VIDEO: SPIKA TULIA NA HALIMA MDEE WAVUTANA VIFUNGU VYA SHERIA ISHU 'MKATABA WA BANDARI'

  Рет қаралды 230,948

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Mbunge wa Viti Maalum Halima Mdee amechangia maelezo ya Serikali kuhusu mapendekezo ya kuridhia mkataba baina ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu ushirikiano wa kiuchumi na kijamii kwa ajili ya Uendelezaji na Uboreshaji wa Utendaji kazi wa Bandari Tanzania ambapo amesema manufaa ambayo yanatarajiwa kupatikana iwapo Bunge litaridhia azimio hilo ni pamoja na kuongezeka kwa Mapato ya Serikali.

Пікірлер: 909
@rehemaabdallah9370
@rehemaabdallah9370 Жыл бұрын
Mungu akuzidishie maarifa Halima mdee uko vizuri sana
@gloryclement6400
@gloryclement6400 Жыл бұрын
Natamani upinzani wangekuwepo hata 10 tu hapo bungeni.😢😢hili swala Lingeisha chap Sana!! Halima mdee🔥🔥🔥!! Unajitahidi mama
@emmanuelafrica
@emmanuelafrica Жыл бұрын
Barikiwa sana dada Mungu akuzidishie umeonesha Mwanga ila huwezi kubadili chochote acha tuliwe tulimkosea sana Mungu 😭😭😭
@hussenaaghe2760
@hussenaaghe2760 Жыл бұрын
Barikiwa chama gani chadema hamtabi
@ayubusimake
@ayubusimake Жыл бұрын
@@hussenaaghe2760 ß
@angelmashauri6961
@angelmashauri6961 Жыл бұрын
Mheshimiwa Halima Mdee ishi miaka mingii…unaongea points sana👏👏👏👏
@user-yh3do3pk4y
@user-yh3do3pk4y 10 ай бұрын
Tumia akili
@danielworshiper6002
@danielworshiper6002 Жыл бұрын
Mdee mmoja ni sawasawa na wabunge wote wanaume wa CCM........ Nakupenda Halima Mdeee
@fatmaayoub8298
@fatmaayoub8298 Жыл бұрын
❤️❤️❤️💪💪💪
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 10 ай бұрын
Bravo bravo bravo bravo, Halima Mdee
@malikzafarani172
@malikzafarani172 Жыл бұрын
Halima ana hoja kali sana ila wamemkatisha katisha ile asiseme ukweli daah bongo nyoso wallah 🙌
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui Жыл бұрын
Nakupenda sana dadaangu Halima, Hawa wengine bana!! Mungu tusaidie.
@yassinkimolo2943
@yassinkimolo2943 Жыл бұрын
Halifax unaumia sana kwasababu unajaribu kuelewesha hayo mazuzu malarushwa hayaelewi
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 Жыл бұрын
Mh Halima Mungu akutangulie kwa kila kitu unachofanya na kubariki kazi zako pamoja na tumbo lilolokuzaa Hakika ww ni mfano wa kuigwa 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@emanuelandronicus2574
@emanuelandronicus2574 Жыл бұрын
Prophetess halima mdee🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏Mungu akulinde
@fatmaayoub8298
@fatmaayoub8298 Жыл бұрын
Ishi sana Mheshimiwa Mdee you're a true Hero of Tanzania..your legacy will remain always 💪💪💪🙏
@japhethcharles5791
@japhethcharles5791 10 ай бұрын
Tunaangamia kwa ujinga wetu peke yetu,wanaoongea ukweli wanazibwa midomo kisa ulafi wa wachache wenye Dola😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu ingilia kati
@calistustitus4566
@calistustitus4566 Жыл бұрын
Uyu spika ni boya kuwai kutokea na ana wadharilisha watu wa mbeya linafiki sana
@birianination7097
@birianination7097 Жыл бұрын
Spika ajampinga ila anahakikisha kilamtu anasema vitu vilivyo kwenye mkataba
@kefajoseph158
@kefajoseph158 Жыл бұрын
@@birianination7097 spika gani msenge huyo anamsaidia Samia kuuza nchi
@birianination7097
@birianination7097 Жыл бұрын
@@kefajoseph158 ni wapi nchi imeuzwa, Usikute unafikiri kua huu mkataba unao zungumzwa ndio mkataba wa makubaliano ya kazi.
@user-nn8um3qh6y
@user-nn8um3qh6y Жыл бұрын
Huku kwetu tunanufaika na tamasha lake la utamaduni na diamond alimleta tulia wewe
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Жыл бұрын
SAFI SANAA BI HALIMA MDEE.
@Fardadihd
@Fardadihd Жыл бұрын
Tulimezeshwa ujinga kuhusu bandari nilimsikiliza anaongea pumba mdee sijui km halewi
@jtheophil5499
@jtheophil5499 Жыл бұрын
Halima ni kichwa sana!Inapendeza mno.Spika wa bunge ni kichwa sana yuko makini na ni smart sana.Nimeamini wadada wembamba ni vichwa sana.
@kasangagregory5747
@kasangagregory5747 Жыл бұрын
Hapo kama mvivu kusoma na kufikiri unabaki unatoa macho.
@mimikimanga3126
@mimikimanga3126 Жыл бұрын
Sanaaaa yani
@EditaJoseph-zo9dv
@EditaJoseph-zo9dv Жыл бұрын
😂😂😂😂 kwahiyo wanene 🤪
@jumannemohamedy1456
@jumannemohamedy1456 Жыл бұрын
Tena spika ni kichwa kweli kweli wala sio masihara Tanzania 🇹🇿 tume barikiwa kuwa na wanawake vichwa sana na ndio maana wame aminiwa na wana wajibika
@ndayimanase7123
@ndayimanase7123 Жыл бұрын
Spika kapangwa hajadili anatetea mkataba, hajadili chochote but ukwel mkataba n mchongo persee
@dawndawn387
@dawndawn387 Жыл бұрын
Inaumiza kuona speaker wetu anakuwa namna hii ! Hili ni jambo kubwa ambalo wanainchi tulitakiwa tuelemishwe kwa muda wa kutosha .Mungu ibariki Tanzania
@lubangompyalimi8922
@lubangompyalimi8922 Жыл бұрын
Spika wakati mwingine hafai kabisa.analinda ufisadi unaotaka kufanywa bandalini.
@mustafahakim-iq7dj
@mustafahakim-iq7dj Жыл бұрын
We umesoma wapi mpaka unamuona mwanasheria anakosea au ni fikira zako tu
@IreneFabiani-ug3en
@IreneFabiani-ug3en 10 ай бұрын
Ishi saaaaana halima❤️tunakupenda mungu akupe maisha marefu tunakuombea pia 🙏
@PROFESSOR_OF_THE_CENTURY
@PROFESSOR_OF_THE_CENTURY Жыл бұрын
Daaah ukitumia akili ktk hii speech ya mdee na tulia utagundua kuna mmoja yupo kwa ajili ya maslahi ya chama na mwingine yupo kwa maslahi ya nchi. Ni huruma sanaa😢😢😢😢One day ukweli utasimama
@aishatarimotarimo2689
@aishatarimotarimo2689 Жыл бұрын
Exactly
@feaonlinetv210
@feaonlinetv210 Жыл бұрын
Hayo matumaini ya One day ndiyo yanatumaliza,
@flavianmashimi6327
@flavianmashimi6327 Жыл бұрын
Maoni yangu ni kwamba. Mjadala huu umegeuzwa kubwa malumbano ya uchama na siyo uhalisia. Chama tawala ninaona kinajitahidi kuhakikisha kinawavuruga wapinzani ili wananchi wasiwaelewe na kuwa brand kama WAPOTOSHAJI ili kulinda makubaliano yaliyosainiwa chini ya usimamizi wa Mwenyekiti wa chama. Kinachoangaliwa hapo ni maslahi ya chama na siyo nchi. Sisi wananchi tulio makini kufuatilia tunaona majadiliano yamekuwa malumbano na vipengele tata halitashughulikiwa. Mungu ainusuru nchi yetu
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Kweli umeongea
@exavelyjohn346
@exavelyjohn346 Жыл бұрын
Kwani siye twasoma ili iweje km kila kitu twategemea kusaidiwa
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 Жыл бұрын
Kwenye point za maana zinakuja TAARIFA Mwaitara anaongea utumbo wanampa muda aseme tu UJINGA Wana tabia mbaya utadhani Chadema siyo wa Tanzania sijui wabunge gani hawa kwenye majimbo next time tuwapige chini hawafai
@engmwalukasa9764
@engmwalukasa9764 Жыл бұрын
Naungana na wewe... Bungeni saizi ni vyama tu... CCM wanajinadi kabisa kuwa hoja inayoamzishwa na mwenyekiti wao haipaswi kupingwa...
@engmwalukasa9764
@engmwalukasa9764 Жыл бұрын
@@margarethsaramaki3966 Nakuunga mkono... Mtu akiwa anaunga hoja yao... Wanampa muda wa kutosha... Lkn mtu akiwa anapinga wanaishia kumkosoa...
@scolamwamokye2096
@scolamwamokye2096 Жыл бұрын
You're strong my sister that's y,, hukutaka kustaafu bunge!! Live long great woman (lawyer)of Tanzania 😊
@andrewpaul6531
@andrewpaul6531 Жыл бұрын
Inauma na kusikitisha sana kwa viongozi walopewa dhamana wanakosa uzalendo na nchi yao 😢😢
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 Жыл бұрын
Halima mdogo wetu, dada yetu Umeeeleza kwa mapana yake ipo siku utakumbukwa
@ibrahimtesha2733
@ibrahimtesha2733 Жыл бұрын
Naona kama Halima amevurugwa vurugwa asieleze alichotaka tujue, hadi muda wake umeisha kwa taarifa za "hovyo" tu. Sijaelewa, na nadhani waTZ wengi wanachanganywa ili tu kuitetea Serikali. Naona umuhimu wa kuahirisha jambo hilo tupate nafasi ya kukubaliana kama wananchi. Bandari si mali ya kukodishwa ovyo hivyo ninavyoona! Kama tulishakosea, bora tujenge uwezo wa kumiliki wenyewe hata kama tutaendelea polepole.
@jamhuri_imala3976
@jamhuri_imala3976 Жыл бұрын
nikweri kaka
@realswahilicultural8140
@realswahilicultural8140 Жыл бұрын
Alima Hana kitu ni muzuka tu anao😅
@evancegidion9155
@evancegidion9155 Жыл бұрын
Bandari sio mali ya Tulia,na akina ..... mnaowashabikia mhimu ujumbe ukiacha inaendelea mtu ana uwezo kuchangia chochote tulia acha ubabe
@ANJELACHALE-od3ki
@ANJELACHALE-od3ki Жыл бұрын
Uko sahihi,bandari ibaki kusimamia na watanzania wenyewe.
@ANJELACHALE-od3ki
@ANJELACHALE-od3ki Жыл бұрын
Tuiboreshe vizuri bandari yetu na tuisimamie vyema.
@jkifutu7936
@jkifutu7936 Жыл бұрын
Halima mdee nakupenda sana wngu saut yako tu mdee Halima nakupenda sana saut yako
@epifaniaminja6284
@epifaniaminja6284 Жыл бұрын
Hongera sana Halima. Umetuwakilisha vyema waTanzania. Speaker ingependeza zaidi kuwa neutral bila kuegemea upande mmoja.
@kefajoseph158
@kefajoseph158 Жыл бұрын
Umeona eee
@mathewyoung2159
@mathewyoung2159 Жыл бұрын
Wabunge wa CCM waovyoo kabisa
@simonibonifasi3131
@simonibonifasi3131 Жыл бұрын
Watanzania tuamke miaka60 yauhulu bado hatuwezi kujenga bandali yetu bado tunangangania ccm kwanini tusibadili chama maana hawa watu wameshashindwa kuendesha hii inchi
@ImanMwanji-rd3lu
@ImanMwanji-rd3lu Жыл бұрын
Ubarikiwe sana harima mungu akubariki
@malakimollel6044
@malakimollel6044 Жыл бұрын
Sio harima ni halima. Asante.
@alexkakwaya4383
@alexkakwaya4383 Жыл бұрын
In every law there is a loophole. Halima mdee anaiona hiyo loophole lkn spika haioni au anajifanya haioni.
@ndayimanase7123
@ndayimanase7123 Жыл бұрын
Vitu viko planned kuwa ipite tu hakukuwa na majadiano yeyote ndo maana halimaanapingwa
@kefajoseph158
@kefajoseph158 Жыл бұрын
Huyo malaya tulia anataka tuuzwe
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
Anajifanya haoni
@lucykinabo
@lucykinabo Жыл бұрын
Hyu spika anajifanya haelew
@lucykinabo
@lucykinabo Жыл бұрын
Hyu spika anajifanya haelew
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 Жыл бұрын
Uko.vizuri harima mdee kuna watu wako nje Wana akili ila nyie Mungu kawachagua muwe mbele
@yassinkimolo2943
@yassinkimolo2943 Жыл бұрын
Nashauri mikoa yote yenye bandari ifanya maandamano kupinga huu upuuzi
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Жыл бұрын
R. I. P JPM. Hakika ulikuwa shujaa kweli kweli. Majizi wamerudi tena, hawana huruma wala uzalendo kwa nchi maana sio watanganyika hivyo huuza kila kitu. Tumepata Rais bomu kuwahi kutokea tangu dunia iubwe. Ee Mola tuepushe na haya majizi.
@anthonyleonard7273
@anthonyleonard7273 Жыл бұрын
Magufuli ndo chanzo cha haya matatizo… kuweka wabunge wote wa ccm
@kefajoseph158
@kefajoseph158 Жыл бұрын
Kabisa jamaa yule ni SHETANI watanzania
@kefajoseph158
@kefajoseph158 Жыл бұрын
@@anthonyleonard7273 umeona eee
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 Жыл бұрын
@@kefajoseph158 wakubali wakatae Mbuge wa Chadema akisimama Bungeni ni TAARIFA wana uweledi wa kutosha sana mimi siko chama chochote ila ukweli ni huo Halima ni juu juu zaidi🥰🥰
@josephstephen1079
@josephstephen1079 Жыл бұрын
Alichokosea ni kuua upinzani na madhara yake ndiyo haya sasa
@nicolausmundi
@nicolausmundi Жыл бұрын
Spika umepangwa cha kusema ndiyo maana unajibu hoja Za halima bila kujali zina mantic gani kwa baadaye
@sanaanimaisha4072
@sanaanimaisha4072 Жыл бұрын
So planned, and decided before hearing. It breaks my heart
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi Жыл бұрын
Hatari sana😥😥😥
@IddyRashidi-vf9jm
@IddyRashidi-vf9jm Жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/a954erF8y9zKdnk.html😢😢😢
@Bensonfrank25
@Bensonfrank25 Жыл бұрын
🤝
@user-hw3iy8jo3w
@user-hw3iy8jo3w Жыл бұрын
Nakuapia huyu spika anacho kitenda kwa wapinzani sio Sawa ila tunamuachia mungu atasimama na ww
@josehaulee1508
@josehaulee1508 Жыл бұрын
Ila huyu mama anajua kutengeneza hoja sanaa basiii tuu yaan
@jamhuri_imala3976
@jamhuri_imala3976 Жыл бұрын
tumshauli tu aunt yetu aweanaenda kwenye points mojakwa moja itamsaidia na kupunguza maswali ili kuokoa muda
@judithgeorge1756
@judithgeorge1756 Жыл бұрын
Nakupenda sana halima mdee
@didasmartine7665
@didasmartine7665 Жыл бұрын
Nakubali mdee
@raymondstewart228
@raymondstewart228 Жыл бұрын
Sina Imani na tulia akson Sina Imani Nae kabisa
@agathaaroni7783
@agathaaroni7783 Жыл бұрын
Nilichogundua hawa wabunge wanatetea vitamb tu mana wanaacha kujadili vit tuelewe wanang’ang’ana tu kukubali huo mkataba😢Mungu tukumbuke.
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 Жыл бұрын
Mungu kamwe hatajiingiza kwenye mambo kama haya
@mhinahalfan2694
@mhinahalfan2694 Жыл бұрын
Hongera sana Halima, Leo ulikuwa unawekana sawa na mwalimu wako . Kwa pamoja mmefanya mjadala kuwa mzuri sana....
@directorbony185
@directorbony185 Жыл бұрын
Kumenoga
@benjaminnungu8428
@benjaminnungu8428 Жыл бұрын
Mungu atatupa wate na wao, Amen.
@shangwejumanne466
@shangwejumanne466 Жыл бұрын
Halima Mdee keep it up kuna siku watakukumbuka huyo sijui naibu waziri Mama hata haoogopi wanatetea kitu kitakachotafina mpk vitukuu bahasha za Kaki zinachanika ila haki ya watanzania itawatafuna Halima siku moja utakuwa kinara just keep it up Si
@chantalmulasi5663
@chantalmulasi5663 Жыл бұрын
Uyo Halima mdee kweli yako na Akili nyingi sana kabisa
@nardhismhagama6266
@nardhismhagama6266 Жыл бұрын
Spika unalazimisha
@justinamwirabi5730
@justinamwirabi5730 Жыл бұрын
Hongera Halima nimekuelewa Sana.
@anncharlesombijaombija3056
@anncharlesombijaombija3056 Жыл бұрын
Kwanini Zanzibar aiuzwi anajuwa akishatuuza anarudi kwao mungu tusaidie
@zenj1986
@zenj1986 Жыл бұрын
Spika upo vizuri. Wallahi tungekupata zamani basi Tanzania ingekuwa na mikataba ya uhakika. Mama Tulia chukua fomu ya urais
@SBMEDIA79
@SBMEDIA79 Жыл бұрын
Kwendraaaaa
@ndayimanase7123
@ndayimanase7123 Жыл бұрын
Uzur wake n upi kutetea ujinga
@zainabuselemani6709
@zainabuselemani6709 Жыл бұрын
anapotosha unasema ni mzur anachokiteta ni nn asa apo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Жыл бұрын
TULIA ANATAKA KILA KITU KIWEKWE WAZI KWA MASLAHI YA NCHI SIO KUROPOKA ROPOKA TU.
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Жыл бұрын
​@@zainabuselemani6709 UTAJUWAJE WAKATI HUNA ELIMU???
@geraldlyimo2859
@geraldlyimo2859 Жыл бұрын
Maswali anayoulizwa mdee ni ya mtego mdee yuko sahii
@sharifalengima5605
@sharifalengima5605 Жыл бұрын
Nalia Sana na elimu hurahisisha Sana utendaji kazi Tulia mama Asante
@scopy0428
@scopy0428 Жыл бұрын
Kuna Baadhi Ya Wabunge huwa wanapotosha jamii kwa kias kikubwa sana Hongera sana Mh Spika Madam Tulia Akson.
@bettyrugemalila9185
@bettyrugemalila9185 Жыл бұрын
Safi cna Halima,hao wengine ni makofi tu
@methuselategemeomanace5213
@methuselategemeomanace5213 Жыл бұрын
Hamuwezi kutumia siku Moja kufanya mjadala wa Jambo lililotumia siku nyingi za mchaakato huu. Mind you kwamba muangalie maamzi yaliyoyanyika siyo sahihi. Sanjali na Hilo Madam Sipika najua wewe hujakaa hicho kiti hujakaa hovyo umekaa kiutaratibu, Mdee anachoongea Ni kitu kuntu. Na na cha msingi once more nitalishuhudia as long as Mungu atatupatia uhai.
@raysetallent1588
@raysetallent1588 Жыл бұрын
QOUTE... KUTOKA KWA WAKILI MSOMI ...MR.. BONIFACE MWABUKUSI KAMA SISI HATUNA AKILI ZA KUONGOZA HI BANDARI WATAKUJA WATOTO WETU WENYE AKILI ZAIDI YETU KUONGOZA ... HONGERA SANA DADA YANGU HALIMA MDEE ELIMU INAKUSAIDIA SANA 💯💯 HUJASOMA BURE .... SISI KAMA WANANCHI TUNAOMBA BARAZA LA MAWAKILI NA MWANASHERIA MKUU WAKAE WALICHABUE KISHERIA ... BILA KUKIUKA KATIBA ...NB.. KATIBA IFUATWE YA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA YAAN TANGANYIKA NA ZANZIBAR
@asiamohd5516
@asiamohd5516 Жыл бұрын
Halima km halima anajitahid sana huyu mama lkn anabanwa banwa kwa sbb anaongea point
@shafee9128
@shafee9128 Жыл бұрын
Ukweli unapanda kwa miguu Uwongo unapanda kwa lift Mungu atakulipa khalima wajina wa Mamaa yangu
@rajabtwahakombo
@rajabtwahakombo Жыл бұрын
Da inasikitisha sana Yani taarifa taarifa taarifa inaonekana kama sio haki kuchambua
@norahsteven2662
@norahsteven2662 Жыл бұрын
Love you so much halima mdee😍😍
@salmanmagwe2612
@salmanmagwe2612 Жыл бұрын
Kuna vitu vinafanywa hovyo mno na wafanyakazi wa serikali na njia nzuri ni kubinafsisha: -Uhamiaji -Bandari -Reli,police,TRA n.k kwa manufaa ya watanzania kwani hata nabii gani aje hawa watu wataendelea kula rushwa tu na kutusumbua sisi Raia
@rugijofrey3685
@rugijofrey3685 Жыл бұрын
Yani vitu vinaandikwa kwa Kingereza yanakua kama mambo ya Fei na Yanga tusizunguke mbuyu Ili jambo kama nchi hatutaki sababu atuna tunachopoteza , ipo cku kama nchi tunakuja kuzuiliwa mlangoni kwenye Ardhi yetu wenyewe
@HuliloDonard-gu9bp
@HuliloDonard-gu9bp Жыл бұрын
Harima mdee ww nichuma kweli hunanidhamu yauoga.
@birianination7097
@birianination7097 Жыл бұрын
Halima kafeli, anasema lazima wapewe miradi yote ya bandari, ila akiombwa aoneshe wapi kwenye mkataba hawezi, sasa kivipi
@goodwellmutambo7607
@goodwellmutambo7607 Жыл бұрын
HALIMA kichwa sana yaani ukitaka kujuwa kwamba CCM hamnazo eti mwana fa ni waziri
@MariaCassian-ys7pt
@MariaCassian-ys7pt 3 ай бұрын
Mtuakiongea vitu vizuri utasikia taarifa ilikumpotezea tu mtu point zake HALIMA chukua 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
@zeyzey5439
@zeyzey5439 Жыл бұрын
Halima MUNGU WAMBINGIN AKULINDE
@josephfrank4446
@josephfrank4446 Жыл бұрын
Tulia kichwa boga safi sana halima mwakani chukua nchi chadema mwacheni halima wetu apige kazi tuwaburuze hawa ccm wa hovyo kabisa
@VinriPL
@VinriPL Жыл бұрын
Ja chcąca znależć piosenkę zespołu Tulia z dziś :) youtub : TRZYMAJ POLITYKĘ TANZANII XD Pozdrawiam Tanzanie z Polski :D Me wanting to find a Tulia band song from today :) youtube : KEEP TANZANIA'S POLICY XD Greetings to Tanzania from Poland :D
@kheirahmad4064
@kheirahmad4064 Жыл бұрын
Kwa hakika tuombe salama ya Mungu tofauti na hivo nihatar sana.
@fidelisjeremias3145
@fidelisjeremias3145 Жыл бұрын
Mbona kama tuliaa anakandamiza
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Жыл бұрын
KAULI ZA KAMA KAMA HAZINA MSINGI NI UJINGA.
@flavianmashimi6327
@flavianmashimi6327 Жыл бұрын
Nashauri Serikali ifanye due diligence kujua hizo kesi alizonazo DP World huko nje ni za kweli na je, hakuna njia nyingine ya kuongeza ufanisi?? Dhana ya PPP si mbaya lakini maslahi ya nchi yazingatiwe na si hofu ya kuona kuwa chama kitaonekana cha hovyo. Bandari ni yetu sote kwa sasa tunaweza kuonekana hatuwezi kufanya lolote kwa vile tuko nje ya Bunge naona wameishapitisha. Hiyo mikataba itakayofanywa tuione, tuione, na Bunge liwe live. Pia Wabunge waheshimiane wanatusikitisha hizo taarifa, zimekuwa nyingine ni uvurugaji. Tunajua Caucasus za vyama zimekaa na kuweka mikakati ya kulindana. Hebu kila mbunge achangie maoni yake na siyo kabla hajaanza kutoa hoja yake ya msingi ananyanyuka mtu " Taarifa" majaribu flow wananchi tunakosa ukweli
@LoxloxJuma
@LoxloxJuma Жыл бұрын
Wamemchanganya halima wamemto katika reli mungu akulinde
@ChristerShao
@ChristerShao 11 ай бұрын
Halima ni jembe tangu sana.Tumekuelewa mwanangu,Tulia amekubana sana,wale wa ndiyo wakikazana kuomba mitaarifa wakumbuke yupo hasiyedanganywa.Halima mungu akulinde saana akuinue umeweka alama ya kuigwa.
@makungamapalala7982
@makungamapalala7982 Жыл бұрын
Halima umeona mbali Sana tatizo hawasemi ukweli
@Jessiefrank872
@Jessiefrank872 Жыл бұрын
💐💐💐💐 to her
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 Жыл бұрын
Halima well said
@lightnesssanka1928
@lightnesssanka1928 Жыл бұрын
Halima mmy uku vizuri
@lightnesssanka1928
@lightnesssanka1928 Жыл бұрын
Ila spika jitahidi kua Makini wewe
@lightnesssanka1928
@lightnesssanka1928 Жыл бұрын
Hapo sawa asikilizwe
@tinaruben1539
@tinaruben1539 Жыл бұрын
Mmmmmmhhh hapa ni kumuomba MUNGU TUUU HATUTETEEE.
@jacktonetiibuza9970
@jacktonetiibuza9970 Жыл бұрын
Karibu chadema kwetu tena my sister 2025 tena bungeni salute kwako dada
@shanifesto9037
@shanifesto9037 Жыл бұрын
Kwahiyo mbunge miaka yote haikuwa series sio ,,mjadala wa Leo ndio muhimu sana dahh ,,,kwann tunafunywa watoto wadogo kwani watanzania kuwa wapole na nchi yetu ndio mtupeleke mnavyotaka kweli ama tunaonekana hatuna haki ama hatuwezi kupiga na kuandamana ila ee MWENYEZI mungu tusaidie sana ,,wabunge wamekuwa kama watoto wa chekechea ,,ee mwendazake tutakukumbuka daima😢
@selemanishabani126
@selemanishabani126 Жыл бұрын
Halima Mdee alikua na point SEMA imevurugwa
@collinndabi1914
@collinndabi1914 Жыл бұрын
Kashindwa kuitetea hoja yake
@luvanganeto2893
@luvanganeto2893 Жыл бұрын
​@@collinndabi1914 atateteaje anapingwa kila kona ngoja wapitishe mtakuja kumwelewa Halima baadae
@JacksonMahenge-qx6ev
@JacksonMahenge-qx6ev Жыл бұрын
hichi kichwa, mskilizen vzur sana mdee
@kayunganandelema8688
@kayunganandelema8688 Жыл бұрын
Dada halima wanakupoteza Ili ushindwe kuongea na lengo tusijuee wananchii huko hao wabunge wa CCM kazi nikusaport kilakituu mungu tusaidiee
@bennyframa4505
@bennyframa4505 Жыл бұрын
Nimeshuhudiaa ma MP's wengi wa bunge la Tanzania ila huyu mama ni KIBOKO🙌🇹🇿. Samia suluhu atakuwa yupo proud sana kumpa kiti hiki
@nicolausmundi
@nicolausmundi Жыл бұрын
Kiukweli Tanzania hatuna bunge lindeni hoja za watu
@lightnesssanka1928
@lightnesssanka1928 Жыл бұрын
Huyu nikichwa jamani Mimi napenda sasa
@zainabuselemani6709
@zainabuselemani6709 Жыл бұрын
@@lightnesssanka1928 na asa mdee au tulia
@mtabevilaini6527
@mtabevilaini6527 Жыл бұрын
Mdee
@user-jt3kf6nz1y
@user-jt3kf6nz1y Жыл бұрын
Kwanini bandari za Zanzibar hazitwajwi,kwanini Tanzania bara na siyo Znzbar,kwanini Bara tu😢😢
@tahiyasaeed
@tahiyasaeed Жыл бұрын
Kwa sababu Zanzibar ina serekali yake na mambo ya bandari hayaingiliani kwenye serekali hizo mbili yani serekali ya mapinduzi Zanzibar na serekali ya jamhuri ya muungano
@nissangtr4670
@nissangtr4670 Жыл бұрын
Yeah kwa nn sio zanzibar ila ni hku tu... Yah Allah 😢😢 Tz sijui tunaelekea wap. Bi halima katoa facts sana bc tu wanampnga but deep down its true anachosema na za chini chini naskia.............. enewei 😅
@linashayo2068
@linashayo2068 Жыл бұрын
Kikubwa Tumuombe Mungu azuie hayo makubaliano yasifanikiwe. Siku ya kukutana na kufanya makubaliano itokee chochote hata wakifa wote ni sawa, kikubwa nchi ibakie mikononi mwa watanzania na sio waarabu 😳😳
@halfanabdalla8949
@halfanabdalla8949 Жыл бұрын
Na kwann Ticts walikubaliana na bandari ya dar na sio Zanzibar
@Tdm1389
@Tdm1389 Жыл бұрын
@@linashayo2068 Amina. Mungu ni Mwaminifu
@simonibonifasi3131
@simonibonifasi3131 Жыл бұрын
Safi sana halima mdei maana ujanja ujanja umezidi inchi hii
@emmanuelraphael679
@emmanuelraphael679 Жыл бұрын
Daah hii nchi hii mungu atusaidie tu
@petermwanyondo5370
@petermwanyondo5370 Жыл бұрын
Hongra dada alima wanawake mnaweza kweli itabaki kuwa kweli
@jonasimwanzi3632
@jonasimwanzi3632 Жыл бұрын
Munawza nini munatupeleka tu akuna lolote eshimuni waume zenu
@getrudewillson308
@getrudewillson308 Жыл бұрын
Japo Mimi sio msomi ,elim yangu ni 0 Kwa elim ya ki MUNGU Yani ekima ya ki MUNGU aliyo nipa , nikwamba amjashindwa kuiendesha bandali na kama ajira zinazo zungumzwa , zinaweza kutolewa ata Sasa akujashindikana ajila kutolewa? naomba bandali isibinafisishwe. Maana atakae chukua bandali ataweza kupangiwa jinsi ya kulipisha ushuru hivyo watanzania ni kama tuna uzwa niaka mia Moja sio mchezo , jamani haki ya watz ntadaiwa nikononi mwenu jamani waeshimiwa wabunge, msaidieni mama atutakiiiii ibinafisiswe.
@SurprisedCamping-ri7nc
@SurprisedCamping-ri7nc 5 ай бұрын
1
@user-bj6bs9do2f
@user-bj6bs9do2f 4 ай бұрын
Bando langu Nalitumia Vyema kuwasikiliza Watu kama hawa Yani Mbunge Mmoja Wa Upinzani kama Wabunge Elfu M1 Wamafisiemu🤣🤣Big Up Halima mdee A.k.A Sauti Ya Zege
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 Жыл бұрын
Wanamchanganya tu wakitetea miugali yao sisi wananchi tuko na Halima Mdee.
@Vampiretrust.
@Vampiretrust. Жыл бұрын
Watanzania hatufwatili mambo….kwenye mkataba kuna issue zinaitwa implied terms of contract ambazo hazionekani hapo….lakn ki uhalisia zina mashiko ndo ambazo Halima anazigusia hapo
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Жыл бұрын
Tume pigwa aisee
@TumainielKitundu
@TumainielKitundu Жыл бұрын
Niliposoma tweet moja inayosema "Kuna walio lipwa kuikosoa na waliolipwa kuitetea" sasa naelewa kuuzwa hakuji kwa wakati moja, kila ajae atauza kitakacho mnufaisha!
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
Spika: -mwalimu anavyosimamia wanafunzi _mchungaji/padre Kanisani _waziri wa katiba na sheria _chuef whip Kwa ufupi haonekani kama kiongozi wa bunge..maana anavuruga michango ya wabunge.. Bi kidude kavuruga bunge...ovyo
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 Жыл бұрын
Kweli kufundisha ni wito.halima anatumia nguvu kufundisha.hajui anachofanya.
@abdulrahmanmwadini5925
@abdulrahmanmwadini5925 Жыл бұрын
True
@philemonlwoga9065
@philemonlwoga9065 Жыл бұрын
Halima mdee unaeleweka
@ngoni7944
@ngoni7944 Жыл бұрын
Very sad, vijana badala ya kupigania nchi yao bandari inauzwa sasa hivi wapo busy na kuishangilia yanga,wabunge sasa hivi wapo bungeni wanasaini mkataba wa kuuza bandari yetu na maziwa yote ya Tanzania, 😢
@mosesmwasanga7661
@mosesmwasanga7661 Жыл бұрын
😂😂 wahusika Wanashangilia yanga!!!
@eidallyeidally5093
@eidallyeidally5093 Жыл бұрын
Tatiz kingerezaaa
@shamimujuma9373
@shamimujuma9373 Жыл бұрын
Hata mimi naona ni Bora wakaondoe stress Kwa jambo linalo wagusa nafs zao, coz their reaction can't change nothing! Kama Wewe umeskiliza mjadala, utaona namna mbunge wako na wangu, wanavyo shangilia kw kuunga mkono hoja, pia wakimaliza kupitisha Kwa shangwe wanakuja Kwa wanyonge kuchukua Kodi kibao coz ndo wanasema ndo zinajenga nchi, ila hizo wanazojadili Zina wajenga wao, hapo vijana wafanyaje kaka.
@shakren427
@shakren427 Жыл бұрын
inauma sana Mdee Allah ata kusimamia
@princekarani7836
@princekarani7836 Жыл бұрын
Halima mdee wamemdistruct kinouma yani ile wamchanganye hasiulize kwa uhuru
@mudyally6680
@mudyally6680 Жыл бұрын
Hii nchi ilishapotea wallah mjomba aliipambania sana ila toka afe imekuwa ya ovyo sana Hata cjui tunapelekwa wapi au sijui ndo turudishwa utumwani kisailensa😢😢😢 ya Allah tuondoe ktk huu mtihani zindua akili za viongozi wetu kama dhiki shida ziwe amali zetu ktk taifa letu Inshaallah
@saidjuma9782
@saidjuma9782 Жыл бұрын
Mjomba wako ndo alotengeneza hilo Bunge na kuzuia wapinzani wasiseme chochote.....Jitambueni vijana musikabali tu kupelekwa pelekwa
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Жыл бұрын
MJOMBA WAKO KABLA YA KUFA ALI INGIA MKATABA WA MWISHO NA UINGEREZA KUHUSU MGODI BILA KULIHUSISHA BUNGE TENA LIVE KAITA WAANDISHI NA MTU WA KUTAFSIRI WATU WOTE WANAJUWA NA HAKUNA ALIE JAMBA WALA KUSEMA NCHI IMEUZWA DADEKI.
@alanusrespicius1796
@alanusrespicius1796 Жыл бұрын
Wewe spika unalinda ugali wako. Maana ukiwaza kilichomtokea Ndugai inabidi utetee. Na hivyo vibunge vinapiga makofi
@nissangtr4670
@nissangtr4670 Жыл бұрын
Tesemee mkuu😅😅
@abdonesrom5009
@abdonesrom5009 Жыл бұрын
Nawaombea muelewane kwaajiri ya ujenzi wa Taifa letu MUNGU Awabariki wabunge wetuu nawapenda
@rugijofrey3685
@rugijofrey3685 Жыл бұрын
Tunatakiwa tuwe na plan za mda mrefu tu invest kwenye ujuzi/Elemu vijana wajifunze kwa manufaa ya baadae vya bure vina gharama
@ibrahimsuleyman9465
@ibrahimsuleyman9465 Жыл бұрын
Mtu na mwalimu wake!!
@skateweaver
@skateweaver Жыл бұрын
Nimeipenda hii
@eliasjoseph8830
@eliasjoseph8830 10 ай бұрын
Hongera sana halima mdee kwa kutetea maslahi mapana ya nchi yetu
@stevenibrahimu326
@stevenibrahimu326 Жыл бұрын
SPEAKER ANAKUONEA WIVU KWA NONDO ZAKO HALIMA
@mbondelotv8380
@mbondelotv8380 Жыл бұрын
Jamani hata sisi wachache tuliosoma ujumbe huu tuwe makini katika chaguzi.tunachagua maandazi sana kuliko watu.Inchi yetu ifike mbali kwa kuchagua viongozi wenye uchungu na kutetea nchi.
@rahmangunguti8296
@rahmangunguti8296 Жыл бұрын
Hatukumchagua aliyepo madarakani
LIVE: YANGA WANATOA TAMKO MUDA HUU
Millard Ayo
Рет қаралды 9 М.
Хотите поиграть в такую?😄
00:16
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 2,3 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 101 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
MBOWE AMBANA WAZIRI MKUU BUNGENI - "UNANIPA MAJIBU MEPESI SANA"
11:04
Global TV Online
Рет қаралды 116 М.
Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017
11:11
Millard Ayo
Рет қаралды 1,4 МЛН
Хотите поиграть в такую?😄
00:16
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 2,3 МЛН