Join this channel to access its benefits: / @biblianuruyadunia
Пікірлер: 65
@adalbertkatabaro63572 жыл бұрын
Nafurahiii Sana Sana niliona ndugu Hawa wapo pamoja Mungu Baba awalinde , asiwapungukie
@casaica29932 жыл бұрын
Barikiwa Sana walimu kwa kazi nzuri unayo ifanya
@STEPHENAUNGO28 күн бұрын
Safi waeleweshe Waksristo wenzangu wasome Biblia na waufuate
@hemoasna4138 Жыл бұрын
Taji ya uzima yakungojea dacha ... usichoke kuifanya kazi ..twakuombea mungu akupe nguvu ujasiri na hekima ....itokae juu mbinguni
@johnmuriithi8832Ай бұрын
Nashukuru Sana mwalimu ndacha kwa hekima ulio nayo ya mungu.nakubaliana nawe 99% lakini kuna 1% ambayo ningependa tujadiriane hapo kwa siku ya sabato.kwanza nitaanza kwa kukuliza usome Ephesians 2:14-15.utoelewa kwamba Leo hatumwabudu mungu kwa njia ya torati bali kwa njia ya kumwamini yesu lakini sio njia ya kutimiza torati.pili soma Colossians 2:16 tusiruhusu MTU yeyote kutuhukumu kuhusu kuheshimu siku ya sabato kwa maana hiyo ilikua ni kivuli Tu cha kristo.sasa tukiwa na Kristo hatufuati tena kivuli .
@jamesnyanjui5318 Жыл бұрын
ujumbe mzuri....tuwafundishe hadi Yesu Arudi mara ya pili
@threebrothers..2 жыл бұрын
Asanteni sana Kwa kuja kwetu githurai 👍
@FreshboyJoseph10 ай бұрын
God bless you my professor NDACHA I wish you Long life for Grace of God and Jesus Christ
@paulnyakxx2 жыл бұрын
This was the best combination. May God hold the winds that they don't blow until God's angel finishes sealing His people.
@thomasalchannel11352 жыл бұрын
Kazi Njema PST.NDACHA,PAUL, ONYANGO & the Team.May God Empower You to Advance His Kingdom 🔥🔥🔥
@samwelsammy1121 Жыл бұрын
Thanks 0nyango plus Ndacha hao Waze e wamekuja kushindana na si kujifunza bora hata wasio na dini
@saimonlion61732 жыл бұрын
Mwalimu paulo ubalikiwe tu kwa kipaji ulichopewa cha usomaji kama mashine
@judithmoturi34022 жыл бұрын
Amen Mungu awalinde na awabariki🙏🙏
@johnmuriithi8832Ай бұрын
Kumwabudu mungu kwa njia ya torati kumeondolewa na Kristo Aroma 10:4-5,maana torati sio ya Imani Galatians 3:12,njia imebaki ni ya Imani ndani ya Kristo .hatuezi tena kurudi kuifuata njia ya torati kwa kuanza kuheshimu siku maana tutakua tumeondoa Imani ndani ya Kristo na bila Imani hatuezi kumpendeza mungu.
@JohnKim-hv1kf11 ай бұрын
Mungu aendele kuwasaidia Na kuwapa marifa
@sadickcheyo232411 ай бұрын
mungu tupiganie,wape nguvu walimu par ndacha
@margaretmargaret57442 жыл бұрын
Ndacha deserves this gentleman to work with him..I love your hardworking youngmen You are killing it 👏
@johnmuriithi8832Ай бұрын
Ambao wanamwamini Kristo,siku zote ni Sawa na hawana siku kubwa kuliko ingine.wenye kuheshimu siku moja kuliko zingine ndio wayahudi waliomkataa yesu na waliopinga KAZI ambayo alitumwa na Baba afanye.sisi twaheshimu Kristo ambaye ameondoa torati yote.colosians 2:14-15
@mwanashagladys45812 жыл бұрын
Msomaji wa ndacha 🤣🤣na pastor ndacha mungu awabariki🤗🤗🤗🤗
@hamisimauma2005 Жыл бұрын
Mungu akubariki Mwi jilisti KAZI itamalizwa na.waley
@henryosoro76962 жыл бұрын
That pastor who was teaching family life.. You have to include him there.
@nancybitutu78612 жыл бұрын
Kazi nzuri kabisaa, Mungu awe nanyi.
@graceatworkanne76702 жыл бұрын
ALL IS VANITY UPON VANITY ONLY REAL FAITH COUNTS👍 " THANKS FOR PREACHING THE TRUTH👍💯 ❤🌹🙏
@paulocharo77802 жыл бұрын
But faith without works it is dead...
@graceatworkanne76702 жыл бұрын
@@paulocharo7780 We must testify ! "Testimonies are convermition of God with us!
@Streetplaces2 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu.
@safarimenza-jc3qr Жыл бұрын
I love the word of God...huyu mtumishi mungu amueke...
@elizaeliza8803 Жыл бұрын
🙏 Amen 🙏 🙏 Mungu wa mbinguni awabariki sana Watumishi 🙌🏻🙌🏻
@leonardongudi4369 Жыл бұрын
Sabbath day is Saturday WHILE Sabbath rest is resting in Jesus CHRIST
@FreshboyJoseph10 ай бұрын
Ni kweli kaaabisa
@ramadhankadenge69542 жыл бұрын
God bless you Ndacha
@japhetndoro6533 Жыл бұрын
Kama ww n SDA kweli kweli wacha kutuma pesa coast field tuma Kwa hawa watumishi ndacha jamani hakika hawa mungu amewatuma
@elizafanzabron5922 жыл бұрын
MUNGU awe pamoja nawe
@Sunamijo2 жыл бұрын
Amen
@paulocharo77802 жыл бұрын
Amina...
@ernestayubu Жыл бұрын
Enyewe tunakosea mbele za mwenyezi mungu watu hutusamahee makosa yetu
@kevinongwen1656 Жыл бұрын
Keep it up, we r praying for u
@janenjenga56392 жыл бұрын
Yeshua Messiah nisaidiye kutenda kulingana na mapenzi yako.mafundisho haya twaelimika sana na kufunguliwa macho.
@spivs-qo8kf Жыл бұрын
Waaaah
@fatlose606 Жыл бұрын
Penye wanaume wamesimama nearly 95% men ukweli neno limewaingia sio rahisi kupata idadi kubwa ya wanaume wakisikiza neno la Mungu.
@dicksoooro83546 ай бұрын
How can I get the update of your meetings,I am here in Nairobi.
@passlinemedia6657 Жыл бұрын
Hapa ni githurai 45
@tbwoy2162 жыл бұрын
Mbona nyinyi watu hamwelewi...yesu alisema njooni nyinyi nyote mlikua na mizigo. Yesu anaambia wenye thambi,,kumanisha mwenye thambi hajui hats siku ya sabato,,,,ukisha mkubali yesu kristo basi unafwata anavyo Fanya sabato ikiwa ya kwanza ...mwenye thambi hajui sabato ni lini,,maana,, yeye ni mwenye thambi
@shomariamurihassani16702 жыл бұрын
Kwa nini Pastor Onyango hampi pastor nafasi?
@1THEBRAIN2 жыл бұрын
Yesu ndio muombezi atatuombea kwa nani na ikiwa ww ndacha huwa unasema yesu ndio mungu, ndio atatufufua na ata tuhukumu leo unasema yy ndio muombezi anatuombea kwa nn? Kweli ukiwa muongo kwenye dini utaumbuka tu
@edwinelyone31002 жыл бұрын
huyo mwenye anatoa warumi 3.19 to 21 mngemsomea 31 verse the same chapter ili ajue Paulo alimaanisha nini. watu wa sunday ni wabishi tu. mbarikiwe sana walimju wangu. nimekuwa nikifuatilia from GERMANY
@user-wc7xg1ve9l7 ай бұрын
😢💟💟💟🇹🇿👨👨👧👧
@rosemutinda30762 жыл бұрын
Sabato sabato sabato😔😔kwani ulifanyia watu nini?? Yaani wachungaji wakumbwa hivi wanapotosha watu namna hii na maandiko yako wazi
@suzanaagustinookelo4953 Жыл бұрын
Yanasemajee
@juliuskoech4812 жыл бұрын
Jesus(Yashua) died on Wednesday...not friday....and wanafunzi kukusanyika ilkuwa mkutano(iddi) ya pasaka
@margaretmargaret57442 жыл бұрын
Nilifariki
@erickmaisha47732 жыл бұрын
This is a biter truth
@margaretmargaret57442 жыл бұрын
@@erickmaisha4773 wait for the embarrassment moment..But Dasa understood the assignments
@margaretmargaret57442 жыл бұрын
@@erickmaisha4773 The same Qualifications that you used to get a job are the same Qualifications that someone has at home 🏡but unemployed The same road that used everyday it's the same road that has killed very many people So be humble youngmen it's just by the grace of God we are living happily
@margaretmargaret57442 жыл бұрын
@@erickmaisha4773 Goodbye 👋 kwa here see you soon Nitakuona hivi karibu Nilifariki
@umeimaamin62452 жыл бұрын
Wakiristo wamejuaje Kua dini Yao ni ukiristo wakati yeso hakulitumia Hilo jina wala wanafunzi wake wanafaa watambue Kua hawana dini Kitabu Chao pia hakuna uhakika Kua ni injili ya yeso kwa sababu injili original hakuna hebu wakiristo fungukeni macho waisilamu sio Kua Wana kejeli la wanawafahamisha ukweli ulipo tafuta chanzo cha ukiristo kihistoria ndio utajua yeso Hakua mkiristo.
😅uyu hajasoma tafsiri ya quaran utaongoka kabla umalizie sura tulfatiha bwna
@alfredjohn12232 жыл бұрын
Wewe ndacha mwenzako mchungaji akitaka kuongoea au kufafanua unamkatiza katiza lkn wewe unaongea sana
@rosemutinda30762 жыл бұрын
I hate this pastor mwenye suit ya black bahaviurs😬😬😬maandiko yakisomwa yeye ni kucheka kama mpumbavu.. Ameona washiriki wake watatoroka kanisani akose sadaka, sasa anakuja kuconfuse watu...