No video

BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 4

  Рет қаралды 29,325

ZamaradiTV

ZamaradiTV

Күн бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 185
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 Ай бұрын
I love the way Abdul tries to explain certain things to Diva""if this is how he is in real life""woow lovely.
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 Ай бұрын
one thing i learned after watching few episodes of this show""ABDUL RAZAQ is very smart and calm""
@btylove1870
@btylove1870 Ай бұрын
Sasa nimeelewa Abdul anawapataje hawa wanawake, na hivi ndivyo alivyompata diva. Wateja wake wengi watakuwa wameingiliwa sana na huyu sheikh ubwabwa! Very sad wallah☹
@ramhuudulla8921
@ramhuudulla8921 Ай бұрын
Anajiona kitotooo cha miaka 9
@Naahlyan
@Naahlyan Ай бұрын
Tuseme ukweli diva na mume wake wamependezeana kiufup wanaendana naenjoy kuwaon
@stellahlinusi8215
@stellahlinusi8215 Ай бұрын
kwani siwame achana au?
@firdaussheikh4817
@firdaussheikh4817 Ай бұрын
Diva amenichekesha aki , 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣they look good together❤❤❤❤ 🇬🇧
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z Ай бұрын
WAKIPEWA INTV WANAPAKANA😊...WAKIKUTANA ZINAWAWASHA😊..ME APANA
@nyanziratatou5404
@nyanziratatou5404 Ай бұрын
Kweli Diva ni tahira kabisa😂😂😂
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija Ай бұрын
Sio sheikh huo ni Abdoul Razaq bhana 😊
@patriciaboniface9975
@patriciaboniface9975 Ай бұрын
😅😅😅😅
@steveabel5819
@steveabel5819 Ай бұрын
Ila all in all atakama kunatofauti na mapungufu, diva na shekhe wanapendezeana i would really like warudiane and sort their things out.
@Zainab_salat
@Zainab_salat Ай бұрын
He's cheater
@user-zc6ky6si8r
@user-zc6ky6si8r Ай бұрын
Diva ww sasa upate maadili ya kiislam no Christmas only 5 daily prayers .follow Quran and hadth of the prophet Muhammad SAW. Only listen ur husband whatever he is telling you dont be stubborn about islamic religion am your sister in islam❤
@mapishiyetumazuri2312
@mapishiyetumazuri2312 Ай бұрын
Harajajuwa dini shida ndo hiyo hata asilaumewe mungu amuogoze yy na ss
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 Ай бұрын
Yan huyu diva kwel ziro kabisa
@Zainab_salat
@Zainab_salat Ай бұрын
Diva mm na ww tunashare siku kuzaliwa na aina tabia zako kwann maybe malezi I hope unasoma my comment
@abasiramashoo5026
@abasiramashoo5026 5 сағат бұрын
Wewe unashika wanawaki tumbo hakiki wewe ni malaya
@user-zl5mt6lk4n
@user-zl5mt6lk4n Ай бұрын
usichoke mwaya Abdul usichoke kumlingania atabadilika tu inshaa Allah mwanzo mgumu lkn pole Allah akuzdishie subra maana bila subra huyo mke wako utamchoka mapema maana ni mtihani😢
@rizikially9535
@rizikially9535 Ай бұрын
Kweli 😊❤
@AmanaHussein
@AmanaHussein Ай бұрын
Atabadilika inshallah 🤲
@Adje244
@Adje244 Ай бұрын
Hili li Dada akili zake haziko sawa ni anamatatizo ya akili
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
Hata mimi nadhani ana shida kiakili
@salimmohamed3603
@salimmohamed3603 Ай бұрын
Kweli kabisa
@mrokay1time958
@mrokay1time958 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 jaaamaaaniiii
@salhamrishoi4943
@salhamrishoi4943 Ай бұрын
Nimependa hii❤❤❤❤❤🎉
@user-eo4hd8xu6d
@user-eo4hd8xu6d Ай бұрын
😂😂😂😂😂diva kapatikana af Abdulrazak mtu makin kwel😂😂😂😂😂atak utak utoto.
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Ай бұрын
Ila diva anautoto sana
@Jojo-lz7lq
@Jojo-lz7lq Ай бұрын
Na anapenda mashindano🥹😂
@verynice7879
@verynice7879 Ай бұрын
Ila diva 😂😂😂😂 jinga kweli
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 Ай бұрын
Aogi shee na katoka zoezi 😂😂
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Ай бұрын
Ilitaka uoneshe bafuni ili uone nini kwani
@esthermakelemo2864
@esthermakelemo2864 Ай бұрын
Umeona eeh?😊
@munaomar9532
@munaomar9532 Ай бұрын
😂😂😂😂mjanja diva 😂😂😂
@LuqKey
@LuqKey Ай бұрын
Huyu Abdul alikuwa na subra sana kuishi na huyu battery law
@khumayraabdulla96
@khumayraabdulla96 Ай бұрын
😂😂😂 Tatizo anajiona mchanga tu mapenz unaweza kuyapoteza kwa kujiona mchanga
@Sam_me01
@Sam_me01 Ай бұрын
Sibado wako pamoja?
@fahzernyizzy2418
@fahzernyizzy2418 Ай бұрын
Eti rest in peace 😂😂😂
@khairyaalamri4002
@khairyaalamri4002 Ай бұрын
Dada nimbaya hyu duh,sura Pana pia nzito
@Sam_me01
@Sam_me01 Ай бұрын
Hello guys mi niko na swali naombeni munielekeze ofisi ya sheikh iko wapi?
@estherchou2899
@estherchou2899 Ай бұрын
Jamani Abdul usipotoshe watu that is not the meaning of christmas tree 😢 Jaribu ku google basi mue mnatumia akili ata kidogo ku Kashif dini ya wenzio sio poa kbsa Ww dili na uganga wako usicheze na Imani za wenzio
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 Ай бұрын
Mbona usimfundishe dini kwanza huyu taira 😂😂
@catrinavampire8547
@catrinavampire8547 Ай бұрын
😂mbona tahira
@khamismohammed2582
@khamismohammed2582 Ай бұрын
Bongo kuna watu wanaibiwa kizembe. Shekh anawaibia sana mtoto karizika anachezewa tumbo
@hasinaaljabri1502
@hasinaaljabri1502 Ай бұрын
Sasa nikweli ao filem
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 Ай бұрын
Mwanamke jinga huyu khaaa
@JescaVicent-jo7sj
@JescaVicent-jo7sj Ай бұрын
😅😅😅😅
@leaherasto929
@leaherasto929 Ай бұрын
anawashika shika ndio maana anawalala ovyo
@Bashitetako
@Bashitetako Ай бұрын
Una jidanganya huyo sio Beyonce unaishi na mwehu anaehisi yeye ni Beyonce
@witnessmlay7415
@witnessmlay7415 Ай бұрын
Umeshindwa kumfanya mkeo avae ijabu/asivae nywele bandia unaangaika na mti kweli? Upo serious Mganga? Hehe
@sund2553
@sund2553 Ай бұрын
Mganga anatibu nin haki utapeli huuu😅😅
@HamisiForogo
@HamisiForogo Ай бұрын
Shida ni mti wa kristmas
@salmatuleteesehem71jmnmahm59
@salmatuleteesehem71jmnmahm59 Ай бұрын
Usijiite sheikh kwasababu ungekuwa Sheikh haswa basi usingemuoa huyo mwanamke we sema tu wewe ni muislam tu kwenye usheikh hapana mwanaume haswaa muislam anaejitambua hawezi kuoa mwanamke km huyo
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 Ай бұрын
Shekhe ukaoa diva""usijali kawaida drama lkn pia ukumbuke alikuwa nani before siyo rahisi mtu kuacha au kusahau vitu alivyozoea kuvifanya kabla hamjakutana au kuowana.
@user-yp9pt8tw1p
@user-yp9pt8tw1p Ай бұрын
Mimi sipendi diva nauyu mumewake waachane kwasababu wamependezana sana nasiku wakija kuachana nitaumia sana mimi jamani
@mapishiyetumazuri2312
@mapishiyetumazuri2312 Ай бұрын
DIVA anasekesha
@aj-gw1rl
@aj-gw1rl Ай бұрын
😀 hawa sidhani kama wameachana
@maryonyango8102
@maryonyango8102 Ай бұрын
Hata hizo picha ameziweka hapo ukutani ni haram
@dinalesmwakolo2131
@dinalesmwakolo2131 Ай бұрын
Wa kwanza😊
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th Ай бұрын
bwana kichaa bibi kichaa
@AhmedAdan-po5ps
@AhmedAdan-po5ps Ай бұрын
Vichaa wawili waliochanganyikiwa
@FocusNyari
@FocusNyari Ай бұрын
nyuma ya gramu
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 Ай бұрын
Hiyo culture imekujaje na wewe una mume mwaislam na ushakuwa mwiislam huyo bado hajakuwa Muslim kamil bado anamambo yake ka kisto nawamekutana wote wasemaji na diva hawezi kuelewa na huyo bwana ni tomuch mjuaji sana na bado hajafata dini ni jina tu
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
lakini najaribu kumuelewa Abdul
@AmanaHussein
@AmanaHussein Ай бұрын
Niliskia diva Yuko na mimba mdomo koma🏃🏃🏃
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo Ай бұрын
@@AmanaHussein aamiin nataman iwe hivo napenda saana Allah ajaalie woote wanaotafuta watoto wapate..haijalishi personal issues zao ziko vp
@AmanaHussein
@AmanaHussein Ай бұрын
Inshallah inshallah inshallah
@bennamush4616
@bennamush4616 Ай бұрын
😂😂Sasa unakimbia Nini Kwan Kuna bayaa😂😂
@user-iy7xy1np7c
@user-iy7xy1np7c Ай бұрын
Kama kweli basi Usimtangazie mwenzio mambo km hayo hayatangazwi especially ikiwa yeye mwenyewe muhusika hajayaweka wazi, na kama ni uongo basi acha kusambaza uongo kwa faida yako na vizazi vyako
@user-vy2bc6xg3i
@user-vy2bc6xg3i Ай бұрын
Xinatoka masikini tumuombee apate nae inshallah
@nicholauspeter9454
@nicholauspeter9454 Ай бұрын
huyu ni mwanaume jaman kuishi na hili tahira si mchezo
@faridalihondo3322
@faridalihondo3322 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 Ай бұрын
Nnacheka kaa fala aki anajitaidi sana sheikh 😂😂
@esterpaul5856
@esterpaul5856 Ай бұрын
Tahira mama yako msenge ww
@MwanakomboNassor-bw3by
@MwanakomboNassor-bw3by Ай бұрын
Siyo tahira hajui jamani kama wewe muislam kweli ungejua wanaume kwetu wachunga na viongozi wetu ndani ya nyumba
@lindamaunga3901
@lindamaunga3901 Ай бұрын
😅😅 nacheka km mazur nyie mbn tahira jmn 😂🙌
@mrokay1time958
@mrokay1time958 Ай бұрын
Niatari
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj Ай бұрын
Asa diva umeolewa lkn unapingana na mume
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
yan mjuaji huyu mimi ningekua nalidunda balaa
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj Ай бұрын
​@@nancyg8664kama abdul ni mtu wa kupiga lingetolewa ngewe ilo diva
@lalafamily5290
@lalafamily5290 Ай бұрын
Shehe muongo sana Christma😢s haina uhusiano na Cris, ni story ya kutunga kutoka kwenye uislamu kimtazamo!! Ukristo unapigwa mawe sana kila kona!! Christ not Cris au Kris!! Hizi kumbukumbu za kidini tu na siyo kama mihimili ya kiimani. Ramadhani ni tamaduni za kipagani ukifuatilia chanzo chake, ambapo utabishana na waislamu kuhusu hilo kidini. Ndiyo kama Christmas ilivyo kidini. Maswala ya kidini ni very contradicting.
@SharifaGlamsen-mg2of
@SharifaGlamsen-mg2of 29 күн бұрын
😂😂
@Marjeby
@Marjeby Ай бұрын
😅Huyu jamaa aiseee wallah elimu ni muhimu sana huyuu fala hana elimi yoyote hawezi hata kumtibu mtu akiwa anaharisha tuu shenzi kabisa
@user-eo4hd8xu6d
@user-eo4hd8xu6d Ай бұрын
😅😅😅😅babako anaishi apa ndan!??
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
😂😂ila diva ana sura kubwa
@rosemarymgweno2497
@rosemarymgweno2497 Ай бұрын
Mgongo Vipi
@danamickle9739
@danamickle9739 19 сағат бұрын
Ka yangu hapa ndugu
@WilsonWaryoba
@WilsonWaryoba Ай бұрын
Shehe anaonekana mtu wa comand ndomaana hawaelewani mda mwingi
@user-gt8fw9vk4c
@user-gt8fw9vk4c Ай бұрын
Nijibuni wameachana au wapo pamoja 😂😂😂😂😂mbona wanachanganya
@righitkileo
@righitkileo Ай бұрын
Woooooooyi.jamn kwani bado mnaishi pamoja?? Ila hawa wote wanauqonjwa wa Akili. Woooooooooooyi.
@EmilyAlph
@EmilyAlph Ай бұрын
Ila Abdul alijitahidi sana kuishi na hili deri la barafu 🚮🚮
@user-bj6cr8nr6v
@user-bj6cr8nr6v Ай бұрын
Kumbe diva muhaya 😂
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo Ай бұрын
Excuse me😂😂😂 mtanga huyoo jamaniii😂😂😂😂
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
​@@FirdausyAbubakary-bl2wo😂😂baba ake mhaya ye anakuaje mtanga
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo Ай бұрын
@@nancyg8664 subhaanaAllah hii sampul uhayanii mmh😀😀😀😀
@sophiaalnuru45
@sophiaalnuru45 Ай бұрын
​@@nancyg8664ni mhaya ndio
@user-zc6ky6si8r
@user-zc6ky6si8r Ай бұрын
Kwni swala ya asr wasoma na saut mpaka huku twasikia
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 Ай бұрын
Et beyonce 😂
@mawlodafarida
@mawlodafarida Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@lilianpeter1631
@lilianpeter1631 Ай бұрын
Diva m'bish sana bichwa kubwa akili kisoda ndo mana akaachika anajifanya bado mtoto jitu zima
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
anajikuta mtoto na sura ilivokua kubwa hvo😂😂
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Ай бұрын
Inamana mazoezi yale yote shehe hujajamba kwer?? Sasa udhu utakuwepo kwer au? Mana kuinama kule lazima ujambe ujue
@user-wd2bc7bf5x
@user-wd2bc7bf5x Ай бұрын
uache uongo
@MiriPeter
@MiriPeter Ай бұрын
😂😂😂😂
@user-ji9wf9dh8h
@user-ji9wf9dh8h Ай бұрын
Eti Christopher
@nayarichard5318
@nayarichard5318 Ай бұрын
Yaani mm ingekua vita ananiitaje Beyonce yaani ananinanga?.....ila shehe nae anashida inshort mnajuana
@user-oq2wp8oh1f
@user-oq2wp8oh1f Ай бұрын
Diva km jinga
@user-cr4th9lr6b
@user-cr4th9lr6b Ай бұрын
Hi I watu bado mnaenda kutibiwa mitaani
@JudyHans-g8v
@JudyHans-g8v Ай бұрын
Kwahyo mas ni wingi Sawa, zile almasi tulikuwa tunakusanya na sumaku utotoni zinaitwa Al Ila Kwa mingi ndo almas😂😂
@lastborn7810
@lastborn7810 Ай бұрын
Mtu anaswali na nguo za gym loo si ungeoga kwanza 😂😂😂😂
@mejumaamwachirero7324
@mejumaamwachirero7324 Ай бұрын
Hivi kwani jasho ni najisi ebu someni dini
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo Ай бұрын
​@@mejumaamwachirero7324😂😂😂
@lilasuliman552
@lilasuliman552 Ай бұрын
Uislamu ni usafi​@@mejumaamwachirero7324
@lastborn7810
@lastborn7810 Ай бұрын
@@mejumaamwachirero7324 lakini sio vizuri mbona kwengine haendi akiwa yupo na jasho anaoga ananukia ndo anaenda kwanini wakati kua na Allah asioge? Jasho si najis lakini inapendeza ibada kufanywa katika usafi
@Zaburi-
@Zaburi- Ай бұрын
Script hizi
@leokamil6284
@leokamil6284 Ай бұрын
Kila kitu Namtaja Baba yake hivi huyu dishi lipo sawa kweli?
@hellensaronga4259
@hellensaronga4259 Ай бұрын
Mwambie huyo mmeo, religion is one of the element of culture. Alafu akome kuongelea Christmas kwa upotoshaji maana hajui chochote.Ana chuki sana na dini za watu. I hate....
@efrahfarahahmed8960
@efrahfarahahmed8960 Ай бұрын
Eti tumpeleke mgomba 😂
@NanaNana-oe5ft
@NanaNana-oe5ft Ай бұрын
Uyo diva ashukuru mungu kastirika na nganga kweli ww kibibi
@mapishiyetumazuri2312
@mapishiyetumazuri2312 Ай бұрын
Ss unakula mkate na Chai namazoezi wapi na wapi
@AmanaHussein
@AmanaHussein Ай бұрын
Jamaniiiiii 😂😂
@mapishiyetumazuri2312
@mapishiyetumazuri2312 Ай бұрын
@@AmanaHussein 🤣🤣🤣
@user-mi4nz8cs9s
@user-mi4nz8cs9s Ай бұрын
Kwanza me niseme huyu nishekhe wa aina gani kaenda kuoa mke ambae hana dini halafu kashamuona mkewe wa aina hio mbna kashindwa kumuelekeza kwa njia ya sawa na kumpa mafunzo ya dini
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 Ай бұрын
Ni mganga
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 Ай бұрын
​@@salhawaziri1668so"akiwa mganga hana dini?
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 Ай бұрын
@@aairraahseif5648 elezwa nilichojib tafadhali
@AmanaHussein
@AmanaHussein Ай бұрын
Subhanallah hivi mnatoaga wapi nguvu za kuhukumu wenzenu😔
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 Ай бұрын
@@AmanaHussein watu wanahukumu mpaka wanaona Abdul hana dini!si vizuri, ati Sio sheikh ni mganga!sasa mganga ndo hana dini? Kiasi wanajifanya wao wasafi sanaaa
@witnessmlay7415
@witnessmlay7415 Ай бұрын
We Mganga kwan huo mti ndo unashida gan? Jinga kabsa, kuleta udini usiokuwa na maana
@thamani5842
@thamani5842 Ай бұрын
Shida yy si mkristo mti wa krismas unamuhusu nini? LAKUMDINUKUM WAL YADIN
@witnessmlay7415
@witnessmlay7415 Ай бұрын
@@thamani5842 alichofanya ni ubaguzi wa kidini, angeupotezea tu mana haumuhusu kwa chochote. Mke wake Diva una muhusu ndo mana aliamua kununua. Kwamba angesali hapo, sala yake isingefika ama?
@faridalihondo3322
@faridalihondo3322 Ай бұрын
@@witnessmlay7415haumuhusu ata uyo diva keshakua muislam
@AmanaHussein
@AmanaHussein Ай бұрын
😂😂😂😂
@busnaoman9981
@busnaoman9981 Ай бұрын
Lakumdin kumwalyadin Kila mtu anadini yake
@lissaseif4744
@lissaseif4744 Ай бұрын
Mfunze mkeo kujistili kwanza ndo ukatae mti mpuuzeeeee wewe
@faridahalil4456
@faridahalil4456 Ай бұрын
Iweje asharehekea Xmas na akiwa amesilimu????? Huyu hajaikubali dini ya kiislam. Ndoa yako Abdul haiko sahihi. She is a beach na Allah atampa mitihani maana anachezea dini ya watu.Stick to your ukiristo wako. Tena mjeuri sana unavyomjibu mume utakavyo? Rudi ukafundwe
@user-yb2gy6lt2e
@user-yb2gy6lt2e Ай бұрын
Diva ATI muslim? Dayuth na mke wake mutabarijat. Minyuwele kama tambi, I don't even know why I am watching this rubbish.
@dianaonesmo6951
@dianaonesmo6951 Ай бұрын
Ila uyu sheikh nae asaa mti una shidaa gan
@RutyNatalia-uu5uj
@RutyNatalia-uu5uj Ай бұрын
Kwan ametia udhu mbn anaswali bila udhu
@user-dj9xx9jl4j
@user-dj9xx9jl4j Ай бұрын
Hawezi onesha kila kitu ila pia hawezi kuswali bila udhu
@RandB_Channel
@RandB_Channel Ай бұрын
Kwahiyi huyu jama amekera.mbona wa Islam ☪️ wengi wanakuwaga wanatiya huyo mti?? Mnajifanya kujuwa dini na ijapo mazambi nimengi sana zenye mko mnafanya byenye habiendane nadini mmm huruma
@nsajigwaburton
@nsajigwaburton Ай бұрын
jamaa muongo
@ibraoman2745
@ibraoman2745 Ай бұрын
Kwani Hawa bado wapo pamoja
@user-yb2gy6lt2e
@user-yb2gy6lt2e Ай бұрын
Sheikh gani chumba Kimoja na mwanamke bila mahram wake. Apo bila camera wangekuepo pekeye Yao tu.
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
kwan hukusikia anamtajia tarehe yule mfanyakazi wake alikuepo pembeni
@user-yb2gy6lt2e
@user-yb2gy6lt2e Ай бұрын
Nyie mna juwa maana ya sheikh au??? Sheikh gani kweka picha ya mnyama kwenye office yake? Kwang hajuwi malaika hawa ingiyi fas ya ivo. Yani tanzania adi kunguni anapewa Jina la sheikh.
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg Ай бұрын
Ila diva 😂😂😂😂😂😂😂😂au ni anafanya tu drama ili wauze iii reality yao Hii mbona kama content tu jaman Abou nae punguza ukali mapenzi gani hutaki hata kushikwa
@ifkajamac8841
@ifkajamac8841 Ай бұрын
Dini harusu hivyo you're FAKE sheikh
@TrinaRoman345
@TrinaRoman345 Ай бұрын
Ila diva anamwili mmbaya 😂😂😂 umejaziana hovyo hvyo si ajifanyishe mazoez jmn khaa..
@estherpaul3864
@estherpaul3864 Ай бұрын
Jaman duuh😅😂
@AmanaHussein
@AmanaHussein Ай бұрын
Hivi wewe umemwingilia Mungu kazi yake sawa
@TrinaRoman345
@TrinaRoman345 Ай бұрын
@@AmanaHussein Hiiii..😳 kichaa wewe,Mungu na limwili kuliachia hovyo lijae jae bila mpangilio vinahusiana nn hapo,🤗 mwambieni afanye mazoezi nyie machawa wake msio lipwa..mxuuuu😏😏😏
@JacklineNamundengozi
@JacklineNamundengozi Ай бұрын
You sound stupid 😏
@JosephKingwere
@JosephKingwere Ай бұрын
Mhmh
@somaliandnorway
@somaliandnorway Ай бұрын
Fake fake fake
@ashaali7154
@ashaali7154 Ай бұрын
Eti Sheikh my foot. Hajijui wala hajitambui. Hovyo tu aache kuchezea dini kwa manufaa yake huyu taahira mtafuta umaarufu kupitia wanawake hayawani asiyeijua hata dini yake ina maana gani. Akiachwa na Diva amekwisha kama alikotokea mpumbavu huyu.
@MaryamShedrack
@MaryamShedrack Ай бұрын
Kumbe diva mhaya jamani sasa mbona anasemaga msambaa
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 Ай бұрын
Huyo Hutu humuwezi mwanamke sasa nimefahamu abdul humuwezi diva hatakiwi kuelewesha ni mjuaji
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 5
24:23
ZamaradiTV
Рет қаралды 15 М.
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 7
28:22
ZamaradiTV
Рет қаралды 11 М.
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Паша Осадчий
Рет қаралды 883 М.
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 35 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 108 МЛН
BONGO MOVIE 2022: FILAMU KALI YA “KIPOFU”
1:09:03
JASONS TV
Рет қаралды 545 М.
ZANZIBAR FORODHANI, AFRICAN CUISINE RESTAURANT LUKMAAN
7:57
Jehufamily
Рет қаралды 11 М.
KIJANA MASIKINI KAMUOA BIBI KIZEE KWASABABU YA SHIDA YA PESA | MOVIE KWA KISWAHILI
18:19
JIONEE MWIJAKU ALIVYO MZAWADIA ‘MTOTO WA KICHAGA GARI’
6:10
Crown Media
Рет қаралды 14 М.
BEHIND THE GRAM DIVA & SHEIKH - EPISODE 3
29:07
ZamaradiTV
Рет қаралды 23 М.