MAMBO YALIYOMCHEFUA MAGUFULI KUPITA KIASI LEO NI HAYA..

  Рет қаралды 1,238,407

Global TV  Online

Global TV Online

4 жыл бұрын

MAMBO YALIYOMCHEFUA MAGUFULI KUPITA KIASI LEO NI HAYA..
Rais Dkt John Magufuli, leo Novemba 27, ameanza ziara rasmi katika mkoa wa Shinyanga, ambapo kabla ya kuwasili amesimama katika maeneo tofauti tofauti barabarani na kuzungumza na wananchi..
#MAGUFULI
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY:
kzfaq.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
kzfaq.info?list...
GLOBAL RADIO TV:
kzfaq.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
kzfaq.info?li

Пікірлер: 677
@mustaphakijazi9807
@mustaphakijazi9807 Жыл бұрын
Wanao itazama hii mpaka sasa mwaka 2023 naombeni like zenu
@EdithaJohn-qc3me
@EdithaJohn-qc3me 5 ай бұрын
Hawezi kusahaulika
@jonkarymalema1236
@jonkarymalema1236 3 ай бұрын
Mpaka sasa 2024 tupooo
@JuliusRaphaelbundala
@JuliusRaphaelbundala 3 ай бұрын
​@@EdithaJohn-qc3me❤❤❤❤
@user-tl9oz4se6w
@user-tl9oz4se6w 3 ай бұрын
Mpaka 2024 na kuendelea🎉
@HadiaMohammed-ec2dn
@HadiaMohammed-ec2dn 2 ай бұрын
2024
@user-be8lz2xf2t
@user-be8lz2xf2t Ай бұрын
2024 tunaoitazama gonga like.
@mckiboevents
@mckiboevents Жыл бұрын
Niko 2023 bado nafuatilia hizi clips Hadi zitakapofutwa. Kama bado unafuatilia gonga like hapa.
@imanuelpoteza6846
@imanuelpoteza6846 2 жыл бұрын
Jamani waliommisi huyu mzee tujuane kwa like hapa
@JaredFabian-zy4ez
@JaredFabian-zy4ez 9 ай бұрын
nimemkumbka sana jamaa
@BarakaLulay
@BarakaLulay 12 күн бұрын
Mic you dady
@natafutapesa9678
@natafutapesa9678 2 жыл бұрын
Mungu anayaona machozi yetu. Pumzika kwa amani jemedali wetu mfalme wetu
@michaelmlelwamichael4371
@michaelmlelwamichael4371 2 жыл бұрын
Mungu akusamehe akupunguzie Adhabu John wet hatutakusahahh
@user-st5ll8nb7j
@user-st5ll8nb7j 3 ай бұрын
Kwell kabisa
@user-gi3wt5ml3k
@user-gi3wt5ml3k 5 ай бұрын
Nitakukumbuka sana rais wangu magufuri mpaka mwisho wa maisha yangu
@kombosalehe3156
@kombosalehe3156 3 жыл бұрын
Kuna funzo kubwa sana kwenye crip hii! Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi! 😢
@bestonnziku4277
@bestonnziku4277 Жыл бұрын
Daaah
@tzbrmediashow7580
@tzbrmediashow7580 Жыл бұрын
😢😢😢😢
@GraceKwayu-yo4zf
@GraceKwayu-yo4zf 9 ай бұрын
Ameen
@boombasticjoseph1105
@boombasticjoseph1105 3 жыл бұрын
Now i understand why some Tanzanians were fainting during body viewing! The Best President i ever seen on earth, have never seen a leader who is very close to his people than this guy. RIP Mr. President!
@user-db8gh6yz5w
@user-db8gh6yz5w 10 ай бұрын
Am a kenyan pastor,bt the presie has touched mie,he act like genuine pastor,may the lord protect his soul in heaven!❤❤❤❤❤
@SimonSamson-me2bo
@SimonSamson-me2bo 7 ай бұрын
Ulipaswa kuishi Magufuli
@jenifercynthiakazimoto5392
@jenifercynthiakazimoto5392 3 жыл бұрын
Asante Mungu kwakutupatia Raisi mwenye upendo Kama Raisi wetu Magufuri love you Baba.
@elinamadalali4740
@elinamadalali4740 3 жыл бұрын
Asante mungu nilizaliwa tanzania
@asiaissa976
@asiaissa976 4 жыл бұрын
Namuomba mungu akuingize kwenye rehma zake amiin
@bestonnziku4277
@bestonnziku4277 Жыл бұрын
Amin atatenda daimaaa n mweemaa
@JONATHANMUMOMUSIC
@JONATHANMUMOMUSIC 5 ай бұрын
❤❤❤ I'm from Kenya and I really value this president my his soul rest in peace
@chuwaloonlinetv6672
@chuwaloonlinetv6672 4 жыл бұрын
Anaesema magufur mbabe mwache kwan hajui uchungu wa mwana much respect magufuri
@hadijasobo3695
@hadijasobo3695 3 жыл бұрын
Umeonaeeee
@Steve-ij2lr
@Steve-ij2lr 2 жыл бұрын
mungu amutuze rais makufuli
@user-st5ll8nb7j
@user-st5ll8nb7j 3 ай бұрын
It will get a
@feldeterchilanga2092
@feldeterchilanga2092 3 жыл бұрын
Tanzanians people am really sorry for the big loss magufuli you have broken my heart 😭😭😭😭😭😭💔💔😭
@mulongonzazi9241
@mulongonzazi9241 3 жыл бұрын
Realy it is a big lost from Drcy heart is broken 🙈🙈🙈🙈🙈na muliya kabisa makufuli Mungu umushunge mutumishi wako
@MH-nq7wy
@MH-nq7wy Жыл бұрын
​@@mulongonzazi9241 This big man as a socialist was killed by capitalist. TZ as a country of oportunities, Magufuli couldn't live longer!!
@mzeemzee2467
@mzeemzee2467 4 жыл бұрын
Hapa ndo ninapomfahamu Mh. rais kuwa kazi ya urais ni kazi ngumu sana. Mungu akusaidie na akupe moyo huo huo wa kutatua matatizo ya wananchi wako.
@dominicsomola402
@dominicsomola402 4 жыл бұрын
...pamoja n hayo watu wanaikimbilia sana...kwa kweli inaliza kwa kweli...
@nicehonesty912
@nicehonesty912 3 ай бұрын
😭😭😭😭 jaman nalia apumzike tu
@benjaminfataki6898
@benjaminfataki6898 4 жыл бұрын
huyu baba magufuli mungu amuzidishiye maisha marefu anajuwa teteya haki za binadamu.
@aminashabani5399
@aminashabani5399 4 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akulinde Rais wetu uweze ishi maisha marefu
@mudamape8415
@mudamape8415 3 жыл бұрын
Inauma sana
@robertsimba5081
@robertsimba5081 4 жыл бұрын
Am a Kenyan but I admire alot how this president comes to the ground ...what a humble person he is...God bless him always
@happymasaweyangababalao4486
@happymasaweyangababalao4486 3 жыл бұрын
Mungu azidi kumtunza rais maguful ni rais wa wanyonge
@maro4525
@maro4525 7 ай бұрын
​@@happymasaweyangababalao4486😅
@pili1234
@pili1234 3 жыл бұрын
Allah akupe maisha marefu uzima na afya rais wetu wa wanyo wanyonge
@mercyokari8233
@mercyokari8233 3 жыл бұрын
Can't stop watching this😢😢😢continue resting in peace Mzee magufuli until we meet again in heaven😭😭😭
@zeinabhassan6071
@zeinabhassan6071 3 жыл бұрын
African lost a great leader....Tanzania people are very lucky to have a wonderful leader like magufuli...may his soul rest in peace
@godfreylyimo4177
@godfreylyimo4177 3 жыл бұрын
Tutakukumbuka sn Rais wetu!! Viatu vyako ni vikubwa sn
@crispinmsongole8875
@crispinmsongole8875 2 жыл бұрын
Sanaaaaaaaa
@samuelmtasha9272
@samuelmtasha9272 4 жыл бұрын
Maskini Rais hadi analia, so painful! Mungu mbariki Rais wetu
@husseinbararukaza428
@husseinbararukaza428 3 жыл бұрын
Eee MUNGU sidhani kama itakujatokea Rais wa wanyonge km huyu daaah MUNGU ninamuweka Rais wetu mikononi mwako umlinde na kila aina ya uadui na magonjwa mpe kibali cha kuongoza mpaka utakapo sema bac
@athumankigoma4585
@athumankigoma4585 3 жыл бұрын
@@husseinbararukaza428 j
@aminamussa5122
@aminamussa5122 4 жыл бұрын
Daudi atafutwe, JPM ahsante Muheshimiwa, Toeni hela ndio mtajifunza.
@rosekamwesa964
@rosekamwesa964 11 ай бұрын
This was a true shepherd who took interest in the experiences of those he led. Wish we had more of him in Africa!
@kamaukamau6233
@kamaukamau6233 3 жыл бұрын
Let negative people say what they want to say about the late President John Pombe Magufuli,but I don't know if Tanzanians will get another president with a heart of Gold like Magufuli,indeed he was like a real father to his countrymen
@hijaiddi6950
@hijaiddi6950 3 жыл бұрын
Mung amuwoke mahalo pema
@mariaalfred8463
@mariaalfred8463 3 жыл бұрын
Mungu akupumzishe laisi wetu laisi wawnyonge tunakukumbuka
@shaabansoma7661
@shaabansoma7661 4 жыл бұрын
I'm in love with magufuli a man of people, also a gift from Allah so as to save people who have been crying for long time without help.Magufuli a president of the century from Bongo.
@officialnaa8470
@officialnaa8470 4 жыл бұрын
Hongera sana Rais wetu na pole kwa kwa kazi ngumu
@emmysam1510
@emmysam1510 3 жыл бұрын
John wangu jamani..we miss you babaaaa😭😭
@uchebemediatz4640
@uchebemediatz4640 3 жыл бұрын
We will always mic uuuuu
@mamymdogomamy3670
@mamymdogomamy3670 4 жыл бұрын
Masikini mpaka mwafanya Rais yuwalia mungu amjalie apite tena muhula ujao🙏🙏
@lightnessgamasa6022
@lightnessgamasa6022 4 жыл бұрын
Mungu akubariki kwafaraja barikiwa
@christophermzumara4267
@christophermzumara4267 2 жыл бұрын
This man was a true definition of a generous leader, backed with a sense of humor and integrity
@estherkamate8061
@estherkamate8061 3 жыл бұрын
He was a really father, tume poteza jameni
@ahmadrajabu5796
@ahmadrajabu5796 3 жыл бұрын
Hakika jamani
@thulanicele7843
@thulanicele7843 4 жыл бұрын
this is the only president who has made me shade tears cause of what he does.the love for his people.much love my hero and role model.
@1josephmhenga83
@1josephmhenga83 4 жыл бұрын
9999999
@mariamalongo8803
@mariamalongo8803 3 жыл бұрын
I love him and the way he works
@DottRoBroc
@DottRoBroc 3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa!
@josephsabuni4521
@josephsabuni4521 3 жыл бұрын
True
@royfordmwenda3311
@royfordmwenda3311 Жыл бұрын
true 👍 he died of heart problems
@emanuelsiara3937
@emanuelsiara3937 4 жыл бұрын
Mwenyenzi Mungu, umlinde rais wetu.
@donardndalu3100
@donardndalu3100 3 жыл бұрын
Nc
@johnpesambili4806
@johnpesambili4806 4 жыл бұрын
Kuna siku tutayajibu haya mbele ya mungu na nalipo ni hapa hapa duniani. Yaani kumbe bila Rais utu haupo viongozi wa ngazi za mikoa, wilaya ,tarafa , kata viongozi wa kijiji na viongozi wa dini kweli hatuyaoni haya hayatuumi mioyo yetu mpaka Raisi aje basi tumuogope hata mungu jamani.
@johnmathenge3406
@johnmathenge3406 2 жыл бұрын
Ukweli kaka yangu hadi mimi nashangaa kuwa huyu mama hakusaidiwa mpaka Rais JPM alikuja kumsaidia. Hata hapa nchini mwetu Kenya wabunge, mawaziri, polisi, viongozi hawajali maisha ya wananchi wao heri jeshi ndio watu wanategemea pamoja na Mungu.
@bulugubujashi6378
@bulugubujashi6378 4 жыл бұрын
Nimempenda sana huyu rpc Yuko vizuri sana aise
@mugishachance8844
@mugishachance8844 3 жыл бұрын
Iam really crying like now! Nimeguswa na ubinadamu Dr president Magufuri alikuwa nao kweli ameondoka Imeniuma na kuona Video zake jinsi alikuwa Anasaidia watu yani machozi tuuu nalia tu. Yani alikuwa na ubinadamu mwingi moyoni mwake ,, kweli tungekuwa na watu Kama yeye dunia ingebadirika Paradise. Rest in Peace Sasa hivi umekaa na mungu mbinguni ulisha fika. Tutakukumbuka forever.
@Elimollel
@Elimollel 10 ай бұрын
Hatutamsahau milele
@ahmadisaidi8195
@ahmadisaidi8195 9 ай бұрын
Wen ever I watche magufuli😢😢😢😢so sad my god bless him rip
@angelatarimo1969
@angelatarimo1969 3 жыл бұрын
Hapa ndipo nampompenda rais kwa kweli Gold bless you Magu 🙏
@hijaiddi6950
@hijaiddi6950 3 жыл бұрын
Tutakukumbuk Sana baba♥️♥️♥️
@moddysalim5839
@moddysalim5839 4 жыл бұрын
Moddy from kenya hongera rais makufuli marais wote wa Africa hasa east africa wangize mwenendo wake mungu akulinde rais mtenda kazi
@edwardsostenes8048
@edwardsostenes8048 2 жыл бұрын
he will never die in my heart until I die
@jamesmasila6873
@jamesmasila6873 2 жыл бұрын
Oh my God
@thomastarimo
@thomastarimo Жыл бұрын
Kaka magufuli maishani mwangu siwezi kukusau kamwe
@ChrispinusJuma
@ChrispinusJuma 8 ай бұрын
Wewe ni shujaaa🎉🎉🎉❤❤❤
@elizabethdeus1343
@elizabethdeus1343 4 жыл бұрын
Oyoooooo miaka Mia baba kweliweweni laisi wa wanyonge
@ianolango8207
@ianolango8207 3 жыл бұрын
I can't just stop watching this man and for sure, the world will never find a man like this and Africa has lost Her Son. Poleni sana wana Tanzania na Mungu awarehemu
@maryonejose3857
@maryonejose3857 2 жыл бұрын
,m
@ashamwandu3781
@ashamwandu3781 4 жыл бұрын
Nimeambulia Julia tu machozi mie.Nasema mungu mtunze magufuli nakuombea Sana
@ngisianbn
@ngisianbn 3 жыл бұрын
Ooh GOD..What a leader we've lost. Mungu alikupenda zaidi
@loner_wolf
@loner_wolf 4 жыл бұрын
Hapo ndio utajua rais pia NI binadamu , anachukizwa na uzembe na ucheleweshwaji wa maamuzi , sio kwamba anatumia pesa au nguvu...... Huo ndio ukweli watanzania tunamazoea yàkipumbavu sana
@saumuhassan3796
@saumuhassan3796 3 жыл бұрын
Mheshimiwa mm ni Mzbar binafsi kura yng ilikuja kwako na 2020 in sha Allah sirudi nyuma. Ila na sisi huku shida tunazo.
@ruqayaruqaya4283
@ruqayaruqaya4283 3 жыл бұрын
Polen sn sie tz bara tuna peta tu na rais wetu mtetez wa wanyonge lkn huko zanzibar mwinyi c yupo?
@emmysam1510
@emmysam1510 3 жыл бұрын
Mwinyi si yupo..siye kashatangulia mbele za haki
@aminamussa5122
@aminamussa5122 4 жыл бұрын
Kagonga kaua halafu anazurura tuu mtaani? Apate life in prison wajifunze Naaaah wanaonewa sana ahsante JPM.
@user-wp2uj7wt1i
@user-wp2uj7wt1i 5 ай бұрын
..this man was an Angel sent from heaven. I can't stop crying for him😭 My one wish kama Kuna uwezekano Mungu amuinue jman😭 Rest in peace Dr.JPM❤
@neemamayco3238
@neemamayco3238 4 жыл бұрын
Magu cna neno na ww ila nakuombea kwa mwenyeenzi mungu akusimamie
@evab5386
@evab5386 4 жыл бұрын
Makufuli mungu akubariki you're a good president in African 🌹😭😭😭😭
@user-hh1sy2qz1j
@user-hh1sy2qz1j Ай бұрын
Feels heavenly when a prominent person got humanity and believes in God. SO HEAVENLY
@evelynlehnard3928
@evelynlehnard3928 4 жыл бұрын
Rais akiwa mcha Mungu inchi inabarikiwa.
@pastorrusagarajosephsolo8692
@pastorrusagarajosephsolo8692 2 жыл бұрын
Tupate wapi tena mtu kama huyu ambaye Mungu alikaa ndani yake 😭😭😭😭😭😭
@Elimollel
@Elimollel 10 ай бұрын
Yaani acha tu"!!
@JosephSila-rd1wz
@JosephSila-rd1wz 10 ай бұрын
Labda azaliwe mwaka huu
@IreneCtz
@IreneCtz 5 ай бұрын
😢
@fidelisvenance6431
@fidelisvenance6431 3 жыл бұрын
R.I.P HERO JPM 🙏
@ashasalehe7726
@ashasalehe7726 3 жыл бұрын
Pumzika SHUJAA WETU😭😭😭😭
@merryloya4893
@merryloya4893 4 жыл бұрын
Mungu akutunze Rais wetu
@saidiuchebe5203
@saidiuchebe5203 3 жыл бұрын
We will miss you so much our dad Magufuli😭😭
@georgekimboka6218
@georgekimboka6218 4 жыл бұрын
Nakupenda sana Mh Raisi Magufuli nakupenda sana nakuombea sana mema makubwa sana toka kwa Mwenyenzi Mungu Mkuu Mtakatifu
@hdmtanzania2617
@hdmtanzania2617 4 жыл бұрын
Mwenyez Mungu akujalie mh Rais
@geraldmakaranga9385
@geraldmakaranga9385 3 жыл бұрын
Rais mungu akulipe kwa mema unayowafanyia wa2 wako unaowaongoza mungu akupiganie kwan unasafar ndef shetan yupo mawindon akikuwinda lakin kwa jna la yesu ashindwe milele
@rahelgika3870
@rahelgika3870 4 жыл бұрын
Tawala milele Raisi wetu🙏
@zipporamosinya4193
@zipporamosinya4193 3 жыл бұрын
Makuvuri Ali fanya kazi nzuri mungu humuweke pazuri hapumusike sarama amina
@manmwananzungu8945
@manmwananzungu8945 4 жыл бұрын
Ww nirais wa wanyonge nakupenda cn makufuli kimbilio la wanyonge mungu akupe umri mrefu
@jacquesntabagara3682
@jacquesntabagara3682 3 жыл бұрын
God bless our Africa United president Pompe Magufuli for real.Jah know
@nancymohamedy7672
@nancymohamedy7672 3 жыл бұрын
Mwenyezi mungu ampe maisha marefu muheshimiwa rais wetu Magufuri
@isaacmasibo3183
@isaacmasibo3183 Жыл бұрын
Not only Tanzania lost a very power committed president but African, worl we lost very powerful Man who could one day Transform Africa 😢😢😢😢😢 may your soul rest easy President John Pombe Magufuli still hear in +254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 its like we have lost you today ur words solving issues was more of a leadership God grand Tanzania, Uganda Kenya such people 😢😢😢
@mbereser0saidi318
@mbereser0saidi318 2 жыл бұрын
Mungu akurehemu rais wetu mpendwa umeondoka bado tulikuwa tunakuhitaji mungu tunaomba utende maajabu katika karine hii wewe ndy kimbilio letu
@mariamuseifu3065
@mariamuseifu3065 3 жыл бұрын
Allah akupe maisha marefu Rais wetu Insha Allah
@naomymoraa1154
@naomymoraa1154 3 жыл бұрын
Why did you die😭😭😭?may you rest in peace mkombozi wa wanyonge,,,I wish Kenya we had such a leader,
@willywaire50
@willywaire50 2 жыл бұрын
Sometime s I watch this & cry 😭😭 may God 🙏 keep magufulis soul on internal peace..
@wanguibundi4017
@wanguibundi4017 4 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa kazi nzuri mheshimiwa raisi
@masambamichel6453
@masambamichel6453 3 жыл бұрын
I can't stop crying for mister magufuli
@kilimanjaro77international26
@kilimanjaro77international26 2 жыл бұрын
Tears dropping when absorbing this
@veronicaoman8764
@veronicaoman8764 4 жыл бұрын
Nampenda Rais wangu mambo yake ni makuu yakinabii
@sophiaomar3442
@sophiaomar3442 4 жыл бұрын
Raisi mwadilfu magufuli
@issamohd2674
@issamohd2674 4 жыл бұрын
nchi hii yaan mnyonge apati haki mpaka Rais aje mwnyw
@mkusibaleluye4317
@mkusibaleluye4317 3 жыл бұрын
Big up sana uncle magu nakukubali sana
@Ryoof-qo7if
@Ryoof-qo7if 3 жыл бұрын
C afandali kwenu je kwetu kenya ata aje nani shida 2😭😭mungu 2
@ahmedamar1329
@ahmedamar1329 3 жыл бұрын
MH..Rais Wa Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Una Kazi Kweli Baba Angu Maana Haya Mambo Yapo Kweli Baba Akuu Amini Ilo Sema Wewe Ni Raisi Wa Wa Wa Nyonge Mungu Akupe Umri Mrefu Na Nguvu Kwa Ilo
@emmanuelmagembe8256
@emmanuelmagembe8256 4 жыл бұрын
Pole sana mama angu mungu yupo atakusaidi mama
@mtitagirloriginal6890
@mtitagirloriginal6890 3 жыл бұрын
Siamin chochote bado namuona Tu Rais wangu wacha tukulilie Kwa kweli tunahaki ya kukulilia
@petrofidelis5751
@petrofidelis5751 2 жыл бұрын
Mungu akulaze mahala pema peponi Jemedari wa Africa
@kibonaamenye6878
@kibonaamenye6878 4 жыл бұрын
ubarikiwe sana mkuu, Mungu akuzidishie ukawe taa kwa wenye giza la kunyanyaswa
@PetersonNyaga-dk5oi
@PetersonNyaga-dk5oi 5 ай бұрын
The best president Africa has ever had,.. maghufuli was a real deal for this continent
@AugenBatista-qg3rc
@AugenBatista-qg3rc 5 ай бұрын
He was logical and reasonable 🙌
@mariekyosse2684
@mariekyosse2684 2 жыл бұрын
Mungu akupokeye baba
@aishsharuni3151
@aishsharuni3151 4 жыл бұрын
Aky natamani nkuwe mtazania
@djangounchained6867
@djangounchained6867 4 жыл бұрын
nichek kwa namba yangu.....naweza kukufanya uwe mtanzania
@GraceKwayu-yo4zf
@GraceKwayu-yo4zf 9 ай бұрын
Nimelia tena upya jmn!!! Tumpate wapi tena mtu km huyu... Ambaye Mungu anakaa ndani yake... Pumzika kwa Amani baba yetu...
@jamesfadhili5905
@jamesfadhili5905 3 жыл бұрын
Can't stop mourning this man magufuli
@gastonamnon7005
@gastonamnon7005 3 жыл бұрын
Tumempoteza Mtu mmoja kama watu Billion 1 😭😭😭😭😭💔🕊🕊🕊
@mangretiluboya2990
@mangretiluboya2990 3 жыл бұрын
Pooole saana, nakuombea sana rais kwa kuondok
@theresakalambo2435
@theresakalambo2435 3 жыл бұрын
REST IN Peace BABA
@nyirahategekimanadjasumin3028
@nyirahategekimanadjasumin3028 3 жыл бұрын
Akonamapenzi ka ma yesukristo
@irenemathenge5637
@irenemathenge5637 3 жыл бұрын
@@mangretiluboya2990 W
@mariammohamed4772
@mariammohamed4772 3 жыл бұрын
Mungu umlinde raisi wetu magufuri
@NajvanNilivan
@NajvanNilivan Ай бұрын
Jamani tulip mmiss uyu baba yetuu gonga like
@michaelmbata8582
@michaelmbata8582 9 ай бұрын
Truely you were a servant of people. May you continue resting in peace. John Pombe Magufuli
@pendoathuman1662
@pendoathuman1662 3 жыл бұрын
Mm naona kama ndoto kweli baba umelala pumzika salama
@iddikibaitz514
@iddikibaitz514 Ай бұрын
Mungu akuwekee sehem salama ishaallah peponi
@magemushi5594
@magemushi5594 3 жыл бұрын
Nitakumisi Sana raisi wangu magufuli nitalia milele
@Jean-bj5md
@Jean-bj5md 3 жыл бұрын
God fearing man Gobleess his soul rest in peace Papa
@priscadaniel7
@priscadaniel7 3 жыл бұрын
Hakika mungu tusaide
@user-mh4kb7ke6b
@user-mh4kb7ke6b 3 ай бұрын
Minapenda magufuri sana but African presidents plz work magufuri RIP
@rosemarywelishe9069
@rosemarywelishe9069 2 жыл бұрын
I'm weeping for the loss of President Magufuli once again! Indeed we have lost an African leader who is irreplaceable!
@frankisaya2788
@frankisaya2788 4 жыл бұрын
Frank.isaya Raisi wa nyonge nakupenda sana endelea kuinua uchumi wa nchi
"RPC UMLIPE HUYU MAMA MIL 15, HUYO GADDAF YUKO WAPI KWANI? - JPM
11:08
Global TV Online
Рет қаралды 3,7 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 20 МЛН
🌊Насколько Глубокий Океан ? #shorts
00:42
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 127 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
Wananchi 'WAMCHONGEA' MBUNGE, DC kwa MAGUFULI LAIVU - "WANATUTISHA"
15:50
Global TV Online
Рет қаралды 710 М.
Van Damme Vs Atilla
9:45
kuhen25
Рет қаралды 21 МЛН
Mwanafunzi ‘AMKUNA’ MAGUFULI, ATOA MILL 5, Ampandisha Kwenye GARI!
13:43
"NAKUAGIZA MSIMAMISHE KAZI LEO, AMEUA, ETI ALILEWA, KHAA" - MAGUFULI
8:19
HOTUBA KAMILI YA RAIS MAGUFULI AKIWA MUSOMA - 05/09/2018
1:08:30
LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM
48:48
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 20 МЛН