MAKONDA AMCHENJIA POLISI - ''AFANDE ACHA MASIHARA BASI - HUYO MTU ANAFANYA UHALIFU - KUNA SHIDA''...

  Рет қаралды 145,843

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

MAKONDA AMCHENJIA POLISI - ''AFANDE ACHA MASIHARA BASI - HUYO MTU ANAFANYA UHALIFU - KUNA SHIDA''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 118
@globaltv_online
@globaltv_online 2 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@RASHIDMPUMU
@RASHIDMPUMU Ай бұрын
Mkuu wa mkoa, upo vizuri kabisa, wewe unabahati sana mshukuru sana Mungu wako fanya sana ibada umeifanya Arusha kuwa pamoja na wewe wengi tulijua unaenda mahala pagumu kumbe hakuna mkate mguu mbele ya chai
@binamungulameck8655
@binamungulameck8655 Ай бұрын
Mkuu wa mkoa Arusha unachapa kazi🙏
@johnrambo9642
@johnrambo9642 Ай бұрын
Mwenye kiti mbona ana akili sana kuliko police na wengine
@kyannickk2be
@kyannickk2be 2 ай бұрын
tumepokea tunafanyia kazi....so Mkuu wa Mkoa asingekuja msingefanyia kazi!!!?
@Mohaa4309
@Mohaa4309 2 ай бұрын
Noma sana
@David-if6nk
@David-if6nk Ай бұрын
😂
@JuliusHatari
@JuliusHatari Ай бұрын
SI apo sasa ,yaani ni hatari
@M_tika
@M_tika Ай бұрын
Huyo kibaka kitu ataenda kufanyiwa huko 🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@JeremiasikilianiJeremiasikilia
@JeremiasikilianiJeremiasikilia Ай бұрын
Yes chief, Makonda I give u a big respect for that you are right🙏
@user-el5fd8kk6y
@user-el5fd8kk6y Ай бұрын
Sipatii picha siku Makonda ajekua Rais wa Nchi hii walahi tutakoma😂😂😂😂😂😂😂😂
@ondaomari6255
@ondaomari6255 2 ай бұрын
Wote wakiwa kama Makonda Tz kama ulaya moja kwa moja
@videralfred8889
@videralfred8889 22 күн бұрын
ni kweli kila mtu akisimama kwenye nafasi yake kikamilifu maisha yatakiwa rahisi tz
@susananyasani6526
@susananyasani6526 2 ай бұрын
Huenda Polisi wanashiriki na Wizi anaotendenda na kuvuncha Nyumba za Wananchi wanapokuwa kazini Kijana huyo asante
@JacrineKibira
@JacrineKibira 18 күн бұрын
Mwenyezi ametuletea ww kama magufuri tunataman ungekuwa uku kagera mzee
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 2 ай бұрын
Afande itakua anafaidika na huyo kibaka
@user-it2tr7ny8d
@user-it2tr7ny8d 2 ай бұрын
Habari mbana ya zamani😂😂😂
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 2 ай бұрын
Polisi wa tz ni wahovyo sana tatizo ra mapolisi tz hawajui kabsaaa usarama hakuna,,uku Oman ukipga sm polisi tu wanakuja hawangari wiraya wara kata mazari kunatukio tu wanarishugurikia nashangaha viongozi wanasafri nchi za watu hawajifundi
@shamzone388
@shamzone388 2 ай бұрын
Kila nchi na sheria zake Usijivunie police wa oman ni nchi yao na ni wajibu wa kulinda nchi yao… Nchi yetu hata ikiwa vipi tutarudi makwetu tukamalize maisha yetu Makonda hoyeee❤❤❤
@basharahamtzhalisi6871
@basharahamtzhalisi6871 Ай бұрын
Mbona kama vile mkurya anaishi Oman?
@nshishiponsian8853
@nshishiponsian8853 23 күн бұрын
Yaani kijiji kizima mnasumbuliwa na kibaka mmoja,vizieni mmalize kimyakimya
@JamesJames-b4u
@JamesJames-b4u 18 күн бұрын
Piga kazi baba❤
@modestalois2535
@modestalois2535 18 күн бұрын
Kuna jambo mkuu ameshindwa kulitamka hadharani lakini wenye D mbili tumeelewa 🎉🎉
@SelijusiMalambo-rh6sf
@SelijusiMalambo-rh6sf 2 ай бұрын
Huyo nyota niza nini hajuwi kitu chochote
@David-if6nk
@David-if6nk Ай бұрын
Hahahahaa
@ahmedalfan8075
@ahmedalfan8075 Ай бұрын
Nashindwa kuwaelewa police wa tz sijui wamerogwa nanani dah
@myself4128
@myself4128 12 күн бұрын
Yaani Mpaka Mkuu wa Mkoa Aingilie????hao Polisi basi wanafuga Majambazi
@MussaIssa-il1kp
@MussaIssa-il1kp 7 күн бұрын
Nakubal paaul makonda
@cisselamerverille5286
@cisselamerverille5286 Ай бұрын
Baraka 🙆 kwisha kabisa...
@PetroMadada
@PetroMadada Ай бұрын
Makonda ishi maisha marefu Kwa hekima ya utumishi
@alexanderkapinga700
@alexanderkapinga700 Ай бұрын
Hakuna kitu hapo Mkuu Makonda kunahitajika kitu cha ziada.
@Ahmedikiringamoyo
@Ahmedikiringamoyo Ай бұрын
Hongerasana makonda munguakubariki
@user-ih9xy5vd5d
@user-ih9xy5vd5d 2 ай бұрын
Nchi imeoza hii dah mpaka aibu, mifumo ya ajabu kabisa, hii mikutano ni mpaka lini? Nyerere alijitahidi kuondoa ujinga lakini mpaka leo hii majitu majinga yamekaa hapo, unatatua matatizo kama gengeni?
@user-fi1yg4qj1i
@user-fi1yg4qj1i Ай бұрын
Ila makonda anajua kuwakamata watu napendaga sana hapa kiongozi wawanyonge tunae🙏🙏🙏
@seiphyahya5353
@seiphyahya5353 Ай бұрын
Huyo mwizi achukuliwe hatua na wenzake kama walivyofanywa wale PANYA ROAD WA DAR.
@AllberthaIgango
@AllberthaIgango 17 күн бұрын
Hivi Hawa maasikari Wana elimu Gani jamani nyinyi ndo mnaomuua makonda
@AmiriSalum-d5c
@AmiriSalum-d5c 27 күн бұрын
Jibu nikwamba tuenda kumkamata tuna kuja nae akatumikie KIFUNGO Cha MAISHA Hilo ndio jibu sio tutalifanyia KAZI lini MKAMATENI sasahivi
@SifaelMpagike-gt1gz
@SifaelMpagike-gt1gz Ай бұрын
Mungu irehemu nchi yetu
@MosesLutahiwa
@MosesLutahiwa 8 күн бұрын
Icho cheo hakikufai baba gombea uraic
@evelina9621
@evelina9621 Ай бұрын
Polisi.mishahara.vizuri.kazi Endele
@user-qt7jd5on4z
@user-qt7jd5on4z Ай бұрын
Mbona mnaweka maridio shida nin
@TALLUBOY
@TALLUBOY 21 күн бұрын
Uyo dawa yake hauwawe Mbona kitu simple sana jaman
@imeldasamwel539
@imeldasamwel539 Ай бұрын
Eti naye anaitwa police wanachafua jina serkal tyu haw
@emmanuellupiga
@emmanuellupiga Ай бұрын
Mengine sio ya kwenye maiki walosikia hii tujuane Nawaza makonda anawaza nn kwa kauli hii😂😂😂
@JumaMadebe-gp7ov
@JumaMadebe-gp7ov Ай бұрын
Watu, Kam hawo! Mungu ana watoa, wachache tu, huyo ni mwamba
@dstaroficial
@dstaroficial Ай бұрын
Hapa makonda umenikosa yan inafikia wakat unaweza ukampenda mwiz ukanchukiabpolic hawpolic dah
@LilianKisumbi
@LilianKisumbi Ай бұрын
Kazi nzuri
@SalumuAsumani-z4v
@SalumuAsumani-z4v 8 күн бұрын
Makonda analoho nzurit kama magufur
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 2 ай бұрын
Hakuna urizi shirikishi jeshi ra polisi hariereweki watu wanataka polisi wao wanasema hurinzi shirikishi unasaidya nn wengiwao ni vibaka
@davidchihimba9489
@davidchihimba9489 Ай бұрын
Mapolisi nao ni majambazi tu polisi mnaona ccm yenu wote mnatuzengua tu mtoke wote
@IssanKipanga-d1v
@IssanKipanga-d1v 18 күн бұрын
W2 hawa huwa wachache san pia hawadum fiti huwa ni nyingii san vifo huwa mdomon mwao ee mung waepushee kwa hilo
@barakamnungamo3213
@barakamnungamo3213 Ай бұрын
Huyo baraka msengerema sengerema hana nguvu ya kufanya kaz mpk aibe abadilishe jina kubalababaake
@JamesJames-b4u
@JamesJames-b4u 18 күн бұрын
@AlifaHamis
@AlifaHamis 2 ай бұрын
Police Wana kuka Mishahala ya buletu kazi 0
@evelina9621
@evelina9621 Ай бұрын
Sheria.mahama.anafanya.n,n.polisi.wapewa.pese.wapewa.mishara.kwa.wakati Wambunge.wana.pewa.mishahara.mikubwa.wafanyakazi.hoi.hata
@AlfredMatemu
@AlfredMatemu Ай бұрын
Achen kushaki vyitu kama hivi kijana anawashindaje raia wote mpunzisheni chapu mtaa utulie
@user-yt5ue4vj5b
@user-yt5ue4vj5b Ай бұрын
Sahiz wabunge so hishu Sahiz wabunge awana umuhimu
@andrewelangwa5147
@andrewelangwa5147 Ай бұрын
Mkuu wa upelelezi ndo kanyoosha maelezo
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 Ай бұрын
Mkuu wa mkoa yani polisi wa arusha walarushwaaqq ijiwezekana hamish wotee
@flova7022
@flova7022 Ай бұрын
Kitacho mkuta huyo mwizi nko palleeeee ashikweee tuu shenzi
@Selemanjohn-se1el
@Selemanjohn-se1el Ай бұрын
😂😂😂😂 atimae tumepata jembe kamalilelile kwelimungu yupo
@FridaMmari
@FridaMmari Ай бұрын
Ole wenu huyo kibaka ahame mkoa akija mkoa tulipo tairi naafuta ya taaa yatamkuta
@faustinemlelwa7448
@faustinemlelwa7448 Ай бұрын
Piga kazi kaka
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 2 ай бұрын
Mahakama hakuna
@RajabuKibwana-ol4ud
@RajabuKibwana-ol4ud Ай бұрын
Makonda chapa kazi mungu atakuripa
@AllanAluma-ss8lb
@AllanAluma-ss8lb Ай бұрын
Wanainchi hatuna haja yakujua ma swala ya utawala, tunaitaji amani.
@user-cr1ft3xe4h
@user-cr1ft3xe4h Ай бұрын
❤❤
@temuramadhani5134
@temuramadhani5134 Ай бұрын
Oc,d,punguani
@sergiohalhakeem11
@sergiohalhakeem11 Ай бұрын
Wananchi wenye hasira kali mpo wapi tena... Kajamaa kamoja kanazingua kata nzima huku😂😂😂
@milliontonne5819
@milliontonne5819 21 күн бұрын
Wakati Lita Moya ya petroli ni 3450 na inatosha kukasambaratisha
@davidchihimba9489
@davidchihimba9489 Ай бұрын
Polisi wa tanzania wengi hawajaenda shule kazi kutumia miguvu akili hakuna
@RobertLyimo-vj3up
@RobertLyimo-vj3up Ай бұрын
Afande anaongea kwa logic
@andrewelangwa5147
@andrewelangwa5147 Ай бұрын
Huyo afande hanyooshi maelezo
@seiphyahya5353
@seiphyahya5353 Ай бұрын
HILI SUALA KAMA LA MATUKIO YA SALENDER BRIDGE HAPA DAR
@user-hv7pw6ih5v
@user-hv7pw6ih5v Ай бұрын
Mheshimiwa Makonda kwanini usiwape kibano hao police
@David-if6nk
@David-if6nk Ай бұрын
Hana mamlaka hayo
@dominiclucian3828
@dominiclucian3828 18 күн бұрын
Danlod 0:28
@Amirimohammedi-hb8xu
@Amirimohammedi-hb8xu Ай бұрын
Bombo
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 Ай бұрын
Makonda tunaomba uende ngarenaro mtaaa wa madadi jamani watu wanauza mirungi wakikamatwa wanatoa rushwa wanaachiwa
@officialaziry3305
@officialaziry3305 Ай бұрын
Mirungi haina shida 😂😂 shida ni huo unyanyasaji wa wanainch
@LukaBaraka
@LukaBaraka Ай бұрын
Huo ndo ukweli sasa wako wapi?
@Mohaa4309
@Mohaa4309 2 ай бұрын
Vunja mikono
@KindambaMtunje
@KindambaMtunje Ай бұрын
Achomwe moto uyoo
@abdukhalnyerere8993
@abdukhalnyerere8993 Ай бұрын
Kuua tu malizia
@TellaaxisTz
@TellaaxisTz Ай бұрын
😮
@mandovapicture
@mandovapicture Ай бұрын
Makonda atengwe
@dstaroficial
@dstaroficial Ай бұрын
Kiukwel xiipnd ccm ila naanz kkpnda makonda
@barackamtwange1925
@barackamtwange1925 Ай бұрын
Mwamba ni huyu saasa
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 Ай бұрын
KWANI SI MUMUUE TU YAISHE JAMANI?
@user-hv7pw6ih5v
@user-hv7pw6ih5v Ай бұрын
Huyo afande aache kujiuma mdomo kama vile paka aliyekamata panya, nikwamba hata uwe Police kutoka Mkoa mwingine una haki ya kukamata muharifu,hivi kipindi unaapishwa uliapa nini si uliapa kulinda raia na mali zao Tanzania au uliapa kulinda maeneo ya mke wako kusudi akiweka maji ya ugali umwambie dkk tatu unga unafika
@JuliusHatari
@JuliusHatari Ай бұрын
Umeongea point ila nimecheka ety kulinda maeneo ya mke wako😂😢😂😂😂
@user-hv7pw6ih5v
@user-hv7pw6ih5v Ай бұрын
@@JuliusHatari siyo kwamba nimechekesha apana hawa Police wanakera sana hawaoni wenzao JWTZ hawana mchezo kabisa ila ukisikia wanavyoapa utasema tumepata jeshi kumbe ni mizengwe tu ila siyo Tanzania tu ni dunia nzima sijui police dunia nzima wana matatizo gani jina Police 🙊🙊 aibu tupu
@JuliusHatari
@JuliusHatari Ай бұрын
@@user-hv7pw6ih5v kweli kabisa Mimi ni Afisa jeshi Niko Butiama ila ao baadhi ya wenzetu polisi wanakiuka taratibu,, Aya ndugu yangu
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 2 ай бұрын
Mbona taharifa hii mlishaiwekaga?
@francohaule-ci7ii
@francohaule-ci7ii Ай бұрын
Sasa wabunge wanafanya kazi gani
@JumanneKimuna-lo7yp
@JumanneKimuna-lo7yp 2 ай бұрын
:
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke 2 ай бұрын
Mahakama ndiyo inatowa hukumu makonda hiyo siyo kaziyako
@AlifaHamis
@AlifaHamis 2 ай бұрын
Kwahiyo watu wandelee kuibiwa hadi mahakama itoe hukumu kwanza unajua kazi ya mahakama wewe
@kakaaignas3675
@kakaaignas3675 2 ай бұрын
Auna akil wewe
@leonardjohnson2058
@leonardjohnson2058 2 ай бұрын
Jinga kabisa
@edsonmganyiz9520
@edsonmganyiz9520 2 ай бұрын
Ww ata D1 huna
@alexlyamsema2725
@alexlyamsema2725 2 ай бұрын
Ndo yaleyale mambumbumbu kwenye hii nchi yasokuwa na akili ,jinga kabisa watu wanaomba usalama wa Mali zao kuna fara anaongea ety hiyo sio kazi yako ,mbwa kabisa
@officialaziry3305
@officialaziry3305 Ай бұрын
Makonda ana sema ..mengine sio ya kwenye maic 😂😂😂
@ashrafuful
@ashrafuful Ай бұрын
maana yake hapo piga chuma hiko
@mrishoathumani-wx7gq
@mrishoathumani-wx7gq 10 күн бұрын
Hakika polisi ndiyo kikwazo katika ulinzi hawatendi haki
@user-vq3xo6ip4t
@user-vq3xo6ip4t Ай бұрын
watakuwa wana kulanaeuyo baba makonda
@AllberthaIgango
@AllberthaIgango 17 күн бұрын
Asilari anajikanyaga anavyovijibu avina pointi
@user-mc5zb3ox9c
@user-mc5zb3ox9c 28 күн бұрын
Anaenda kuomba msaanda masikini
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 190 МЛН
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 6 МЛН
Challenge matching picture with Alfredo Larin family! 😁
00:21
BigSchool
Рет қаралды 40 МЛН
Кадр сыртындағы қызықтар | Келінжан
00:16
TULIA UPANGWE; MOSES KURIA FIXES  DP RIGATHI IN HIS RIGHTFUL POSITION
9:15
Kenya News Alerts TV
Рет қаралды 8 М.
#EXCLUSIVE: KWA MARA YA KWANZA ROMA AFUNGUKA YOTE KUHUSU RC MAKONDA
53:33
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 190 МЛН