Miaka takribani 30 imepita toka Baba na Mama wapotezana na Baba kubaki na Rose na kumlea mwenyewe kwa miaka yote hiyo na leo wamekutana huku Mama akitambulishwa wajukuu zake wawili kutoka kwa binti yake.
Пікірлер: 44
@mpondamaliva7666Ай бұрын
Jamani Rose kafanana na mama yake sana Mungu ni mwema
@HamisiForogoАй бұрын
Huyu babu kiukweli hajamtendea haki huyu Bibi dah kuchukua mtoto wa miaka miwili alafu umekaa nae kimya mpaka Leo looh mshenzi Sana wewe
@user-he2pk6io4dАй бұрын
😂😂😂mama rose anakinyongo 😢
@JasmineMadarakaАй бұрын
Huyu mama anamaumivu sana moyoni kiasi kwamba ameshindwa kabisa kulificha maskini Mungu muongoze huyu mama kuna mambo yanauma sana
@user-sz7fj6ll5yАй бұрын
Kweli kabisaa😢😢
@user-ku6sg1dm8iАй бұрын
😂mziki uko juu sana punguza.
@michaelchiwalo8444Ай бұрын
😂😂😂rose ana furaha haielezekii akiwaona baba rose na mama rose🌹
@jaziramwimbo9145Ай бұрын
Mumeharibu furaha ya Mama Rose baada ya Babu kuja hapo. Mmemkumbusha machungu
@aishaabrahaman9957Ай бұрын
Mama rose kachukia alivomuona huyuu baba jamani 😂😂😂😂 duuuh pole jamani
@edsonnelson4464Ай бұрын
Ila nimewapenda sana Leo tena
@memoryngambi7570Ай бұрын
Jamani najikuta nalia namimi, Mungu awatunze wote.
@RayChausaАй бұрын
Ameen
@HamisiForogoАй бұрын
Nikitaka kulia sanaaa naangalia hiki kipindi
@rahmaswale1671Ай бұрын
Pole Sana mama inauma Sana Mimi nilikaa mwaka na nusu tu sijamiona mwanangu Kuna Sasa nilikuwa nashindwa hata kula
@shupanamugala6266Ай бұрын
Inauma sana jamani
@bintmrisho3526Ай бұрын
Mimi pia nimeungua mkono wa kushoto nilikua na miaka miwili hadi sasa nina miaka 28 lakin bado nina kovu halifutiki
@Mery-st4nuАй бұрын
Jamani rose nakuomba umtunze mama wewe mdg wangu nimesikia mama akisema kisingida kinyiramba mpende sana mamako😢😢😢
@omanoman2044Ай бұрын
Mam kakasirika kamuon alie iba mtt wake mjinga san
@TabiaMbunjuАй бұрын
Ongeren sana mungu atawalipa
@alphoncekidyala6932Ай бұрын
Kipindi kinarudiwa lini nicheki nilikua kazini
@marianyahenge952919 күн бұрын
Wamefanana
@navioma4882Ай бұрын
Dah😢😢
@MutoniAnge-pt4egАй бұрын
Huu baba ni mtu mbaya
@Mery-st4nuАй бұрын
Brayan Jina la mwanangu❤❤❤❤
@rukiaiddyyahaya9506Ай бұрын
Kumbe ana haki huyu bibi kutoroka watu wa singida😂😂😂😢
@noelaayo7932Ай бұрын
😢😢❤
@ubongosahihiАй бұрын
Hakuna sauti 😢😢
@fettiemaganza1484Ай бұрын
Ukimuangalia tu unajua rose ni yupi
@florencemeza6540Ай бұрын
Mama katoka mbali Lunzewe ni mbali saana
@deborahmchona5584Ай бұрын
Jmni mnatuliza huku mweeee ila ninafuraha sana
@ayshamohammed7106Ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭
@missmoona4497Ай бұрын
Gea 😂😂😂😂😂et mwamba huyu hapa
@RayChausaАй бұрын
😂😂😂😂😂😂
@mamatriplee5638Ай бұрын
Mimi bibi ningemnasa kibao kimoja kitakatifumtoto wangu miaka 30 yote jamani sijamuona mtt wangu
@hasanbakari7332Ай бұрын
Nina ndugu yangu kapotea miaka 5 hivikweli nitakuja kumuona anaitwa shabani ramadhani ni mpare
@Sonia_abassАй бұрын
Mwakan tena uende clauds fm mwez Wa 5
@remidusmwanandenje-yy5gsАй бұрын
😪😪😪🙏🙏🙏🙏🙏🙏🎎
@SizzoSela29-sh8nzАй бұрын
bibi anakinyongo na babu
@EstherjamesAmrimaАй бұрын
Naitwa Esther James nawaomba kama uyu dada alivyopata mama yake na mm nawaomba munisaidie kumpata mama yangu anaitwa jurieta irick alituacha naipanga mm na mdogo wangu salvina frank nawaomb sana
@salmangwila8062Ай бұрын
jaribu kuwasiliana na gea
@happymchovu9023Ай бұрын
Naombeni namba zahiki kipindi nguguzangu
@user-nn5lv6nb6iАй бұрын
Jmn mpk nimelia mima jmn
@jaziramwimbo9145Ай бұрын
Watu tinaishi na makovu ya vitu vingi mno. Hongela Rose kwa hatua hii
@gambigambi7254Ай бұрын
Ni kweli kabisa trauma kila mtu ana pain yake kukosa mama niukiwa mzito