterasifa3757 5 күн бұрын
Jpm ipo
@danielkullwa1613
@danielkullwa1613 2 күн бұрын
Hivi vile vipua hapo mbele vitakuja baadae au vipo tayari. Maana kwenye clip ya yesting kule korea vilionekana. ila hizi zikija huku hatuvioni yani panakuwa wazi. Nadhani watanzania wenzangu ndo wanapo paangalia kwa maana ya mchongoko (aero dynamics)
@yourbody
@yourbody 6 күн бұрын
I'm happy to see Magufuli Express
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 5 күн бұрын
Tanzania nchi yangu
@mariamapunda4577
@mariamapunda4577 6 күн бұрын
Hongereni sana, Treni ya ghorofa iko wapi? Vichwa mlisema vinakuja July mwaka jana tunataka kupanda treni ya ghorofa
@nickylyanga2139
@nickylyanga2139 6 күн бұрын
hivyo wanasema vinakuja mwakan
@mariamapunda4577
@mariamapunda4577 6 күн бұрын
@@nickylyanga2139 train zilishakuja na vichwa ilibidi bike mwaka jana July ndio walisema hivyo
@mariamapunda4577
@mariamapunda4577 6 күн бұрын
@@godlistenmnkeni2454 naamini yanahitajika ndio maana yalinunuliwa.. au unaposema yatakapohitajika unaanisha hayahitajiki kwa sasa? Kwanini yalinunuliwa kama hayahitajiki? Vichwa vikowapi?
@Assu89Ma2ly-xt4np
@Assu89Ma2ly-xt4np 6 күн бұрын
Mabehewa ya ghorofa yapo lakin vichwa havijafika,yana vichwa vyake vilivyokuwa vikitumika pamoja huko ujeruman vikija lazima tutaviona
@mariamapunda4577
@mariamapunda4577 6 күн бұрын
@@Assu89Ma2ly-xt4np vichwa vinakuja lini?
@dramatic2558
@dramatic2558 5 күн бұрын
2:33 🤩🤩🤩🤩 i'm happy now
@SATZ-news
@SATZ-news 5 күн бұрын
Yani MAGUFULI EXPRESS ndo itakuwa train yangu kila ninaposafiri aisee❤❤❤❤❤❤❤
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 6 күн бұрын
Hilo ni jambo zuri sana.
@gregorybakuza5796
@gregorybakuza5796 3 күн бұрын
Magufuli Express
@MarryCharles-rc6ei
@MarryCharles-rc6ei 5 сағат бұрын
Hivi serikali iliangalia nn kuanza na dar to moro na siyo dar to arusha??
@user-ti6vp4ts6j
@user-ti6vp4ts6j 2 күн бұрын
Naomba kanda ya kaskazini tupate pia maana December sio poa tunavyobanana😂😂
@ericmoramagige3407
@ericmoramagige3407 6 күн бұрын
Wekeni conveyor belt, na behewa Maalum kwaajili ya mizigo Mabegi makubwa ambayo huwezi ku check in nayo, ili pawe smart
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 6 күн бұрын
Behewa kubwa la mizigo tayari lilishaletwa kitambo... muda ukifika utaliona likitumika.
@letthedeadburythedead2148
@letthedeadburythedead2148 6 күн бұрын
Kwahio we ndo mshauri wa mradi mkubwa kama huu? Na mabehewa ya magari yapo 🚎
@realdude64
@realdude64 5 күн бұрын
Kwa niwapongeze kwa kazi nzuri. Pili, TRC kwa nini hamfuniki pua za treni ya mchongoko(EMU)? Ina maana muliuziwa bila mfuniko wa pua za hizo treni mchongoko?
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 6 күн бұрын
Safi CCM kusimamia Irani ya Chama maendeleo kwa Tanzania..kazi Nzuri..Mama Samia 2025 tena.
@butotanto
@butotanto 6 күн бұрын
Magu express ipo?
@davidmickidad6842
@davidmickidad6842 3 күн бұрын
Mimi nishapata yangu ni MAGUFURI express. Nilitazama kwakin ningekosa Hilo jina ningehama nchi hii walah
@bonifacemarwa1975
@bonifacemarwa1975 5 күн бұрын
Tunaomba mzibe mbele iwe mchongoko kweli kweli
@lazarombuze9776
@lazarombuze9776 6 күн бұрын
Heee! Samia exps!! Naamini hata yeye hawezi kukubari jina lake liandikwe hapo
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 5 күн бұрын
Huu ni mwaka wa 3 tangu Jpm aondoke,hata kama wewe ni mjinga kiasi gani jitahidi tusijue
@JamesmalesaMavere
@JamesmalesaMavere 4 күн бұрын
Eti Samia express
@emmanuelmasanja6040
@emmanuelmasanja6040 4 күн бұрын
Tuzipe majina ya maraisi wetu na hifadhi zetu pia na mlima kilimanjaro
@rehemakarafuu-xi1py
@rehemakarafuu-xi1py 3 күн бұрын
mnacha kuweka jina la nchi mnaweka jina la mtu
@carolyneogall8967
@carolyneogall8967 4 күн бұрын
Alafu unakutana na wapinzani wanasema mama hafanyi kazi jani hiyo nini
@TrinaRoman345
@TrinaRoman345 6 күн бұрын
Watanzania vigeugeu nyie.. juzi tu hapawalikuwa wanahara leo wamenawa 😂😂😂😂
@elishajoseph8291
@elishajoseph8291 5 күн бұрын
wasisahau elishadai express
@MichaelBruno-zy8ff
@MichaelBruno-zy8ff 6 күн бұрын
Mwanach expres iko wap
@kassimubilali5259
@kassimubilali5259 6 күн бұрын
Badala muandike jina la muasisi magufuli
@kassimubilali5259
@kassimubilali5259 6 күн бұрын
Asanteni nimeona jina la magufuli hiyo ndy furaha yangu
@alphageorge5563
@alphageorge5563 5 күн бұрын
Kikwete Express vipi???
@worldinfoswahili
@worldinfoswahili 3 күн бұрын
Kwamba hii nayo ni habari?!! 😂 Hii nchi hii
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 5 күн бұрын
Jamaa mmoja asipiwe jina kwenye huu mradi.
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 5 күн бұрын
Tungekuwa tunajenga hizo EMU wenyewe hapo Tz ndio ingekuwa furaha , wahandisi wengi tunao.
@nickylyanga2139
@nickylyanga2139 6 күн бұрын
kumbe kweli ... mmeamua
@seneu.2128
@seneu.2128 6 күн бұрын
Kenya yakwao wanaita madaraka express kuenzi siku waliyopata uhuru kujitawala, uwanja wao mpya wa mpira utaitwa talanta stadium, kwanini sisi miradi yote ya nchi iwe na majina ya Rais
@SATZ-news
@SATZ-news 5 күн бұрын
Hivi ya Ghorofa toka Germany yaliendaje?????
@khamissaleh921
@khamissaleh921 2 күн бұрын
Wekeni mfuniko wa pua ya treni sio kukaa wqzi ipendeze
@seneu.2128
@seneu.2128 6 күн бұрын
Hapana ipewe jina la mashujaa au mwananchi express kama ishara yakuunganisha watz nasio Samia express please tunaomba muache mzaha kwenye mambo ya msingi, Kila mradi upewe jina la Rais, kuanzia ikulu majengo ni Samia complex, uwanja wa mpira Arusha ni Samia Suluhu stadium, shule kubwa ya science wanawake Samia high school na Leo tena Samia express, kiukweli hakuna kiongozi aliyelazimisha kuacha alama kwenye miradi ya nchi kama mama yetu yaani sio poa kabisa, kina Sokoine, kawawa, Nyerere na mashujaa wengi wa nchi hii hawakutaka sifa hizi kabisa
@damianmadex3677
@damianmadex3677 4 күн бұрын
E m u maana yake nini
@twaribujuma2860
@twaribujuma2860 5 күн бұрын
Tumia Magufuli Express
@b.warron4631
@b.warron4631 6 күн бұрын
Naomba isiwe kikwete express😂😂
@bnyangoma
@bnyangoma 6 күн бұрын
Hilo tunalitegemea…😂
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 5 күн бұрын
Ukabila uwo mbna izo balaba kutoka dar mpaka mwanza musoma kajenga magu alivyo kuwa laisi
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 6 күн бұрын
Mnataka kufanya majaribio! Ok! Kwani nivyamtumba? Au kwa namna ipi? Haya nimajaribio ya ngapi?
@Assu89Ma2ly-xt4np
@Assu89Ma2ly-xt4np 6 күн бұрын
Mi nitafurahi nikiona zilizobaki zin akuja na rangi tofauti mchanganyiko wa rangi za bluu,kijani,na nyingine lakin katika michoro hiyo hiyo ya trc,muonekano mmoja ktk seti 10 inachosha akili vinginevyo nipongeze kwa kila aliehusika ktk kazi hii nzuri
@lifeonearth94
@lifeonearth94 6 күн бұрын
Too bad Magufuli hakumbukwi, wakati bila yeye huu mradi usingejengwa
@aminasittusaid3830
@aminasittusaid3830 6 күн бұрын
Magufuli yupo EMU moja hapo inaitwa "Magufuli Express"
@lifeonearth94
@lifeonearth94 6 күн бұрын
@@aminasittusaid3830 Cool☺️
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 6 күн бұрын
​@@aminasittusaid3830hawa huwa wanakurupuka bila ya hata kusikiliza vizuri kinachozungumzwa.
@letthedeadburythedead2148
@letthedeadburythedead2148 6 күн бұрын
Kuma kweli wewe
@lifeonearth94
@lifeonearth94 6 күн бұрын
@@letthedeadburythedead2148 Kibaya nchi imejaa miwatu aina yko inayowrza matusi tu na si vingine Kweli taifa letu limejaa miwatu mijinga sana
@user-yk9kb8zh8q
@user-yk9kb8zh8q 6 күн бұрын
Kwani lazima muite majina ya viongozi? Sijawahi kuona wananchi walipa Kodi wakipewa heshima yao
@letthedeadburythedead2148
@letthedeadburythedead2148 6 күн бұрын
Hapo ndo ulidanganywa kwamba kodi yako ndo inaleta maendeleo
@user-yk9kb8zh8q
@user-yk9kb8zh8q 5 күн бұрын
@@letthedeadburythedead2148 Wewe huna ujualo kaa kwa kutulia endelea Kula ugali wa mjomba
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 4 күн бұрын
Na ipo siku atatokea mwenzio alie left group atasema iwekwe nembo ya kishoga so bora tuache tu kuna vtu viendelee maana havina ulazima
@ContentSmartphone-rq6po
@ContentSmartphone-rq6po 5 күн бұрын
Jamani TRC msisahau #msoga express please 😂😂😂😂 kama itawezekana
@ContentSmartphone-rq6po
@ContentSmartphone-rq6po 6 күн бұрын
Mzee kikwete yupo au😂
@christopherjoseph8330
@christopherjoseph8330 6 күн бұрын
Ile ya zamani inamfaa kikwete.
@user-ts9lp4rm9j
@user-ts9lp4rm9j 6 күн бұрын
​@@christopherjoseph8330😂😂😂😂😂
@ContentSmartphone-rq6po
@ContentSmartphone-rq6po 5 күн бұрын
😂😂😂😂😂 duh waiandike msoga express 😅😅
@feresianlugera-it8vh
@feresianlugera-it8vh 3 күн бұрын
Mbona hapo mbele ni bampa tu
@ShabaiSadick
@ShabaiSadick 6 күн бұрын
Zile za ujerumani vichwa viwiri viko wapi na vinafika lini ikiwa mabehewa yake yapo tu
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s 5 күн бұрын
RIP JPM
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 6 күн бұрын
ONGERA NYINGI KWA TANZANIA MPYA KWA WAPENDA MAENDELEO , HASA MAMA SAMIA , na JPM THE HERO
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 34 МЛН
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 47 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 47 МЛН
MADEREVA WA TRENI KICHWA MCHONGOKO WAIVA
6:44
TRC RELI TV
Рет қаралды 19 М.
How to win a argument
9:28
ajaxkmr
Рет қаралды 319 М.
HII HAPA  SAFARI SGR  DAR HADI MORO, NDANI YA TRENI YA SGR
10:07
TRC RELI TV
Рет қаралды 36 М.
Kenya vs Tanzania Compared Mega Projects 2024
8:30
African Informant
Рет қаралды 15 М.
Station Tour : Station Mpya ya TRC Dar kama Airport ndogo
10:50