Mahusiano yanaumiza sana Yan hata ukimpenda mtu ukimweshim haon me naona Bora uwe single waiiii
@anithanithaa2651 Жыл бұрын
Nadhan tu sjapata tunaeendan inaumiz sana Na inavunja moyo sana 😢
@jn_mustonez7842 Жыл бұрын
Narudia mara ndio nielewe vizuri
@hildakayun6445Ай бұрын
Kaka Joel Kila siku unanisemaga mm tu jaman mada karibu zote
@JamesJohn-ly3xt Жыл бұрын
Wa kwanza leo like zenu
@mussaathumani7595 Жыл бұрын
Asante bw joel mausionaa kitu kubwa share knowledge experience pande zote mbili not one side kama upande moja itakuwaje?
@hammytototundu92925 күн бұрын
kzfaq.info/get/bejne/hZaVgrt5ppywfWw.html
@bernadetachari7648 Жыл бұрын
Nikweli mawasiliano yakipughuwa katika mahusiano hapoupendho hakuna hatakidogho
@eliamartine4720 Жыл бұрын
Kaka umeongea point za msingi sana ukizingatia ni ukweli na ni kanuni nzuri sana za mahusiano boraaaa
@tumainingoinei5013 Жыл бұрын
Asante sana kk Joel mahusiano yanatuumiza sana kwa upande wa wanaume unafanya kila kitu hadi inafika mahali mtu hutamani tena kuwa na mahusiano jmn
@teacherd Жыл бұрын
Mawasalinao ndo tatizo kubwa ka vunja mahusiano
@joycewambui2270 Жыл бұрын
Wengi wanalia kwa sababu ya kukurupuka nakuangalia mafanikio usiojua chanzo chake
@omarmohammed5157Ай бұрын
Pamoja na uwaminifu na kuheshimiana na kujaliana na kuhurumiana
@BenjaminRajabu-xk7mc11 күн бұрын
Kaka mm mahusiano yanaumiza sana ❤
@Funnychannel-eb4zj Жыл бұрын
Asante kaka Joel nanauka kwa somo lako mungu akusimamie kwa Kila hatua upigayo 🙏
@abuumnokotha9 ай бұрын
Nikweli ila hawa wanawake wanatawaliwa na mihemko
@bichwaboikaАй бұрын
mkuu naomba mawasiliano yako
@abuumnokotha9 ай бұрын
nikweli ila hawa wanawake niwasumbufu sana
@YotememaNuhu-vt4qh Жыл бұрын
Daaa! Joel naona kama umenimulika Mimi na mahisiano yangu , nafikiri point ya mwisho inahusu mahisiano yetu. Much thanks broo
@monicajohn6270 Жыл бұрын
❤😂niliacha kila kitu kisa mawasiliano duni
@user-qj2lo1tk2i8 ай бұрын
hapo mm naona kuendana ndo changamoto kubwa kwenye love
@sulleyally5040 Жыл бұрын
Naomba urudishe ule ule wimbo wa zamani
@dullahtechtz3422 Жыл бұрын
Nenda ring tone
@sarachipando5391 Жыл бұрын
Asante sana life coach Yan umenigusa zaid kwenye swala la mahusiano mawasiliano nijambo ambalo ni Bora na zaid kama me nilikuwa na mpenz wangu anitafuti Hadi naanze mimi nikimtafuta anambia nilikuwa keep bise nikaona sina mda wakuendelea Kuwa nae
@claramrosso2566 Жыл бұрын
Kaka Joel Unadarasa lizuri mno Mungu akubariki
@joycewambui2270 Жыл бұрын
Mungu akupe MTU wa levo yako muanze wote
@yussufamani7995 Жыл бұрын
Kutokupatikana ndio biggest challenge for each people to become much busy
@joycewambui2270 Жыл бұрын
Mausiano yanaitaji mungu akupe mtusahii wakuendana
@sadathally3533 Жыл бұрын
kunakitu nimechelewa kukijua lakin siombaya nimejua asante kaka
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Teacher Joel 📝🙏
@winfridaadam7951 Жыл бұрын
Ahsante sana 🙏🙏🙏
@mwanaidisaidi9433 Жыл бұрын
Nadhani bado cjampata
@ChristinaSaimon-qi5in Жыл бұрын
Hmmm yaani kwenye mawasiliano nishida nanichanga moto sana
@user-dc1cu7xn2v5 ай бұрын
asante mwalimu joel nanauka
@rehemasekoyo9973 Жыл бұрын
Jumbe nzuri sana hio
@yoshuasaiba4652 Жыл бұрын
Asante kaka Joel
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Asante sana
@swalhaomar9963 Жыл бұрын
Thanks Mr. Joel
@MagrethJames-fx8nj10 ай бұрын
Nimekuelewa sana
@shabanjoseph3620 Жыл бұрын
Umenisaidia sana kwa hii video
@psalmistchristiankawaya Жыл бұрын
Asante sana kabisa
@hardgooboy9483 Жыл бұрын
Nakufatilia Sana kaka
@baboudeira9249 Жыл бұрын
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏🏻
@user-uk6qs5jd3q Жыл бұрын
Compatibility ndo tatizo
@abelhilonga1095 Жыл бұрын
Sijui nisemeje tuache tu nini
@janviervenasi Жыл бұрын
Ndiyo
@AbuutwalibHamadUmar-po9jn Жыл бұрын
Hi Bro Nanauka : Mimi Ni Muajiriwa Takriban Miaka 3 Asaiv Lkn Kwa Kweli Sina Tena Hamu Ya Kufanya Hii Kazi Kwn Imani Yangu Inaamin Ni Mda Wa Kubadilisha Hiki Ninachokifanya ~ Lkn Cha Ajab Sina Wazo Lolote La Biashara Wala Taaluma Yeyote Km Ndio Niizifanyie Kaz Nipo Nipo Tu. Asa Nilikua Naomba Unishaur Kitu Gan Cha Kufanya?
@adventinahevaristo9558 Жыл бұрын
Kaka joeli sorry nisaidie ,,,hakuna wale anaekua anakupenda ndyo lknii anatngwa sana kaznii maybe mnawasiliana asubuhi na jioni to vle anakupgia cmu hamuwasilian vle kla mara ,,,,hyo ipoje