Рет қаралды 1,557
Kati ya mambo ambayo yamekuwa yakisababisha mahusiano mengi kushindwa ni ukosefu kama sio upungufu wa mawasiliano.Leo nimesogezea kanuni nne (4) zitakazi kusaidia kuboresha mawasiliano:-
1.Zungumza,Wala msibishane.
2.Jifunze kuwa msikilizaji.
3.Jifunze kuwa mzungumzaji jasiri.
4. Hakikisha unatoa mrejesho ( Give feedback)
#DrChrisMauki#Mahusiano#Kanuni.