Nitaingia MBINGUNI kwa kishindo, hata Dunia nzima irudinyuma mimi siwezi...nampenda YESU KRISTO PEKEE ndani ya moyo wangu....kisu kipite shingoni, lakini MBINGUNI niingie...Dhambi ndiyo kizuizi cha Mwanadamu kwenda mbinguni, kuwa mtakatifu sana mpendwa ...1petro 1:15-16, waebrania 12:14...
@steveobwoge33154 күн бұрын
Yesu yupo enzini, kumshikililia tu
@ControlRoom-q1s4 күн бұрын
Amina
@veronicanestory16622 күн бұрын
Mungu akubariki saana mtumishi, Baki na msimamo huo huo Yesu ndiye njia
@stellahokworo3947Күн бұрын
Amen 🙏
@petermochengo86473 күн бұрын
Unabii huu sio watumishi wengi wanauelewa Mungu akubariki sana bro this massage is so powerful
@AnjelaTemuКүн бұрын
Mchungaji Mungu akubariki sana sana unasaidia kuukomboa ulimwengu, watu tunapotoshwa na watumishi wa uongo paka tunakosa tumaini kabisa ila wewe ndie mtumishi wa Mungu wa kweli, unaesema ukweli na kufichua Siri nzito zilizifichika za manabii wa uongo nakupenda sana mtumishi na naikubali sana kazi Yako Mungu akuzidishie Maisha marefu yaliyojaa neema nyingi Ili uzidi kuikomboa Dunia 🙏🙏🙏
@Jacksonswai6852 күн бұрын
Ukweli ni huu amini nawambia saut aitojirudia tena masikioni mwako usiposikia ujumbe huu ukaufanyia kazi utalia na kusaga meno, emen mungu akutie nguv mtumishi
@sianagodson36904 күн бұрын
Mungu akutunze Mtumishi..nakufuatilia sn, mafundisho Yako,tunaomba Mungu akuwezeshe utuandalie Somo la Jinsi ya kulishinda Hilo pambano,tufanye nini kama wakristo,na ikitokea tangazo la dini Moja,tupo makanisani, tufanye nini?tutaabudu wap? tunaomba utuandalie Jinsi ya kulishinda Hilo pambano la mwisho. SoMo la la tangazo la kifo kwa Wacha Mungu limenifungua macho,kweli inaogopesha Mungu tusaidie tu
@user-ii1qk9xn9z4 күн бұрын
Mungu aturehemu sana. Tayari inaendelea na iko wasi ni Mungu atutie nguvu watakatifu wote duniani tusimame katika kweli yake tusimuasi Mungu. Yote aliyotabiri Bwana Yesu yametimia. Mungu awe pamoja nawe mtumishi kwa kazi hii nzuri.
@GustaveAbedi-td9yv2 күн бұрын
Ubarikiwe mutumishi wa Mungu au nom de Jésus Christ de Nazareth 🇨🇩🇨🇩
@emmanuelmataro4273Күн бұрын
Ni vizur usimame kwenye kweli ingia sabato ili uwe sawa na mitume na mtumishi halali wa mungu
@Khadija-f7b4 күн бұрын
Mwenyezi mungu akutunze mtumishi wa MUNGU Asante Kwa ukweli huo wahubiri wengi hawahubiri hii enjili,❤
@luciadominik16264 күн бұрын
Sasa mtumishi umesema utatuambia wanatukamataje lakini hujaseama sabb tumejisajili mtandaoni
@SophiaThadei-hx4wdКүн бұрын
Mungu akubariki Sana kwakusema ukweli, uwe na umli mlefu Mungu akutumie zaidi
@user-ep9by3ui1vКүн бұрын
Piga kelele askari wa bwana ❤❤🙏🙏🤝
@JohnAmani-f1yСағат бұрын
Neema ya mungu iwe juu yako mtumishi wa mungu tupo vijana tunao tamaani kuwelewa haya mungu akupandishe viwango nasi tupate kuelewa zaidi k.t.k jina la yesu
@Khadija-f7b4 күн бұрын
Amina mtumishi wa MUNGU Asante Kwa ukweli huo wahubiri wengi hawahubiri hii enjili ya kweli, mwenyezi mungu akutunze Amina
@jamesmgondaКүн бұрын
Safi Sanamu ya mnyama -umoja au muunganiko wa makanisa Alama ya mnyama-jumapili
@Jesusisaking14 күн бұрын
Nakupenda kaka Yangu ,God bless you❤
@SalumJuma-iz2gj2 күн бұрын
Akuowe bc
@JohnAmani-f1y57 минут бұрын
Neema ya mungu iwe juuyako mtumishi wa mungu tupo vijana wenye kutamani kuujuwa ukweli mungu akupandishe viwango nasi tupate kuelewa zaidi k.t.k jina la yesu
@mako3312 күн бұрын
Ndio maana ninapoona wakristo wamejazana kwenye mikutano ya kina Mwamposa ninalia kwamba njaa ya neno ni kubwa sana. Watu wanafuata udanganyifu wa miujuza, njia ya upotevu ni pana na ni wengi waipitayo njia ya mbinguni ni nyembamba waipitao ni wachache
@emmanuellupigaКүн бұрын
Ubarikiwe mtumishi kwa kweli hizi ipo vita ya ibaada nani aabudiwe kati ya Mungu na. Shetani Tunakoelekea na harakati zishaanza ni kwamba jumapili inaenda kutangazwa kuwa siku maalum ya ibaada na ni lazima ukibisha kifo kinakuhusu Kwann ni lazima: kuna siku ya ibaada ambayo Mungu aliiweka kwetu sisi wanadamu nayo bili kuficha ni jumamos ndiyo siku inayomtukuza Mungu wa mbinguni na kumtambulisha kuwa ndiye muumbaji wa mbingu na nchi Kwa sababu ibilis naye anataka aabudiwe ameweka siku yake kwa wanadamu ambayo ni jumapili na mpaka sasa taratibu zinaendelea jumapili kuwekwa rasmi ni lazima uabudu katika siku hiyo hutaki kifo Lengo ni kuitoa sabato ya kweli inayomtukuza mungu na kubakiza inayomtukuza ibilisi Hizi agenda sasa ni kutafuta sababu mfano kuna agenda juu ya uchumi Kwamba eti watu wanakuwa na siku nyingi za kupumzika hawafanyi kazi hivyo uchumi unashuka iwekwe sasa siku moja ili watu wafanye kazi Ila ukweli sio hoja ni namna tu wapate kukubalika na habari yao ya kusimika jumapili kama siku ya ibaada na nyuma ya hili yupo ibilisi mwenyewe kwa kutumia mawakala wake hasa kanisa katoliki kwa uongozi wa papa.
@user-ks9ui8td7y4 күн бұрын
inambindi tukae kwa maombi na tuwe na Imani na tumutumikie muumba wetu
@user-id1cg8ik1d2 күн бұрын
Mungu nirehemu mimi ,,niweze kukukuta mbingun
@magnibrondi31523 күн бұрын
Mungu azidi kukubariki.ayo njo mahubiri tunayo itaji kwa sasa. Abari za baraka zinesha tuchosha🙏🙏
@user-no2tw5vb8j4 күн бұрын
Mimi ninacho kijuwa ni tunaisha nyakati za mwisho. Yesu christo yu mlangoni
@TujifunzeWote.-zq9nzКүн бұрын
Sasa kama unayajua hayo mzee sasa kwanini umefungua kanisa lako wakati sanamu ya mnyama ni jumapili alafu bado na wewe umefungua kanisa lako, tafikili na ni Mungu, nenda sabato kwa mujibu ya ufunuo, nenda kwa wasabato ndio utapona, acha unafki wakati unajua unachokifanya na kijacho unakijua sababu umesoma ufunuo au kanisa lako ndio la masalia na utume wao.
@JohnAmani-f1y55 минут бұрын
Neema ya mungu iwe juuyako mtumishi wa mungu tupo vijana wenye kutamani kuujuwa ukweli mungu akupandishe viwango nasi tupate kuelewa zaidi k.t.k jina la yesu 22:36
@user-iv9yc8hl7n4 күн бұрын
Nakuelewa sana mtumish wa Mungu,Ubarikiwe Kwa ujumbe huuu
@user-um5rh8ov7bКүн бұрын
Tuamke jamni , tuwaombee Watumishi wa Mungu kama hawa wanatufungua sana
@OmarKhairalla-tx6sv2 күн бұрын
Amen be blessed man of God
@DainesKanenileКүн бұрын
Barikiwa Sana Mungu tuhurumie
@BenardPaul-t4x2 күн бұрын
Mungu wa mbingu na nchi akutuze ili uendelee kupiga kazi ya mhubiri
@elishampoki87514 күн бұрын
Unachoongea nisahihi niliona watoto wa Mungu wanakataliwa kuingia sokoni, kupata maitaji nikaona watoto wa Mungu wanakamatwa na kutiwa jela ,hiyo kitu nikweli mtu wa Mungu maono hayo nilionyeshwa Mwaka 1998,
@MarthaJoy-lx2qkКүн бұрын
Ni myaka mingi sana nitafuta mtu waku nihubiriya maubiri yakusisimuwa ❤❤
@emmanuellupigaКүн бұрын
Mpango wa ibilisi ni kutaka aabudiwe hivyo anaenda kinyume na Mungu kwa kila jambo Mungu alisema ndoa ni kati ya mwanaume na mwanamke Shetan yeye hata mme na mme wanaweza oana Mungu alisema ibaada ni siku ya saba Shetani yeye hata siku ya kwanza ya juma ni sawa tu So tuko vitani na vita ni kati ya wema na uovu ni kuchagua upande ni wapi usimame kwa Mungu au kwa shetani
@user-em1ui1xi2d3 күн бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi
@user-xh6mt8xj9d12 сағат бұрын
Mjue Allah msitukufurishe mnaona mmetufikisha hapa tulipo mnampenda mdomoni lakini moyoni mwenu hamnae mnawapoteza hata waliowalokole
@user-ne1cd7oq4zКүн бұрын
Mungu a kubariki mtumishi wa mungu,huu ni ukweli mtupu.aliye na sikio na asikie
@lilianluhasi3114 күн бұрын
KAMWE ROBOT HALITAFANANA NA MWANADAMU. ROBOT MBAKA ULIPTOGRAM, LAKINI MWANADAMU HANA LIMITI. YU HURU KWA LOLOTE
@weremamediaproduction85832 сағат бұрын
Hongera sana mtumishi wa Mungu
@MichaelWallace-sz7mu3 күн бұрын
Amen mtumishi wa Mungu,nakuelewa unacho hubiri.Hakika mwisho ndio huu.
@user-kx4wd5vb4j2 күн бұрын
Kama sisi ni viumbe wa Mungu na tumeubwa na Mungu hatutaweza kuweka hofu juu ya maroboti maana tunajua kua Mungu alietuumba ndie anaetuongoza juu ya rizki zetu.
@JELSONMAUKI4 күн бұрын
Hii tumesoma chuo kabksa tena ilkuwa second Year first semester 😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮
@gwamakamwakalonge13 сағат бұрын
Kaza buti mwanaumeeeeeee tuko pamoja nawewe kumsujudu mwanaume yesu
@mtemikana671416 сағат бұрын
Ubarikiwe mutumishi wa Mungu
@laurentbulabo50023 күн бұрын
Mtumishi huyu anaifundisha iliyokweli, neno halisi la Mungu, Mungu peekee anamlinda
@DismondIsmael4 күн бұрын
Eee Mungu uturehemu Na umlinde mtumishiwako na mabaya yote na umpeujasiri wa kufunua sirihiii iliwatu watubu Na kukujua Yesu,uliyeMungu.
@sss3s86723 сағат бұрын
mimi naona wanaokamatwa na kuteswa kwa watu wa mungu kwa kisingizio cha ugaidi. ni waislamu. sasa hawa waislamu ndio watumishi wa haki wanaomkubali yesu bila shaka ni hivyo.
@ezekielmathia100412 сағат бұрын
Ukweri mimi ninavyo penda mahubiri yako natamani siku moja kuimba na wewe . Nimechukiwa na watu kisa ukweri wa Mungu wengi ikiwa niwa chungaji lakini naamini Mungu atanilinda.
@DominicaUggy-em8vc4 күн бұрын
Jamani! Mungu akulinde kaka angu. Nakufatilia tangu BSS 2009. Lkn Mungu amekuinua kwa namna ya ajabu sana.
@RaphaelSiwaleКүн бұрын
Mungu akubariki mtumishi
@KolestaMkamati4 күн бұрын
Asante sana kwamahubili mazur waliompaya kristo nadhani mnselewa
@MeshackKayuni4 күн бұрын
MUNGU akusaidie Mtumishi tupo pamoja
@Blessing_ukКүн бұрын
Samahani..mtumishi wa mungu nisamehe kama ntakukosea niushauritu na pia mungu naomba anisamehe pia .unajua kunawachungaji feki wanatumia lugha yaupole hadi wanajikta wamejaza watu kwenye makanisa yao..unaonaje mtumishi wa mungu ukipungza ukali fanya kama unazngmza kwa lugha ya upole nahsi itakuwa njia nzri yakuwaenezea watu ukwer wa mungu wetu alie hai maan naona manabii wauongo wanatumia lugha laini kuwashawishi watu nahsi na ww ungetumia hyo lugha lain nahsi wengi ujumbe ungefka kwa watu weng zaid..nisamehe lkn kama ntakua nimekukosea mtumishi nia yngu nataka huu ukwer uwafkie watu weng kwa haraka..niushauritu mtumishi wangu..
@ConfusedFrog-lc9dbКүн бұрын
Wewe shidaako ni nini,unasikiliza sauti ama unasikiliza ujumbe?
@ONGEZATHAMANIКүн бұрын
Yeye ni mwinjilisti,wao ni wachungaji.Na isitoshe Kila Mtu anawito wake
@AnaMeshackКүн бұрын
Hakuna ulele mama kwenye kazi ya Mungu kwa nyakati hizo ni za mwisho bro tumefika mbali 😢😢
@martinahlighare64954 күн бұрын
Mwenyezi Mungu atusaidie tunapoishi katika hii dunia ya dhiki. Mungu azidi kukutumia ili kufanyika jicho pevu kuerevusha ulimwengu.
@FrolaRobinson4 күн бұрын
God bless you
@user-nu4ct7yc9o4 күн бұрын
Glória Deus!, estamos juntos servo de Jesus amém 🎉🎉🎉.
@ADVENTURE-vs1zb13 сағат бұрын
NIMEPENDA UJUMBE WAKO. NIMEONA KUNA KITU. IBARIKIWE SANA.
@AnjendileKilemileКүн бұрын
Cha msingi tuamke maana tunaishi majibu ya Yesu kristo kuhusu ujio wake Jesus is coming very soon
@user-cn6nk8fd8qКүн бұрын
Huyu ni kanisa gni mbona Kam msabato
@regnaldymambaly98805 сағат бұрын
wewe una angalia kanisa badala ya kuangalia ukweli anao usema kanisa halikusaidii kitu
@nestorypesambili73414 күн бұрын
Amen, ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@jamesboka-kk9rv3 күн бұрын
twambie baba tupone🎉 Mungu azidi kukuimalisha kwa mafundisho mazuri🎉🎉
@Pendopasilika4 күн бұрын
Ee BWANA YESU tuhurumie turehemu MUNGU wetu maana dunia Sasa imekwisha we MUNGU BABA twende wapi Wana wako na watoto wetu uliotupa😢😢😢😢😢😢😢 heeeeee!!! Ni wakati wa kuchangamka usichoke mtumishi wa BWANA SEMA watu wafunguliwe
@user-iv9yc8hl7n4 күн бұрын
Amina
@Pendopasilika4 күн бұрын
@@user-iv9yc8hl7n barikiwa mtumishi
@angelitapaulo9 сағат бұрын
Kitu cha muhimu sana kulinda moyo wako na tukiacha yale yote ya Dunia
@SaimonmsimbegeMwakajonga-wt6rr3 күн бұрын
Kamanda wayesu hongera sana nakuelewa
@yongoyongo30553 күн бұрын
Tunamutegemea Allah ambaye hafi na wala hana wa kumuadvice
@tonymwiti14452 күн бұрын
Yesu anajulikana Ni nani na mwanzo wake ,,,,,na je Allah niambie Ni nani anaishi wapi na na mwanzo wake Ni upi
@user-lq6kr2gl7nКүн бұрын
🤔🤔Mmmmh hatar
@sss3s86717 сағат бұрын
NDIO MAANA MRUSI ANAWANYOSHA POLEPOLE MAANA WAMEPINDA. NA HUYO PAPA ANAJIFANYA KAMA MAMBO YA UKRAIN HAYAMKUNI SANA. AMEONGEA MARA 1 TU KTK OPARATION YA KIVITA YA URUSI HUKO IKRAIN. KUMBE PEMBE ZINAMKUNA
@user-eq9pw6cu5e4 күн бұрын
Ni kweli Balaza la Makanisa ulimwenguni EKUMEN ni Sanamu ya Mnyama kwa hiyo ni Ufunuo 13:11-16imeanzishwa Marekani tangu mwaka 1946. mungu mwenye Nafsi tatu ni alama ya Mnyama Ufunuo 16:13-14 Ni fundisho lililotoka Rumi likipi amri ya kwanza, Likipi Biblia Waebrania 6:13:Isaya 42:1: Isaya 43:21 Isaya 45:23. Hiyo inapingana na Mathayo 28:19 mkabatize kwa jina (moja) Siyo majina (wingi) Inapingana Matendo 2:38 Kwa jina la Yesu Kristo siyo majina. Matendo 10:48.Matendo 19:5.Hayoni ni baadhi ya mafundisho ya meshika jamii za watu wanajihita Wakristo. Hao Dini nyingine azijui ABC.
@MaryHhary3 күн бұрын
Ndgu
@MaryHhary3 күн бұрын
Hata huyu anayehubir kamegew ufunuo kidogo tu hajui bibiarus hayo hayamkuti
@user-eq9pw6cu5e2 күн бұрын
@@MaryHhary Bwana Yesu Kristo akubariki.
@ShukraniChomolla4 күн бұрын
Eeee Yesu shuka upesi utuone waja wako tunapotea😢
@SmilingFuchsiaFlower-jl7dg3 күн бұрын
Mungu akubariki niwachache wakuongoza ninekuelewa bro
@user-wg2gd2nl6c4 күн бұрын
Nikweli umehubiri ukweli kabisa. Lskini papa analenga. Kuziangusha. Amri yasabato ya mungu. Ndyo maana jumapili ndoameiweka iwe ibada yake. Kwahyo waeleze watu jumapili niarlama ya mnyama. Usifumbie hilo watu waondoke babeli.
@sarahmaro2154 күн бұрын
Shenanigans hasumbuliwi na siku, anachotafta shetani ni kumuangusha mtu yule ambaye anamwabudu MUNGU ktk roho na kweli tu.
@sarahmaro2154 күн бұрын
Shetatani hasumbuliwi......
@user-wg2gd2nl6c4 күн бұрын
@@sarahmaro215 pengine kwa mtazamo wako ndoulivyo. Ilashetani anaakili kuliko ujuavyo. Hujiulizi kwa Nini kanisa katholiki. Liko juu kuliko biblia. Kanisa ndolinaamri. Kuliko amri za MUNGU. Hamjiulizi. Hamuoni. Ebu fungueni. Macho wapndwa. Kama mtasari jumapili. Hamtakua natatizo. Lakini wake watakao ikataa hyo jumapili. Watauwawa. Kwanini iwelazima jumapili nasi jumatatu. Hujiulizi?
@christopherkaroli93654 күн бұрын
Ninyi mna shida kwani siku ina shida gani? Siku zote ni za Mungu hatuzuiliwi kumwomba Mungu siku yoyote isipokuwa tu awe Mungu wa kweli na kubudu katika roho
@edwinalexander11704 күн бұрын
Biblia inasema kwenye mathayo 5:8-10 "wenye moyo safi watamuona Mungu", na si watakao abudu siku ya jumapili au jumamosi. Hali yako ya moyoni ya kumuamini Yesu kristo na hali yako ya utakatifu ndo itakayo kupeleka Mbinguni.
@vivianalute6444 күн бұрын
Mungu MUNGU akubariki sana
@MakaliusNgua-vb5sb4 күн бұрын
Hapo yatupasa tuinue macho yetu kwa kristo ndiye msaada pekee
@FrankiAndrew4 күн бұрын
Amina Amina Amina
@user-xh6mt8xj9d12 сағат бұрын
Yesu si mungu wala mtoto wa mungu msiwapoteze hata waliowalokole ndugu zangu kibindamu someni bibilia wenyewe msisubiri kusomewa mpate kujua ukweli au tafuta clip za Imani Petro utafanikiwa
@angelitapaulo8 сағат бұрын
Wewe ndio unahitaji usome Biblia ili ujue YESU ndio MUNGU mwenye, ndio maana yupo mpinga Kristo yaani mpinga Kristo amemjua YESU NDIE MUNGU MWENYEWE, ndio maana hakuna mpinga Mohamedy, wala mpinga hindu, buda, waabudu ng'ombe hakuna kwa sababu hizo imani zote hakuna yeye ukweli, ila ile ya YESU aliyetufundisha, kama hujui tayari waislam washaunganishwa kwenye dini moja, makao makuu yako abudhabi Dubai, Saudi Arabia ishasaini makubaliano ya dini moja ambayo Saudi Arabia hatakiwi kutoa siraha yoyote wala kuchangia chochote watu watapigana katika ya Israel nusu ya watu duniani itapotea, makubaliano ya kusaini dini moja inawafanya waislam kujiunganisha na mpinga Kristo na kwamba hao sio watu wa YESU, kubari kumjua YESU utamjua kwa nini ana pingwa YEYE na sio mtume mwenye waislam wengi Duniani
@user-ef7pn5wt7g4 күн бұрын
Mungu akulinde❤
@user-wi8og3sv4j4 күн бұрын
Hata baideni hana tofauti na robotic inayokontroliwa
@gasparlubaga58663 күн бұрын
Mungu akutie nguvu mtumishi wa Mungu
@jovettedenise25914 күн бұрын
Mungu utusayidiye tumarize safari ya ya kwenda mbinguni salama🎉🎉🎉
@EricMurhula3 күн бұрын
Mungu aku jaze upako papa
@PeterMahona-zd3oz3 күн бұрын
Mungu anisaidie mtumishi
@ruthmuja77924 күн бұрын
Mungu Atusaidie sana
@AsiaAsia-v6hКүн бұрын
Asthafirullah yarabi Allah atusaidie waislamu sote kwa ujumla inshallah nilailaha ilallah Muhammad rasulallah pekeake hakuna mwengine na Muhammad ndo mjumbe wake
@hamishatibu699Күн бұрын
Unaupinga ushetani na wew umo ndani umo umo, Mnyama ni utawala wa 4 ktk Dunia, na ndio hao waliowaletea ukiristo
@EmanuelSolomon-ij1is3 күн бұрын
Vema
@SalimaJuma-en8km2 күн бұрын
Mungu atupe hamu ya kutafuta kwa zati ubarikiwe kaka
@user-xh6mt8xj9d12 сағат бұрын
Mwisho wa dunia dini utakuwa moja tu duniani kote na sinyengine ila ni ileile ya nabii wa mwanzo baba yetu Adam nayo ni yamanabii wotemtajijua mlokuwa hamuijui dini halisi ya kweli na ya haki poleni Sana wakristo Allah atupe hatma njema .
@user-xh6mt8xj9d12 сағат бұрын
Maneno yako ni sadakta na huko ulikosiko
@user-wg2gd2nl6c4 күн бұрын
Yehova yupo upande wetu. Tutashinda. Kifo chetu ni ushindi. Hatuwezi kuyakwepa. Nirazima yatimie. Kikubwa. Nikusimama imara na YESU ameahidi hatatutupa kamwe
@YuenPonsiano4 күн бұрын
Ubarikiwe na MUNGU
@user-ko5it5hz6b4 күн бұрын
Asante Mungu kwa mtumishi wako
@JanetRuwa-t9j12 сағат бұрын
Ukweli kabisa mchungaji
@mako3312 күн бұрын
Kama kuna kanisa linalotumika kishetani ni catholic, na ndio maana hawaruhusu waumini wao wasome biblia
@gidongailo71744 күн бұрын
Mateso yameshaanza ndani ya Kanisa lenyewe la Rumi. Wale viongozi waaminifu kwa Neno la Mungu wanafukuzwa kazi na kutengwa. Ili wabaki wale wanaoungana na sera za kumwasi Mungu
@venancenkoronko92504 күн бұрын
Acha kudanganya wewe
@lilianluhasi3114 күн бұрын
@@venancenkoronko9250Kweli, amka
@paschalsafari97472 күн бұрын
Acha bangi
@EricMurhula3 күн бұрын
Je ! Yesu ata kapo kuja , ata ikuta imani y'a kweli?
@FaithHozza4 күн бұрын
Ni kweli kabisa mtumishi wa Mungu
@hemedmwipopo7804 күн бұрын
Mhubiri sijui kama wanakusikia, lakini watu hawajui kwamba kanisa ndiyo mpinga Kristo, Mungu alililaani taifa la Israel lakini Wa Kristo wanalibariki taifa la Israel. Israel ya leo ndiyo inayo inayo simamia Uovu Duniani wakishirikiana na Marekani na mataifa ya Ulaya, Vita, Ushoga na Usagaji Israel, Marekani na mataifa ya Ulaya wamo, Family planning, Marekani na Israel wamo, Watengenezaji Nyama za Kula za Maabara Israel na Marekani wamo, Watengenezaji wa Roboti za Akili mnembo Marekani na Israel wamo. Lakini mataifa haya ndiyo wanalo libeba Kanisa. Kwamfano Italy ndilo Taifa pekee lililo kuwa na maabara ya Kuzarisha Nyama ambalo hivi karibuni limetangaza kuachana nao mpango huo. Maabara hiyo mmilki na mfadhili Mkuu ni Marekani. Hawa wote ni wapinga Kristo na ndiyo wanao licontrol Kanisa (Ukristo).
@ngipetojoseph2637Күн бұрын
❤❤❤❤❤❤ Amen 🙏 UNITUMIE
@jesusfirstchurch41624 күн бұрын
Namwagia Damu ya YESU KRISTO
@elishampoki87514 күн бұрын
Mtumishi hiyo kitu nimeona , Mungu hataacha kuwafunulia sili wateule wake, hiyo,unachokisema nisahihi,kabisa,
@Khadija-f7b4 күн бұрын
Amina mtumishi wa mungu akujariki
@Mjakazisafi83614 күн бұрын
Mungu ama MUNGU c mungu huyo ni miungu soma Zaburi 81:9 ujue utofauti wa MUNGU muumba mbingu na nchi na mungu Amen
@Revelation1412.4 күн бұрын
HUU NDO UJUMBE 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
@paskalilameki95684 күн бұрын
Mungu.haku.baliki
@mako3312 күн бұрын
Mtumishi mbona huelezi vizuri hiyo alama ya mnyama ni nini? Kuna swala la siku ya kuabudu watalazimisha watu waabudu jumapili siku ya kwanza ya juma badala ya jumamosi hilo ndilo lengo kuu, ila wengi waabuduo jumapili kwa sasa wamo ndani ya alama ya mnyama tayari hawatakuwa na shida; Wasabato ndio wanatafutwa hapo