Ungemtumbua waziri wa fedha ingekua vzr sana maana watanzania tunalalamika ila bado yupo tu daa
@deogratiaskatinda923216 сағат бұрын
Nchi ikikosa kiongozi ni hatari sana!
@mayrfrimi475916 сағат бұрын
Mama Samia ukweli ni kwamba kulipa kodi hatuna shida, tatizo kodi zetu za Tz ni za juu mno, zinatuumiza sana
@geey789312 сағат бұрын
sjawahi kusikia speech ya hivi kutoka kwa raisi wa nchi ndugu zangu.kazi tunayo
@elisharenatus935114 сағат бұрын
Sema Rais ni mlalamikaji sana juu wezi badala ya kuchukua hatua ya kuwatumbua very sad
@elioimer842314 сағат бұрын
Kama mama Anasema mnaiba , kwa nini wasistakiwe. Nchi ya ajabu sana.
@Mima-cl2im16 сағат бұрын
Watu wanaiba kama hakuna serikali. Watu wanateseka, bunge limetekwa. Wananchi wanaotetea Mali za wanatanzania wanaambiwa wabebe Mizigo yawo watóke bungeni, utafikiri bunge ni la watu binafsi. Uwongo juu ya uwongo. Wabunge wote wakianza kutowa hoja zawo wanamushukuru Mwenyezi Mungu kisha wanamushukuru Rais. Rais amekuwa Mungu wa pili. huku hawatetei haki.. Wenye akiri zetu tunajuwa hizi ni sifa za uwongowa. Wanayoyasema pembeni wanajuwa wenyewe.. Wanaosema ukweli na watetezi wa haki wanafukuzwa bungeni. Haki iko wapi?
@gm00314 сағат бұрын
Mtu anaeiba anawezaje kupewa kazi ingine???
@freddymtashi502014 сағат бұрын
Kama unajua walikuwa wanaiba mbona huwachukulii hatua!!
@gm00314 сағат бұрын
Kutokopa mama Abdul kunawezekana, PUNGUZA ZIGO LA MATUMIZI YA SERIKALI...mashangingi na mianya ya kupotea kwa pesa za walipakodi, kupitia watendaji wa serikali...na hii kazi ccm haimuwezi.
@justinemsela359316 сағат бұрын
Mh rais wetu Samia, kwann watu au taasisi zinazotajwa na CAG kufuja pesa za uma hawachukuliwi hatua za kisheria na kiwajibishwa
@mabondolawrence181216 сағат бұрын
Mwizi anakaa mesa Moja na muheshimiwa! Mwizi.....nani analinda raia na Mali zao? Nani anapambana na kuzuia rushwa?
@deogratiaskatinda923216 сағат бұрын
Mchoma picha ya raisi yupo sero ilihali wezi na mafisadi wanaachwa tu kwa kubembelezwabembelezwa! Tanzania na vichekesho vya viongozi wetu.
@gm00314 сағат бұрын
Mama Abdul, unafurahisha, Kidata jizi, sasa ndo MSHAURI WAKO WA KODI, haaa Watz kweli sisi ni mafala, ilibifi tuingie mitaani jana na sio kesho, ccm wanatuchezea!!
@mwalimumstaafu852916 сағат бұрын
Professor anasema tunakopa sababu sisi matajiri. Mama hiyo kauli Mh Mwigulu alikuwa atumbuliwe. Ukweli ni kwamba mapato hayaridhishi. Mama matumizi yasiyo ya lazima yapungue. Nashangaa waziri wa fedha halipi kipaumbele. Ripoti ya CAG zinaonyesha pesa nyingi inapotea kwa uzembe wa wafanyakazi. Napendekeza tuwe na sheria kali dhidi ya ubadhirifu wa mali ya umma.
@lukomanomaliki544216 сағат бұрын
Hivi vyeo vya kupeana vina tabu sana.Mtu anaharibu hapa anapelekwa pale.
@michaelmabula744416 сағат бұрын
Mama naomba uwe serious na watz
@MATIKO964014 сағат бұрын
Katiba ya nchi yetu hakika ilitudhurumu haki yetu ya msingi ya kupiga kura, kumchagua kiongozi takwa letu sisi wananchi na sio takwa la katiba ya zamani ambayo haina hata mchango wa mawazo yetu sisi kama raia wa sasa tunaongozwa, huko ni kutuburuza, kutulazimisha kukubali maamuzi ambayo hatukushiriki, Dah!. hayati rais wa Iran alipofariki kwa ajali, uchaguzi ukaitishwa ili kupata rais wa wananchi, na hivyo ndivyo inavyotakiwa hata katiba iwe,makamu wa rais hatumchagui sisi, inakuwaje then anakuwa rais na hatujamchagua? au mimi ndo sielewi, basi mnisaidie mawazo.
@PeterNMzee14 сағат бұрын
Nasikia kichefu2
@htx187312 сағат бұрын
Fisi anapelekwa kwenye mifupa halafu tunaexpect asile mifupa , jamani hivini ni kweli ? 🥴🥴🥴 Time will Tell !!!