samahani sana kaka ila hukubonga vizuri kwenye coment lako.Magufuli in shujaa achana na upinzani.
@drfrank5123 жыл бұрын
@@ko3053 bwana waishi wapi haswa?? Tena ningependa tubonge on WhatsApp if possible please. Thanks I see u are a man of your words.
@drfrank5123 жыл бұрын
Like ya nini tena..,?
@japhetmasunga63275 жыл бұрын
kama unamkubali magufuli mpe like apaa mtu wa wanyonge big up wanaokuchukia hawajielewi hapa kazi tu🙏🙏🙏🙏
@TheLegend-qb9pm3 жыл бұрын
This Man to be Honest he was a Legend,,,,,Rest in peace baba😭😭😭😭
@jumaally91625 жыл бұрын
Safi sana Mh Raisi wetu, Dk john pombe Magufuli, Allaah! Akuongoze, pia tunashukuru kwa kukipa kipaumbele Lugha yetu ya Kiswahili kama wenzetu wanavyo thamini lugha zao, tuwe wazalendo na Lugha yetu na tujivunie nayo lugha yetu ya kiswahili na tuithamini.
@jamesezekiel23584 жыл бұрын
gambos
@jamridiissa65495 жыл бұрын
Kama unakubali alichosema baba etu utanzania kwanza gonga like twenzetu 🙏🙏🙏🙏😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁🔫
@stanleybupambambogo33345 жыл бұрын
Siku zote mimi namkubali na kumthamini Rais wetu - JPM kwani ni mzalendo, mchapa kazi, mwenyewe dhamira njema kwa taifa, mwaadilifu, SIYO kigeugeu katika maamuzi na utendaji wake wa kulipeleka mbele taifa letu - Tanzania. Tumuungeni mkono.....
@ayubujackson57825 жыл бұрын
Jamridi Issa Huyu jamaa in bal@@@ kwa l@nguage
@chandesamsung72675 жыл бұрын
Baba yako mwenyeweee
@evansmlalo40495 жыл бұрын
Bado ICC haujafika. Umerudisha nchi nyuma sana. Tuelrze fedha za watu za korosho ziko wapi?. Una kesi 600 za kuwaua watu. Kila kichwa kesi moja Duh. Umeleta Wachina kazi zao kuiba tu na kutuletea samaki wenye sumu.Umeua Demokrasia Tanzania na kufilisi watu. Lazima tukufunge.
@bantuisolele25435 жыл бұрын
@@evansmlalo4049 mfunge sasa unasubiri nini kama uwezo unao na uchama unakusumbua wewe
@hechihechie55585 жыл бұрын
Mh Magufuli anajua km za barabara karibia zote Tanzania ashindwe vip kujua kingereza ambayo ni lugha rahisi tuu.Mungu akubariki Rais wetu piga kaziI Baba
@japharyshayb22735 жыл бұрын
Asant mungu kwakutupa nguvu za kumchagu huyu big
@isacksamwel17695 жыл бұрын
Christina Msoka hhhhhhh huyu mzee ni genius.
@harrisonsalama34814 жыл бұрын
KO mm xd
@frankngoloka83115 жыл бұрын
Tatizo wabongo tumezoea ukiongea kingereza eti ndiyo msomi,tudumishe lugha yetu watanzania
@maikotrinity49395 жыл бұрын
Frank Ngoloka acha umatako wewe udumishe nini wakati kila kitu kimeandikwa kingereza
@jacksonmbilinyi80195 жыл бұрын
We Mbeshi matako kabisa kwani unajua nn kuhusu ulimwengu huu. Nakupa mifano ya hoja North Korea most of them hawaongei English, China, Russia hawaongei na hata maraisi wao pia je hawana uchumi bora.????? Msipende kubishana vitu ambavyo hamvielewi bado.
@hamiyarsaid28444 жыл бұрын
@@jacksonmbilinyi8019 hayo uliyotaja ni mataifa makubw usilinganxh na tanzania, wao wna uwezo wa kujitgmea mambo yao mengi cc hpa mambo mengi tnatgmea nje ambako kiingrza ndo kmetawala uko,kiingereza kina nafas yke kw mataifa kma hya ya Tanzania sema kiswahili tusikidharau tu
@kelvinmahenge12284 жыл бұрын
@@maikotrinity4939 kumbe ww ndio kima unaeabudu matako ya wazungu hujui kama kiswahil inakua kupitia kuongezeka kwa watumiaj kwahiyo itumike ngel hata kwenye nchi yako maanake nn?kima usiye jitambua ww
@allysalim35344 жыл бұрын
Sasa ongeakiingeleza Na watoto wako Kama mtaelewana sisi tutaongea kisawahili
@bonniepeter94805 жыл бұрын
Kama na ww umeisikia hiyo your ohoong,'oooh ya mzee nipe ngonga like hapa
@aymansalmam40115 жыл бұрын
Bb achana nao so
@sebastianmasanja88645 жыл бұрын
Kbxa
@suzizuzulima22395 жыл бұрын
Hahaaaaaaaaaaa
@josephatswai46285 жыл бұрын
Ujue au usijue hilo ni jukumu lako alikuambi hujui ni nani?
@raphaelsamwel26405 жыл бұрын
Hajui!!! Usome kwa kiingereza mpaka phd kuongea kiingereza iwe shida!! Huobmfumo si unashida bado mwahitaji tochi!! Afu mifano ya china na korea msituletee!! Mfumo wao wa elimu ni kwa kugha zao !!!
@alfredscriptsforcheaperpri69185 жыл бұрын
Hahaha I just love this man from Kenya wapi likes zake
@ading97105 жыл бұрын
Nampenda na kumheshimu sanaa huyu Rais wa Tz🙏 daah..love 255💪
@majalaomari93055 жыл бұрын
Mazishi ya mengi
@abuunomaz23235 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆Mzee baba unanipaGa furaha sana #BigUp rais wngu
@chelsealisa16552 жыл бұрын
How can a single man do all this success by himself and I got the answer it's when you are with God that everything aligns itself. Magufuli's not just a great leader but he was a God fearing man as well RIP great man and may the Lord forgive where you went wrong and accept you in paradise
@ernestkaria59385 жыл бұрын
Wewe ni shujaa @magufuliTz Nakuelewa sana rais wangu
@jayblack43135 жыл бұрын
ernest karia big up mr maguful
@tadeimwaipaja11915 жыл бұрын
Safi mnooo my presedent John Magufuri
@kusekwasita15765 жыл бұрын
Tadei Mwaipaja huyu ni rais jamani
@ausonjustinian48945 жыл бұрын
Mzee uko sawa tu. Ao achana nao
@halidykilindo3885 жыл бұрын
nakubali sana rais wetu makufuli fanya kazi
@malamafyisamkanda53625 жыл бұрын
Raise anayo ongea niyakwelii kabisa wala hajakosea
@arusha24macoligo5 жыл бұрын
Baba LA baba 😂😂😂😂😂😂
@robyfabian98985 жыл бұрын
Arusha 24 at
@malamafyisamkanda53625 жыл бұрын
Dj Arusha We noma DJ ad uku upo hakija apo pamoja 👏👏
@allyhassan5374 жыл бұрын
Ndio maana watanzania tunaelewana sana nyumba moja ya kupanga dini,itikadi ya vyama kabila na mengine mengi tu run as tofautiana lakini hakuna matatizo mkewangu ccm mimi chadema mwanangu act lakini tunaenda sawa
@maggiepeter89365 жыл бұрын
ņyumbani kwnza....pend sna rais wng mungu akuliňde
@abednego38765 жыл бұрын
wanaompinga huyu mzee ni mazwazwa kama yule zwazwa alioko polisi mm nna mwamini JPM 100% kuwa ni ile 1st generation of leaders ile ya kina Jk nyerere. na Nkurumah maana ni mkweli JPM sio mnafiki
@franklinedward81235 жыл бұрын
free huru PUMBAVU KABISA
@abednego38765 жыл бұрын
@@franklinedward8123 pumbavu ni wewe mshenzi wa adabu usiyeona kinacho endelea wewe ni sawa na mlemavu wa akili au nyani ...ww ni mmoja wapo wa wale nyani mliotoroka porini.
@imbatokamoyoni22095 жыл бұрын
ndugu yangu unakosea,hakuna aliyekamilika kwa kila jambo,penye kusemwa atasemwa ila si vema kuhukumu jambo usilolijua
@devidpanja1155 жыл бұрын
mazwazwa walikuepo tangu enzi na hawataisha
@abednego38765 жыл бұрын
@@imbatokamoyoni2209 wapo waliokamilika ndio.kama huamini wapo waliokamilika pole. 2+2=4 lakini sio lazima iwe nne inaweza kua ata 8 ukiamua so waliokamilika wapo toka hapa.
@shufaafarihya86745 жыл бұрын
piga kazi baba wanaosema ujui kiingereza bora uongee kijita tu
@shau785 жыл бұрын
wanaojua kiingereza walitusaidia nini? maneno matupuuuuu
@evammile78765 жыл бұрын
Ndo Mana Nampenda sana huyu Mzee Ee M/Mungu Nakuomba umpe Maisha Marefu Mno JPM wetu
@abelmwashitete15315 жыл бұрын
Hulijui ulitendalo!
@simiyudismas47805 жыл бұрын
Eva Mmile jtm
@simiyudismas47805 жыл бұрын
jtm
@harounjc65504 жыл бұрын
🤗🤗🤗
@neemapkawonga1315 жыл бұрын
Kweli baba hata mm nitagonga kiswahili mwanzo mwisho lugha nyingine ni ziada tu
@abdulunika85775 жыл бұрын
Mweshimiwa rais wangu magufur nakukubali sana mungu akusaidie katka uongoz ulio bora
@samwellwiza53395 жыл бұрын
Maana ya mzalendo ni mtu anayekitetea kitu chake hata kama kina madhaifu..
@MS.independent89343 жыл бұрын
Acha MUNGU aitwe MUNGU kweli😭😭😭😭🇹🇿💔🕯️ tuta'kukumbuka baba JPM 🇹🇿tutaku'enzii daima
@dennystarvevo98943 жыл бұрын
R.I.P baba
@kalufunyangenyakinyungu50874 жыл бұрын
😂😂😂 nimerudia tena 2020 kwa ajili ya lile neno alilosema " You ng'ooo" kati hata uingereza hujawahi kufika.😂😂😂
@davidobonyo75583 жыл бұрын
Asante sana Rais JPM kwa kuacha Legacy tanzania kwanza pumzika kwa amani shujaa wetu
@munnawwaryaqoob34145 жыл бұрын
Kabisa mzee baba kiswahili kitamu,nipo Muscat nimefurahi juzi kusikia moja kt ya redio wanaitagaza kwa kiswahili
@hisanmwakijungu104 жыл бұрын
Safi
@fadhilrashid41755 жыл бұрын
Africans shud be proud of their language Swahili infact measures shud be put in place to ensure every foreigners coming to Africa shud undergo 5 months Swahili classes to get a visa
@Watema235 жыл бұрын
Ni kweli Kiswahili kinakuja na kasi sana. Hata hapa Marekani bahazi ya vyuoo vikuu vina somo ya Kiswahili.
@alexchungu88235 жыл бұрын
Safi
@kijanahodari20805 жыл бұрын
Asilimia 90 ya walimu wa kiswahili waliopo ulaya wanatokea kenya
@alexchungu88235 жыл бұрын
Kwel kabisa... Watanzania bado tupo nyuma kwenye kuchangamkia fursa.
@anetikapami42285 жыл бұрын
watema emmanuel, ndugu mwnzetu uko malekani. Niajili hata kazi za ndani kwako
@jacksonmbilinyi80195 жыл бұрын
Kiswahili ni lugha tamu sana kuliko zote duniani. Ninafanya kazi na watu wa mataifa mengi duniani ninajua lugha taño za mataifa mageni ikiwemo Russian. Cha ajabu hao wazungu na watu wa mataifa mengine wakija huku wanatamani kiswahili. Halafu mtanzania anakibeza na ni lugha yake
@mgallason...56862 жыл бұрын
Rest in peace uncle Magufuli i miss you badly
@kimsash_5 жыл бұрын
Taratibu wataelewa tu hao wala usijikaushe uzazi bure 🤣
@rosemassawe40335 жыл бұрын
Hahaaa
@mayusahussein47215 жыл бұрын
Hahaaa
@timemajestically4 жыл бұрын
Ndg zang watanzania, ifike wakati wa sisi kuwa na sauti moja katika kuipai lugha yetu nzuri na yenye radha yake duniani....!!
@songorojafari92085 жыл бұрын
Mungu yupo na wewe kwa kila jambo.. Nakuelewa nakukubali sana piga kazi
@mikidadiligogi43115 жыл бұрын
watapata tabu Sana juu yako
@mosesmkoma68825 жыл бұрын
Kweli utanzania kwanza siyo you know you know hata uingereza ujafika😂😂😂
@nimrodmareges31315 жыл бұрын
Tuko Pamoja mzee
@wilonjahatua20675 жыл бұрын
Yaan kwa hili kama unamkubali rais magufuli acha majungu yaan anajua kiingereza vizuri kuliko hata waingereza wenyewe kama umemuelewa MPE like zake please
@goldendesertmrgolden59765 жыл бұрын
Mh raisi kaongea point kubwa sana kuna bazi ya watanzania ni wapumbavu kwanza nikiswahili Motherlanguage harifu uonge hicho kingereza chako unachokijuwa wewe na mkeo Pumbavu big up mr president
@sadaabdallah16415 жыл бұрын
Kweli kabisa mueshimiwa rais wetu
@explorelondon36953 жыл бұрын
I will miss him terribly..
@explorelondon369511 ай бұрын
Still missing him in August 2023, when the world is so much in need of human leaders. Kweli kifo hauna huruma😢❤
@storytownTv2 жыл бұрын
LEGENDS NEVER DIE
@devothalyimo295 жыл бұрын
🙌🙌🙌UTANZANIA Kwanzaa
@kulwaclassic63635 жыл бұрын
Ooooyi!!!!!!!!???
@kevinolome88523 жыл бұрын
You will be remembered sir
@ligmmohd81125 жыл бұрын
Kifanyeni basi kiwe kinatumika kwenye ujifunzaji mashuleni,laiti tungekuwa tunatumia kiswahili mashuleni watu tungetusua sana!
@damianmakala29135 жыл бұрын
Hahahaha nimeipenda hiyo
@paulmaziku2405 жыл бұрын
Saidi Amiri sidhani kama ungeweza kuelewa.
@bulikidittu33615 жыл бұрын
kufeli kupo tu
@imbatokamoyoni22095 жыл бұрын
kufeli au kufaulu ni uelewa wa mtu,kuna somo la kiswahili sidhani kama ndio somo linaongoza kufaulisha ,kama huelewi ni haulewi hata iweje
@joramjames21215 жыл бұрын
Hahaha nimeipenda upo sawa ndg
@abuudhurkarnayn88335 жыл бұрын
Tatiz mikataba iko kingereza nenda tanesko.bado karatasi ni kingereza usome yaaani inatakiwa kuvujwa mikataba yote ya kingereza ibaki ya kiswahil hao.wakija watasoma mbon.sie tunSoma.chao
@judithpaul90135 жыл бұрын
MTEI TV c nd apo ss
@husseinkulumbiza88945 жыл бұрын
Safi sana!,mimi nakuelewaga sana,Pambana mkuu tupo pamoja sana,tunaendelea kukuombea Mungu Akutie nguvu.
@DottRoBroc3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa!
@nahimanahussein7072 жыл бұрын
:YES YES
@mgallason...56862 жыл бұрын
Thank you Brother
@jamalsalimalmahry68785 жыл бұрын
Mashaallah rais wetu tunakugubali sana😘😘😘😘😘😘😘😘😘
@m.mmarckus62985 жыл бұрын
sasa nyie mnaombishia hajui kingereza mtuhakikishie nakutupatia ushahidi kwamba hajui,maana naona watu povu linawatoka hapa
@vivianlenard36185 жыл бұрын
Tafufa utube xlip yake akijojiwa na mzungu lugha kuhusu rushwa mbona mseveni ndio alikua anamjibia. haaaaa
@vivianlenard36185 жыл бұрын
au ushahidi gani tena unataka, we tafuta utube kuna video imeandikwa raisi akiongea kiingereza mbona huruma
@mohammedally11085 жыл бұрын
Vivian Dada yangu sio utube night KZfaq,,,,,, kithungu buana 😅😅😅
@siracosmas33265 жыл бұрын
umaskini mambo leo wako
@judithpaul90135 жыл бұрын
Vivian Lenard duuuh tafufa tn?
@athumanomary14385 жыл бұрын
Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba enderea kumuongoza vyema raisi wetu
@yohanamsengi33965 жыл бұрын
Safi sana Rais wetu, hahahh nakukubali mzee ! Unajuaaa , waache mbwembwe!
@yanayojirimitaaniTV5 жыл бұрын
ANGALIA YANAYOJIRI MITAANI TV .MAGUFULI ana himiiza kusoma
@jongojongo93885 жыл бұрын
Leo nimekuerewa xn msukuma
@edinachami17545 жыл бұрын
safi sana raisi wetu waonye nawasanii watzd waache mathis is kwenye intavyuu zao
@janesuma21935 жыл бұрын
Mungu akulinde baba Magufuli. ur the best President
@patientlazaro69302 жыл бұрын
Huyu ndio raisi peke wa Tz mwenye ako na uzalendo na kujali wananchi wake... I wish miracle hapen again in Tz 2025 tupate mtu kama huyu. Mungu ibariki Tz.
@kaundandimila58075 жыл бұрын
Mzee anajua Lugha nyingi sana
@eliudymhapu17504 жыл бұрын
Ha00000000
@zumbeshauri81145 жыл бұрын
mungu akujalie raisi wetu hakuna mkemia asiejua kingeleza lengo lao kukukejeli mungu akusaidie sanasana natutafika
@kitokisospeter72474 жыл бұрын
Hata Rwanda,Burundi,wanaongea lugha yao,na sio kiingereza.MKUU upo vizuri sana.Utanzania kwanza.
@abdulrahmanhassan38254 жыл бұрын
Kuna baadhi ya watu wanadhani kujuwa kingereza ni usomi ndio unaonekana umesoma Sana'a
@Da_Gee3 жыл бұрын
1:26 -1:29 Danke schön, Auf wiedersehen🤩 Mzee ulikuwa vizuri, hadi kijerumani dah!
@naomikatharinaandrewmnkai67603 жыл бұрын
Baba jamani you're kind and lovely. RIP DAD
@susansamson10995 жыл бұрын
I hate the comparison with China na Russia. hixo nchi wanstumia hixo lugha zao. sip Tz maofosini kizungu hospital . barua za kazi. Aache kupoteza watu
@stevenpaul48185 жыл бұрын
Safi sana
@eliarichard92184 жыл бұрын
Jesus is good ooh and JPM.
@amigodossantos41293 жыл бұрын
He's makes me laugh my ass off, wa Tanzania Kwanza
@kwesinjoku89403 жыл бұрын
NImefurahi sana na hili neno Rais wa Muungano waTanzania alichosema. Inabidi tu linde luga yetu ya kiswahili.
@kibonerose24703 жыл бұрын
I can't believe you left us papa 💔, may you rest in peace papa we will always remember you in history 🙏🙏🙏
@kensongodfrey18762 жыл бұрын
Rearly
@Worldunite2 жыл бұрын
I miss this person dearly,rip jpm
@bibieismaily57612 жыл бұрын
@@kensongodfrey1876 ....Kaka huu no msiba Tena cjui Kama tutapata wakufananaye!
@ikramhambo11582 жыл бұрын
Daaah mekukumbuka sana we mzee magufuli aisee hakika hakuna kama wewe
@alexjosephat90305 жыл бұрын
Asanteeeeee
@nativeson15593 жыл бұрын
Rest In Peace gentleman. As a Kenya, I agre with you whole heartedly. Lazima tujifunze na tukitumie Kiswahili. AMA na na Agni Jameni?
@ibrahimjoseph27893 жыл бұрын
Daaaaa umetutoka baba MUNGU akulehemu, umetufunza mengi ndani ya miaka5 tu daaa siamini, nitajivunia wewe milele nakupenda Tanzania 🇹🇿🇹🇿 na wananchi tunakupenda Magufuli tutaendelea kukuombea,
@niyimpumurizamoise22564 жыл бұрын
Hilo tatizo siyo Tanzania tu.huku Burundi wengine wakienda ufaransa wa kikaa kule week mbili wanajifanya eti wamesahau kirundi.kama hujui kirundi manayake wew ndo msomi.
@chriskalega43485 жыл бұрын
Nakukubali miaka yote
@bornmazungu93255 жыл бұрын
Kama unabishana na jpm ww ni zuzuu!!!
@leonardshija33985 жыл бұрын
Wapashe mkuu
@emmanuelmohammed12942 жыл бұрын
Lala salama baba yetu😭😭😭😭
@placidvenance96655 жыл бұрын
kingereza sio ugaliii wa watanzania kama umependa maneno ya mzee wa kazi gonga like hapa
@tangaoldtv10674 жыл бұрын
Mtanzania akiongea kizungu yani ajiona ndio msomi watu watamjuaje kama kasoma au anajua kizungu ushamba huo bado tunao anazungumza na watu ambao hawajui kizungu basi ndipo ña yy anachanganya kiswahl na kizungu maana kuna maneno mengine ajifanya kwa kiswahili hawezi kusema au kulitafasiri
@starlonejadamskp82243 жыл бұрын
Kiswahili Kwanza 🇹🇿👏🏻👏🏻👏🏻❤️
@oswardmpaly49815 жыл бұрын
exactly kabxaa Mr rais wetu
@jenniferwekesa14253 жыл бұрын
He was a good leader by stopping corruption in tanzania
@imbatokamoyoni22095 жыл бұрын
Katika swala la lugha hapa ni muhimu sana raisi ,kaongea vema sana,halikwepeki,ila tatizo kasumba zimetujaa,miongoni mwetu watanzania,kujua lugha au kutojua ni swala la mapenzi tu,isiwe kigezo cha kusemana vibaya,ila binafsi naona lugha zote mbili kwa mazingira tuliyonayo zinafaa,WATANZANIA TUNAKOSA FURSA NYINGI SANA HUMU MITANDAONI SABABU YA LUGHA,, KISWAHILI MUHIMU ILA ENGLISH PIA SIO YA KUBEZA,, AHSANTE
@saidikambi95974 жыл бұрын
Nakupenda Raisi wangu mpaka Nikilala usiku naota nimekaa na wewe tunapiga stori wewe sio rais wa miaka kumi tawala hii Tanzania miaka zaidi ya 30 kama allah atakupa uhai mashaallah.
@bakalikitambazi92154 жыл бұрын
Waoooo
@jeronkabinda68854 жыл бұрын
I love your statements
@osmanali61124 жыл бұрын
Ukuweli muhish miwa mugufuli tuna kupenda sana ni musomali kutoka muqdisho
@peterkaling28265 жыл бұрын
Utanzania kwanza Mungu ibariki Tanzania
@sakinafredy36532 жыл бұрын
I miss him so much❤️😥
@kiruakip63805 жыл бұрын
Mimi mkenya lakini napenda uelewavyo undani waulimwengu hata ukienda UN ama ulaya ongea kwa kiswahili rais wenyewe watafte wagalimani aka translator kama wafanyavyo wachina WA Russia hata na waarabu ...jenga lugha yetu.tutaanza kumaliza ukoloni kwakua no lugha yetu kama waafrica
@fatmanasornasor90474 жыл бұрын
Watanzania Kwa pamoja tunakuomba raisi magufuli peleka ndege kule sauz afrika ukawachukue watanzania wenzetu wana zalilika kule kama engekua ni wazungu egekua washachukua RAIA wao zamani nasisi msituzarau nasisi pia ni watu au mnasemaje watanzania wenzangu ?
@joharijumajohari64174 жыл бұрын
vizuri kabisaaaaa mzee baba unakuta hata wasani anaongea maneno machache sana kwenye interview ya kiswahili english ndio sana tupende lugha yetu tuache ulimbukeni
@steveswakei96005 жыл бұрын
kiswahili kitukuzwe. napenda sana mtindo huu wa kitaanzania wa kuzingatia lugha yetu ya aafrika. kenya tuchunge sana tumeingia utumwani mwa lugha za kikoloni
@gggjjahhhh94195 жыл бұрын
Hahahahahaha Nakukubali we baba mpaka bac
@daudimasebo40732 жыл бұрын
We sio baba yangu lakn Mungu akulaze mahala pema pepon ,nataman nije kuwa Kama ww
@kimtv.ubuyuonline78535 жыл бұрын
safi sana baba wambiye hao watumwa wamkoloni sisi tunapenda luga yetu kiswihili kitukuzwe tanzania bila kingeleza inawezekana🇹🇿🇹🇿
@japhetmkondya27954 жыл бұрын
Nipo ujerumani. Ni Mtanzania ninampenda Rais wangu wengi hawawezi kuelewa kitu anachokifanya Rais lakini huo ndio ukweli Ujerumani watu asilimia 80 hawejui kingereza na wanaongea kijerumani tu na unapokuja nchini kwao unalazimika kujifunza kijerumani nadhani ifike hatua watanzania tuelewe juhudi za mheshimiwa rais juu ya Taifa la Tanzania na tuondoke kwenye maisha ya kufuata upepo wa wana siasa nadhani huyu ndiye rais ambaye Tanzania ilikuwa inamuhitaji kwa miaka mingi sana huwezi amini ninekutana na Nyimbo kwenye kanisa katoliki wanaimba kiswahili hapa ujerumani alafu watanzania tunakazana kutafuta sana kuzungumza kingereza naamini huu ndio wakati wa Tanzania kuamua kutembea na kuondoka kwenye utumwa uliofungwa kwenye fikra kwani kiukweli nimegundua hawa Jamaa wanahitaji msaada kuliko sisi tunavyohitaji sema tu fikra za watanzania zinaamini ulaya ni kila kitu Majuzi nilikwenda Nedherland nimekuta jinsi Taifa linavyowekeza nguvu nyingi kupambana na maji yasiendeele kutafuna sehemu ya ardhi kwa kujenga kuta na miinuko sehemu za pembezoni mwa bahari lakini Tanzania hatuna majanga wala makazi mazito kama hayo na bado tunaona tunahitaji msaada kutoka ulaya kiukweli ulaya wanafanya kazi sana pamoja na maendeleo tunayoyaona lakini kwa mwendo wa watanzania kila siku kutaka selikari ibadilishe maisha yao ikiwa Ardhi ya Tanzania bado ni kubwa vijana wanaweza kujishughulisha na kilimo na wakapata kazi za kufanya, natamani watanzania tufahamu kuwa ulaya pia kuna masikini wengi tu na wapo wasio kuwa na nyumba wanalala nje pia na wapo pia omba omba hivyo unaweza kufanikiwa ukiwa Tanzania lakini ukiamua. Jumla ya yote mimi sio mwana siasa na sitarajii kuja kuwa mwana siasa lakini nina uzalendo na nchi yangu japo nipo nchinza watu natamani watanzania tutambue juhudi za raisi magufuli maana tusipoelewa sasa itatugharimu sana baadae.
@mayalakatema25762 жыл бұрын
Rest In Peace I appreciated ur paths✊✊✊
@paiwanjara35025 жыл бұрын
hapo sawa lugha yetu ya kiswahili tuitangaze siyo tunaongea vilugha vya ajabu ajabu big up mheshimiwa
@payasbadman55332 жыл бұрын
Rest in peace 🕊️❤️
@damianmakala29135 жыл бұрын
Safi sana kiswahili lazima tukienzi japo si dhambi napo kutumia kiingereza maana kiingereza ndio lugha ya dunia kwa sasa !
@herykauli10045 жыл бұрын
Tutumie kiingereza Pale kiñapohitajika na du kila mahala ni pakuongea kingereza. Kiswahili kwanza.
@goldendesertmrgolden59765 жыл бұрын
Kingereza ogea na mumeo kwanza kiswahili
@judithpaul90135 жыл бұрын
New Song Celebration kbs hajitambui
@captainabdul11944 жыл бұрын
Masters ya thermal decomposition kinetics za nini???