Safiiiii sana makonda Mungu akuzidishie afya njema
@jafariramadhani32643 ай бұрын
Kaka mungu akupe maisha marefu na uje kuwa raisi uongeze nchi hii
@user-nn7zp8dm5v2 ай бұрын
Makonda mwanangu mungu akulide akujaze zaina zaidi ujasiri uliona mtumainie mungu Vita yako atapigana yeye kwa maana umekuwa mtetezi wa wanyonge pambana mpaka kieleweke mungu akufunike kwa damu ya yesu hongera sana mwanangu na kazi njema
@mussanchimwa92833 ай бұрын
Ni lugha na sauti ya kiongozi bora🎉 Kesho yako ikawe takatifu Mh Makonda
@PavilionHospitalb2 ай бұрын
Kaka makonda mungu akuvushe ukawe kiongoz mkuu wa nchi hii maana wananchi wa mikoa yote Tanzania wanashida kibao ila hakuna wa kuwatatulia
@rosetreffert41793 ай бұрын
Mungu awatangulie katika kazi zako MAKONDA ❤❤❤
@johnnjiuka75103 ай бұрын
Mh: makonda mungu awe pamoja nawe ktk safari ya kuwasaidia wananchi❤
@ProductionWinderBulyanhulu3 ай бұрын
Da a ah!!! Huyu Ma konda aise, dina meno zaidi ya kusema Mungu ampe maisha marefu.
@PhillimoniMaliatabu3 ай бұрын
Mungu wambinguni akulinde maana wema kamawewe wanapigwa vitana kuchukiwa mungu akulinde nakukutunza maadui wakashindwe kwadamu yayesu aliye hai alufa naumega
@mkombozifreshoil3 ай бұрын
Kwa kweli Makonda Mungu akubariki sana.
@CristinLyanga2 ай бұрын
Katiba mpya pekee ndio itakayoondoa huo udhalimu wa watumishi.
@hassanimngetege29043 ай бұрын
Mungu akubariki Mh Makonda
@JoyceJoely3 ай бұрын
Mungu akubariki sana makonda
@rehemaanderson8323 ай бұрын
Mungu akubariki sana Makonda ,
@SylvesterMayunga3 ай бұрын
Dar mungu akulinde
@elizalutiga62872 ай бұрын
👏👏👏
@CristinLyanga2 ай бұрын
Makonda wanyooshe has watumishi sio kabisa.
@azizigaston86313 ай бұрын
Makonda umenifanya machozi yanitoke nakuona mbali sana hakika magufuli ajafa bado yupo ndani yako
@user-zl6mm1ch4h2 ай бұрын
Kwa kweli,mh makonda amevaa viatu vya mfalme Daudi ktk Biblia
@KhanifaRaphaelMpagama2 ай бұрын
Tafadhari mheshimiwa Paulo makonda popote ulipo mwanangu kaozwa na ako na miaka 13 tu na nibado mwanafunzi ako class 5 mwenye amefanya hiv ni Baba Ake Ana itwa Jafet Justine kumishiwa ngendo namtoto wangu Anaitwa Paulina Jafet Justine kumishiwa ngendo anapatikana Tanzania Tabora Igunga kijiji ussongo mtaa ikulusi familia ya Mzee katuli msaada jamani😭😭😭😭
@user-of5wc6vp2k3 ай бұрын
❤❤❤❤
@meshacknyandongo5773 ай бұрын
Tunashukuru kwa maono Yako kiongozi ila migogoro mingi ya ardhi inasababishwa na watendaji wa serikali sio waadilifu
@ChamiKiondo3 ай бұрын
Aiseee
@julianmsele38803 ай бұрын
UKITAKA URAISI TUNAKUPAAA MKUUU , RAHA YA MWANANCHI NI KUSIKILIZWA
@saidimketo67083 ай бұрын
Ndio maana wenzako Wanakuchukia wananunua timu tu za mipira wala hawana habari na wananchi
@JustineZepha3 ай бұрын
Kiukweli Makonda unastahili kuitwa majina mazito ikiwemo PROFESSOR mtetea haki ya wanyonge si tu katika mkoa bali nchi nzima kwa maana hayo maneno siyo ya kawaida bali ni Mungu kupitia wew Mh. Paul.C.Makonda, binafsi Sina mengi zaidi tu nakuombea Mungu akulinde wew pamoja na familia yako yote na kukuzidishia wingi wa mafanikio na hata siku moja ukawe rais katika nchi hii ya Tanzania
@ShamilaJuma-ex1ml3 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@IbraahAbeid-fz2ow3 ай бұрын
Sana
@KhanifaRaphaelMpagama2 ай бұрын
Makonda haki okoa doto za mwanangu kaozwa na ako na miaka 13 tu
@SanareLaizer-en5it3 ай бұрын
Mheshimiwa vijijini ndio zimesidi arusha
@1stladyafrica4023 ай бұрын
Mimi nasema Arusha wamepata mkuu wa mkoa.sisi Dar bado tunamkumbuka na kumtamani
@romamhagama48163 ай бұрын
Hatua zako zote mheshimiwa tupo pamoja
@chesconkwera20053 ай бұрын
Anza na Wamasai wa ngorongoro
@PhilipoMwita-wc1ku3 ай бұрын
Hapa makonda anafanya jambo zuri kutatua KERO Lkn chanzo Cha hizo KERO ni Nini..? Kwann asipambane kuvunja vunja VYANZO vya KERO kuwepo nakatiba mpya ambapo raia watawateua wakuu wa WILAYA wakuu wa MIKOA,watendaji na watu wa ardhi