Nilipotezana na mama yangu miaka 23 iliyopita | Bhoke Nimeolewa nina watoto watatu

  Рет қаралды 36,447

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Ай бұрын

Mama Boke alikuwa akimtafuta mwanaye kwa takribani miaka 20 na Mtoto pia alikuwa akimtafuta Mama yake na leo wamekutana kwa mara ya kwanza na ni kwa zaidi ya miaka 20 Mama amekutana na mtoto wake.
Sasa mtoto yule wa miaka miwili sasa ameolewa na ana watoto watatu na Mama amekuwa Bibi wa jukuu watatu.
#LeoTena
#MamaNiMama
#Tumekuverify

Пікірлер: 160
@hellenlimo3208
@hellenlimo3208 Ай бұрын
Kwa kweli Gea na wenzako mnachokifanya Mwenyezi Mungu atawalipa na vizazi vyenu mbarikiwe sanasana mnagusa hisia za watu inafurahisha na kuhuwisha maisha ya watu
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 Ай бұрын
Ninawaomba hata wale waliokosa wazazi au watoto mngewaweka kwenye mitandao ili watu waendelee kutafutana maana inawezekana siku kipindi kinarushwa wengine wanakuwa hawapo ili kuwajua
@mrfashion1687
@mrfashion1687 Ай бұрын
Ila Geah anazeeka na uzuri wake
@anorldmarandu4725
@anorldmarandu4725 Ай бұрын
Wakati Wa Mungu ni sahihi siku zote.
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 Ай бұрын
Nimejikuta tu nalia..Mungu mpumzishe mamaangu pema peponi. Bhoke hongera sana kumpata Mama💖
@Sonia_abass
@Sonia_abass Ай бұрын
Amen
@alfamgayatv872
@alfamgayatv872 Ай бұрын
Hii radio station ni zaid ya radio mungu huonesha nuru palupo na nuru
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 Ай бұрын
Mungu tusaidie wamama jamaniii,tusiachane na uzao wetu🙏🙏🙏🙏🙏 Mungu awabariki sna CLOUDS F.M.hakika m'nafanya KITU kikubwa sna, JAMBO ZITOOOO 😭😭🙏🙏
@user-he2pk6io4d
@user-he2pk6io4d Ай бұрын
Wame fanana sana na mama yake❤😢
@user-tb8zb4rv6h
@user-tb8zb4rv6h 27 күн бұрын
Bint-Habibu na mwenzio Husna wallah kazi munayoifanya kuwaunganisha watoto na wazazi ALLAH atawalipa inshallah
@joycekalago532
@joycekalago532 Ай бұрын
Hata bamdogo wa bhoke ni mstaarabu sana wabarikiwe
@lusticabernad9982
@lusticabernad9982 Ай бұрын
Nani ananimenyea vitunguu machoni, wamefanana sana
@theonestinamutole8549
@theonestinamutole8549 Ай бұрын
Nshalia sana
@faridabilly379
@faridabilly379 Ай бұрын
Jmn tunaomba na Victor atafutwe Mungu awabariki😭😭😭
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 Ай бұрын
No comment huyo ni mama yake hadi umbile ni mfanano. poleni kwa kukaa mbali kwa muda huo wote.
@missmoona4497
@missmoona4497 Ай бұрын
Mm nasemaga kila siku wa bb wadizain hii wanafungu lao kwa MUNGU laatullah mnatesa watt mnaumiza watt kana kwamba unamkomoa mama bila kumjali mtt anahak za mama yake pia, nahata huyo alie potea itakuwa lengo nikumtafuta mama yake inaumiza sana , sasa bb huko uliko upewe unachostaili kwa huu unyama ulioufanya, na MUNGU alivyo fundi kwa roho zenu mbaya hizo huwa hamuna maisha marefu kwa laana zenu za kutesa watt
@kiboshokiboshomungumkubwa7789
@kiboshokiboshomungumkubwa7789 Ай бұрын
Mungu mkubwa hata mimi nimetokwa na mchozi sijui niseme ni yafuraha au ya huzuni
@janetmushi4689
@janetmushi4689 Ай бұрын
Dah wamemiliza sana, hongereni sana kwa kuwakutanisha Mungu awabiriki.
@eliudnjenga9385
@eliudnjenga9385 Ай бұрын
Mimi nipo kenya🇰🇪 heko sana tena sana cloud fm kwa kazi mnayoifanya tz 🇹🇿kiukweli mko mbele e mola awabaliki👍👆👆
@abuumohamed7090
@abuumohamed7090 Ай бұрын
Kuweni na mpangilio mzuuri wa utoaji wa taarifa zenu
@VemaMtati-kb4ho
@VemaMtati-kb4ho Ай бұрын
Nimelia kama mm ndo bhoke
@deborahmchona5584
@deborahmchona5584 Ай бұрын
Yaan Mimi nimelia Mpaka wananishangaa
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
​@@deborahmchona5584😂😂😂ata mimi mpaka nimejiona kajinga
@user-en1uq1eg6h
@user-en1uq1eg6h Ай бұрын
Hata mimi❤
@OmarySamata
@OmarySamata Ай бұрын
Daaah sana aisee
@caritaskabyemela1530
@caritaskabyemela1530 Ай бұрын
Kafanana na mwanae jamani
@djcashwanakidiry9158
@djcashwanakidiry9158 Ай бұрын
Jamani kwakweli Mungu aitwe Mungu najikuta natoa machozi 😭🙏🏼🇲🇿
@user-gy7zq6lw1o
@user-gy7zq6lw1o Ай бұрын
Hongera dada yetu wa mbamba bay tunakupenda sana dd hongera sana kwakuwapata watoto wako hakika Mungu hunaemtumikia hamekupa kibari Asante Mungu dada kampe Mungu hutukufu wake
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 Ай бұрын
Baba mdogo hongera sana.
@abdulkaleemmbarak6670
@abdulkaleemmbarak6670 Ай бұрын
Ukitaka jua Sura asili za mtu mwambie alie. Mama Amelia nikaona Sura zimebadilika tofauti na alipokua hajalia.Mungu mkubwa kweli.
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 Ай бұрын
Wamefanana sana Mashallah ❤
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Ай бұрын
imeshindwa kuzuia machozi wallah
@pamelafidelis6102
@pamelafidelis6102 Ай бұрын
Nawapongeza sana clouds.Jambo mnalofanya ni kubwa sana naomba serikali itambue mchango wenu kwa jamii.
@user-kd7ey2mu7p
@user-kd7ey2mu7p Ай бұрын
Hongera baba mdogo kwa ulezi❤❤❤❤
@GetrudeRashid-be8bs
@GetrudeRashid-be8bs Ай бұрын
Mungu awabarik,,, naomba mumtafute nahuyo victa
@HappyAsajile
@HappyAsajile Ай бұрын
Mda mwingine nawazag nikwel aya yapo asant mung kwakuniwekea wazaz wang daaa
@user-gm4qi3nn9n
@user-gm4qi3nn9n Ай бұрын
😢😢mi Baba wadogo zangu hata hakuwaleta kwenye msiba wa mama
@GetrudeRashid-be8bs
@GetrudeRashid-be8bs Ай бұрын
Kweli hii redio ni nzur ,,Mungu Wa mbinguni aendelee kuinua,,wakati WA Mungu ni sahihii🎉🎉🎉
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 Ай бұрын
Baba mdogo Mungu akujalie kwa kazi njema
@ABDULShq-wv6st
@ABDULShq-wv6st 23 күн бұрын
Good job clous
@marygregory7566
@marygregory7566 Ай бұрын
Mungu awajalie na victor wampate
@sengendotwaha9333
@sengendotwaha9333 Ай бұрын
Asante sana
@salimngajoga3407
@salimngajoga3407 Ай бұрын
Nijambo jema sana mlilofikiria la kukutanisha mama na mwana
@KaniOfficio-lk1rk
@KaniOfficio-lk1rk Ай бұрын
Kiukweli claudhi Mungu awape maisha malefu pia mwezi 1 hautoshi jamani
@abasiabdulabi5430
@abasiabdulabi5430 Ай бұрын
Nikimuona malehemu mze nguzo na uyu mwanae nakumbumbuka mbali sana
@hellenmassawe7284
@hellenmassawe7284 Ай бұрын
Jaman
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Ай бұрын
Bamdogo maashaallah. Allah atakulipa kwa ulexi
@chachawambura4030
@chachawambura4030 Ай бұрын
Nilishawakutanisha mtu na dadake walopotezana zaidi ya miaka 35. Ilikuwa hivi, nilienda Moshi kufata Cheti changu chuo nikakosa hifadhi ya kulala, aliyenipa hifadhi ya kulala lazima akuchukue maelezo. Alifurahi kusikia natoka MARA akatamka WEWE KIJANA MUNGU KAKULETA HAPA. Kumbe kule dadake alikoolewa Mimi ndiko nakotokea, niliporudi nyumbani Yani haikupita wiki Moja nikampata dadake mpaka Leo wanawasiliana na dada alokaa miaka zaidi ya 35 bila kurudi nyumbani alienda Moshi kuwasalimia.
@user-rg9ii7dj6w
@user-rg9ii7dj6w Ай бұрын
MNGU wetu ni mwema yote hayo ni makaudi yake ili wakutane tu
@IgnasiaNdunguru-hr5ep
@IgnasiaNdunguru-hr5ep Ай бұрын
Asante
@OmarySamata
@OmarySamata Ай бұрын
Daah clouds kweli inafungua Dunia huu nizaidi ya ubunifu ongereni sana endeleeni kusaidia watu
@Denatha50
@Denatha50 Ай бұрын
Nimelia mno jamn mungu awalinde wazazi wetu
@user-im5kc6ey7j
@user-im5kc6ey7j Ай бұрын
Mungu awabariki sana
@felistafundi4559
@felistafundi4559 Ай бұрын
Mungu awabariki jamani
@edvinaselestine712
@edvinaselestine712 10 күн бұрын
Kumbe wakurya wote huwa mnaozeshwa na mama zenu
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 Ай бұрын
Jaman mie hiki kipindi hadi kiishe nitakua nimevimba macho😭😭😭😭
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 Ай бұрын
Yani we acha atuu😢
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 Ай бұрын
Yaaani basi tu
@AngeKazege-sy1ok
@AngeKazege-sy1ok Ай бұрын
Baba Mudogo Katuliya Sana❤
@omanoman2044
@omanoman2044 Ай бұрын
Mtt wake wakiume hayupo mungu wangu
@user-fd5pb1dt4j
@user-fd5pb1dt4j Ай бұрын
Mashallah❤
@user-ye1dt2eb8u
@user-ye1dt2eb8u Ай бұрын
Zingine zina hisia kali wweeeee, lakini kile ule mama wakuumwa ni kifua,,, pamoja na kuugua lakini kuna lakini ,na vile ana watoto warembo, au hanajiurumia kwa kutofikia wanae na ilikua karibu tu, au kujihukumu moyoni, ila watu wameumbika tofauti
@magidalenarauya4286
@magidalenarauya4286 Ай бұрын
Du walimtesa sana mama huyu kumnyanganya watoto wawili tena wadogo,huyo baba alikua katili,na mama alien muozesha pia,
@SharifaMohammed-el3ug
@SharifaMohammed-el3ug Ай бұрын
Malia jamani! Mungu awabariku
@user-gm4qi3nn9n
@user-gm4qi3nn9n Ай бұрын
😢😢😢gea na wenzako Mungu awalipe kheri
@wilddogztz3101
@wilddogztz3101 Ай бұрын
mungu awabariki mnoooooo mnooooo
@jolyPoly-qm9fb
@jolyPoly-qm9fb Ай бұрын
Natamani na mimi iwe kama ndoto mamaangu niweze kumuona tena mana napitia maumivu makali bila mama siwezi😢😢
@skilindaissa5441
@skilindaissa5441 Ай бұрын
Pumnzika kwa Amani Mama yngu
@PendoUrassa-xm7ru
@PendoUrassa-xm7ru Ай бұрын
Da mungu ni mwema,
@ShemsaKiobya
@ShemsaKiobya Ай бұрын
Siku zote mungu awalipe Kwa msaada huu
@Gloriousministriesforallnation
@Gloriousministriesforallnation Ай бұрын
Mungu awakumbuke watt ambayo hajui wazazi wao wako wapi.
@zenasalum2231
@zenasalum2231 Ай бұрын
Dah inauma sana
@valentinamjindo5374
@valentinamjindo5374 Ай бұрын
Wamefanana sana jaman
@norakaima1644
@norakaima1644 Ай бұрын
Wanaume ni baba zetu ni watoto wetu tunawazaa kwa uchungu lkn nyinyi ndio mnatufikisha hapa😢😢 naumia sana wallah😭😭
@wamburasungura6812
@wamburasungura6812 Ай бұрын
Sasa baba anakosa gani na hatujasikia upande wake na Alisha fariki
@IreneMasunzu
@IreneMasunzu Ай бұрын
Duuuuu 😢😢😢
@azeezaya8510
@azeezaya8510 Ай бұрын
Mungu watu nimwema siku zote
@xxxl-jf2ji
@xxxl-jf2ji Ай бұрын
😢😢
@user-wh4gs8wj1z
@user-wh4gs8wj1z 27 күн бұрын
Jamani na mm namtafuta mjomba angu Toka atoke nyumbn 2018 hadi leo hajui aliko Wala mawasiliano hatuna
@eggysulle7988
@eggysulle7988 Ай бұрын
Clouds 🔥🔥
@user-bm2tr7sn9e
@user-bm2tr7sn9e Ай бұрын
Nimelia sana
@JumaDea
@JumaDea Ай бұрын
Daah hii redio ni zaidi ya redio.
@ShadyAbdallah-vu7iu
@ShadyAbdallah-vu7iu Ай бұрын
😭Machozi yame nitoka wallah
@zamalisaide3209
@zamalisaide3209 Ай бұрын
Baba mdogo mauwa 🎉🎉🎉
@joshuanassary1880
@joshuanassary1880 Ай бұрын
❤❤❤ clouds
@user-ii1tc7gt9r
@user-ii1tc7gt9r Ай бұрын
Mama Bado kijanaa mwenyewe
@ruthmuja7792
@ruthmuja7792 Ай бұрын
😢❤
@PendoUrassa-xm7ru
@PendoUrassa-xm7ru Ай бұрын
Ba mdogo pia aheshimike sana
@mamuumamuu7743
@mamuumamuu7743 Ай бұрын
😢😢😢😢haki kweli mum ana nguvu
@user-cv4jb1bm6i
@user-cv4jb1bm6i Ай бұрын
Wamefanana kinomaa
@lucypatrick7830
@lucypatrick7830 Ай бұрын
Dah nimejisikia huzuni sana
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 Ай бұрын
Bhoke amaefanana na mama yake
@SibomanaSaida
@SibomanaSaida Ай бұрын
Very sad 😢😢haki
@careenlouis8563
@careenlouis8563 Ай бұрын
Wamefanana mno❤😢
@ibraoman2745
@ibraoman2745 Ай бұрын
Nawashukuru san wazaz wang kua pamoja had leo
@user-ii1tc7gt9r
@user-ii1tc7gt9r Ай бұрын
Jamani cloud mnajua kuniliza
@ElishaSolomoni-kc4zk
@ElishaSolomoni-kc4zk Ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@user-sx1xi4yb2z
@user-sx1xi4yb2z Ай бұрын
So sad
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Ай бұрын
😢😢😢
@upendogreutert199
@upendogreutert199 Ай бұрын
Jamani Damu ya mtu haipoteagi milele
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 Ай бұрын
Nimelia ad bs daa😢😢
@ahmedronga7583
@ahmedronga7583 Ай бұрын
Sauti za wapiga story
@husseinkazimoto784
@husseinkazimoto784 Ай бұрын
😔😔😔
@faridaally-jp1gx
@faridaally-jp1gx Ай бұрын
Jamani nimelia maskini wamefanana
@EMANUELMgaya
@EMANUELMgaya Ай бұрын
mambo ya muhimu lakini bado back stage sauti ipo juu
@user-lz4oj8cg6q
@user-lz4oj8cg6q Ай бұрын
Dahuu naitwa Rajabu Juma nipo musoma mjini, nina umri wa miaka 29 namtafuta babu yangu mzaa mama, alikuwa anafanya kazi gereza la musoma mjini miaka ya 1971 hadi 1974 akahamia gereza la tarime kisha kuamishiwa jijini mwanza, mama angu ananiambiaga babu aliondoka akiwa na miaka minne 4, na anamfaham kwa jina moja anaitwa Lasuri ni mzaliwa wa moshi, kabila lake ni mpare namtafuta kwa muda mrefu sana babu yangu, aswa mama yangu mzazi anahamu sana ya kumuona baba yake
@salmangwila8062
@salmangwila8062 Ай бұрын
alhamis hii wewe na mama yako sikilizen leo tena kuna fursa ya wanaowatafuta baba zao,labda mtaweza tuma voice note
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 Ай бұрын
Sauti zinaingiliana na za efm
@jamilamsafiri2501
@jamilamsafiri2501 Ай бұрын
Jaman naombeni namba namim natafuta ndugu wa baba angu
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
@SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct 28 күн бұрын
Nimelia kwakweli
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 Ай бұрын
Jamani hawa waandishi wana jicho gumu hata chozi
@mshambaused3840
@mshambaused3840 Ай бұрын
Wamezoea tena. Wamelia sana sana tena
@user-hm1pe7bm2o
@user-hm1pe7bm2o Ай бұрын
Kwakweli vitunguu vinawasha machoni machozi yanatoka tuuu
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 148 МЛН
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 22 МЛН
WHO LAUGHS LAST LAUGHS BEST 😎 #comedy
00:18
HaHaWhat
Рет қаралды 20 МЛН
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Circle?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 36 МЛН
ELIUD NA MAMA YAKE KWENYE SHOW YA WAISA
18:50
Eliud Samwel
Рет қаралды 38 М.
Mrembo Vumilia Massawe Anamtafuta Mama Yake
8:46
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 4,7 М.
NLIKUA NAMTAFUTIA SABABU | WAKUTANISHWA
15:01
KIREDIO
Рет қаралды 184 М.
Waliniambia Mama Amefariki | nimefurahi Kumuona Mwanangu
8:08
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 28 М.
ДЕНЬ ГЛАЗАМИ МАМЫ (смешное видео, приколы, юмор, поржать)
0:59
NEW MAFIA EPISODE INCOMING 🖤
0:34
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 5 МЛН
腹黑小天使把黑天使整惨了#short #angel #clown
0:20
Super Beauty team
Рет қаралды 39 МЛН
Выглядит на 15, хотя ему 35. В чем СЕКРЕТ?
0:16
Собиратель новостей
Рет қаралды 4,9 МЛН