UJENZI WA BANDA BORA LA KUKU KIENYEJI | CHOTARA | MAYAI | NYAMA / BROILER

  Рет қаралды 287,485

Changamkia Fursa

Changamkia Fursa

4 жыл бұрын

Ujenzi wa Banda Bora la Kuku | Kuku chotara | Kuku wa Kienyeji | Kuku wa Mayai | Kuku wa Nyama.
Ni video inayofundisha namna ya ujenzi bora wa kuku aina zote.
Kwenye video hii utajifunza
1. jinsi ya kupata ukubwa wa banda kwa aina zote za kuku
2. Malighafi za kutumia
3. Vipimo vya urefu na upana

Пікірлер: 216
@mariandamu7379
@mariandamu7379 2 жыл бұрын
Huyo wakutengeneza banda bora anapatikanaje.
@wariaelipallangyo953
@wariaelipallangyo953 3 жыл бұрын
Elimu ni nzuri sn,inabidi vijana waache kukaa mtaani,kulaumu hawana ajira hii ni ajira tosha amkeni vijana
@geralddamas4099
@geralddamas4099 2 жыл бұрын
KAZI nzuri sana
@jacobndamayape9462
@jacobndamayape9462 4 жыл бұрын
Asante sana kwa kutupatia elimu ya fursa,,nina maswali 2 japo hii post nimechelewa kuiona, 1; Ni tsh ngapi zinahitajika kukamilisha ujenzi pamoja na mtaji wa kuanzia 2; Hao mafundi wapo kila mkoa,mf. mi nipo Geita wilaya ya Mbogwe.Naomba majibu bosi wangu.
@ahamadimbendela9520
@ahamadimbendela9520 2 жыл бұрын
Hongereni sana kwa elimu hii muhimu
@devothabishagazi9360
@devothabishagazi9360 2 жыл бұрын
Ahsante sana
@yoelicleophace1591
@yoelicleophace1591 Жыл бұрын
Ahsante kwa mafundisho yako je kuku 10 wanaweza kufugiwa kwenye banda la ukubwa kiasi gani
@samwelmlyuka2290
@samwelmlyuka2290 3 жыл бұрын
Nimekuelewa sana mkuu
@petermushi8266
@petermushi8266 2 жыл бұрын
safi sana
@ngianazephania6585
@ngianazephania6585 2 жыл бұрын
Ni meelimika sana nitaanza kufuga najipanga asanteni
@eradolyamuya3929
@eradolyamuya3929 4 жыл бұрын
Nashukuru sana bro kwa somo zuri
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Tuko pamoja
@alfredjoshua8625
@alfredjoshua8625 4 жыл бұрын
Banda hili ni zuri.
@joycewafula935
@joycewafula935 4 жыл бұрын
Safi sana naipenda
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Pamoja
@witnessmrema5593
@witnessmrema5593 Жыл бұрын
Asante kwa somo la Banda. Kuku anatakiwa be kula kiasi gani(kg) kwa siku? Hasa wa kienyeji
@sammusau9206
@sammusau9206 4 жыл бұрын
what are those plants they are feeding on?
@awalimunishi
@awalimunishi 3 жыл бұрын
ongera sana
@nambuyalydia8369
@nambuyalydia8369 4 жыл бұрын
Please do u have any English translation for this video
@nathanbugusu2817
@nathanbugusu2817 4 жыл бұрын
Napenda hio design ya banda
@salmamohammedyahaya6098
@salmamohammedyahaya6098 2 жыл бұрын
Namba naomba
@frankkatambi8370
@frankkatambi8370 4 жыл бұрын
Jmani mm naitwa frank,niko Dodoma, nina kuku wangu wa mayai,lkn tatizo wanashida ya kupinda kwa shingo,nimetumia vitamin haijasaidia,chakula nachukuliaga SILVER LAND, naombeni msaada,unamkuta kuku mwingne kapooza miguu,wengine ndo hizo shingo,nitashukuru sana endapo tatizo langu litapatiwa ufumbuzi
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Asante kwa swali zuri, nitaandaa video kujibu swali hili
@dulaabdallah6127
@dulaabdallah6127 Жыл бұрын
Wapatie DCP. Wana uchache wa Calcium
@abduljumanne2731
@abduljumanne2731 2 жыл бұрын
Naitwa abduli juma nne na kaa nzanzib mm tatizo langu kuku wangu wana umwa ndui ya macho nitumiy daw gan na otc nime tumia na abado
@FLIDIUSFIDELIS
@FLIDIUSFIDELIS 2 ай бұрын
Je hao kuku wa nyama, mayai kutaga wanapatikanaje je wao hawazaliani au wanazalianaje maan wao tumesema niwamayai na nyama
@williamoneya2054
@williamoneya2054 4 жыл бұрын
Good work and illustrative
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Thanks
@hassankatram5697
@hassankatram5697 4 жыл бұрын
Naomba kuwa mfugaji mzuri WA kuku nianze aje nko kenya
@mainessngogo3650
@mainessngogo3650 2 жыл бұрын
Nimepanda huo ujnzi wa banda
@amanissahusseinissa7257
@amanissahusseinissa7257 2 жыл бұрын
Daah
@lazarokilamlya3158
@lazarokilamlya3158 4 жыл бұрын
Mm nipo njombe hali yahewa nibaridi sana banda liweje
@richardmusyoka8686
@richardmusyoka8686 4 жыл бұрын
Mimi nimefurahia sana.nitafanya mini nanataka kufuka kuku mia moja za kienyeji
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Video hii itakusaidia kzfaq.info/get/bejne/i7p5oN1_1rjekmw.html
@EdithaPancras
@EdithaPancras 2 ай бұрын
Habari nahitaji fundi was banda.tafadhari tuwasiliane
@agnessjonas3546
@agnessjonas3546 2 жыл бұрын
Naomba na yakoo kaka samahani nataka kujenga banda kama lako
@charleskuyeko1660
@charleskuyeko1660 4 жыл бұрын
Samahani sijaelewa vizuri ulposema tuangalie upande Jua linakotoka na kuelekea na pia upepo. Ni kwanamna gani sasa tujenge. Tuvikwepe au tuelekeze vilipo. Naomba ufafanuzi.
@gerthalupenza2652
@gerthalupenza2652 5 ай бұрын
Naomba mlioneshe banda lote vitu vi n avyokuwepo ktk banda yaan mfumo mzima uliooko bandani
@mwalimumbukuzi7273
@mwalimumbukuzi7273 4 жыл бұрын
nawezaje kupata mtaalam wa kudizain banda nikiwa hapa musoma Mara? maana maelezo mazuri lakini vitendo ni ngumu
@bwanashamba7497
@bwanashamba7497 4 жыл бұрын
Asante Sana kaka
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Tuko pamoja
@petrondege8420
@petrondege8420 4 жыл бұрын
Ahsante kwa somo zuri la utengenezaji wa banda la kuku; ukubwa kulingana na idadi na aina ya kuku.
@allysaimon5596
@allysaimon5596 3 жыл бұрын
Bro asante kwa elim japo Niko nyuma naomba kuulizia nitampataje Hugo shazi mtaalamu wa mabanda ya kuku Niko mwanza mkuu
@aliadinafabian4543
@aliadinafabian4543 4 жыл бұрын
Ahsante sana, naomba namba ya simu yako
@aloycerichard5684
@aloycerichard5684 Жыл бұрын
Naitwa Aloyce Richard kutoka iringa naomba kujua tathimin ya gharama ya Banda la kuku 100
@semenimagai1626
@semenimagai1626 2 жыл бұрын
Nimefurahishwa sana na maelezo yako nimejifunza mengi sana hongera sana Kaka ila tunaomba namba yako tutakuitaji ili utujengee
@robertprotas9427
@robertprotas9427 2 жыл бұрын
Upo mkoa gani mkuu??
@margueritnyingani8844
@margueritnyingani8844 4 жыл бұрын
In a limited space will it be possible to build two storeys for more chicken?
@Lamo254
@Lamo254 4 жыл бұрын
Hujambo mimi natokea kenya na nko Qatar.Hivi karbuni nataka kuanza iyo project .Naomba ushauri wenu in terms of construction shade pia kutoka mwanzo hadi mwisho.Naomba nambari yenu ya whatsapp Ndio tuweze kuongea saidi.Wakati mwema
@humphreykarua5241
@humphreykarua5241 3 жыл бұрын
Asante sana he? Mtaji was kujenga banda ni sh ngapi?kwa kubwa UPI?asante H
@simonbernard2775
@simonbernard2775 3 жыл бұрын
Masomo mazuri nimeelewa vzur sana ukubwa wa banda na idadi ya kuku
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante sana kwa mrejesho wako
@davinesfarm2178
@davinesfarm2178 4 жыл бұрын
Habali wa talam wa changamkia fursa,mimi nimfugaji wa kuku wakisasa wa mayayi, na ninapenda kufyatilia changamkia furusa tv, naomba kujuwa kwanini kuku wangu wanakufa saana hadi 15 kwasiku au zaidi, nimejitaidi kutumiya watalam mbali mbali lakini tatizo linabaki pale pale na kunawakati ndoo linaongezeka,nawana mwezi 4kwa sasa nimeanzana nao 2weeks na walikuwa 1300vifaranga vifo vilianza kwa wingi mara-tu walipo fikisha 8weeks mpaka sasa nimebakia na kuku 620.ijapo walioniuzia vifalanga walinidangamya nikapewa dizaini mbili tofauti za vifaranga ambavyo vilikuwa vimetotolewa kwa aawamu 2tofauti ,bila mimi kujuwa nambegu tofauti ila zote zamayayi. Bazi yakuku kwa sasa kuvimba tumbo na makolomea, na kushindwa kucheuwa, kushindwa hata kula kukaa wana zubaa tu na kufa.
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Asante kwa swali zuri. Nitafute what's app 0752209073 tuongee zaidi
@saidhamisi2795
@saidhamisi2795 4 жыл бұрын
Pole kaka mungu atakujalia utafaulu pia mm nataka nianze kufuga pole Sana usife moyo
@imanifungo5939
@imanifungo5939 4 жыл бұрын
@@changamkiafursa nahitaji kujenga banda bora gharama bei gani?
@manzimatewele1876
@manzimatewele1876 2 жыл бұрын
@@changamkiafursa natamani kuwa mfugaji nina eneo zuri. Pamoja na maelezo mazuri hapo juu nahitaji kuwaona wataalam physically niwahoji zaidi na wanisaidie kuanzisha huu ufugaji kuanzia ujenzi wa banda bora.
@irenemachongo676
@irenemachongo676 3 жыл бұрын
Asante kaka mm nashida na shazi Fundi mabanda nitampataje nipo mwanza
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Chukua namba uwasiliane naye
@irenemachongo676
@irenemachongo676 3 жыл бұрын
Naimba nisaidie namba zake
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Shaz +255622460105
@ramadhanramadhan5051
@ramadhanramadhan5051 4 жыл бұрын
ahsante kwa somo hilo.swali langu ni kwamba. je inawezekana kufuga kuku wa aina zote katika banda moja.?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Sio sahihi kwa sababu utopoteza kiza kwa kuchanganya vina Saba vya kuku tofautitofauti
@asukilemwambene2777
@asukilemwambene2777 4 жыл бұрын
Asante sana
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Pamoja sana
@imanidaniel3537
@imanidaniel3537 4 жыл бұрын
Maana ya chotara .ni mchanganyiko wa aina 2 za KUKU...kroila ni chotara Ila jina limetokana na yule aliye gundua hiyo mbegu
@stafordchamugeni3788
@stafordchamugeni3788 4 жыл бұрын
Asante sana kwa somo lako zuri lufugaji wa kuku na hakika nimeona banda lilivyopendeza.Naomba namba yako ya simu Mimi namba yangu ni 0767586720/0787705467
@cyprianmalius364
@cyprianmalius364 3 жыл бұрын
Unaweza kuchanganya kuku wa aina tofauti katika banda moja?
@filipinadaud885
@filipinadaud885 Ай бұрын
samahani mbona hizo wire mesh za chini ukiwawekea luku wanavimba kwenye nyayo tatizo ni nini tafadhali
@deborahbikengera4061
@deborahbikengera4061 Жыл бұрын
Habari me natamani kufuga kuku wa mayai swali langu ni hili je nisawa kununua vifaranga vya miez 3 au ni bora nianze kulea kwanzia vifaranga vya siku moja
@PaschalAchoko-ox5hj
@PaschalAchoko-ox5hj 4 ай бұрын
Mimi Naitwa Paschal kutoka Dodoma Naomba kuuliza je ni mtaji kisasi gani (kwa kiwango cha chini) ninaoweza kuanzia ufugaji???
@godsonsamwel1431
@godsonsamwel1431 5 ай бұрын
Mahitaji msaada wakujenga banda
@abelsimalenga2158
@abelsimalenga2158 4 жыл бұрын
Mimi nimefuraia hiyo video
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Asante sana
@fatmahemed2189
@fatmahemed2189 Жыл бұрын
Kiukweli mm pia naitaji kufuga kufuga ila eneo langu dogo pia natamani kufuga kuku wakienyej nawale wanyama ila sijajua galama itakost kias gani yakujenga banda lenye uimala kuepuka vibaka
@alfridahmatole1426
@alfridahmatole1426 3 жыл бұрын
Naitwa shoddy mm ninatoka nianjakujenga Banda la kuku nifanyeje
@janewambokamau5660
@janewambokamau5660 Жыл бұрын
Eeeee mm Niko kenya
@abdallahjongotayari8049
@abdallahjongotayari8049 Жыл бұрын
ndaniyabanda chinikunawavu utafagiaje
@justinemweupe6653
@justinemweupe6653 3 жыл бұрын
Nahitaji huduma ya kujengewa banda bora la kuku, tafadhali naomba msaada wako@ changamkia fursa
@janetndeanasiambene3975
@janetndeanasiambene3975 3 жыл бұрын
Nahitaji kujenga Banda la kuku wa Nyama Chotara 500 wa Nyama na 300 wa mayai. Naomba ushauri wa mahitaji
@henrynjovu9147
@henrynjovu9147 3 жыл бұрын
Nice video. Nilitaka kufahamu unahitaji kufuga angalau kuku wangapi Ili ufugaji wako uwe na tija.
@vmokullo9435
@vmokullo9435 4 ай бұрын
Nahitaji kuwasiliana na Charles Kwa ajili ya kunijengea Banda plse
@sajdashariff
@sajdashariff 8 ай бұрын
Je naweza kufuga ktk chumba cha binadamu?
@hellenelifasi8786
@hellenelifasi8786 3 жыл бұрын
Nashukuru kwa elimu je nawezaje kukupata mwalimu?niko Morogoro
@miriamdilli6456
@miriamdilli6456 2 жыл бұрын
Gharama za kujenga banda hili ni kiasi gani?
@ramzanshamsu2948
@ramzanshamsu2948 3 жыл бұрын
Habari mnapatikana wapi na mnatengenez mabanda mtu akihitaji mm nipo dar
@MatlidaMushi-yy8gk
@MatlidaMushi-yy8gk Жыл бұрын
Nataka kujenga banda kuku 600 nahitaji kujua mita ngani na nitafugakwa intensive systems niko mbeya
@abshamsadick2209
@abshamsadick2209 3 жыл бұрын
Habari yako? Asante kwa somo zur naomba kuuliza huo wavu huko chini ya banda hivo panavyobakia wazi hapajazibwa je wa dudu au wanyama kama nyoka hawa wezi kuwaangilia kuku kupitia huko uvunguni?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Hawawezi kwa sababu unajenga banda halafu ndani ndio unaweka uchanja
@WORLDWIDEVIBES
@WORLDWIDEVIBES 2 жыл бұрын
Jins ya kutunza vifaranga na sheria za kufwata
@SeverineLyassi
@SeverineLyassi 7 ай бұрын
Bei ya vifaranga vya kuku chotara?
@daatinzugika4897
@daatinzugika4897 2 жыл бұрын
naomba namba za mtaalamu wa mabanda ya kuku
@JacksonFabiano-cs5km
@JacksonFabiano-cs5km 3 ай бұрын
Na vipi sehemu ya kulala inakua hapo hapo au sehemu nyingine?
@oasiskharim2420
@oasiskharim2420 3 жыл бұрын
Wish it was in english
@Mswanotv
@Mswanotv 3 жыл бұрын
Je Hali ya great ya Arusha tunaita ni joto au baridi
@hyasintaolomi7957
@hyasintaolomi7957 Жыл бұрын
Tunaomba kuona sehemu ya kutagia kuku kweny banda la aina hyo
@happylubamba
@happylubamba Жыл бұрын
Asante njtawalpata wapi
@enocksaruni9723
@enocksaruni9723 Жыл бұрын
Mimi apa naitwa Erick lewanga swali kwa kuna changamoto hali ya mtu labda ametokea katika familia ambayo ipo chini kiuchumi je sasa nitafanyeje ili nipate mtaji wa kua nzisha huu mradi wa kuku kama ujengaji wa mabanda,chakula,nyavu nk??
@rebekaricherd1919
@rebekaricherd1919 2 жыл бұрын
Mtampateje hiyo mjenga banda nipo mkowa wa geita masumbwe
@deniskimario9288
@deniskimario9288 Жыл бұрын
Kwa ufugaji wa kuku wa kienyeji, kuku hawafunguliwi kutoka bandani?
@marydaniel9145
@marydaniel9145 4 жыл бұрын
Hivi humo kuku anaweza kulala mpaka au c ndy utakuta kibaka kafanya yake
@user-dm9mt5kj5c
@user-dm9mt5kj5c 9 ай бұрын
Me niko mwanza nampataje fund wa banda?
@sabinamaheke2095
@sabinamaheke2095 Жыл бұрын
Mnatoa huduma ya ujenz wa mabanda
@josephmadusi5425
@josephmadusi5425 3 жыл бұрын
Naitaj nipate elimu ya ufugaji naomba mnipe namba za cm kwa anae jua
@neemadaniel9710
@neemadaniel9710 Жыл бұрын
naeza kufuga kuku wa nyama kwenye banda la mabanzi?
@errickerrick8547
@errickerrick8547 2 ай бұрын
Naomba kuhulizia kuhusu ayo majani wanakula kuku ni majani gani?
@abelsimalenga2158
@abelsimalenga2158 4 жыл бұрын
Pia nitahitaji kujuwa zaidi kutokana na ufugaji kwa ujumla , kama vile uchanganyaji chakula kwa kupunguza gharama na madawa
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Asante tutaandaa
@mrsamweldaudi445
@mrsamweldaudi445 2 жыл бұрын
Sasa Mimi nikihitaji aina hii ya Banda na fundi wa kunijengea ntapataje?na mfano nikajua itagharim bei gan mpaka kutengeneza Hilo Banda kwanzia mbao bati mpaka mwisho ... Makadirio ya gharama.. Mimi nipo Moshi kwa takribani ya kuku 100
@yakobokakuni-jm2un
@yakobokakuni-jm2un Жыл бұрын
Niko Arusha je ni mgawanyo kiasi Gani ninaotakiwa kuweka Kwa kuku wa mayai?
@dlumala
@dlumala Жыл бұрын
Ninaishi tegeta naomba unisaidie kumpatafundi wa banda let kuku
@rayakhatib7165
@rayakhatib7165 3 жыл бұрын
Nahitaji kujengewa banda la kuku 200 wa nyama niko Dar naomba contact za fundi
@evelynurari9163
@evelynurari9163 4 жыл бұрын
Niko kilombero najiandaa kujenga mabanda ya kufuga kuku wa kienyeji kisasa nahitaji ushauri eneo langu ni kama sqm 15 kwa kumi
@edwinmkesa1334
@edwinmkesa1334 3 жыл бұрын
Naomba namba zen niwe napat ushaurii
@gracemjungu9244
@gracemjungu9244 4 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa masomo mazuri unayotupatia ndugu yetu, naomba unisaidie Kama Nina chumba tuu nikatengeneza Banda la kuku ndani itakuwaje kwa habari ya mwelekeo wa upepo na jua? Au haifai kutengeneza Banda ndani ya chumba? Naomba kujua
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Unaweza ila zingatia ukubwa wa chumba na idadi ya kuku
@gracemjungu9244
@gracemjungu9244 4 жыл бұрын
@@changamkiafursa Asante ndugu yangu
@user-sb5di1gh7v
@user-sb5di1gh7v 10 ай бұрын
Nataka nijue kuku 50 Banda lake litakuwa na ukubwa gani
@jacksonmoye4849
@jacksonmoye4849 4 жыл бұрын
Kama nahitaji kujewa Banda Niko Moshi itawezekana?
@mbutolwemwakambonja9132
@mbutolwemwakambonja9132 Жыл бұрын
Niko Morogoro nitakupataje uje kunijengea Banda Bora la kuku?
@lucyjilanga4436
@lucyjilanga4436 2 жыл бұрын
Nipo Arusha ninahitaji kupata Fundi wa kijenga Banda la kuku
@husnakulele5108
@husnakulele5108 Жыл бұрын
Nahitaji kutengenezewa Banda nakupataje
@simonvicent6153
@simonvicent6153 3 жыл бұрын
Naomben namba za fund wa banda kama hilo plz
@savege-zh8yk
@savege-zh8yk 4 жыл бұрын
Kuku uwa wana penda mahili pa joto ama pabaridi?
@vicentsimba330
@vicentsimba330 3 жыл бұрын
Naitwa Mr, Vicent Niko Sumbawanga,Naomba kujua Kama mnahusika pia katika ujenzi wa Mabanda ya kuku,namba zangu 0623744963.nahitaji Banda la kuku 400,
@umiy1971
@umiy1971 3 жыл бұрын
Ahsante sana kwa video , Tafadhali naomba namba ya mtu ambae anaweza kunijengea mabanda Zanzibar
@annakaleshu5393
@annakaleshu5393 Жыл бұрын
Kuku wangu wanahara nyeupe je niwape dawa gani Niko Arusha ,naitwa Anna
@annakaleshu5393
@annakaleshu5393 Жыл бұрын
Kuku wangu ni wa chotara wako 80
Ushauri wa Mama Lymo kwa Anae Anza Ufugaji wa Kuku Chotara
9:36
Changamkia Fursa
Рет қаралды 54 М.
UJENZI BANDA LA KUKU 1000 - 1300, SEHEMU YA PILI
11:16
Charity Farm
Рет қаралды 26 М.
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 34 МЛН
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 61 МЛН
MAMBO YA KUZINGATIA  KWENYE UJENZI WA BANDA LA KUKU
14:51
AGALUS TV
Рет қаралды 25 М.
How to manage a large poultry farm
13:36
New Vision TV
Рет қаралды 988 М.
KUTOKA CANADA NA KUANZA UFUGAJI WA KUKU WA MAYAI TANZANIA
10:52
Mutafarm TV
Рет қаралды 8 М.
Jinsi ya Kuwalisha Kuku Chotara (Kuroiler) Wafikishe Uzito wa Kilo 5
9:10
SHAMBALULU: UFUGAJI KUKU WA MAYAI KISASA.
28:07
ITV Tanzania
Рет қаралды 15 М.
BANDA BORA LA KUKU CHOTARA | KIENYEJI, FUGA KUKU WENGI KWENYE ENEO DOGO
10:11
MILLIONAIRE KIENYEJI CHICKEN FARMER SUCCESS STORY. PART 1
7:26
AIM Agriculture Farm
Рет қаралды 1,2 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 34 МЛН