No video

KIJANA MTANZANIA ATENGENEZA 'APP' INAYOZIMA / KUWASHA GARI, LIKIIBWA LINAJIZIMA😲

  Рет қаралды 23,547

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

KIJANA MTANZANIA ATENGENEZA 'APP' INAYOZIMA / KUWASHA GARI, LIKIIBWA LINAJIZIMA😲
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 146
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 Жыл бұрын
Nimeipenda hii ya nyumba nitakutafuta😀😀😀
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Жыл бұрын
Hongera kwa App nzuri
@rajabusuleman5111
@rajabusuleman5111 Жыл бұрын
Hongera mkuu kwakipaji ulicho nacho Mwenyezimung akuweke ameen
@renatuswilson1577
@renatuswilson1577 Жыл бұрын
Dah! Hongerasana Salum. Hii hata ilaya hawana
@HansBwoi
@HansBwoi Жыл бұрын
Ulaya vipo bona long time
@fauzenkassim8424
@fauzenkassim8424 Жыл бұрын
Mashaallah Allah akuzidishie InshaAllah
@frankjoshua6869
@frankjoshua6869 Жыл бұрын
Hongera sana kwa ubunifu wa hali ya juu. Vp ikitokea imehakiwa hiyo system na watu wakafanya uhalifu app inawezakuzuia hilo jambo
@saudahassan6667
@saudahassan6667 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣uyo mke atakae olewa na salum uuuuwiiiiii awe mcha mungu kabisa kwa hali hiii
@emiliamulaki3600
@emiliamulaki3600 Жыл бұрын
Ndugu hongera sana. Utafika mbali sana. Naona ukiwa na kampuni kubwa ya Teknolojia.
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 Жыл бұрын
English interview is needed here for Elon musk to understand what's going on.
@lailaoman3856
@lailaoman3856 Жыл бұрын
TANZANIA 🇹🇿 no,English SWAHILI
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Жыл бұрын
@@lailaoman3856 Exactly 💯 we proud with our Swahili Tanzania 🇹🇿kwanza wengine tupa kuleeee mbali kabisaa 🤣🤣🏃🏃
@AvatarTV360
@AvatarTV360 Жыл бұрын
This boy is inovator in Tanzania
@faisalahmed7757
@faisalahmed7757 Жыл бұрын
Kijana amemkalisha ELON
@halimahleema5165
@halimahleema5165 Жыл бұрын
The boy have a new technology of security if someone what to still your car and you can use your phone to open the car in en distance also you can here if someone is talking nasty in you car
@alexmatt9504
@alexmatt9504 Жыл бұрын
Systems nzuri kwa ajili ya security. Hebu naomba contact yako.
@ismailnasibu313
@ismailnasibu313 Жыл бұрын
Mngetupatia na namba za simu ingependez zaidi
@ashapearubart2624
@ashapearubart2624 Жыл бұрын
Safi sana. Msiweke gharama kumbwa .ili hata wasikua nauwezo mkubwa pia waweze kutumia.
@faisalahmed7757
@faisalahmed7757 Жыл бұрын
Fungua company mwanangu ya jina unaipa CAR TRACK 🚨 cz mi nishapigwa ist na nikapigwa pikpik XR 250 ila nilipata coz baada ya kipigwa ist ilibidi nitengeneze kifaa cha kupata kitu chochote ntakachoibiwa XR 250 Nilipata kwa kutumia hicho kifaa company muhimu usitoe maujuzi kwanza man bike ninayo mpaka leo ist ilitembea jumla ila walinifanya nikapata idea 💡 nadhani pia ulipgwa ukapata maujanja
@hamadeddymaclayz
@hamadeddymaclayz Жыл бұрын
Kaza buti kaka utafika mbali hata kama Serikali haijakusapoti
@bdwel08705
@bdwel08705 3 ай бұрын
Hongera sana kijana huta nifungia niko Canada
@faharimovies
@faharimovies Жыл бұрын
IT wengi huwa hatunenepi mzei 🤝
@SIDEBOYTV1990
@SIDEBOYTV1990 Жыл бұрын
😁😁kwanini
@Tango696
@Tango696 Жыл бұрын
Naombeni no yake?
@hasfayusuph4891
@hasfayusuph4891 Жыл бұрын
yuko vizuri sana
@mubajoti9103
@mubajoti9103 Жыл бұрын
Nice broo yupo vzur
@kigomakid74
@kigomakid74 Жыл бұрын
Wakubwa waliangalie hili pia na kukuza hicho Alicho kifanya ndugu yetu
@heritier5119
@heritier5119 Жыл бұрын
Hakunaga haya afrika,
@kigomakid74
@kigomakid74 Жыл бұрын
@@heritier5119 😂😂🙌
@nirerehadidja8266
@nirerehadidja8266 Жыл бұрын
Anaitaji ushirikiano wa hali ya juu
@alizanzibar1586
@alizanzibar1586 Жыл бұрын
Allah Akibari Mashaa Allah bro Salamu Allah bless you
@dominicmawala5614
@dominicmawala5614 4 ай бұрын
Mawasiliano hatuoewiii!! NAOMBA MAWASILIANO YA SALUM
@amanishiughaaa6345
@amanishiughaaa6345 Жыл бұрын
huyu jamaa yuko wapi zebwera.maan daaah
@dukeaaliyah8232
@dukeaaliyah8232 Жыл бұрын
Salute 🎉
@samweljoel6128
@samweljoel6128 Жыл бұрын
Zembwera unaniuwa baraa Sana angalia wazungu wanamuchukua brother afundishe wengine
@marthahozza2964
@marthahozza2964 Жыл бұрын
Kijana atasababisha tuibiwe magari aisee 😢 hiyo app iwe kwa umakin mkubwa
@simonandrew1489
@simonandrew1489 Жыл бұрын
Akumbuke Kuna Hackers
@HassanAli-do9iz
@HassanAli-do9iz Жыл бұрын
perfect broo
@suleimanngare6707
@suleimanngare6707 Жыл бұрын
Masha allah....kazi nzuri sana mungu azidi kuibariki kazi ya mikono yake in sha allah🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🤝
@kelyne861
@kelyne861 Жыл бұрын
Huyo jamaa akibahatika kwenda USA anajenga kijiji huku nyumbani
@leonardodeogratiasdeograti697
@leonardodeogratiasdeograti697 Жыл бұрын
Ongera bro
@saudahassan6667
@saudahassan6667 Жыл бұрын
Mashaaallah mashaallah mdg wangu saalum allah akujaalie kila la kher
@peninashungu6633
@peninashungu6633 Жыл бұрын
Mwizi wa Gari awe tu na App
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Жыл бұрын
Una maana gani we kisimi? 🤣🤣🏃🏃
@samwelydanda7155
@samwelydanda7155 Жыл бұрын
Kwenye pikipiki shingapi uo mzigo shingapi na unatumia internet au salio tu
@davidkadenge1902
@davidkadenge1902 Жыл бұрын
Yupo vizir sana
@wahidashabaz814
@wahidashabaz814 Жыл бұрын
Mashallah
@itNeza
@itNeza Жыл бұрын
Coment Zimekuwa Chache kwa Mambo ya Maana kama Haya ile yangekuwa ya Konde bangi na Kajala Zingefika Hadi M3 🤔🙄😏
@rafiudineassanebartolomeub9930
@rafiudineassanebartolomeub9930 Жыл бұрын
Nimeipenda sana elimu yako na kipaji kiujumla. Vipi kuna uwezekano wakuzipata hizo uduma nje ya nchi?
@emmanuelmwaka6070
@emmanuelmwaka6070 Жыл бұрын
Number ya cm au adi tuje wasafi ndio tutapata number zake?sijui mkoje tuwekeeni number
@D-Man.B-Free
@D-Man.B-Free Жыл бұрын
Daaah,Bongo bahati mbaya!!!
@janechriss8118
@janechriss8118 Жыл бұрын
Kijana hongera sana
@faithmutua2485
@faithmutua2485 Жыл бұрын
Sasa huyu anaogea aje kwani anakariri shehiri
@Tango696
@Tango696 Жыл бұрын
Naomba no ya simu .nahitaji mazungumzo nae ofisini
@keepplayingthetapes4310
@keepplayingthetapes4310 4 ай бұрын
Brother naomba namba aise nimemkubali uyo kijana
@livinuskamugisha5296
@livinuskamugisha5296 Жыл бұрын
Dha hakika Serikali imushike mkono huyu kijana
@magutumogeko6936
@magutumogeko6936 Жыл бұрын
Iyo app inaitwa je
@omarjuma2521
@omarjuma2521 2 ай бұрын
I like it📌📌📌📌
@Producerpaki
@Producerpaki Жыл бұрын
Blessings 😍🔥🔥🔥✌️✌️🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@Senetalkim
@Senetalkim Жыл бұрын
Wana IT tunajivunia kijana katuwakilisha vzr sana 🤣🤣🤣🤣🤣 sasa wewe endelea kusomea vitu vya hovyo
@mickdadybakari6052
@mickdadybakari6052 Жыл бұрын
Point saaana
@tanzaniantraveler
@tanzaniantraveler Жыл бұрын
anasema yas not Yes ...... alaf hyo technology cyo mpya kama ambavyo zembwela umesema kijana ametengeneza ,,,,,,,ulitakiwa kusema new technology in tanzania
@profs.a5412
@profs.a5412 Жыл бұрын
Huyuu jamaaa mbona hawataji namba zake
@muhammadfarijala2324
@muhammadfarijala2324 3 ай бұрын
Mtengeze app ya wanandoa wakichepuka tunapigiwa simu
@omarjuma2521
@omarjuma2521 2 ай бұрын
Tafuta kufa
@komandowainjiliyayesu
@komandowainjiliyayesu Жыл бұрын
Hawa ndio wasomi tunawataka Tz watafiti siyo misomi imekaatu nakuvaa vinguu vyaa aibu serikali vipaji hivyo jmn
@issamaulidi8860
@issamaulidi8860 Жыл бұрын
Naitak iyo from USA 🇺🇸 please
@aggerdihenga4673
@aggerdihenga4673 Жыл бұрын
🔥🔥🔥
@samwelkulagwa861
@samwelkulagwa861 Жыл бұрын
No za simu tupe
@jayutawala9381
@jayutawala9381 Жыл бұрын
Naomba namba yake
@keepplayingthetapes4310
@keepplayingthetapes4310 4 ай бұрын
Naomba namba kaka
@suleymanhappiness7094
@suleymanhappiness7094 Жыл бұрын
sasa huyo kinana tunawaze kumtowa wap atuwekey hiyo sistem tupo Burundi
@bphotostv8630
@bphotostv8630 Жыл бұрын
Anapatikana wapi, ajaacha mawasiliano yake
@datanya_tz8181
@datanya_tz8181 Жыл бұрын
Hongera yake
@thomacemiliani3385
@thomacemiliani3385 Жыл бұрын
Tupeni namba
@johnyagat973
@johnyagat973 Жыл бұрын
Hiyo gari Roboti 👏👏👏
@khadijakdj8640
@khadijakdj8640 Жыл бұрын
Sinikama maget ya majumbani yale yenye ukuta kali uwa wanatumia namba ya Nyumba
@mauricebrunei4495
@mauricebrunei4495 Жыл бұрын
Safi sana
@pascokibesa918
@pascokibesa918 Жыл бұрын
Nimependa hii
@CKMO
@CKMO Жыл бұрын
Ebwana me nahujia ya car lakini itaweza kufanyakazi nadini ya uk???
@josephsepetu
@josephsepetu Жыл бұрын
Mbona hajataja kwenye mitandao anapatikanaje ili iwe rahisi kumtafuta
@Tango696
@Tango696 Жыл бұрын
Kwa NAMNA ya kussuportiana
@saniaamhadi6840
@saniaamhadi6840 Жыл бұрын
Tunaomba namba yk hy kaka
@livinuskamugisha5296
@livinuskamugisha5296 Жыл бұрын
Naomba namba yake basi
@fanuelisule3915
@fanuelisule3915 Жыл бұрын
Nitumie namba
@samwelydanda7155
@samwelydanda7155 Жыл бұрын
Shingapi
@bernardkirumbi8156
@bernardkirumbi8156 Жыл бұрын
Ndugu nipe namba yako ya sim tuwasiliane nitakupata wapi?
@mickdadybakari6052
@mickdadybakari6052 Жыл бұрын
Huyu mpeni fulsa tu aende nje huko maana huku nchini mwetu hatafaidi au hata nufaika na talent yake
@lucykawala5174
@lucykawala5174 Жыл бұрын
Wewe uki Duniani tunahitaji watu Hawa Africa
@heritier5119
@heritier5119 Жыл бұрын
Ajiconnect mwenyewe
@RobbyDejan1234
@RobbyDejan1234 Жыл бұрын
Tunaomba namba za ofisi please.
@abdurahmansaid5881
@abdurahmansaid5881 Жыл бұрын
Mngeweka hata Page yake ya Instagram
@alfamgeni6094
@alfamgeni6094 Жыл бұрын
Kifaa cha pikipiki shingp
@stellah3844
@stellah3844 Жыл бұрын
Serikali wamuangalie huyu kijana na wamuwezeshe la sivyo Wazungu wakimuona wanamchukua na wakimpa dau kubwa hawez kataaa,,,,,,,,Wazungu wanapenda watu wa hivi
@heritier5119
@heritier5119 Жыл бұрын
Ana kadi ya ccm
@heritier5119
@heritier5119 Жыл бұрын
Mbona wabunifu kibao wamekosa msaada.
@dominicmawala5614
@dominicmawala5614 4 ай бұрын
TUNAOMBA MAWASILIANO
@emiliamulaki3600
@emiliamulaki3600 Жыл бұрын
Naomba mtuwekee namba yake.
@sabitisefu6044
@sabitisefu6044 Жыл бұрын
Ivi napataje number ya huyu kijana?
@keepplayingthetapes4310
@keepplayingthetapes4310 4 ай бұрын
Naomba namba kaka ya WhatsApp please not meipenda iyo App
@felixkuluchumila1647
@felixkuluchumila1647 Жыл бұрын
Doh uyu mwamb anajua nyie 😳😳😳
@jacobomkumbo9293
@jacobomkumbo9293 Жыл бұрын
Mawasiliano yake hajatoa nimependa
@salumali4277
@salumali4277 Жыл бұрын
Nataka mm iyo program ya gar
@fahadfahmy
@fahadfahmy Жыл бұрын
huyu kijana mlikua mumfiche sura ili asionekane na wahalifu
@upendogreutert199
@upendogreutert199 Жыл бұрын
Kinaitwajee ??
@luciafrank4406
@luciafrank4406 Жыл бұрын
Mbona hawajataja namba
@athumaninalinga9052
@athumaninalinga9052 Жыл бұрын
💪💪
@thobiaslaizer9197
@thobiaslaizer9197 Жыл бұрын
Tutampataje sasa kijana Salum
@methodiutou7278
@methodiutou7278 Жыл бұрын
Hatariii
@ummySheikh72
@ummySheikh72 Жыл бұрын
Tupeni number zake huyu Salum please
@RobbyDejan1234
@RobbyDejan1234 Жыл бұрын
Tusaidieni mawasiliano yake huyo kijana .
@gooleserviceyoutubescandar3450
@gooleserviceyoutubescandar3450 Жыл бұрын
Bongo modimfikisheni haswaa.
@user-oz6zp8fr1c
@user-oz6zp8fr1c 3 ай бұрын
Mawasiliano tafadhali
@davidmagari7885
@davidmagari7885 Ай бұрын
Tupe namba yake
@kassimseif5383
@kassimseif5383 Жыл бұрын
Hata mim pia nimependa hii kitu naomba contact please
@strong8534
@strong8534 Жыл бұрын
Ukiwa Ulaya wazungu wanacopy mambo yako then wanakuuwa. Hawapendi waafrika wagunduwe chochote
@issazalala4907
@issazalala4907 Жыл бұрын
Wemwana umetshaa duuh
@victorhebroni3217
@victorhebroni3217 Жыл бұрын
Kaka saruti na mm nataka
Mfanyakazi wa Azam Media atengeneza satelaiti
9:24
UTV Tanzania
Рет қаралды 1,2 М.
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 4,6 МЛН
CHOCKY MILK.. 🤣 #shorts
00:20
Savage Vlogs
Рет қаралды 29 МЛН
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 51 МЛН
BABA YANGU KIPOFU Full episode /29/ #love
43:38
BabaJoan
Рет қаралды 252 М.
NILIJUA MTOTO
7:57
Joti TV
Рет қаралды 554 М.
Wabunifu wa Injini ya ndege (Jet Engine)
4:29
COSTECH Tanzania
Рет қаралды 14 М.
EXCLUSIVE   ZUCHU AMNUNULIA GARI LA ZAIDI YA MIL 20 ANJELA
6:09
Wasafi Media
Рет қаралды 4,7 М.
NAMTAKA HUYU
10:37
Joti TV
Рет қаралды 778 М.
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 4,6 МЛН